BANDARI YA MTWARA YENYE GATI YA UKUBWA MITA 300, MELI KUBWA ZATIA NANGA

  Рет қаралды 9,964

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 14
@sabbob574
@sabbob574 Жыл бұрын
Hivi hawa viongozi wametishwa kumtaja JPM. Wananchi hawajamsahu na bado ni kipenzi. Mambo aliyofanya hakuna yeyeto aliyethubutu kufanya kwa miaka mingi. RIP JPM
@raffeiystar2870
@raffeiystar2870 Жыл бұрын
Sasa mtu ameshakufa, unataka atajwe na kusifiwa wakat sasa hv tuna uongozi mwengine?? Mbona hufikiriii?? Ina maana marekan Biden aanze kumsifia Trump kwa aliyofanya muda wote?? Muda wote Trump, Trump 🤣🤣🤣 nyie vip
@jofreymsigwa85
@jofreymsigwa85 Жыл бұрын
Magu babalao baba la baba mungu amrehem😭😭😭😭😭😭😭😭
@gesambamaisori8781
@gesambamaisori8781 Жыл бұрын
Wapiga dili walitaka wajenge bandari bagamoyo, na hizi bandari zungine wasiziebdeleze zife, sasa tunasubiri reli toka mtwara hadi mbambabay,na kuboresha bandari ya mbamba Bay ili ihudumie nhi jirani kikamilifu. Daima tutakukumbuka shujaa wetu, JPM...rip.
@fransicmushenyera9302
@fransicmushenyera9302 Жыл бұрын
E.I.P.JPM
@fransicmushenyera9302
@fransicmushenyera9302 Жыл бұрын
E.I.P.JPM
@sallababawill404
@sallababawill404 Жыл бұрын
R. I. P jpm kwa maono ya inchi yako
@michaeleustach3989
@michaeleustach3989 Жыл бұрын
R.i.p jembe magu
@selemani.matendo4091
@selemani.matendo4091 Жыл бұрын
Hayo. Yote. WA. KupongezwA. Ni. Jpm. Wala. Sio.. Mtu. Mwingine.. Muache. Unafiki
@hatibuyusufu4668
@hatibuyusufu4668 Жыл бұрын
Ishu apo ni kujiuliza sisi lini tutatumia makaa ya mawe
@jeffkonki8279
@jeffkonki8279 Жыл бұрын
JPM ulikuwa genius umekufa ila mawazo yako yanaishia na yanafanya kazi
@salumjrsaidjr7150
@salumjrsaidjr7150 Жыл бұрын
Ki ki zitaanza kuja ili kuwazima wana halakati kupinga Bandari zetu kuuzwa??
@salumbujjo2320
@salumbujjo2320 Жыл бұрын
Nashangaa walikuwa wanataka kuanzisha mpya ilitakiwa kubolesha mtwara na bandari ya tanga kwa viwango vya kimataifa ila bado unaona uboleshwaji ni wa ujanja ujanja tuu .ni sawa mtu kujiibia mwenyewe wangeboresha hivi bandari zote kwa kiwango kibubwa wangepata manufaa makubwa sana na kuacha kufikilia kukopa
@salumjrsaidjr7150
@salumjrsaidjr7150 Жыл бұрын
Bandari kuu Mna binafshisha Mnatanua za mikoani nnn?? Utumwa Una ludi tena tz
Inside Out 2: ENVY & DISGUST STOLE JOY's DRINKS!!
00:32
AnythingAlexia
Рет қаралды 14 МЛН
The Entire History of Caterpillar Inc.
20:16
Heavymatic
Рет қаралды 341 М.
BANDARI ya TANGA ILIVYONOGA BAADA ya MABORESHO MAKUBWA
11:55
Global TV Online
Рет қаралды 2,6 М.
When A Gang Leader Confronted Muhammad Ali
11:43
Boxing After Dark
Рет қаралды 9 МЛН