Hivi hawa viongozi wametishwa kumtaja JPM. Wananchi hawajamsahu na bado ni kipenzi. Mambo aliyofanya hakuna yeyeto aliyethubutu kufanya kwa miaka mingi. RIP JPM
@raffeiystar2870 Жыл бұрын
Sasa mtu ameshakufa, unataka atajwe na kusifiwa wakat sasa hv tuna uongozi mwengine?? Mbona hufikiriii?? Ina maana marekan Biden aanze kumsifia Trump kwa aliyofanya muda wote?? Muda wote Trump, Trump 🤣🤣🤣 nyie vip
@jofreymsigwa85 Жыл бұрын
Magu babalao baba la baba mungu amrehem😭😭😭😭😭😭😭😭
@gesambamaisori8781 Жыл бұрын
Wapiga dili walitaka wajenge bandari bagamoyo, na hizi bandari zungine wasiziebdeleze zife, sasa tunasubiri reli toka mtwara hadi mbambabay,na kuboresha bandari ya mbamba Bay ili ihudumie nhi jirani kikamilifu. Daima tutakukumbuka shujaa wetu, JPM...rip.
Ishu apo ni kujiuliza sisi lini tutatumia makaa ya mawe
@jeffkonki8279 Жыл бұрын
JPM ulikuwa genius umekufa ila mawazo yako yanaishia na yanafanya kazi
@salumjrsaidjr7150 Жыл бұрын
Ki ki zitaanza kuja ili kuwazima wana halakati kupinga Bandari zetu kuuzwa??
@salumbujjo2320 Жыл бұрын
Nashangaa walikuwa wanataka kuanzisha mpya ilitakiwa kubolesha mtwara na bandari ya tanga kwa viwango vya kimataifa ila bado unaona uboleshwaji ni wa ujanja ujanja tuu .ni sawa mtu kujiibia mwenyewe wangeboresha hivi bandari zote kwa kiwango kibubwa wangepata manufaa makubwa sana na kuacha kufikilia kukopa
@salumjrsaidjr7150 Жыл бұрын
Bandari kuu Mna binafshisha Mnatanua za mikoani nnn?? Utumwa Una ludi tena tz