Watanzania nawapenda sana.... Napenda vile mnavyo ishi, na ubunifu wenu. Natamani sisi Wakongo na nyinyi watanzania tuwe inchi mbili zinazo weza kutumika pamoja myaka za usoni.... Nyinyi mnatufaa kabisa kuwa inchi jirani, hamuna mambo ya vurugu, ni maendeleo na kazi kwenda mbele... Strong 🇨🇩💪🇹🇿
@g-abbastechnology1818 Жыл бұрын
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@irenekato4114 жыл бұрын
You don't need to be a university graduate to be smart, Tz needs more people like him. So proud of him
@jonaskabonda7414 жыл бұрын
Exactly
@meshacktimoth13704 жыл бұрын
This is very good , the problem was government to support these talent people . After opening the door now people are innovative. We have to create special program to certify these people .
@eddimalon60514 жыл бұрын
You need to be university and graduate to be professional, thats why when you sick you have to meet Doctor, and to get good leader. Without good education is too many problems.
@emmanuelkurwa30964 жыл бұрын
Irene Kato sasa kwann umetumia Kingereza
@routhawad21504 жыл бұрын
Exactly
@aminamfaume42444 жыл бұрын
Tusipokupa hongera itakuwa wachawi.hongera kk ..hongera kk Allah akubariki sana
@ashreymapinda53214 жыл бұрын
Kakaa umeowaa
@aminamfaume42444 жыл бұрын
@@ashreymapinda5321 watafuta mchumba Dada afauyo
@ashreymapinda53214 жыл бұрын
Hapana nimeuliza tu kwani kapoteza muda na pesa nyingi kwa muda mlefu na maisha ya sasa tz hapa ndio maana nikauluza na sio kama mamtaka no 🔕 nilitaka kujua tu amina mfaume
@witomwidisi12144 жыл бұрын
Nice
@nasethmadale62514 жыл бұрын
Asante kaka natamani kujiunga na ubunifu huoo laaa mungu akubariki hata bill get alianza hivi hivi lakin amini siku moja utafika malengo yako niliwahi kusikia radioni nadhani kama sitakosea redio free kama miaka miwili au mitatu iliopita ila ahimidiwe mungu barikiwa sana @milladi ayo nashukuru hata kumwona live !!!!!!!!!! Amen
@mommary24244 жыл бұрын
Hongera Sana na Mungu azidi kukuinua ukafanikuwe lengo lako.wabongo tumezoea kuoneanaga wivu badala ya kusaidiana,lakini ifiki hatua watu kama hawa serikali iwasaidie watafika mbali na watawasaidia wengine.siyo mzaha kabisa huyu Kaka basi tu sina uwezo ningemwezesha kazi nzuri sana bro.big up💪
@freebeguronu59484 жыл бұрын
Kijana hongera
@aby211114 жыл бұрын
This guy must be supported and tanzania must be proud of such talent .
@mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын
Hongera sana Farooq Mungu akuwezeshe Zaidi,In Shaa Allah.
@aynatjoe57564 жыл бұрын
Omg Tanzania my country I love u...we got talents.. Mashaallah Farouk Allahu bariq...Hon JPM keep a eye on this talents...
@abdulaziz7034 жыл бұрын
Maa Sha Allah, huyu jamaa ni genius. Watu wa namna hii ni vyema sana kuwaweka karibu na watoto/vijana wetu ili wapate kujifunza kutoka kwake.
@miriamabinery56954 жыл бұрын
Safi sana ,Mungu akurinde ili wazimishaji wa vipaji wasindwe kabisa
@OnlyRuky4 жыл бұрын
Wawooo video ipo ki professional haswaaaa 💯💯💯💯✋Millard utabaki kileleni
Ayo TV Specialize in Articles of development and Encouragement to young ones ACHANA NA HAO VITEGA UCHUMI VYA KIMALAYA
@mayaally25124 жыл бұрын
wana habari hizi ndio habari za kutuonyesha sio za mastaa wa kibongo na wanasiasa tu
@kelvinkamnde33634 жыл бұрын
Ningeweza ku like comment yako zaidi ya mara moja ninge like million times.
@melangongo28294 жыл бұрын
Kweli kabisaaaaa
@victorernest77024 жыл бұрын
Maya Ally so habar za musiba sipirian cjui mwanaharakat hur
@pascalmsechu68744 жыл бұрын
Kabisa kaka
@kalelaonlinetv4 жыл бұрын
ماشاءاللہ
@keagleeagle8214 жыл бұрын
Hapa kutaingia mambo ya enviromental impact assessment. Na mambo mengine mengine Huyu ana akili kubwa sana. Ataendelea sana
@hatibuathumani70594 жыл бұрын
Safi sana
@rajabngunga95304 жыл бұрын
Hongera kk kwa ubunifu allah atakufikisha unapo taka kama una mkubali huyu jamaa weka like yako hap
@pettermollel25314 жыл бұрын
Hongera kaka .. ni ubunifu nzurii .... Nimetamani niwe karibu na mkoa wako ningekuja unipe huo ujuzi na me nitengeneze umeme wangu ....
@worldlyricssongs61414 жыл бұрын
Jamaniii Mungu anakusudi jamaniii...darasa la saba bila chuo anafanya mambo makubwa kama haya. Iv angesoma c Angekua genius 🙄😘😘 hongera brother
@ahluljazira22594 жыл бұрын
C kila MTU ana akili ya darasani wengine vipaji Tu vinatosha
@thelalas92044 жыл бұрын
Angesoma angeajiriwa kwisha
@shukuranikibona58934 жыл бұрын
Angesoma sana asingefAnya hayo akili Yake ingedorola kwa kusubiri ajira tuu..!
@akutiboysolomon94184 жыл бұрын
Angesoma asingeweza kufanya hivyo kwani ingemlazimu kufuata na kukariri anachofundishwa kwa lugha ya kikoloni ambayo haieleweki , asingefuata ubunifu wake na ukitaka kufanya vizuri shuleni ukubali kuoshwa ubongo kisha ukaririshwe mawazo ya wengine
@bakarihatibu45874 жыл бұрын
Majibizano wa hizi comments pia, ni mafunzo tosha kwa mwenye kufuatilia na kuzingatia
@jonesmedia41204 жыл бұрын
No need of being employed to become rich but creativity is highly required
@edwinalexander11704 жыл бұрын
@Hugine VEVO indeed no one has ever been rich through employment means
@lizernest78524 жыл бұрын
Now this is the type of innovation we need in this country...
@nasrahsihaba35224 жыл бұрын
😀😀sisi ndo watanzania bwana bg up kaka milad kwakutuletea habari za watanzania mwenzetu wanaojituma kama hao gd job
@saidsabco57864 жыл бұрын
ayo100%
@patrickmngongo67674 жыл бұрын
Kama unamkubali huyooo jamaa kwa kipachiii gonga like
@leonardvitalisi70074 жыл бұрын
Shwari sana
@diananjerengo69534 жыл бұрын
Barikiwa sana
@mgambowaghetohayupo10394 жыл бұрын
Big up my brother go on ..hope every thing will accepted pambana kaka
@nassirkhatibjuma66254 жыл бұрын
Safi bro
@missmunyao16094 жыл бұрын
This man is a genius.I hope 🇹🇿 will take him seriously.
@YusufAli-ib6xu4 жыл бұрын
Millard ayo May god bless you always you are great 👍🏻
@bressfabians45374 жыл бұрын
ETI NA WEWE MWANA CHUO UNALINGA UNA DEGREE. 😂😃😄😅😂😁😀
@florarwegasila94844 жыл бұрын
Ulitaka tulinge tuna nn?
@japhetelius7124 жыл бұрын
Flora Rwegasila we nae vp wamekutaja jina ulieshindw kubun ata mende 😂😂😂
@raphaellyfrank49324 жыл бұрын
Haaaa😂😂😂😂 kumbe hata elimu ilikuepo zamani2 ko high level hazina maaana
@fadiajunjuwithmyfamily5803 жыл бұрын
@@japhetelius712 shikamoooo🤣🤣🤣🤣
@ramadhanimzamilo20774 жыл бұрын
Wana vyuo mpooooo, haya nyie hangaikeni2 na mavyeti mtakula vyet🏃🏃
@deusmauka96264 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@jumajembe35704 жыл бұрын
Hao wa vyuoni watasubiri sanaa na badoooo!!!
@shairanadam14434 жыл бұрын
Ramadhani Mzamilo 😂😂😂😂😂😂😂😂
@m.mmarckus62984 жыл бұрын
Hahahaaaaaaa,nimecheka,alafu watajigamba wana digrii nakazi wanachagua
@purryselestine40004 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂kwa kweli
@danieljefwa20714 жыл бұрын
From kenya hongera brother.keep it up
@kimkayndo4 жыл бұрын
Hongera sana Mjomba. Alhamdulilah
@catherinerobert17594 жыл бұрын
Waoooh it's amazing. Unbelievable man 🤝
@burundishallsmile1day1094 жыл бұрын
Proud of you Brother! Africa ll change na watu kama wewe! ✊🏾🇧🇮
@g-abbastechnology1818 Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@khamisshee51314 жыл бұрын
bro Millard una roho nzuri sana binaadamu kama ww wako wachache sana Allah akuzidishia AMIN mm niko kenya lkn nakuangalia sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu
@carlosndyetabula6564 жыл бұрын
Huyu kaka angepelekwa akafundisha watu vyuoni na shuleni ili nchi iwe na watu wengi wenye uwezo kama huu innovations hasa ndilo suala la dunia ya leo
@marysdiosa8764 Жыл бұрын
wewe ndo umeongea point
@samludo5435 Жыл бұрын
@@marysdiosa8764 akat wenzenu wanataka wafundshwe na maprofesa wasioweza kutengeneza ata pin
@askahanyona15904 жыл бұрын
Utaenda far aisee!hongera kwa ubunifu na Mungu akuzidishie hekma.I enjoyed watching this video n learnt alot.
@imagepower36414 жыл бұрын
tanesco mnasubiri nini mpeni sapoti mzalendo huyu
@saeedmugandja41874 жыл бұрын
Good idea
@othumanmaulid74064 жыл бұрын
Wampe sapoti gani. Wata mhalibiatu wabongo siunawajua
@alexandrinadomaino98684 жыл бұрын
Aaah kwa Tanzania watu walivyo na roho mbaya wanaweza kumuua aisee
@slowclimbertothetop45724 жыл бұрын
Serikali itakuja kumdai huyu...
@dianaketo26764 жыл бұрын
Very very bright! Hapo kuna watu roho zinawafurukuta kutaka kumvamia mkaka wa watu na maswala ya mapato.
@josephkinyanjui48264 жыл бұрын
Bro uko na Talanta Kali Sana ,may God bless you congrats.
@ngaritotv47844 жыл бұрын
Kaka hongera sana uko vizuri talented
@aisharamadhaniothumani20714 жыл бұрын
Masha Allah allah akuzidishie kipaji chako kaka angu
@tobakamota25534 жыл бұрын
Ongera Sana kaka
@sadiaabed66874 жыл бұрын
Ww usimuulize kiasi anachokipata utafanya mahasidi wamvamie kwanyumba
@m.mmarckus62984 жыл бұрын
Kabisa maana wabaya wanatega maskio tu.Mungu amlinde na mabaya yote nakumuinua zaidi
the guy is a LIVING PROVE of go hard on your dreams
@tozzaalexandar49054 жыл бұрын
Uchizi ume kamilika hahaha safii bro kaz kaz upo sahihi sanaa vyema
@madamloveness72744 жыл бұрын
wazungu ukigundua kitu wanakuendeleza ili uwe imara zaid ila bongo utazimwa kama umeme wa luku
@aggreykayoka67104 жыл бұрын
Umeona eeee watu wanaishia kugundua tu
@rebethboniphace26864 жыл бұрын
Hapo hajagundua kitu hyoo elimu ipo na inajulikana dunia nzima
@jonaskabonda7414 жыл бұрын
Kwa Rais wetu wa sasa Dk.John pombe Magufuli Huyu jamaa hatazimwa ataendelezwa
@askahanyona15904 жыл бұрын
@Ali Ali bidhaa zako herbal?Kenya naweza pataje nizijaribu
@azharmamyummyazhar47154 жыл бұрын
yaaaan hurumaaa
@dn.n49834 жыл бұрын
Umefuhisha sana uchizi umekamilika no yako ngapi nikiwezeshe mkombozi wa vijana ndio tanzania viwanda vijana tufanye kazi vizuri baadaye utajiri utakamilika ndio watakushangia sana weka no yako
@geminassenga53034 жыл бұрын
Big up San kk
@festoottosimkwayi55974 жыл бұрын
Very good. May God bless the guy.
@joshuasamson41744 жыл бұрын
rais wetu mpemdwa nampenda sana rais John pembe magufuli amekusikia atakupa msaada mungu ibarki tanzania mungu mbariki rais wetu kwa jina la yesu
@kimutattoo40674 жыл бұрын
Congratulations and Cerebrations to you brother 100%
@blackwarrior-animations5934 жыл бұрын
Kama Umeiona Drone imekatiza kwa nyuma Gonga like :-D
@BARAKABLESSING4 жыл бұрын
10:47
@gemasablo33414 жыл бұрын
Hongera baba
@ismailmohamedhamed81824 жыл бұрын
Nimeiona 😂😂😂
@hamisilaizer90944 жыл бұрын
peleka elimu yako uko
@smtv5174 жыл бұрын
Phantom 4 pro kama sijakosea
@saumuhassan63654 жыл бұрын
Mashallah hongera sana Brother, uyu ndio aina ya mume ninaemuhitaji, anajituma sana, nimependa sana jitihada zako bro, Allah akusimamie katika kazi zako na akutimizie ndoto zako kila cku zijazo 🙏
@drukundo42764 жыл бұрын
Brother from USA keep it up men thats great job ....Africans we need to own our things
@Smartboy-wt1es4 жыл бұрын
Hv hao walo dislike ni wa2 kweli au mizim? Kweli kuna mijitu ina roho mbaya kupitiliza!!
@sospetermathias42534 жыл бұрын
Jamaa uongo mbaya kunawatu hawajui maana ya like na dislike wanabonyezatu ilimladi liende
@MrKadaboy14 жыл бұрын
Walio dislike hii video ni wapumbavu tu
@bahatibunzali154 жыл бұрын
Hawajui wanaona yote sawa
@Mbugokilonda4 жыл бұрын
Hii ndiyo Turiani ya vipaji njooni mjionee vipaji vipo vingi tu halafu watu hawajaenda sikuli (School) saloot kwako Mtu wangu jilani yangu, pongezi sana Faroock
@maryamabdullah9169 Жыл бұрын
Mashaaallah hongera sana Farouk Allah Akulinde na Mabaya na Akuzidishie kipato zaidi
@cyrusmuchiri68344 жыл бұрын
Huyu mjasiriamali ana juhudi sana. Kiwango cha ubunifu wake ni cha hali ya juu. Ingelikuwa mimi nisingewaendea hao wafadhali wote na taasisi zote zile, si eti kwamba niko na hela mbali ningekuwa nishachoshwa nao. Hongera!!
@oscarezekiel18264 жыл бұрын
Nabkubwa Wacha wakuone chizi lkn sisi tunakuona Genius
@jonaskabonda7414 жыл бұрын
Kweli kabisa Huyu ni Genius
@jordanmpande53494 жыл бұрын
Bonge kipaji
@adamidrisa92324 жыл бұрын
Kweli aisee huyu ni genius
@victorrobert17014 жыл бұрын
Oyo tv bando langu mmelitendea haki
@AliJabir-xi4em4 жыл бұрын
Ww jamaa Mungu akujaalie sana naona nia njema kbs Kwa vijana wenzio Mungu akupe zaidi
@midundotechtz68434 жыл бұрын
Daah kitambo sana nimeishi mitaa hiyo thanks sana milard
@YusufAli-ib6xu4 жыл бұрын
Rais magufuli huyo mwingine mtaalamu ambae hajapata support yoyote
@richardmnkande11304 жыл бұрын
Hii akili ikitumika vizuri italeta ukombozi Mkubwa sana kwenye jamii ya watu wa tuliani, Serikali inahaja ya kufikiria kuhusu MTU Kwa Mkubwa wote unaostahili
@mwanajumaomahundumla65044 жыл бұрын
Mashallah hongera sana
@kibeginiblue71883 жыл бұрын
Knowledgeable ♥️🇹🇿🙏
@bosspeter62594 жыл бұрын
kaka Mungu awe nawe hii nikipawa toka kwa Mungu sio lasima university kwa Mungu akuongesee ujusi sana na sana
@fadhilplatnumz62094 жыл бұрын
Gd- sanaa" Jamani huyujamaa sio Chizi ila nimtafutaji na anaidia kubwa Og Mkalii
@emmanuelmwakipesile51494 жыл бұрын
Nikweli ukishakua na mawazo tofauti na jamii inayokuzunguka basi watu wanakuchukulia tofauti
@darweshk73424 жыл бұрын
very talented bro highly appreciated Kaka uko vizur
@stellahmosha95174 жыл бұрын
Wanachuo wanaosubiri 2021 ili waajiriwee gonga like situnasonga na maubunifuu tuu, hongera kaka tena sana zaid na zaid
@stellahmosha95174 жыл бұрын
2026 wanasubiri waajiriwe
@silvasiame98614 жыл бұрын
If you've a strong intellect, no need of university intelligence( where human being have turned into intelligent robots,they feed with you informations,materials of no Use). Super Brother, good work
@solomonikanichi62854 жыл бұрын
Solomon kanichi Uyo jamaa ni darasa lasaba je nyie mnao soma vyuo vikuu hassa vya umeme mnawezs
@alexchungu95054 жыл бұрын
Hawa ndio wanafaa kuwa ma engineer..
@solobenny62914 жыл бұрын
huyu ni talented ila hawez kuwa engineer, engineering inanzia kwenye paper ndo field lakin wabalikiwa wanaanzia field, kuna utufauti mkubwa sana na failure ni nyingi mno hata yy amekili kuwa kaangaika sana mpaka hapo alipo fika, lkn angekuwa n ujuz wa kihandisi asingesota kama alivyosota. All in all ni hongera kwake asikate tamaa atafikia malengo
@alexchungu95054 жыл бұрын
SOLO BENNY , colonia legacy ni mbaya sana.. imekuja kuharibu kila , hasa kwenye mifumo ya elimu..
@asteriambwei33494 жыл бұрын
Hivi Magu rais hujamwona Huyu jamaa anafaa kuendelezwa ana ubunifu wa aina nyingi sana ni kichwa angepewa sapoti aisee
@shadrackmutokaa37423 жыл бұрын
Mm n mkenya.. Napajua hapa... Nimeona mwenyewe katika ziara zangu mandizini turiani... Hongera mhesh.
@musapaul28304 жыл бұрын
Nimeshindwa hata kusema hongera nikihisi haitoshi kwa Mr. Hassan F. Maana ubunifu huu mpaka sasa Mimi najiona zero kabisa. Ila cha Msingi Mungu ambariki sana MTU Huyu na ikiwezekana aweze kuanza kuibua vijana wengine ili kuwa na wabunifu wengi zaidi nchini.
@johariabdalla33194 жыл бұрын
Hongera Millard Ayo,kwa hakika kiasi uwe juu..Na mungu akujaalize uzidi kuwa juu na ufanikiwe kwa kila jitihada,kwa hakika unajitahid juu ya kazi yako na unaitendea haki itakiwavyo,uko juu kikazi,kuongea,kuhoji na kufwatilia kila habari au jambo,big up sana na mungu azidi kukuongoza na mafanikio zaidii
@josephatchristopher96864 жыл бұрын
Safi Sana mtanzania
@costantinejovine60264 жыл бұрын
💯💯💯💯 Bro Big Up
@joachimlevi72024 жыл бұрын
Aise kumbe Tz tuna vichwa vinavyofikiria!!! Hongera Farough kwa kazi nzuri. Enyi viongozi mlio na nafasi mwangalieni mbunifu huyu kwa jicho la pekee
@hannansdeliciousfood4261 Жыл бұрын
Bismillah maashaaAllah Farouk...Allah azid kukuongoza njia....hakika si kwa uwezo wako tuu bali Allah kachangia pakubwa...hongera sana
@kenybenjiz78504 жыл бұрын
Mambo yapo mazuri mengi yanafanyika Ila watu Hawaoni zaidi ya kutawaliwa na mambo ya uwya, mambo ya bongo movie Blh Blh
@parma7864 жыл бұрын
Brother hongera sana juhudi safi very good, Lakin hapo kama mto uta over floor yani maji mengi kupita kiasi chake je mitambo yako ipo imara kwa hilo Au ni vipi unadhani
@isunga19644 жыл бұрын
😆😆😆😆wanaume wa Dar wachache sana mwenye mambo haya hongera kaka huku wnaangaika kuongeza nguvu za kiume tu
@mohamedgilala84234 жыл бұрын
Ha!ha! umenichekeshaa cct
@bbynai92064 жыл бұрын
Umenichekesha sama Tena nimecheka kwa mguvuno
@isunga19644 жыл бұрын
@@mohamedgilala8423 maana wahatari sana kuongeza nguvu 😆😆😆😆
@isunga19644 жыл бұрын
@@bbynai9206 😆😆😆hatari sana mpendwa wanaongeza nguvu mpaka vizazi wanagusa
@khamishassan14364 жыл бұрын
wanaume wa Dar chips kuku na mziki sio kazi za kiume kama hizi
@yohanalaiser26674 жыл бұрын
Hongera sana Faruk....hongera sana Ayo TV.....watanzania wote tujifunze mfano huu....huyu kaka ni engineer kabisa
@abrahamsingano53724 жыл бұрын
you are a wonderful guy Mr Ayo keep it up
@danielwilfred26094 жыл бұрын
Very inspiring
@alijeilani69694 жыл бұрын
Mimi naweza kukusaidia lakini ni mkenya na naishi America yawezekana niishi Tz
@denismakweba38704 жыл бұрын
Hizo hela za tuzo kalipie upate kibari😘💖 ufanye vitu bila tabu💖hongera sna kka👏👏👏👏
@fatumatandika5849 Жыл бұрын
Hongera sana mdogo wangu Farouq Hassan Khalifa Mungu anaona kazi ya mikono yako nina imani iko siku nawe utatoboa,kaza moyo.
@herimwijonge9544 жыл бұрын
Very big talent!! Tatizo tanzania vibali vingi sana (BUREAUCRACY) 🤦♂️
@bakarihatibu45874 жыл бұрын
Ni kweli aiseh,,
@hawashamasi91152 жыл бұрын
Snaaa
@OnlyRuky4 жыл бұрын
Usikubali kuwapa deep siri yako serekali haswa ya awamu hii watakumaliza nakukuzima hutoamini we jifanye kumsifia chuma😲. broo keep it up ungelikuwa ulaya ungesha kuwa siyo mwenzetu kwanza wangekusaidia kuwa kisasa na kukuza. Baada ya hii zideo utasikia ndiyo wanakutafuta km vile umeanza jn aibu kweli😩
@zphtz42184 жыл бұрын
Live long brother napendaga sana fan ya umeme RESPECT. Allah akupe long life
@MagrethMallya-we8ui4 ай бұрын
Hongera mtanzania mwenzangu. Mungu akubariki sana.
@levocatusgatu42954 жыл бұрын
Swaliiii kwa Maprofesaa wa Tz wamesha wahiii kubuni vituganiii:::;?!!!!!hongelasana mzebabaaaa yani hongelasana sana kigoma michikichi kibao lakin hakunakiwandaaa cha kukamulia maweseeeee daaaah God bless U::;;!!!!
@manonistephano46204 жыл бұрын
Hongera saaaaaana bro
@cadabra74024 жыл бұрын
Maasha allah allah akuzidishie yan bonge la idea.
@salumabdallah29904 жыл бұрын
wao wanakuona huna akili ila wewe ni genius kweli
@lornakaleveratsisaga9534 жыл бұрын
Congratulations boss.... May the good Lord see you through all your endeavours.
@gatewayjr26014 жыл бұрын
#Kazi Mzuri anaitaji support kwa anachokifanya
@leiratykisura67182 жыл бұрын
Morogoro tunavipaji na tz kwa hujumla sema hatuna viongoz wa kutushika mkono hongera sana my bro Allah akubariki sana na awabariki na wengine ili usumbufu wa tanesco imekuwa kelo sana...
@mrmhenipm4 жыл бұрын
Mpaka fedha zote hizo,,,kwa nini hao watu wa Bodi wasitumie gharama zao za kwenye bajeti?duuuu Tz bhana!
Safi sana Kaka. Hongera sana . Mwenyezi Mungu akusimamie na akuongoze.
@abasijuma50554 жыл бұрын
Kwa tuliosomea electrical engineering .......huwezi anzisha power generation bila ya kua na knowledge hata devices to implant huwezi oteshwa tu ukaziweka some skills is needed .....msipotoshe watu eti kaishia lasaba bila ya knowledge akafanya
@rashidfentu55424 жыл бұрын
Ayo tarifa zako nazikubali sn huna tarifa za kimbea kama media zingine kaz kaz zao zari diamond ndo zao big up sn
@sol-ql1kt4 жыл бұрын
Great Mind Maa Shaa Allah
@sol-ql1kt4 жыл бұрын
Quite inspiring kwakweli
@peteroriva62984 жыл бұрын
Hapana huyu jamaa nomaa sna mbunifu sana daaaah wampe sapot