MTANZANIA ALIEBUNI UMEME WAKE "HAUJAKATIKA MIAKA MINNE, NILIISHIA LA SABA"

  Рет қаралды 626,684

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

Пікірлер: 1 000
@depsmilindi8424
@depsmilindi8424 4 жыл бұрын
Watanzania nawapenda sana.... Napenda vile mnavyo ishi, na ubunifu wenu. Natamani sisi Wakongo na nyinyi watanzania tuwe inchi mbili zinazo weza kutumika pamoja myaka za usoni.... Nyinyi mnatufaa kabisa kuwa inchi jirani, hamuna mambo ya vurugu, ni maendeleo na kazi kwenda mbele... Strong 🇨🇩💪🇹🇿
@g-abbastechnology1818
@g-abbastechnology1818 Жыл бұрын
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@irenekato411
@irenekato411 4 жыл бұрын
You don't need to be a university graduate to be smart, Tz needs more people like him. So proud of him
@jonaskabonda741
@jonaskabonda741 4 жыл бұрын
Exactly
@meshacktimoth1370
@meshacktimoth1370 4 жыл бұрын
This is very good , the problem was government to support these talent people . After opening the door now people are innovative. We have to create special program to certify these people .
@eddimalon6051
@eddimalon6051 4 жыл бұрын
You need to be university and graduate to be professional, thats why when you sick you have to meet Doctor, and to get good leader. Without good education is too many problems.
@emmanuelkurwa3096
@emmanuelkurwa3096 4 жыл бұрын
Irene Kato sasa kwann umetumia Kingereza
@routhawad2150
@routhawad2150 4 жыл бұрын
Exactly
@aminamfaume4244
@aminamfaume4244 4 жыл бұрын
Tusipokupa hongera itakuwa wachawi.hongera kk ..hongera kk Allah akubariki sana
@ashreymapinda5321
@ashreymapinda5321 4 жыл бұрын
Kakaa umeowaa
@aminamfaume4244
@aminamfaume4244 4 жыл бұрын
@@ashreymapinda5321 watafuta mchumba Dada afauyo
@ashreymapinda5321
@ashreymapinda5321 4 жыл бұрын
Hapana nimeuliza tu kwani kapoteza muda na pesa nyingi kwa muda mlefu na maisha ya sasa tz hapa ndio maana nikauluza na sio kama mamtaka no 🔕 nilitaka kujua tu amina mfaume
@witomwidisi1214
@witomwidisi1214 4 жыл бұрын
Nice
@nasethmadale6251
@nasethmadale6251 4 жыл бұрын
Asante kaka natamani kujiunga na ubunifu huoo laaa mungu akubariki hata bill get alianza hivi hivi lakin amini siku moja utafika malengo yako niliwahi kusikia radioni nadhani kama sitakosea redio free kama miaka miwili au mitatu iliopita ila ahimidiwe mungu barikiwa sana @milladi ayo nashukuru hata kumwona live !!!!!!!!!! Amen
@mommary2424
@mommary2424 4 жыл бұрын
Hongera Sana na Mungu azidi kukuinua ukafanikuwe lengo lako.wabongo tumezoea kuoneanaga wivu badala ya kusaidiana,lakini ifiki hatua watu kama hawa serikali iwasaidie watafika mbali na watawasaidia wengine.siyo mzaha kabisa huyu Kaka basi tu sina uwezo ningemwezesha kazi nzuri sana bro.big up💪
@freebeguronu5948
@freebeguronu5948 4 жыл бұрын
Kijana hongera
@aby21111
@aby21111 4 жыл бұрын
This guy must be supported and tanzania must be proud of such talent .
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 4 жыл бұрын
Hongera sana Farooq Mungu akuwezeshe Zaidi,In Shaa Allah.
@aynatjoe5756
@aynatjoe5756 4 жыл бұрын
Omg Tanzania my country I love u...we got talents.. Mashaallah Farouk Allahu bariq...Hon JPM keep a eye on this talents...
@abdulaziz703
@abdulaziz703 4 жыл бұрын
Maa Sha Allah, huyu jamaa ni genius. Watu wa namna hii ni vyema sana kuwaweka karibu na watoto/vijana wetu ili wapate kujifunza kutoka kwake.
@miriamabinery5695
@miriamabinery5695 4 жыл бұрын
Safi sana ,Mungu akurinde ili wazimishaji wa vipaji wasindwe kabisa
@OnlyRuky
@OnlyRuky 4 жыл бұрын
Wawooo video ipo ki professional haswaaaa 💯💯💯💯✋Millard utabaki kileleni
@maarifahub5066
@maarifahub5066 4 жыл бұрын
Ayo Tv endeleeni kutambulisha vipaji nchini
@gracesimba9571
@gracesimba9571 4 жыл бұрын
Kijanampambanaji apewesaport yakutosha iliafikembalizaidi
@d.a.t3383
@d.a.t3383 4 жыл бұрын
Ayo TV Specialize in Articles of development and Encouragement to young ones ACHANA NA HAO VITEGA UCHUMI VYA KIMALAYA
@mayaally2512
@mayaally2512 4 жыл бұрын
wana habari hizi ndio habari za kutuonyesha sio za mastaa wa kibongo na wanasiasa tu
@kelvinkamnde3363
@kelvinkamnde3363 4 жыл бұрын
Ningeweza ku like comment yako zaidi ya mara moja ninge like million times.
@melangongo2829
@melangongo2829 4 жыл бұрын
Kweli kabisaaaaa
@victorernest7702
@victorernest7702 4 жыл бұрын
Maya Ally so habar za musiba sipirian cjui mwanaharakat hur
@pascalmsechu6874
@pascalmsechu6874 4 жыл бұрын
Kabisa kaka
@kalelaonlinetv
@kalelaonlinetv 4 жыл бұрын
ماشاءاللہ
@keagleeagle821
@keagleeagle821 4 жыл бұрын
Hapa kutaingia mambo ya enviromental impact assessment. Na mambo mengine mengine Huyu ana akili kubwa sana. Ataendelea sana
@hatibuathumani7059
@hatibuathumani7059 4 жыл бұрын
Safi sana
@rajabngunga9530
@rajabngunga9530 4 жыл бұрын
Hongera kk kwa ubunifu allah atakufikisha unapo taka kama una mkubali huyu jamaa weka like yako hap
@pettermollel2531
@pettermollel2531 4 жыл бұрын
Hongera kaka .. ni ubunifu nzurii .... Nimetamani niwe karibu na mkoa wako ningekuja unipe huo ujuzi na me nitengeneze umeme wangu ....
@worldlyricssongs6141
@worldlyricssongs6141 4 жыл бұрын
Jamaniii Mungu anakusudi jamaniii...darasa la saba bila chuo anafanya mambo makubwa kama haya. Iv angesoma c Angekua genius 🙄😘😘 hongera brother
@ahluljazira2259
@ahluljazira2259 4 жыл бұрын
C kila MTU ana akili ya darasani wengine vipaji Tu vinatosha
@thelalas9204
@thelalas9204 4 жыл бұрын
Angesoma angeajiriwa kwisha
@shukuranikibona5893
@shukuranikibona5893 4 жыл бұрын
Angesoma sana asingefAnya hayo akili Yake ingedorola kwa kusubiri ajira tuu..!
@akutiboysolomon9418
@akutiboysolomon9418 4 жыл бұрын
Angesoma asingeweza kufanya hivyo kwani ingemlazimu kufuata na kukariri anachofundishwa kwa lugha ya kikoloni ambayo haieleweki , asingefuata ubunifu wake na ukitaka kufanya vizuri shuleni ukubali kuoshwa ubongo kisha ukaririshwe mawazo ya wengine
@bakarihatibu4587
@bakarihatibu4587 4 жыл бұрын
Majibizano wa hizi comments pia, ni mafunzo tosha kwa mwenye kufuatilia na kuzingatia
@jonesmedia4120
@jonesmedia4120 4 жыл бұрын
No need of being employed to become rich but creativity is highly required
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 4 жыл бұрын
@Hugine VEVO indeed no one has ever been rich through employment means
@lizernest7852
@lizernest7852 4 жыл бұрын
Now this is the type of innovation we need in this country...
@nasrahsihaba3522
@nasrahsihaba3522 4 жыл бұрын
😀😀sisi ndo watanzania bwana bg up kaka milad kwakutuletea habari za watanzania mwenzetu wanaojituma kama hao gd job
@saidsabco5786
@saidsabco5786 4 жыл бұрын
ayo100%
@patrickmngongo6767
@patrickmngongo6767 4 жыл бұрын
Kama unamkubali huyooo jamaa kwa kipachiii gonga like
@leonardvitalisi7007
@leonardvitalisi7007 4 жыл бұрын
Shwari sana
@diananjerengo6953
@diananjerengo6953 4 жыл бұрын
Barikiwa sana
@mgambowaghetohayupo1039
@mgambowaghetohayupo1039 4 жыл бұрын
Big up my brother go on ..hope every thing will accepted pambana kaka
@nassirkhatibjuma6625
@nassirkhatibjuma6625 4 жыл бұрын
Safi bro
@missmunyao1609
@missmunyao1609 4 жыл бұрын
This man is a genius.I hope 🇹🇿 will take him seriously.
@YusufAli-ib6xu
@YusufAli-ib6xu 4 жыл бұрын
Millard ayo May god bless you always you are great 👍🏻
@bressfabians4537
@bressfabians4537 4 жыл бұрын
ETI NA WEWE MWANA CHUO UNALINGA UNA DEGREE. 😂😃😄😅😂😁😀
@florarwegasila9484
@florarwegasila9484 4 жыл бұрын
Ulitaka tulinge tuna nn?
@japhetelius712
@japhetelius712 4 жыл бұрын
Flora Rwegasila we nae vp wamekutaja jina ulieshindw kubun ata mende 😂😂😂
@raphaellyfrank4932
@raphaellyfrank4932 4 жыл бұрын
Haaaa😂😂😂😂 kumbe hata elimu ilikuepo zamani2 ko high level hazina maaana
@fadiajunjuwithmyfamily580
@fadiajunjuwithmyfamily580 3 жыл бұрын
@@japhetelius712 shikamoooo🤣🤣🤣🤣
@ramadhanimzamilo2077
@ramadhanimzamilo2077 4 жыл бұрын
Wana vyuo mpooooo, haya nyie hangaikeni2 na mavyeti mtakula vyet🏃🏃
@deusmauka9626
@deusmauka9626 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@jumajembe3570
@jumajembe3570 4 жыл бұрын
Hao wa vyuoni watasubiri sanaa na badoooo!!!
@shairanadam1443
@shairanadam1443 4 жыл бұрын
Ramadhani Mzamilo 😂😂😂😂😂😂😂😂
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 4 жыл бұрын
Hahahaaaaaaa,nimecheka,alafu watajigamba wana digrii nakazi wanachagua
@purryselestine4000
@purryselestine4000 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂kwa kweli
@danieljefwa2071
@danieljefwa2071 4 жыл бұрын
From kenya hongera brother.keep it up
@kimkayndo
@kimkayndo 4 жыл бұрын
Hongera sana Mjomba. Alhamdulilah
@catherinerobert1759
@catherinerobert1759 4 жыл бұрын
Waoooh it's amazing. Unbelievable man 🤝
@burundishallsmile1day109
@burundishallsmile1day109 4 жыл бұрын
Proud of you Brother! Africa ll change na watu kama wewe! ✊🏾🇧🇮
@g-abbastechnology1818
@g-abbastechnology1818 Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@khamisshee5131
@khamisshee5131 4 жыл бұрын
bro Millard una roho nzuri sana binaadamu kama ww wako wachache sana Allah akuzidishia AMIN mm niko kenya lkn nakuangalia sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu
@carlosndyetabula656
@carlosndyetabula656 4 жыл бұрын
Huyu kaka angepelekwa akafundisha watu vyuoni na shuleni ili nchi iwe na watu wengi wenye uwezo kama huu innovations hasa ndilo suala la dunia ya leo
@marysdiosa8764
@marysdiosa8764 Жыл бұрын
wewe ndo umeongea point
@samludo5435
@samludo5435 Жыл бұрын
@@marysdiosa8764 akat wenzenu wanataka wafundshwe na maprofesa wasioweza kutengeneza ata pin
@askahanyona1590
@askahanyona1590 4 жыл бұрын
Utaenda far aisee!hongera kwa ubunifu na Mungu akuzidishie hekma.I enjoyed watching this video n learnt alot.
@imagepower3641
@imagepower3641 4 жыл бұрын
tanesco mnasubiri nini mpeni sapoti mzalendo huyu
@saeedmugandja4187
@saeedmugandja4187 4 жыл бұрын
Good idea
@othumanmaulid7406
@othumanmaulid7406 4 жыл бұрын
Wampe sapoti gani. Wata mhalibiatu wabongo siunawajua
@alexandrinadomaino9868
@alexandrinadomaino9868 4 жыл бұрын
Aaah kwa Tanzania watu walivyo na roho mbaya wanaweza kumuua aisee
@slowclimbertothetop4572
@slowclimbertothetop4572 4 жыл бұрын
Serikali itakuja kumdai huyu...
@dianaketo2676
@dianaketo2676 4 жыл бұрын
Very very bright! Hapo kuna watu roho zinawafurukuta kutaka kumvamia mkaka wa watu na maswala ya mapato.
@josephkinyanjui4826
@josephkinyanjui4826 4 жыл бұрын
Bro uko na Talanta Kali Sana ,may God bless you congrats.
@ngaritotv4784
@ngaritotv4784 4 жыл бұрын
Kaka hongera sana uko vizuri talented
@aisharamadhaniothumani2071
@aisharamadhaniothumani2071 4 жыл бұрын
Masha Allah allah akuzidishie kipaji chako kaka angu
@tobakamota2553
@tobakamota2553 4 жыл бұрын
Ongera Sana kaka
@sadiaabed6687
@sadiaabed6687 4 жыл бұрын
Ww usimuulize kiasi anachokipata utafanya mahasidi wamvamie kwanyumba
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 4 жыл бұрын
Kabisa maana wabaya wanatega maskio tu.Mungu amlinde na mabaya yote nakumuinua zaidi
@janejohn1083
@janejohn1083 4 жыл бұрын
hongerakaka nikipajiulichozaliwa nayomweshimiwa Raisiwetu tunakuomba umuwezeshe kakayetu.
@mwanaidyibrahimu3207
@mwanaidyibrahimu3207 4 жыл бұрын
@@m.mmarckus6298 Ammyn in shaa Allah
@jamesphilemon5339
@jamesphilemon5339 4 жыл бұрын
Nakukubali sana milard kwa taarifs zako
@mauldinchembera5772
@mauldinchembera5772 4 жыл бұрын
the guy is a LIVING PROVE of go hard on your dreams
@tozzaalexandar4905
@tozzaalexandar4905 4 жыл бұрын
Uchizi ume kamilika hahaha safii bro kaz kaz upo sahihi sanaa vyema
@madamloveness7274
@madamloveness7274 4 жыл бұрын
wazungu ukigundua kitu wanakuendeleza ili uwe imara zaid ila bongo utazimwa kama umeme wa luku
@aggreykayoka6710
@aggreykayoka6710 4 жыл бұрын
Umeona eeee watu wanaishia kugundua tu
@rebethboniphace2686
@rebethboniphace2686 4 жыл бұрын
Hapo hajagundua kitu hyoo elimu ipo na inajulikana dunia nzima
@jonaskabonda741
@jonaskabonda741 4 жыл бұрын
Kwa Rais wetu wa sasa Dk.John pombe Magufuli Huyu jamaa hatazimwa ataendelezwa
@askahanyona1590
@askahanyona1590 4 жыл бұрын
@Ali Ali bidhaa zako herbal?Kenya naweza pataje nizijaribu
@azharmamyummyazhar4715
@azharmamyummyazhar4715 4 жыл бұрын
yaaaan hurumaaa
@dn.n4983
@dn.n4983 4 жыл бұрын
Umefuhisha sana uchizi umekamilika no yako ngapi nikiwezeshe mkombozi wa vijana ndio tanzania viwanda vijana tufanye kazi vizuri baadaye utajiri utakamilika ndio watakushangia sana weka no yako
@geminassenga5303
@geminassenga5303 4 жыл бұрын
Big up San kk
@festoottosimkwayi5597
@festoottosimkwayi5597 4 жыл бұрын
Very good. May God bless the guy.
@joshuasamson4174
@joshuasamson4174 4 жыл бұрын
rais wetu mpemdwa nampenda sana rais John pembe magufuli amekusikia atakupa msaada mungu ibarki tanzania mungu mbariki rais wetu kwa jina la yesu
@kimutattoo4067
@kimutattoo4067 4 жыл бұрын
Congratulations and Cerebrations to you brother 100%
@blackwarrior-animations593
@blackwarrior-animations593 4 жыл бұрын
Kama Umeiona Drone imekatiza kwa nyuma Gonga like :-D
@BARAKABLESSING
@BARAKABLESSING 4 жыл бұрын
10:47
@gemasablo3341
@gemasablo3341 4 жыл бұрын
Hongera baba
@ismailmohamedhamed8182
@ismailmohamedhamed8182 4 жыл бұрын
Nimeiona 😂😂😂
@hamisilaizer9094
@hamisilaizer9094 4 жыл бұрын
peleka elimu yako uko
@smtv517
@smtv517 4 жыл бұрын
Phantom 4 pro kama sijakosea
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 4 жыл бұрын
Mashallah hongera sana Brother, uyu ndio aina ya mume ninaemuhitaji, anajituma sana, nimependa sana jitihada zako bro, Allah akusimamie katika kazi zako na akutimizie ndoto zako kila cku zijazo 🙏
@drukundo4276
@drukundo4276 4 жыл бұрын
Brother from USA keep it up men thats great job ....Africans we need to own our things
@Smartboy-wt1es
@Smartboy-wt1es 4 жыл бұрын
Hv hao walo dislike ni wa2 kweli au mizim? Kweli kuna mijitu ina roho mbaya kupitiliza!!
@sospetermathias4253
@sospetermathias4253 4 жыл бұрын
Jamaa uongo mbaya kunawatu hawajui maana ya like na dislike wanabonyezatu ilimladi liende
@MrKadaboy1
@MrKadaboy1 4 жыл бұрын
Walio dislike hii video ni wapumbavu tu
@bahatibunzali15
@bahatibunzali15 4 жыл бұрын
Hawajui wanaona yote sawa
@Mbugokilonda
@Mbugokilonda 4 жыл бұрын
Hii ndiyo Turiani ya vipaji njooni mjionee vipaji vipo vingi tu halafu watu hawajaenda sikuli (School) saloot kwako Mtu wangu jilani yangu, pongezi sana Faroock
@maryamabdullah9169
@maryamabdullah9169 Жыл бұрын
Mashaaallah hongera sana Farouk Allah Akulinde na Mabaya na Akuzidishie kipato zaidi
@cyrusmuchiri6834
@cyrusmuchiri6834 4 жыл бұрын
Huyu mjasiriamali ana juhudi sana. Kiwango cha ubunifu wake ni cha hali ya juu. Ingelikuwa mimi nisingewaendea hao wafadhali wote na taasisi zote zile, si eti kwamba niko na hela mbali ningekuwa nishachoshwa nao. Hongera!!
@oscarezekiel1826
@oscarezekiel1826 4 жыл бұрын
Nabkubwa Wacha wakuone chizi lkn sisi tunakuona Genius
@jonaskabonda741
@jonaskabonda741 4 жыл бұрын
Kweli kabisa Huyu ni Genius
@jordanmpande5349
@jordanmpande5349 4 жыл бұрын
Bonge kipaji
@adamidrisa9232
@adamidrisa9232 4 жыл бұрын
Kweli aisee huyu ni genius
@victorrobert1701
@victorrobert1701 4 жыл бұрын
Oyo tv bando langu mmelitendea haki
@AliJabir-xi4em
@AliJabir-xi4em 4 жыл бұрын
Ww jamaa Mungu akujaalie sana naona nia njema kbs Kwa vijana wenzio Mungu akupe zaidi
@midundotechtz6843
@midundotechtz6843 4 жыл бұрын
Daah kitambo sana nimeishi mitaa hiyo thanks sana milard
@YusufAli-ib6xu
@YusufAli-ib6xu 4 жыл бұрын
Rais magufuli huyo mwingine mtaalamu ambae hajapata support yoyote
@richardmnkande1130
@richardmnkande1130 4 жыл бұрын
Hii akili ikitumika vizuri italeta ukombozi Mkubwa sana kwenye jamii ya watu wa tuliani, Serikali inahaja ya kufikiria kuhusu MTU Kwa Mkubwa wote unaostahili
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 4 жыл бұрын
Mashallah hongera sana
@kibeginiblue7188
@kibeginiblue7188 3 жыл бұрын
Knowledgeable ♥️🇹🇿🙏
@bosspeter6259
@bosspeter6259 4 жыл бұрын
kaka Mungu awe nawe hii nikipawa toka kwa Mungu sio lasima university kwa Mungu akuongesee ujusi sana na sana
@fadhilplatnumz6209
@fadhilplatnumz6209 4 жыл бұрын
Gd- sanaa" Jamani huyujamaa sio Chizi ila nimtafutaji na anaidia kubwa Og Mkalii
@emmanuelmwakipesile5149
@emmanuelmwakipesile5149 4 жыл бұрын
Nikweli ukishakua na mawazo tofauti na jamii inayokuzunguka basi watu wanakuchukulia tofauti
@darweshk7342
@darweshk7342 4 жыл бұрын
very talented bro highly appreciated Kaka uko vizur
@stellahmosha9517
@stellahmosha9517 4 жыл бұрын
Wanachuo wanaosubiri 2021 ili waajiriwee gonga like situnasonga na maubunifuu tuu, hongera kaka tena sana zaid na zaid
@stellahmosha9517
@stellahmosha9517 4 жыл бұрын
2026 wanasubiri waajiriwe
@silvasiame9861
@silvasiame9861 4 жыл бұрын
If you've a strong intellect, no need of university intelligence( where human being have turned into intelligent robots,they feed with you informations,materials of no Use). Super Brother, good work
@solomonikanichi6285
@solomonikanichi6285 4 жыл бұрын
Solomon kanichi Uyo jamaa ni darasa lasaba je nyie mnao soma vyuo vikuu hassa vya umeme mnawezs
@alexchungu9505
@alexchungu9505 4 жыл бұрын
Hawa ndio wanafaa kuwa ma engineer..
@solobenny6291
@solobenny6291 4 жыл бұрын
huyu ni talented ila hawez kuwa engineer, engineering inanzia kwenye paper ndo field lakin wabalikiwa wanaanzia field, kuna utufauti mkubwa sana na failure ni nyingi mno hata yy amekili kuwa kaangaika sana mpaka hapo alipo fika, lkn angekuwa n ujuz wa kihandisi asingesota kama alivyosota. All in all ni hongera kwake asikate tamaa atafikia malengo
@alexchungu9505
@alexchungu9505 4 жыл бұрын
SOLO BENNY , colonia legacy ni mbaya sana.. imekuja kuharibu kila , hasa kwenye mifumo ya elimu..
@asteriambwei3349
@asteriambwei3349 4 жыл бұрын
Hivi Magu rais hujamwona Huyu jamaa anafaa kuendelezwa ana ubunifu wa aina nyingi sana ni kichwa angepewa sapoti aisee
@shadrackmutokaa3742
@shadrackmutokaa3742 3 жыл бұрын
Mm n mkenya.. Napajua hapa... Nimeona mwenyewe katika ziara zangu mandizini turiani... Hongera mhesh.
@musapaul2830
@musapaul2830 4 жыл бұрын
Nimeshindwa hata kusema hongera nikihisi haitoshi kwa Mr. Hassan F. Maana ubunifu huu mpaka sasa Mimi najiona zero kabisa. Ila cha Msingi Mungu ambariki sana MTU Huyu na ikiwezekana aweze kuanza kuibua vijana wengine ili kuwa na wabunifu wengi zaidi nchini.
@johariabdalla3319
@johariabdalla3319 4 жыл бұрын
Hongera Millard Ayo,kwa hakika kiasi uwe juu..Na mungu akujaalize uzidi kuwa juu na ufanikiwe kwa kila jitihada,kwa hakika unajitahid juu ya kazi yako na unaitendea haki itakiwavyo,uko juu kikazi,kuongea,kuhoji na kufwatilia kila habari au jambo,big up sana na mungu azidi kukuongoza na mafanikio zaidii
@josephatchristopher9686
@josephatchristopher9686 4 жыл бұрын
Safi Sana mtanzania
@costantinejovine6026
@costantinejovine6026 4 жыл бұрын
💯💯💯💯 Bro Big Up
@joachimlevi7202
@joachimlevi7202 4 жыл бұрын
Aise kumbe Tz tuna vichwa vinavyofikiria!!! Hongera Farough kwa kazi nzuri. Enyi viongozi mlio na nafasi mwangalieni mbunifu huyu kwa jicho la pekee
@hannansdeliciousfood4261
@hannansdeliciousfood4261 Жыл бұрын
Bismillah maashaaAllah Farouk...Allah azid kukuongoza njia....hakika si kwa uwezo wako tuu bali Allah kachangia pakubwa...hongera sana
@kenybenjiz7850
@kenybenjiz7850 4 жыл бұрын
Mambo yapo mazuri mengi yanafanyika Ila watu Hawaoni zaidi ya kutawaliwa na mambo ya uwya, mambo ya bongo movie Blh Blh
@parma786
@parma786 4 жыл бұрын
Brother hongera sana juhudi safi very good, Lakin hapo kama mto uta over floor yani maji mengi kupita kiasi chake je mitambo yako ipo imara kwa hilo Au ni vipi unadhani
@isunga1964
@isunga1964 4 жыл бұрын
😆😆😆😆wanaume wa Dar wachache sana mwenye mambo haya hongera kaka huku wnaangaika kuongeza nguvu za kiume tu
@mohamedgilala8423
@mohamedgilala8423 4 жыл бұрын
Ha!ha! umenichekeshaa cct
@bbynai9206
@bbynai9206 4 жыл бұрын
Umenichekesha sama Tena nimecheka kwa mguvuno
@isunga1964
@isunga1964 4 жыл бұрын
@@mohamedgilala8423 maana wahatari sana kuongeza nguvu 😆😆😆😆
@isunga1964
@isunga1964 4 жыл бұрын
@@bbynai9206 😆😆😆hatari sana mpendwa wanaongeza nguvu mpaka vizazi wanagusa
@khamishassan1436
@khamishassan1436 4 жыл бұрын
wanaume wa Dar chips kuku na mziki sio kazi za kiume kama hizi
@yohanalaiser2667
@yohanalaiser2667 4 жыл бұрын
Hongera sana Faruk....hongera sana Ayo TV.....watanzania wote tujifunze mfano huu....huyu kaka ni engineer kabisa
@abrahamsingano5372
@abrahamsingano5372 4 жыл бұрын
you are a wonderful guy Mr Ayo keep it up
@danielwilfred2609
@danielwilfred2609 4 жыл бұрын
Very inspiring
@alijeilani6969
@alijeilani6969 4 жыл бұрын
Mimi naweza kukusaidia lakini ni mkenya na naishi America yawezekana niishi Tz
@denismakweba3870
@denismakweba3870 4 жыл бұрын
Hizo hela za tuzo kalipie upate kibari😘💖 ufanye vitu bila tabu💖hongera sna kka👏👏👏👏
@fatumatandika5849
@fatumatandika5849 Жыл бұрын
Hongera sana mdogo wangu Farouq Hassan Khalifa Mungu anaona kazi ya mikono yako nina imani iko siku nawe utatoboa,kaza moyo.
@herimwijonge954
@herimwijonge954 4 жыл бұрын
Very big talent!! Tatizo tanzania vibali vingi sana (BUREAUCRACY) 🤦‍♂️
@bakarihatibu4587
@bakarihatibu4587 4 жыл бұрын
Ni kweli aiseh,,
@hawashamasi9115
@hawashamasi9115 2 жыл бұрын
Snaaa
@OnlyRuky
@OnlyRuky 4 жыл бұрын
Usikubali kuwapa deep siri yako serekali haswa ya awamu hii watakumaliza nakukuzima hutoamini we jifanye kumsifia chuma😲. broo keep it up ungelikuwa ulaya ungesha kuwa siyo mwenzetu kwanza wangekusaidia kuwa kisasa na kukuza. Baada ya hii zideo utasikia ndiyo wanakutafuta km vile umeanza jn aibu kweli😩
@zphtz4218
@zphtz4218 4 жыл бұрын
Live long brother napendaga sana fan ya umeme RESPECT. Allah akupe long life
@MagrethMallya-we8ui
@MagrethMallya-we8ui 4 ай бұрын
Hongera mtanzania mwenzangu. Mungu akubariki sana.
@levocatusgatu4295
@levocatusgatu4295 4 жыл бұрын
Swaliiii kwa Maprofesaa wa Tz wamesha wahiii kubuni vituganiii:::;?!!!!!hongelasana mzebabaaaa yani hongelasana sana kigoma michikichi kibao lakin hakunakiwandaaa cha kukamulia maweseeeee daaaah God bless U::;;!!!!
@manonistephano4620
@manonistephano4620 4 жыл бұрын
Hongera saaaaaana bro
@cadabra7402
@cadabra7402 4 жыл бұрын
Maasha allah allah akuzidishie yan bonge la idea.
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 4 жыл бұрын
wao wanakuona huna akili ila wewe ni genius kweli
@lornakaleveratsisaga953
@lornakaleveratsisaga953 4 жыл бұрын
Congratulations boss.... May the good Lord see you through all your endeavours.
@gatewayjr2601
@gatewayjr2601 4 жыл бұрын
#Kazi Mzuri anaitaji support kwa anachokifanya
@leiratykisura6718
@leiratykisura6718 2 жыл бұрын
Morogoro tunavipaji na tz kwa hujumla sema hatuna viongoz wa kutushika mkono hongera sana my bro Allah akubariki sana na awabariki na wengine ili usumbufu wa tanesco imekuwa kelo sana...
@mrmhenipm
@mrmhenipm 4 жыл бұрын
Mpaka fedha zote hizo,,,kwa nini hao watu wa Bodi wasitumie gharama zao za kwenye bajeti?duuuu Tz bhana!
@hilaliuxalex3168
@hilaliuxalex3168 4 жыл бұрын
Ayo tv for my bandle
@robertstivin8940
@robertstivin8940 4 жыл бұрын
Mtuhuu apo fresh anahakili nzuri saana wanao takiwa nikama hao ichin
@fabiankilato6649
@fabiankilato6649 4 жыл бұрын
Safi sana Kaka. Hongera sana . Mwenyezi Mungu akusimamie na akuongoze.
@abasijuma5055
@abasijuma5055 4 жыл бұрын
Kwa tuliosomea electrical engineering .......huwezi anzisha power generation bila ya kua na knowledge hata devices to implant huwezi oteshwa tu ukaziweka some skills is needed .....msipotoshe watu eti kaishia lasaba bila ya knowledge akafanya
@rashidfentu5542
@rashidfentu5542 4 жыл бұрын
Ayo tarifa zako nazikubali sn huna tarifa za kimbea kama media zingine kaz kaz zao zari diamond ndo zao big up sn
@sol-ql1kt
@sol-ql1kt 4 жыл бұрын
Great Mind Maa Shaa Allah
@sol-ql1kt
@sol-ql1kt 4 жыл бұрын
Quite inspiring kwakweli
@peteroriva6298
@peteroriva6298 4 жыл бұрын
Hapana huyu jamaa nomaa sna mbunifu sana daaaah wampe sapot
@hadijapazia684
@hadijapazia684 4 жыл бұрын
Utaambiwa ulipe kodi sasa iv.
@na0m1fes51
@na0m1fes51 4 жыл бұрын
HADIJA PAZIA 😂😂😂
@abumoyo840
@abumoyo840 4 жыл бұрын
welldone my brother
3M❤️ #thankyou #shorts
00:16
ウエスP -Mr Uekusa- Wes-P
Рет қаралды 8 МЛН
Increíble final 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 112 МЛН
I wish I could change THIS fast! 🤣
00:33
America's Got Talent
Рет қаралды 93 МЛН
BIASHARA YA FAMILIA: MKURUGENZI KIJANA KIWANDA CHA JAMBO ASIMULIA
12:30
3M❤️ #thankyou #shorts
00:16
ウエスP -Mr Uekusa- Wes-P
Рет қаралды 8 МЛН