BARAKA DA PRINCE AWAUMBUA VIBAYA DIAMOND NA ALIKIBA/ NYIMBO ZAO SIO ZA KIMATAIFA/CHRIS BROWN HAMJUI

  Рет қаралды 10,342

PMTV TANZANIA

PMTV TANZANIA

Күн бұрын

JISAJILI NA KUSHIRIKI PROMOSHENI ZA ROYAL SPORTS NA ROYAL WIN KUPITIA LINK HII 👉 pmbet.co.tz/en...
NA USHINDE ZAWADI MBALIMBALI IKIWEMO GARI AINA YA TOYOTA HARRIER NA NISSAN X-TRAIL
TAFADHALI USISAHAU KU SUBSCRIBE KZbin CHANNEL YETU NA KUBONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WAKWANZA KUPATA HABARI ZOTE AMBAZO TUTAKUWA TUKIKUSOGEZEA KARIBU
INSTAGRAM @pmtvtz
TWITTER @Pmtvtz
TIKTOK @officialpmtv

Пікірлер: 41
@FrancisMboya-qp7ed
@FrancisMboya-qp7ed 3 ай бұрын
Sema uyujamaa nilikua namkubali sanaa sema nimekuja kugundua ana makasiriko na wivu wahali ya juuu mnoo ndomana wanamfanyia ubaya maana wanajua unarohoo mbayaaaa sanaaa brother unawivu wakishamba sijawai kuona yani upo kama mdadaa brother umekosa dera tuuuu mshamba weweeee
@alevanytz3472
@alevanytz3472 2 ай бұрын
Tafta ela fara wewe😁🤣 unafikiri ukimnunia na hauna hela inakusaidia nini AMKA ULIPILALA ... nyambafu 💯
@godymastermind9534
@godymastermind9534 2 ай бұрын
Msanii International kutoka Tz ni Diamond. Baraka na wenzio bado hamjagika level za International
@shikuhata
@shikuhata 2 ай бұрын
Baraka ameshapotea bora mumbrand kidogo arudi maana ana dharau kiburi jeuri ujuaji bila kukumbuka kama ashapotea kwenye game. Na ukiona mtu anazungumzia mabaya tu ya wenzake jua anaona wamemzid
@swahilifashion2206
@swahilifashion2206 2 ай бұрын
Kulikua na haja gani ya kuepo neno ALIKIBA kwenye taarifa,
@DoorclassStarmoney-je2cl
@DoorclassStarmoney-je2cl 2 ай бұрын
Asa kama Wizzy akija unaimba nyimbo yake Wizzy ni msanii wawapi acha ushamba manigar angu
@mrsinia3064
@mrsinia3064 2 ай бұрын
Barack mi nakukubari sana mwanang toka enzi zile unatoa magoma makali makali kama Nisamehe ukiwa na mfalume king kiba, pamoja na Siwezi kusema kwer ulitisha sana mwanang fanya urudi tena aisee 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@DM_15
@DM_15 2 ай бұрын
Kumbe ana ngoma mpya
@ContentRocketShip-vj4dg
@ContentRocketShip-vj4dg 2 ай бұрын
Hujamaa mjinga anawivu tena mshamba hajijui ndio maana hajafika popote
@AlliyBaraka
@AlliyBaraka 3 ай бұрын
Barakah we niwajina wangu lakini kwa sasa hauna lolote Una bebwa tuh we hata watu wamkoani hawakujui umeishiwa bro hauna lolote mondi na kiba ndio dunia ya kila msanii
@zedyabdulrwabilingo9042
@zedyabdulrwabilingo9042 2 ай бұрын
Safi sana Baraka kwa kuongea ukweli.
@kamole3
@kamole3 3 ай бұрын
3:06 3:15 whaaat! Ama kweli elimu ni ufungua wa maisha.
@VitusEmmanuel-pe3yi
@VitusEmmanuel-pe3yi 3 ай бұрын
Nakubal
@DanielPodence-n1x
@DanielPodence-n1x 2 ай бұрын
Uyu alisha😂😂 but nampenda sana
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 3 ай бұрын
KUHUSU CHRIS BROWN KUCHEZA NYIMBO YA DIAMOND NI PROMO NDUGU MUIMBAJI MKUBWA KAMA YULE AKUCHEZEE NYIMBO YAKO NI KWAMBA ANAKUFUATILIA.
@shannarsaidSwahili
@shannarsaidSwahili 2 ай бұрын
Huyu jamaa wivu utamuua vibaya
@AlexGwambie-xr2hm
@AlexGwambie-xr2hm 3 ай бұрын
Ukweli mtupu Kaka
@amedeusfredrick1614
@amedeusfredrick1614 3 ай бұрын
Huyu jamaa akili mingi sema kumuelewa unahitaji akili mingi pia
@nassorsuleiman9155
@nassorsuleiman9155 2 ай бұрын
Hkn lolote choko tuu hilo kumuelewa labda na ww uwe choko
@SelestineDanielKisabo-bk6hi
@SelestineDanielKisabo-bk6hi 3 ай бұрын
Uongo diamond yupo ukishindwa pekee yako usiseme hawapo comasava Hadi warabu wanacheza mambere kabisa pambana nawewe uwaimbishe wanigeria kiswahili
@betrackjasson6698
@betrackjasson6698 3 ай бұрын
Uyu msanii atakuwa anatoa mbwa bandani
@joesplatnumz
@joesplatnumz 3 ай бұрын
Ukweli mtupuu prince
@HalimaAmani-j7v
@HalimaAmani-j7v Ай бұрын
Mtangazaji ujitambui
@wasafihabaritv2571
@wasafihabaritv2571 2 ай бұрын
Nilisikia huyu jamaa anafanya ushoga mwanza
@JovinPeter
@JovinPeter 2 ай бұрын
Hapa niwapi?
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 2 ай бұрын
Wataaram mjani hautafunwi kweli hapa😁😁😁
@AlliyBaraka
@AlliyBaraka 3 ай бұрын
Hata kkusikiza ww ni ufala tuh kanyoe kipara akili irudi boya ww
@JamesMoses-jd1yq
@JamesMoses-jd1yq 2 ай бұрын
Wabongo wanachukia mkweli 😂😂😂
@raxensa4083
@raxensa4083 2 ай бұрын
Iyo ndo fashion😂
@official_dicksonmunga
@official_dicksonmunga 2 ай бұрын
Punguza chuki
@R10_Rajab
@R10_Rajab 3 ай бұрын
Muwandishi kuwa makini na masuali yako atakususia intaview huyo shauri yako
@edwinoduor2421
@edwinoduor2421 3 ай бұрын
Jama alishapotea aibu kwako
@ezrakiduko6135
@ezrakiduko6135 2 ай бұрын
Kama unauujua mziki huyu jamaaa anaongea ukweli
@KingSailor-ic8iz
@KingSailor-ic8iz 3 ай бұрын
Kaishiwa huyo anatafuta kiki muka mbichi
@hamisijumanne4137
@hamisijumanne4137 3 ай бұрын
Afu nanyie wanahabali mnakuaga wajinga sana sasa uyo baraka anajielewa kweli
@mbanjenyambega2525
@mbanjenyambega2525 3 ай бұрын
Kumbe uyu jamaa anatatizo la akili
@yusuphathuman8377
@yusuphathuman8377 2 ай бұрын
Unaswaga bobu
@mohammedhassan4588
@mohammedhassan4588 3 ай бұрын
Sasa tutakuona vp ww mweusi na waenda vaa nyeusi
@ISSASHABANI-sw7lx
@ISSASHABANI-sw7lx 3 ай бұрын
Huwo ndio ukweli kwamba TANZANIA hakuna msanii ambae ka take over wanijidanganya tu wangese hao
@DM_15
@DM_15 2 ай бұрын
Kumbe ana ngoma mpya
РОДИТЕЛИ НА ШКОЛЬНОМ ПРАЗДНИКЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 4 МЛН
DID A VAMPIRE BECOME A DOG FOR A HUMAN? 😳😳😳
00:56
Smart Sigma Kid #funny #sigma
00:14
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 12 МЛН
BAVUZE UBURYO  ABANA BAHINDUWE IGISHORO KUBWINYUNGU ZABA BYEYI
43:13
РОДИТЕЛИ НА ШКОЛЬНОМ ПРАЗДНИКЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 4 МЛН