No video

BARAKA ZANGU ZILIVYOFUNGUKA BAADA YA INTERVIEW HAPA|MUNGU KAMLETA MAMA YANGU KWENYE MAISHA YANGU

  Рет қаралды 22,451

Official Dating Assistance

Official Dating Assistance

Күн бұрын

Пікірлер: 175
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Ай бұрын
kzbin.infoeAK_nhSHqQA?si=67dyP2OiC9zWp2Nf Link ya video ya kwanza kzbin.infoMkjaVOyGynA?si=avHGUZlDYy8kzjx8 Link ya video ya pili
@vivianmahoo8611
@vivianmahoo8611 Ай бұрын
Huyo mama angemfanyia mpango huyu dada na mtoto waende, huyu baba baada ya mwaka angekua vizuri sana,
@faustinaurio3703
@faustinaurio3703 Ай бұрын
Huyo ajuza hataki family ya kijana yake😮
@Byme6434
@Byme6434 Ай бұрын
Nahisi Shida Ipo Kwa Mama
@brendajulius2995
@brendajulius2995 Ай бұрын
Weeee hatimaye kuti kapatikana jamani nimefurahi sana mana alijua kutusikitisha😢😢
@user-xl5mq5ug2j
@user-xl5mq5ug2j Ай бұрын
God is always good aisee part 1 nililia lkn jmn kweli mungu hamsahau aliye mlilia hajawai kachwa ❤❤❤..Glory to God
@HelenaEdward-qm9wx
@HelenaEdward-qm9wx Ай бұрын
MUNGU Akutunze Zaidi Dear Shena Interview zako zina Mafundisho mazuri Sana ❤❤
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Ай бұрын
🙏🙏
@ladymacollection
@ladymacollection Ай бұрын
Saaana shena anasaidia mie kaniponya mno uyu dada Mungu ampe maisha marefu
@mariamahmad8261
@mariamahmad8261 Ай бұрын
Mashaa Allah nimefurahi kumuona tena jaameni nilikuwa na muwazia Sana na kumuombea duwaa na shukuru Allah ameirejesha furaha yake Allah Kareem
@doriskiwale9309
@doriskiwale9309 Ай бұрын
Natafuta intaview yake ya kwanza siiyoni jaman .Hakika Mungu ni mwema
@Lucy_ikupa
@Lucy_ikupa Ай бұрын
Shena hongera mwaya kwa kuwa sehemu ya maisha ya huyu dada
@candidadilemile5882
@candidadilemile5882 Ай бұрын
Wow ! Maombi yaendelee ili aimalike zaidi huyo ana mapenzi na upendo wa dhati ipo siku mtaishi pamoja mmlee mtoto wenu don't give up Mungu yupo na anatenda
@winfridahaule4364
@winfridahaule4364 Ай бұрын
Nimekupenda dada Mungu akupigania huyo kaka ni wako ni swala la muda tu
@jacqueisaac8155
@jacqueisaac8155 Ай бұрын
Jamani jamani. Aise Mungu yupo jaman and true love never dies. Am happy for her
@AsiaAsia-sv6ok
@AsiaAsia-sv6ok Ай бұрын
Ooh Chendwa Wang nimefurai sana kukuona adi machozi yamenitoka MUNGU ni mwema sana ipo siku utaenda kuishi na baba mtoto wako in Sha Allah
@user-wu1bl6kl6t
@user-wu1bl6kl6t Ай бұрын
Mbona nalia machozi ya furaha nikikumbuka huyu dada alivyokuwa 1st interview wacha Mungu abaki kuwa Mungu
@SuzanneMyles
@SuzanneMyles Ай бұрын
aww for really nimelia machozi ya furaha 😢🙌😒😭😭KWELI MUNGU YUPO GUYS😢❤sis shena your more than a shoulder to cry and learn on 😢❤always proud to know you May God keep you for us ❤❤❤
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt Ай бұрын
Dada uko vzr mwenyezi mungu akutie nguvu subira na uvumilivu
@upendogreutert199
@upendogreutert199 Ай бұрын
But what I’ve learned from this story Fridge zetu zisiwedondoshe Barafu to everyone and Pia kumtegemea Mungu mana katika kila jaribu kuna Mlango Mwingine wa Kutokea
@debbiethomas9825
@debbiethomas9825 Ай бұрын
Mlioko huku Ulaya mnajua huyu Baba anapitia hali gani... Angekaa na mkewe miezi 6 tuu angebadilika sana... Mama yake anazidi kumtia ugonjwa... Kila saa ni kelele na hamsaidii kwa mazoezi wala nn.... Wamama wa huku ni wachache sana wenye upendo wakuwapigania watoto wao.... Wengi ni kelele na kukuona huna faida tena... But huyu Angekaa na Mama mtoto wake angepona mapema sana..... 😢
@Upendo6405
@Upendo6405 Ай бұрын
Mungu ashukuliwe chendwa usiache maombi mungu yupo
@zayumar2955
@zayumar2955 Ай бұрын
Daah ila vibibi vya kizungu na vya kiarabu sijui hua vipoje jmniiiiiiiiii 😅😅😅🙌🙌ila Chendwa ana moyo wa pekee sana Mungu akubariki kwakweli Yan una mapenzi ya dhati ww dada sijapata kuona nakupenda dada Mungu awe nawe ktk kila hatua upigayo ❤❤❤
@mayatione6
@mayatione6 Ай бұрын
mwenyezi mungu mkwabwa uyu dada nlikua nafatilia historia yake am happy naamini kwa uwezo wa Allah ataungana na mumewake na mtoto wao na wataishinkwa pamoja .kikibwa usiwahi kukata tamaa kwa umtu unaempenda hata itokee changamoto gani muamini mwenyezi mungu na amini kua mda sahihi u akuja zidi kusali na kuomba mungu
@esthermachangu4970
@esthermachangu4970 Ай бұрын
yaani huyu mama angeataka maisha ya mwanae yabadilike angeruhusu huyu dada akaenda kumuhudumia kutti yaani angeacha ubishi tu
@mariambakari8065
@mariambakari8065 Ай бұрын
Jamani huyu dada mungu kasikia maombi yako hakika usiahe kuiomba
@happynesskampando9425
@happynesskampando9425 Ай бұрын
Pole Kendwa usichoke kuomba .Mungu atazidi kukusimamia .
@Upendo6405
@Upendo6405 Ай бұрын
Kwasasa amani ipo mungu ashukuliwe and dada yetu shena ubalikiwe sana unatusaidia umeletwa duniani na mungu kwamakusudi usituchoke amen
@user-iv4zj7ii4t
@user-iv4zj7ii4t Ай бұрын
Shena mungu akubariki kwa ushauri wako kwa watu wengi hasa huyo dada alikutana na watu kutia wewe, mungu azidi kukuinua maana unamsaada kwa watu wengi
@nataliaemanuely4046
@nataliaemanuely4046 Ай бұрын
Glory to God , Mungu amutupi mja wake…
@user-wc6wq7rm7x
@user-wc6wq7rm7x Ай бұрын
Dah'!! Mungu alijionesha.mpk nimelia,nimemuona,namsifu sana huyo Binti,pia mamake kushikamana,naye Kwa Kila hatua.dah.Mungu atasimama juu yenu Hongera sana
@Its_Goodluck
@Its_Goodluck Ай бұрын
aisee pole sana Shendwa na mungu akufanyie wepesi katika mambo yako licha ya changamoto kubwa zinazokukabili
@rukiyajama3492
@rukiyajama3492 Ай бұрын
Pole.sana dada
@fridamollel1568
@fridamollel1568 Ай бұрын
Mungu akubariki sana wewe dada, unampenda Mungu na yeye amekuonyesha upendo mkubwa sana.
@maryswaibu2218
@maryswaibu2218 Ай бұрын
Mama huyu kuting anachangia kumuua mwanae mapema raiti angemruhusu huyu dada kuwa pamoja na mmewe angepona na maisha yangeebdelea
@nashnene6326
@nashnene6326 Ай бұрын
Unafanya vizuri sana Shena. Pia naomba link ya interview ya yule kijana alienda US kwa kupitia Brazil
@fridamollel1568
@fridamollel1568 Ай бұрын
Ooh Hallelujah endelea na maombi mpendwa usiache Mungu anaishi.😊
@sarafinasangajenga1378
@sarafinasangajenga1378 Ай бұрын
Harafu mtt wake angeishi maisha malefu kuishi na huyu Dada da hongera sana mrembo
@lovely10emoji49
@lovely10emoji49 Ай бұрын
Masha Allah ame change sana nimefurahi sana kumuona tena Mungu azidi kumsimamia Inshaa Allah
@zainabkazige7388
@zainabkazige7388 Ай бұрын
Yani huyo mama wa Kuti angejali furaha ya mtoto wake kama kweli anampenda, angewachukua Chendwa na mtoto wake ili wakaishi huko Austria pamoja. I hope one day Chendwa ataungana na mpendwa wake
@SADEE._
@SADEE._ Ай бұрын
Dada shena tunaomba utuletee mwana dada anaitwa @Amina kupila anatumia hivyo kote hapa KZbin TikTok interesting kote yeye yupo finland naye pia hua anatoa mafunzo mbali mbali ya ki maisha kwa ujumla
@rachelmgema6930
@rachelmgema6930 Ай бұрын
Kweli Mungu ni mwaminifu sana. Naamini shendwa siku moja mtaishi wote na baba wa mtoto wako.
@Juke995
@Juke995 Ай бұрын
Hongera pia pole maana bado ni safari ndefu sana ila kikubwa mtoto kakutana na baba ake na kingine Next time nenda ubalozi wa ujerumani hapo ndani kuna ubalozi wao na ni haraka zaidi haina haja ya kupiga simu sijui nchi jirani na ni rahisi hata kuelewana lugha ya mzazi wa mumeo na watu wa ubalozi wa ujeruman and maybe unaweza pata visa ya ujeruman then unaingia Austria wanaweza fanya hivyo pia kama unabahati mtoto anapatiwa sponsor kutoka Krankenkasse ya baba ake kwa 90 days na lawyer bure
@joslinchuwa1298
@joslinchuwa1298 Ай бұрын
Shena ubarikiwe sana kipenzi umekuwa baraka sana kwa maisha ya wengi. Mungu akutunze dear
@estakapufi7582
@estakapufi7582 Ай бұрын
Jamani mungu ni mwema kwakweli huyo baba kama angekaa na mke wake angepona, kwa sababu ulaya kuna stress upweke ni mwingi mno na kuumwa anatakiwa watu wakumsemesha, mama mkwe ndio anazidisha ugonjwa wa mwanae.
@ShemsaKiobya
@ShemsaKiobya Ай бұрын
Mungu nimwema Kwa kuwa mumeo anaendelea vizuri
@elizabethhonere2931
@elizabethhonere2931 Ай бұрын
Mungu amfanyie wepesi waungane kama familia jamani
@joycehagman3086
@joycehagman3086 Ай бұрын
Pole dada yo have to get Urania wa mtoto wa kwa baba yake ,Naya Tanzania , dual citizenship, German, and Tanzania, you son to learn Germany Swahili in English is going to help me future when she decide to go to school in Europe do that tomorrow thank you
@momforone7946
@momforone7946 Ай бұрын
Sio nchi zote zina duo citizen dear.
@happinessmisanga4944
@happinessmisanga4944 Ай бұрын
Mungu Ni mwema sana shena ubarikiwe sana unawagusa watu
@cleopatrahenry7541
@cleopatrahenry7541 Ай бұрын
Jamaanina mkumbuka huyu dada hatimaye Mungu ni mwema
@anetkileo2461
@anetkileo2461 Ай бұрын
Jaman nimefurahi kumuona Tena huyu dada Mungu ni mwema
@DM.2200
@DM.2200 Ай бұрын
shena naomba ulete tena ya mary mswidesh yule mama wa mapacha
@magrethmrema6401
@magrethmrema6401 29 күн бұрын
Chenda endelea kuomba kwani muomba Mungu hachoki iko siku utafanikiwa kabisa❤❤
@hajramahumba7133
@hajramahumba7133 Ай бұрын
Am happy for this sure ❤❤
@beatricemashauri5649
@beatricemashauri5649 Ай бұрын
Hasikiki!lakini all in all God is good always!
@aminakawawa5800
@aminakawawa5800 Ай бұрын
Hörgerät sasa shena hongera pia dada mungu ni mwema mashallah ❤❤❤❤
@suzanne9517
@suzanne9517 Ай бұрын
Hongera sana dada na Mungu akubariki dada Shena
@user-eb1kd4ko5x
@user-eb1kd4ko5x Ай бұрын
Shena mungu akubariki sana mungu akufungulie milango mikubwa zaidi
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty Ай бұрын
Mungu Nimwema kwakweli na huyo Binti mvumilivu
@betricemainoya4176
@betricemainoya4176 Ай бұрын
Yaani mungu siwezi mtafakari mgonjwa kapewa visa na akafika Tz na akakutana na familia yake waaa ashukuriwe mungu yote yatakuwa mazuri shetani Hana ushindi wataishi pamoja, hayo ndio maombi yangu
@anastaziamathias8861
@anastaziamathias8861 Ай бұрын
Mtu yoyote WA ulaya hapewi visa kusafiri kokote duniani visa wanakata wakishafika nchi husika
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 Ай бұрын
Da shena ulivyonitumia link ya part one mnimeangalia zote na nimeelewa..stor nzur japokuwa yakusikitisha..mungu atamsaidia
@ameeranassor1619
@ameeranassor1619 Ай бұрын
POLE sana dada, Mwenyezi Mungu akusimamie
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 Ай бұрын
Mama mkwe hapo kalenga mali. Shindwe kabisa
@gloriamwanjali9371
@gloriamwanjali9371 Ай бұрын
True love
@elizamushi-yv4iz
@elizamushi-yv4iz Ай бұрын
Mungu wa upendo,Amina mno fanikiwa sana sijui niseme nini usirudi nyuma,songambele Chendwa.Mungu atakuona ndugu wengi wa upendo
@Urembomileleofficial
@Urembomileleofficial Ай бұрын
Praise lord❤❤❤❤❤❤
@maimukanabora8751
@maimukanabora8751 Ай бұрын
Mungu awatunze Sanaa na mtoto
@gloriamwanjali9371
@gloriamwanjali9371 Ай бұрын
Sad story but God is faithful
@verynicemoshi9959
@verynicemoshi9959 Ай бұрын
Jamani uyu dada ongera kwa kumrudisha Shena na Mungu akujalie kipenzi
@peterkaale6977
@peterkaale6977 Ай бұрын
Amen Amen amen
@ilakozasembumende1975
@ilakozasembumende1975 Ай бұрын
Chendwa wetuu😢😢😢😢😢❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@allthingsafrican
@allthingsafrican Ай бұрын
Mwenyezi Mungu ni Mwema wakati wote
@ladymacollection
@ladymacollection Ай бұрын
Ongera saana shena inasaidia saana mpenzi
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Ай бұрын
Thanks beautiful 😍
@fatemamahmood5440
@fatemamahmood5440 Ай бұрын
Daaaah part 1 sijaiona
@user-rc9qm2tw2o
@user-rc9qm2tw2o Ай бұрын
Pole sana chendwa mungu akupiganie ❤ l love love you my dear friend
@jacklinenaftal7985
@jacklinenaftal7985 Ай бұрын
Kabla sijaanza ata kutizama... Nimefurahi jmn maana nilitizama sehem ya kwanza 😊❤
@user-dn6wx7dv3l
@user-dn6wx7dv3l Ай бұрын
Mungu ni mwema sana
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Ай бұрын
❤️
@olivernyange2349
@olivernyange2349 Ай бұрын
​@@OfficialDatingAssistanceshena hongera sana kichwa cha Habari story yake ya kwanza uliandikaje
@annamallya8756
@annamallya8756 Ай бұрын
Utukufu kwa Mungu🙌🙌🙌
@lucymtui8680
@lucymtui8680 Ай бұрын
Àmina Mungu yu mwema ❤
@user-go5wb2pi2i
@user-go5wb2pi2i Ай бұрын
❤shena mungu akubariki
@JulianaJackson-lz6vq
@JulianaJackson-lz6vq Ай бұрын
Chendwa nina furaha ss kusikia ulionana na kuty..mnapendana japo changamoto ni nyingi.Mungu akusaidie
@beatricejohnkomba3076
@beatricejohnkomba3076 Ай бұрын
Nilianza kufatilia kipindi chako kupitia huyu dada
@user-qs8pd7xm9j
@user-qs8pd7xm9j Ай бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki sana shena ila tuletee felista wa china jamani msukuma mwenzangu
@brendajulius2995
@brendajulius2995 Ай бұрын
Shena nimekupenda bure, unatoa msaada kwa wageni wako mwingine hapo ni contents tu apate kusaidia aah. Keep it up darling utafika mbali sana
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Ай бұрын
🙏🙏🙏
@victoriasarwat4736
@victoriasarwat4736 Ай бұрын
Mungu aendelee kumpa afya njema
@Zahara-or3cf
@Zahara-or3cf Ай бұрын
Mungu anaweza kila kitu
@clararight
@clararight Ай бұрын
Dah!❤
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Ай бұрын
🙏🙏
@mamaSarah-mc6mk
@mamaSarah-mc6mk Ай бұрын
Hatumsikii
@Byme6434
@Byme6434 Ай бұрын
Yaaaani Maisha haya Kama Move 🥹
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 Ай бұрын
Da shena ulivyonitumia link ya part one mnimeangalia zote na nimeelewa..stor nzur japokuwa yakusikitisha..mungu atamsaidia asikate tamaa..tunazidi kumuombea
@user-iz2dw8rp2i
@user-iz2dw8rp2i Ай бұрын
Wajeruman sina hamu nao...nilipitia mengi +vituko vya ndugu...+watu tuliowaajiri kunivuruga kiakil mpaka nikazika mume wangu aliyenithamin mfano wa malkia sisi waswahil baadh ni shida
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Ай бұрын
Pole sana Karibu sana kwa kipindi +4367764790884
@user-iz9ci4rs3d
@user-iz9ci4rs3d Ай бұрын
Mungu ni mwema sana
@nanguniMtaita-hz4zt
@nanguniMtaita-hz4zt Ай бұрын
Shena, huyu.dada hadithi yake ina funzo kiroho na kimwili. Mimi ninahaja ya kumuunganisha bint yangu ni mwalimu awe na mazoea na hili zoezi lako. How will I get you your phone number etc.
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 Ай бұрын
Da shena uwo ndo upendo wakwel ..uwo ndo kupendana kwenye shida na raha...ila ndugu ndo wamemsababishia matatizo..ila yataisha
@Mfundo272
@Mfundo272 Ай бұрын
Dada Naomba unitafute
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Ай бұрын
+4367764790884 tuwasiliane WhatsApp
@marrysamwel596
@marrysamwel596 Ай бұрын
Mungu ni Mwema sana 🙏🏼
@hajramahumba7133
@hajramahumba7133 Ай бұрын
Sana sana ❤️😘 tusichoke kumuomba yeye 🙏
@hajramahumba7133
@hajramahumba7133 Ай бұрын
Nasubilia interview zako nianze kuwatch me apa 😊
@user-zo3bb7gj2o
@user-zo3bb7gj2o Ай бұрын
Shena ubarikiwe saaaaaaaaaana❤
@misstumah8053
@misstumah8053 Ай бұрын
Dear tuekee link ya video yake ya kwanza please 🙏
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Ай бұрын
Naweka dear
@joycehagman3086
@joycehagman3086 Ай бұрын
Pole dada yo have to get Urania wa mtoto wa kwa baba yake ,Naya Tanzania , dual citizenship, German, and Tanzania, you son to learn Germany Swahili in English is going to help me future when she decide to go to school in Europe do that tomorrow thank , it’s not the end the road,
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt Ай бұрын
Zidi kumkabidhi mungu klaktu
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 Ай бұрын
Jamani wanawake sijui tuna roho gani Kwa kweli hiyo mama cutt atafanya mwanae azidi kupata msongo Wa mawazo ,utakuta mama anasema Mzee mwenye mvi mwanangu mwanangu ,yaani . na huu ugonjwa huenda uliletwa na mvutano Wa huyu mama kukataa mwanae amuoe huyu binti ,wajerumani hapana
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Ай бұрын
Nimeweka kwa Pin comment interview ya mwanzo Utapata kujua chanzo
@AgathaMpemba
@AgathaMpemba Ай бұрын
🙏🙏
@priscillachristiansen4331
@priscillachristiansen4331 Ай бұрын
Lakini bado aombe visa kwa ajili ya mtoto wake, mtoto wake bado ni raïa wa nchi hiyo , amake sure mtoto apate passport yake y’a Austria .. msaidie aje huko, awe karibu na baba ake.. mimi nipo Scandinavia, ingekuwa huku ningemualike she kwangu ili mtoto awe karibu na baba yake hata kwa miezi miwili.. kama mama naumia.
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Ай бұрын
Naomba tuwasiliane WhatsApp +4367764790884
@annkim2690
@annkim2690 Ай бұрын
Wachawi jamani hampendi maendeleo ya watu mlimrogea mzumgu wake
@aprilrosaliapanda4895
@aprilrosaliapanda4895 Ай бұрын
Naomba kichwa cha habari cha interview ya kwanza ya chedwa
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Ай бұрын
kzbin.infoeAK_nhSHqQA?si=67dyP2OiC9zWp2Nf
@dorothysamwel2648
@dorothysamwel2648 Ай бұрын
Endelea na maombi usiache,
@user-jh4hg2ev9s
@user-jh4hg2ev9s Ай бұрын
Anatakiwa specialist wa language awe anafanya mazoezi ya kuongea na kuandika..chendwa utafute kazi huko uende na visa ya kazi ukaishi peke yako na mume wako. Ata improve.
@Winifridainturkey
@Winifridainturkey Ай бұрын
nipo tena kwa hii story
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Ай бұрын
🥰🥰
@gloriamwanjali9371
@gloriamwanjali9371 Ай бұрын
Naanza na huyu bibi hwazi kuwa yeye bibi akifa nani atamuugiza kuti! Maana uzeeni hatoweza. High level of selfishness kwa bibi. Hii inamuumiz sana Kuti maana ana uhitajibambao mamake hawezi mpa. Pia mamake kuona utupu wake.ni bora mkewe. Atakuwa anaumia sana. Nimelia sana wakati ninaangalia. Ninamba Mungu akamtendee muujiza ambao watu hawataamini.
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 3,3 МЛН
ОБЯЗАТЕЛЬНО СОВЕРШАЙТЕ ДОБРО!❤❤❤
00:45
КТО ЛЮБИТ ГРИБЫ?? #shorts
00:24
Паша Осадчий
Рет қаралды 1,4 МЛН
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 12 МЛН
'Nilishtuka na mwili kufa ganzi nilipohukumiwa kunyongwa'
37:06
BBC News Swahili
Рет қаралды 22 М.
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 3,3 МЛН