PST TONY AVUNJA UKIMYA JUU YAKE NA NIFFER |MKE WANGU ALIKUEPO WAKATI NIKO NA NIFFER, MUNGU ANIADHIBU

  Рет қаралды 150,117

Letz Gospel

Letz Gospel

Күн бұрын

Пікірлер: 281
@sweeper9524
@sweeper9524 2 ай бұрын
Asee,,kama Hekima ni vazi..basi limekufit vizuri pastor,,hayo maneno tu uliyoyasema ni hekima ya Hali ya juu..Be blessed so much
@SelpherAkala-ue2fr
@SelpherAkala-ue2fr Ай бұрын
Mungu akuinue zaidi pst tunakupenda, kupitia kwako nasikia sauti ya Mungu.
@CharlesBett-jg5xj
@CharlesBett-jg5xj Ай бұрын
I am Victor Osborn from Nakuru-Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪napenda pastor Tony sana, ni Baba wangu wa Kiroho na sipendi umbea Mwache Baba aenese upendo wa Mungu
@GloriousMshingwe
@GloriousMshingwe 2 ай бұрын
Pastor Tonny MUNGU wetu ni mkuu sana....ipo sababu maalumu yawewe kuwepo Duniani.....ipo sababu ya wao kuzungumza juu yako kwa jinsi waonavyo......Umechaguliwa wewe ni wa kipekee sanaaa.....Acha waseme wamepewa vinywa na aliyekupa wewe kibali....MUNGU na akuwekeee mpaka kusudi lake litimieee ishi sana mtumishi ❤❤❤
@lucymsalila2436
@lucymsalila2436 2 ай бұрын
The Best Pastor of this last dispensation especially kwa vijana ❤
@GodfreyMhela
@GodfreyMhela 2 ай бұрын
YESU AMESHINDA!!! I LOVE JESUS####I LOVE PT
@salomemwamwaja1841
@salomemwamwaja1841 2 ай бұрын
Mungu alivyo wa ajabu Mungu kainyamazisha kimya kimya kabisa na iwe ivyo milele wanapenda sana kuchafua watu wa MUNGU
@JoyceJohn-dr5kl
@JoyceJohn-dr5kl 2 ай бұрын
Haupo Kwa app ndo maana
@Eshy-m9o
@Eshy-m9o 2 ай бұрын
Mungu akubariki Pastor kwa kutopoteza muda na hao wa dunia hii nimependa ulivyosolve ni hekima ya Mungu peke yake ndio iko hivyo na kupitia hii nimemwona Mungu kupitia huduma yako aliyokupa Mungu. God bless you Pastor
@neemamgowole5227
@neemamgowole5227 2 ай бұрын
We don't care pastor.. Unayonifundisha naelewa na yananisaidia that's enough maisha yako mengine ni wewe na Mungu wako.. Keep teaching us pastor wazidi kutushangaa.. From 🇬🇧
@bahatirobert1009
@bahatirobert1009 2 ай бұрын
Mtumishi naomba ongea mara nyingi kiswahili,siyo wote tunajua English,nakupenda MUNGU aendelee kukusimamia, asante
@romanilyimo
@romanilyimo Ай бұрын
Umesema kweli uzungu mwingi ata kama unata kusikia ujumbe wa neno la Mungu kupita Kwake unashindwa sio vzr kabisa anavyofanya kwa kweli.
@rhodasamwel2485
@rhodasamwel2485 Ай бұрын
Kabisa, tunampenda ila tunapata tabu sana 😂😂😂
@salomemrembo7482
@salomemrembo7482 2 ай бұрын
Washindwe katika jina la yesu. Wacha mungu Hawafunge midomo milele..mungu hawape show!!!
@ChristinaAbraham-i6u
@ChristinaAbraham-i6u 2 ай бұрын
Mungu akutie nguvu na ujasiri pastor wetu
@GraceofGodTelevision
@GraceofGodTelevision 2 ай бұрын
Pole sana Dady, najua jinsi unavyojisikia, najua maumivu hayo, neno langu kwako, Songa mbele ewe shujaa, Mungu yupo pamoja na wewe, achana na walioshindwa nenda na walioshinda.
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 2 ай бұрын
Hivi vidada vimalaya vinawaita mapastor dady😂😂
@rehemamajaliwa
@rehemamajaliwa 2 ай бұрын
​@@lulanjamd3886vinakera😐
@eliafileakyoo9972
@eliafileakyoo9972 2 ай бұрын
Hizi hekima zinapatikana kwa Yesu tu❤
@eliafileakyoo9972
@eliafileakyoo9972 2 ай бұрын
Asanteni kwa likes I've been surprised surely
@mariakabonga2
@mariakabonga2 2 ай бұрын
hapo ndipo mi najivuniaga Yesu umeshinda zaid ya uwazavyo na ujuavyo umemwaibisha shetani na huo ndio msuli wa imani barikiwa, mama tony usivunjike moyo mungu amewapa hiyo huduma lakini kumbuka kuna watu hawaifurahii, kama ilivyokuwa kwa masanja alisimama kiume na simama kumuombea mume wako na MUNGU wa mbinguni asiwaache wala kuwapungukia
@kabobajeanclaudenaftali6608
@kabobajeanclaudenaftali6608 Ай бұрын
Amen amen amen God Bless you ❤❤❤
@claraMilanzi-xe5bt
@claraMilanzi-xe5bt 2 ай бұрын
Bora umuhubir Yesu....😊 me nampenda sana Mwl. Mwakasege mambo kama hayo huwa hana mda wa kuyajibu
@HappyMwaigwisya
@HappyMwaigwisya 2 ай бұрын
Kabisa kabisa. Mwakasege anamjua Yesu
@gwamakamwasongwe8053
@gwamakamwasongwe8053 2 ай бұрын
Vita sio vyake ni vya Bwana Efeso 6
@agapemahenge7731
@agapemahenge7731 2 ай бұрын
Na sijawah ona kakutwa nayo. Nampenda sana Mwalim Meakasegr na mkewe Diana Mwakasege
@olivergwahemtse9930
@olivergwahemtse9930 2 ай бұрын
Kabisa sema kabisa. Sema tena kabisa
@anajoycejames5250
@anajoycejames5250 2 ай бұрын
Kabisa hata mm natamani pastor asijibu Kila kitu
@chrissmichaelmashouda1726
@chrissmichaelmashouda1726 Ай бұрын
God is good, hautatahayarika Sababu Mungu yu pamoja nawe...na wakristo sijui kwanni hua wanapenda kuona anguko la mchungaji yaani,... Mwl Mwakasege amesemwa sana vibaya ila Mungu amekua akimtetea na huduma yake iko strong sana, so na wewe pia utafanikiwa na utakua salama so please ikibidi acha tu hata ukaribu na huyo dada
@LucyLuciana-x5z
@LucyLuciana-x5z 2 ай бұрын
Barikiwa sana pastor......tunakupendaaa🥰🥰
@NeemaSilayo-g7f
@NeemaSilayo-g7f 2 ай бұрын
Songa mbele Mtumishi wa Mungu, mwangalie huyo aliyekuita na alichokuitia, vita IPO Kwa nafasi Mungu aliyokupa, Si wote watakukubali piga kazi Roho Mtakatifu atawashuhudia ya Mungu Yuko pamoja na wewe. Nakupenda Pastor, nakuelewa...
@helicious9402
@helicious9402 2 ай бұрын
Jesus... Tupe neno Mtumishi w Mungu
@ReginaMapunda-v5j
@ReginaMapunda-v5j 2 ай бұрын
Mungu akutetee❤❤
@MaryLaizer-zy6nm
@MaryLaizer-zy6nm 2 ай бұрын
Pole sana Mtumishi wa Mungu, Mungu akupe amani moyoni mwako na katika familia yako usimpe adui nafasi kwa sababu unafanya kazi kubwa sana kwahyo lazima adui ainue vita na siku zote mti unaopigwa mawe ni uwe wenye matunda Songa mbele achana na walimwengu
@tegemeareuben7618
@tegemeareuben7618 2 ай бұрын
I'm so proud of pastor Tony a true man of God
@leahsamwel1931
@leahsamwel1931 2 ай бұрын
Mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe...Yesu alitukanwa alipigwa mpka kuuwawa kwasababu ya kazi yake njema....the OSBORN's we moveeeeeee❤🎉
@bozeydayana4920
@bozeydayana4920 Ай бұрын
Mmmmmh mungu atuhurumie.🙏
@billionaireoswardkanyala1307
@billionaireoswardkanyala1307 2 ай бұрын
Sasa pastor we mwenyewe unaona kazi unayoifanya afu usiguswe amna itakuwa hujafanya kazi bado ukishakuwa juu lazima ujue unaangaliwa na wengi choxhote unachokifanya kitaonekana kwa ukubwa sana kwasababu uko juu so hayo yanayoendelea Mungu anajua ni saiz yako... songa mbele tu.
@felistermombo7340
@felistermombo7340 2 ай бұрын
It is well with you Pastor songa mbele
@ebenezermbena2894
@ebenezermbena2894 2 ай бұрын
GOD BLESS YOU MAN OF GOD HIZI NDIO HEKIMA ZA MBINGUNI...YAANAI NIMEFURAHI ILIVYOJIBU NAJISIKIA RAHA❤
@bettykinyami5096
@bettykinyami5096 2 ай бұрын
Kuweni na maarifa watu wa Mungu, sio mnashangilia Tu Kila kitu mwambie I Roho mtakafifu awaongoze
@MwajumaMwakijolo-b5w
@MwajumaMwakijolo-b5w 2 ай бұрын
Amen, Mungu akutangulie mtumishi wa Jehova aliyehai
@Peterstanley-p4r
@Peterstanley-p4r 2 ай бұрын
A true man of GOD..........PT
@Neema-qm9kk
@Neema-qm9kk 2 ай бұрын
Mtumishi achana na mange.ingia kwenye maombi Mungu atakutetea.mambo ya kusingiziwa huwa yapo tu kuwa mtulivu achana nayo songa mbele .
@upendommbaga7070
@upendommbaga7070 2 ай бұрын
Pastor wangu acha kabsa kumuongelea au kuongelea hilo suala maana unampa muda na ushindi... sisi tukaendelee na maombi acha MUNGU ndo atakutetea
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 2 ай бұрын
Aingie kuomba nn saa
@Neema-qm9kk
@Neema-qm9kk 2 ай бұрын
Kwani haufahamu nafasi ya maombi kwa binadamu. Maombi yanatumika ktk kila hali ,kutubu,kuomba uponyaji wa magonjwa, unapitia ktk huzuni au hali yoyote ya kukatisha tamaa ukiomba Mungu anakupa hekima, amani na kisha unavuka. Sasa unauliza maombi ya nini sasa? Unamaanisha nini
@ConstanciaShangali
@ConstanciaShangali 2 ай бұрын
Ur a Really mtoto wa MAJOR ONE💪
@eliasdaffie6436
@eliasdaffie6436 2 ай бұрын
kumbe ni mtoto wa major one
@winnieexavery3304
@winnieexavery3304 2 ай бұрын
Major 1 tena 😮😮😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳 I don’t want to believe this one!
@petrokapinga2201
@petrokapinga2201 Ай бұрын
Ingefaa Aweke siku ya ibada kingereza na Ibada kiswahili Sio kiswanglish ibada zote
@pastorheri715
@pastorheri715 2 ай бұрын
Pastor, kuna mambo ukijiambatanisha nayo tu, lazima uchafuke. Soma 1 Yohana 2:15 "usiipende dunia na mambo yaliyomo ndani yake". Pole sana
@olivergwahemtse9930
@olivergwahemtse9930 2 ай бұрын
Some thing,to advice Mr. Pastor you are a really man of God , wachana na haya mambo , keep pushing ahead. Hasantakabradeshiyata.
@EddyMwangwale
@EddyMwangwale 2 ай бұрын
Pastor tony barikiwa zaid
@zenamwaisaka
@zenamwaisaka 2 ай бұрын
Short but clear
@KatarinaKalisti
@KatarinaKalisti Ай бұрын
Kabisa lina wadhungu tu nasikia wite nooo, yeeea
@HappinessMasolwa-nm2to
@HappinessMasolwa-nm2to 2 ай бұрын
Tony tony tony pasta achana na mitandao fanya kazi y mungu
@elijahsaro6611
@elijahsaro6611 2 ай бұрын
I pray for you man of God haya ni mawimbi ya muovu
@MikeseOffice
@MikeseOffice 2 ай бұрын
Let's go sir🤝
@everychildcounts7041
@everychildcounts7041 2 ай бұрын
You are the hero man of God keep going, hata Yesu mwenyewe walimtupia mawe
@Maryc2G
@Maryc2G 2 ай бұрын
Usiwasikilize wanaotaka kukukatitisha tamaa, songa mbele na kazi ya Bwana wetu yesu christo. Atakushindia. Mimi nakushukuru kwa Maombi kutoka ktk madhabahu yako na ministry yako. Unawajibika kwa Mungu na familia yako, na watu unawahubilia . Ubarikiwe na bwana
@rachelmuhehe7789
@rachelmuhehe7789 2 ай бұрын
Mnhuh naogopa kutamka neno juu ya watumishi wa Mungu but Mungu aturehemu sana
@MtuSafi
@MtuSafi 2 ай бұрын
😂😂😂
@ElineWilson-ou8wm
@ElineWilson-ou8wm 2 ай бұрын
Mungu atadili tuu na hawo wanao mchafua mtumishi wa mungu
@DadaKuona
@DadaKuona 2 ай бұрын
Tumia kiswahili tunajua umesoma punguza swaga za kuzungumza tumia kiswahili acha ushamba
@eogratiuso5828
@eogratiuso5828 Ай бұрын
Akili kubwa uwezo mkubwa hausumbuliwi na akili ndogo za wapenda Kiki. Safi sana Mtumishi.
@naomidavid6390
@naomidavid6390 2 ай бұрын
Angekaa kimya n kumuomba Mungu wake siyo kila jambo linaloibuka mtandao ulitolee ufafanuzi ajifunze kupitia Mwamposa mbona hajibu chochote
@perpetuampita5018
@perpetuampita5018 2 ай бұрын
songa mbele kumtumikia bwana achana na mambo ya mitandaoni Pastor!
@floridasimkonda1779
@floridasimkonda1779 2 ай бұрын
Piga kazi ya Mungu pst achana na watu wa ulimwenguni hao
@neemarwamugira1168
@neemarwamugira1168 2 ай бұрын
mti wenye matunda hupigwa mawe,,ukifanya mazur usitegemee wattakusema mazur
@enocklazaro8175
@enocklazaro8175 2 ай бұрын
True identity of JESUS deciple. Yesu akisha mkubali Mtumishi wake hakuna wa kumtikisa.
@annaBenkras
@annaBenkras 2 ай бұрын
piga kaz mtumish wa Mungu
@RebeccaMalale
@RebeccaMalale 2 ай бұрын
Mungu atakupigania
@marwajuma8054
@marwajuma8054 2 ай бұрын
Ww angalia hao wasaidizi eheee
@ZawadiMadede-ft6ms
@ZawadiMadede-ft6ms 2 ай бұрын
Ifike mahala hawa wanaojiita watumishi wa Mungu waachane na mitandao bhana Wao wenyewe ndo wanajisababishia maskendo yasomaana
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 2 ай бұрын
Mtumishi tumia kiswahili zaidi may be kuna baadhi ya kondoo unawaacha njiani kwa kutoelewa neno.
@cletusbaraka2045
@cletusbaraka2045 2 ай бұрын
Mpaka akatumia kingereza anawajua kondoo wake 😂😂😂 Akuna mchungaji asiyejua kondoo wake labda jisemee wew neo huelewi tukusaidie usitumie mwamvuli wa wengine😂😂
@gotafostv7305
@gotafostv7305 2 ай бұрын
​@@cletusbaraka2045sijajua kama umetumia nini kufikiri,kwani anaporusha hapa mtandaoni ,wote wanaelewa kiingereza?? ,ingekuwa anafanya ibada kanisani kwake na harushi mtandaoni huenda ungekuwa sahihi,lakini je na hapa mtandaoni wote wanaelewa kiiingereza??
@happysakuya7394
@happysakuya7394 2 ай бұрын
Hapa anafanya hvyo kwa faida pia ya wasiojua kiswahil dear❤hopeful umeelewa
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 2 ай бұрын
Mimi nadhani Kwa nchi yetu hii sidhani kama Kuna watu ambao hawafahamu kuzungumza kiswahili, ni wachache sana ambao unakuta hawakifahamu kiswahili sema yeye anakaulimbukeni Fulani hivi. Especially asilimia kubwa ya watu wanaotumia mitandao hii wanafahamu zaidi kiswahili kuliko kingereza. Kusoma sio tija, wapo wasomi kabisa na degree lakini kuzungumza kingereza ni mtihani wanamung'unya maneno tu.
@petermanala6138
@petermanala6138 2 ай бұрын
​@@gotafostv7305SIo hata kanisani sio wote wanajua kiingereza aliyejibu hiv amekosea ni kama dharau hata yey SI Kila kitu anakijua Mungu atusamehe Kwa majivuno
@josephwarioba5203
@josephwarioba5203 2 ай бұрын
Kwa jinsi ninavyokufahamu kwa undani kiuhalisia usingetumia nguvu yoyote kujieleza au kuwapanga philosophically eti umuelezee Yesu au malaya mbaya upo MADHAHABUNI hiki kitu sio kizuri na ushauri wangu CAG is a pillar kwako jiulize Archbishop huwa anapataga huo muda wa kutega watu philosophically??
@malkiarosemuhando3310
@malkiarosemuhando3310 2 ай бұрын
Ongea kiswahili
@joycemakanyaga
@joycemakanyaga 2 ай бұрын
Bora umhubiri yesu vita vyetu si vya dam na nyama hata yesu ilizushiwa maneno lakini hakujibu kutoka 14:14 bwana atawapigania nanyi mtanyamaza kimya
@Mery-st4nu
@Mery-st4nu 2 ай бұрын
Malibu mazuri sana pastor
@josephinelukweto6442
@josephinelukweto6442 2 ай бұрын
Good pastor
@cleartzboy
@cleartzboy 2 ай бұрын
Jaman uislam uko wazz
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 2 ай бұрын
Mtumishi achana na hawa watu wameona unainuka wanataka kukuangusha. Bali hawapambani na wewe wanapamba na Mungu.
@flashmextv
@flashmextv 2 ай бұрын
Aisee Noma Sana😂
@bettykinyami5096
@bettykinyami5096 2 ай бұрын
Sasa we mtumishi wa Mungu unawezaje kwenda kufunga saluni, wakati masaluni sio mango wa Mungu, funguo makanisa kama kweli, mi sijamuelewaga
@marykarebeti9410
@marykarebeti9410 2 ай бұрын
Masalon sio mpango wa Mungu kwani unataka tuwe wachafu?
@JuliethJapheth-ov3kt
@JuliethJapheth-ov3kt 2 ай бұрын
Naomba uzidi sana mtumishi.
@shijacharles
@shijacharles 2 ай бұрын
Mungu azidi kukutunza.
@manpierre571
@manpierre571 2 ай бұрын
Keep Provoking their reaction pastor mpaka waseme huyu ameshindikana 😂
@RebeccaMalale
@RebeccaMalale 2 ай бұрын
Mungu mwema
@dstarclassic9490
@dstarclassic9490 2 ай бұрын
Haleluya
@DorethMselem
@DorethMselem 2 ай бұрын
Kwanza had ye aamue hivi kwan wa kwanza peke yake?mange anamsema had Mwamposa mange anamsema hadi rahis tunakuomba ukae kimya tu maneno kwa maneno ni kelele lkn maneno na ukimya ndo jibu
@aminanchimbi-eb8ee
@aminanchimbi-eb8ee 2 ай бұрын
daaah napenda san mahubir yk jamsn
@zakiamseka9698
@zakiamseka9698 2 ай бұрын
Achana na Visichana hivyo vihubirie wokovu tu basi
@ChrisSiwale-kl8nv
@ChrisSiwale-kl8nv 2 ай бұрын
Ingia rohoni this is not ordinary
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 2 ай бұрын
Kila Jambo linaanziaga kiroho, prayer warriors na yeye alipaswa awe amelijua na angekuwa ana-prove ujumbe.. na hao Clouds Media akae nao kwa akili na kiroho mno na MUNGU amsaidie
@BeatriceDismas
@BeatriceDismas 2 ай бұрын
Jaman achen ajitetee kila mtuu ana namana yake ya kupunguza maumiv ndan ya moyo wake...... Mwingine atalia, mwingine atapiga kelel, mwinginè atatakaa kukaa peke yakeee...... Obviously PT kaumia ndoo maan unaona anaongea sna mwachen aongeèe aseee mm namuunga mkono
@sakinamuulage1395
@sakinamuulage1395 2 ай бұрын
Songa mbele mtumishi wa Mungu....
@RebeccaMalale
@RebeccaMalale 2 ай бұрын
Aiseee
@gmentertainmentcompany9353
@gmentertainmentcompany9353 2 ай бұрын
piga KAZI tony watanzania tunakuelewa bado Sana
@gabililta
@gabililta 2 ай бұрын
Anajitetea sana pastor Angekausha tu kama hiyo ishu haina ukweli wowote
@janemwenda-ec2oh
@janemwenda-ec2oh 2 ай бұрын
Kabisa Ilibidi ache kabisa
@DerickNgowi-mf5pe
@DerickNgowi-mf5pe 2 ай бұрын
@@gabililta anatumia nguvu nyingi kwakingereza
@smavilifestyle2471
@smavilifestyle2471 2 ай бұрын
Sasa amejitetea wapi jamani,si ametoa option ajielezee au amuelezee Yesu watu wamechagua Yesu na ameendelea na mahubiri
@pacificaredemptory6269
@pacificaredemptory6269 2 ай бұрын
Kuna watu angewaacha njiani na kuwavunja imani
@manpierre571
@manpierre571 2 ай бұрын
Mbona kama umekereka mzee, amefika hapo kwa jitihada alizofanya na neema aliyopewa na anachagua yeye nini aseme ...na Wala hajajitetea hapo
@amashamwankuga
@amashamwankuga 2 ай бұрын
Sijawahi kucoment ila mchungaji nimekuelewa sana Mungu akuongeze zaidi
@GraceGeofrey-d4i
@GraceGeofrey-d4i 2 ай бұрын
Mumngu wapiganie watumishi wako hv vita
@francisngwale4567
@francisngwale4567 2 ай бұрын
Mtangazaji nmekuelewa sana
@justinemasse28
@justinemasse28 2 ай бұрын
Ilo kanisa lipo nchi gani
@elizabethraphael-n4y
@elizabethraphael-n4y 2 ай бұрын
Yani hakuna nchi ambayo watu hawana heshima kama Tanzanía mara wawa vamie adi wamama watu wazima
@sesiliasalleko2013
@sesiliasalleko2013 2 ай бұрын
Tony jifunze kiswahili sWa sawa unatuvuruga
@MaryjoyceTarimo
@MaryjoyceTarimo 2 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu kumbuka wewe ni jalala kumbuka hilo, upaswi kuji chochote acha Mungu atawajibu mbona ni vema zaidi
@rerisamba
@rerisamba 2 ай бұрын
Mapastor na wasanii wa duniani ni wapi na wapi
@MtuSafi
@MtuSafi 2 ай бұрын
kwahyo bwana tony unaowqhubiria wote wanajua kiingereza mana mahubiri yako yote ni kiingereza tu.
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 2 ай бұрын
Elezea Yesu achana na masikini Wa akili kazi kuwaza ngono tuuu mi nakuelewaga sana unafundisha uchumi huyo dada anainspire wapambanaji wenye akili na wanaotaka kufanikiwa Mwanamke from zero to heroo
@StephaniaKasunga-g6t
@StephaniaKasunga-g6t 2 ай бұрын
Mchungaji wangu me kila siku nakuombea uwe Tajir
@annawinstone9426
@annawinstone9426 2 ай бұрын
Tupo nje ya muda mtumishi lete neno😂😂
@alakomba6830
@alakomba6830 Ай бұрын
Hakuna utumwa mbaya kama utumwa wa fikra. Hivi Tony unafikiri kuongea kingereza nchini mwako mbele ya watanzania wasiojua kingereza ni maendeleo? Tunajua umesoma lakini ni busara kutumia kiswahili
@furahamwikombo-p7g
@furahamwikombo-p7g 2 ай бұрын
Achague Lugha 1,,,ya kusema Maali alipo,,,sio kuchanganya Lugha kwa wakati mmoja....
@iamdivineimage
@iamdivineimage 2 ай бұрын
Utofauti wake ndio umefanya awe na wanaomfuatilia... Ambao hawamuelewi huwakuandikiwa kuwa wake
@Mrs.naturalez
@Mrs.naturalez 2 ай бұрын
Even if anything happened. I'd still stick with Baba.
@ebenezerchurchsupremetv9490
@ebenezerchurchsupremetv9490 2 ай бұрын
Kiburi kilimshusha shetanj
@YohanaRichard-e6p
@YohanaRichard-e6p 2 ай бұрын
Pastor Tony kapola, ulitaka mashetani wakusifie? Ndani yako Kuna ufalme wa mungu aliye hai , kwahiyo kuzushiwa uovu wewe nisawa dhahabu kuipitisha motoni itazidi kung'aa tuu. Endelee kunyenyekea mbele za mungu na ulifikie kusudi alilo kuitia muumbaji wako.
@LessaFocus
@LessaFocus 2 ай бұрын
Minajivunia wew hakii
@joyceallute6727
@joyceallute6727 2 ай бұрын
Hekima ya Kimungu kabisaaa nimependaaaa pastor Tony ni mmoja tu😂😂😂😂😂
@salmamkwizu3223
@salmamkwizu3223 2 ай бұрын
Ni kawaida hata mke wa Mtume wetu alisingiziwa uzinifu
Nyota Yako Ina Thamani | Maombi Ya Kuombea Taifa | Pastor Tony Osborn
21:11
Pastor Tony Kapola
Рет қаралды 157 М.
小丑揭穿坏人的阴谋 #小丑 #天使 #shorts
00:35
好人小丑
Рет қаралды 18 МЛН
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 13 МЛН
Mom had to stand up for the whole family!❤️😍😁
00:39
Pastor Tony Kapola
3:06
Mwalimu Philemon Mbemba
Рет қаралды 4,1 М.
UKWELI ULIOFICHIKA NA IRENE UWOYA EPSD1
25:14
Irene Uwoya
Рет қаралды 100 М.
sikiliza mafundisho toka Pastor Tony Osborn Kapola
52:07
WORSHIP GOD FOREVER
Рет қаралды 21 М.
PAT5)FREE MASON WANACHUKUWA WENYE SIFA HIZI TU BILA HIZO HAWAWEZI EV PASCHAL CASSIAN
26:49
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 451 М.
UNAPOSUSA NDOA UNASUSA URITHI WA WATOTO WAKO : PASTOR TONY KAPOLA
27:25
小丑揭穿坏人的阴谋 #小丑 #天使 #shorts
00:35
好人小丑
Рет қаралды 18 МЛН