I have been looking for this song ... someone to please like my comment..2024 hapa
@rabioabdala222210 ай бұрын
Hakuna wimbo mwengine zaidi ya huuuuu kwa Baraka
@Joel-ll9uiАй бұрын
Unaijua Acha niende ww
@jobkofficial15918 ай бұрын
08.02.2024 still listening to this jam , kwani iko Nini??
@kevinmwita91408 ай бұрын
😅😅😅 it's cool
@isaackhaled49874 жыл бұрын
Barakah alijidanganya kutoka rockstar 4000 angebaki angekuwa mbali sahv. Like back watu wa mzik mzr.
@BarakaMakisio6 ай бұрын
2024 bado tunaskiliza na tunaikubali
@GeraldKonder5 ай бұрын
Hakuna km hiii nyimbo🔥🔥nlkosana na wife nkamuandkia hii mstari saii amerudi
@FevkoCan9 ай бұрын
Ali ndio kila kitu hata ukimchukia yeye hana time Ali ni mtu mzuri sana
@kagiimpoet94443 ай бұрын
The beginning of mwezi wa saba nani hapa anipe like zake hivi ndo tunauanza mwezi
@ramseyrmsy33666 жыл бұрын
Ukiacha ushabiki na ukaiskiliza huu wimbo vizur utajua Baraka humu alikua kimziki pia kaka ake alimsimamia vyema nakutoa kitu kizur ila ukikalia majungu na uzuzu hutaelewa mpaka unakufa.
@saidndaki97832 жыл бұрын
Kabisa
@gracemsunza50462 жыл бұрын
Uhakika
@bernardoduor2784 Жыл бұрын
yaaani nimetranslate ndo nielewe enyewe kiswahili sanifu ni ngumu😂
@muyemuye1325 Жыл бұрын
Sijui Kwa nn baraka haku hit.huyu jamaa song zake pka kesho mm nazikubali.kuliko mafala wengine.kelele tu na vipuli Kila mahali
@abuubakar8855 Жыл бұрын
Iko hivo
@palmerdesouza58615 жыл бұрын
Naipendaa hii nyimboo mpka sijielewii tena part ya Ally kiba yani acha tuu maana ni noma
@marysidi6037 Жыл бұрын
2023 alikiba jamani😢😢the voice
@saumuhassan13656 жыл бұрын
Huu wimbo naupenda sana, kila nikiusikia unanikumbusha mbali hadi ctamani kupenda tena mpaka leo hii jamani yani Ni sheeeeeeeeeeedah!
@ibrahimchunda59305 ай бұрын
Saumuhassan
@daudijmayanga Жыл бұрын
Tunaotazama Ngoma Hii 2023 Gonga Like
@mariamwakabuta10344 жыл бұрын
Kama bado mnampenda Baraka dar prince na kumsiliza 2020 gonga like 50 tu 🎺🎷🎼🎻🎸🎶🔊🎙🎹🎚🎤🥁🎵🇹🇿👍😍😘 .
@SumaAlly-w8l8 ай бұрын
Ni hatar
@joyceibrahim20209 ай бұрын
2024 still 🔥🔥🔥
@maliamjuma937611 ай бұрын
Alikiba wenoma sanaase mungu awajalie wote vipenz mumeweza ngoma Kali sana nmeipenda buree
@samiahhussen14708 жыл бұрын
pongez kwako baraka👏👏👏👏 nyimbo nzuri video imetulia mnao sema nyimbo mbaya mnayenu sio bure mmekalia majungu tu wallah sichoki kuangalia hii video unajua
@RarineKennedy Жыл бұрын
it is 2023 but i still like this song
@faridahabdul74465 жыл бұрын
It’s 2019 who still feels the vibe of this song #TeamKiba 🇰🇪 tunakukubali ❤️❤️
@djmoe59355 жыл бұрын
This hit is still on fire💥
@touchmc20985 жыл бұрын
#nisamehee# Mshumaaa 🔥
@mariamsaid21444 жыл бұрын
Is my hand 9
@chadwickouko41294 жыл бұрын
I still do feel it. It's so catchy
@samuellekakwar20333 жыл бұрын
Kiba Still the same, I still love this g
@jamesmwangi87233 жыл бұрын
When the king and prince work together you can only expect nothing short of perfection 🔥🔥
@kuluthummaulid19768 жыл бұрын
Video nzur sanaaa nimeikubali kingkiba akiwepo akuna kinachoharibika big up to them
@ShuuBwoy-wo7gw Жыл бұрын
2023 still one of the best song
@hajimgwami52248 жыл бұрын
Video n kali sanaa ni moja kati ya video tofauti kutokea bongo haifanan na video zingine ambazo izmewah kufanya, Safi sana Rock star4000
@eliudntagalinda80793 жыл бұрын
2021 still enjoying good music.. King murders it all as ever
@allymaftah2592 жыл бұрын
L
@richardmweri81225 жыл бұрын
Alikiba killed this one🔥🔥🔥
@Sesakwaukweli3Ай бұрын
tunaotazama na kuskiliza hii ngoma 18/9/2024 tujuane
@ramlabaraka10455 жыл бұрын
King Kiba nakukubali, umemnyanyua Baraka kwa fujo deeeeeeeeejay...!
@allidehunter32236 ай бұрын
Dah! Nime kuja kuifuata hii leo tarh 26-4-2024- kwa feelings badi sanaa 😥😥.
@maulidkilongola16918 жыл бұрын
siku zote huwa nakaa na kuskiza kila aina ya muziki ila mziki mzuri UPO HAPA kwa wawili hawa pamoja na ABDUL KIBA yaani bila figisu mnajua kwakweli
@florahisrael38878 жыл бұрын
I want u back I'm sorry baby 🎼🎶🎤 king Kiba hatariiiii
@chipimbilimoffat39164 жыл бұрын
I love king kiba
@upendomasala16323 жыл бұрын
I love king kiba
@agnesmaingi81878 ай бұрын
2024 still here for kiba
@happyclasic7486 жыл бұрын
Da hii nyimbo inanikumbusha mpenzi wangu price alipokuja niomba turudiane aliponikosea akaniomba niuskilize uu wimbo da nikamsamehe but naumia kwa vile ametangulia mbele za haki kila nkiona uu wimbo namkumbuka Kaz nzuri Baraka and r. I. P my price pumzka kwa Amani
@clvrence6 жыл бұрын
Happy Clasic sorry
@khadijarahimu26813 жыл бұрын
Poleh
@cleodontina17 жыл бұрын
Prince and Alikiba what's a perfect combination. Your music is amazing. I can't understand a word but I love your vocals!!! Beautiful singing!
@kevinmwita91408 ай бұрын
I love the song ❤️,2024,this guy angeinuliwa na kina platinumz, could be far
@victorguapo78278 ай бұрын
Hana nidham ndio maana ata platnum hakumtka
@kobokombishi63866 жыл бұрын
Baraka hii kazi ulioteshwa home boy yani hii ngoma balaaa ujue
@GoldenchipsChips4 ай бұрын
Baraka anajua sana daah 2024 tupo hapa kusikiliza mziki mzuri
@maliaannann15724 жыл бұрын
Nyie Kiba ana sauti unique asee 2020 team kiba gonga like kwa ajili yake
@fridakimwanya1158 Жыл бұрын
Sanaaaaa Yan namkubali mnoo
@JumaAdam-mt9wc3 ай бұрын
hata mm kwenye huu wimbo napenda alikiba sana huy jamaa anasaut nzr mno
@MJ-rl7uo8 жыл бұрын
Watz tunajua kukosoa kishabiki san....hatujui kusema ukwel halisi wa kitu.Hii video ni nzur...ina quality nzur...stor pia sio mbaya sa.Kilichonifanya nikaweka comment yang hapa ni hii audio ilotumika kweny hii vdeo....wametumia demo yake....au km sio demo basi hii vdeo ilishutiwa kabla ya official audio kukamilika......vdeo ina audio mbaya mpk inaboa....yan imepoteza utam wa vdeo kabsaaaa...Rockstar 4000 mjipange vzr....vitu vdog km hivi ndo hushushaga thaman ya wasanii......Mbna ile ya commando jide mmeua balaaa.....hapa kwa baraka imekuwaje?...All in all big up.....kazen buti soon u gonna make it.
@laineedianawebb10508 жыл бұрын
Hey there Ali. Kiba Cape Town loves you guys...👌🏽👌🏽💯💯💯💯💯💯💯
Waah.. . This is Ali kiba! ... u r legend! 254 behind u boy.... we love you kiba. Boy aliyetuliza na mkenya wetu hana maneno mengi!
@alvinalfredy36962 жыл бұрын
Alikiba brought me here every time when i misses his voice i would search and play all of his music from old to then
@RehemaSamwel-ki7jiАй бұрын
Nakupenda Baraka pliiiZ rudi kwenye gem, niko sambamba nawe 2024 mpaka 2025😅
@sandboyke8 жыл бұрын
wasafi kwa sauti moja washaakubali,baraka,una baraka,moto mkali zaidi kuliko huu twahitaji toka kwako,,,,,
@hamidahassan59518 жыл бұрын
Love how kingkiba feeling the song.that free spirit...killing it my boys
@zakariakironwa59438 жыл бұрын
Iko pow mbona
@alexthomas67968 жыл бұрын
good song
@alfredycheyo88475 жыл бұрын
Hamida Hassan
@MakoberoMariyam11 ай бұрын
Mziki nimuri nli upenda toka2017
@muhibuissa7438 жыл бұрын
Ngoma kali na video Kali hongera sana Baraka the prince na Kingkiba
@victormwampeta57208 жыл бұрын
Awesome
@furahamadina16658 жыл бұрын
Big up sana, kwa sauti tu mnavutiyaaaa, Barak achana naule aliy kukashfuu kutokana n'a rangi yako Kaka ummpuuziy kabisaaaa, yani Uwe Kama mweny kumdhararuu......@@@@@@@ congratulation kibaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@fahadbabuy8 жыл бұрын
video iko poa.....wasiozowea vizuri vibaya vinawaita!! king x prince👑 #lit🔥🔥🔥
@chibaboy58038 жыл бұрын
go go go go go Wana wache waonge wamezoea vdeo za malang lang iko poa xnaa vdeo big up
@mussaathuman57468 жыл бұрын
we umeongea point
@hamphumichael71944 ай бұрын
The best song always in my life
@angelnyange340310 ай бұрын
Wale tunaangalia kwa sababu ya kiba gonga like ❤️2023
@Directamacs8 ай бұрын
umekosea
@dayanaamoit69518 ай бұрын
@@Directamacs Sana baraka 🔥
@jenahando27477 ай бұрын
Wewe hewa sana
@pavlotz80844 ай бұрын
Kiba kafunikwa humu
@ThimoseoFrancis3 ай бұрын
❤
@SevelinKBАй бұрын
Kwamtu Alie niumiza kimapenzi kiupande wangu ni ngumu sana kusamehe haya mapenzi sio kabisaaaaa
@Rastamuslim6 жыл бұрын
baraka hii kazi mlifanya kweli sijui kilitokea nini ila wee na kiba sauti zenu zina faa kundi moja hasa bro
@AmisamauridNgagada23 сағат бұрын
King Ally salehe kiba umeniletea niusikilize huu wimbo mara 16❤❤❤❤❤❤❤❤❤🫅🫅🫅🫅🫅🫅🫅🫅🎉🎉🫅🎉🫅🫅🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🫅🫅🫅🫅🫅🫅🫅
@chrisbabyyengo38177 жыл бұрын
What a beautiful song sang with top artists in Dar.......... big up king kiba
@khadijambuta43607 жыл бұрын
hiki kichupa watu wapo kiasili zaid me penda Aliy kiba na barak saan god blessing in shaallah
@robertkalumba33498 жыл бұрын
beautiful songgggg...great fan of Alikiba...he has a knack of singing songs that have a fine balance btwn soulful and straight out club banger...here is another club banger!!!!
@robertjohn72425 жыл бұрын
Alikiba hajui kuimba
@halimaamani4095 Жыл бұрын
Yaaani huyu mtoto angekuwa mbali Sana, hii nyimbo hatsri llakini jeuri yske kwa king imemponza
@hajifuko91458 жыл бұрын
pamoja Alikiba uko safi mungu akulinde katika game
@naominyanzilamachongo96424 ай бұрын
baraka ni international artist nidhamu
@Alikibainblood19945 жыл бұрын
dah baada ya matatizo ya baraka nimejikuta nakuja kuitazama hii ngoma 2019
@zlfamz35403 жыл бұрын
Nyimbo hii yaingia moyon jmn n tamu nilmukosea boy wangu namuomba anisamehe plz
@triplea40806 жыл бұрын
Still listening from Kenya...for real mwanamke akipenda ujue amependa kweli 😘😘😘
@DurahRich4 жыл бұрын
bado ngoma bora kwangu kwa mda wote
@mbondehussein46218 жыл бұрын
Yaan n zaid ya ngoma kali,,,,, so nice 👑 en 👸
@MissDGordon7 жыл бұрын
eeh kiboko, jamani hawa watu wawili wanasauti nzurii,a very lovely song.thank you guys
@clauselijah82622 жыл бұрын
It’s 2022 and this one still hit the same way 🔥
@edmundmanyala5903 Жыл бұрын
The song is still on fire 2023
@rich.kizza10 Жыл бұрын
Baraka anamchukia Kiba siku hz😁
@soniazayumbazayumbasoniia66573 жыл бұрын
Nimerudia kutizma hii video mwanangu baraka rudi kwa kiba . 😍🥰🥰🥰 mr don care kiba
@shebydebery33828 жыл бұрын
Watanzania kwa kuponda mnaonza ndo maana ha2endelei video iko poa ukiona mbaya katoe ya kwako
@amedeuskiwango82858 жыл бұрын
sisi ndo mashabikik tunajua video nzuri na mbaya kubali tyu hii video mbaya sanaaaa
@msaniimpyaBMW8 жыл бұрын
Kabisa mwana!
@goodluckalike41578 жыл бұрын
+amedeus kiwango apanaa bro....sisi wote na iman hatuna professional ya kujaji vitu ka hivi ko tusifie vya kwetu bhna....
@perezwambi98788 жыл бұрын
sheby debery
@simonngatia89007 жыл бұрын
gai
@abukingz8 жыл бұрын
kazi nzuri kiba, nlijionea hii weekend iliyopita mombasa.....penye sifa pasifiwe aiseeeee.....
@ayoubkonah88228 жыл бұрын
I want back am sorry babiee Mstari Unaonikosha baraka amekaza and kiba pia hongeren Good job
@ashaisaack16424 жыл бұрын
I really love this song and the voice of baraka the prince and alikiba keep going
@muumaftah92548 жыл бұрын
bakora msenge sana hii ni bonge langoma wango tusha zoeya ma edit mpaka kero baraka yuko really bhana bonge lakorabo baraka ft alikiba
@husseinpazi8617 жыл бұрын
Ila we kaka Baraka unajua sn yaani ata cjui nisemeje jinsi unavyo nimalizaga na nyimbo zako"I'm crazy!!!4this!!!
@purkansungwe56698 жыл бұрын
Asanteee sasaaa ali kiba na barakaa
@AzizAziz-vy6ik5 жыл бұрын
Baraka upo vzr kak
@levythadon63877 жыл бұрын
Hii ngoma mbona nzuri na haija fanyiwa haki views kidogo kweli the song deserves 5m
@WisdomOfTheAges.8 жыл бұрын
Beautiful music beautiful video beautiful voices ....big ups!
@careenrema27588 жыл бұрын
sasa hapo anasamehe vp Prince club tena na wengine huku unataka kurudi ?i love video ipo kwenye uhalisia wa wanaume mnasema jambo huku mnatenda jingine.
@jildow45338 жыл бұрын
Mungu akuongezee fikra nyingi😀😀😀😀😀😀
@salehehassan36658 жыл бұрын
hatuaminiki hata kidogo😂😂😂😂😂
@dickmalove55444 жыл бұрын
Yanii
@johnstilinski90212 жыл бұрын
love the beat ,its great ,the lyrics are on another level. Thanks for this masterpiece
@zlfamz35403 жыл бұрын
Jmn hii nyimbo n nzuri sana sitaisahau milelel
@abeidmayanga8098 жыл бұрын
Ikopoa sanaa ngoma hongereni mazee by team mziki mzuri cyojanjajanjaaa
@fungafungatv4485 жыл бұрын
Dogo kapotea kwenye ramani ya dunia kwa kumzalau aliyeibeba bongo fleva .....king of bongo fleva king Kiba
@selabitozymurad26358 жыл бұрын
Favorite One ..Big Up Baraka Da Prince kijana wa Raj Taraj
@elizabethjohnson62308 жыл бұрын
yaani hiyo sauti yako baraka mpaka mapigo ya moyo yameongezeka,big up.
@farajiissa56010 ай бұрын
Hua najikuta machoz yananilenga kwa izi saut bt well said is unstoppable
@rosjm1377 Жыл бұрын
This are the songs we want back ❤❤❤
@DaveHumphrey25147 жыл бұрын
YAANI... ILINIBIDI NIUSIKIE HUU WIMBO ZAIDI YA MARA 20 HIVI HADI NIKAUELEWA... BONGE MOJA LA JIMBO! this song is excellent in everyway and ALI KIBA was the best featuring.... ahsante baraka
@hidayaselemani37618 жыл бұрын
video nzuri kazi nzuri namuomba mungu awasimamie inshaallah
@msaniimpyaBMW8 жыл бұрын
AMIN
@kirrapampling36948 жыл бұрын
ɷɷ Heeeey Friendds I Havee Justt Wonnnn Brand New iPhonee From visittt : - t.co/LzM60uuKnC
@sibawayhisalum27078 жыл бұрын
Aamin
@sibawayhisalum27078 жыл бұрын
Aamin
@mpendulozulu64688 жыл бұрын
asant king
@yuleboy20103 жыл бұрын
Umefanya vizur xana umu kumxhilixha king kiba XO iyo ngoma miaka 💯 haita poa
@bakariomari73688 жыл бұрын
bonge la video bonge za sauti saluti kwenu vijana🔥🔥🔥🔥🔥
@nindwakulwa1395 жыл бұрын
Baada yakutoka kwa king kiba ukaisha shenzi wewe umekuwa kama mavoko alipokuwa peke alikuwa anaweza saiv hamna kama unabaria nahilo ndsu like hapo chini
@reenyranny77138 жыл бұрын
alway b positive to others n wish them well instade ya kuponda na kuongea manegatives
@codenameimpact8 жыл бұрын
ɷɷɷ Heeyy Friendsssss I Havee Justtt Wonnnn Branddd New iPhone 6 From visittttt : - t.co/fIxhIuPo9G
@joanwacira64648 жыл бұрын
nmekuina swry ushapona
@sharonnekesa22478 жыл бұрын
T
@zeylannoor82927 жыл бұрын
Reeny Ranny mop ni mop
@philemonalex8089 Жыл бұрын
Baraka muombee bro msamaha atakusamehe mfanye kazi unaweza bro king 👑 naamini ana baya
@wanjirumwathi Жыл бұрын
Timeless creations
@Iam_Johcountry10 ай бұрын
Tuliorud kwajr ya kuomb msamaha kwa babe zetu kupitia huu wimbo tujuane😅❤
@alexthomas67968 жыл бұрын
bro kiba Kiukwel anajua Sana
@ramsojuma76158 жыл бұрын
mimi sina utata na wimbo uhu umu wote wanajua kuimba kwanini kusingekuwa katka lebo moja
@prudencemusyoki23862 жыл бұрын
King kiba never disappoint
@faridasalim26987 жыл бұрын
wallai I love this song ....kama sio kiba baraka singefagilia ngoma zako..nimekukubali