Tunachoshangaa kwa sasa watawala hawa wa sasa wanafikiri siasa ni ujanja ujanja wa kudanganya wananchi muda huu ya kesho Yana siku yake. JE NCHI HII ITAENDELEA KWELI?
@zebedayokatamaduni96765 ай бұрын
Kamanda tuko pamoja
@salummohamed26895 ай бұрын
Hakika Mbowe tutakuenzi hata kama watawala hawa watashupaza shingo wakajifikiri watajienzi wenyewe lakini ufalme wa Mungu hawtauona.