Endelea kubarikiwa kutoka kwaya hii. simu:0757024095
Пікірлер: 75
@estherkorigwa33465 ай бұрын
Nimewapenda sana kwakweli mungu azidi kuwabariki sana kwa kazi njema mnayoifanya,yaani mnanibariki sana
@mwanansokaone66279 ай бұрын
Mungu awabariki sana kwa Wimbo huu mzuri sana
@rachelbuyamba49227 ай бұрын
Wimbo mzuriii,nakuona home girl milika mabula budeba 🔥
@EndrewNdabigeze-kh5fj Жыл бұрын
Mungu aeabariki saaana watu wa mungu
@josemuthaura38463 ай бұрын
Wimbo POA Sana Mungu awabariki.muthaura kutoka Muthara meru Kenya.
@kahamaadventistchoir2 ай бұрын
Barikiwa sana ,karibu kahama Tanzania
@johnmbitiyaza12545 ай бұрын
nakosa maneno mazuri yakuwapongeza ila munaimba vizur sana,bwana awatumie kwa kiwango cha juu.
@AlenMathias5 ай бұрын
Nimebalikiwa sana mungu awalinde
@yonaevarist29006 ай бұрын
Mbarikiwe sana baraka za rohoni na mwilini!! Nyimbo zenu zinanibariki kwa kweli
@kahamaadventistchoir6 ай бұрын
Amina sana,MUNGU ATUKUZWE.
@gilbertciza9317 Жыл бұрын
Oooh Mungu awabariki sana,
@vollenatieno971 Жыл бұрын
watching from Kenya ,it's long since I watched songs with no movements.This was perfectly done imenipa taswira ya bingu God bless you to continue touching and reaching to souls
@kahamaadventistchoir Жыл бұрын
Endelea kubarikiwa na MUNGU.
@cizatelesphore11 ай бұрын
Merci bcp ,mubarikiwe sana Watu wamungu
@marionjons22884 ай бұрын
Nimeguswa Alleluyah from the book of Mathew 25:40
@mrmoyo2772 Жыл бұрын
Safi sana watu wa Kahama. Ninakumbuka choir hii nilipofika Kahama kutoka Shinyanga Chuoni pale Kolandoto.Akanileta kanisani rafiki yangu wa AICT ili nihubili nikiwa mgeni wake msabato kutoka Zambia 🇿🇲. Jamaa alikuwa kaka yangu na rafiki hada kwakunionyesha kanisa la wa sabato wa Adventista.l saw this choir singing.God bless you Kahama SDA.
@GivenLubenda-cc6xr2 ай бұрын
Wimbo nzul sana mubalikie tena
@kahamaadventistchoir2 ай бұрын
Amina,barikiwa sana 🤝
@kingwakenya Жыл бұрын
Wasabato nyimbo zenu nzuri kweli duniani kote mungu azidi kuwabariki
@rasto-rasto5 ай бұрын
nimeguswa sana na wimbo huu. Wimbo uliimbwa kwa utulivu. *Mungu awabariki waimbaji wote na tena wazidi kufika mbali.*
@adammumasunzu10578 ай бұрын
Nyimbo nzur sana
@drmunyoki703811 ай бұрын
I love the message and the vocals and instrumentals. Infact, this is the current situation of the church where exorcism is the message and not repentance and salvation. From Mwingi, Kenya with great love. Be blessed good people.
@kahamaadventistchoir2 ай бұрын
Amen
@simonngweta17269 ай бұрын
Amen
@user-bg1dg8so3f7 ай бұрын
Mungu awenawe
@perisbosibori8524 Жыл бұрын
Thank you Kahama for this wonderful song. You've melted my heart with joy. Let's LORD'S name be elevated and glorified forever, AMEEN!
@AbelErasto10 ай бұрын
Together as one_#hope with God.
@ezekielkisembo-oq6ly10 ай бұрын
asante kwa wimbo
@ZachariaErasto-n6mКүн бұрын
Sina chakuwalipa kwani ni kazi ya bwana yeye kaandaa taji amen
@kahamaadventistchoirКүн бұрын
@@ZachariaErasto-n6m Amina sana,zidi kubarikiwa
@ZachariaErasto-n6mКүн бұрын
@@kahamaadventistchoir amen
@johnlimo4471 Жыл бұрын
Mungu awatie nguvu, hekima na ujasiri mnapotangaza ujumbe wake kuputia uimbaji
@KelvinMwiti-ug8ws8 ай бұрын
NYC song
@user-kv1eq3zx5u Жыл бұрын
Mungu hawape ekima ya uduma, na kwendeleza enjili
@magitamataro6998 Жыл бұрын
Jamani mnaimba vizuri siku hizi 😂😂😂😂 sio kama kipindi ile miaka yetu tulikuwa tuimba Pambano 😂😂😂 miss u guys ... soon nitakuja kuwapa hi hapo church... Bravo Pambano kwaya
@gibsonleonard3144 Жыл бұрын
Nabarikiwa sana na nyimbo hii MUNGU awabariki katika utumishi
@user-ip8kd1rn4x11 ай бұрын
Amen Amen Amen ❤❤❤❤ thanks so much you have really healed my soul and get blessed toooo
@salumkalulu-de1md Жыл бұрын
Safi sana unafariji sana na kutia nguvu wimbo huu.Mungu awabariki
@kahamaadventistchoir Жыл бұрын
Amina ,ubarikiwe pia.
@masanjalameck7379 Жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana ,ushauli tuboreshe mziki
@delickmarco394524 күн бұрын
Amen jamani
@JackobGalish-ky3no Жыл бұрын
Be blessed Kahama Central Choir. I see you at the top
@pendomasanyiwa5213 Жыл бұрын
Amina sana
@EndrewNdabigeze-kh5fj Жыл бұрын
Wasabato hakika mungu anawaona❤
@MariamuRajabu-fx7dm Жыл бұрын
Mungu aibariki kazi yake
@mwitamanyandagala Жыл бұрын
Nimebalikwa sana na nitaendelea kubaliw pia
@user-ol7zz7gf8w Жыл бұрын
Nyimbo ni nzuri sana
@florarobinson7893 Жыл бұрын
Nawakumbuka sana marafiki zangu
@MariamuRajabu-fx7dm Жыл бұрын
Ss pia tunakukumbuka sana
@joshuac.mashida1378 Жыл бұрын
Barikiwe Sana watumishi wa bwana
@joyceobwocha5961 Жыл бұрын
Wimbo mtamu kno ,I’m also asking; is my name written there? It’s a challenge to us all, God bless you choir
@AidanMabula-mx9yp Жыл бұрын
Nyimbo nzuri xan hongera sana
@kahamaadventistchoir Жыл бұрын
Amina
@joshuac.mashida1378 Жыл бұрын
Amina
@edinahochiche4718 Жыл бұрын
Ameen and Ameen
@charlesmutuku768 Жыл бұрын
Aki wimbo mzuri napenda
@peterekhaba7485 Жыл бұрын
Amen the original style of singing God bless His work through you 🙏