Mtangazaji upo juu,,km unamkubali Huyu kijana like twende nzetu sawa
@michaelnzunda73474 жыл бұрын
Wazuli Alf wanafanana ,wanajielew..,they look as wife materials weka ndani ndo utaliona balaa lake.....
@adammwaihojo16713 жыл бұрын
Hhhhhhhhhh uone mziki wao
@ShSh-my8cw3 жыл бұрын
🤣
@ndzmah47ali64 жыл бұрын
Nawapenda sanaa nyiye wadada wawili munajiheshimu sana
@chayogasperi97834 жыл бұрын
Mmmmhh !!
@ayshabayun90144 жыл бұрын
Kwani huyo batuli aliachana na yule mume wa mtu?? nilisoma ktk mtandao I'm not sure huyo wife wa huyo mwanaume alikuwa akitukanana na batuli
@khadijahkhamis58514 жыл бұрын
ila vidox nakupenda jmn unajua kuhoji MashaAllah nipe like yko nami nijidai
@vidovidox26324 жыл бұрын
Dylan Didaz Asante sana mtu wangu
@suzanmoshi7104 жыл бұрын
Wadada very confidence
@khadijahkhamis58514 жыл бұрын
Majibu kuntu sasa hawa ndio wife materials wnye akili zao
@neymwasu92984 жыл бұрын
Kabsa
@rahillhamidu25444 жыл бұрын
Tena
@florahmushi7484 жыл бұрын
Kama umemuon masanja mkandamizaji amevaa koti la suti rangi ya maroon kwanyuma amepiga picha na shabiki wake then akapita chaaap gonga like kibao hapa
@rosemarryjohn13763 жыл бұрын
Nime muona
@Khadija-qr4cr3 жыл бұрын
Mashaallah wamefanana kama mapacha
@khadijakhadija62124 жыл бұрын
Mashallah nimewapenda bure 😘😘😘majibu mazur pia km mapacha
@aishaseif23244 жыл бұрын
Yaaa wamefana
@baeyanka5264 Жыл бұрын
Wamefanana kweli
@مارياكافشى4 жыл бұрын
Nawapenda saaana ❤❤🇧🇮
@gracemalashi83584 жыл бұрын
Nawapenda sana😘
@MosbMosb-ru5vv4 жыл бұрын
Namkubali Sana batulii❤️❤️❤️💪💪💪
@kkjjjmmmj33723 жыл бұрын
0755868647 namtaka huyo rafiki ya batuli anicall ntampa real love
@biusimohamed10494 жыл бұрын
wadada wazuri hawa mashallah nawapenda bure
@حسنةزنجباري3 жыл бұрын
Da nyiyi niwazuri kwakweli wasura Nadhani hata.tabia.munguawadumishe naumojawenu semeni amin
@mejubaraza94154 жыл бұрын
Masha Allah nawapenda sana..majibu mazuri na pia hamna maringo
@D-Man.B-Free4 жыл бұрын
Kwa swali la ndoa daaah imejibu kiukubwa
@emmyyahya83584 жыл бұрын
Nawapenda wazur km mapacha 😘😘
@christinamagasi6254 жыл бұрын
Emmy Yahya mm lips tu za Matilda💋
@mutwalesylvie74434 жыл бұрын
Wazuri wote mashallah
@mohameeddoaan22964 жыл бұрын
Wazuri sana
@hatamimnimempendabulejaman15964 жыл бұрын
Ya Ata mimi nilitaka sema, wazur uwq nawapendaga jaman matrida kanenepa Harafu ana shepu
@hatamimnimempendabulejaman15964 жыл бұрын
Kwel ndowa wanasemaga Ndoa ni nyinyi wenyewe eti tuli unataka niwe kwenye mahusiano
@hatamimnimempendabulejaman15964 жыл бұрын
Kwel matrida ni maalufu Lakin anaga, skendo
@hatamimnimempendabulejaman15964 жыл бұрын
Eti no koment
@Lulualshagri4 ай бұрын
Huyu batuli mbona zamani alikuwa haongei hivi au ndio ubishoo
@kanikiommy5167 Жыл бұрын
Rakini vitu vitamu au ndio mbwembwe tu michezo mnaiweza au maji matupu
@wilbatnyato46799 ай бұрын
Km wife material waliomzalisha si wangemuoa??
@upendorobert72984 жыл бұрын
Nyie wadada na wa appreciate, mnajitambua sanaaaa
@hellenmasasi38504 жыл бұрын
Wanaonekana wana furaha sana hongera zao
@maryamm77654 жыл бұрын
Warembo 😍😍👏
@lydearrichard19714 жыл бұрын
Beautiful
@mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын
Mungu awabariki,Ma dada Warembo Mlio tulia.Nawalov Sana Kina dada.
@saidasaid58554 жыл бұрын
Hongera qeen dalin jma ndowa ni baraka kutoka Kwa mungu ukitazama warembo wengi huckii kuolewa wanapigwa na kuachwa wakipaata bac mimba lkn ndowa kwao mh ni Sawa na kutafuna chuma Kwa meno
@zakyahya46454 жыл бұрын
Napendaga move zenu kwakwel matlda ongea yake iko ivyo ivyo ata kwa move nawapenda sana nyie amnaga skendo mbovu wala ampendi kiki
@khadijaomar84274 жыл бұрын
Batuli🔥🔥🔥
@khadijaomar27234 жыл бұрын
Wanajitambua hawa wadada
@mariamukajiru18984 жыл бұрын
NDOA NI BARAKA KUTOKA KWA MUNGU HAILAZIMISHWI WAKATI UKIFIKA MTATUNUKIWA HILA WANAUME WENGI WANAOGOPA WADADA WANAOPENDA OUTING.
@latb27474 жыл бұрын
video mbona hamutoi mpk chini zipo passport size tu mnakera
@lucyadam87644 жыл бұрын
Mmeendana sana jaman love Ming Ming kwenu Matilda & batuli
@annaroosevelt44594 жыл бұрын
Nimewapenda sanaaaa wadada tena sanaaa
@annaprosper48454 жыл бұрын
Mmependeza
@salimcherrylane72603 жыл бұрын
You shall never stop amazing nesh wow.... Keep it up......mrs Tanzania. The more you grow the younger you became, be blessed with your family. Cherrylane.
@reginaldmsofe24374 жыл бұрын
kiukweli kuna maneno mmeongea kama yapo moyoni mwenu mungu adhidi kuwalinda miaka 800 nawapenda sanaaaaaaaaaa........
@josephkisaro13774 жыл бұрын
Kijana wa Milard Ayo, ni mjanja sana wa kuuliza maswali , ana kipaji sio taaluma tuu, hongera kwake
@bethymichaellaizer86294 жыл бұрын
Hivi ni mapacha au?
@raphaelbruno27434 жыл бұрын
Millard cku izi ushaanza chafua vichwa vya habari na habar tofauti ndani!!
@israel8044 Жыл бұрын
Matilda ni bonge la actrice anajuwa ku acter zaidi ya sana naeza kusema ni number one Tz najiuliza angeli kutanaka na kanumba sijiwe ingelikuwa je ?? Jordan mayele from DRC🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@happyphillis1483 жыл бұрын
Hivi huna Maswalii khs carrier yao ,,wewe ni mahusianooo tuu then what????beang grown up jamani watangazaji wa Bongoooo
@nurafedrick3784 жыл бұрын
Huyo sio REBECCA ama machoyanguu
@K257954 жыл бұрын
Macho ako
@timedysonmwakafwila8704 жыл бұрын
Ndo mwenyew
@sarahalfani31244 жыл бұрын
Wanafanana wanaendana kwa kweli hawana skendo ,lkn ubaya ni urafiki wao labda hautodumu sababu ni waigizaji ,
@laurineurban49194 жыл бұрын
beauties wit brain😘😘
@husseinnoormohammed53333 жыл бұрын
Mashallah Mashallah Mashallah I love these Ladies. These are ladies of substance and for sure they know their purpose in this life... These are those whom wametajwa katika hadiths nyingi katika dini. “Who is the best lady?” They said , “those whom wen you look at them or feel happy.” These are the Ones... Sengo Le Matilda I love your English 👌👌👌
@kiya0910 Жыл бұрын
Nawapenda hawa wa dada
@ferouzmasoud47414 жыл бұрын
Matilda kanenepa huyo🙄🙄🙄🙄
@ummusirajandsuhailasfamily3980 Жыл бұрын
Wanakaa mapacha
@aishaibrahim56073 жыл бұрын
Mbn wamefanana🙄
@2ragosntondero3033 жыл бұрын
Wanaume hawapo
@johnmwadime45904 жыл бұрын
Mshangaze ulimwwngu baad ya miezi..miwil..leo hii mnachamban mitandaoni
@roseuwambe80894 жыл бұрын
Jaman mmefanana
@halunamaneno99864 жыл бұрын
Yaani wewe matulida nakupenda sana ivi kwa nini ulizubutu kuzaa na mzee stivini nyelele? ulikosa wanaume wa saisi yako? nipe jibu,
@zanderprinceton95394 жыл бұрын
Why are they putting so much pressure on women to get married ❓
@lulucherb4774 жыл бұрын
Walembo Sana afu nyi nawapenda hamupo kwenye mitandao walembo sana
nawapenda sana nyie wadada ile sana mungu awape maisha marefu kazi njema kwenu
@phineking39114 жыл бұрын
Mie Nadhani Tunajichanganya Sana Na Kitu Kinaitwa Mahusiano, Hivi Mungu Alituumba Tuishi Katika Mahusiano Au Katika Ndoa??? Athari Za Mahusiano tunazishuhudia Leo kwamba wanaume wanawatuhumu wanawake kuwa ni waongo, Na wanawake wanawatuhumu wanaume ni waongo pia. Kiukweli Ndoa Ndio Hasa Takwa La Mungu Na Kusudi La Mungu Kumuumba Mtu Mke Na Mtu Mume, Inakuaje Mtu Uridhie Kwamba Mnaweza Kuishi Katika Mahusiano Tu!!??? Tunamhitaji Mungu Zaidi Ili Atuongoze Katika Njia Inayofaa Kuliko Kuifuatisha Namna Ya Dunia Hii Ambayo Mambo Mengi Yamekuwa Yakifanyika Chini Ya Uongozi Wa Shetani.
@sandymakunja76974 жыл бұрын
Uyu mmoja aliolewa sijui kaachika kazi kutembea na Waume za watu, uyu Sengo kazaa na mume wa mtu kauwa ndoa ya mwanamke mwnzie Bullshit all😏
@kimzhavia26534 жыл бұрын
Nawapenda mm bure ❤❤
@twaibaali87662 жыл бұрын
Kweli kabisaa muhimu uthaminiwe kuliko pesa
@neyvatally80084 жыл бұрын
Nimewapnd bure
@valentinamussa42124 жыл бұрын
Like za mbasha kule
@zainabumshihiri70414 жыл бұрын
Jaman madada zang nawapenda sana mungu awaweke kwa urafik wenu mzur aamin
@reahsamwel99033 жыл бұрын
Masha Allah wazuri sana
@rahimaaaaa56824 жыл бұрын
Wadada Wenye eshmazao nawapenda mno
@neemadanielkinduri96383 жыл бұрын
Hawana maringo alaf hakun skendo kma wengine
@azzamahamdu70394 жыл бұрын
Mie NAWAPENDA lkn rebeca punguza poz kdg....
@adillhabib20064 жыл бұрын
Batuli nakupenda kwel +255657453334
@nelsonandanyi2 жыл бұрын
Good...
@gracehenry71373 жыл бұрын
Nawapenda jmn hawa wadada dah ❣️
@sabiyuzk10524 жыл бұрын
Nawapenda jamani nyie wadada2
@faithikyamba9923 жыл бұрын
Nice
@dn.n49834 жыл бұрын
Mbarikiwe sana hawa ni marafi wa kweli
@komboali82033 жыл бұрын
Matilda ila umenenepa, kiukweli nakukubali Sana,
@bijumakassim36974 жыл бұрын
Mashaallah nyote ni wazuri wallah Allah awalinde na kila baya
@sylviamwano22064 жыл бұрын
nakupenda bure Rebecca😘😘
@surujajwie47683 жыл бұрын
allaf munafanana
@charleschoma95553 жыл бұрын
Batuli olewa na Mimi mkulima
@bintisalma12634 жыл бұрын
Kama kashawahi kuachwa hana matiriyo yyt uyo wadangaji tu hao