BATULI NA MATILDA WAMEFUNGUKA, KUFUNGA NDOA NA MAHUSIANO YAO

  Рет қаралды 226,854

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 198
@aminasalum1954
@aminasalum1954 4 жыл бұрын
Mtangazaji upo juu,,km unamkubali Huyu kijana like twende nzetu sawa
@michaelnzunda7347
@michaelnzunda7347 4 жыл бұрын
Wazuli Alf wanafanana ,wanajielew..,they look as wife materials weka ndani ndo utaliona balaa lake.....
@adammwaihojo1671
@adammwaihojo1671 3 жыл бұрын
Hhhhhhhhhh uone mziki wao
@ShSh-my8cw
@ShSh-my8cw 3 жыл бұрын
🤣
@ndzmah47ali6
@ndzmah47ali6 4 жыл бұрын
Nawapenda sanaa nyiye wadada wawili munajiheshimu sana
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 4 жыл бұрын
Mmmmhh !!
@ayshabayun9014
@ayshabayun9014 4 жыл бұрын
Kwani huyo batuli aliachana na yule mume wa mtu?? nilisoma ktk mtandao I'm not sure huyo wife wa huyo mwanaume alikuwa akitukanana na batuli
@khadijahkhamis5851
@khadijahkhamis5851 4 жыл бұрын
ila vidox nakupenda jmn unajua kuhoji MashaAllah nipe like yko nami nijidai
@vidovidox2632
@vidovidox2632 4 жыл бұрын
Dylan Didaz Asante sana mtu wangu
@suzanmoshi710
@suzanmoshi710 4 жыл бұрын
Wadada very confidence
@khadijahkhamis5851
@khadijahkhamis5851 4 жыл бұрын
Majibu kuntu sasa hawa ndio wife materials wnye akili zao
@neymwasu9298
@neymwasu9298 4 жыл бұрын
Kabsa
@rahillhamidu2544
@rahillhamidu2544 4 жыл бұрын
Tena
@florahmushi748
@florahmushi748 4 жыл бұрын
Kama umemuon masanja mkandamizaji amevaa koti la suti rangi ya maroon kwanyuma amepiga picha na shabiki wake then akapita chaaap gonga like kibao hapa
@rosemarryjohn1376
@rosemarryjohn1376 3 жыл бұрын
Nime muona
@Khadija-qr4cr
@Khadija-qr4cr 3 жыл бұрын
Mashaallah wamefanana kama mapacha
@khadijakhadija6212
@khadijakhadija6212 4 жыл бұрын
Mashallah nimewapenda bure 😘😘😘majibu mazur pia km mapacha
@aishaseif2324
@aishaseif2324 4 жыл бұрын
Yaaa wamefana
@baeyanka5264
@baeyanka5264 Жыл бұрын
Wamefanana kweli
@مارياكافشى
@مارياكافشى 4 жыл бұрын
Nawapenda saaana ❤❤🇧🇮
@gracemalashi8358
@gracemalashi8358 4 жыл бұрын
Nawapenda sana😘
@MosbMosb-ru5vv
@MosbMosb-ru5vv 4 жыл бұрын
Namkubali Sana batulii❤️❤️❤️💪💪💪
@kkjjjmmmj3372
@kkjjjmmmj3372 3 жыл бұрын
0755868647 namtaka huyo rafiki ya batuli anicall ntampa real love
@biusimohamed1049
@biusimohamed1049 4 жыл бұрын
wadada wazuri hawa mashallah nawapenda bure
@حسنةزنجباري
@حسنةزنجباري 3 жыл бұрын
Da nyiyi niwazuri kwakweli wasura Nadhani hata.tabia.munguawadumishe naumojawenu semeni amin
@mejubaraza9415
@mejubaraza9415 4 жыл бұрын
Masha Allah nawapenda sana..majibu mazuri na pia hamna maringo
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free 4 жыл бұрын
Kwa swali la ndoa daaah imejibu kiukubwa
@emmyyahya8358
@emmyyahya8358 4 жыл бұрын
Nawapenda wazur km mapacha 😘😘
@christinamagasi625
@christinamagasi625 4 жыл бұрын
Emmy Yahya mm lips tu za Matilda💋
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 4 жыл бұрын
Wazuri wote mashallah
@mohameeddoaan2296
@mohameeddoaan2296 4 жыл бұрын
Wazuri sana
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 4 жыл бұрын
Ya Ata mimi nilitaka sema, wazur uwq nawapendaga jaman matrida kanenepa Harafu ana shepu
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 4 жыл бұрын
Kwel ndowa wanasemaga Ndoa ni nyinyi wenyewe eti tuli unataka niwe kwenye mahusiano
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 4 жыл бұрын
Kwel matrida ni maalufu Lakin anaga, skendo
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 4 жыл бұрын
Eti no koment
@Lulualshagri
@Lulualshagri 4 ай бұрын
Huyu batuli mbona zamani alikuwa haongei hivi au ndio ubishoo
@kanikiommy5167
@kanikiommy5167 Жыл бұрын
Rakini vitu vitamu au ndio mbwembwe tu michezo mnaiweza au maji matupu
@wilbatnyato4679
@wilbatnyato4679 9 ай бұрын
Km wife material waliomzalisha si wangemuoa??
@upendorobert7298
@upendorobert7298 4 жыл бұрын
Nyie wadada na wa appreciate, mnajitambua sanaaaa
@hellenmasasi3850
@hellenmasasi3850 4 жыл бұрын
Wanaonekana wana furaha sana hongera zao
@maryamm7765
@maryamm7765 4 жыл бұрын
Warembo 😍😍👏
@lydearrichard1971
@lydearrichard1971 4 жыл бұрын
Beautiful
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 4 жыл бұрын
Mungu awabariki,Ma dada Warembo Mlio tulia.Nawalov Sana Kina dada.
@saidasaid5855
@saidasaid5855 4 жыл бұрын
Hongera qeen dalin jma ndowa ni baraka kutoka Kwa mungu ukitazama warembo wengi huckii kuolewa wanapigwa na kuachwa wakipaata bac mimba lkn ndowa kwao mh ni Sawa na kutafuna chuma Kwa meno
@zakyahya4645
@zakyahya4645 4 жыл бұрын
Napendaga move zenu kwakwel matlda ongea yake iko ivyo ivyo ata kwa move nawapenda sana nyie amnaga skendo mbovu wala ampendi kiki
@khadijaomar8427
@khadijaomar8427 4 жыл бұрын
Batuli🔥🔥🔥
@khadijaomar2723
@khadijaomar2723 4 жыл бұрын
Wanajitambua hawa wadada
@mariamukajiru1898
@mariamukajiru1898 4 жыл бұрын
NDOA NI BARAKA KUTOKA KWA MUNGU HAILAZIMISHWI WAKATI UKIFIKA MTATUNUKIWA HILA WANAUME WENGI WANAOGOPA WADADA WANAOPENDA OUTING.
@latb2747
@latb2747 4 жыл бұрын
video mbona hamutoi mpk chini zipo passport size tu mnakera
@lucyadam8764
@lucyadam8764 4 жыл бұрын
Mmeendana sana jaman love Ming Ming kwenu Matilda & batuli
@annaroosevelt4459
@annaroosevelt4459 4 жыл бұрын
Nimewapenda sanaaaa wadada tena sanaaa
@annaprosper4845
@annaprosper4845 4 жыл бұрын
Mmependeza
@salimcherrylane7260
@salimcherrylane7260 3 жыл бұрын
You shall never stop amazing nesh wow.... Keep it up......mrs Tanzania. The more you grow the younger you became, be blessed with your family. Cherrylane.
@reginaldmsofe2437
@reginaldmsofe2437 4 жыл бұрын
kiukweli kuna maneno mmeongea kama yapo moyoni mwenu mungu adhidi kuwalinda miaka 800 nawapenda sanaaaaaaaaaa........
@josephkisaro1377
@josephkisaro1377 4 жыл бұрын
Kijana wa Milard Ayo, ni mjanja sana wa kuuliza maswali , ana kipaji sio taaluma tuu, hongera kwake
@bethymichaellaizer8629
@bethymichaellaizer8629 4 жыл бұрын
Hivi ni mapacha au?
@raphaelbruno2743
@raphaelbruno2743 4 жыл бұрын
Millard cku izi ushaanza chafua vichwa vya habari na habar tofauti ndani!!
@israel8044
@israel8044 Жыл бұрын
Matilda ni bonge la actrice anajuwa ku acter zaidi ya sana naeza kusema ni number one Tz najiuliza angeli kutanaka na kanumba sijiwe ingelikuwa je ?? Jordan mayele from DRC🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@happyphillis148
@happyphillis148 3 жыл бұрын
Hivi huna Maswalii khs carrier yao ,,wewe ni mahusianooo tuu then what????beang grown up jamani watangazaji wa Bongoooo
@nurafedrick378
@nurafedrick378 4 жыл бұрын
Huyo sio REBECCA ama machoyanguu
@K25795
@K25795 4 жыл бұрын
Macho ako
@timedysonmwakafwila870
@timedysonmwakafwila870 4 жыл бұрын
Ndo mwenyew
@sarahalfani3124
@sarahalfani3124 4 жыл бұрын
Wanafanana wanaendana kwa kweli hawana skendo ,lkn ubaya ni urafiki wao labda hautodumu sababu ni waigizaji ,
@laurineurban4919
@laurineurban4919 4 жыл бұрын
beauties wit brain😘😘
@husseinnoormohammed5333
@husseinnoormohammed5333 3 жыл бұрын
Mashallah Mashallah Mashallah I love these Ladies. These are ladies of substance and for sure they know their purpose in this life... These are those whom wametajwa katika hadiths nyingi katika dini. “Who is the best lady?” They said , “those whom wen you look at them or feel happy.” These are the Ones... Sengo Le Matilda I love your English 👌👌👌
@kiya0910
@kiya0910 Жыл бұрын
Nawapenda hawa wa dada
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 4 жыл бұрын
Matilda kanenepa huyo🙄🙄🙄🙄
@ummusirajandsuhailasfamily3980
@ummusirajandsuhailasfamily3980 Жыл бұрын
Wanakaa mapacha
@aishaibrahim5607
@aishaibrahim5607 3 жыл бұрын
Mbn wamefanana🙄
@2ragosntondero303
@2ragosntondero303 3 жыл бұрын
Wanaume hawapo
@johnmwadime4590
@johnmwadime4590 4 жыл бұрын
Mshangaze ulimwwngu baad ya miezi..miwil..leo hii mnachamban mitandaoni
@roseuwambe8089
@roseuwambe8089 4 жыл бұрын
Jaman mmefanana
@halunamaneno9986
@halunamaneno9986 4 жыл бұрын
Yaani wewe matulida nakupenda sana ivi kwa nini ulizubutu kuzaa na mzee stivini nyelele? ulikosa wanaume wa saisi yako? nipe jibu,
@zanderprinceton9539
@zanderprinceton9539 4 жыл бұрын
Why are they putting so much pressure on women to get married ❓
@lulucherb477
@lulucherb477 4 жыл бұрын
Walembo Sana afu nyi nawapenda hamupo kwenye mitandao walembo sana
@leiratykisura6718
@leiratykisura6718 3 жыл бұрын
Mtangazaji yupo vzr aisee ameoji mbaka laha sapolaiz
@مسلمكشوب-ع7ت
@مسلمكشوب-ع7ت 4 жыл бұрын
nawapenda sana nyie wadada ile sana mungu awape maisha marefu kazi njema kwenu
@phineking3911
@phineking3911 4 жыл бұрын
Mie Nadhani Tunajichanganya Sana Na Kitu Kinaitwa Mahusiano, Hivi Mungu Alituumba Tuishi Katika Mahusiano Au Katika Ndoa??? Athari Za Mahusiano tunazishuhudia Leo kwamba wanaume wanawatuhumu wanawake kuwa ni waongo, Na wanawake wanawatuhumu wanaume ni waongo pia. Kiukweli Ndoa Ndio Hasa Takwa La Mungu Na Kusudi La Mungu Kumuumba Mtu Mke Na Mtu Mume, Inakuaje Mtu Uridhie Kwamba Mnaweza Kuishi Katika Mahusiano Tu!!??? Tunamhitaji Mungu Zaidi Ili Atuongoze Katika Njia Inayofaa Kuliko Kuifuatisha Namna Ya Dunia Hii Ambayo Mambo Mengi Yamekuwa Yakifanyika Chini Ya Uongozi Wa Shetani.
@sandymakunja7697
@sandymakunja7697 4 жыл бұрын
Uyu mmoja aliolewa sijui kaachika kazi kutembea na Waume za watu, uyu Sengo kazaa na mume wa mtu kauwa ndoa ya mwanamke mwnzie Bullshit all😏
@kimzhavia2653
@kimzhavia2653 4 жыл бұрын
Nawapenda mm bure ❤❤
@twaibaali8766
@twaibaali8766 2 жыл бұрын
Kweli kabisaa muhimu uthaminiwe kuliko pesa
@neyvatally8008
@neyvatally8008 4 жыл бұрын
Nimewapnd bure
@valentinamussa4212
@valentinamussa4212 4 жыл бұрын
Like za mbasha kule
@zainabumshihiri7041
@zainabumshihiri7041 4 жыл бұрын
Jaman madada zang nawapenda sana mungu awaweke kwa urafik wenu mzur aamin
@reahsamwel9903
@reahsamwel9903 3 жыл бұрын
Masha Allah wazuri sana
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 4 жыл бұрын
Wadada Wenye eshmazao nawapenda mno
@neemadanielkinduri9638
@neemadanielkinduri9638 3 жыл бұрын
Hawana maringo alaf hakun skendo kma wengine
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 4 жыл бұрын
Mie NAWAPENDA lkn rebeca punguza poz kdg....
@adillhabib2006
@adillhabib2006 4 жыл бұрын
Batuli nakupenda kwel +255657453334
@nelsonandanyi
@nelsonandanyi 2 жыл бұрын
Good...
@gracehenry7137
@gracehenry7137 3 жыл бұрын
Nawapenda jmn hawa wadada dah ❣️
@sabiyuzk1052
@sabiyuzk1052 4 жыл бұрын
Nawapenda jamani nyie wadada2
@faithikyamba992
@faithikyamba992 3 жыл бұрын
Nice
@dn.n4983
@dn.n4983 4 жыл бұрын
Mbarikiwe sana hawa ni marafi wa kweli
@komboali8203
@komboali8203 3 жыл бұрын
Matilda ila umenenepa, kiukweli nakukubali Sana,
@bijumakassim3697
@bijumakassim3697 4 жыл бұрын
Mashaallah nyote ni wazuri wallah Allah awalinde na kila baya
@sylviamwano2206
@sylviamwano2206 4 жыл бұрын
nakupenda bure Rebecca😘😘
@surujajwie4768
@surujajwie4768 3 жыл бұрын
allaf munafanana
@charleschoma9555
@charleschoma9555 3 жыл бұрын
Batuli olewa na Mimi mkulima
@bintisalma1263
@bintisalma1263 4 жыл бұрын
Kama kashawahi kuachwa hana matiriyo yyt uyo wadangaji tu hao
@veronicanana1660
@veronicanana1660 4 жыл бұрын
Ad mnafanana
@getrudeswai412
@getrudeswai412 4 жыл бұрын
Love mingi kwao
@sharifakhamis2461
@sharifakhamis2461 4 жыл бұрын
Kama mapacha
@mathildemwangaza109
@mathildemwangaza109 3 жыл бұрын
Matilda anakua na watoto Wa 2 ?
@ibrahimsheha215
@ibrahimsheha215 4 жыл бұрын
Vido noma unaisi mwanaume atakae muowa atafaidika nanini
@annaprosper4845
@annaprosper4845 4 жыл бұрын
Mmependeza
@annaprosper4845
@annaprosper4845 4 жыл бұрын
Ninawapenda nyie Basi tu
@superdeeboy6100
@superdeeboy6100 3 жыл бұрын
Mashallah mko vizur dada zangu ongeren
@timedysonmwakafwila870
@timedysonmwakafwila870 4 жыл бұрын
Matilda amekuwa bonge
@dynasimon4455
@dynasimon4455 3 жыл бұрын
Bonge sio mchezo mi hadi nimemsahau
@zaiiomary8970
@zaiiomary8970 4 жыл бұрын
Nampenda batuli mim jamani lik kwa batuli wake
@mathildemwangaza109
@mathildemwangaza109 3 жыл бұрын
Wauuu Matilda eti wewe nimushauri
@paulinekababa524
@paulinekababa524 4 жыл бұрын
Mashaallah
@comfortzainab5414
@comfortzainab5414 4 жыл бұрын
Nimewapenda bure ,,, naa sijawai sikia sekendo km zawasanii nyie
@bupemwamakamba1132
@bupemwamakamba1132 4 жыл бұрын
Asante Millard kwa kutuongezea tangazo😂😂
@asmaally8353
@asmaally8353 4 жыл бұрын
KWA MATATIZO YA NGOZI,KAMA MICHIRIZI SUGU, MAKOVU, NYAMA UZEMBE, KUONGEZA SHEPU, HIPS,N.K,DAWA ZIPO,SMS/WHATSAP 0693_330284
@asmaakenya286
@asmaakenya286 4 жыл бұрын
Dawa za kiasili ama
@ammyphilimon6971
@ammyphilimon6971 4 жыл бұрын
Ni mapacha? Nisaidie jamn maana wanafanana
@florakaaya4559
@florakaaya4559 3 жыл бұрын
Wapigeni picha had miguuni
@ayoubfadhili4695
@ayoubfadhili4695 4 жыл бұрын
dem akiwa na hela anataman cc tusionazo, ila asie nazo anataman mweny nazo, na hayo maisha
@getrudakulaya5495
@getrudakulaya5495 4 жыл бұрын
Batuli yupo makini na majibu yake
@mathildemwangaza109
@mathildemwangaza109 3 жыл бұрын
Matilda umenenepa sana enda gym
@thamiyuucute7098
@thamiyuucute7098 4 жыл бұрын
Mashallah...Nawapendaaa Wazurii😘😘😘😘
@cessianthony2644
@cessianthony2644 4 жыл бұрын
Midada mizuri hii
ITS A GIRL ! Mama Milly WaJesus Reaction to Our Pregnancy Announcement
28:46
THE WAJESUS FAMILY
Рет қаралды 121 М.
💩Поу и Поулина ☠️МОЧАТ 😖Хмурых Тварей?!
00:34
Ной Анимация
Рет қаралды 2 МЛН
The selfish The Joker was taught a lesson by Officer Rabbit. #funny #supersiblings
00:12
Win This Dodgeball Game or DIE…
00:36
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 38 МЛН
From Small To Giant Pop Corn #katebrush #funny #shorts
00:17
Kate Brush
Рет қаралды 71 МЛН
WELLU SENGO: MFANYABIASHARA HANA KELELE, NAISHI MAISHA YA KAWAIDA
4:09
💩Поу и Поулина ☠️МОЧАТ 😖Хмурых Тварей?!
00:34
Ной Анимация
Рет қаралды 2 МЛН