Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili #Kenya #Ruto #Maandamano #bbcswahilileo #FilipeNyusi #SamiaSuluhuHassan #Bidem #Trump
Пікірлер: 15
@ClementJacob-sd8lf3 күн бұрын
Dada your on the point good speech i understand you dear awo hawayelewi bring these social media into justice siyo kwakuhonga pesa
@lilianpuka2183 күн бұрын
Kuandamana ni haki ya raiya kupaza sauti zao ili kupata haki 🙋🙋🙋🎉👍
@augustinembola15023 күн бұрын
Asante bbc
@ajayphili81213 күн бұрын
Kenya ni janga ukiwa nje ya Kenya utaona kama ni vyema kuandamana kwao lakin kuna hasara kubwa kuna kundiku kibwa la wafanyabiashara wadogo hasa na wakubwa kushuka kiuchumi na kufilisika kabisa lakin pia aman ya nchi ni ndogo watu wanaweza kukuvamia na kukupola na huwezi kushtaki kwa kipindi hiki cha uarifu tuendelee kuwaombea
@bigmandubesamuelndetsa2683 күн бұрын
Musiwe mkasahau habari za inchi ya Congo 🇨🇩 Drc
@shamsham1018Күн бұрын
Israeli vita gasa
@user-fh9nx9xq8u3 күн бұрын
Majirani zetu wakenya tumieni haki yenu kikatiba viongozi wetu wa Afrika wakiingia madarakani hawawatambuii walio wapigia kura ufisadi ndio kipaombele chao,MUNGU,awakumbushe viapo walivyoapa wakati wanaingia kazini kututawala
@SalumMattar3 күн бұрын
Hapa ndipo pakubwa sana Waafrika tutatuwe matatizo yetu wenyewe
@shabanisango63772 күн бұрын
Raisi wa msumbiji anashukuru jumuia ya SADC eti imeleta usalama mchini msumbiji kwani vita imeisha cabo delgado kwa maana hadi sasa cabo delgado kuna vita acheni kuchaganya wana inchi
@jonahchepkwony19222 күн бұрын
Hawa waboraji wanataka kuzua vurugu ndio walaumu serikali uchumi Kenya umeimarika na madeni kupungua serikali ya Rais Ruto bado ni janga miaka miwili ushukani na imefanya mengi
@johnsabinus85822 күн бұрын
Polisi walio enda haity waludi kenya 😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-ej9sn1qq1p3 күн бұрын
Mbona tangu maandamano yaanze sijaona kikundi chochote kikitetea watu wanoibiwa mali zao?
@medardkalinjuma55033 күн бұрын
Nyie ni wajinga mnashindwa kutafuta maisha yenu mnataka serikali iwagawie hela mswada ushaondolewa sasa mwataka nn ,mnaandamana na kuharibu mali za watu hiyo niakili au utopolo , uhuru ukizid ni uwendawazimu.
@ClementJacob-sd8lf3 күн бұрын
Bro your talking no sense when the price of simple food for the poor will come down do you know what government mean you will see what will happen in Kenya acha wapolani tena awo wafanyabishala ndo wizi sana