Ungemtumbua waziri wa fedha ingekua vzr sana maana watanzania tunalalamika ila bado yupo tu daa
@augustinekusekwa1834 күн бұрын
kabisa sio siri
@samsonhamery38093 күн бұрын
Si vyepesi Sana Rais yeyote kumtumbua Waziri wa fedha anless Rais awe hashirikiani naye kwa njia isiyofaaa Yaani mwaminifu kwelikweli awe na hakika hana makando kando ya kipato cha kificho
@Mima-cl2im3 күн бұрын
Serikali hasikilizi wananchi. Power iko kwa watu, na serikali ni ya wananchi. Wabunge wako bungeni kusimamia haki zetu. Kwa sasa serikali ni ya CCM. Na wabunge wanakiwakilisha chama na sio watu. Mishahara yawo inalipwa na wananchi. Katiba mpya inatakiwa haraka kutuokowa kwenye huu utumwa mambo leo. Watu wasitegemee vyama vya siasa kupata haki zawo. Kila mtu awe na uhuru bila vyama. Walioiteka nchi kupitia vyama vya siasa. Tuseme tu haki, Watanzania wengi wako utumwani
@Mima-cl2im3 күн бұрын
Waziri wa fedha ni kwenye group la wapigaji. Wananchi wamelalamika hawasikikizwi. Rais kajifanya bublu. Kuna Siri gani hapo?
@bundaman85423 күн бұрын
Watu mna roho mbaya hata bila sababu. Hivi bila Mwigulu asingekuwepo pale hiyo miradi mikubwa ingekuwa inatekelezeka. Ni ma trillion ya pesa yanahitajika. Usipokuwa na kichwa kama hicho utafanikiwa wapi. Nenda shule ndo ufahamu watu wanavyofanya kazi
@deogratiaskatinda92324 күн бұрын
Nchi ikikosa kiongozi ni hatari sana!
@geey78932 күн бұрын
yani ni aibu
@mayrfrimi47594 күн бұрын
Mama Samia ukweli ni kwamba kulipa kodi hatuna shida, tatizo kodi zetu za Tz ni za juu mno, zinatuumiza sana
@kwisa48993 күн бұрын
kwahiyo zikipotea kwako huna shida ?
@section8ight1743 күн бұрын
Lol you have on of the lowest taxes in the world and there you are still complaining without doing your due diligence!! Make Google your friend kind sir!!
@leokamil62842 күн бұрын
Ebu fikiria kodi asilimia 70 ya matumizi yao asilimia 30 ndio ya maendeleo hahaaa yaani wanamatumizi kama mchwa.Bado wanakopa toka Mwendazake atutoke kukopa kweli kweli na bado hajijulikani zinaenda wapi.Cha kushangaza anajua wanaiba anatamka wanaiba kisha bado anawaweka hao hao watanzania hivi tumelogwa ?
@HamisMghuna-fj3vz2 күн бұрын
Tz Tatizo shule w congo w Zambia Malawi msumbiji Burundi Rwanda wamekimbilia Mombasa kisa TRA Uganda hawana bandari lkn watu wanaenda Uganda, et rist mapato mtapata je
@bockerNyarusahi2 күн бұрын
Na matumizi yake pia
@Mima-cl2im4 күн бұрын
Watu wanaiba kama hakuna serikali. Watu wanateseka, bunge limetekwa. Wananchi wanaotetea Mali za wanatanzania wanaambiwa wabebe Mizigo yawo watóke bungeni, utafikiri bunge ni la watu binafsi. Uwongo juu ya uwongo. Wabunge wote wakianza kutowa hoja zawo wanamushukuru Mwenyezi Mungu kisha wanamushukuru Rais. Rais amekuwa Mungu wa pili. huku hawatetei haki.. Wenye akiri zetu tunajuwa hizi ni sifa za uwongowa. Wanayoyasema pembeni wanajuwa wenyewe.. Wanaosema ukweli na watetezi wa haki wanafukuzwa bungeni. Haki iko wapi?
@rendiman28784 күн бұрын
Kwasababu matanganyika ni maoga kama mbwa koko
@Mima-cl2im3 күн бұрын
@@rendiman2878 Na wewe ni raia wa wapi?
@rendiman28783 күн бұрын
@@Mima-cl2im huwa sijibu usenge huo. Mafisi mikishindwa hoja mnaanza kulliza uraia wa mtu kwasababu hamtaki kuambiwa ukweli
@section8ight1743 күн бұрын
Nyie wasenge sijui Wa Burundi ama Kongo, vipi mmetumwa nini kutuchokonoa?
@section8ight1743 күн бұрын
@@Mima-cl2immkongo Huyo! Nadhani wanalipwa na wazungu kutuchokonoa, wasenge wanafirwa hawa
@elioimer84233 күн бұрын
Kama mama Anasema mnaiba , kwa nini wasistakiwe. Nchi ya ajabu sana.
@geey78932 күн бұрын
sjawahi kusikia speech ya hivi kutoka kwa raisi wa nchi ndugu zangu.kazi tunayo
@elisharenatus93513 күн бұрын
Sema Rais ni mlalamikaji sana juu wezi badala ya kuchukua hatua ya kuwatumbua very sad
@freddymtashi50202 күн бұрын
Kama unajua walikuwa wanaiba mbona huwachukulii hatua!!
@PeterNMzee3 күн бұрын
Nasikia kichefu2
@justinemsela35934 күн бұрын
Mh rais wetu Samia, kwann watu au taasisi zinazotajwa na CAG kufuja pesa za uma hawachukuliwi hatua za kisheria na kiwajibishwa
@mwalimumstaafu85294 күн бұрын
Professor anasema tunakopa sababu sisi matajiri. Mama hiyo kauli Mh Mwigulu alikuwa atumbuliwe. Ukweli ni kwamba mapato hayaridhishi. Mama matumizi yasiyo ya lazima yapungue. Nashangaa waziri wa fedha halipi kipaumbele. Ripoti ya CAG zinaonyesha pesa nyingi inapotea kwa uzembe wa wafanyakazi. Napendekeza tuwe na sheria kali dhidi ya ubadhirifu wa mali ya umma.
@section8ight1743 күн бұрын
Kunyongwa tu kama wanavyofanya Uchina au kukata vidole kadiri unavyozidi Kuiba kama Saudi
@Mima-cl2im3 күн бұрын
Waziri wa fedha hajtali hali ya watanzania. Huyu yumo kwenye kundli la mafisadi ndiyo maana anasema sisi ni matajiri. Ukiingia kwenye siasa unatajirika bila kuwa na kiwanda. Tayali, kisha mmutayalisha Mtoto wake kuingia kwenye siasa. Tanzania tutawaliwa na Hawo Hawo viongozi wetu. Wakitoka wawo wanashika watoto wawo. Vijijini watu wanakula majani. Watoto bado wanakaa chini. Walisema elimu bure, ni Uwongo. Viongozi wetu wanaishi kitajiri na kufumbia macho shida za wananchi. . Mama anakopa anamwaga, watu kama wakina Mwiguru wanachota, Rais hana habari wanamuziba macho na masikio kwa kumpa sifa, mama anaupiga mwingi. Watanzania tuna shida kubwa sana kwa elimu yetu ndogo.
@Piscesblair2 күн бұрын
Hongera Sana Mama yetu. Tutanyooka tu. Mdogomdogo. Bado Halmashauri zetu.
@gm0033 күн бұрын
Mtu anaeiba anawezaje kupewa kazi ingine??? Unatuambia nini Mama Abdul sisi Watanzania Mafala?
@gm0033 күн бұрын
Mama Abdul, unafurahisha, Kidata jizi, sasa ndo MSHAURI WAKO WA KODI, haaa Watz kweli sisi ni mafala, ilibifi tuingie mitaani jana na sio kesho, ccm wanatuchezea!!
@elibarikimollel71493 күн бұрын
Haya yote unayokataza yanakujaje kila mara yanajirudia,na ĺundo la kodi tusilolimudu linakujaje?! Uongozi wa juu umeshindwa kubuni vyanzo vya kodi tofauti na kukamua wananchi tu?! Huyu waziri wa fedha hana ubunifu tofauti akaacha kukopa mfululizo huku anatuletea tozo mfululizo!? Loh! Mtatuua lkn na ninyi mtakufa mtaziacha
@raymondtenga3 күн бұрын
Mama nakupongeza kwa jitihada ZAKO. Ulinip nafasi ya kukushauri, nitakujulisha Kama ifuatavyo:- Watoza Kodi Wana elimu ya kutoza Kodi lakini walipa Kodi hawana elimu ya kulipa Kodi. 2 Walipa Kodi wakifanya makosa Wana adhabu(penalty) Watoza Kodi wakifanya makosa hawana adhabu. Ukubwa wa adhabu unatoa fursa ya watoza Kodi Kutengeneza fursa za rushwa na wizi. 3 mbinu za kushawishi ongezeko la wafanyabiashara NI dhaifu. Njia za wafanyabiashara kupata mtaji NI finyu. Mifumo ya mikopo NI mibovu ( mikopo kausha damu) imezidi na inadumaza biashara. Waziri wa biashara na viwanda awe na eliminate yakinifu ya ujasiriamali ( Entrepreneur ship knowledge know how.)
@gm0033 күн бұрын
Kutokopa mama Abdul kunawezekana, PUNGUZA ZIGO LA MATUMIZI YA SERIKALI...mashangingi na mianya ya kupotea kwa pesa za walipakodi, kupitia watendaji wa serikali...na hii kazi ccm haimuwezi.
@michaelmabula74444 күн бұрын
Mama naomba uwe serious na watz Wengi majizi ,ndo maana nchi haisogei
@deogratiaskatinda92324 күн бұрын
Mchoma picha ya raisi yupo sero ilihali wezi na mafisadi wanaachwa tu kwa kubembelezwabembelezwa! Tanzania na vichekesho vya viongozi wetu.
@mabondolawrence18124 күн бұрын
Mwizi anakaa mesa Moja na muheshimiwa! Mwizi.....nani analinda raia na Mali zao? Nani anapambana na kuzuia rushwa?
@lukomanomaliki54424 күн бұрын
Hivi vyeo vya kupeana vina tabu sana.Mtu anaharibu hapa anapelekwa pale.
@MATIKO96403 күн бұрын
Katiba ya nchi yetu hakika ilitudhurumu haki yetu ya msingi ya kupiga kura, kumchagua kiongozi takwa letu sisi wananchi na sio takwa la katiba ya zamani ambayo haina hata mchango wa mawazo yetu sisi kama raia wa sasa tunaongozwa, huko ni kutuburuza, kutulazimisha kukubali maamuzi ambayo hatukushiriki, Dah!. hayati rais wa Iran alipofariki kwa ajali, uchaguzi ukaitishwa ili kupata rais wa wananchi, na hivyo ndivyo inavyotakiwa hata katiba iwe,makamu wa rais hatumchagui sisi, inakuwaje then anakuwa rais na hatujamchagua? au mimi ndo sielewi, basi mnisaidie mawazo.
@ngamugamahonzelosanga33163 күн бұрын
Punguzeni VAT ni kubwa mno wekeni walau iwe 12% ili waingizwame walipa kodi wengi zaidi
@selemanijumaselemani71912 күн бұрын
Shida wanakusanya kisha wanaiba pengo linazibwa na mikopo,mzigo unabaki palepale kwa wananchi kulipa deni, hiyo ndio mifumo ya viongozi wa Africa tunaomba Mungu amuongoze.
@rahimmaulid22832 күн бұрын
Tatizo tukishauri serikali ndo utasikia ila mimi kama kijana Anaependa nchi yake ukweli mama yangu Rais wangu kumtoa kidata Dar cjui ili sijazungumza vibaya dr es salaam inatakiwa mtu kamq mzee wetu kidata Aliweza sana tena sana
@raymondjohn37983 күн бұрын
Kodi bado IPO juu Sana, especially kuna watu wa nao ishi nje ya nchi ambao wanapotaka kurudi nyumbani huja na Mali zao Sasa Kwa Nini walipe Kodi ya Mali zao???wakati nivitu walipata Kwa Kazi zao.
@yusufurhobi96784 күн бұрын
Sio kwamba wanakula kulingana na urefu wa kamba yao
@gosbertrwezahura36453 күн бұрын
Na yeye Samia ndo alisema hivo.
@generosennko83433 күн бұрын
Viongozi mweenye skio na asikie. Mama kwa utulivu amewapa hekima ktk kuongoza kwenu.hakubakisha kitu. Please go and perform. Asante mamakwa maneno yenye mshiko. I hope wameelewa ulivyowaagia. Mungu barikiTanznia
@GibsonNtamamilo2 күн бұрын
Huwezi kumteua unayejua kuwa alikuwa anaiba. Hii inaumiza sana tena .Binafsi nimesikitika sana.
@amohammed33903 күн бұрын
If there’s system of justice there would be no stealing but caring thieves is not acceptable
@iddiabdallah73524 күн бұрын
Tra ,takukuru,ewura,tcra,nida ni institution zinazotakiwa ziangaliwe kwa jicho sanifu mlo kwani ni sekta nyeti ktk maendeleo ya nchi why?we lives like this?
@MalamboSelijusi4 күн бұрын
Mwigulu yupo njiani nawengine nimeshasoma nyakati
@kwisa48993 күн бұрын
Anahistoria ya wizi arafu Tiss inapatika kazi nchi ngumu hii
@jeremiahngoka49803 күн бұрын
Nchi ya kulalamika kila mmoja.Aibu sana
@ignasnyembo1256Күн бұрын
Mungu wangu jamani nchi haina rais
@MariaCassian-e2i2 күн бұрын
Sina lakusema zaidi ya😂😂😂😂 maana kama mwizi wa kuku yupo segerea au kauwawa wezi wa fedha ya serikali❤❤❤
@samsonhamery38093 күн бұрын
Kwa kauli hii ya Rais ni kama kusema "Mchawi mpe mwanao akulelee"
@ImamuKitale3 күн бұрын
2:28 magufuli tuu
@lawrencegwerino16562 күн бұрын
Unafiki viongozi raisi akiongea wanasimama wanainama unafiki ,sisi watu weusi alieturoga alishakufa….
@JonasMathias-s6m3 күн бұрын
Bora tufe sisi watoto wetu waishi kesho,hatuna rais hapa
@user-ze6lx9ng6s4 күн бұрын
Waziri ndiyo fisadi,tumbua mawaziri wako,huyo umemuonea,
@siamollel60514 күн бұрын
Jamani ,jamani,Tuafika kweli?Maisha nimagumu
@htx18732 күн бұрын
Fisi anapelekwa kwenye mifupa halafu tunaexpect asile mifupa , jamani hivini ni kweli ? 🥴🥴🥴 Time will Tell !!!
@jolitabukabengwe30704 күн бұрын
Mama SMAIA SULUHU HASSAN. Umenena vizuri umeelewaka. Sasa Fukuza kazi Majizi yote serkalini ili update pesa za kuendesha shughuri za serkali.. usiyaoneee huruma kabisa. Ukifanya hivyo utaona hazina pesa zinajaaa tele..
@user-ze6lx9ng6s4 күн бұрын
Mawaziri anawagopa,au hakuwatea yeye
@gosbertrwezahura36453 күн бұрын
Huo uwezo hana.
@bettyrugemalila91852 күн бұрын
Angemtumbua waziri wa Fedha,ni mwizi halafu kiburi cna
@JonathanMwandala-hs3ld2 күн бұрын
Yaaani unajua kwamba ni mwizi afu unampa tena cheo,daaah hatare sana iii
@leokamil62842 күн бұрын
Sikuwahi kuona kushuhudia kusikia Raisi wa nchi anaongea hivi inasikitisha mno
@iddyekanda6456Күн бұрын
Kuna majizi yanaiba hayashitakiwi alafu wananchi tunakamuliwa kulipa kodi punguza kodi iwe rafiki na mfanya biashara hakuna mwananchi atahepa kulipa kodi,, Kariakoo ukinunua bidhaa ukiitisha risiti unaulizwa upewe risiti ya kusafirisha bidhaa au ya kununulia,
@Nedjadist4 күн бұрын
Watu wamewaibia wananchi maskini yab idi kwanza wzfilisiwe pili makama tatu warudishe mali. Marufuku kufanya kazi ya umma milele. Halafu anamteua mtu anayekiri ni mwizi! Unauchekea ufisadi! Ila mtu akipasua picha....
@nsajigwamwakalonge57023 күн бұрын
Ote hao ni wezi
@gosbertrwezahura36453 күн бұрын
Samia nchi imekushinda. Una woga mwingi. Huna udhubutu, unawaogopa wala rushwa wenzako. Ripoti ya CAG imekushinda kuifanyia kazi. Tumepiga kelele mpaka tumechoka. Mnakusanya kodi zinaishia kwenye mifuko yenu. Kama hamkujifunza kutoka Kenya basi zibeni masikio.
@rayisadesigns26463 күн бұрын
Utafungwa na domo lako hilo, hivi ukiulizwa unaweza kutoa uthibitisho kwa hicho unachomshutumia raisi?!
@BraxedaDomina-xn4zc21 сағат бұрын
@@rayisadesigns2646Acha kutisha watu bro
@geey78932 күн бұрын
we si ulisema Magufuli alkua anakusanya kodi za manyanyaso? sasa mikopo ya nini? bado hamjasemaaaaaa
@thomaskwibonelwa92402 күн бұрын
Ni ajabu kiongozi kulalamika. Watanzania tupo milioni 60, kwanini akumbatiwe mwizi mmoja! Wapo wenye sifa, shida hawajui kuimba mapambio kusifia.
@gabrielsanya32783 күн бұрын
Mtumbue waziri wako wa fedha yeye ndiye KASWENDE KUBWA matatizo yote ya RUSHWA Bandarini, Kariakoo yeye anjua Siri zote na ndiye mtoa maagizo ya kusamehesha KODI. Utawabadilisha Makamishina na Kuwatumbua kwa maelfu lakini hujajibu KIDONDA.
@MalamboSelijusi4 күн бұрын
Kweli mama
@majaliwabwitonde69004 күн бұрын
Kumbe walikuwa wanaiba
@adelinelyaruu30364 күн бұрын
Haya sasa
@michaelmoro48013 күн бұрын
Safi sana mama kwa maneno mazuri nakupenda sana
@edgerphanuel69672 күн бұрын
Kila la kher
@PeterNMzee3 күн бұрын
Hamna kitu hapa.....hata hiyo hela mliyo kopa mmeiba.....madeni sisi ndo tutalipa.....anyway nadhani mnaona yakiotokea kenya
@MathewNathan-yb2bz3 күн бұрын
Hongera mama,kuwa mkali sana na usicheke na kima.
@sammymdemeka79372 күн бұрын
RAIS wangu kipenzi naomba wezi kwenye utumishi wawajibishwe kama wahujumu uchumi shida iko wapi kufanya maamuzi? Badilisha Sheria ya utumishi watu wafungwe maisha na wafilisiwe Hadi paka wao WATAACHA WIZII!
@PaschalGerad-xq4lwКүн бұрын
Mama achavupumbavu selikali siyo mumewako. Acha kunyenyekea kiivo unaangamizanchi. Toa kauli za kishujaaa ao wapumbavu wanakucholatu. Kwamala yakwanza nchi itachafuka kwenye uongoziwako
@davidmgedzi98793 күн бұрын
Mama nakuelewa ila ebu tumbua kidogo shida mama una hofu ta mungu sana watu wanaona km we we huna sumu ebu wang,ate kwanza😅
@alexkatama43413 күн бұрын
Tukodishe management ya TRA kutoka nje kwa mwaka mmoja tu....Wabunge pia wanapaswa kulipa kodi
@IlalioMbunju-hv7kw3 күн бұрын
Kwa kuongezea maneno ya Rais, mkumbuke kwamba mtakufa na kama mmeiba sana hamtaenda navyo kwa Mungu mtaenda na roho tu. Rais kasema cheo ni dhamana tu
@majaliwaharuna40643 күн бұрын
Suala la kuiba fedha za serikali ni kweli wanaiba lakini mama unaposhindwa kuwachukulia hatua hao wizi ni wazi kuwa hata huyo mpya ataishi kama waliotangulia.unapomtengua mtu Kisha anakuwa mshauri wako sijui unategemea nn hapo
@MagrethKatondo-qs9oz2 күн бұрын
Mmmmhhh mungu tuhurumie.
@mayrfrimi47594 күн бұрын
Samia wetu mpendwa, tafadhali ondoa matumizi yasio ya lazima serekalini, mfano, magar ya garama, kwa baadhi ya viongoz,
@nasibuathumani77054 күн бұрын
Nataman siku moja. Nikutane na mama. Nimwambie njia nyingine ya kupata pesa. Nampenda sana
@KiongoziMwandamizi3 күн бұрын
Andika hapa ataona😂😂
@GibsonNtamamilo2 күн бұрын
Niambie mimi tukazipige hizo hela
@PaschalGerad-xq4lwКүн бұрын
Ao wanalipwa msahara mkubwa alafu unawachekea kuwa mkali kama umeshindwa kaapembeni ata akuna point uloifanya apo
@lailafakhihaji3 күн бұрын
Wanakusanya wanatia mfukoni TRA ni cance ambayo haina dawa katika kiwanja Cha ndege dar wanakwambia kabisa mzigo wako bei ya kawaida ni milioni lakini ukitoa laki Tano nakuandia lakitatu laki mbili mfukoni mwake kwa siku anakusanya ngapi cargo huko na ushahidi ninao wanasumbua sana watu
@nsiamasawe45782 күн бұрын
Manabii na mitume wa uongo walipe kodi wanawaibia wananchi maskini
@MagrethKatondo-qs9oz2 күн бұрын
Mungu tusaidie wewe peke yako hakuna mwingine. Na waziri wa fedha je? Mmmh .
@SanziNzige3 күн бұрын
Yani na limwigulu limo TU HUMO ndani? na wewe mama una mwangalia TU mwigulu kafanya zuri lipi huyo unamuacha HUMO?. NI vichekesho TU.
@lusajomwaipopo50422 күн бұрын
Inchi NGumu hii bila mageuzi ya kimfumo taifa litasota saana
@ndorobocarworks-dx4pf2 күн бұрын
Mama mpole mpole ila kama mkali kiaina
@florencemeza65402 күн бұрын
Huyo ndo ataiba zaidi ya hao
@user-wj6zj1ly4e3 күн бұрын
Maneno mazuri kbx, tatzo linakuja wap? Rais au wateule wake? Rais mm nakuelewa sana lkn skupi kura maana unaoteua wote ni mizgo,
@alexdukes55473 күн бұрын
Mwarubain nikutengeneza mfumo mmoja unayokusanha mapato yote ya serikali na taasisi zake,hii kunyesheana vidole hata hujuwi pesa zako zinaibiwa wapi ni uongo,kila unapolala hakikisha umefunga hesabu zako za makusanyo kila siku,kumbuka pesa ni namba unashindwaje kutengeneza mfumo unayoweza kuzibiti rushwa?😊
@nsiamasawe45782 күн бұрын
Wafanyakazi wa TRA wana mihela na mali zinazozidi mishahara yao, nao wadokozi. Pia wafanyabiashara nje ya mji hawatoi risiti kabisa na hawana hofu.
@msowamhokole77142 күн бұрын
Mama leo mkali umekuwa
@saidnassormohammed95893 күн бұрын
Sasa km mwizi ushamtangaza hivyo wa nini huyo hii nchi aibu tupu wanaongea km bongo move yaani wizi unachukuliwa km kigezo cha kazi nzuri kutokana na maneno ya Rais
@theonalyalfred8087Күн бұрын
Tunashida miaka5
@bundalaizina6523 күн бұрын
Bashe jee
@hijaabdalah92353 күн бұрын
waislam awaibaki mama umecheza kama pele
@BonyGood2 күн бұрын
Mama Suluhu
@user-rn9og1rk3l4 күн бұрын
Unamtumaje mwizi akafichue mbinu za wizi alizoziweka mwenyewe??? SSH Watanzania siyo wajinga kiasi hicho... Wewe sema umemtoa kidata kwa chuki binafsi... Wewe mama ni wa hovyo sana
@htx18732 күн бұрын
Trust me I wonder the same way , !! Like hooooooowww ?😮 yani hai make sense kwa kweli, eti mwizi akawabadilishe wezi wenzie 😂😂😂😂 jamani nimechekaaaaaaa😂😂😂
@yasiniSwedi-qg5oc2 күн бұрын
Uwelewa mdogo eti wewe kubadiliuso umeshindwa hlafu unamtaka uliemteuwa abadiliuso umefeli vbya haijawai tokea toka uhulu
@richardrugemalira69343 күн бұрын
BIG UP mama! Nimeipenda level ya seriousness ktk hotuba. Lakini wahusika ktk system wawajibishwe wanaohujumu mapato
@sylvestercameo62632 күн бұрын
Actions speak louder than words! Otherwise these are mere orders of the day!
@user-lw3tg3yg5bКүн бұрын
Nanni awajibiswe na liniwawajibishe? Ripoti za cag nani aliwajibiswa? Hayo maneno tu
@ImamuKitale3 күн бұрын
Magufuli tuu
@user-so8uh8bt5t3 күн бұрын
Mama usiogope vimbe mungu zamana uliopewa utakuja kuulizwa komaa maangu nyoosha kama mtangulizi wako kwahili umenikuna
@user-cy5jg4cx7i3 күн бұрын
Ni kweli wafanyabiashara mikoani hawazitumii EFD ukiwauliza list wanasema hawamuelewi waziri wako wa fedha mbadilishe ili nchi iende
@SanziNzige3 күн бұрын
Na mwigulu ndo tatizo kubwa katika taifa hili wengine ndo wanafuata.mwigulu jamani
@MalamboSelijusi4 күн бұрын
Nikweli mama ila angalieni kiwango mnacho toza
@leokamil62842 күн бұрын
Shida ni hiyo hawaangalii ngo'mbe anahitaji nini mpaka afikie kukamuliwa maziwa, wao kazi yao kukamua tu mpaka ngo'mbe atoke damu badala ya kutoa maziwa
@msamanga22773 күн бұрын
Mama hii ni kweli kabisa, waambie wapunguzue kukopa
@user-no2ut7yd3e3 күн бұрын
Mama kumbe sasa umewagundua kwa ushauri ondoa waziri wa fedha,mambo ya nje,mipango na mawasiliano hawa wanacheni kali ila ni ya wazi sana tunaiona kwani wananini ,mama wafuatilie na ukihitaji msaada tupo.Ushauri sina kinyongo ila nakuhurumia kwa kutuhangaikia na wezi wanakucheka .
@simonsadala23863 күн бұрын
Mh Rais umemalizia vyema kwa kusema cheo ni dhamana
@zobakazizi76373 күн бұрын
Rudisheni mfumo wa kusajili wafanya biashara hata mama lishe. Ili mjue jinsi ya kuwasaidia.
@feiswalsalim21173 күн бұрын
kwani mum haukuona mjpmba alikuwa akifanya kazi kwa hosipitali ya vetinary hapo wito kwani mum haukuiona nikuwa tu nikupatarifa
@ReginaJoseph-cm3cx3 күн бұрын
Ali participate halafu akazibe
@MartineShija3 күн бұрын
Msicheke tunaumizwa Sana Maumeme nayo niwizi2 wabunge nao wanakunja posho2 walahata hawalisemei hilo wamebaki