Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel

  Рет қаралды 40,956

BBC News Swahili

BBC News Swahili

13 күн бұрын

Eliud Samwel Mwakasege @eliudsamwel ni msanii mahiri wa vichekesho aliyejpatia umaarufu ndani na nje ya Tanzania kupitia sanaa ya uchekeshaji majukwaani na katika mitandao ya kijamii.
Mwandishi wa BBC @mcdavid_nkya_ amefanya mazungumzo na @eliudsamwel ambaye pia ameelezea kuhusu simulizi za Farida (Aunty Ramota) ambazo zimempa umaarufu mtandaoni
#bbcswahili #tanzania #sanaa
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Пікірлер: 69
@eligiverkamnde510
@eligiverkamnde510 4 күн бұрын
Unamoyo wa kupenda Eliud, kitendo cha kumpa neema nafasi umefanya kama Kristo alivoagiza..ulimpenda kuliko nafsi yako...Mungu aendelee kukuinua❤
@judyngowi391
@judyngowi391 4 күн бұрын
Mcha Mungu , ana adabu na heshima, Mwijaku jifunze huku
@smprotz
@smprotz 6 күн бұрын
Eliudi yuko smart and real. Nadhani Hii inamfanya asitumie Nguvu Kubwa kuandaa content. Ana KITU maalum atafika MBALI
@GIHONTZTV
@GIHONTZTV 3 күн бұрын
Kweli
@paulhema5713
@paulhema5713 8 күн бұрын
Eliudi kwel mung yupo...umefika HADI BBC....da hongera br.👊👊
@HannahRichard-ru3rj
@HannahRichard-ru3rj 5 күн бұрын
Kumjua Mungu raha sana❤
@mtangag774
@mtangag774 2 күн бұрын
😂😂😂😂huyu jamaa comedy sana
@ellsonmkonyi1319
@ellsonmkonyi1319 2 күн бұрын
Uko vzuri eliud nimejifunza ktu kikubwa sana mungu akubariki nakufuatilia sana
@polepolelucas
@polepolelucas 5 күн бұрын
Kujieleza kwake tu anaonekana ameiva big up dogo
@Tonga994
@Tonga994 8 күн бұрын
Nimependa interview hii,Pongezi sana Mc Davy BBC
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 6 күн бұрын
Hongera sana Mr eliud unapambana sana kijana wangu mwaisa
@gwakisamwakilema
@gwakisamwakilema 5 күн бұрын
Ninachofurahia ni kuitambua Neema ya Mungu maishani, unyenyekevu na Lugha ya upendo.
@NijalieMlungu
@NijalieMlungu 3 күн бұрын
Jamani Eliud samwel hadii rahaa
@GladnessSamson-xk2ii
@GladnessSamson-xk2ii 7 күн бұрын
Hadi BBC kaka hongera sana home boy❤
@cmsa1r
@cmsa1r 8 күн бұрын
Duh.. huyu kaka!!!!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@MINISTERBAHATIMPUME-px4pf
@MINISTERBAHATIMPUME-px4pf 5 күн бұрын
Eliud una uwezo mkubwa sana, MUNGU akuinue zaidi akulinde pia, usije ukabadilisha ualisia wako
@salmangwila8062
@salmangwila8062 2 күн бұрын
ushakuwa wa viwango vingine
@FPJofficial
@FPJofficial 10 күн бұрын
Eliud to the world! 💪
@ELIZABETH-uz6dv
@ELIZABETH-uz6dv 7 күн бұрын
❤❤❤❤
@happynessmathayo3278
@happynessmathayo3278 2 күн бұрын
wakati wa Mungu ni sahihi
@rehemamwakateba6687
@rehemamwakateba6687 6 күн бұрын
😂😂😂kwe jua kali waliongeza taa mbili Eliud jamani sema i appreciate ulijitoa ukampa nafasi Neema lakini Mungu akakufanyia nafasi hongera sana kwa hilo Mungu amekutambulisha!!
@jessicamwasandube944
@jessicamwasandube944 8 күн бұрын
Safi sana Eliud,simama na imani
@iskiji1240
@iskiji1240 7 күн бұрын
Mwaisa mwaka BBC umetoboa mzee. Mungu akubariki ufike mbali zaidi
@idatonymassawe
@idatonymassawe 7 күн бұрын
Very intelligent man. Congra bro
@EmmanuelKunzugala
@EmmanuelKunzugala 7 күн бұрын
aseeeeeeeeeeeee Eliud 🔥🔥🔥🔥
@johnjulliusntwenya4713
@johnjulliusntwenya4713 2 күн бұрын
Nice interview brother
@user-nm1tb5iq5f
@user-nm1tb5iq5f 20 сағат бұрын
Nampenda sana eliud
@janethmwansasu5847
@janethmwansasu5847 6 күн бұрын
Hongera kijana uko vzr mwaisa
@godrichmwatindila5690
@godrichmwatindila5690 11 күн бұрын
MBEYA CITY ✊🏾🔥🔥🔥
@luluray2115
@luluray2115 6 күн бұрын
Hii interview nimecheka sana mwanzo mwisho
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA 7 күн бұрын
Unaweza nichekesha nikacheka kumbe nakucheka 😂😂😂😂😂
@user-ov7ge3ci6f
@user-ov7ge3ci6f 8 күн бұрын
Nakubali kutoka kahama Tanzania
@focus140
@focus140 12 күн бұрын
Am wait
@GladnessSamson-xk2ii
@GladnessSamson-xk2ii 7 күн бұрын
Kitendo Chakumpa nafasi Neema... Ndicho kimekufanya uwe na mafanikio kias hicho kaka nmejfunza kitu
@talentshow2024
@talentshow2024 6 күн бұрын
Kweli Eliud alipata Neema kupitia Neema ni somo kubwa kwangu
@dionisisarwat9478
@dionisisarwat9478 2 күн бұрын
Interview yenyewe inachekeaha😂😂😂😂
@amanijampion3045
@amanijampion3045 10 күн бұрын
Namkubali mwamba
@bahatimwaitenga4488
@bahatimwaitenga4488 4 күн бұрын
😂😂😂😂😂kwao tulikuwa tunangalia video jamani Eliud MUNGU awe nawe
@SmartVicenzo
@SmartVicenzo 7 күн бұрын
Uyu jamaa ana kipeo😆😆😆 ati ata kwenye Jua kali waliongeza Taa mbili
@luluray2115
@luluray2115 6 күн бұрын
Hongera sana kaka
@ev.eliezangiruketv8902
@ev.eliezangiruketv8902 5 күн бұрын
Hongera sana ndugu
@LizzyMbegga
@LizzyMbegga 15 сағат бұрын
Mimi mwenyewe nampenda farida
@neemakisaka4089
@neemakisaka4089 6 күн бұрын
Hongera sana❤
@user-gb9zt1kx2b
@user-gb9zt1kx2b 2 күн бұрын
We love you, anganile
@Official83640
@Official83640 7 күн бұрын
Dah eti ht jua kali waliongeza taa mbili yaani mtoto wa Kilasa unajua sana😂😂😂😂😂
@sirajisalai149
@sirajisalai149 6 күн бұрын
God bless you Samwel
@sayozmediatv6021
@sayozmediatv6021 6 күн бұрын
Nice nice ❤
@silverman6930
@silverman6930 6 күн бұрын
Host the sound is poor .. get close to the mic man …
@NoelKimaro-l3i
@NoelKimaro-l3i Күн бұрын
Yeeea
@amedeusfredrick1614
@amedeusfredrick1614 8 күн бұрын
Kumbe ulikuwa unaenda kuangalia video kwa kina Neema 😂
@RoseMwakibete-qx8pw
@RoseMwakibete-qx8pw 5 күн бұрын
Taaa is typing ✍✍
@0610John
@0610John 11 күн бұрын
🎉🎉🎉❤
@gracetemba5851
@gracetemba5851 Күн бұрын
Godless you boss
@johnjulliusntwenya4713
@johnjulliusntwenya4713 2 күн бұрын
Too smart brother eliudi
@neemasalysaly4332
@neemasalysaly4332 6 күн бұрын
Mimi pia msistue farida akija
@ElishaOisso
@ElishaOisso 7 күн бұрын
Et watoto wangu wanyime tu samaki 😅😅😅ila maharage
@vumiliarobert1880
@vumiliarobert1880 Күн бұрын
@paulinesekemi7971
@paulinesekemi7971 10 күн бұрын
Kwakweli mnachekesha
@Rasoulhk98
@Rasoulhk98 2 күн бұрын
Kumbe stori ya Neema imeanzia mbali hivi
@cyahmkanile8587
@cyahmkanile8587 6 күн бұрын
😂😂😂 jmn ety ata kwenye juakali waliongeza taa mbili
@paulinesekemi7971
@paulinesekemi7971 10 күн бұрын
Elihudi unafikiri vichekesho vinakuza lugha ya Kiswahili zaidi ya Music?
@shyneafya2468
@shyneafya2468 6 күн бұрын
Ahahha et kingeleza kinavyonza maji
@GladysBaritta
@GladysBaritta 6 күн бұрын
Hawa watu wambea atari
@ElizanaBahati
@ElizanaBahati 5 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@user-iz9ci4rs3d
@user-iz9ci4rs3d 4 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅
@sevarinijrchitandachitanda138
@sevarinijrchitandachitanda138 6 күн бұрын
😂😂😂
@zephaniapaul9592
@zephaniapaul9592 6 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣
@jofreymwampamba1236
@jofreymwampamba1236 Күн бұрын
Kaka Mungu akubaliki kaz yako njema
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 5 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
Luck Decides My Future Again 🍀🍀🍀 #katebrush #shorts
00:19
Kate Brush
Рет қаралды 8 МЛН
Khóa ly biệt
01:00
Đào Nguyễn Ánh - Hữu Hưng
Рет қаралды 20 МЛН
HAKUNA NDOA
11:49
Joti TV
Рет қаралды 151 М.
Kenya on the Brink | A roundtable interview with President William Ruto {Full}
1:53:10
Matangazo ya Dira ya Dunia TV
28:10
BBC News Swahili
Рет қаралды 14 М.
WEW STEVE HUYO NI DADAYAKO UNAFANYA NINI
13:15
Steve Mweusi
Рет қаралды 242 М.
SHILOLE AKIRI "NITAOLEWA HATA NDOA 30, KWANI KUNA UBAYA?
23:13
Millard Ayo
Рет қаралды 41 М.