Habari; Usisau ku-subscribe na ku-share na wengine ili wapate ujumbe huu utakaowasaidia kimwili na kiroho. Mungu awabariki nawapenda sana
Пікірлер: 143
@charleskinungi60883 жыл бұрын
Beatrice I love your hymns sana and they are truly a blessing to many..you toook soo long there.ungeondoka kitambo ulipotumwa mayai..hongera kwa kusema ukweli
@linkreuben58044 жыл бұрын
Pole sana mtumishi, naona walikuonea sana hao manabii, sioni hata kosa lako. Ingekuwa mimi wange kuja wamepiga magoti kuniomba msamaha, au wenge kufilia mbali, baada ya kupona ningepiga maombi makali! Hata mimi nilikuwaga na jaribu kama lako, nilipo ombewa na kupona nikagundua walinionea tu kutaka waniue. Nilipiga maombi wengine waliniomba msamaha, ambao hawakuniomba hawapo tena duniani. Biblia inasema kusamehe, lakini kwangu mimi, shetani na wachawi wake sio watu wakuwasamehe, wameua watu wengi hawana huruma hatakidogo! Mimi wananijua wakipita anga zangu naFyeka tu kwa Jina la YESU, Tangu hapo naishi maisha mazuri yenye starehe! Kwa Yesu kuna Raha!
@tobiasbarasa29274 жыл бұрын
Dada Kitauli ubarikiwe sana.Mungu akuzidishie neema sufufu na nguvu ili uweze kuendelea kutubariki na nyimbo za kumtukuza Mola wetu pamoja na kumtumikia yeye pahali popote panapo wito.Huo ushuhuda utaguza wangi ikiwemo mimi.
@reaper55344 жыл бұрын
Pole sana. Duniani kuna mapito jamani. Lakini hii yako inamaumivu zaidi kwasababu waliokutendea mabaya haya wanatumia jina la Yesu/Mungu wanapotosha makanisa jamani😭. Mimi ninashauri tujifunze kujiombea wenyewe ndugu zangu; ukiomba kwa imani Mungu anasikia kabisaaa mimi nimepitia mapito na nimeomba kwa imani na Mungu ninayemuamini mimi amenisikia na ameniponya. Maana Kila amuaminie Mungu ni mwana wake na amepewa uwezo wake Mungu kupitia bwana wetu Yesu kristu. Mungu yu pamoja nasi sote . Mamlaka yote duniani ni ya Mungu peke yake shetani hana nguvu ni muharibifu tu wa maisha yetu. Tuombe kwa imani kuu mbona tunamshinda sana kwa jina la Yesu 🙏
@HappyMlinga4 жыл бұрын
Duh pole sana my dear Kwa Yesu hakuna gumu
@herriethhenry20434 жыл бұрын
Pole mtumishi Bwana yesu akutunze na ulinzi wa mungu uwe juu yako
@yustomlay17864 жыл бұрын
Ukiwataja ni vzr ili watu wajiepushe nao la sivyo watu wataenda katika makanisa yao bila kujua ni muhimu sana kuwatajas
@irenemakokha76154 жыл бұрын
Amina Dada,Mungu akaendelee kkutia nguvu.....napenda nyimbo zako, barikiwa sana ..
@christinamzava8524 жыл бұрын
Daaah nimejifunza kitu kikubwa sana. Nashukuru Sana kitauli kwa ushuhuda mzito. Hili ni somo kubwa.
@RithaKomba4 жыл бұрын
Mungu atusaidie na atupe macho ha rohoni tuone tusio weza kuyaona katika macho ya kawaida ya mwili
@beatrice_kitauli4 жыл бұрын
HAKIKA ATUSAIDIE SANA RITHA
@glorymziray41534 жыл бұрын
Mimi niseme hili MUNGU AMEKUPA NAFASI NYINGINE HAKIKA MTUMIKIE MUNGU KAMA HUJAWAI KUMTUMIKIA AWALI YANI NIMESKIA KULIA SANA DADA AKIKISHA UNASIMAMA NAILE KWELI YA MUNGU ISIYOGUSHIWA NAKUPENDA NAUPENDA ULE WIMBO WA TENZI NAHATA NILIKUWA SIJAFATILIA KUWA NINANI AMEIMBA ILA LEO NDONIMEJUA ILA NIKUTIE MOYO MTUMISHI MUNGU ANAKUPENDA MTUMIKIE KAMA VILE UJAWAI MTUMIKIA AWALI MUNGU ANAKUPENDA SANA SANA NASIKIA KUKWAMBIA MUNGU ANAKUPENDA UWE CHOMBO CHA KUMFAA YEYE ,🙏🙏🙏
@witnessmbise28864 жыл бұрын
Hii waimbaji tujifunze jmn hii mialiko tuulize Mungu kwanza atoe kibali bila hivyo tusiende hata kama wanatoa pesa nyingi kiasi gani,ni nyakat za mwisho manabii wa uongo wanaotumia nguvu za giza wanaongezeka kila kukicha
@beatrice_kitauli4 жыл бұрын
AMEN WITNES.MUNGU AKKUBARIKI KWA KUTAZAMA.
@lubatikoseme14464 жыл бұрын
Msiangalie fame na pesa tu bali muwe qatu wa kumtumikia Mungu kikamilifu.. uimbaji ni sehemu ambayo shetani anapenda sana kui attack kama hamshirikishi Roho mtakatifu mtatumiwa sana na shetani..ombeni maxho ta rohoni na pia tumuabudu Mungu kwa Roho na kweli.
@lilianluhasi50534 жыл бұрын
Damu ya Yesu Kristo izidi kukuimarisha maana Ni damu yenye ushindi
@msafirimhehe4 жыл бұрын
Dah.. Pole sana na Hongera kwa kuyaanza maisha mapya. Your life will never be the Same! Ubarikiwe sana na Mungu aendelee kukulinda.
@MariaMaria-yc2og4 жыл бұрын
Pole sana. Bw Yesu asifiwe. Wameshindwa kwa jina la Yesu. Ubaribikiwe
@wilfredmalima11384 жыл бұрын
Nimesisimka sana. Sijielewi kama nipo njia sahihi ya katika kuabudu. Naomba tuwasiliane dada Beatrice
@psttituskilungya23834 жыл бұрын
Wa .pole Sana my sister mungu akulinde watu wanatumia njana la Yesu kutoa watu kafara.watathibiwa na mungu
@mwanjad4 жыл бұрын
Our God is an awesome God. You shall not die but continue living go Glorify God. Bado kuna kazi mingi ya Mungu amekuhifadhi kufanya. Ubarikiwe.
@witneskilinda50344 жыл бұрын
someni Biblia, make wakristo wengi Biblia wameiweka kando, wana amini manabii kuliko Neno la Mungu. Yesu alikwisha kusema "Watatokea makristo wa uongo na manabii wa uongo, watafanya ishara na maajabu.....Mathayo 24:24
@yustomlay17864 жыл бұрын
Halafu ayo mawigi Mungu hapendi usivae tena
@hillarykimutai77754 жыл бұрын
pole sana beatrice mimi napenda nyimbo zako
@cupcakesanddounuts65554 жыл бұрын
Beatrice fanyeni kazi ya Bwana Acheni kuweka pesa mbele.
@beatrice_kitauli4 жыл бұрын
ASANTE SANA KWA KUTAZAMA MY MUNGU AKUTUNZE. ASANTE KWA KUTUSHAURI VYEMA
@devothaenock93254 жыл бұрын
ROHO MTAKATIFU TUSAIDIE HAYA MAMBO BILA ROHO MTAKATIFU HATUWEZI .YAKO MAELFU YA WATU WANASALI HUKO NA HAWAJUI JAMANI.
@ev.helenafricanqueenofpeac20383 жыл бұрын
@@beatrice_kitauli Hawo manabi wario kutendea ubaya hawo niwafreemason and illuminati, nakunawaimbaji wengi wario jiunga pia mufreemason and illuminati mimi nawajuwa ubaya wao, namimi wafreemason and illuminati warinitendea mubaya pia hawo manabii wario bijiunga emo au watu wario bijiunga emo ubaya wario nitendea mateso nirio yapata dada yangu nihatari. Mimi njo nawajuwa.
@rosepeter89964 жыл бұрын
pole sana dada kwa hayo maputo🤔🤔yamenisikitisha sana.na kwa uponyaji,kupitia imani yako,mungu na ahimidiwe milele.🙏
@esteriapaul98834 жыл бұрын
Tunaishi katika dunia yenye mambo mengi ya ajabu,pole sana Dada...Mungu azidi kukutunza na atimize kusudi lake
@concesafl4 жыл бұрын
Ester
@aroundtheworld41734 жыл бұрын
Unamtunzia siri shetani. Hata huu ushuhuda unaonyesha UNAOGOPA. Acha kumtukuza shetani, mwana wa Mungu sema iliyo kweli, weka wazi manabii hao.
@priscilarkahindi91263 жыл бұрын
Angewataja angeokoa wengi
@mcjohnthegreat89034 жыл бұрын
Pole sana Beatrice Shetani ni mshenzi hajafanikiwa malengo yake plz usimwache Mungu alokuokoa kutoka kwa kafara.
@beatrice_kitauli4 жыл бұрын
ASANTE SANA KWA KUTAZAMA MY MUNGU AKUTUNZE
@sikujuabbona16214 жыл бұрын
Bit mungu ni mwema Sana utashinda na tunapiga maombi kimya kimya
@TanganyikaProductions4 жыл бұрын
Mungu ni Mkuu
@beatrice_kitauli4 жыл бұрын
HAKIKA NI MKUU ZAIDI
@edifique11n944 жыл бұрын
Jamani kweli yesu asifiwe ndomana nilikuwa naona kimia ila jaribu lako umelishinda yesu yupo nawe dada yangu pole sana tena sana 😥😥
@marypallangyo16764 жыл бұрын
Pole sana dada Mungu nimwema amekuvusha ktk mapito mazito sana
@daudimichael73384 жыл бұрын
Pole sana Dada, ni kweli shetani kakutesa. Sikuwa nakujua kabla, unaposema wewe ni mwimbaji, imebidi niangalie video zako za nyimbo. Nimegundua ulipokuwa mzima unaimba afya yako ilikuwa nzuri na mrembo sana, but unavyoonekana sasa ni tofauti sana. Pole sana, Mungu amekusaidia na utarudia hali yako ya kwanza.
@mariamsuma30034 жыл бұрын
Pole sana dada angu mungu ni mwema
@vanesashilima96294 жыл бұрын
Kweli ndugu yangu mungu ni mwema sana ila anasababu na wewe ili ushuhuda wako uponye watu wengi maana watu wanatumikishwa sana na shetani kwa kupitia kwa hao manabii, mungu awape macho yakuona ilinawao watoke huko
@beatricen12284 жыл бұрын
My sister sorry you went through that and God is good and he has given us the opportunity to hear from you so that we can our eyes so we can see in Jesus.name and for those who are still sick may he keep them and heal them in every way that the devil has taken from them in Jesus name Amen🙏
@peterdaniel90504 жыл бұрын
Pole sn dada,manabii wa uongo wamekuwa wengi
@godisgreat18454 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu nabii Mtume yani mnaita a tu kwa vile hamjui maana ya hayo lakini hamsemi Mungu gani mnamtumikia Mungu haabudiwi kanisani labda ibilisi maana hakuna andiko lolote Mungu anasema kanisani kuna ibada yake maana hata Yessu hajawahi fanya ibada kanisani huko ni kwenu fanyeni MTAKAVYO hakuna shida ila mtajuta siku ya hukumu
@profs.a54124 жыл бұрын
Ni kosa kubwa saana kumficha adui yako...kadri unavyo zidi kumficha adui unamuongezea chance ya kukufanyia mabaya .Mungu akulinde
@priscilarkahindi91263 жыл бұрын
Yes unampa chance yakukumaliza,na wengine hawatajua kilichokuua
@ellyitete9384 жыл бұрын
Pole sana dada unasauti nzr naomba uongeze kiwangu Zaid Cha kutumika Yesu kakupa bonus ya kuishi
@phineruge34804 жыл бұрын
Ameeen, Mungu wetu Baba wa Mbinguni ni Mkubwa Zaidi kuliko pito lolote hapa Chini ya jua na Mbinguni. Pia Ole wenu Nyie Manabii wa uongo mnaojifanya Kondoo kumbe ni Mbwa mwitu anayewinda Kondoo ole wenu👈👈👈😱😱😱
@judithabuko60064 жыл бұрын
😭😭😭😭😭Mungu at utetee aki Hawa watu mm siwapendiii💔💔💔😥😥😢
@melckizedeckdaudi47464 жыл бұрын
@beatrice Hata ukiwataja hautakufa Dada angu,Kwa sababu Yesu mtetezi wako yupo na anaishi. Waovu ni waovu tu hata ukiwaacha kama hawajaamua kuipokea nuru ya kristo, watabakia katika hali yao ya uovu na giza. Mungu akutetee!
@princessdaniella72174 жыл бұрын
Kila kitu ni chakweli tulitiana moyo mpaka mungu akaonekana
@rosaliembarikiwa5924 жыл бұрын
Mungu azidi kukuhifadhi katika Jina la Yesu Kristu 🙏
@jacklineminja20224 жыл бұрын
Pole sana hakika Mungu ashukuriwe ushuda huu funzo tosha
@aroundtheworld41734 жыл бұрын
Mfuatilie Jay Israel na Bisola Johnson ujifunze jinsi waliokiri kweli ya Kristo wanavyotoa ushuhuda. Ushuhuda wako hauna msaada kwa wafuasi vipofu, wewe Roho wa Mungu aliruhusu uone hayo ili iwe sababu ya kuponywa wengi. Lakini unachofanya hapa ni kusimulia HADITHI TU wala si roho ya ushuhuda.
@erickmutungi87924 жыл бұрын
Acha hizo,usisemee mioyo ya wengine,wewe unajuaje kama huu ushuhuda haujasaidia watu, isitoshe mimi binafsi imenisaidia,kwa hiyo kama haujanufaika ni wewe . .
Mshiki wakwa mboha sana, MUNGU ete mpango na ife, hakika usimwache Yesu, ngilihemba namba yafo kama yewezekana
@beatrice_kitauli4 жыл бұрын
ASANTE SANA KWA KUTAZAMA MY MUNGU AKUTUNZE
@fauzia80494 жыл бұрын
Mungu ni mwema pole sana mutumishi
@beatrice_kitauli4 жыл бұрын
ASANTE SANA KWA KUTAZAMA MY MUNGU AKUTUNZE
@mariamidrisa13594 жыл бұрын
Natamani kuwajua hao manabii ili tujiepushe nao.
@shanicemasai55894 жыл бұрын
Asante dadangu ubarikiwe Sana sile pesa ulitoka za mayai ndio zilikumaliza. Endea kushukuru mungu
@asteriayohana37464 жыл бұрын
@@shanicemasai5589 kivipi Jamani mbona inatisha
@ev.helenafricanqueenofpeac20383 жыл бұрын
Manabii hawo nawafahamu, manabii wote wario jiunga mufreemason and illuminati nawafahamu.
@angelcharlesmwinyi53144 жыл бұрын
Jamani my dada pole nimekutafuta mnoo
@jessekusipa73254 жыл бұрын
Pole my ccter
@hopeeli96414 жыл бұрын
Aaah, kumbe ndio maana huwa sio mwepesi wa kwenda kuimba makanisani kiwepesi, kumbe ni roho Mtakatifu. Ushuhuda unaponya ila kwa waimbaji wengi wanaangalia pesa bila kumsikiliza Roho Mtakatifu
@princessdaniella72174 жыл бұрын
Wahhhh nimekutafuta mungu pekeake ndiye alituponya
@priscilarkahindi91263 жыл бұрын
We pia ulikua mmoja wao?
@princessdaniella72173 жыл бұрын
@@priscilarkahindi9126 eee mpaka leo Sijai rudi tz
@salomenashon5014 жыл бұрын
Daa !! Kikubwa Mungu amefanya njia umepita salama .
@lubatikoseme66133 жыл бұрын
Wataje hao wachawi wanaojiita watumishi hili watu wengine waepuke upuuzi wao
@danielmusa49274 жыл бұрын
Pole mungu ni mkuu
@world.mysteries12 жыл бұрын
Mimi nakupenda
@mosesokumu64954 жыл бұрын
Mungu yupo
@beatrice_kitauli4 жыл бұрын
HAKIKA
@viviannorbeth78304 жыл бұрын
Aiiiiiseeeee Dunia nikiza kinene kweli
@ErastoDitu2 ай бұрын
Vpi ni kweli ushuuda wako huo yalikutokea hayo?
@justinnyalukee42514 жыл бұрын
Ushuhudaaaaaaa huuu jamaaaaaniiiii
@beatrice_kitauli4 жыл бұрын
ASANTE SANA KWA KUTAZAMA MY MUNGU AKUTUNZE
@niyongabirebydge66924 жыл бұрын
Mungu asifie sana kwakuguponya. akuna kitu kinashinda nguvu za Mungu.ebu nataka nigushaurie ufanye mu luga zingine iyi video ata english basi.ok asante sana
@beatrice_kitauli4 жыл бұрын
ASANTE SANA KWA KUTAZAMA MY MUNGU AKUTUNZE
@joycenniragira13274 жыл бұрын
Mungu akubaliki,ingekuwanimimi nisinge ficha hawo mashetani wanaojifanya ni manabii,kumbe nabii washetani ningewasema wote majina katikajina ra YESU KRISTO ALIYE JUU MBINGUNI NA DUNIANI
@thomaschilwa63984 жыл бұрын
Kina mama na Dada epukeni nyele za bandia kucha za bandia na vitu vyote Kama ivi vinatoka kuzimu vimenenewa laana epukeni Sana
@wardawarda34274 жыл бұрын
Sawa kaka asante kwa ushauri Mungu akubariki
@eunicehezron34814 жыл бұрын
Nikweli Mimi namshukuru Sana MUNGU aliye hai amenifungua Kwenye hicho kifungo cha mapambo.
@MariaMaria-yc2og4 жыл бұрын
Kweli kabisa, kuna viwanda vya shetani hata vya hela. Mungu alituumba na nywele, kucha, kope za macho na ngozi nzuri sana. Glory to God
@yustomlay17864 жыл бұрын
Kweli nywele izo kucha Mungu hapendi watu hawaelewi
@kelvinsabasaba55774 жыл бұрын
Pole sana.. lakini Mungu ni mkuu amekulinda!!
@providencesadiministries4 жыл бұрын
Âmen
@asteriayohana37464 жыл бұрын
Dada Beatrice vipi kuhusu yule kijana aliyepigizwa ukutani alipona???
@priscilarkahindi91263 жыл бұрын
Apo sasa,nahitaji kujua pia mm
@bishopdr.abrahamjonathanmu904 жыл бұрын
Beatrice Kitauli, Bwana Yesu Kristo Amekuponya Kamtumikie. Uliweka Nadhiri ma Yesu Kristo 1Samuel 1:11 Omba na uwasamehe wale manabii wa uongo wote waliokutoa kafara kupitia kile chakula mlikula usiku huo, wasamehe kutoka moyoni. Ambiai Yesu Kristo akusaidie kuwasamehe kutoka moyoni kabisa. Hayo ni Mapito magumu umepitia dada nani kali kabisa na Yesu Kristo anasema na mimi nikutabirie kwamba ataenda kukutumia kwa wakati wake kwa kutenda kazi yake ya uponyaji Mathew 10:8. omba kwa Rohi na kweli umwambie Mungu akitumie atakavyo wakati wake kwa kazi yake kwa jina la Yesu Kristo. Amen, Nabii Abraham Jonathan +254738819122. Nairobi, KENYA.
@yustomlay17864 жыл бұрын
Wew unajiita nabiii unabii umepewa nani?
@bryanfelix37714 жыл бұрын
Pele sana Dada ila tutajie kanisa linaitwa je maana watu wanaosalia apo niwengi
@Kingsolokotv-4 жыл бұрын
Pole rafiki angu
@josephkamaumbugua55724 жыл бұрын
Watanzania mna jimambo.
@sabenya16404 жыл бұрын
MUNGU AKUTANGULIE....
@beatrice_kitauli4 жыл бұрын
ASANTE SANA KWA KUTAZAMA MY MUNGU AKUTUNZE
@myself41284 жыл бұрын
Kwanza hata kutaja watu umeshindwa mie shuhuda ZA HIVI SIZIAMINI,,, unatiahiwa kufa kwani utaiahi milele??? Wameniita walikuwa watatu akina nani sasa? Mbona leo hii unashuhudia??? Na kwanini usiwataje kama kweli umeokoka utaogopaje wanadamu?? Ndio maana manabio wa uongo na mapastors feki hawatoisha kwa mtindo huuu sababu hakuna anayewataja wote mnapenda ugali waongo tuu
@jaquevan94644 жыл бұрын
Tutawajua kwa matendo maana imeandikwa yatayokea manabii wa uongo kwa hiyo tayari wapo huwezi wataja wote hata akitaja bado wapo wengine wengi
@irenemayallah64074 жыл бұрын
@@jaquevan9464 hajaambiwa ataje wrote,angewataja hao aliowazungumzia. Huwezi kuwahubiria watu waache kufanya dhambi huku huwaambii dhambi za kuacha ni zipi
@emmanueloigoofficial37584 жыл бұрын
Neema inakutosha dadangu
@patricknanyaro63914 жыл бұрын
Wataje,pliz mawigi achana yao.
@nabcde154 жыл бұрын
Tumebalikiwa na ushuhuda dada, lakini kuficha silizao nakukataa kuwataja na kusema yoote, na niwakinanani haomapaster, sunasikia kuwa damuyahao waumini waendao kwenye makanisa yaobilakujuwa itakuwakwenye kichwa chenu? Unisamehe Kwasababu uliwajuwa mungu akakufunulia niwakinanani lakini ukawafunika, nawenyewe( pastors) hawawezi kuokolewa bilakuwekwa wazi...
@princessdaniella72174 жыл бұрын
Haina haja tulikuwa pamoja na mwisho mm na kitauli tulichukiwa sana
@superraiza84584 жыл бұрын
neem y mung ikulind mtumish w mung
@valenakomba76863 жыл бұрын
SASA MBONA UNAONGEA KAMA MZAIRE?
@jumakusekwa94994 жыл бұрын
Hizo nywele mbinguni hazikubaliki
@eunicehezron34814 жыл бұрын
Ni Kweli kabisa ndugu yangu mpendwa MUNGU aliye hai akubariki Sana.
@eunicehezron34814 жыл бұрын
Ushuhuda wako unatuonyesha sisi njia ya kuwagundua watumishi wa uongo lakini Wewe bado umekwa na roho ya mapambo na vyenye naona unapenda Sana MUNGU Sasa hizo rasta zitakutenga na uso wa MUNGU aliye hai tupa mbali kabisa ndugu yangu mpendwa ili uanze ushirika Nzuri na YESU ALIYE HAI AMEN BARIKIWA SANA
@harimakidesu36803 жыл бұрын
Dada kitalu manywele hayo
@shadrackkavoi45144 жыл бұрын
Utataja majina yao kwa ajili ya USALAMA WAO? USALAMA GANI SASA????? Kuna usalama kwanza kwao? Bado utakutana na wegine bado........ila mungu akupe macho ya kuona!!
@maxwellking93993 жыл бұрын
Hi Shadrack, I do share the same concerns with you. I feel here testimony has left a lot of untold stuffs. I wonder why she still protecting this kinda murderous people. Naona ni kama bado yuko anaishi kizani.
@naomijudithmichaeljudith89704 жыл бұрын
Kwa aou wa Kenya
@princessdaniella72174 жыл бұрын
Mama nakumbuka Jesus Christ,haya yote niyakweli tulikuwa pamoja
@beatrice_kitauli3 жыл бұрын
Ikiwa unamkumbuka Yule mama wa Dar es Salaam Agnes Mmbaga alikuja kufariki alikuja kugonjeka Sana tangu tulipotoka tu pale mkutanoni na amefariki wiki mbili zilizopita.
@princessdaniella72173 жыл бұрын
@@beatrice_kitauli ni zile vitu zao
@peteryukunda92393 жыл бұрын
Liongoooo.
@cupcakesanddounuts65554 жыл бұрын
Mmeambiwa sana hamsikii mnataka Bwana afanye je? Mnafuata manabii wa uongo kwa sababu ya fake miracles.
@lucasgasper52354 жыл бұрын
Wewe ndo ulimwambia hao manabii ni wa uongo anaoenda nao
@ev.helenafricanqueenofpeac20383 жыл бұрын
Mimi manabii wauongo mafreemason and illuminati wengi nawajuwa. Ubaya wao wote naujuwa. Ubaya wote wafreemason and illuminati wote naujuwa vyote.
Hapana Kama nyeoe za kwake ainashida lakin kama sio zake ni kosa
@freretoms51194 жыл бұрын
Mungu azidi kuku jaza nguvu mupendwa wa Mungu nakufata Mia kwa Mia nikiwa apa mujini Bujumbura 🇧🇮 weka link zako apa twende Sawa kama una mukubali uyu mama
@glorymziray41534 жыл бұрын
G
@asiamasimbaniasia87674 жыл бұрын
MUNGU WETU NI MSHINDI HAKIKA
@beatrice_kitauli4 жыл бұрын
am
@beatrice_kitauli4 жыл бұрын
AMEN ASIA
@pastorsimonlazarunye95764 жыл бұрын
Asia Masimbani Asia waimbaji mjifunze kuwasikiliza wachungaji wenu kwani wakati wote mnaambia si kila madhabahu pa kuingia na huwa mnapoambiwa na wachungaji hamtaki kusikia jifunzeni hata kwa haya. Unapomwaambia mwiimbaji usifanye jambo fulani huwa sijui mnaona wanawaona wivu sijui ila ninyi mnajui. 1SAMWELI 8:4--9 1TIMOTHEO 4:16
@annabar66034 жыл бұрын
What?who?where?when?JESUS JESUS JESUS JESUS JESUS JESUS JESUS
@kakaboneyburundi4 жыл бұрын
E mail yangu hiyo, uniandikiye kakaboney@gmail.com
@myself41284 жыл бұрын
Sioni kama una akili sawa eti muombe Mungu? Mnamuacha mtu hajitambui??? Kwanini msiripoti????na umesema ulikuwa unalipwa baada ya mkutano kumbe unafanya biashara ukiimba lazima ulipwe????Halafu eti hamkuripoti popote ndio nawaona waongo wakubwa
@wewehehe64054 жыл бұрын
Kila mtu anakula kwa jasho lake.
@yustomlay17864 жыл бұрын
Ukiwataja ni vzr ili watu wajiepushe nao la sivyo watu wataenda katika makanisa yao bila kujua ni muhimu sana kuwatajas