Suzi mie kweli sijafarahia vile umefanyia Lisa,,mimi sijawai pata like
@JennyRenald5 күн бұрын
Marafiki wenyewe ndo Kama Suzi ndomaana hata sifagilii kuwa na Marafiki😏😏😏
@rosemarymtatiro5 күн бұрын
Ila Suzy una tabia mbaya hata kama ni movie inaonekana hata katika maisha ya kawaida una tabia mbaya cha kumywesha mwenzio pombe halafu pesa unapewa wewe
@rahimaaaaa56824 күн бұрын
😂😂😂😂
@FlorenceTuyisenge-m2e4 күн бұрын
Kabisa
@CATHELINIRAPHAEL5 күн бұрын
Nan haujapend tabia ya Amina aliyomfanyia Lissa kam me
@Teresia-vk1wh5 күн бұрын
Amina sio rafiki kabisa😢😢
@Pat139enZaeadic5 күн бұрын
Aaahh we acha tu amenishinda tabia 😂😂
@EvalineMollel-py7fc5 күн бұрын
Tabiaa mbaya Sanaa 😢😢
@Violethsoory5 күн бұрын
Hii ni movie lakin Kuna kitu Cha kujifunza ndo maan Huwa spendi marafiki ona sasa rafiki gan huyuuu
@KILESHOJNR.0015 күн бұрын
Huyu Amina/Suzi n mshenzi sana wallah 😂
@fatnaharerimana20305 күн бұрын
Yaani huyu amina namchukia jameni rafiki kama amina nikija kukugunduwa nakuuwa hakiyamungu daaah amenikwaz alafu liss kw ulofa mwing ananitia hasira we acha tu anaeelewa kama mimi anipe like zangu hapa
@jamilashabani85805 күн бұрын
tuna mchukia kwn Lisa siaende nyumbn kwani akili kashikiwa
@jamilashabani85805 күн бұрын
Amina ana Roho Mbayaa kama itakuwa no tabia yake
@NasraIbrahim-dw1hr5 күн бұрын
Suz mchenzi anamkandia jalufu et malomac
@Ncdthebigmind3 күн бұрын
Mimi pia sipendi huyu dada na anakaa hivyo ndio alivyo
@JacklineTotito-rh3im5 күн бұрын
Najifunza kitu akuna rafiki wa kweli kwa hii Dunia
@viviankemunto44355 күн бұрын
Mungu ndio rafiki wa kweli
@MariaSalim-u5z5 күн бұрын
Kabisa
@erickndunguru18245 күн бұрын
Rafik wakwel n uchi wako tu
@SabinaSulley-x7v4 күн бұрын
Mungu wangu niepushe na marafiki kama suzy
@JastFinancial024 күн бұрын
Usiringanishe TABIA zako na wengine kama wewe so RAFIKI wa kweli ni wewe ko adi kelvin sio rafik mwema
Wangapi wanaomkubali kelvin loveness na boni kwenye hii drama tutambuane ❤🙏🤲
@SylvainMuvunga-o3w5 күн бұрын
Wakwanja tena Léo nipe liké zenu wa Congo ❤❤❤
@GhaniaNasser-d9p4 күн бұрын
Sijapenda tabia ya Amina kwakweli ukiwa na rafiki wa hivi mueExit mapema mnooo
@AishaGovi2 күн бұрын
Ila Suzy jamani haujafanya poa kabisa 😢 sijapenda
@ElvinaElvina-qi9kb5 күн бұрын
Waa inamafunzo san hii movie kwli kikulacho kimwako nguoni😂😂😂🎉🎉🎉much love guys
@mankinishee5 күн бұрын
Tunajifunza nambo mengi sanaa kupitia filamu zenu
@RakhaniahAshraphu5 күн бұрын
Hlo nisomo ktk haya maisha tuishi kwa kumcha mungu tu mana Hakuna wakuamini pesa 😢😢
@SyombuaMuvengei5 күн бұрын
Im there from kenya 254..🇰🇪🇰🇪🇰🇪..akika wewe lissa unajitakia matatinzo mwenyewe anae kumalinza yuko karimbu yko funguamacho hila utakua umechelewa nakuonea uruma daah😢😢😢😢😢
@NeemaBandika-i3u4 күн бұрын
Kweli kabisaa Lisa be wise and think twice ...from kenya 🇰🇪
@ampermumoh44 күн бұрын
Huyu Amina kwa muonekano wake ni dhahiri hata katika maisha halisi ni snichi
@JosineNiyikigongwe5 күн бұрын
Amina wewe unaroho mbaya
@rahmamohammmedy61694 күн бұрын
Suzy suzyyyy😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢duhhhh kunapoelekea ntakufata huko huko nkutiw makofii😂
@عائشة-ذ9م4 күн бұрын
Courage ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@DeboraIlomo5 күн бұрын
Suzy we nimuuaji Tena ni uhalisia wako wewe ndivyo ulivyo
@winniemwaka32025 күн бұрын
Amina ww si rafiki mzuri kbs
@viviankasena5 күн бұрын
Pia mm naomba like ju naona watu wakiomba kweli 😂😂
@ChristineMaloba-hk9je5 күн бұрын
Acha kubishana na sisi😂😂❤
@jamilashabani85805 күн бұрын
Amina SUZI punguza Basi Umbea Na roho Mbayaa una haribu MV Ww KWA ROHO MBAYA NA UMBEA
@MariadaudiMazengo4 күн бұрын
Mmh watu wanapeana like Kwa kujuana
@MaryamIsmaeel-v3i5 күн бұрын
Tabia ya suzi sijaipenda
@GraceThoya-u7d5 күн бұрын
Dada Lissa hyo Amina alkuuza Kwa Mr d alkula pesa hyo rafki wako mnyama sana ❤❤
@Sundaymgandi2 күн бұрын
Suzy n mnyama walai 😢
@OmanOman-y7z5 күн бұрын
Pole lissa kwa kuwa na lafiki mnafiki jamani 😢😢suzi unatabiya mbaya Sana yani wewe sio lafiki ila muwaji 😂😂 asante kwa mafundisho munayo tupatia kwa kilasiku vipenzi😢😢😢🎉🎉❤❤
@Susankhaemba-h3l5 күн бұрын
Amina n rafiki mbaya sana sana tena sana🎉🎉🎉
@VeronicaMabonga5 күн бұрын
Kikulacho ki nguoni mwako😢😢,,,umdhaniae ndiye siye💔
@FrancineZuwena-t8v5 күн бұрын
Wangapi wana tamani mimba ya Lisa iharibike ili wahowane na jarufu
@olicej78375 күн бұрын
Mimi no moja na aachane urafiki na masuzy😂😂😂
@TabuBaya-mr4lx4 күн бұрын
Mungu alinde watoto wetu wasiweze kupata rafiki wabaya kama suzi
@Sundaymgandi2 күн бұрын
Kabsa 🙏🙏🙏 bayeee
@Katele-v8o5 күн бұрын
❤❤❤❤îla uyu sio rafiki muzuri
@NgalaMchombo5 күн бұрын
Kutoka Kenya likes zenu 🇰🇪🇰🇪
@HusseinChangawa-h7g5 күн бұрын
Mwisho wa ubaya ni aibu...Amina unafki utakua ni kipaji chake...lissa akiachwa Amina atamuoa labda acha tuone mwisho itakuaje
@aishalovesesibe5 күн бұрын
Amina rafiki mubaya sana namuchukiya Suzi kikuracho😳🤣❤️🤣🤣🇧🇮🇸🇦