Hongera sana kazi kubwa inafanyika mnastahili kuwa ktk club kubwa
@halimasawa6113 ай бұрын
MashaAllah dube yuko n furaha wallah❤me nilikua nikithamn dube acheze yanga Alhmdhulillah ndoto yangu imekamilika Allah atujalie maisha marefu n baraka tuzidi kuona mafanikio ya team yetu pendwa
@RiskaPoyo3 ай бұрын
Karibu sana tem ya wananchii Prince dubeeeee
@selemanmcharazo3 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉 hivi hivi Ili Azam wasituchukulie poa kurubuni wachezaji wetu,aah hii nimeipenda fantastic kubwa kuliko.
@Evance-op4jw3 ай бұрын
hapa nimeami tunaenda kwenye mafanikio zaidi hongera uongoz Asante Mungu kwa unayo tujalia asante rais wetu injinia erres said asant wadhamini wetu asante wanachama wote nz wafadhili na bodi yoote ya Yanga
@AmanaAmos-hv3yz3 ай бұрын
Nishafurai sasa nipo bze nashangaa ayo matoy mezani,,.. welcome team ya wananchi
@Manywele.Maluja3 ай бұрын
Mungu akukinge na majeraha mwambaaaa
@moiseszacariasmoisesmoises3 ай бұрын
jamani mashabiki wenzangu wa yanga,ayupo mtu yeyote yule ambae anaweza kunishawishi kuepukana na timu hii❤ mimi ni laiya wa 🇲🇿 cabo delgado.
@SalumKinyogori3 ай бұрын
Kalibu sana mtoto wa mfalme katika Tim ya kifalme
@SaraJinalangu3 ай бұрын
😅😅😅😅Sio kalibu Kalibu - karibu Rrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr😢😢😢kiswahili ni lugha yetu mama
@BiasharaZetuPoint3 ай бұрын
Nyie Dube anafuraha😍😍💚💛💚💛
@Le_petery3 ай бұрын
You guys are working too hard out there. Shout out 💚💛 keep going..
@malietamaliet3 ай бұрын
Aziz ki fridge ake bovu msirudie kumwambia kitu na huyu mwamba ni hatari Sema Azam sijui wanachezaga mpira Kwa lengo Gani msimlete baleke tafadhali 🙌🙌💚💛
@daudimolleltutafungatu54863 ай бұрын
Da kweli ase baleke hatumtaki huyo ila ongereni sana chama langu la yanga Kwa kumnasa mwamba huyo
@MussaLilombo-e8o3 ай бұрын
Boss- unamjua Baleke? Ni poacher yule jamaa. Akiwa na Dube basi mabao yatakuwa mengi
@malietamaliet3 ай бұрын
@@MussaLilombo-e8o namjua ila venye ashawai pita Kwa makolo Bora tu wamuache abaki msonda dube na clement ama wamlete ata sowah
@giddychanga3 ай бұрын
Baleke na Dube ni watu wawil tofauti na hatar sana Mmoja mikimbio yake ni ndani ya box na mwingine hatar sana akitokea pemben
@SuhuurFarxaan3 ай бұрын
Kweli Ata mm simtaki
@ahmedalsaadi71083 ай бұрын
Uhakika wa kumfunga kolo tushapata bado ligi ianze tu😅😅
@zuhuranasoro89233 ай бұрын
Na huyu jamaa sasa alivo na hasira nao😅
@salmaamani70212 ай бұрын
😂😂😂
@mhinajerome59643 ай бұрын
Hapo next level big up kazi inapigwa kiweredi sana
@ayeshakhan16363 ай бұрын
My team on fire
@MussaLilombo-e8o3 ай бұрын
Aisee- kumbe kuna mambo mengi yanafanyika kabla ya kupostiwa. Hongereni
@athumanishabani11433 ай бұрын
Level za juu sana hiz !!!
@titomtokoma8033 ай бұрын
Kweli nimeamini timu kubwa hufanya mamno makubwa kiweledi zaidi nimeanza kuona dalili ya TREBLE msimu huu 💚💛💚💛💚💛
@mussaissa67963 ай бұрын
YAANI KAMA NAKUAMINIA VILE
@Izzoh20213 ай бұрын
Hii wale waandishi wa mchongo wameshindwa kuinasa hohohoho na hii ndio maana halisi ya team kubwa kula mswaki ikibidi hohoho
@ip_header3 ай бұрын
Hongera sana vijana mnaweka content za kisasa. Keep it up 🎉🎉🎉
@kanchitarshi2 ай бұрын
👏👏 Wow am so happy to see you dube👏👏
@SalumKinyogori3 ай бұрын
Kalibu sana yanga dubeeeeee 🎉
@augustinomkongwa54443 ай бұрын
Hii idara ya habari imepikwa ikapikika na imeiva mnatisha advert zenu siyo za nchi hii 👏👏👏!!!!
@trice_yanga3 ай бұрын
dube ana furaha sana😂😂
@FirdausyAbubakary-bl2wo2 ай бұрын
Handsome boy in the house❤❤❤❤ Welcome young Boy to the Home of Champions🧡💛🧡💛🧡🧡💛💛💫💫💫💫💫
@GraceMbulu-rp8ko3 ай бұрын
Muuaji anae tabasam karibu ❤❤❤
@User255tv3 ай бұрын
Kwa miaka 4 mfululizo kijana hakuwa na furaha huko Azam. Hatimaye katimiza ndoto yake ya kuichezea timu anayoipenda. Karibu sana Jangwani PMD.
@EmmanuelMkainei-p1s3 ай бұрын
Murch love yanga Africa 💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛
@KassimRamadhan-lu7hq3 ай бұрын
Mmmmh jamn yanga mna siri kwahiyo yote haya yanafanyika hatujui😂😂💚💚💛💚💛
@amaniomar17553 ай бұрын
Mtihani wa kwanza ukitaka kusign Yanga SC lazima friji liwe linagandisha 🎉🎉🎉
@hatibbaraka39563 ай бұрын
Ilikua siri hadi tuhakikishe kila kitu kipo sawa ndio yawe public ili Azam na yeye aonje machungu ya kumkosa roho yao.
@MarthaGabriel-s6b3 ай бұрын
Ndo nashangaaa
@yasrikomba78743 ай бұрын
Hahahha kweli kabisa
@monicalucas37383 ай бұрын
Karibu mwana wa mfalme ktk club ya wafalme🥂👏👏
@PanchoValentino-wh7wt3 ай бұрын
Mmetisha saaaana aiseee💛💚⭐⚽💯🦵
@PatrickKimaro-do3lj3 ай бұрын
ila mnajua kucheza na akili zetu hizo ndo gari anakabidhiwa dube
@musamakuhana22003 ай бұрын
Daima mbele 💛💛💛💛💚💚💚💚
@frankndaturu59102 ай бұрын
Aseee karibu brother hii ni timu ya wananchi 💚💛💚💛
@NeemaAkyoo-s4s3 ай бұрын
Mmh huyu mwamba aliwaweza azam pale walipo halika tim zinazo mtaka zipeleke ofa mezani makolo wakapeleka na wale wasudani yanga tukakaa kimya ka vle hatujasikia alf mwamba akagomea ofa zao akasema hizo hela yuko tayar kulipa lakini awe huru daah prince alikuwa anaipenda sana yanga mwamba kabsa saiv wacheza wazur wanataman kichezea yanga wala hatutumii nguvu kubwa kuwashawishi
@catherineamiri98543 ай бұрын
Wananchi hamlali jmn si saa nane hii😂😂😂
@Cuteeeee4773 ай бұрын
Afu kazuri dube kapole 💚💚💛🔰
@hildaelkana71323 ай бұрын
Tmu inapenda sifa hii😅
@MSHAURIALLY3 ай бұрын
Raha ya yanga ni kuwa mtu anaweza akaja kama mchezaj ila akaondoka na kipaji Cha uigizaji 😂😂 💚💛
@puridangote27013 ай бұрын
Hii imekaa poa sana em kunywa soda bili nalipia mm😂😂😂😂
@yasrikomba78743 ай бұрын
Kalibu yimu ya makombe dube ❤
@Baba-JJ3 ай бұрын
Kwaheri EPL maana sijui kama msimu ujao tutaangalia EPL badala ya YANGA. 😂😂
@michaeljpm55973 ай бұрын
Mm nilisha achaga kitambo
@Muksinkhatib2 ай бұрын
@@michaeljpm5597yaan ww ndo mm kabisa na vile man utd inazngua nfo cion radha kabisa na epl😅
@fatmaally72523 ай бұрын
Aseeee yanga bwana tamu 😂😂😂😂😂😂😂😂
@Sumaiyafisoo3 ай бұрын
Yangaa 🎉🎉🎉
@MalifezaMajidi3 ай бұрын
Dubereeeeee
@shaibusaady24203 ай бұрын
Allaah Akbar
@Sumaiyafisoo3 ай бұрын
Kila la kheri dube😂😂😂😂
@SmartTz-y5z3 ай бұрын
Irayanga itaja niuwamm imefanya hadi nimehana namkewangu irove yonga
@ahmedalsaadi71083 ай бұрын
Oyooo
@kabujeasukile54623 ай бұрын
Vijana kweli Munapiga sana kazi nimependa ubunifu wenu💛💚💛💚💛💚
Dube anafurahi sana kutia saini yanga hivyo vitu hajawahi kufanya
@zakiakondo28493 ай бұрын
Prince anaona raha anaenjoy kafurahi kabisa 💚💚💚💛💛💛
@IbrahimMussa-c3t3 ай бұрын
Karibu mwana wa king 💛💚🔥🔥
@meddymachozy18153 ай бұрын
Welcome dube
@IdrissaSheumo2 ай бұрын
Masha Allah
@MoBecca-l2g3 ай бұрын
Dubeeeeee
@rukiakyaka18273 ай бұрын
Alhamndulilah namshukuru M/Mungu
@MaishaMedstz3 ай бұрын
Wananchiiiiiiii
@amaniomar17553 ай бұрын
Mwamba kwelikweli 🎉🎉🎉 #mwnawamfalme katua rasmi
@Victorrwezimula3 ай бұрын
💚💛💚💛💚💛💚 yanga mitano tena
@jumakhatib8922 ай бұрын
ALHAMDULILLAH ALHAMDULILLAH ALLAH KARIM tumepata striker yanga
@kolosii43513 ай бұрын
Dube HB sana. Halafu kanenepa ghafla. Ila nimefurahii mwenzenu.🎉🎉😂😂😂
@chemstry4093 ай бұрын
Tumuombe Mungu atupe uzima maana yajayo yanafurahisha....😂😂😂😂😂
@rogersiddy3 ай бұрын
Haswaaaaa Kuna mtu atakula Kono la nyani japo limesajili timu nzima😂😂😂😂😂😂🙌
@amaniomar17553 ай бұрын
Hapa ni Mungu tuuh 🎉🎉🎉
@fatmaally72523 ай бұрын
Amiiin inshallah
@aishabakari80403 ай бұрын
Nampendaga huyu kaka jamani 🥺💚
@ErickBrichard3 ай бұрын
Aisha ulale na wewe
@barikilangoy47373 ай бұрын
Amekusikia
@nicholousmtemi39023 ай бұрын
@@barikilangoy4737 hahahaha
@FrankMahuna-xb7lt3 ай бұрын
Tafta no yake
@salmamlokela19873 ай бұрын
Mmmmh ushaaanza na wewe
@Shadia5443 ай бұрын
Kwa hiyo makolo wakiteseka jeee😂😂😂😂😂
@arafatymakamenyange26653 ай бұрын
dube yanga alikuwa anaitaka kama ushafatilia clip zake tofauti tofauti akihojiwa
@amaniomar17553 ай бұрын
Yanga wanasign wachezaji wanayoitaka ndio maana hawasumbuki kupata sign zao
@bensonchota34613 ай бұрын
Hivyo vitoycar kwenye picha zinaonekana magari makubwa kwelikweli😂😂😂 mambo ya technology hayo👏👏👏
@sullehtz93272 ай бұрын
PRINCE DUBE 🙌
@Carolina-sm5zt3 ай бұрын
Karibu Jangwani Safi sana Cha la wenyewe 🎉🎉🎉
@barakahmichaels16313 ай бұрын
🔥🔥🔥
@sulleymanjimmy22143 ай бұрын
Dube na Kiswahili 🙌🙌👏👏👏👏🔥🔥
@HamicKauno2553 ай бұрын
Hivi ligi inaanza lini mbona NAOGOPA maafa yanayoenda kutokea msimu ujao wakina Deborah lazima wafarakane Uwanjan 💚💛💚💛💪
@fatmaally72523 ай бұрын
Kwani kwa jirani kuna Debo uko baaaah
@errydeo88653 ай бұрын
Ukisikia BEHIND SCENES,ndo hizi! Yaani mchezaji environment tu! Morali tayari! Raha ni pale kwamba hivi vitu vinafanyika JANGWANI!!!! NA YANGA INA PROFFESIONALS IN ALL AREAS!..Love FROM Cambridge UK
@AlmachNestory3 ай бұрын
Usajili bora kwa wakati sahihi, ikawe heri kwake, Mungu amweke mbali na majeraha ili aweze toa kila bora zaidi, kwa kila hatua Mungu awe pamoja naye.
@JOHNAroyce3 ай бұрын
wataama makolo sijui? 😅😅😅😅😅😅
@marymoshi5723 ай бұрын
Dube yupo excited sana na feel kabisa yani anavyo ipenda yanga🎉
Lakn kwa zaidi ya 99.5 naamin aziz hatakuwepo nae msimu ujao kwan naamin hakuna team kwa hapa tz ambayo inaweza kuwa na mcheza wa aina ya k aziz, chama, pacome hiyo ni ngumu ngoja tuone😂😂😂😂😂💚💛
@hamisishabani40723 ай бұрын
DUBE KARIBU SANA,KWA WANANCHI WENZIO,TUMEKUELEWA UNAMEPENZI MAKUBWA KABISA NA CLUB YAKO YA YANGA AFRICAN'S,TIMU AMBAYO INAWAKILISHA VIJANA WOTE WA KIAFRIKA,BILA KUJALI MIPAKA YETU,AFRIKA NI MOJA.KARIBU UIPAMBANIE CLUB YAKO PENDWA,HAPA NCHINI,AFRIKA NA NJE YA AFRIKA!!! WELCOME HOME YOUNG AFRICAN,PRINCE DUBE,NGYABONGA KAKULU MFUETU!!! YANGA IMARA!! DAIMA MBELE!! NYUMA MWIKO.MAPAMBANO YANAENDELEA.VITA MBELE!!!
@barakambise1813 ай бұрын
Yanga daah 😢😢😢
@EsterNestory-u2s3 ай бұрын
Priva abiud shayo,,, anasema timu ya azam wanaiwaza azam tv na ukiwa azam haitw champions league maneno ya abdulaziz
@DjFae.b2553 ай бұрын
Kunawatu awata ludisha team kipindi Cha pili uwanjani minipo kalibu San yangasc 💚💛 dube 🔥🔥
@sonicaghendewa98863 ай бұрын
Dube yuko na smile sio poa😂😂😂
@SadKazimbaya3 ай бұрын
Yani kweli mnajitia ujinga sana hivi mnaangaika kwenda kukodi vitu ili tu DUBE afike sehemu nzuri mnaacha kutengeneza kwenu kuwe pqnzuri nyinyi bqdo mnaangaika na kukodi sehemu.
@anrelyltv37573 ай бұрын
🔥
@sevarinijrchitandachitanda1383 ай бұрын
🔥🔥🔥🙏
@EliaMkumbo-wn7bm3 ай бұрын
Mwana wa mfalme mpemelele dube karibu timu ya wananchi karibu saana mwamba utupe raha wananchi ukisikia dubeeeeee tayari nyavu
@Jumachilowe3 ай бұрын
hii taasis iko pw xn dah yng raha
@safiaothman75063 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@saliieking72793 ай бұрын
Siamini macho yangu tumemsajili dube YANGA TAIFA KUBWA
@SixmundPonera-ft8ts3 ай бұрын
Dube ni kama anajilaumu kuchelewa kujiunga na club hii kubwa kabisa young African