Tunao angalia wimbo uu kwa mwaka wa 2024 tujuane kwa likes.
@aliionlinetv83976 ай бұрын
Tupo😅
@Giant3499 ай бұрын
Who's here with me 2024 , God bless y'all 🎉❤❤❤❤❤
@hassansaid99256 жыл бұрын
kudadeki we Beka utanilipa mb zangu ,,,huwezi nifanya me niangalie wimbo Mara kumi wew,,,daaaaah noma xana
@officialmtangakingkassimu52916 жыл бұрын
Wapili km unamkubali beka like hapa na reply huyu jamaa ni moto htr
@gillaygershom17095 жыл бұрын
Namkubali sana brother angu
@joelkiroge9761 Жыл бұрын
Walai hii kaliiiii,🔥🔥🔥🔥
@evansbwire85126 жыл бұрын
Yaani sauti na mashairi yanaendana sana. Namkubali sana huyu Beka flavour
@josephinemwangome21005 жыл бұрын
Evans Bwire safi beks
@ralfbuanar91183 жыл бұрын
This is good song love you beka
@JuhudiOmari6 ай бұрын
Nakuku Bali sana mwenyezimungu atakusaidiya utafikambali
@benjaminsteven73509 ай бұрын
Kandahar twende wote 2024 -2025
@sylvanusinjomango21696 жыл бұрын
Mbui mbui ukayimuka mlongo mlungu awoloki uswanu na yuwe mwayetu music unoa
@mspwjjjso62612 жыл бұрын
Kwajina naitwa Amina Saidi masha Allah BEKA Kwa sauti umejaliwa
@careneluzito10136 жыл бұрын
Sisi mashabiki wako tuna kukubali sana bro
@MariaMaria-jb2yk4 жыл бұрын
Big up
@edinasimon65346 жыл бұрын
yaan unazidi kunikonga moyo wangu joomoon beka huu wimbo sichoki kuusikiliza mweeee so nice one
@johnstephen31914 жыл бұрын
Otilebloun
@johnstephen31914 жыл бұрын
Otilioblown
@fiolakaipiti56073 жыл бұрын
I'm a Namibian who loves your songs even thou i don't understand the language i love your songs keep going ❤❤❤👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥
@malemaabbey2316Ай бұрын
Awesome song thanks for streaming ❤❤2024 still waiting for others
@nyikarappa86046 жыл бұрын
Kazi kazi jiwe juu ya jiwe we hatali unanichanganya mpaka naona gizaaaaaaaaaaaaaa
@nicodemuskenga74394 жыл бұрын
from kitaa cha 254 nakubali mistari beka congrats
@tuyizereghadi161910 ай бұрын
Wuwuwu Yeyeye Uuuuuh uuuuuh Baby boo Umenichangacha changanya mpaka umenimaliza eh Baby eeeh umenichangacha changanya wengine naona Giza eh My baby boo Umenichangacha changanya mpaka umenimaliza eh Baby boo umenichangacha changanya wengine naona Giza eeeh Naona Giza×4 Ukinipa Sana nasemanga dozee Peremende yako tamu kote kote Tupendane kifo kitukute wote(mi nawe) Unanifanya mpaka nisikuchoke Kwani dini gani sema niokoke Unataka wapi sema twende wote Mwenzako Niko radhi Chochote mimi nitakupa wee Ili mapaparazi wasijaribu kukugusa eeh Kupanda ndio kazi kushuka rahisi kabisa wee Nifanye kijakazi kwa penzi lako limefika weeh Nangangana na Mimi Kama nguo fiti mwilini Nitameza quinini ukiniacha mi safarini weeh Rangi yako inamulika mulika Kwenye Giza mwanga kimuli muli Uzuri wako wengi unawadatisha Wanagonga mwamba hawafungi goli Najiona Mimi nikikutazama usoni Sasa kioo Cha Nini, unatosha kua ndani Wengine napiga chini namba yako moja amani Petee vaa kidoleni, ndoa tufunge mwakani Mwenzako Niko radhi Chochote mimi nitakupa wee Ili mapaparazi wasijaribu kukugusa eeh Kupanda ndio kazi kushuka rahisi kabisa wee Nifanye kijakazi kwa penzi lako limefika weeh Nangangana na Mimi Kama nguo fiti mwilini Nitameza quinini ukiniacha mi safarini weeh Japo kuja tuishi kwangu wote Japo urafiki sioni kisa Cha makelele Tukikosa kuku tutakula matembele Mboga za majani zinapatikana pia uku
@sikabwelehani6 жыл бұрын
Wow 😲 Noma sana Beka flever kazi nizuri sana god bless you bro 👉🏾👉🏾👉🏾👍👍👍💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻👏👏👏👏👏
@PWANIMUSICUPDATES2 жыл бұрын
Ni cheche mzee babaz tukikanyaga tunaacha alama 🔥🔥🔥🔥
@derrykboyden8 ай бұрын
You have gained new subscriber❤❤
@pendogerald84526 жыл бұрын
hujawahi kukosea beka wangu jomoooni, sauti yako tu mi hoi mungu azidi kukuinua juu zaidi
@anrvanaodequeen71166 жыл бұрын
yaan nyimbo zko zotr ni 🔥🔥🔥
@aasdfghrehema72044 жыл бұрын
Wuko juwu beka yani muziki nasawuti namashahiri binaendana from bujumburura burundi 💋💋💋✌✌👌👌muziki wabutamu lov you😍😍
@hamisibale46546 жыл бұрын
Kaza buti beka fleva kaz nzuri nzuri sana,kila ukitoa ngoma kali jione kama bado hujatoa ngoma Kali ili ufanikiwe zaid ya ha po
bofonga bofonga baba la baba pomoja sana goooooood sio hawa wwanaoimba ujinga ujinga eti nyege nyegezi upuuzi huo pamoja mzee beca.
@lemashonthomas50626 жыл бұрын
Uwaga sipendi kuwa mnafikii Beka umeuwaaa Sanaaa 🔥 🔥 🔥 kwa wanaye ikubal like yako isikosekane apa ili Twend sawaaaaaa
@merrymtenga39836 жыл бұрын
Beka upo gud
@tomkwoba15776 жыл бұрын
Huyu kijana Wachana nayeeeeee.... Big up bro may God protect you......
@Game-nj3br2 жыл бұрын
Kip moving kiooo cha watanzania inshallah
@maureenkibs73303 жыл бұрын
❤️❤️❤️io beat na moves zanifanya nishinde tu apa ,,,na sauti pia iko 👌👌👌👌👌 napenda sana nyimbo zako ziko🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@ItelPhone-v4m Жыл бұрын
Hua napenda kusikiza san huu wimbo nakumbuka zamani❤🎉
@andrew05026 жыл бұрын
Pale Beka anapoungana na dancers wengine kudance, utaipenda duu!!
@justinonyancha51696 жыл бұрын
Beka Flavour,kazi nayo kweli kaipiga.kila wakati nahisi kuirudiarudia hii kazi,yaani hapa Kenya sipumui kabsaa.The dance crew iko sawa kabsaaa
@ashasalum59486 жыл бұрын
Beka nakupenda sanaaaa yani hii ngoma inaniumizq kinchwaaa
@estherjonas46306 жыл бұрын
saf sana . endelea kumpenda mpenz wako hilo ndo wosia wangu. huyo mtoto mzur sana usimwache kisa ustaa wakoo
@lovehassan72175 жыл бұрын
Wish u all be best Beka Fravour Nakkubali sana.
@malkiabintimfalme68205 жыл бұрын
Beka dear Leo nimeamka tu na mood ya kusikiza nyimbo zako,,
@rashiddihuka12366 жыл бұрын
Beka flavour unajua sana yaaan uko gud Kama utafka mbali
@yustochitema82015 жыл бұрын
Jeshi la mtu mmoja nakukubali sana bwana mdogo,kipaji halisi cha muziki
@paulsantanatzee83016 жыл бұрын
nakuombea kwa mungu uwe wa kimataifa zaidi maana unajua na Wala hauimba kawaida ww ni fantastic
@ommytrueboykimwaga71296 жыл бұрын
Hongera kwa kazi nzuri Wazeee piteni na kwa #mr_nay mzigo upo hewani kama unapenda ngono basi fanya dhanaaaaaaaa
@ogegavincent1831 Жыл бұрын
hello beka am from Kenya 🇰🇪 ilike the way you are determined very hard-working
@aingatv53896 жыл бұрын
Wow, kazi mbili kwa mpigo na tena zote ni safi, bado top 50 kuwatch, and 1st from +254. Congrats bro. Gonga like kama wakubali huyu ba mdogo kipaji anacho kweli...
@saraaroon15216 жыл бұрын
Nice
@michelmisheck78626 жыл бұрын
noma sana fresh ...+254 support
@jamsmussa83746 жыл бұрын
Hadiiiii rahaa
@liliangodfrey40956 жыл бұрын
upowap
@mwajabually18164 жыл бұрын
Nampenda saaaana beka anaimba vzr saut ad rahaaaaa
@zunguboyzungu30886 жыл бұрын
Aaaa hii ngoma Kali san nakupa #salut kwa kz nzr
@bensonelgridinabraham47976 жыл бұрын
Thumb up, tofauti ya daktari na mganga wa kienyeji... Gonga like meeen.
@jacobmuhanyi2766 жыл бұрын
kiukwer dogo unatisha kwa wimbo huu tosha kabisa nakupatia asilimia 100 Na pia mungu akubarik,by Jacob mfinga rukwa
@TizoHaule6 жыл бұрын
duh kanyimbo kananibamba ako 💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💔💔💔
@youngboy22006 жыл бұрын
Hatari Sana mzee baba Kama unamkubali flavour beka like hapaaaa 🔥 🔥 🔥 🔥
@tulinavehussein5733 Жыл бұрын
Beka nyoko wewe nasikiliza nyimbo hadi nalia ngoma kali hadi inakera na hiyo sauti ka babu yako😜 i love you❤️
@mussamisinzo493411 ай бұрын
Naona kazi nzuri
@romanticbeautysaloon88836 жыл бұрын
Tisha xn MZEE BABA #bekaflavour 👏👏👏👏
@janettantine90766 жыл бұрын
wow my beka una tisha sana ww good songs
@hellengideon24233 жыл бұрын
Have listened to this hit for more than ten times n I can't imagine missing it for a day😍😍
@Obelia_sea_fur6 жыл бұрын
am kweli kijana kaficha kakaja moto mbaya kali bro #fiahburn
@mauaiddy70336 жыл бұрын
Nifanye kijakazi kwa penz lako nmefika wengne naona kiza 😘😘😘😘😘😂😂😂😂😂😂😂😂😂👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@manmbilo53836 жыл бұрын
Naomi Iddy nouuuumaaa
@timothypareso14775 жыл бұрын
Wimbo mzur kwel
@gilbertgobeta31186 жыл бұрын
Beka we ni balaaa umeua sana mzee
@mdbclassic14036 жыл бұрын
we kijana una hatar ,,ngoma kali kinyama
@benardmwashi62896 жыл бұрын
Mdogo wangu Beka umenigusa Sana kwenye hiki kitu🇧🇫🇧🇫🇧🇫+🇰🇪🇰🇪🇰🇪+🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿=Africa
@djbizo4256 жыл бұрын
unajitaidiii kijana wanguuu upoo vzr
@ckukuu84046 жыл бұрын
Woow hii nayo ndio nyengne kati ya zile fav za beka flavour we mkali aki huu mwaka kuja Mombasa upige show bana
@udakuudakutv71766 жыл бұрын
Yan huyu m2 nashndwa nimuweke kund gani mana ni wapekee sana anajua mpaka anakera kama unamkbali kama mm gonga #like.twende sawa
@yusramapenz27566 жыл бұрын
waooo kizazi jeuli kazabuti kaka kama unakubali beka flavour komet ilituende sawa💪💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@elvinhokenya30786 жыл бұрын
Waaaaa...Maxmaizer wewe ni mnomaaaaa
@gervastweve86126 жыл бұрын
ninyi ndio tunasema wasanii mnaokuja vizur kwel " kama unamkubali gonga like
@janemikono65736 жыл бұрын
Gervas Tweve nice
@evodearfellisian86785 жыл бұрын
Sana broo
@gillaygershom17095 жыл бұрын
Penda sana uyoooo
@kelvinlyimo77644 жыл бұрын
Like iyo kwiyo
@princesstimmy11633 жыл бұрын
Napenda nyimbo zako daah
@ItelPhone-v4m Жыл бұрын
Nakubali san broo mungu azidi kukupa nguvu❤🎉
@nyabokemabuka63216 жыл бұрын
aaaah dah mm bby boo hajanichanya unatisha kaka nakukubali mm yaani kazana utafika dogo
@evansnabutete49023 жыл бұрын
rosicky sam...tokea kenya kazi poa sana bro
@stanleyndelwa74916 жыл бұрын
Wew Falaa UNAJUA hadii KERO , kazaa mwanangu
@dennismugendi37875 жыл бұрын
Meme ndo imenileta huku...Awesome song.
@pharisjane68566 жыл бұрын
From Kenya tumeikubali kazi yake Beka
@rahimajuma6886 жыл бұрын
watano from Oman like Tanzania kuna mziki jaman
@andrew05026 жыл бұрын
MB zangu Beka zinaisha na huu wimbo boy dah!!!!
@kenzonshunju84356 жыл бұрын
sanaa @Beka
@NehemiaMaritine Жыл бұрын
Ngom hoi nom🎉🎉🎉
@teddyludigija23716 жыл бұрын
mboga za majani zinapatkana pia hkuuu😘😘😘😘😘ngoma kalii inatibu mafua na kikohozii😂😂😂
@christinajames56806 жыл бұрын
Kwani din gani sema niokoke,,, Kali saana
@alimakanz50306 жыл бұрын
Kwauwezowake allah atafika kazi nzur
@officialzmusic9 ай бұрын
Kaka hizi ngoma ebu piga ten kama hizi achana na ukisasa, , ❤❤❤❤
@avynines17545 жыл бұрын
This is awesome ,,napendaaa hiyo beat joh
@hamzajafari34936 жыл бұрын
ngoma Kali sana m baba
@akuyashammahnatoo66706 жыл бұрын
watching from kakuma kenya ,beka flavour mm ni fan wako sugu
@naromorobert51294 жыл бұрын
my best song I lv much even his voice
@ChristinaJoseph-k7o Жыл бұрын
Nakukubali sana kakaangu sauti inanikosha
@mtironyangaresi70836 жыл бұрын
Kwani dini gani xema niokoke. ,,,,beka nomaaaaa,,,,,,,
@emmanuelstephano50506 жыл бұрын
Vzuri mno mungu akusaidie malengo yatatimia tu
@salomejoseph6 жыл бұрын
My every day tune.nakupenda beka #beka karibu 254
@peterkiio6925 Жыл бұрын
Leta kamoja na king 👑 ishiaka yani aslay
@nicks_kenya67033 жыл бұрын
Nakukunali kakangu kwa kazi safi
@wisehunt6 жыл бұрын
Beka unanicanganya bro, keep it lit
@janethmdachi78586 жыл бұрын
Safi mnooo nakupenda mpka naumwaaaa
@yvonnemasombo55482 жыл бұрын
Waallah! Mungu ajibu dua zako inshallah
@neimahakram14586 жыл бұрын
hyu kijana ni sheeedah hongera sana
@milyakitsa30664 жыл бұрын
Nani anaisikia Mara nyingi Kama mimi I knew the song through my boyfriend am addicted to this song volume yote Hadi jirani anateta wimbo moja 2 dada iishe iianxe
@hoseamgaya70746 жыл бұрын
safi sana mdogo wangu kazi nzuri
@joycherry85083 жыл бұрын
Beka🔥🔥🔥🔥 run run run🎶🎶⭐⭐
@kristakristian75185 жыл бұрын
Mswano sana
@keynglawrence48522 жыл бұрын
From USA salute to beka flavor
@sirjoel42286 жыл бұрын
Ww ndo beka nakuelewa sna endelea ku2malza
@4yayasmusic3946 жыл бұрын
Yani nimesubiri sasa sioni jiza naiba naona ndoa eeee asante mwanangu beka video shwari sana sitochoka kuiangalia nakuisambaza kwenye mabaa naona itapendwa sana hata wakongwe wataipenda gonga like kama wewe unapenda mziki wa beka one 4