Usione vyaelea kweli vimeundwa,poti na nyie mmeundwa ni 🔥🔥,kumbe mmezivaa ila wengine wazee wa hizi kazi hahaaaaa salute kwenu
@kanisiusnyakaselula52852 ай бұрын
Hongereni sana vijana wa JKT Makao makuu. Natamani kuona hizi bend hata kwenye taasisi zingine za kiserikali.
@nyamwekomatoke99513 жыл бұрын
Big up sanaa Naona kuna chibongeeee anayasakata ile mbayaaaa Hahaha Mko vzr,,saut nzr
@mtorosenga12723 жыл бұрын
Hongereni saana,kafika ma dancer nimemuelewa sana huyo jamaa wa katikati na huyo dada mwenye bakabaka,pia katika waimbaji nimemuelewa rapa
@ashurajengela39262 жыл бұрын
Sijui ata kwanini nmejikuta nafurahi kutoka moyoni aloooohh mmeua sana 👏👏👏
@neemautalo69772 жыл бұрын
Dah mmetishaaa
@geofreysimpepo99452 жыл бұрын
Mmetisha vijana salute to you.
@danfordchingole68492 жыл бұрын
I'm so missing this ngoma coy 822 kj
@halimagoodgoodsimbahalimag29402 жыл бұрын
Uyu dada aliyevaa z mabak saluti kwako
@maishamapenzimikasa71492 жыл бұрын
Safi sana
@joycekalembo22253 жыл бұрын
Safi sna ?makamanda angekuwepo raisi nae angesogea hapo kupiga ngoma kama kawaida yake.
@zainabsaidbotea97922 жыл бұрын
Wooow very nice
@tumainimwakafuta59692 жыл бұрын
Muko vizuri sana
@imelidastevesteve51273 жыл бұрын
Saf SANA vijana mkikosa ajila mtakuwa wanamizikiiiii
@niyongabotherence89403 жыл бұрын
Ukubali ukatae Mimi naona mukongo hapo kama nawewe umeona gonga like
@venitarugemalila92902 жыл бұрын
Waoowaowaoooo safiiiiiiiii saaaaana sebene la maaana natamani ningekuwa hapo kati wacha e e e e weweeeeee
@davidmpagama84662 жыл бұрын
Well done
@lovenessitiku62933 жыл бұрын
Mtm umetishaaa mmh cjui single uyuu
@georgejosia60943 жыл бұрын
Safi sana Makamanda
@rosetreffert67273 жыл бұрын
Safi sana 👍
@simonjustin59213 жыл бұрын
Nakubar makamanda wetu,mmetisha
@makangeofficialmediatz67153 жыл бұрын
Talented
@williammwampamba23293 жыл бұрын
Big up
@issubajaji79243 жыл бұрын
Ongera jkt
@alimakame92153 жыл бұрын
Hngera Dada ulovaanguo ya jechi upon vzur
@thomasdominick860411 ай бұрын
Wakuu Wa kazi
@kasmirypaschal22283 жыл бұрын
nmeckiaa iyooooooo waiyonaaaaaaaa iyoooooooo big up makamandaaaa wetu
@halfanijmpanjila71182 жыл бұрын
Missed moment...
@mankamush50573 жыл бұрын
Nice
@venitarugemalila92902 жыл бұрын
Unaniua mwenye baka wewee,wote good job sebene mwaaaaa
@ridhiwanijuma26482 жыл бұрын
Nawakubali sana maweza wazee
@mwananchipress35693 жыл бұрын
Legacy ya baba wa Taifa ilipaswa watanzania wote milioni 50 tupite hapo kusingekuwa na mateja wala wezi kwa kweli
@EmmanuelMwabheza Жыл бұрын
Safi
@manyamadaniel7002 жыл бұрын
Big up makamanda wetu
@toresotienoh16812 жыл бұрын
Thanks
@mjungufackson39323 жыл бұрын
Kizazi sana,,,,,jeshi tunalo
@mdentertainmenttz1243 жыл бұрын
Mtm Safi sana
@marycianakanweki21962 жыл бұрын
Kambi yangu band yangu hongereni
@mwayamichael50053 жыл бұрын
Mwnajesh anaweza
@samwelmwiru28273 жыл бұрын
Vijana wetu wako vzuri wakiongozwa na matron wao ,kongole sana
@henrykigugwe51123 жыл бұрын
Mmeiva!
@peterkija84023 жыл бұрын
Hongera San jkt kwakipaji cha uimbaji
@charlesmartine34673 жыл бұрын
Ewaaa!!!
@eliambugi66093 жыл бұрын
Ongera sana makamanda wetu
@kulwakulwa88603 жыл бұрын
Sf Sana
@silvanusmaungo90762 жыл бұрын
Nakwelewa xana mtm ruxtikaaaaaaaaaaaaa
@silvanusmaungo90762 жыл бұрын
Kamanda unaweza xana ruxtika
@abdallahiddy6333 Жыл бұрын
nipeni namba ya huyo modo mwenye baka baka
@georgekimasaofficial16293 жыл бұрын
Big up Sana makamanda wetu mmetisha pongezi kwenu.
@f.a60433 жыл бұрын
😂😂😂
@adolffuntv9733 Жыл бұрын
Dah wamekula vibunda vya kutosha duh
@emmanuelmitao1313 жыл бұрын
Safi sanaaaa
@AliKhamis-ts7wj6 ай бұрын
Uamuzi wa bungeni kutaka kuiyondowa jku na jkt
@dintazdintaz73113 жыл бұрын
Hako ka mabaka mabaka inabd kapande kawe kanakaa na mzanzibar aisee ili kamfunze mauno aisee nmekaelewa sanaa
@levinajoseph13472 жыл бұрын
Ngoma warangi
@lyamuyacharles18112 жыл бұрын
Nimeikubali sana hilo goma
@senegomachine19022 жыл бұрын
Nimehipenda hiyo Makamanda
@adilkher61703 жыл бұрын
Jkt oyeeeeeee
@taturajabu59773 жыл бұрын
Huyo huyo huyooo,wazili wa ulinzi!hapana chezea
@shaniabdalah3492 жыл бұрын
Heshima Kwa chibonge c mchezo,
@venitarugemalila92902 жыл бұрын
Waimbaji nao 🔥 ila mmebana embu tupe vitu
@mrmindboom20583 жыл бұрын
Huyo pc kali noma anaspeed sana
@francisnyaji50003 жыл бұрын
Nzuri iyo makamandaaa
@andrewprojestus29583 жыл бұрын
Nzuri sana
@azizawadh59733 жыл бұрын
Viunu vigumu
@masudially21543 жыл бұрын
Nampenda mwenye gwanda
@barakaduma23983 жыл бұрын
Una pepo
@martinemaganga52533 жыл бұрын
Hapo hakuna mwenye gwanda bali wote wana vest
@rasheedabby28713 жыл бұрын
JKT, Jeshi la Kutumbwiza teh teh teh teh
@ujenziwanyumbakisasatanzan63433 жыл бұрын
Big Up wakuu
@felixmagulu61423 жыл бұрын
Hongereni sana, Baba wa Taifa aliacha alama kubwa sana, Alihakikisha majeshi yote na mashirika ya Umma yanakuwa na bendi za muziki wa dansi, Lakini bendi nyingi zimeshakufa zimebaki chache sana.
@anytimeanyplace96073 жыл бұрын
Aliacha alama au laanaa
@felixmagulu61423 жыл бұрын
@@anytimeanyplace9607 Hiyo laana umeiona wewe.
@emmanuelyngala31332 жыл бұрын
mchinaboy
@lispafulgence99833 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@dausonjohn66583 жыл бұрын
Weeee pic kali nishda kama hujaolewa nipo kwajili yako
@ezragiligwa38713 жыл бұрын
Malomboso
@venitarugemalila92902 жыл бұрын
Wenye magitaa ,kiinanda,mpiga vyombo wapi nyie twende kazi
@anytimeanyplace96073 жыл бұрын
Mkisha kafiraneni. Msio jielewa unuusu
@eliabuedward87553 жыл бұрын
TANZANIA SECURITIES YOU DON'T HAVE A GOSPEL SINGERS?,TUJIFUNE KWA WENZETU ZAMBIA.WANAMWIMBIA MUNGU PIA NA KUTANGAZA UKUU WAKE. MUNGU KWANZA, NA INGEFAA KAMA JESHI NA VYOMBO VYETU VYA ULINZI,
@apostleadamgige46623 жыл бұрын
Umenena ukweli kabisa,kwenye vita wote watasema Mungu tusaidie lakini kwenye amani wanakata viuno na nyimbo za kidunia,Mungu tusamehe
@abdalahsaid29063 жыл бұрын
Makin hyoooo
@farajamwakagile96472 жыл бұрын
Waimbe nyimbo za dini gani?🤔🤔
@mcback43842 жыл бұрын
Nimeona police wana choir niliona wakiimba kanisa katoliki