Kaka Jastini kess sikudai unajuwa sana kuchambuwa wala upindishi maneno na ukosaii sana kaka nakufatilia sana piga kazi kaka.🎉🎉🎉🎉
@DIVINEPROMISE-c1nКүн бұрын
Wachambuzi wetu wangekua hivi mpira ungeheshimiwa
@dominickiungulia10162 күн бұрын
Uncle Kessy ni mchambuzi mzuri sana nakupongeza!
@KelvinMtavangu-ow8yo22 сағат бұрын
Yes, Kaka Justin Kess, congrat for your good football analysis. You really know how it is. Asante .
@gorethzilyahuramu7895Күн бұрын
Safi Sana kaka kess maneno yako niya ukweli kabisa.
@salimdiabyonlinetv4873Күн бұрын
Kessy Akili Nyingi Sana, Wakikuskiliza Simba watapata Kukua japo, Kiukweli Management ya Simba ni Mbovu, Yanga Alhamdullah Twaendelea Uzuri ❤, Tunaushukuru Uongozi Sana wa GSM ❤.
@SarhaSaidКүн бұрын
Kaka uko vizuri 🎉🎉
@omarypizza6992Күн бұрын
uko vizuri kaka
@RashidShabansalminКүн бұрын
Kaka umetisha mung akueke maish maref amn
@BakariMsoka2 күн бұрын
Mungu akubariki Sana nilianza kuku fuatiria tangu ukiwa East African wewe na mwenzako Goza chuma Sijui yukowapi kamanda wangu
@MilliamMangareКүн бұрын
Safiiiiiiiiiii❤❤
@erickganira6324Күн бұрын
Justin kessy papa WA Roma
@Izzoh20212 күн бұрын
Umeongea point kubwa sana kaka,nimakosa sana viongozi kuropoka ropoka ya ndani wanaonekana kama wamesha ishiwa na mbinu mapema na nikikundi cha wauni tu na wanatafuta pakutokea,waache udunduka na watengeneze team na sio kusubiri maamuzi wawape matokeo
@allysinde6208Күн бұрын
Umetisha Sana Kessy
@SantinaChaleКүн бұрын
Hongera sana kaka yetu we kweli unajuwa uchambuzi.siyo wachambuzi wetu wa mchongo
@SevarinijrChitandaКүн бұрын
🔥🔥🔥
@AliyHamisi-jr5veКүн бұрын
Unaongea ukweli big up
@mussabedaКүн бұрын
Pole bado mtasema yanga raha
@AngelinaHassan-fe3jpКүн бұрын
Fact
@charlesmichael44672 күн бұрын
4 times beat to our main contender ..steel 4th to ward a cup...time will tell.
@PerfectMassasi2 күн бұрын
Serikari haitumii Sheria ya watu wanao tumia lugha isio stail mtanndaoni Ili kukomeaha! Maana wengine wapi hapa bongo!
@AmaniMnzava-g5rКүн бұрын
Kessy your the best hakuna mkweli kama wewe ktk uchambuzi
@raymondswed7358Күн бұрын
Amelazimishwa sio amezalimishwa.. Mwandishi wa habari unazingua sana😂😂😂😂
@mustaphaathumani5843Күн бұрын
Mwandishi anauliza vizur sana hongera
@MajhidymhessaКүн бұрын
Mr,Kessy uko sahihi sana na uko vizuri. Hakika unajua kufafanua ball..... Waambie hao Simba waache kuwavunja mioyo wachezaji kwa kweli
@barakawabuge5285Күн бұрын
Shabiki pekee wa kolo asiyestahili kuitwa panya rodi🎉
@ElizaYangaКүн бұрын
Haswaaaa
@RaphaelHenryMkudeКүн бұрын
Vizuli umechambua vizuli sana unajua
@GustavJoniКүн бұрын
Uko pw Sana kwa uchambuz
@BeatriceSoka-c7cКүн бұрын
Huyo chsma hana issue ni kite tuu
@HASSANABDALLA-uw2uiКүн бұрын
Weldone Justin Ile ya diara na ateba alikuwa anafanya golkipa mmoja tu, Justin mkumbuke golkipa anaitwa compos
@allysinde6208Күн бұрын
Yani unanyoosha kama Rula... Nakuelewaga sanaaa!!!
@DominicMakambaКүн бұрын
Kessy ni Mtu na Nusu. Mchambuzi Makini Sana na Unajua Soka.
MAKOLO wenzio lazima uwasifie hufanyi vibaya kwa kuwa ni matashi yko toka MOYONI mwako , ucjichanganye kama msemaji wenu Ahmed Aliy , kusifia usajili mbovu YANGA ipo vizuri tuache kujidanganya wachezaji wanajisahau kama maneno aliyoisema Ateba fc acha basi mapenzi mpka mdomo unachacha
@GustavJoniКүн бұрын
Lakin usisahau yanga nao walianza kulaum Azam TV hiyo imekaaje zungumza kuhusu hiyo
@mussabedaКүн бұрын
Simba mbavu than 0 - 1
@CIFSeriesКүн бұрын
Bro unajua namna ya kuchambua soccer kiufundi zaidi Allah akutunze na akupe siha njema
@FabianJumaGalulaКүн бұрын
Jasitini ni mmoja 2 naatabaki hamung'unyi maneno
@GedionMollelКүн бұрын
Wew ni mwisho ukweli mtupu
@MasanjaMasanja-mz3llКүн бұрын
We jamaa ni noma!!
@fredamlima1150Күн бұрын
Bro Kessy tumekuelewa sana upo vizuri kwenye kuongea ukweli
@AhmedKasukuКүн бұрын
Timu kama Simba haiwezi kuwa na ofisi Msimbazi pale.
@AhmedKasukuКүн бұрын
Hili ni eneo la biashara kaka
@RobertHamissКүн бұрын
! ! !
@jumaissa7587Күн бұрын
justine naomba namba yako ili nikupe maneno yako live
@Zulfashaban-zj8hzКүн бұрын
Kaka nakupendaga sana
@ekimnkande2873Күн бұрын
KAKA HUJAONA MAKOSA YA REFA
@fabiandanford35722 күн бұрын
Leo kesy umenifundisha kitu sana kuhu kunufaika😂😂😂
@yuzolove71202 күн бұрын
Kaka umeongea ukweli
@patridabernard9148Күн бұрын
Huyo kiongozi ni zwazwa na hawana jipya na Bado walalama sana Hadi wafukuze kocha
@MunaMohammed-j3mКүн бұрын
Mech ilikua 50/50
@RenatusMatungwa-o7c2 күн бұрын
Valentino mashaka ana goli 2
@SaidyMwajeka-p2vКүн бұрын
Nice justin 👍🎉🤝💚💚
@FridanyoniFridanyoniКүн бұрын
Vaa wanayo thimbaaaaa
@luganomwakijabilwa919114 сағат бұрын
Yupo sahii sana dabo dabo dabo niliwambia watu azam wamejichanganya kumuondoa dabo mapema
@alphoncealmack92402 күн бұрын
Na hata mechi ya ngao ya jamii simba na Yanga refa aliinyima Yanga goli 3 lkn bado walipiga kelele wamenyimwa penat ambayo si goli maana penat waweza kukosa, hawaoni hayo yote.jana kayoko ameminya pande zote lkn wao ndio kelele tu. Na wanajua fika timu yao bado sana kuweka bato na Yanga
@alisalmin512Күн бұрын
JUSTIN MDOGO WANGU NAULIZA HII SIMBA YA SASA AKIONGEZWA FEITOTO INAWEZEKANA YANGA KUFUNGWA ????
@revmsamilaofficial6607Күн бұрын
Mimi ni Simba, wewe ni Yanga lakini nimekukubali unaongea facts sio ushabiki. Mchome ni chawa anaongea ushabiki. Uko vizuri ndugu Born City unayelijua soka.🙏🙏🙏
@maxmillianmarwa5943Күн бұрын
Huyu jamaa anasema kweli kabisa, jamani viongozi wa simba sikilizeni
@devotabashome1090Күн бұрын
Nimekusoma vizuri.....mtenda akitendewa........
@tezuramziray8700Күн бұрын
Jamaa unajua sana
@Hajimajoka-k9c2 күн бұрын
Kaka nakuelewa sana ww ni mkweli.
@erickganira6324Күн бұрын
Justin kessy wewe ndio papa WA Roma kwa soccer ya East ...naomba uvuke uanze kuchambua derby za east Africa
@omarymtandiКүн бұрын
Kesi upo sawa naamini unafanya uchambuzi kupata furaha co njaaa
Hivi ateba alifunga goal ngapi maana aliwaahidi wanasimba kwamba ataifunga young Africans
@gaspernsajigwamwaiswagha6071Күн бұрын
Huu jamaa anongea kitu ambacho ni sahihi
@ShaniBilary2 күн бұрын
Hongera
@musamshema7838Күн бұрын
Munguwangu Kunawatu watakufa humu
@josephgalandu128Күн бұрын
Malalamiko fccccccc😂😂😂😂
@MunaMohammed-j3mКүн бұрын
Yaani.huoni aibu uyanga umekithori lwako
@aminasogo5780Күн бұрын
Maneno kuntu kaka
@ibnmally424Күн бұрын
Huyu sio mchambuzi ni shabiki
@NasskhefКүн бұрын
Ni kweli basi wacha lile goli tukupeni nyinyi lichukueni haya mmeshinda sawa broo?
@alphoncealmack92402 күн бұрын
Makolo lzma wajue uwezo wa Yanga ni mkubwa sana. muda wanaotumia kupiga kelele wautumie kujenga timu yao.si kutupigia kelele wakat uwezo wao tunaujua fika
@PeterMdulla2 күн бұрын
Ni kweli kaka
@chrysanthushakaunga65602 күн бұрын
Bro uwezekano wa yanga kuchua ndoo ni mkubwa sana
@JayHassan-cd2vgКүн бұрын
Miaka simba alipokuwa anachukua makombe back to back ulikuwa ujasomea uchambuzi
@MunaMohammed-j3mКүн бұрын
Mbona yanga ikionewa unaongea
@mwinyihijaramadhaniseif11002 күн бұрын
Semaukweli shehe.wanamraumu lefa bur
@GadsonEnosКүн бұрын
Nani Sasa Rofa ambae hana Office Simba au YANGA Simba ndo Marofa
@AbelChisasi2 күн бұрын
Mwamba kessy unawaumbua, makolo watakuchukia bure
@HusseinYusuphsimileКүн бұрын
Hanalolote mnafiki TU huyo. Anajaza tumbotu.
@geraldbagole4494Күн бұрын
Kitu cha kwanza kwanini wachezaji wa Simba wanaumia tuna approach Derby?Kama Hamza na Kagoma wasingeumia,wazee wangeabika tu.Quality ya Simba ni bora sana.Huyo Kayoko sijui kama anakuwaga yeye,kijana mkatili sana😂
@Abuu-gs1yi14 сағат бұрын
Duh,,, TUMEWASHENYENTA TENA bhana
@abdallahakida79082 күн бұрын
Mpira mnauharibu tff wache kutangaza marefa kabla ya mechi acha wamuzi watajwe siku ya game kabla ya masaa mawili kuanza game
@nyangumimedia7013Күн бұрын
umesahau SIMBA na DODOMA JIJI alinufaika na penat kwakuwa yeye mkubwa
@abdulkarimnassor284Күн бұрын
Baadae mtabadilika tu,hatutawaelewa
@jumaissa7587Күн бұрын
Sasa unakumbuka huko nyuma ulimponda chama kwa uzee wake wakati yuko simba?Sasa amekua kijana.
@hopefully7090Күн бұрын
Hamna mchambuzi hapa huwezi kuwa mchambuzi kwa kuattack upande mmoja
@Abuu-gs1yi14 сағат бұрын
TUMEWASHENYENTA TENA bhana
@abdulikilala5902Күн бұрын
Kesi ww matako tuu alafu ww yanga ndo maaana unaongea upumbavu pumbavu tu yanga walibebwa alafu unaongea utaira nenda huko
@SophiaLinus-s9iКүн бұрын
Young africa bingwa unaifungaje ?
@Abuu-gs1yi14 сағат бұрын
TUMEWASHENYENTA TENA bhana
@AbelShija-v1oКүн бұрын
Ukwel mtupu na ukwel unauma vibaya mnoo
@augustinemaindeКүн бұрын
Dawa inaanza kuwapata mpira hauna mbamba😂😂😂😂😂😂
@AbelChisasi2 күн бұрын
Kessy uko vizuri mwamba, waambie hao makolo
@jumaissa7587Күн бұрын
Wewe kessy wacha ujinga,simba haina jema kwako.Tafadhali usituchambulie mechi zetu,achana na sisi.
@GodlistenMunuoКүн бұрын
Duuh kumbe simba hawana hata ofisi kweli makolo ni hewaaaa
@pinomjata678Күн бұрын
Magori kafanya makosa lakini hujui kuchambua unaongea ushabiki kufungwa kwa sio lazima kwamba mpinzani alikuwa bora. Ubora wa Yanga ulikuwa wapi jana? Umedanganya kwamba Ulaya timu zinachagua marefa sio kweli. Pia kuhusu mkuu wa marefa alikuwa analaumiwa ni mshabiki wa United na anavalishwa jezi za United ni uongo. Unaongea kiushabiki sana, unashindwa kuongelea mechi ya jana wewe ni ushabiki tu, halafu unaongelea walichokisema wengine kuliko mtazamo wako. Hujawahi kuongea vitu vya maana kwenye football kazi yako ni kujisifia, kupotosha watu na kuongea kinafiki. Hata wewe acha ushabiki ongelea soka. Kwani Baleke, Musonda, Mzize na Dube wana magoli mangapi. You are off topic