Tazama wimbo mpya wa kushirikiana BEST NASO na MR NAY (NAY WA MITEGO) - HELLENA ulioongozwa na Director Deo Abel. Mfuate kwenye mitandao ya kijamii. / bestnasotz / naytrueboytz
Пікірлер: 1 400
@jonaselias77296 жыл бұрын
nampenda kwanzia mtoto best Naso umeuaaaaaaaaaa Ila angeimba MTU mmoja hapa Tanzania ungevumaaaa Ila kwakua kaimba Naso wala mtajifanya hamuekewi....
@khadijakhadija65476 жыл бұрын
Jonas Elias hhhhhhh umeonaee tatizo hawajui vitu vizurii
@Dee-mb9jn6 жыл бұрын
Yaani 254 hamjafika hapa???????kama mko like tukijibambanga
@glendadequeen80702 жыл бұрын
My favorite song 💓💓💓💓 yaaani nangoja ile siku bae atarudi Kenya 🇰🇪nieke huu wimbo..eti akasema tukutane Kenya, weekend turudi Mombasa..😌😌💞💞💞
@laurentchimbirani59906 жыл бұрын
Baada ya ALIKIBA ni best naso Nyimbo kali hiii gonga like twende wanaMUSOMA tumewakilishwa vzr na NASSO
@robertmmugi38144 жыл бұрын
napenda goma zake mm
@adamlovderulojoseph79954 жыл бұрын
hatar musoma moja io
@jacksonsabana99534 жыл бұрын
Kabisa nyimbo za kuish hz sema jamaa anaga bahati
@bensondaud5133 жыл бұрын
Kama Mimi tuuuuuuu😂😂😂😂😂
@princeaspenace14506 жыл бұрын
Kuna kitu #Ney kafanya hapa,, na wasanii wengine wakifanya hv bongo fleva haitakuwa ya watu fulani tu. Kama umeelewa gonga like
@danielswalala53576 жыл бұрын
we best noma uwa nakukubar sana kza broo lazma paeleweke big up sana
@hasinasadan81956 жыл бұрын
LAZARO KAMBA kweli
@winluckmassawe62176 жыл бұрын
LAZARO KAMBA p
@aminaamin98856 жыл бұрын
Saf
@eliasmsabi6896 жыл бұрын
👌
@mwanahawarutona75826 жыл бұрын
Dahh nmeipenda hii rumbaa......nl mith kumckia best naso yule wa miaka hioo.....hapa sasa ndo umerudi vzr bg up💞
@shimitamukandama31304 жыл бұрын
Sherehe TWA jivunia Tanzania na nyimbo zetu wa Tanzania mko wapi nipe like Hapo chini
@idayakey68866 жыл бұрын
best naso upo kalibu mofayaaa iko juuuu
@muimipeter29446 жыл бұрын
Namkubqli sana naso ft true boy kama uko +254 gonga like
@jildow45336 жыл бұрын
Mungu akubaliki Mkubwa @Nay kwa kuikubali collabo hii na Mkubwa Best Naso. Najua kuna baadhi ya wasanii wamekuja na vitu tofauti kwa ajili ya kuwapoteza wengine. Big up to you ma Brothers.
@chipokah12886 жыл бұрын
Ngoma Kali sana pia nasso ana sauti fulan iviiii ila duh! tatizo nyota mungu akufungulie milango yako.like kwake jamaniiiiii!
@marcomwaimu39796 жыл бұрын
Bonge la ngoma big up Best Naso na Nay
@aishaabdj89135 жыл бұрын
toka nianze kukufahamu nakupenda sana na nyimbo zako
@justiceromanusmlyuka76116 жыл бұрын
Jamaaaa namkubali sanaaaa, nimefurahi kaka umerudi tena kwa game big up bongo la ngomaaaaaa🤗🤗🤗
@mbodzebemasika74776 жыл бұрын
my best Nasso yani we ni nouma kuliko baba yaga
@pearltz6 жыл бұрын
weeeeeee kitu hicho no hatarrrr. naso tulikumic ciku nyingi
@gintezcabayser6 жыл бұрын
Bonge LA hit!!! Hii ndio tuna sema sio bora mziki Ila mziki bora ...big up best Naso ...Nay umeuwa hii
@tunguizengo59966 жыл бұрын
wa pili kutizama like ngoma Kali 👏👏👏
@damianlucas53456 жыл бұрын
Mnakosea sana mnao sema Naso kaludi hakuwahi toa ngoma ikawa kimeo nyie semeni tu ukwel midia zetu zimejaa rushwa na majungu km usipo kubal kuwatumikia hupewi saport hata uwe unajua na ukapewa max zote na malaika wa Mungu
@KK-wf9fz6 жыл бұрын
Daaaah ipo vizur sana
@likimaro66 жыл бұрын
Best Nasso na Mr Nay i am your number one fan. Wimbo mzuri sana
@mkaliwenuoriginalpleasesub92976 жыл бұрын
Video kali nzur mnasemaj wadau.
@doricaszephania96326 жыл бұрын
mkali wenu original please subscribe iko bombaa
@dannysharma51096 жыл бұрын
nay wamitengonapendanimujuwe
@edwingwesso1295 жыл бұрын
Sanaaaaaa
@jamesmoses56256 жыл бұрын
kama umengalia hii ngoma zaidi ya mara mbili gonga like
@PatsonIkula6 жыл бұрын
liked
@hasinasadan81956 жыл бұрын
James Moses good
@sajoniyohana92006 жыл бұрын
kila siku nasikiliza
@mashamwiga61885 жыл бұрын
the nice song
@mariamkaburu74685 жыл бұрын
Cartoons
@janetcharles49916 жыл бұрын
woyooooooooooooo,,,we love you nasooooo,,,gonga like kama unamkubal naso
@japharimandalafamily68686 жыл бұрын
Good song my brother kama unamkubali best nasso
@josephswai58226 жыл бұрын
Kwanza napenda kukushukuru nay kwa kumpa sapoti best naso enderea ivyo ivyo big up sana wazanaki tunaweza by matonge musoma moja
@gadielshedrack4996 жыл бұрын
joseph swai noma xana
@damianlucas53456 жыл бұрын
joseph swai ....mzee hii co nzur sana kwa kuchangia kwa kabila
@magoriwambura44396 жыл бұрын
Damian Lucas mbaba sion kama ni vizr xana kuchangia hoja ktk social kwa kuzungmzia kabila!!! Japo ndyo uwezo wko wa kufklia cwez kukupnga xana!!!
@magoriwambura44396 жыл бұрын
Damian Lucas mbaba sion kama ni vizr xana kuchangia hoja ktk social kwa kuzungmzia kabila!!! Japo ndyo uwezo wko wa kufklia cwez kukupnga xana!!!
@heribwana78466 жыл бұрын
namkubali ney wamitego kiukweli jaman
@basamtz86746 жыл бұрын
Kama umeiludia mala nyingi like apa💥💥💥💥💥💥💥
@alibilali3966 жыл бұрын
Zr
@giventimothy10426 жыл бұрын
Basam Tv nasso nakuku baki sana
@ajiliabdalah52466 жыл бұрын
ngoma iko vizur sana best naso
@mwahijamkwinda30416 жыл бұрын
Nece
@nuryamussa73675 жыл бұрын
Siomchezo chukuchuku
@aishamohamed98686 жыл бұрын
Nakupenda sana best nasso mungu akuzidishie kipaji chako ufke mbali
@wamburaogunya22516 жыл бұрын
mtoto wa mara wana mara mko wap like hapa twende sawa
@mbisorashidi81766 жыл бұрын
Tupo
@athumanmsauzi15656 жыл бұрын
umeuaaaa ney broo
@laurentchimbirani59906 жыл бұрын
Tupoooooooooo
@frankjully54576 жыл бұрын
tupo
@jamesraphael22056 жыл бұрын
Ogunya Tv achaaaa umara wewe just support kama sisi mara mtampaa nini just Toa support umeboa
@romwaldoamsi27836 жыл бұрын
Great voice in the world wide. Gonga like kama tupo pamokooh ngom fireee Sana'a
@thearrowbandchanel12986 жыл бұрын
Yeah ngoma nzuri sana vp manasemaje bas kila mtu aweke neno apo Alie ikubali
@alexmwita98376 жыл бұрын
kaz nzuri sana aisee mtoto wa MARA umejitahid like hapa kwa best nasso twend sawa
@gasperseverin40386 жыл бұрын
Penda sana best nasoni... Penda Wewe nyimbo zako... Nazpenda sana
@allympili67046 жыл бұрын
GASPER Severin ngoma Kaliisana best naso sasa tunaanza kumfaham apambane azid kufanya kolabo
@thomsonmarwa17706 жыл бұрын
Duh bro best naso big up kwa ngoma kal uloimba we noma nakukubali sana king
@johnsonchonja40326 жыл бұрын
dude kaliiiiiiii
@salimdesash6 жыл бұрын
best naso Toka kitambo huniangushi... hii ngoma ni 🔥🔥🔥ney kaitendea haki zaidi....
@elizabethathuman7246 жыл бұрын
nakupenda buree best naso ulipotea sana
@charlesgmwinuka62696 жыл бұрын
Bestnasoo Hapo umepoint Collabo na Mr.ney, #kizazisana
@elimasydywaivy78015 жыл бұрын
Wau best nasso nalike ur ngoma sana kaa hiyo hellena waaaaaaaa😍😍😍😍😍😍😍🤗inachoma kuchoma bana😍😍😘😘😘
@verohgershom616 жыл бұрын
Ngoma kali kinomaaaa nakukubar sana Best naso na ney Like kwao
@princewawaziguatz15636 жыл бұрын
Asante Mr nay kwa Kumrudisha Kwenye Gemu huyu Jamaaa 🙌🙌🙌
@chene61845 жыл бұрын
nasema
@samwelthomas69394 жыл бұрын
Prince Wa Wazigua TZ nice
@alexplatnum47626 жыл бұрын
best naso x ney wa mitego haka kaNGOMA #kizazi sana
@judithnyagawa41976 жыл бұрын
Jamanii jamaniiii nyie huyu mkakaa m mwenzenu namuelewa kuliko maelezo Kama na w unamuelewa baba Helena embu twende sawa
@lukakaumatiku83504 жыл бұрын
Judith Nyagawa nawe unamwndo Wa malingo??
@amospetro95284 жыл бұрын
@@lukakaumatiku8350 b
@maltears4 жыл бұрын
mi nasikiliza mara kumi kwa siku tena hapo kwa helena kamuimba dada angu
@halfanshemwanza723 жыл бұрын
Best naso twenty pasent wacheni Hawa jamas
@brunobaragomwa56116 жыл бұрын
Iko poa sana ,, big up to you all,, mmefanya vizuri
@abdulkadirnare95586 жыл бұрын
Nakubal best naso pamoja na true boy ney wamitego
@asumwisyemwajeka81265 жыл бұрын
Naipenda sana hii ngoma
@errymtanga44926 жыл бұрын
Ni motooooo!
@hellenorito12283 жыл бұрын
Ooh ooh ooh my jina langu kama mnavyonijua Helena, big up nawapenda bure Kwa wale Wa 2021,like Kwa Vinci
@kevinelaar44856 жыл бұрын
Ngoma kaali Sana,congrats Nay Kwa Kumleta Nasso Kwa Mara nyingne tena kwenye uwanja WA real music, Bro Naso keep it up Do ur best n u Gonna make it.
@ommytrueboykimwaga71296 жыл бұрын
Huu ndo muda wa mziki mzuri bless up boss#MrNay
@Nickojunior6 жыл бұрын
Number 1 here 🤗 hakuna mshindani 🤝 gonga like kama umeikubali ngoma hii👍🏿
@evervisent46925 жыл бұрын
duuuuuuuh hatali hi ngoma imebamba San kitaa mmeitendea haki kaka zangu!!
@jennifermwakibete8646 жыл бұрын
jamani naupenda uhu wimbo jamani uwiii Asante Best Nasso kwa le jisong mwanawane kanda ya ziwa lazima tukusaport💝💞 chukuchuku ana mwendo wa malingo kama mm uwiii yaan sherehe ✌💘💘💗💖💕💓
@sillaskelly61356 жыл бұрын
kijana best nasso karudi na nguvu zote mambo ni hviiiiii 🔥 🔥
@stanislastv37866 жыл бұрын
Best nasso we love you so much my broooooooo like for him my nasso
@rashid4real1976 жыл бұрын
Bonge la video
@paulojonathan54376 жыл бұрын
Habari Zote Tv bessa
@eliusmaduhu21026 жыл бұрын
Tusua naso
@abdulhafidh7246 жыл бұрын
Habari Zote Tv iko poa
@abdulhafidh7246 жыл бұрын
Habari Zote Tv
@rahimajuma6886 жыл бұрын
dah best nasso kaka uko vizuri braza nay mpe saport ndugu yako video nzuri sn yani kila mtu ataicheza 🙋🙋
@maksipalachu13725 жыл бұрын
Rahima Juma uko vzr
@ramahasanip36425 жыл бұрын
naso ameweza kupiga hatua kwa kusimamia kaz yake
@mussamzonge26575 жыл бұрын
Wazee kwa vijana.. Inachezeka.. Rahima unajua nyimbo..halafu hizi hata kwa liveband ..inakubali..
@peterkimwaga87256 жыл бұрын
Ney ni 🔥🔥🔥
@danielolewavii79085 жыл бұрын
philipo
@bahatevagre9336 жыл бұрын
mnyama najua hukoseagi ata nikikushirikisha mm unanitoa,big up Mr nay ,best naso pia nakukubali tokea uanze mm fansi wako mpaka wameniita mzee wa zaman.sasa nadhan umewaziba mdomo
@isayathadayo65096 жыл бұрын
Dah kaka zang nawakukubal sana kaka ney muwezeshe kaka best naso ngoma zake nazikubal
@ysupacha72596 жыл бұрын
brother we ni noouuuuma hujawahi kuniangusha hata kidogo hili ni bonge la ngomaaaaaaa
@frenkjastin28435 жыл бұрын
Ebwana eeeh ngoma umeipanga na imepangika mpaka raha kuitazama mzee baba big up sana kwa mzee nay
@isackisack67036 жыл бұрын
ahaaa uyuujamaa anaimbaa wewe ngoma kali iyooo wee
@kinjeathuman23506 жыл бұрын
Nasso naona kaanza muzik sasa, huu ndo muzik alitakiwa kuimba
@dicksonnoel19006 жыл бұрын
Imekaa poa safi sana
@francewimbe18245 жыл бұрын
Hehehehehe we balaa
@dillisalum23846 жыл бұрын
Kawimbo kanabembeleza kinoma,nimekapenda asee
@antonmwaila81836 жыл бұрын
Safii sana kaka ngoma nzurii
@juniormadini1246 жыл бұрын
Ngoma Kali naso na mzee baba mmekuja kivingine
@wybzokizzy4416 Жыл бұрын
We're going into 2023 and the song is still on fire 🔥🔥
@rehmadamian80206 жыл бұрын
Ngoma kali big up🙌 naso& nay
@ellymmbaga76916 жыл бұрын
Rehma Damian @@@@@@@
@rehmadamian80206 жыл бұрын
elly mmbaga 🙋
@j4shikiboy4366 жыл бұрын
Rehma Damian poa
@josimo70836 жыл бұрын
Nay and Nasso kazi nzur sana mabroooo
@ezzytz63816 жыл бұрын
best nasso hujawah kuniangusha mzee baba,mm fan wako wa ukwel mzee
@johnvenasa.k.awazamansana80256 жыл бұрын
Kaja on fuer nas iko poa sana kama unaungana Na Mimi weka like yako hapa japo kdg
@elivtv.baseafrica39886 жыл бұрын
Oyoooooooooooll atimeya imefika noma sana wcb mnamuona besti naso
@jamesraphael22056 жыл бұрын
love you boi sanaaaa pray to the God never give up afuu piga kityuu Na Bell 9
@GideonPancras2 ай бұрын
Uko vizuri pambana utatoka mtegemee mungu usije ukadanganywa ukaenda freemason uko pana wenyewe bora maisha marefu ya kawaida kuliko maisha mafupi ya mawazo
@issaamiri1046 жыл бұрын
saluti kwako mr nay ngoma kalii Sana umefanya poa Sana kumchukua best naso safii sanaaa
@athanaswilliam69406 жыл бұрын
Bonge la nyimbo asee.. vipaji hivi vinabaniwa bure.. wanapewa promo wasioweza..laiti hi nyimbk ingepata promo z kina Dai au Ally K nadhani jamaa angefika mbali sana. Big up sana Best Nasso.. Big up san Mr. Nay.
@nzitogondwe99763 жыл бұрын
Best naso uko poa sana dogo nay huyo endelea nae kufanya kazi mmenda vzr sana msiachane pigen kaz
@sisihaogroup15386 жыл бұрын
namkubali sana naso kama naww unamkubali gonga like hapa
@elivtv.baseafrica39886 жыл бұрын
Best naso tuna Kupenda sana nigeria
@manjaruujr65046 жыл бұрын
Nasoo huu ndo mziki sasa karibi kwenye dunia ya wapambanaji
@minzajoji71964 жыл бұрын
Mung alijuwa kukubaliki kakupa Langi uzur ulef Saut kipaji Mung akuinuwe zaid nakupenda dugu yang njia moja unaniacha lamadi unaedelea na safali kwann nisikukubali
@kaymokskevins6 жыл бұрын
Haiya huyo Helena anakaa mkenya tu...Nice hit there...
@harunfamily32786 жыл бұрын
Tulimiss mzik wako best nasso#🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥tisha sana baba yaga✔✔✔✔
@Lucas-ek7li6 жыл бұрын
Ayooooo osam hahaaa this is freenation fireeeeeeee
@nyaminyamievance49556 жыл бұрын
Asate ney kwa kumpa tafu ndunge yet
@laurentmakande82686 жыл бұрын
Ngoma kali Sana, hongera sana Best naso
@BarackaSaim-ev3gk9 ай бұрын
2023❤ nasikiliza nyimbo hii
@orgmedia22956 жыл бұрын
penda sana ma bro b nasoo kwa bonge la supriseeee #HELENA☆🎶🎼
@jacksonngwale58596 жыл бұрын
Nice song broo 2likumic saana
@mayombosylevester92125 жыл бұрын
So talented young but poor management he has, go go nassoro one day yes
@mkaliwenuoriginalpleasesub92976 жыл бұрын
Ngoma nzur like zote hap.
@mohamedlugongo3306 жыл бұрын
atari
@braymhewa6936 жыл бұрын
mkali wenu original please subscribe nakubali sana mkaliii
@giftjuliass60026 жыл бұрын
Safiiiiiiiiiiii naso
@princeallykitambonomaasana17616 жыл бұрын
Ney umemrudisha jembe kazini hapo ndio msani wa ukweli uliemsainisha sina mashaka nae hongera sana bonge ya hit
@enockkitomarys49096 жыл бұрын
kitu Helena saut ya kinanda....... bonge la song
@ramadhaniathumanimlenge66416 жыл бұрын
Hongera ney umemleta best nasso kwa wajanja
@saidmandet89556 жыл бұрын
Cute
@hashimumutegomutego1426 жыл бұрын
namkukubali sana ney wamitego
@bressing8juma7556 жыл бұрын
hongelasan neiwamitego umetisha
@joshuasadyoya24905 жыл бұрын
Anajitahid
@josephphalesi49854 жыл бұрын
Xanaaaaaa
@princeuzieri45486 жыл бұрын
Ngoma imekubalika hii like from best naso ft ney kama unawakubali gonga like ndugu
@josephthobias20566 жыл бұрын
hapa ndo jamaa ananikoshaga best maso huko very
@paschalmaengela13046 жыл бұрын
Nibonge langoma
@braisonmbata81096 жыл бұрын
ngoma nzuri best nasso unajua
@makondapius78736 жыл бұрын
Beka
@gabrielmugabo92236 жыл бұрын
Iko poa sana
@jumaigoti36666 жыл бұрын
sichoki kuingalia hii ngoma best naso nakukubari miaka yote
@kitatakitata86786 жыл бұрын
Best nass #handsome Boi cna km #Mimi daah move kali Imepangwa cna saloot Jambazi zng
@augustinepaul87396 жыл бұрын
My best song right now gonga fire kama umeilewa
@kingkiwango14356 жыл бұрын
Alaa kumbe mnaweza kutunga mashair mazur paxpo matusi na wimbo ukabamba??asante balaza la sanaa wizara na tcra kwa kaz mnayoifaya sasa namwona nay nlompenda cku ya kwanza anaanza kutoka... Yan cye mashabk sio kwamba mkiimba bla matus et ngoma hatuikubal noo cye tunapenda wimbo ambao hata ukpga akat mkwe yupo inakua poa sio unaplay huku remote umeweka kdole kwe FF ama next
@dkensmopainvevo36836 жыл бұрын
Yaaani Msanii halisi Kama nasso hapo bongo hamna 👏👏👏👏👏💪😂
@Steve-gk3gz6 жыл бұрын
Ngoma ni 🔥🔥🔥 balaaa sijui kwanini views hazijafika M
@nasraissa87166 жыл бұрын
Kama unaikubali gonga like 👇
@Lucas-ek7li6 жыл бұрын
Nasra Issa Nasra
@johnvenasa.k.awazamansana80256 жыл бұрын
Iko poa sana
@aaaaaah2906 жыл бұрын
Nasra Issa SAWA SAWA
@barakajoseph65106 жыл бұрын
Unaimba vzr best but badirisha studio you are going to be liplutnumz
@selemanjuma17826 жыл бұрын
Nasra Issa aje
@annautenga91366 жыл бұрын
nakukubaly sana best nasso cjui kwann
@majidmangara16175 жыл бұрын
À 💻💻💻📲😘🔓💻💵……🔓 A🔓💵🍏♥🍏♥📲📠😘💻💻
@jovinbamhiga48006 жыл бұрын
Hongera Sana Best Nasor Hakika ni Bonge la Ngoma Kama Unaikubali Burudani hii Gonga Like Nyingi Twende Sawa na Hawa Nchi Jirani.
@georgesamwelihuri75625 жыл бұрын
Best naso Yuko vizuri sana,na hajaanza kuimba vizuri kwenye wimbo huo tu, kama hamjawahi kusikiliza nyimbo zake na kuzifatilia,basi anza kuzisikiliza utamjuwa Best naso ni Nani ,