Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
Пікірлер: 82
@MasnamussaPpАй бұрын
Mashallah wazee wetu wa zamani waliishi maisha ya tabu na raha mwanzo mwisho kufa kuzikana ❤kwenda mbele
@hafidhabdallah6292Ай бұрын
Mashallah Allah aibariki pemba yetu❤❤❤
@asilahassan9965Ай бұрын
Ammina ya rabbill allamin allhuma
@BinTwahirinho-rw1nvАй бұрын
daah,, mamb yameenda bibi yangu, xaiv kama huna nyumba, gar, kazi nzur ya muonekano, hakutak mwanamke wala wakwe hawakutak, watu wanajal kitu na c mtu, hatar xanaa.. na ole wako uwe nacho ila baadae uwe huna km utakua na Aman tena, Allah atufanyie wepes inxhallah ila hatar kwelii
@user-sv6ej5mv9qАй бұрын
Na tabia hii imezaa fitna mbaya sana! 1Mke wa mtu kuwa na boyfriend huko nje 2.mke kutia fitina watoto dhidi ya baba yao.Hii utokea sana mume akielekea uzeeni. 3.wake wa zama hizi huamini kuwa mume atatangulia kufa aache mali.Hii hupelekea wao kung'ang'ania taarifa za mali za mumewe zilipo.
@muhammadiabassi656Ай бұрын
ماشاء الله تبارك الرحمن يا جدتي الحمدلله على تلك المعلومات
@user-fo5my5pe3b22 күн бұрын
Mashaallah mashaallah mashaallah pemba yetu napajua nishaenda nishalala mashaallah kwetu sisi ni ziwani pia kuko bomba kabisa
@nailamohd-wn6sbАй бұрын
Kikwetu kizanzibar haitwi bibi kizee huyo anaitwa bibi mtumzima anajielewa na anafanya kazi zake na akili inafanya kazi.
@Ali-nl2duАй бұрын
Kweli, lugha ya kiswahili imeharibiwa sana siku hizi.
@salmaelhinai833Ай бұрын
@@Ali-nl2du naam kwanini wasimuandike bi furaha lugha ya heshima haipo tena siku hizi bibi kizee ndio nini ndio jina alilopewa na wazee wake hilo bibi kizee
@user-ib7kn6fs4x16 күн бұрын
Hawa al fataa sanyengine wanakoseya bibi kizee wananjuwa
@hijrakassim304Ай бұрын
Kipindi kizuri sana Leo Maaaashallah Bora ututafutie mabibi kama Hawa watuwaidh
@UmyAbriya-wt4vbАй бұрын
Alhamdllah kwakuo na history kutoka kwetu najifunia kuwa mpemba ❤❤alio ngea bibi nikweli mtupu mungu apemasha marefu huyu bibi waze kama hawa nidawa ktk mji
@MahmudOmar-gx2okАй бұрын
Assalamu Aleikum warahmatullah wabarakatu Ma sha ALLAH leo umeweza kipindi kizuri sana hata sitaki kiishe nasubiri sehemu ya pili in sha ALLAH. Shukran wajazzakaAllah kheri
@jumanjenga768223 күн бұрын
Masha Allah bibi yetu
@hadijaismail3619Ай бұрын
Bibi Furaha nimekupenda bure umejieleza vzr mno Kuhusu zamani na yote ni kweli tupuu😊😊😊
@user-ml8bg7su2b13 күн бұрын
Asnte sana vipenzi ujumbe umefika
@fatimasaid9469Ай бұрын
Mashallah kipindi kizuri
@asilahassan9965Ай бұрын
Shukran sn alfatah tv online
@aminamgaza6655Ай бұрын
🎉
@bintsalimalbimany287Ай бұрын
Home Sweety home😢Nimefurah kipind kizur Mashallah bib umenichekesha Et Usende ntakwenda kean sina miguu 😂 Allah atuongoze😭
@faridafaridaa4618Ай бұрын
Ila pemba mahari rahisi sana laki 2 unapata mke tofauti na unguja na wanaume wa unguja huowa pemba kwa sababu unguja wameacha wanawake sn hficha tabua zao hawajulikani huko
@AhmedAhmed-tb9nfАй бұрын
laki 2 mahari pemba ipi hiyo dada
@user-ul9qq8lo3d29 күн бұрын
Pemba ipi dada angu uliyokusudia wewe😅
@khajumkhamis791027 күн бұрын
Micheweni
@MuzneOthman-l7i22 күн бұрын
Pemba hiyo unayoijua wewe. Tena ukasema ninabanda unguja ndio kabisa utapea wa mke karahisi hizo laki 2 nyingi
@khajumkhamis791022 күн бұрын
@@MuzneOthman-l7i hakika ni wewe tuuuu
@husnamohamed9245Ай бұрын
Nimekupenda hapo kama peponi mashallah
@asilahassan9965Ай бұрын
Allahu Akbar
@MrMona_TZ17 күн бұрын
Kwann umwite kizee bhn heading rekebisheni uyu n bibi mtu mzima
@user-sx1xi4yb2zАй бұрын
Masha Allah bibi yetu,, Sasa mie nataka nije kuolewa huko
@asilahassan9965Ай бұрын
Hhhh karibu my love
@aminamgaza6655Ай бұрын
MashaAllah ❤❤❤Pemba yetu
@husnamohamed9245Ай бұрын
Nampenda huyu bibi kaeleza vizuri sana.
@theteacherchance6750Ай бұрын
Jambo la kuhuzunisha kuhusu watu wa kijiji hiki ni madhara yapatikanayo katika kazi zao. Wengi wa wanawake wa hapa ni WAFINYANZI udongo unawaathiri sana. Sura zao zinaonesha jinsi afya zao zilivyo. UMASKINI.
@TunauzaSimu-fn2ffАй бұрын
Samaki wa kibua ntamu nae kantawala Unguja eee
@user-sx1xi4yb2zАй бұрын
Jamani bibi nitafutie mume mstaarabu huko jamani. Nawapenda mno wapemba mie ila sijawahi mpata, Ila awe mtu mzima wa miaka 45 mpka 50,hata awe na watoto sawa tuu,maana napenda kuishi na familia kubwa. Mie pia nina watoto 2
@AminaSeif-ns3qtАй бұрын
Tatizo kubwa nikua wazazi wengi hawana muda wa kuwafundisha watoto wao haya mambo ndio mana tumeharibikiwa,na kwa wazazi wanaowafundisha watoto wao haya mambo hata wakiolewa ndoa zao zinakua na furaha na mapenzi ya hali juu.
@BiubwaAljahadhmyАй бұрын
A alaikum hichi kijiji pembeni ni sehemu gani nimependa hivo vyungu .
@aliharoun8659Ай бұрын
Ipo mkoa wa kusini pemba wilaya ya chake chake shehia ya kwale
@sheikhasalim119028 күн бұрын
pembeni zipo nyingi kuna nyengine ni kaskazini pemba karibu na madenjani@@aliharoun8659
@hafidhhemed1514Ай бұрын
Sio sahihi kumwita bibi kizee, ...Kwa lugha ya kizanzibari haitafsiriki vizuri.. huyo ni BiBi, na sio bibi kizee
@asilahassan9965Ай бұрын
Mimi nilikua sijui km kuita bibi kizee so sahihi lkn nilikua sipendi kumuita bibi , ukamuita bibi kizee
@samjabri2611Ай бұрын
Mashallah
@awaynaaaa3490Ай бұрын
Mm nimepend hivy vetezo wallah
@nasrimswaki4824Ай бұрын
maashallah
@SaidSaid-v9qАй бұрын
Waume wapo.
@jumahamadomar9124Ай бұрын
Vijana wa siku hizi wakishaingiwa ni nyege tu baasi hawasikii la mwaazini wala mteka maji msikitini mtihani sijui ivyo vizazi vya watu hao vitakuwaje ikiwa mama na baba ni Facebook na tiktok
@selemanijafari9225Ай бұрын
Pemba sioi wanna kibur baaz yao tamaa mahar mengi wajane weng io zamani sio sasa
@kassimomar7589Ай бұрын
Pembeni ya mwangaza kwetu Pembeni ya shengejuu
@ZuenaSharifuАй бұрын
Mashallah hakuna km Pemba
@SaidSaid-v9qАй бұрын
Wapemba tupo ushakua tayar kuolewa?
@Pemba680Ай бұрын
Pemba oyee😂
@KhamisSaleh-gg7ovАй бұрын
Pembeni Iko PEMBA Gani? Maana sidhani kama hapa ni Pembeni Ya Shengejuu Kaskazini PEMBA!
@Mbarouk-l2nАй бұрын
Nauliza muliopo pemba je pembeni kumeshajengwa barabara ya lami?
@user-ul9qq8lo3d29 күн бұрын
Hatujui,kama nini njoo mwenyewe
@fatmamuhammed9713Ай бұрын
Hiyo ni pemba ya juzi sio ya leo tusidanganyane
@AbuuswalhaYousufАй бұрын
Ndo mwafundishwa hivyoo muache midomo
@faridafaridaa4618Ай бұрын
Wanawake wa pemba hupenda kuolewa unguja wanakuona km ulaya mwanaume wa unguja ashaacha wake 4 au 3 akienda pemba lkm arudi na mke uchunfuzi tumeuchunguza cn
@salehkhamis-ob8lnАй бұрын
Ulaya unakujua unakuskia ww. Ulaya hakuna shida. Huka kutafta maji ya kutumia shida utayasaka kwa mbwa wa polisi. Miji Michafu kila sehem kunanuka kwa makaro
@user-fo5my5pe3b22 күн бұрын
@@salehkhamis-ob8ln😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Uko ulaya unguja kumetengenezwa na wapemba watu waunguja ni wavivu hawataki kazi mjomba wang kaka ynf yupo ulaya anabweteka mpemba mumshukuru manake wapemba wapo kila sehem na wapo vzr kimaendeleo
@user-fo5my5pe3b22 күн бұрын
Nadhani hapajui ulaya hhhhhhhhhhhhhhh unguja imekua mbayaaaaa