BIBI KIZEE ATOBOA SIRI YA WATU WENGI KUOA PEMBA(HUBBUL HALAL)

  Рет қаралды 16,699

AL FATAH TV ONLINE

AL FATAH TV ONLINE

Күн бұрын

Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
#AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
#ZANZIBAR​​

Пікірлер: 82
@MasnamussaPp
@MasnamussaPp Ай бұрын
Mashallah wazee wetu wa zamani waliishi maisha ya tabu na raha mwanzo mwisho kufa kuzikana ❤kwenda mbele
@hafidhabdallah6292
@hafidhabdallah6292 Ай бұрын
Mashallah Allah aibariki pemba yetu❤❤❤
@asilahassan9965
@asilahassan9965 Ай бұрын
Ammina ya rabbill allamin allhuma
@BinTwahirinho-rw1nv
@BinTwahirinho-rw1nv Ай бұрын
daah,, mamb yameenda bibi yangu, xaiv kama huna nyumba, gar, kazi nzur ya muonekano, hakutak mwanamke wala wakwe hawakutak, watu wanajal kitu na c mtu, hatar xanaa.. na ole wako uwe nacho ila baadae uwe huna km utakua na Aman tena, Allah atufanyie wepes inxhallah ila hatar kwelii
@user-sv6ej5mv9q
@user-sv6ej5mv9q Ай бұрын
Na tabia hii imezaa fitna mbaya sana! 1Mke wa mtu kuwa na boyfriend huko nje 2.mke kutia fitina watoto dhidi ya baba yao.Hii utokea sana mume akielekea uzeeni. 3.wake wa zama hizi huamini kuwa mume atatangulia kufa aache mali.Hii hupelekea wao kung'ang'ania taarifa za mali za mumewe zilipo.
@muhammadiabassi656
@muhammadiabassi656 Ай бұрын
ماشاء الله تبارك الرحمن يا جدتي الحمدلله على تلك المعلومات
@user-fo5my5pe3b
@user-fo5my5pe3b 22 күн бұрын
Mashaallah mashaallah mashaallah pemba yetu napajua nishaenda nishalala mashaallah kwetu sisi ni ziwani pia kuko bomba kabisa
@nailamohd-wn6sb
@nailamohd-wn6sb Ай бұрын
Kikwetu kizanzibar haitwi bibi kizee huyo anaitwa bibi mtumzima anajielewa na anafanya kazi zake na akili inafanya kazi.
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du Ай бұрын
Kweli, lugha ya kiswahili imeharibiwa sana siku hizi.
@salmaelhinai833
@salmaelhinai833 Ай бұрын
@@Ali-nl2du naam kwanini wasimuandike bi furaha lugha ya heshima haipo tena siku hizi bibi kizee ndio nini ndio jina alilopewa na wazee wake hilo bibi kizee
@user-ib7kn6fs4x
@user-ib7kn6fs4x 16 күн бұрын
Hawa al fataa sanyengine wanakoseya bibi kizee wananjuwa
@hijrakassim304
@hijrakassim304 Ай бұрын
Kipindi kizuri sana Leo Maaaashallah Bora ututafutie mabibi kama Hawa watuwaidh
@UmyAbriya-wt4vb
@UmyAbriya-wt4vb Ай бұрын
Alhamdllah kwakuo na history kutoka kwetu najifunia kuwa mpemba ❤❤alio ngea bibi nikweli mtupu mungu apemasha marefu huyu bibi waze kama hawa nidawa ktk mji
@MahmudOmar-gx2ok
@MahmudOmar-gx2ok Ай бұрын
Assalamu Aleikum warahmatullah wabarakatu Ma sha ALLAH leo umeweza kipindi kizuri sana hata sitaki kiishe nasubiri sehemu ya pili in sha ALLAH. Shukran wajazzakaAllah kheri
@jumanjenga7682
@jumanjenga7682 23 күн бұрын
Masha Allah bibi yetu
@hadijaismail3619
@hadijaismail3619 Ай бұрын
Bibi Furaha nimekupenda bure umejieleza vzr mno Kuhusu zamani na yote ni kweli tupuu😊😊😊
@user-ml8bg7su2b
@user-ml8bg7su2b 13 күн бұрын
Asnte sana vipenzi ujumbe umefika
@fatimasaid9469
@fatimasaid9469 Ай бұрын
Mashallah kipindi kizuri
@asilahassan9965
@asilahassan9965 Ай бұрын
Shukran sn alfatah tv online
@aminamgaza6655
@aminamgaza6655 Ай бұрын
🎉
@bintsalimalbimany287
@bintsalimalbimany287 Ай бұрын
Home Sweety home😢Nimefurah kipind kizur Mashallah bib umenichekesha Et Usende ntakwenda kean sina miguu 😂 Allah atuongoze😭
@faridafaridaa4618
@faridafaridaa4618 Ай бұрын
Ila pemba mahari rahisi sana laki 2 unapata mke tofauti na unguja na wanaume wa unguja huowa pemba kwa sababu unguja wameacha wanawake sn hficha tabua zao hawajulikani huko
@AhmedAhmed-tb9nf
@AhmedAhmed-tb9nf Ай бұрын
laki 2 mahari pemba ipi hiyo dada
@user-ul9qq8lo3d
@user-ul9qq8lo3d 29 күн бұрын
Pemba ipi dada angu uliyokusudia wewe😅
@khajumkhamis7910
@khajumkhamis7910 27 күн бұрын
Micheweni
@MuzneOthman-l7i
@MuzneOthman-l7i 22 күн бұрын
Pemba hiyo unayoijua wewe. Tena ukasema ninabanda unguja ndio kabisa utapea wa mke karahisi hizo laki 2 nyingi
@khajumkhamis7910
@khajumkhamis7910 22 күн бұрын
@@MuzneOthman-l7i hakika ni wewe tuuuu
@husnamohamed9245
@husnamohamed9245 Ай бұрын
Nimekupenda hapo kama peponi mashallah
@asilahassan9965
@asilahassan9965 Ай бұрын
Allahu Akbar
@MrMona_TZ
@MrMona_TZ 17 күн бұрын
Kwann umwite kizee bhn heading rekebisheni uyu n bibi mtu mzima
@user-sx1xi4yb2z
@user-sx1xi4yb2z Ай бұрын
Masha Allah bibi yetu,, Sasa mie nataka nije kuolewa huko
@asilahassan9965
@asilahassan9965 Ай бұрын
Hhhh karibu my love
@aminamgaza6655
@aminamgaza6655 Ай бұрын
MashaAllah ❤❤❤Pemba yetu
@husnamohamed9245
@husnamohamed9245 Ай бұрын
Nampenda huyu bibi kaeleza vizuri sana.
@theteacherchance6750
@theteacherchance6750 Ай бұрын
Jambo la kuhuzunisha kuhusu watu wa kijiji hiki ni madhara yapatikanayo katika kazi zao. Wengi wa wanawake wa hapa ni WAFINYANZI udongo unawaathiri sana. Sura zao zinaonesha jinsi afya zao zilivyo. UMASKINI.
@TunauzaSimu-fn2ff
@TunauzaSimu-fn2ff Ай бұрын
Samaki wa kibua ntamu nae kantawala Unguja eee
@user-sx1xi4yb2z
@user-sx1xi4yb2z Ай бұрын
Jamani bibi nitafutie mume mstaarabu huko jamani. Nawapenda mno wapemba mie ila sijawahi mpata, Ila awe mtu mzima wa miaka 45 mpka 50,hata awe na watoto sawa tuu,maana napenda kuishi na familia kubwa. Mie pia nina watoto 2
@AminaSeif-ns3qt
@AminaSeif-ns3qt Ай бұрын
Tatizo kubwa nikua wazazi wengi hawana muda wa kuwafundisha watoto wao haya mambo ndio mana tumeharibikiwa,na kwa wazazi wanaowafundisha watoto wao haya mambo hata wakiolewa ndoa zao zinakua na furaha na mapenzi ya hali juu.
@BiubwaAljahadhmy
@BiubwaAljahadhmy Ай бұрын
A alaikum hichi kijiji pembeni ni sehemu gani nimependa hivo vyungu .
@aliharoun8659
@aliharoun8659 Ай бұрын
Ipo mkoa wa kusini pemba wilaya ya chake chake shehia ya kwale
@sheikhasalim1190
@sheikhasalim1190 28 күн бұрын
pembeni zipo nyingi kuna nyengine ni kaskazini pemba karibu na madenjani​@@aliharoun8659
@hafidhhemed1514
@hafidhhemed1514 Ай бұрын
Sio sahihi kumwita bibi kizee, ...Kwa lugha ya kizanzibari haitafsiriki vizuri.. huyo ni BiBi, na sio bibi kizee
@asilahassan9965
@asilahassan9965 Ай бұрын
Mimi nilikua sijui km kuita bibi kizee so sahihi lkn nilikua sipendi kumuita bibi , ukamuita bibi kizee
@samjabri2611
@samjabri2611 Ай бұрын
Mashallah
@awaynaaaa3490
@awaynaaaa3490 Ай бұрын
Mm nimepend hivy vetezo wallah
@nasrimswaki4824
@nasrimswaki4824 Ай бұрын
maashallah
@SaidSaid-v9q
@SaidSaid-v9q Ай бұрын
Waume wapo.
@jumahamadomar9124
@jumahamadomar9124 Ай бұрын
Vijana wa siku hizi wakishaingiwa ni nyege tu baasi hawasikii la mwaazini wala mteka maji msikitini mtihani sijui ivyo vizazi vya watu hao vitakuwaje ikiwa mama na baba ni Facebook na tiktok
@selemanijafari9225
@selemanijafari9225 Ай бұрын
Pemba sioi wanna kibur baaz yao tamaa mahar mengi wajane weng io zamani sio sasa
@kassimomar7589
@kassimomar7589 Ай бұрын
Pembeni ya mwangaza kwetu Pembeni ya shengejuu
@ZuenaSharifu
@ZuenaSharifu Ай бұрын
Mashallah hakuna km Pemba
@SaidSaid-v9q
@SaidSaid-v9q Ай бұрын
Wapemba tupo ushakua tayar kuolewa?
@Pemba680
@Pemba680 Ай бұрын
Pemba oyee😂
@KhamisSaleh-gg7ov
@KhamisSaleh-gg7ov Ай бұрын
Pembeni Iko PEMBA Gani? Maana sidhani kama hapa ni Pembeni Ya Shengejuu Kaskazini PEMBA!
@Mbarouk-l2n
@Mbarouk-l2n Ай бұрын
Nauliza muliopo pemba je pembeni kumeshajengwa barabara ya lami?
@user-ul9qq8lo3d
@user-ul9qq8lo3d 29 күн бұрын
Hatujui,kama nini njoo mwenyewe
@fatmamuhammed9713
@fatmamuhammed9713 Ай бұрын
Hiyo ni pemba ya juzi sio ya leo tusidanganyane
@AbuuswalhaYousuf
@AbuuswalhaYousuf Ай бұрын
Ndo mwafundishwa hivyoo muache midomo
@faridafaridaa4618
@faridafaridaa4618 Ай бұрын
Wanawake wa pemba hupenda kuolewa unguja wanakuona km ulaya mwanaume wa unguja ashaacha wake 4 au 3 akienda pemba lkm arudi na mke uchunfuzi tumeuchunguza cn
@salehkhamis-ob8ln
@salehkhamis-ob8ln Ай бұрын
Ulaya unakujua unakuskia ww. Ulaya hakuna shida. Huka kutafta maji ya kutumia shida utayasaka kwa mbwa wa polisi. Miji Michafu kila sehem kunanuka kwa makaro
@user-fo5my5pe3b
@user-fo5my5pe3b 22 күн бұрын
​@@salehkhamis-ob8ln😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Uko ulaya unguja kumetengenezwa na wapemba watu waunguja ni wavivu hawataki kazi mjomba wang kaka ynf yupo ulaya anabweteka mpemba mumshukuru manake wapemba wapo kila sehem na wapo vzr kimaendeleo
@user-fo5my5pe3b
@user-fo5my5pe3b 22 күн бұрын
Nadhani hapajui ulaya hhhhhhhhhhhhhhh unguja imekua mbayaaaaa
@ZuenaSharifu
@ZuenaSharifu Ай бұрын
Nimeowa Pemba sasaiv ninafuraha naenjoy wapemba niwazur
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Ай бұрын
Hilo ndo jina lako au la mkeo maana 😮😮😮
@mrfix6596
@mrfix6596 Ай бұрын
Umeoa au umeolewa😮
@user-ul9qq8lo3d
@user-ul9qq8lo3d 29 күн бұрын
Umeowa wewe zuwena😅
@sheikhasalim1190
@sheikhasalim1190 28 күн бұрын
kaoa anaenjoy mpaka kajisahau jina anatumia la mke 😂​@@fahadfaraj6474
@shamzone388
@shamzone388 27 күн бұрын
Ndio na mimi najiuliza zurna umeowA pemba au ni wale..,,,
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 Ай бұрын
Zamani hiyo sio sasa ujeuri na umalaya inashindana na bara
@ashabakary1462
@ashabakary1462 Ай бұрын
Sio kweli si haba tunashkur Allah hatujafka huo
@aliharoun8659
@aliharoun8659 Ай бұрын
Sawa kenge wewe
@mrfix6596
@mrfix6596 Ай бұрын
Hujielewi ww
@Shuu.A
@Shuu.A 28 күн бұрын
Koma usifsbanishe wabara na wazanzibar mshenzi weye
@salum5803
@salum5803 Ай бұрын
Nimeowa pemba nakogeshwa nabebwa
@selemanijafari9225
@selemanijafari9225 Ай бұрын
Uongo atakubeba pemba gn
@hadijaismail3619
@hadijaismail3619 Ай бұрын
​@@selemanijafari9225😊😊😊😊
@user-ul9qq8lo3d
@user-ul9qq8lo3d 29 күн бұрын
​@@selemanijafari9225kweli anabebwa labda ww ndo hubebwi😅
@jumashaameomar-hs1fo
@jumashaameomar-hs1fo 28 күн бұрын
Ni kweli wapo Wana wake wa aina hii karafuu inafanya kazi
@AliymkubwaAliymkubwa
@AliymkubwaAliymkubwa Ай бұрын
Ukita mke mzur ninda kwetu pemba
@user-ul9qq8lo3d
@user-ul9qq8lo3d 29 күн бұрын
Swadakta🎉
@SaidSaid-v9q
@SaidSaid-v9q Ай бұрын
Wapemba tupo ushakua tayar kuolewa?
HII NDIO IKULU YA KILA MWANAUME (HUBBUL HALAL)
16:09
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 3,1 М.
BIBI KIZEE PEMBA ALIA NA WANAUME WASIO NA NGUVU ZA KIUME (HUBBUL HALAL)
18:19
Bend The Impossible Bar Win $1,000
00:57
Stokes Twins
Рет қаралды 44 МЛН
Sigma Girl Pizza #funny #memes #comedy
00:14
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 2,7 МЛН
The CUTEST flower girl on YouTube (2019-2024)
00:10
Hungry FAM
Рет қаралды 44 МЛН
So Cute 🥰
00:17
dednahype
Рет қаралды 47 МЛН
JINA LA MTOTO _ Kachara/Naomba/Kigwaru
13:59
Jufe Film Production
Рет қаралды 137 М.
MFAHAMU MSANII WA PEMBA MWINYI MPEKU NA SAFARI YAKE YA CHINA
44:38
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 4,6 М.
KWA NAMNA HII MUME WAKO ANAWEZA KUWA RAFIKI YAKO (HUBBUL HALAL)
17:07
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 2,5 М.
Vipi Kuosha Maiti Abla Nahida
37:44
Nahida Albadaei
Рет қаралды 94 М.
HIVI NDIVYO SIMU ZINAVYOVUNJA NDOA (HUBBUL HALAL)
19:09
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 13 М.
MKOSEFU _ Kachara / Naomba
12:22
Jufe Film Production
Рет қаралды 38 М.
Bend The Impossible Bar Win $1,000
00:57
Stokes Twins
Рет қаралды 44 МЛН