MASWALI NA MAJIBU- NDACHA NAKURU

  Рет қаралды 141,428

BIBLIA NURU YA DUNIA

BIBLIA NURU YA DUNIA

6 жыл бұрын

Пікірлер: 273
@furahinimbise1804
@furahinimbise1804 4 жыл бұрын
Naomba umkaribishe Mazinge kwenye mdahalo, na umbatize aje kwa Yesu
@johnkilimo9520
@johnkilimo9520 4 жыл бұрын
Furahini Mbise atakimbia mazinge wao hawa jamaa ni shida asee
@Mazinge-ze8ym
@Mazinge-ze8ym 3 жыл бұрын
Mazinge hawezi
@amanicarlumehabel7575
@amanicarlumehabel7575 3 жыл бұрын
Ndacha Jembe Lao,,,Elisha of our time....Mazinge,,,,Hapa asithubutu....
@alexsambu2369
@alexsambu2369 Жыл бұрын
Kabisa
@joackimmutulu
@joackimmutulu Жыл бұрын
This man ndacha is very knowledgeable
@moseskayan3705
@moseskayan3705 5 жыл бұрын
Mwalimu kameza bible yote iko kichwani.God bless you mwalimu
@maulidkhamis9446
@maulidkhamis9446 5 жыл бұрын
Moses Kayan mwambieni akusomeeni Ezekiel 4:9 kama yeye ni mkweli utajua kama ameshakulisha mavi kwamaana ya ule mkate unaokula kule kanisani(mashonde)
@charoharry7038
@charoharry7038 5 жыл бұрын
@@maulidkhamis9446 uwongo
@maulidkhamis9446
@maulidkhamis9446 5 жыл бұрын
Charo Harry uongo nini huiamini injili wakati kila neno lenye pumzi ya mungu lafaa kufundisha,aidha waliofaili injili wameongozwa na Roho mtakatifu au sio ,sasa broo ebu soma injili upte kuelewa ,ukristo maana yake ni mpakwa mafuta,au mfalme,hilo ni jina LA kupanga walioitwa na wapagani ,
@maulidkhamis9446
@maulidkhamis9446 5 жыл бұрын
Moses Kayan soma injili kwa manufaa yako usije kchomwa Mungu hawezi kuomba wala kuabudu,tumieni akili soma ,Ufunuo 1:1 inasema Ufunuo wa Yesu Christ aliopewa na Mungu ....,utajua kua yupo Yesu na Mungu na huo Ufunuo Yesu alipewa na Mungu kwa hio Yesu sio Mungu
@1bosscow2
@1bosscow2 5 жыл бұрын
@@maulidkhamis9446 this is why it is hard to join Islam. Matusi tu. If you'd teach politely, may be you'd have made some cross over to your isle.
@maxjofrey70
@maxjofrey70 Жыл бұрын
Mwalimu ndacha umenifanya niwe proud sana nauwa na tumia mafundisho aya kuwaubiliaga wengine Asante sana mwalimu naomba Kama upo na group lamafundisho zaidi naomba unijumuishe katika mafundisho nami naitaji nihifaham Bible zaidi naomba nisaidie mwalimu .
@biblianabibliapekee8113
@biblianabibliapekee8113 4 жыл бұрын
Roho yule aliyemuongoza mtume paul sasa yupo kwa paster ndachaaaaaa i love that preach
@richardmakweba2292
@richardmakweba2292 4 жыл бұрын
Huyu pastor mungu amuongezee maisha na hekima maana anamtumia kwa kaz yake
@issackabdi7001
@issackabdi7001 4 жыл бұрын
He is preaching false...
@issackabdi7001
@issackabdi7001 4 жыл бұрын
First christian to preach jesus mother is not marry ....maajabu duniani
@issackabdi7001
@issackabdi7001 4 жыл бұрын
Matayo 24.24
@euniceeunice7680
@euniceeunice7680 4 жыл бұрын
@@issackabdi7001 lzm ujue kutofautisha kati ya mwili wa Yesu na roho ya Yesu .....Maria alizaa. Mwili elewa apo lkn Yesu alikuwepo kbl dunia kuumbwa soma yohana 1.....uyo neno alie kua Mungu na akaishi mbinguni na akaja duniani akafanyika mwili na akakaa kwetu .soma ufunuo wa yohana....na Yesu alisemaibrahim ajakuwako yy yuko so soma uelewe maandiko
@youngthug604
@youngthug604 4 жыл бұрын
Napenda maubili yako nazan niwakat wangu wa kuhokoka
@eliyakyaolang8504
@eliyakyaolang8504 5 жыл бұрын
asante sana kutupa neno la MUNGU kwakuwajibu wenye mashaka
@isaacnyongesa7586
@isaacnyongesa7586 Жыл бұрын
Ndacha is filled by the spirit of God.......May he reach the whole world.
@benfordnyabuti1318
@benfordnyabuti1318 4 жыл бұрын
Ndacha waeleze
@euniceeunice7680
@euniceeunice7680 4 жыл бұрын
Ndacha unaokoa wengi mnoo Mungu wa mbinguni akubariki apa ndo naamini bible maana Yesu alisema watatokea manabii wa uongo watadanganya watu na watatokea manabii wa ukweli kuokoa watu ...sasa we ndo yule wa ukweli Yesu akuweke sana baba wamejitaidi kupinga mpaka police waislam walikuletea lkn bado unasonga mbele tembeza injili baba ili neno lake litimie maana alisema injili itaubiriwa ulimwengu kote baba nakupata apa nikiwa UK....
@erastusmwanyule1656
@erastusmwanyule1656 4 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Ndacha kwa ufunuo ulioko ndani yako,waneno LA Mungu.
@samuelmuiruri4405
@samuelmuiruri4405 6 жыл бұрын
Tupe neno kabisa ....napenda kukusikiza sana.
@maulidkhamis9446
@maulidkhamis9446 5 жыл бұрын
Samuel Muiruri soma ufunuo 1:1utajua Yesu sio Mungu
@nyatugaokinyi3351
@nyatugaokinyi3351 5 жыл бұрын
Mtakufa katika dhambi zenu kama hamwamini yesu ndiye John 8:24
@mombasa0076
@mombasa0076 2 жыл бұрын
YESU SIO MUNGU. WAKRISTO SOMENI MSIKUBALI KUDANGANYWA HAWA AKINA NDACHA WSNATETEA IMANI YAO KUTOKANA NA KUWA HAWANA ELIMU YA KUTOSHA....... NI WATU WA PROPAGANDA TU
@BabaAzariYah
@BabaAzariYah 5 ай бұрын
I love the knowledge of Dacha ..my only problem with him is following Ellen G the white colonizer's religions..we were in slavery when SDA was made..
@josephkirimi5453
@josephkirimi5453 2 жыл бұрын
Nampenda sana mwalimu Ndacha, anajua bibilia sana ila tu yuko kwa ndini wala sio kanisa la Mungu. SDA si kanisa la Mungu bali ni ndini kama singinezo. Hawa ndiyo mafarisayo ambao Kristo alisema juu yao. Wanajua sheria ni ya sabbath na hawaitimishi. Hawa jui ushuunda wa Kristo ni neno lake kutoka Mathayo handi Ufunuo, ndiyo unaona hawatii hata mafundisho ya Paul.
@robenmassawe4125
@robenmassawe4125 2 жыл бұрын
Karibu tanzania
@josephkendeiya2010
@josephkendeiya2010 6 жыл бұрын
Wooow am at a point of attending the right church that is Sabbath and being baptized
@BIBLIANURUYADUNIA
@BIBLIANURUYADUNIA 5 жыл бұрын
Welcome brother at our home SDA .
@samuelmussa4809
@samuelmussa4809 5 жыл бұрын
joseph Kendeiya you are welcome brother njoo ujifunze biblia taa ya miguu watu wanapotea wanaimba asubuhu hadi jioni nakukaa gizani karibu sana.
@abdirazaqgedi1912
@abdirazaqgedi1912 5 жыл бұрын
Nikupotea unazidi kupotea
@edwinkiptum5202
@edwinkiptum5202 5 жыл бұрын
Aman bro ua eyes will open to see well
@danielfesto9966
@danielfesto9966 5 жыл бұрын
joseph Kendeiya welcome on the church of god
@mainahuhu9027
@mainahuhu9027 3 жыл бұрын
Mhubiri dacha God bless you.
@shafiihssan738
@shafiihssan738 3 жыл бұрын
wonderful pastor,the ndacha kiboko ya uislamu
@bakariomari3692
@bakariomari3692 Жыл бұрын
Atapata tabu sana na waislamu huyo ndacha wenu
@bakariomari3692
@bakariomari3692 Жыл бұрын
Hao wafuasi hata hawaulizi maswali ya maana
@denisngetich1070
@denisngetich1070 4 ай бұрын
Asande pastor kwa kazi yako ya kupeana ujumpe wa kweli may God bless you 🙏
@godisgreat1845
@godisgreat1845 4 жыл бұрын
Kristo Mungu halafu mwana wa Mungu naona unajichanganya kujibu maana uongo hakuna kificho Sasa huyu kristo kama yeye ndie Mungu mkuu Nani alimwambia Marian utazaa mwana nae itamwita kristo kwa nini asiwaambie Mariam utanizaa na utaniita kristo
@edwinchweya3436
@edwinchweya3436 5 жыл бұрын
Waislam kweli huyu Kaka anawapea dose ya kutosha.Yale machungu wanaropokwa hapa ni dhihirisho tosha,msichali kaka na dada zangu,ukweli kawaida huuma.
@user-zh4np7kf5i
@user-zh4np7kf5i 26 күн бұрын
😅😅kwaio yesu mama yake sio mariamu😊😊
@gilbertkakokyogilbert1517
@gilbertkakokyogilbert1517 Ай бұрын
Sama hani mina uliza chee mkutano ile ya kenya yawa islam wa tanzania vipi, Mimi nimu congomani🇨🇩
@erickbyamungu973
@erickbyamungu973 11 ай бұрын
Ndacha wewe ni mwalimu kbs ❤❤
@estonmnthali3719
@estonmnthali3719 5 жыл бұрын
yes i like Bible king James version
@ngumomessanger5712
@ngumomessanger5712 4 жыл бұрын
Badala ya kuhubiri yesu ni mabishano Kati ya makanisa. Kanisa ni mtu mwenyewe na Kristo ni bwana wa sabatto. Everyday is Sabbath.
@ericosoro7617
@ericosoro7617 3 жыл бұрын
Hiyo ni akili zako toa andiko kila siku ni sabato
@daud8785
@daud8785 3 жыл бұрын
Waislam hawawezi kukuelewa kwa Bwana Yesu asifiwe hazitawatoa huko waliko waujue ukweli.
@erastomasaba4154
@erastomasaba4154 3 жыл бұрын
Toa andiko linalosema kila siku ni sabato
@chachamwita8350
@chachamwita8350 6 жыл бұрын
Mwalimu Mungu azidi kukulinda na kuokoa wengi na kujua iliyo kweli
@minaminaa1669
@minaminaa1669 5 жыл бұрын
mwalimu mrongo uyo 😕
@damsonmywanga4405
@damsonmywanga4405 5 жыл бұрын
Tangaza tena, Usiogope, sema imeandikwa katika Biblia, injili inaenda popote pale Duniani.
@reaganbaba4vees552
@reaganbaba4vees552 4 жыл бұрын
kama matendo yote aliyoyafanya au maneno yote aliyoyasema Yesu yangaliandikwa katika Bibilia hata ulimwengu haungetoshea, ila haya yameandikwa ili mpate kusadiki.
@oscaromolo6388
@oscaromolo6388 Жыл бұрын
All sabaths belongs to the lord.
@furahakonde6259
@furahakonde6259 4 жыл бұрын
Asante iyo injili kweli nakufata sawasawa Niko us
@danielmahela2436
@danielmahela2436 4 жыл бұрын
Upendo ndio sheria yote ukimpenda mungu kwako kila siku Ni sabatho sio mpaka ifike siku hiyo.
@erastomasaba4154
@erastomasaba4154 4 жыл бұрын
Toa andiko
@sabbatariantv8234
@sabbatariantv8234 3 жыл бұрын
Fungu
@sabbatariantv8234
@sabbatariantv8234 3 жыл бұрын
Toa Fungu
@isaiahstadius2383
@isaiahstadius2383 4 жыл бұрын
Safi sana ,pastor naona hapo kuna vitabu nawezaje kuvipata vitabu vyako.
@abcdg1995
@abcdg1995 3 жыл бұрын
Please Teacher Francis Ndasha pray for me to follow your path. .. kindly am lost guys
@amanicarlumehabel7575
@amanicarlumehabel7575 3 жыл бұрын
Why lost?
@godfreymsuyawaukweli4647
@godfreymsuyawaukweli4647 6 жыл бұрын
nakuelewa sana mwalimu
@benardmbaga5193
@benardmbaga5193 Жыл бұрын
Mengi ya mafundisho yako ni mazuri Lakini kwa habari za sheria Havana Sheria imekuja na musa Kabla musa Hapana sheria Na Ujion wa kristo ni utimilifu wa sheria Na hatuko tena Chini ya sharia
@kenidaki8942
@kenidaki8942 4 жыл бұрын
Wonderful.can I have mwalimu wakikristo please
@lisagrace4317
@lisagrace4317 Жыл бұрын
May Almighty Lord bless you for your good teachings of the true gospel
@gidombawala3111
@gidombawala3111 4 жыл бұрын
Nashukuru sana kwa mafunuo hayo. Mungu adhidi kubariki na waislamu karibu katika ufunuo 14:12.
@mosesmwasanga4697
@mosesmwasanga4697 6 жыл бұрын
Aisee!! Safi Sana, Tena Sana!!
@joshuantongai6418
@joshuantongai6418 Жыл бұрын
Mwalimu ndancha karibu Meru bana
@samuelmutava782
@samuelmutava782 2 жыл бұрын
Hapa nakataa na hili neno la mtumishi ....pia kabisa izi zingine siku ya sabato zinatimiza ...kwa sababu wanafanyaa kazi siku sita na siku ya Saba wanaenda wanaenda kumwabudu mungu...kwa bibilia akuna pahali pameandikwa siku ya kwanza ilikua jumapili ama jumatatu ....akuna mtu ajuae siku ya kwanza ilikua ni gani ....
@BIBLIANURUYADUNIA
@BIBLIANURUYADUNIA 2 жыл бұрын
Na ukipata?
@pantaleomchomvu247
@pantaleomchomvu247 Жыл бұрын
Mungu akubaliki ndacha wape mafunzo hao waislaim wamwamin yesu
@timamomuileva107
@timamomuileva107 9 ай бұрын
I lov mazingue
@josmovertv4813
@josmovertv4813 Жыл бұрын
Hapo ndipo HABARI ndio hiyo👏👏👏👏👏👏
@mombasa0076
@mombasa0076 2 жыл бұрын
Kwani mtu anaposema EWE BABA MUNGU WANGU NISAMEHE DHAMBI ZANGU. ndio ataitwa mtoto wa mungu ? MAMBO MENGINE NI UJINGA TU. MUNGU HANA MTOTO. BINAADAMU WOTE WAMEUMBWA NA MUNGU LAKINI SI WATOTO WA MUNGU. MUNGU NI MMOJA TU. HANA MTOTO HAKUZAA HAKUZALIWA. HANA MFANO WA KITU CHOCHOTE Wanao sema mungu ana mtoto adhabu inawasubiri
@frankmgendi8985
@frankmgendi8985 6 жыл бұрын
nampendaa mnoo uyu mwalimu majib akee ikoo stleight of the point kama kuna mwenyee no ake anisaidiee
@davidwainaina3899
@davidwainaina3899 2 жыл бұрын
Pastor ndacha Asante sana, God bless you brother and your family, I love you very much Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen 🙏❤️
@pantaleomchomvu247
@pantaleomchomvu247 Жыл бұрын
Yesu ndiye njia ya ukweli na uzima
@mombasa0076
@mombasa0076 2 жыл бұрын
Watu kama ndacha walikuwepo tangu enzi za mitume wakipinga UKWELI. Si ajabu wakati wa sasa kutokea hayo. HATA YESU WALIMPINGA NA KUMTESA. SI AJABU NDACHA NA WENGINE KUSIMAMA KUTETEA HOJA ZISIZO NA MSINGI BALI NI UPOTOSHAJI. KILA MTU AMEPEWA AKILI APIME MWENYEWE UKWELI UPO WAPI. DINI YA HAKI NI UISLAM
@sabbatariantv8234
@sabbatariantv8234 3 жыл бұрын
Amina
@godisgreat1845
@godisgreat1845 4 жыл бұрын
Yessu aluwaambia umsujudie Mungu wako wakristo lini mlimsujudia Mungu
@sabbatariantv8234
@sabbatariantv8234 3 жыл бұрын
Tumia mafungu
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 3 жыл бұрын
Hilo la kumsujudia Mungu kama Yesu alivyosema hawalitaki kazi nikuimba tu
@amanicarlumehabel7575
@amanicarlumehabel7575 3 жыл бұрын
Hallelujah!!!! This man of God is Elisha of our Time,,,,Peleka injili wote wamjuwe Yesu....God needs men who cannot be bought by silver,,,,Najua waislamu wanang'ang'ana kukununua shikilia Imani Mtumishi
@thetruewordt.v6525
@thetruewordt.v6525 3 жыл бұрын
Hapo mwalimu Ndacha kwa sabato umendanganya kabisaa!!
@peternduati8877
@peternduati8877 Жыл бұрын
Anafaa aseme aje nisaidie juu naona kama anasema ukweli?
@jamilshisia5929
@jamilshisia5929 4 жыл бұрын
Yesu siku atarudi atamutoa mbiyo kwa hizo makanisa zenu zenye hazina mwelekeo, example upande gari alafu uone dere anaendesha gari pia akimwangalia, hiyo gari iyaelekea wapi? Hivo ndio mnafanya
@wycliffea.okwaro8352
@wycliffea.okwaro8352 3 жыл бұрын
mafundisho mazuri sana
@maxwellokeyo9831
@maxwellokeyo9831 4 жыл бұрын
Very wonderful. I like this discussion so much may God bless you so much pastor Ndacha
@jamarilee5162
@jamarilee5162 2 жыл бұрын
instablaster...
@davisrotich116
@davisrotich116 5 жыл бұрын
Amen
@biblianabibliapekee8113
@biblianabibliapekee8113 4 жыл бұрын
AMen pasta ndacho
@godisgreat1845
@godisgreat1845 4 жыл бұрын
Toa ndiko Yessu amejenga kanisa
@godfreyfrancis8479
@godfreyfrancis8479 4 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi
@jonahmburu9738
@jonahmburu9738 4 жыл бұрын
Barikiwa dacha
@mosesmungai3986
@mosesmungai3986 5 жыл бұрын
God bless you mtumishi. Tunakuombea zaidi
@dennispangu3477
@dennispangu3477 2 жыл бұрын
Mmmmh kristo sio mungu bhana hapa tumepigwa
@sabbatariantv8234
@sabbatariantv8234 3 жыл бұрын
Ndugu kila siku kunamtu ananisumbua kuhusu wagalatia 4:10 mnashika siku ,miezi na miaka
@sabbatariantv8234
@sabbatariantv8234 3 жыл бұрын
Naomba unisaidie kulifafanua hili fungu maana biblia huwa inajitafsiri yenyewe sasa kunawatu wanaforce itafsiri wanavyo taka
@nyatugaokinyi3351
@nyatugaokinyi3351 5 жыл бұрын
This is the gospel let people choose hell or salvation
@markmwau8387
@markmwau8387 4 жыл бұрын
Quoting from "Genesis 3:19">>> death means separation of body and spirit. when Adam sinned he separated from God's presence and providence.
@janenjenga5639
@janenjenga5639 5 жыл бұрын
Kwa mungu kuna raha
@user-ek7ip4tx7i
@user-ek7ip4tx7i Жыл бұрын
GOD bless you ndacha
@bigmanfish6346
@bigmanfish6346 8 ай бұрын
Jiongo kweli
@johnsonoyugi1773
@johnsonoyugi1773 4 жыл бұрын
God bless you brother Ndacha
@godisgreat1845
@godisgreat1845 4 жыл бұрын
Huyo kijana anakusabanisha ukatae biblia
@wycliffea.okwaro8352
@wycliffea.okwaro8352 3 жыл бұрын
nduku ako sawa lakini alijanginyikiwa kwa kukosa kujua maneno ya Mungu vizuri
@abcdg1995
@abcdg1995 3 жыл бұрын
Iam a new subscribe here. .This guy has talked so much But I feel like we need to have so much of him. He so humbly and understand what he does in life What a lovely Teacher Francis Ndasha MAY GOD Almighty CONTINUE to cover you under his umbrella You never know who you are inspiring Nothing comes easy in life guys NO success without hardworking No human ix limited Greetings from Santa Monica California American people never learn till they drop dead No gains without pain. .. A candle can not lose it's light by lightening other candles if you are born with a silver spoon it's so easy to judge
@Jkipsa
@Jkipsa 2 жыл бұрын
This man of God Francis Ndacha is a blessed man.
@dannyosolo2752
@dannyosolo2752 4 жыл бұрын
Barikiwa sana
@emjey284
@emjey284 Жыл бұрын
Wewe dacha Sina doubt naww.uko straight sana mungu amekupea ufunuo mkubwa sana
@charlesmerrill771
@charlesmerrill771 4 жыл бұрын
Bwana Ndacha, Hii Video ina mafundisho mazuri sana ila tu haikuweza kumalizika. Kuna uwezekano unaweza ku upload video mzima ili iweze kuwa barak kwetu? Asant
@mfaumemfaume1246
@mfaumemfaume1246 5 жыл бұрын
Bibilia ziko tofauti duh
@priscafuime4031
@priscafuime4031 5 жыл бұрын
Mfaume Mfaume utajueje akati upo kwa jabari Na mhamadi
@junicnamuwenge6957
@junicnamuwenge6957 Жыл бұрын
Amina Amina 👏🙌🙌👏👏😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣💃💃💃🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
@kingdarasa5026
@kingdarasa5026 3 жыл бұрын
Martin
@man.uarsenalmanchestercity6563
@man.uarsenalmanchestercity6563 3 жыл бұрын
I never knew mary is not the mother of jesus 🤔
@thegospelmessage5039
@thegospelmessage5039 3 жыл бұрын
mary was the mother of jesus in humanity.but divinity has no beginning
@alexzandaevaristi5842
@alexzandaevaristi5842 5 жыл бұрын
Wape upon vzr
@samuelomwenga3394
@samuelomwenga3394 6 жыл бұрын
wonderful
@ismailmalimyarow7479
@ismailmalimyarow7479 4 ай бұрын
Muna cheka nini huyo ako swa
@samminyori7814
@samminyori7814 5 жыл бұрын
Wonderful pastor. Where can I get those full teachings online??
@faithfultoyeshua4576
@faithfultoyeshua4576 2 жыл бұрын
Wenye walikuwa wanawahukumu ni Corinthians greek people na walikuwa na sheria zao na dini zao ..romans ruled kuangalia map inasidia pamoja na historia Na kutahiri haikutoka kwa musa .ilitoka kwa Abraham
@peterdaiman5813
@peterdaiman5813 2 жыл бұрын
Madhehebu mawili sio kanisa mbili the church of Christ is invisible
@moseskayan3705
@moseskayan3705 5 жыл бұрын
Kuna raha kuijua bibilia
@maulidkhamis9446
@maulidkhamis9446 5 жыл бұрын
Moses Kayan ni kweli ungelijua bibilia usingelikua kafiri Yuda 4-1 soma hio utajua kua kafiri ni nani
@moseskayan3705
@moseskayan3705 5 жыл бұрын
Maulid Khamis sasa were mcristo ama muhislamu? Coz kama were muisilamu kaa mbali nami kaabudu majini huko
@maulidkhamis9446
@maulidkhamis9446 5 жыл бұрын
Moses Kayan Mimi ni muislamu ila nakusihi soma bibilia uifahamu sio kubishana
@maulidkhamis9446
@maulidkhamis9446 5 жыл бұрын
ndio nimetumwa kazi asubuhi inatakiwa
@lucymwega784
@lucymwega784 5 жыл бұрын
@@maulidkhamis9446 Yesu ndiye uzima wa milele
@janekariuku8181
@janekariuku8181 11 ай бұрын
The point is work 4 6 days then itakase siku ya saba .wote wasabatu na wa Sunday hufanya ivyo.hufanya kazi cku sita then kiutakasa siku ya saba .iyo ndo kutimiza maadiko.ingine Ni propagada
@chancelinechuchu7333
@chancelinechuchu7333 5 жыл бұрын
neno ndio uzima wamilele barikiw mcungaji mungu atakulipo
@izoomwenyewe1547
@izoomwenyewe1547 2 жыл бұрын
Almighty God is so clear in His word. May God bless you Ndasha and your team.
@markmwau8387
@markmwau8387 4 жыл бұрын
Quoting again from Revelation 12:1.... we find that Christ was born by Church not by Mary,and if so then catholics have something to praise Mary.
@Maya_arsenal
@Maya_arsenal 2 жыл бұрын
Injili iendelee
@abcdg1995
@abcdg1995 3 жыл бұрын
I feel blessed beyond human understanding to be a part of this channel Teacher Francis Ndasha. .Thanks for uploading this Episode Iam also following from Diaspora
@makenzigarage2557
@makenzigarage2557 3 жыл бұрын
Hello
@abcdg1995
@abcdg1995 3 жыл бұрын
@@makenzigarage2557 Yes my sweetheart Welcome again Mr handsome soul TnQ buddy for your speed feed back reply
@peternduati8877
@peternduati8877 Жыл бұрын
Wonderful teachings be blessed man of God 🙏
@gordfreysangawe7535
@gordfreysangawe7535 4 жыл бұрын
Nipo Tz napataje kitabu cha maubiri yako Mchungaj???
@benadolphabiandustan4109
@benadolphabiandustan4109 5 жыл бұрын
Huyu jamaa anayo biblia lakini haijui anafundishwa haelewi tu
@abcdg1995
@abcdg1995 3 жыл бұрын
Praise God Brethrens Greetings Teacher Francis Ndasha keep grinding brother worth it
@sabbatariantv8234
@sabbatariantv8234 3 жыл бұрын
Wakolosai 2:16 ningependa kuongezea yakuwa hilo fungu watu wanalitafsiri vibaya kabisa lakini lilikuwa na maana yakuwa Mungu alipola mamlaka ya wanadamu kuhukumu wanadamu wenzao juu ya vyakula, sabato na kadharika kwa sababu kabla yakuja yesu wanadamu kwa wanadamu walikuwa wakihukumiana pale mtu anapo vunja sheria za MUNGU wakati mwanadamu yoyote ni dhaifu ko mamlaka yalichukuliwa na Mungu mwenyewe na yeye ndiye mhukumu na sio mwanadamu tena
@sbcheruiyot4419
@sbcheruiyot4419 5 жыл бұрын
Eti anatoa zaidi ya neno??
@jumajaffary9698
@jumajaffary9698 4 жыл бұрын
Yohana 2 4 Yesu akamwambia mama, tuna nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia. .. Yesu kamwita Maryam mama... Ndacha wacha uongo
@ramzanqarim4977
@ramzanqarim4977 3 жыл бұрын
Ndacha anapoteza watu wake kwa tasfiri za kijanja na wanacheka tu.maana amekimbia Ile ya kiswahili akafuata ya kiingereza
@kiokomercie4239
@kiokomercie4239 3 жыл бұрын
Read both English and Swahili version and relate them
@daud8785
@daud8785 3 жыл бұрын
Lazima usome biblia zote , sio unakomaa na bibili moja.
@a76130
@a76130 3 жыл бұрын
Anajua bible yote
@odagodan4339
@odagodan4339 6 жыл бұрын
Wow this channel is good for sure, I believe it will come a time when people will have to defend their faith to death. Can you people have a one on one debate with the Catholics or other Sunday churches please
@donaldmwahalende4841
@donaldmwahalende4841 4 жыл бұрын
Hawawez kupambana na msabato
@jamilshisia5929
@jamilshisia5929 4 жыл бұрын
Hii sabatoh yenu hata place zingine haijulikani
MAZINGE AMFUNDISHA BIBLIA NA KISWAHILI MCHUNGAJI KUHUSU BWANA YESU
13:09
pastor Ndacha na vijana wake wajaribu kuutetea ukristu..by ust Ali
1:07:29
Clowns abuse children#Short #Officer Rabbit #angel
00:51
兔子警官
Рет қаралды 32 МЛН
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 7 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 25 МЛН
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 70 МЛН
NDACHA AVUNJA AHADI NAKUTHALILIKA MBELE YA HALAIKI YA WATU.
5:31
KENYA DAWAH TV
Рет қаралды 43 М.
Project 2025: The Radical Conservative Plan to Reshape America Under Trump | WSJ
11:17
IMG 0414
22:49
BIBLIA NURU YA DUNIA
Рет қаралды 26 М.
UJUMBE KISII NA PR. NDACHA KISII
SAUTI NYIKANI MINISTRY
Рет қаралды 19
Mwalimu Dancha Amefika
51:58
WARNING OF LAST DAYS
Рет қаралды 34 М.
UPI MUNGU WA KWELI KATI YA ALLAH NA BWANA YESU . NEXT PART WITH QUESTIONS
1:02:45
NDACHA ASHIDWA KUDHIBITISHA IBADA YA WAKRISTO
1:32:13
YUSUF DA-WAA KENYA 0728830597,0736253243Whassapp
Рет қаралды 42 М.
QORAN SI KITABU CHA MUNGU: BUKAVU CONGO (NDACHA VS UPANGA WA RADI)
57:19
WARNING OF LAST DAYS
Рет қаралды 8 М.
SABATO NI JUMAMOSI HAKUNA KUPINGA
22:51
BIBLIA NURU YA DUNIA
Рет қаралды 57 М.
Clowns abuse children#Short #Officer Rabbit #angel
00:51
兔子警官
Рет қаралды 32 МЛН