Safi sana! Hili jambo niliwahi kulisema. Na kuanzia hapo nikaanza kumuita Steven Mengele
@foundationforcommunityhope7327Күн бұрын
Hongera Sana Mr.Madaraka Nyerere...
@wadeelegbogun3015Күн бұрын
Umefanya vizuli baba kumlipua Steve analitumia jina la mzee wetu NYERERE vibaya
@andrewlkashusha135Күн бұрын
Lkn jaman si baba wa taifa, so kila mtu anaruhusiwa kutumia jina km kumuenzi! Shida iko wap
@marthamungure1777Күн бұрын
Umefanya vizuri mtoto wa baba wa taifa. Ubarikiwe sana.
@mwanabucheyeki226Күн бұрын
Mwambieni Steve Nyerere aache kutumia jina lile Familia ya Nyerere imemkana.
@rogerabdallah439Күн бұрын
Kwanza uyo Steve mpenda sifa achane na ilo jina alaka sana mimi kama mimi nitamfungulia kesi mbwa uyo kwani ana baba mkataeni araka
@chalokalunde9429Күн бұрын
Da Kaka una akili sana.Point hiyo.
@peterngaiza8297Күн бұрын
Bora umesema kaka! POINT!
@mwafrika78Күн бұрын
Safi sana mwishoni anashusha presha kistaili yake 😂😂😂
@jizzomonsterКүн бұрын
Komaa mzee afte Hilo jina astake sifa anakomaa kumbe hata sio jina lake😂😂
@briankatani677022 сағат бұрын
Kwanza alitakiwa kulipa fidia,au ashitakiwe kwa kutumia jina Hilo bila kibali au sauti ya mzazi wa mtu mwingine.Mbona wao wasanii ukitumia majina na nyimbo zao utadaiwa
@imammwasanyamba9715Күн бұрын
Afadhari kama mumeliona kama family maana Kuna kijana kimoja cha hivyo sana kipumbavu kina tutia aibu sana kwenye sanaa
@CleyKobelu-j8nКүн бұрын
kiukweli anajiita ivo lakini chakushangaza kanajitaidi kawe kama nyelele lakini kanachafua
@Brunn-mh2bqКүн бұрын
"Nyelele" tena aisee? Duh. We vipi?😢
@ibel4lfКүн бұрын
Aenzi mzazi wake kwa kweli awaach na mzazi wenu
@DavidKagulu2 күн бұрын
Tena anawadhalilisha sana, aisee kwa tabia zake za ukuwadi,hana sifa hata kidogo ya kuwa mfano wa Nyerere
@muharamijuma1569Күн бұрын
Hakujiitq AMEITWÀ NA JAMII ELÈWA HIVYO
@mwamakaassely22605 сағат бұрын
Akili ipo likizo
@rebekakulwa615915 сағат бұрын
Piga chini hilo chawa. Lambogamboga
@bulugulubugaКүн бұрын
Mimi sio mwanasheria, lakini naamini hakuna shida yoyote ya kutumia jina la Nyerere kwa sababu Tanzania kuna Nyerere wengi. Steve Nyerere anatumia hilo jina Kama jina la sanaa. Mwaka 2020 Steve Nyerere aligombea ubunge, je kwenye vyeti vyake,fomu zake ameandika jina la Nyerere kama jina lake rasmi?
@emmanueliman7408Күн бұрын
Wewe elewa anachoongea
@mwamakaassely22605 сағат бұрын
Hujaelewa kitu hapa
@DavidSemu-gu6wpКүн бұрын
Mlaji wa michango ya mazishi ya wasanii, mlevi mkubwa bado pia ni mwizi wa majina ya watu eeh!
@ThomasMmokaКүн бұрын
Shame msanii Steve Nyerere! Mwizi wa Jina!Je,Pesa unayoipata kwa kutumia jina la Nyerere unaigawia familia ya Nyerere?
@festokemibala5832Күн бұрын
Mwizi anatakiwa arejeshe hizo pesa alopata kwa kutumia jina la Mwalimu Nyerere
@ExaudLupenza-qu1xuКүн бұрын
Mkataeni huyo kwanza anawachafua kwa uchawa chawa wake
@kennedykassian5269Күн бұрын
Haiendelei Kuna somo zuri mbele
@mwafrika78Күн бұрын
Familia hii wote wanyenyekeVu na wacheshi
@ndogoroedson199Күн бұрын
Upo sahihi mkuu! Ila ckuwa wanajipa hayo majina ya watu maarufu hapana wanapewa na mashabiki zake kama niki name au jina mbadala la anayemwakilisha kwa sanaa
@amiribakari2528Күн бұрын
Me nilidhanigi ni mtoto wa Mwl, wa njee, sasa hata babake hamjui tena, haya bwana stv nyerere mkumbuke babako sasa achana na majiba ya watu
@RashidiPembeКүн бұрын
Wasanii wa SASA hivi wowote wanajiita majina ya watu wengine na wametenga majina ya wazazi wao sijui kwa nini huiga wasanii wa nje KITU ambacho so sawa. Sijui kuacha majina ya baba zao kunaeasaidia nini. Pumbavuu kabisa
@salimumohammedsalimu1720Күн бұрын
Nakukubali
@MsalabaniReko6 сағат бұрын
Nilichogundua kwa uyu madaraka ni karoho mbaya ktk nafsi yake
@gracemima5234Күн бұрын
Kweli atumie jina lake. Kuna watu wanatumia majina ya watu kujenga umuhimu wawo. Wengine hujitangaza kuwa Nyerere ni baba yawo wa ubatizo. Sio tatizo, łakini kwa nini kutumia jina la Nyerere? Je kama ni baba yake wa ubatizo iweje? Nyerere alikuwa sio mtu wa kupiga kifuwa. Hata watoto wake wako down to earth. Munaotumia jina lake kwa kujikuza acheni
@josephatkajange8714Күн бұрын
Ni kweli bwana, hata mimi nilikuwa najiuliza na nashangaa kwamba kweli yule jamaa ni mtoto wa mwalimu. Maana yule bwana kimbelembele sana, hawezi kuwa mtoto wa mwalimu hawapo hivyo. Umefanya vema kuliweka wazi, akome kujipendekezapendekeza!
@MohamedMatata-iu9mm9 сағат бұрын
MWALIM NYERERE SI BABA WATAIFA HAKUNA DHAMBI KWA MTU KUJIITA JINA LA BABA WATAIFA KAMA HAMTAKI KATAZENI MWALIM ASIITWE BABA WA TAIFA .KWAKUA WENYE KUJIITA HAWAKUSUDII UBAYA .TAFADHALI MWALIM NYERERE NI BABA WATAIFA NA INGE PENDEZA WATANZAIA WAJIITE KATIKA KOO ZAO ZIISHIE NA NYERERE
@aggreynsemwa19 сағат бұрын
Bila Woga? Kamwambia ukweli
@moodyzanzibar4336Күн бұрын
SAWA LAKINI MUANGALIE -PENGINE JINA ALIPEWA NA MASS - KUNA WACHEZAJI WENGI WA MPIRA HUWA WANAPEWA MAJINA NA WAPENZI AU WATANGAZAJI SASA MSIMUHUKUMU TUU KWAMBA AMEJIPA JINA YEYE STEVE ANGALIENI KWA MAKINI
@JOSEPHATMwesigwa-vi7heКүн бұрын
Alisema
@bcozhenry2698Күн бұрын
Wamegundua badala ya kumuenzi kwa matendo ya kizalendo na kupinga dhuluma, kile kihuni kinatumia jina la Nyerere kama chawa na kusapoti dhuluma. Uchawa na Nyerere wapi na wapi?
@TrustElbashilКүн бұрын
Icho Mzee nikipumbavu sana kimeacha familia yake kinakimbilia familia ya mwalimu
@phakundigervas1360Күн бұрын
Jamani angeogopa nn Sasa? TV hizi ...
@monelayongola419Күн бұрын
Mie nilichoona , sio sawa. Sintetei huyu STEVE , lkn mngeweza kumuita pembeni na kuzungumza nae . Ni mawazo yangu tuu lkn
@GodfreyOswardКүн бұрын
Jiamini, binadamu anayo mawazo Daima unahofu nakuogopa nani na nini?
@AgripinaKivikeКүн бұрын
Bora umesema ili awe na kiasi familia ya mwalimu inaheshimiwa ndani na nje nje ya nchi watu wa janjajanja wakome
@libinalukumaiКүн бұрын
Sahihi
@Locker6996Күн бұрын
Madaraka, Nyerere ni Baba wa Taifa na Africa kwa ujumla, Nyerere si wa ukoo ni Mkubwa saana, usituchanganye sis wote watoto wa Nyerere , Acha kutubagua Father 😅
@edwardKissikyКүн бұрын
Hujajua maana halisi ya ubaguzi, madaraka anafafanua matumizi ya jina Nyerere na kumuenzi Mwl Nyerere,
@emmanuellyatuu4103Күн бұрын
Baba yako anaitwa Nyerere?
@lawrencebukuku8754Күн бұрын
Nikweli achie hilo jina anadhalisha ukoo was Nyerere
@SHIJADAVISКүн бұрын
Amekuwa maarufu kwa jina lisilo lake.
@beinafuu6219Күн бұрын
Karipua weng mno.mpaka wanaweka picha za watu bak.huku hata mama zao na babu zao wamekufa lakin hata siku moja hawawek picha zao.wajinga mno asante kaka watwachie baba yetu waweke baba zao.pia na ndugu zao umewapasha mno.
@HamisLeoКүн бұрын
Hilo ni jinga liacheni tu
@kilianjulius9882Күн бұрын
Nadhani huyo chawa taarifa imemfikia vilivyo
@Hemedmikole-r9eКүн бұрын
Full stop kutumia jina la nyelele
@ramadhanishabani807Күн бұрын
Hawa jamaa hawakua mafisadi banaa
@AlenKinyinaКүн бұрын
Kwani Nyerere ni baba yako peke yako huo ni ushamba, kwanza inawezekana ni mtoto wake kweli alipomlala mama yake kwani ulikuwepo
@emmanuellyatuu4103Күн бұрын
Anaitwa Steve Mengele siyo Steve Nyerere! Kwani wewe Nyerere ni baba yako? Upuuzi mtupu!
@AlenKinyinaКүн бұрын
Umekosa ya kuongea kaka, kwanza ushamba mwingine mlio nao watoto wa Nyerere ni kujua kwamba mnatakiwa kuwa wana siasa
@davidkawesa3594Күн бұрын
Nawe wivu umeona wapi watoto wa Nyerere na heka heka sio masikini kiivyo jombaa sio machawa kama wewe
@GodfreyOswardКүн бұрын
@@davidkawesa3594Raia wengi tunawapenda na watoto wa Mwl. Wanajiheshimu, Sio dhambi wao kua wanasiasa
@juliuskitaluka1206Күн бұрын
Ukweli mtupu
@khalidmamdadi1072Күн бұрын
Watu hawamkubali kabisa huyo jamaa anajiita stive Nyerere anaboa sanaaaaa
@albetomfuse444Күн бұрын
Bora angekuwa na adabu
@songombingo108Күн бұрын
Huyo anajiita Steve Nyerere kwanza hana sauti ya Nyerere. Sauti yake nadhani anapiga konyagi sana. Mpumbavu yule. Anapoongea mbele za watu anajitutumua utadhani ana akili kumbe hana lolote
@CleyKobelu-j8nКүн бұрын
iyo sauti inatakiwe ipaziwe sauti kati ya wasanii wanao boa yeye ndiyo wakwanza kuboa
@MussaSuleiman-g2nКүн бұрын
Mbona na yeye kwa na njia yake ya kumuenzii🤔 ? Kwahiyo sauti Ni sawa ila Jina hapanaa ? Kwani limekatiwa hati miliki? Kama Aina gulani ya ubinafsiii😲 !mbona hiyo haikuanza leoo kwanini mnata kuhodhi jinaa? Kwani majina yakifanana Kuna shidaaa! Tunaelekea wapiiiii?
@emmanuellyatuu4103Күн бұрын
Anayeigiza sauti yako achukue na jina lako? Kwani Steve Mengele aliombwa kuigiza sauti ya Nyerere?
@hildandumbalo5827Күн бұрын
Kumbe anaitwa Mengele mpuuzi kachukua jina la baba wa Taifa kupatia umaarufu aibu
@kalumunakalumuna7403Күн бұрын
Safi
@AlenKinyinaКүн бұрын
Watoto wa Nyerere shida mlikosa exposure, mbona watu wanajiita Lincoln, Clinton n.k , Nyerere ni jina brother hata wewe jina lako siyo kwamba ni la kwako peke yako kama unaona ni shida nenda mahakamani ..hapo umepotoka mkuu
@emmanuellyatuu4103Күн бұрын
Shida sio exposure. Hao wanayo exposure ya kutosha. Shida ni kwamba haitwi Steve Nyerere, anaitwa Steve Mengele! Hiyo ndo shida. Madaraka amesema ukweli, mengine ni propaganda zako za kipuuzi kidogo!
@justcruisedКүн бұрын
Nadhani una kichwa kigumu you don’t think outside the box you are thinking straight 😂
@GodfreyOswardКүн бұрын
@@justcruisedout side the box?
@jizzomonsterКүн бұрын
😂😂😂😂
@muhasatv9245Күн бұрын
Acha wivu
@emmanuellyatuu4103Күн бұрын
Siyo wivu. Ndo ukweli huo!
@mrpaul63552 күн бұрын
Leo ndio nyakyegi umezungumza jambo la karlı mtu Mjungu na mshenzi anapara umaarufu kwa kutumda jina la baba yako na kutengeneza fedha na wakati mwingine anasafiri kwa kujitangaza kama Steve Nyerere wakati Nyerere siyo baba yake.zuia mchezo huo wa kijinga kwanini asitimiz jina lake na lahana yake.tumewaona wengine hadi wanawakana baba zao mfano Diamond platinum alimkana baba yake hao ndio wasanii wa Tanzania. Ozomilye sana mkaruka
@olomweneabongela1717Күн бұрын
Nyerere ni jina kama jina lingine
@MirandaThomas-n3vКүн бұрын
Mbona yy analitumia hadharani waache uchawa wa kijinga