🤣🤣🤣eti 'sisi wengine ulinzi wetu ni MUNGU tu'.ila huu wa MUNGU ndo wa uhakika zaidi kuliko ulinzi wowote unaoujua wew!!kama unaamni hivyo gonga like hapo..
@lesemomole62864 жыл бұрын
Amen
@ramaccr75254 жыл бұрын
Steven Kambey Tz 😂😂
@kapyelumusic3444 жыл бұрын
🤝🤝🤝
@swahiliboyswb56664 жыл бұрын
Mmmh Kali..... SOUTH C NAIROBI TUKO NDANI
@henryj33042 жыл бұрын
Sisi wengine ulinzi wetu ni Mungu tu, tuendelee kuomba 😂🙏
@gracealex90204 жыл бұрын
Umenifurahisha kweli. nikweli sisi wengine ulinzi wetu nimungu tu
@juliusmangombela43964 жыл бұрын
Mko vizuri..... Sasa TWENDE KAZI......
@tuliafidelis20674 жыл бұрын
Hakika sisi wengine ulinzi wetu ni Mungu tu
@allanilupenza72574 жыл бұрын
Duu hatari sana
@shadyseengaiz54894 жыл бұрын
Acha walindwe duniani tuu lakin kaburini hakuna ulinzi
@mamaikram96124 жыл бұрын
We nani anataka kabuli ukifa hakuna anaekusogelea
@gabrieldevid94 жыл бұрын
shadyseen gaiz asante ka mkubwa
@jamilambarouk54024 жыл бұрын
shadyseen gaiz Hakika
@erickkaaya91784 жыл бұрын
Papa kwanini alindwe kwa pesa nyingi hivi wakati mungu ni muweza wa yote.
@blackwarrior-animations5934 жыл бұрын
Genius question
@marcominja88504 жыл бұрын
Nje ya masuala ya kiimani ni rais pia wa vatcan kama nchi kamili lazima itakuwa na protocal kali ya ulinzi kama ilivo nchi zingine.
@eliuskamwelwe10183 жыл бұрын
Basi Kama mkiongelea watanzania wanaolindwa zaidi Diamond platnumz hawez kukosa😂😂😂
@emmyngoi29972 жыл бұрын
Kwanini ulinzi wawatu na unasema unamtumikia mungu je mungu wa mbinguni malaika wake wanafanya kaZi gani hata uwe na walinzi wengi ivi lkn Kuna wengine wanaogopa TU wamemwacha mungu
@moseserasto70114 жыл бұрын
Mm nalindwa kuliko wote duniani, sababu nalindwa na mungu mwenyewe
@wamoroboy89633 жыл бұрын
True
@martinfrancis98084 жыл бұрын
KAKA UNAJUA SANA KUELEZEA JUSTINE SHEDI... NIMEPENDA HAPO MWISHO SISI WENGINE ULINZI WETU NI MUNGU 🤣🤣🤣
@mastergameshc45394 жыл бұрын
Ahhahaahahha🤣🤣
@jofreybanzoo93404 жыл бұрын
Mm wakwangu unazid hata wakwao mungu tu ndo kila ki2
@lightnesseramson76544 жыл бұрын
Naupenda Sana ulinzi nilionao wa kiMungu pekee ni zaidi ya ulinzi wote
@frankmartine53544 жыл бұрын
Wapo sawa unajua watu sio wastaarabu wanaweza kumng'ang'ania mtu yeyote maarufu uo ni utaratibu mzr
@bwana_ya_mtu4 жыл бұрын
Huu ni uwongo wa hali ya juu sana ati jz ana ulinzi mwingi kuliko queen
@theeokorah83204 жыл бұрын
Umemsahau Dr.Owuor wa Kenya
@suleimankhalfan69384 жыл бұрын
Iyo cku ambayo papa alipo pigwa risasi walikufa wangap
@nyamburawacoast3054 жыл бұрын
Ukijibiwa niambie broo
@stephenonyango72914 жыл бұрын
Suleiman Khalfan google
@nyamburawacoast3054 жыл бұрын
@@stephenonyango7291 sawa
@brackstz92354 жыл бұрын
Thanks BongoFasta
@mgwilaphanricky16434 жыл бұрын
kwa kweli Mungu tu
@abuuashyam84174 жыл бұрын
bora uyo mungu kuliko vyote ulivyotaja maana yy hasinzii wala halalii
@gabrieldevid94 жыл бұрын
Abuu Ashyam nimesoma koment zoot lakin wewe unamjuwa MUNGU ndugu yangu.(BIBLIA INASEMA BWANA ASIPO ULINDA MJI WAULINDAO WAFANYA KAZI BURE)
@rashidsaad79482 жыл бұрын
Dah bongo sihami llove Tz
@Hiphobongo4 жыл бұрын
Love bongo fasta & Justine shed
@stephenonyango72914 жыл бұрын
WIND MEDIA OFFICIAL love creator and believe
@midosakatv80164 жыл бұрын
Kaka napenda san unavyo chambuwa endelea ivyo ivyo kutuletea abal nzuli za dunia kiujumla
@mustafakisosola83054 жыл бұрын
Napenda sana stry zako man
@stivinethobias65094 жыл бұрын
Kim jong ni fire (tishio wa marekani)
@brayankennerd134 жыл бұрын
Nawapata vizuri nikiwa hapa london
@simaraphael45254 жыл бұрын
Nakukubali brother
@abdulathuman86444 жыл бұрын
Malaika wa Bwana hufanya kituo na kuwazungukia wamchao Bwana
@muhkil4 жыл бұрын
Brother hii tathimini tena vizuri. Ukiitaji msaada ntafurahia kusaidia, uongeacho ni kweli lakini namba sio kweli, unataka kuniambia KIM au may weather analindwa kushinda Roman abromovic???
@emmanuelmoshi49384 жыл бұрын
Hon Muller inawezekan pia
@muhkil4 жыл бұрын
@@emmanuelmoshi4938 chunguzaa uniambie
@dr.b50294 жыл бұрын
Brother unajua hadi unaboa yani mimi nikiona bongo fasta lazima nidownload hata iweje big up
@King_Of_Everything3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍
@stephanomoses76942 жыл бұрын
666. Huyu ndio maana haamini kwamba kuna ulinz wa mungu kabisa
@gadsonndato29414 жыл бұрын
Kabulin hakuna ulinzi
@MA_Law.4 жыл бұрын
Queen anaulinzi mkubwa sana.
@goodlucktemu31494 жыл бұрын
sisi wengine tunalindwa na Mungu
@BONGOFASTA4 жыл бұрын
Hakika ulinzi wetu ni MUNGU
@jamilambarouk54024 жыл бұрын
Goodluck Temu Anatosha yeye ndo tegemeo letu t
@rademm89244 жыл бұрын
Kutokea Kishumundu siwapati kabisaa!
@robsontz84243 жыл бұрын
Hatarii
@sibukuleatayi83704 жыл бұрын
Illuminated pple
@severinmmassy76274 жыл бұрын
Mungu ndio kilakituuuu
@andrewsteven53754 жыл бұрын
Sisi wengine ulizi wetu ni Mungu
@Teacher_Hassan_Lemunje4 жыл бұрын
Good job
@ntelebhalekananitz25974 жыл бұрын
Nakuku bali sana kaka
@felicianbwinyende48844 жыл бұрын
ila kufa ni lazima hizo mbwembwe za mda tu
@middleplatnumz36294 жыл бұрын
Napenda saaana channel bomba
@imanlwinga99354 жыл бұрын
Uko vzuri ila pia naomba na historia ya Sadam hussen
@gerraldkitomary96574 жыл бұрын
Andika ananias ediga utapata hiyo
@bongokingtv22204 жыл бұрын
kwa hiyo jay z ana ulinzi zaidi ya papa au
@omary91924 жыл бұрын
Gwajima
@jefenggg34424 жыл бұрын
Sasa nataka niulize samahani, apo trump alipo onekana anakimbiya huwa anakimbizwa na Nani? Na nn sababu?
Yaani huwezi kumuweka Meghan and Harry, Jay Z na Beyonce, Kim ukaacha kumuweka Queen Elizabeth ambaye anaulinzi tangu akiwa tumboni kwa Mama yake. Eti unamuweka number 9. Yeye Queen Elizabeth akipata tuu kunakuwa na helicopter zinazunguka.
@piterasifa37574 жыл бұрын
Raisi wa uturuki eddo
@chudabad65394 жыл бұрын
Kim joung katisha
@gabrieldevid94 жыл бұрын
BWANA ASIPO ULINDA MJI WAULINDAO WAFANYA KAZI BURE.Huu ulinzi ni wahapa duniani tu.
@rodsconehenry42494 жыл бұрын
inadaiwa zinazidi tumia reference za sources ili hata na sie tujiridhishe kwa kufollow izo source,
@BONGOFASTA4 жыл бұрын
Hakuna source moja,we google "Most protected people in the world" utapata hizo source.
@isayansi4 жыл бұрын
Weka story za time travellers e.g pan America na Philadelphia experiment
@dottoavelina70244 жыл бұрын
Move
@thadeusmuthemba55574 жыл бұрын
Sisi wengine ulinzi wetu ni Mungu tu, kwa hivyo tuzidi kuomba.ukweli kabisa.
@jacksonvalerian43994 жыл бұрын
Mmmmmh only God knows Brooo
@sidemnyamwez25744 жыл бұрын
adds ni nyingi hadi zina kera
@officiallydommy70554 жыл бұрын
Gonga like apa twende sawa
@stephenonyango72914 жыл бұрын
Kigaza Dominic like unapewa na reason sio we kusema nakupewa kula hiyo moja
@villagekid23463 жыл бұрын
Utupe stor ya harry na megan
@kijangapeter51354 жыл бұрын
Yani jay Z anaulinzi kuliko ule aliokuwanao Obama au ambao anao Papa?,bro hizi takwimu unazitoa wapi aisee?,fix nyingii
@adambritish4354 жыл бұрын
Ok
@eliasimushi44874 жыл бұрын
Mbona nimesaulika mimi hata nina ulizi mkubwa
@wazirbashir76264 жыл бұрын
Hii list bila ya uwepo drug lords ni utopolo mtupu
@godfreychristopher47334 жыл бұрын
Mi nmependa hapo ulipomalizia
@farihiamass87394 жыл бұрын
Justine tuletee taarifa kwanini marekan ina malkia na raisi wana kazi gan kwenye taifa, kwanini wawepo???
@kibasamohamedi80294 жыл бұрын
Marekani Hana malkia
@christophersikaonga88804 жыл бұрын
Lakini chooni hulindwi
@callmoha5344 жыл бұрын
Wi ar 666 papas farans
@abdalayusuph33324 жыл бұрын
Unasauti nzuri hongera
@johnrimoy68744 жыл бұрын
Mbona Billigate anakuwa Tanga na Kilimanjaro bila hata ulinzi, Tanga alishiriki chakula cha mchana na wanafunzi km mtu wa kawaida kabisa (Tanga)
@BONGOFASTA4 жыл бұрын
Kabla hajaenda sehemu huwa wanaangali level ya hatari iliyopo eneo hilo.
@hemedmkweso84594 жыл бұрын
Mung ndo mlinzi pekoe
@stephenonyango72914 жыл бұрын
wasee ebu mgoogle the that were removed from the bible eg Enoch,Jude na kwa kweli l know mliskia pope aki confess ask
@mfipastudio83974 жыл бұрын
Mungu ndio mwazo na ndio mwisho ahoo wanajisumbuwa
@saalumalasmy80524 жыл бұрын
Diamond jeee
@lameckmichael23884 жыл бұрын
Huyo nipanyatu
@MtuSafi4 жыл бұрын
@@lameckmichael2388 😀😀😀
@MtuSafi4 жыл бұрын
Yani unamuingiza diamond humu khaaa wale walinzi migambo
@philoteuslwena30824 жыл бұрын
comment ziko ngapi hapa zinasoma???
@aminamohd6044 жыл бұрын
Ulinzi wote huo lkn malaika mtoa roho anakuja peke yake
@mabeekeniya97104 жыл бұрын
Mimi naona mulinzi mukubwa ni mungu
@maestroclemence65904 жыл бұрын
Ukweli wa ulinzi anaujua Mwenyezi mungu tu.
@paulmukopi20894 жыл бұрын
Kazi naikubai lakini ina ads mingi hadi zinaboesha. Mbili tu zatosha nadhani
@patrickcosmas76124 жыл бұрын
paul mukopi adds wanaweka youtube sio yeye
@paulmukopi20894 жыл бұрын
@@patrickcosmas7612 Basi hapa napo wamezoea sana, maanake video zingine ukitazama yaweza ionekana mara moja ama mbili ama zingine isionekane kabisa lakini hapa Bongo fasta baada ya kila baada ya dakika tatu hivi
@patrickcosmas76124 жыл бұрын
paul mukopi nazani kunajinsi yakutoa adds ila nimalipo
@paulmukopi20894 жыл бұрын
@@patrickcosmas7612 Nashukuru sana kaka kwa kunijuza, nitajitahidi niondoe, nilikuwa nadhani ni wao