Binadamu WANAOLINDWA zaidi DUNIANI,Bajeti zao za ulinzi ZINATISHA.

  Рет қаралды 234,785

BONGO FASTA

BONGO FASTA

4 жыл бұрын

Пікірлер: 118
@georgenyaumba3925
@georgenyaumba3925 4 жыл бұрын
Ulinzi wetu in Mungu tu
@stevenkambeytz2459
@stevenkambeytz2459 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣eti 'sisi wengine ulinzi wetu ni MUNGU tu'.ila huu wa MUNGU ndo wa uhakika zaidi kuliko ulinzi wowote unaoujua wew!!kama unaamni hivyo gonga like hapo..
@lesemomole6286
@lesemomole6286 4 жыл бұрын
Amen
@ramaccr7525
@ramaccr7525 4 жыл бұрын
Steven Kambey Tz 😂😂
@kapyelumusic344
@kapyelumusic344 4 жыл бұрын
🤝🤝🤝
@swahiliboyswb5666
@swahiliboyswb5666 4 жыл бұрын
Mmmh Kali..... SOUTH C NAIROBI TUKO NDANI
@henryj3304
@henryj3304 2 жыл бұрын
Sisi wengine ulinzi wetu ni Mungu tu, tuendelee kuomba 😂🙏
@gracealex9020
@gracealex9020 4 жыл бұрын
Umenifurahisha kweli. nikweli sisi wengine ulinzi wetu nimungu tu
@juliusmangombela4396
@juliusmangombela4396 4 жыл бұрын
Mko vizuri..... Sasa TWENDE KAZI......
@tuliafidelis2067
@tuliafidelis2067 4 жыл бұрын
Hakika sisi wengine ulinzi wetu ni Mungu tu
@allanilupenza7257
@allanilupenza7257 4 жыл бұрын
Duu hatari sana
@shadyseengaiz5489
@shadyseengaiz5489 4 жыл бұрын
Acha walindwe duniani tuu lakin kaburini hakuna ulinzi
@mamaikram9612
@mamaikram9612 4 жыл бұрын
We nani anataka kabuli ukifa hakuna anaekusogelea
@gabrieldevid9
@gabrieldevid9 4 жыл бұрын
shadyseen gaiz asante ka mkubwa
@jamilambarouk5402
@jamilambarouk5402 4 жыл бұрын
shadyseen gaiz Hakika
@erickkaaya9178
@erickkaaya9178 4 жыл бұрын
Papa kwanini alindwe kwa pesa nyingi hivi wakati mungu ni muweza wa yote.
@blackwarrior-animations593
@blackwarrior-animations593 4 жыл бұрын
Genius question
@marcominja8850
@marcominja8850 4 жыл бұрын
Nje ya masuala ya kiimani ni rais pia wa vatcan kama nchi kamili lazima itakuwa na protocal kali ya ulinzi kama ilivo nchi zingine.
@eliuskamwelwe1018
@eliuskamwelwe1018 3 жыл бұрын
Basi Kama mkiongelea watanzania wanaolindwa zaidi Diamond platnumz hawez kukosa😂😂😂
@emmyngoi2997
@emmyngoi2997 2 жыл бұрын
Kwanini ulinzi wawatu na unasema unamtumikia mungu je mungu wa mbinguni malaika wake wanafanya kaZi gani hata uwe na walinzi wengi ivi lkn Kuna wengine wanaogopa TU wamemwacha mungu
@moseserasto7011
@moseserasto7011 4 жыл бұрын
Mm nalindwa kuliko wote duniani, sababu nalindwa na mungu mwenyewe
@wamoroboy8963
@wamoroboy8963 3 жыл бұрын
True
@martinfrancis9808
@martinfrancis9808 4 жыл бұрын
KAKA UNAJUA SANA KUELEZEA JUSTINE SHEDI... NIMEPENDA HAPO MWISHO SISI WENGINE ULINZI WETU NI MUNGU 🤣🤣🤣
@mastergameshc4539
@mastergameshc4539 4 жыл бұрын
Ahhahaahahha🤣🤣
@jofreybanzoo9340
@jofreybanzoo9340 4 жыл бұрын
Mm wakwangu unazid hata wakwao mungu tu ndo kila ki2
@lightnesseramson7654
@lightnesseramson7654 4 жыл бұрын
Naupenda Sana ulinzi nilionao wa kiMungu pekee ni zaidi ya ulinzi wote
@frankmartine5354
@frankmartine5354 4 жыл бұрын
Wapo sawa unajua watu sio wastaarabu wanaweza kumng'ang'ania mtu yeyote maarufu uo ni utaratibu mzr
@bwana_ya_mtu
@bwana_ya_mtu 4 жыл бұрын
Huu ni uwongo wa hali ya juu sana ati jz ana ulinzi mwingi kuliko queen
@theeokorah8320
@theeokorah8320 4 жыл бұрын
Umemsahau Dr.Owuor wa Kenya
@suleimankhalfan6938
@suleimankhalfan6938 4 жыл бұрын
Iyo cku ambayo papa alipo pigwa risasi walikufa wangap
@nyamburawacoast305
@nyamburawacoast305 4 жыл бұрын
Ukijibiwa niambie broo
@stephenonyango7291
@stephenonyango7291 4 жыл бұрын
Suleiman Khalfan google
@nyamburawacoast305
@nyamburawacoast305 4 жыл бұрын
@@stephenonyango7291 sawa
@brackstz9235
@brackstz9235 4 жыл бұрын
Thanks BongoFasta
@mgwilaphanricky1643
@mgwilaphanricky1643 4 жыл бұрын
kwa kweli Mungu tu
@abuuashyam8417
@abuuashyam8417 4 жыл бұрын
bora uyo mungu kuliko vyote ulivyotaja maana yy hasinzii wala halalii
@gabrieldevid9
@gabrieldevid9 4 жыл бұрын
Abuu Ashyam nimesoma koment zoot lakin wewe unamjuwa MUNGU ndugu yangu.(BIBLIA INASEMA BWANA ASIPO ULINDA MJI WAULINDAO WAFANYA KAZI BURE)
@rashidsaad7948
@rashidsaad7948 2 жыл бұрын
Dah bongo sihami llove Tz
@Hiphobongo
@Hiphobongo 4 жыл бұрын
Love bongo fasta & Justine shed
@stephenonyango7291
@stephenonyango7291 4 жыл бұрын
WIND MEDIA OFFICIAL love creator and believe
@midosakatv8016
@midosakatv8016 4 жыл бұрын
Kaka napenda san unavyo chambuwa endelea ivyo ivyo kutuletea abal nzuli za dunia kiujumla
@mustafakisosola8305
@mustafakisosola8305 4 жыл бұрын
Napenda sana stry zako man
@stivinethobias6509
@stivinethobias6509 4 жыл бұрын
Kim jong ni fire (tishio wa marekani)
@brayankennerd13
@brayankennerd13 4 жыл бұрын
Nawapata vizuri nikiwa hapa london
@simaraphael4525
@simaraphael4525 4 жыл бұрын
Nakukubali brother
@abdulathuman8644
@abdulathuman8644 4 жыл бұрын
Malaika wa Bwana hufanya kituo na kuwazungukia wamchao Bwana
@muhkil
@muhkil 4 жыл бұрын
Brother hii tathimini tena vizuri. Ukiitaji msaada ntafurahia kusaidia, uongeacho ni kweli lakini namba sio kweli, unataka kuniambia KIM au may weather analindwa kushinda Roman abromovic???
@emmanuelmoshi4938
@emmanuelmoshi4938 4 жыл бұрын
Hon Muller inawezekan pia
@muhkil
@muhkil 4 жыл бұрын
@@emmanuelmoshi4938 chunguzaa uniambie
@dr.b5029
@dr.b5029 4 жыл бұрын
Brother unajua hadi unaboa yani mimi nikiona bongo fasta lazima nidownload hata iweje big up
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 2 жыл бұрын
666. Huyu ndio maana haamini kwamba kuna ulinz wa mungu kabisa
@gadsonndato2941
@gadsonndato2941 4 жыл бұрын
Kabulin hakuna ulinzi
@MA_Law.
@MA_Law. 4 жыл бұрын
Queen anaulinzi mkubwa sana.
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 4 жыл бұрын
sisi wengine tunalindwa na Mungu
@BONGOFASTA
@BONGOFASTA 4 жыл бұрын
Hakika ulinzi wetu ni MUNGU
@jamilambarouk5402
@jamilambarouk5402 4 жыл бұрын
Goodluck Temu Anatosha yeye ndo tegemeo letu t
@rademm8924
@rademm8924 4 жыл бұрын
Kutokea Kishumundu siwapati kabisaa!
@robsontz8424
@robsontz8424 3 жыл бұрын
Hatarii
@sibukuleatayi8370
@sibukuleatayi8370 4 жыл бұрын
Illuminated pple
@severinmmassy7627
@severinmmassy7627 4 жыл бұрын
Mungu ndio kilakituuuu
@andrewsteven5375
@andrewsteven5375 4 жыл бұрын
Sisi wengine ulizi wetu ni Mungu
@Teacher_Hassan_Lemunje
@Teacher_Hassan_Lemunje 4 жыл бұрын
Good job
@ntelebhalekananitz2597
@ntelebhalekananitz2597 4 жыл бұрын
Nakuku bali sana kaka
@felicianbwinyende4884
@felicianbwinyende4884 4 жыл бұрын
ila kufa ni lazima hizo mbwembwe za mda tu
@middleplatnumz3629
@middleplatnumz3629 4 жыл бұрын
Napenda saaana channel bomba
@imanlwinga9935
@imanlwinga9935 4 жыл бұрын
Uko vzuri ila pia naomba na historia ya Sadam hussen
@gerraldkitomary9657
@gerraldkitomary9657 4 жыл бұрын
Andika ananias ediga utapata hiyo
@bongokingtv2220
@bongokingtv2220 4 жыл бұрын
kwa hiyo jay z ana ulinzi zaidi ya papa au
@omary9192
@omary9192 4 жыл бұрын
Gwajima
@jefenggg3442
@jefenggg3442 4 жыл бұрын
Sasa nataka niulize samahani, apo trump alipo onekana anakimbiya huwa anakimbizwa na Nani? Na nn sababu?
@stephenonyango7291
@stephenonyango7291 4 жыл бұрын
Jefen Ggg jini nadhani
@ernestmajula5143
@ernestmajula5143 4 жыл бұрын
FSB SIYO FBS ... RUSSIAN INTELLIGENCE SECURITY AGENCY
@bettygm3577
@bettygm3577 4 жыл бұрын
Yaani huwezi kumuweka Meghan and Harry, Jay Z na Beyonce, Kim ukaacha kumuweka Queen Elizabeth ambaye anaulinzi tangu akiwa tumboni kwa Mama yake. Eti unamuweka number 9. Yeye Queen Elizabeth akipata tuu kunakuwa na helicopter zinazunguka.
@piterasifa3757
@piterasifa3757 4 жыл бұрын
Raisi wa uturuki eddo
@chudabad6539
@chudabad6539 4 жыл бұрын
Kim joung katisha
@gabrieldevid9
@gabrieldevid9 4 жыл бұрын
BWANA ASIPO ULINDA MJI WAULINDAO WAFANYA KAZI BURE.Huu ulinzi ni wahapa duniani tu.
@rodsconehenry4249
@rodsconehenry4249 4 жыл бұрын
inadaiwa zinazidi tumia reference za sources ili hata na sie tujiridhishe kwa kufollow izo source,
@BONGOFASTA
@BONGOFASTA 4 жыл бұрын
Hakuna source moja,we google "Most protected people in the world" utapata hizo source.
@isayansi
@isayansi 4 жыл бұрын
Weka story za time travellers e.g pan America na Philadelphia experiment
@dottoavelina7024
@dottoavelina7024 4 жыл бұрын
Move
@thadeusmuthemba5557
@thadeusmuthemba5557 4 жыл бұрын
Sisi wengine ulinzi wetu ni Mungu tu, kwa hivyo tuzidi kuomba.ukweli kabisa.
@jacksonvalerian4399
@jacksonvalerian4399 4 жыл бұрын
Mmmmmh only God knows Brooo
@sidemnyamwez2574
@sidemnyamwez2574 4 жыл бұрын
adds ni nyingi hadi zina kera
@officiallydommy7055
@officiallydommy7055 4 жыл бұрын
Gonga like apa twende sawa
@stephenonyango7291
@stephenonyango7291 4 жыл бұрын
Kigaza Dominic like unapewa na reason sio we kusema nakupewa kula hiyo moja
@villagekid2346
@villagekid2346 3 жыл бұрын
Utupe stor ya harry na megan
@kijangapeter5135
@kijangapeter5135 4 жыл бұрын
Yani jay Z anaulinzi kuliko ule aliokuwanao Obama au ambao anao Papa?,bro hizi takwimu unazitoa wapi aisee?,fix nyingii
@adambritish435
@adambritish435 4 жыл бұрын
Ok
@eliasimushi4487
@eliasimushi4487 4 жыл бұрын
Mbona nimesaulika mimi hata nina ulizi mkubwa
@wazirbashir7626
@wazirbashir7626 4 жыл бұрын
Hii list bila ya uwepo drug lords ni utopolo mtupu
@godfreychristopher4733
@godfreychristopher4733 4 жыл бұрын
Mi nmependa hapo ulipomalizia
@farihiamass8739
@farihiamass8739 4 жыл бұрын
Justine tuletee taarifa kwanini marekan ina malkia na raisi wana kazi gan kwenye taifa, kwanini wawepo???
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 4 жыл бұрын
Marekani Hana malkia
@christophersikaonga8880
@christophersikaonga8880 4 жыл бұрын
Lakini chooni hulindwi
@callmoha534
@callmoha534 4 жыл бұрын
Wi ar 666 papas farans
@abdalayusuph3332
@abdalayusuph3332 4 жыл бұрын
Unasauti nzuri hongera
@johnrimoy6874
@johnrimoy6874 4 жыл бұрын
Mbona Billigate anakuwa Tanga na Kilimanjaro bila hata ulinzi, Tanga alishiriki chakula cha mchana na wanafunzi km mtu wa kawaida kabisa (Tanga)
@BONGOFASTA
@BONGOFASTA 4 жыл бұрын
Kabla hajaenda sehemu huwa wanaangali level ya hatari iliyopo eneo hilo.
@hemedmkweso8459
@hemedmkweso8459 4 жыл бұрын
Mung ndo mlinzi pekoe
@stephenonyango7291
@stephenonyango7291 4 жыл бұрын
wasee ebu mgoogle the that were removed from the bible eg Enoch,Jude na kwa kweli l know mliskia pope aki confess ask
@mfipastudio8397
@mfipastudio8397 4 жыл бұрын
Mungu ndio mwazo na ndio mwisho ahoo wanajisumbuwa
@saalumalasmy8052
@saalumalasmy8052 4 жыл бұрын
Diamond jeee
@lameckmichael2388
@lameckmichael2388 4 жыл бұрын
Huyo nipanyatu
@MtuSafi
@MtuSafi 4 жыл бұрын
@@lameckmichael2388 😀😀😀
@MtuSafi
@MtuSafi 4 жыл бұрын
Yani unamuingiza diamond humu khaaa wale walinzi migambo
@philoteuslwena3082
@philoteuslwena3082 4 жыл бұрын
comment ziko ngapi hapa zinasoma???
@aminamohd604
@aminamohd604 4 жыл бұрын
Ulinzi wote huo lkn malaika mtoa roho anakuja peke yake
@mabeekeniya9710
@mabeekeniya9710 4 жыл бұрын
Mimi naona mulinzi mukubwa ni mungu
@maestroclemence6590
@maestroclemence6590 4 жыл бұрын
Ukweli wa ulinzi anaujua Mwenyezi mungu tu.
@paulmukopi2089
@paulmukopi2089 4 жыл бұрын
Kazi naikubai lakini ina ads mingi hadi zinaboesha. Mbili tu zatosha nadhani
@patrickcosmas7612
@patrickcosmas7612 4 жыл бұрын
paul mukopi adds wanaweka youtube sio yeye
@paulmukopi2089
@paulmukopi2089 4 жыл бұрын
@@patrickcosmas7612 Basi hapa napo wamezoea sana, maanake video zingine ukitazama yaweza ionekana mara moja ama mbili ama zingine isionekane kabisa lakini hapa Bongo fasta baada ya kila baada ya dakika tatu hivi
@patrickcosmas7612
@patrickcosmas7612 4 жыл бұрын
paul mukopi nazani kunajinsi yakutoa adds ila nimalipo
@paulmukopi2089
@paulmukopi2089 4 жыл бұрын
@@patrickcosmas7612 Nashukuru sana kaka kwa kunijuza, nitajitahidi niondoe, nilikuwa nadhani ni wao
@josephbalayata4506
@josephbalayata4506 4 жыл бұрын
Adui mkubwa korona
@mwanzomatesomwanzomateso7928
@mwanzomatesomwanzomateso7928 4 жыл бұрын
Raivani
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 16 МЛН
HAPPY BIRTHDAY @mozabrick 🎉 #cat #funny
00:36
SOFIADELMONSTRO
Рет қаралды 18 МЛН
MARAISI WANAOLINDWA ZAIDI DUNIANI,WALINZI WAO NI HATARI KAMA NJAA.
10:22
Secretary-General Zara Mohammed at Islam channel Gala
6:15
Muslim Council of Britain
Рет қаралды 3,6 М.
Tofauti kati ya FBI na CIA,vikosi vya INTELIJENSIA nchini MAREKANI.
13:15
Hivi ndivyo MICHAEL JACKSON ALIVY0UWAWA na DAKTARI wake wa KARIBU.
10:10
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 16 МЛН