dollars elfu 48 ni zaidi ya Tsh 111M na sio 11M. kuweni makini mnapotoa taarifa!
@emmanuelluiso48724 жыл бұрын
Twende Kazi nakubal brother Justin Shed🔥🙌
@BONGOFASTA4 жыл бұрын
Hahahah sasa twende kaziiì
@abdulnaseermrisho43424 жыл бұрын
SWAT_Special weapons and tactics,hawa wana deal na matukio ambayo ndani yake kuna matumizi ya siraha na mara nyingi panapokua na issue ya maswala ya kigaidi ndio utawaona haswa wakiwa na vifaa vitaa vimewavaa mwili mzima
@noelmarapachi18084 жыл бұрын
Ni Moja ya Vitengo vya POLICE, kama FFU hapa kwetu
@nasloyal58864 жыл бұрын
Big appreciation 👊!!can you tell us about apple company privacy and security on they’re products? Hope you will!!
@BONGOFASTA4 жыл бұрын
Thank you for commenting,we will definitely prepare the video for that.
@nasloyal58864 жыл бұрын
BONGO FASTA can’t wait!
@eliarichard92184 жыл бұрын
nice Bongo. F.
@ayoubkabono35034 жыл бұрын
Thank you for the observations
@filbertrobert11412 жыл бұрын
Hapo sawa mkuu
@gesusgegangphray76892 жыл бұрын
Justin shedy. Tuambue kuhusu Tanzania. .kama south Kuna scorpion hawa waogope..
@sniperboy70984 жыл бұрын
C.I.A nawakubali sana
@andrewbutera1363 жыл бұрын
Good Job brother can you tell us about MOSSAD ?
@DavidBon-cp4bq8 ай бұрын
That is wonder. Izo ni teams kubwa duniani
@alliysaleh754 жыл бұрын
Mambo vp Bro naomba ugusie tariifa ya msanii wa marekani cucci money kuhsu kubadiliswa na serekali baada ya kufugwa jela
@BONGOFASTA4 жыл бұрын
Asante kwa kutoa maoni yako,tutafatilia na kutoa majibu.
@abdullrahmanali81172 жыл бұрын
Nice
@Fgldesigns4 жыл бұрын
Yaaaani wa Marekani kwa kuchunguza nchi za wenzao hawajambo.
@BONGOFASTA4 жыл бұрын
Hahaha wameandaa na kitengo kabisa.
@suleim5056 ай бұрын
Ha! 😅
@chaulachaulaya52592 жыл бұрын
Kuna Counter terrorists Unit (CTU) chini ya DOD (Department of Defense) ambao wanafanya kazi moja kwa moja chini ya ofisi ya Raisi, nao pia wanaingiliana na CIA na FBI katika baadhi ya circumstances...
@SDM2024-z4s Жыл бұрын
Nisaidie historia ya tiss boss
@amosmahona4334 жыл бұрын
Asante sana umeniongezea maarifa mana nilikuwa nayaskia tu
@yohanakihumi13564 жыл бұрын
Safi Sana shedy, ulipotea kidogo
@BONGOFASTA4 жыл бұрын
Hahaha nimerudi tena tegemea mengi zaidi.
@ramadhanisalum18744 жыл бұрын
Fbi n wapelelezi baada ya tukio, na CIA n wapelelezi kabla ya tukio
@BONGOFASTA4 жыл бұрын
Asante sana umeniongezea kitu kichwani.
@kassimramadhani33214 жыл бұрын
Sio lazima tukio litokee ndio upelelezi ufanyike, FBI AND CIA wanapopata tu taarifa kuhusu jambo lolote basi huanza upelelezi ili kuzuia lisitokee na kuwabaini hao wenye nia ovu. FBI kuna baadhi ya operation huwa zinawashinda kuzifanya, hivyo mkurugenzi wa FBI hulipeleka jambo hilo kwa mkurugenzi wa CIA na kulifanyia uchunguzi. Mashirika yote haya ya Kijasusi hayaaminiani, CIA wamepandikiza mawakala wao ndani ya Mashirika yote ya kijasusi nchini Marekani, pia kwenye baadhi ya nchi ulimwenguni. Zingatia hili (upelelezi hufanyika ili kubashiri kitakachokuja kutokea ili kuweza kukizuia neutralize, na kuwajua wanaotaka kutekeleza tukio. Pia upelelezi hufanyika baada ya tukio kutokea ili kuwabaini waliotekeleza tukio hilo). Mambo ni mengi muda mchache.
@ramadhanisalum18744 жыл бұрын
@@kassimramadhani3321 kweli lakn mm niliandik kifupi tu sikutaka kuandika kireeeeefu ila hiyo brief nlokupa ndo ipo hvyo, CIA hufanya uchungz wa kitu kabla hakijtokea na FBI baada ya kutokea Yan kes za fbi lazim ziwe Kuna kitu tyr kimetokea na wao ndo hukichungza lakn cia kitu kabla hakijtokea wao wameshajua tayr nn kinataka kutokea
@karumunabckazaura85624 жыл бұрын
Uko sahihi sana kuna tofauti kati ya uchunguzi na upelelezi. Jambo lolote likiyokea ndani au nje ya USA FBI wanafanya investigation ili kujua tatizo chanzo na aliyetekeleza tukio hilo ndio maana wana uwezo wa kuarrest. CIA ina jukumu la kufanya uchunguzi na kukusanya taarifa ambazo zitasaidia kuzuia matukio ikiwa ni pamoja na kulinda viongozi kupitia kitengo cha secret service. Kwa uingeleza kuna M15 na M16 ni kama FBI na CIA
@yunusjuma43404 жыл бұрын
Fbi ni polisi na cia ni wanajeshi
@abbubaqcarmohammed59844 жыл бұрын
Kaka vi kuhus muendelezo wa stor ya fider casto yaan part 2 itakukuwepo au ndio bas?
@mariamkasminaseifu63204 жыл бұрын
Kuna filam ya 24 hours ya jack bauer,inaonesh maisha kabili ya wafanyakaz wa FBI na CIA.kitu cha kwanza ukiwa mfanyakaz wao lazma USIMUAMINI MTU
@hajihassan54334 жыл бұрын
Kama huamini mtu huwezi kufanyakazi ya upelelezi.
@mathewkolobe77984 жыл бұрын
We jamaa acha uongo bhana
@josephmabibi63794 жыл бұрын
Asante kwa kutupa uelewa.
@vascokasambala21594 жыл бұрын
Sawa kabsa
@mkutubikijanaonlinetv43424 жыл бұрын
Sasa twende kazi
@samroymen49803 жыл бұрын
huyu msee ako sawa bt shida ni venye anaeka story fupi
@emanuelsamwel35594 жыл бұрын
Mpira
@samsondaniel33774 жыл бұрын
$48 =110m of tz not 11m
@BONGOFASTA4 жыл бұрын
asante kwa marekebisho.
@jackart37392 жыл бұрын
Bro ni milion 111 sio 11 umeshanganya hapo ila ahsante kwa makala hii
@dasilvajunior30164 жыл бұрын
Asante
@celestinerwane74904 жыл бұрын
Hi
@paulinamughanja56773 жыл бұрын
Broo nitafutie story ya vandizo na Jackson stasta
@andrewmmbaga16654 жыл бұрын
Naomba historia ya New york statue of liberty na marilyn monroe
@andresyohan59414 жыл бұрын
yes yesss shediiii
@BONGOFASTA4 жыл бұрын
Ndio ndio,umefurahia video hii?
@shaelscott7794 жыл бұрын
Bro...Embu gusia kwenye S.W.A.T 🙏🙏🙏
@BONGOFASTA4 жыл бұрын
Asante makala hii imeuliziwa na wengi,hakika nitaitengeneza.
@saidkaxximali76064 жыл бұрын
Special wiporn atact
@denisbeno18244 жыл бұрын
@@saidkaxximali7606 sio wiporn, ni weapon
@zimeleafricabestofafrica39484 жыл бұрын
Uko vizuri mzee
@BONGOFASTA4 жыл бұрын
Pamoja sanaaa
@mohamedmbaruku68444 жыл бұрын
Ujui kuitangaza hata kidogo ananias edga umuwezi
@johnmwakipesile71414 жыл бұрын
Kazi nzuri broo justin
@BONGOFASTA4 жыл бұрын
Asante John endelea kufuatilia Bongo Fasta
@johnmwakipesile71414 жыл бұрын
Pamoja broo
@inspirationmessages84204 жыл бұрын
Mimi naitwa Justin sheddy Sasa twende kazi
@jumaakhalifani82184 жыл бұрын
Nakubal sana hizi story
@BONGOFASTA4 жыл бұрын
Zinakuja nyingi sana,endelea kutuafatilia.
@muhamedmuva3024 жыл бұрын
Kgb ya urusi ni zaidi ya fbi na cia
@Mike-yg7pb4 жыл бұрын
CIA wakiingilia jambo kulifanyia uchunguzi inabidi FBI wakae pembeni, kwahiyo CIA Central Intelligence Agency ndo wana finalise jambo,
@omarysilimu41764 жыл бұрын
pia kuna home land security DHS
@nalinewz3894 жыл бұрын
makala nzur sana
@BONGOFASTA4 жыл бұрын
Asante sana kwa kutazama.
@ramadhanikitenge31824 жыл бұрын
Umejitahd ila jitahd kufanya uchunguzi wa maneno kabla ya kuyatoa, 48,000 USD ni sawa na zaidi ya million 90
@suleimankhalfan69384 жыл бұрын
Axante sana kwa kujibu ombi la washabiki wako
@Mike-yg7pb4 жыл бұрын
Hapo umechemka, yani atengeneze dollar 💵 elfu 43 halafu awe na milion 11 tu au karibia milion 111
@abduljvo55494 жыл бұрын
Sawa
@oscaroscaroscar79744 жыл бұрын
Ote Awa Kazi zao Nomaaaa
@IExploreTanzania4 жыл бұрын
48Usd ni Milioni 111
@albertmasunzu47034 жыл бұрын
Viziw wawili
@adelatusiadolph89114 жыл бұрын
Marekani wanaidara nyingi za uchunguz kuna na NSA na ile idara ya kuchunguza biashara ya dawa za kulevya.
@justinemashine42924 жыл бұрын
Wajina..
@hunterrashid84334 жыл бұрын
Umesema elfu 48 usd ni sawa na milion 11 duuuh bro hiyo ni sawa na milion mia moja ya kitanzania
@emmanuelmussa83314 жыл бұрын
Acha uongo! Dollar elf 40 ni zaidi ya milioni 80 za kibongo na si 17 kama ulivyosema labda kama unaongelea rate ya miaka ya 90 huko.
@Adons_kejo4 жыл бұрын
48000$ sio milioni 11 ya tz
@eyeonnature40224 жыл бұрын
ni sawa na milioni mia na kumi. sifuri ztakua zmemzuzua akaona apunzguze🤣
@kittamagnifico50913 жыл бұрын
Kaingiza watu chaka
@ibrahimjobu91414 жыл бұрын
Ngoja nifanye utaratibu wa kujiunga na CIA au FBI
@piustombili99214 жыл бұрын
nilifikiri umetuacha mwambaa kuna asiku tulipewa story na mtu mwingine tukamind "sasa twende kaziii"
@BONGOFASTA4 жыл бұрын
Hahaha hapana nimerudi mwenyewe.
@suleimankhalfan69384 жыл бұрын
Na DDA wanakazi gani ndani ya USA
@amisindondi45494 жыл бұрын
hivyo ndio vitu vya maana broo usiwe kama midle Simba
@BONGOFASTA4 жыл бұрын
Hahaahaha
@amoslumponya85844 жыл бұрын
Middle ni mke wa diamond
@greysonchoga87844 жыл бұрын
Acheni ujinga middle simba ni moto mwingine ule
@dizzonofficial26004 жыл бұрын
Kila mtu na uwezo wake but middle simba ni atariii
@chichmlol4652 жыл бұрын
Umbea ndo anauabudu
@kareisindilo27764 жыл бұрын
huwa napenda kufatilia bongo fasta fanya kuleta historia mosad majasusi wa Israel
@lucasmhagama81664 жыл бұрын
Wale watu ni zaidi ya hatari
@BONGOFASTA4 жыл бұрын
Nitawafatilia hawa jamaa kisha nitaleta hapa
@suleimankhalfan69384 жыл бұрын
S.W.A.T tupe maelezo yake next
@47kyon4 жыл бұрын
Bro dollar 48'000 sawa na milion 11 za kitanzania???? Duh!
@ernestmbwana62824 жыл бұрын
Dola elfu 48,$48000 sawa na mili 11 za kitanzania?? Kaka umetumia rate gani ya Wizara ya fedha au BoT ..
@adventurous_bernard7264 жыл бұрын
We utafilisi bank kwa izo rate zako.
@jumahassan36394 жыл бұрын
Nimependa ulivo fafanuwa FBI na CIA
@akhamedimaster64004 жыл бұрын
Na kile kukos kuitwacho Swate
@BONGOFASTA4 жыл бұрын
Hiii video inakuja hivi karibuni.
@shabanijuma20854 жыл бұрын
Ayatuhusu.
@BONGOFASTA4 жыл бұрын
Asante kwa maoni yako,je ungependa tuweke video kuhusu nini?
@shabanijuma20854 жыл бұрын
@@BONGOFASTA Mambo yetu Kama Tz uzalendo kwanza.
@baltzrluus32874 жыл бұрын
BONGO FASTA Busara yako itakufikisha mbali sana bro,utavishinda vikwazo na wapuuzi kama hawa.
@susanruo80874 жыл бұрын
@@shabanijuma2085 kama haikuhusu wewe si upite tu... Maana wengine kama sisi inatuhusu... Unataka kumkatisha Bongo Fasta tamaa lakini uko chini sana
@josephnchama97924 жыл бұрын
@@shabanijuma2085 we ni msenge mmoja tu
@masebtommy18634 жыл бұрын
CIA wanakubali raia wa Nchi yoyote?
@BONGOFASTA4 жыл бұрын
Hapana nadhani hata wahamiaji hawatakiwi
@kassimramadhani33214 жыл бұрын
@@BONGOFASTA CIA wanakubali raia wa nchi yoyote ile duniani, lakini hadi awe amekidhi vigezo vyao wanavyovihitaji pia kutokana na jukumu ambalo watampa. Kwanza mtu huyo watamfanyia vetting kwa muda wa miaka mingi hadi waweze kumuamini na kumuajiri. Mtu huyo anaweza kuwa amewahi kuhudhuria mafunzo ya ujasusi nchini Marekani au kwenye nchi yoyote ile duniani. Pili wataangalia mahusiano yake na Mashirika mengine ya kijasusi pamoja na makundi ya kihalifu ili baadae asije akawa msaliti au mzigo ndani ya shirika. Wakati mwingine wanawapa kabisa na uraia wa kwao Marekani ili iwe rahisi kwao kukumiliki moja kwa moja. Kabla ya kumuajiri mtu wamtakaye kutoka katika nchi yoyote ile duniani, huangalia chimbuko lake, asili yake na mengine mengi ambayo wao watayaona ni muhimu kwao. Wapo baadhi ya watu kutoka kwenye vyombo vya Ulinzi na Usalama kwenye nchi tofauti tofauti wameajiriwa na CIA kwa siri. Wengine hawakuwahi hata kufanya mafunzo ya ujasusi nchini Marekani au hata kwenye nchi zao. Na endapo utaanza kuvujisha siri kuhusu wao basi watasitisha ajira na wewe na hata kukudhuru. Uvumilivu, usiri, kujituma, elimu ubunifu, unyumbulifu etc ni baadhi ya vigezo. Pia huandaa vijana wa kuwaajiri angali bado Wadogo, pia wahamiaji wanaajiriwa kwa kufuata vigezo na utaifa wake pia. Kwa hayo machache yanawatosha kwa leo
@kassimramadhani33214 жыл бұрын
CIA wanakubali raia wa nchi yoyote ile duniani, lakini hadi awe amekidhi vigezo vyao ambavyo watakuwa wanavihitaji, pia kutokana na jukumu ambalo watampa. Kwanza mtu huyo watamfanyia vetting kwa muda wa miaka mingi hadi waweze kumuamini na kumuajiri. Mtu huyo anaweza kuwa amewahi kuhudhuria mafunzo ya ujasusi nchini Marekani au kwenye nchi yoyote ile duniani. Pili wataangalia mahusiano yake na mashirika mengine ya kijasusi pamoja na makundi ya kihalifu ili baadae asije akawa msaliti au mzigo ndani ya shirika. Wakati mwingine wanawapa kabisa na uraia wa kwao Marekani ili iwe rahisi kwao kukumiliki moja kwa moja. Kabla ya kumuajiri mtu wamtakaye kutoka katika nchi yoyote ile duniani, huangalia chimbuko lake,asili yake na mengine mengi ambayo wao watayaona ni muhimu kwao kwa wakati huo. Wapo baadhi ya watu kutoka kwenye vyombo vya Ulinzi na Usalama kwenye nchi tofauti tofauti wameajiriwa na CIA kwa siri. Wengine hawakuwahi hata kufanya mafunzo ya ujasusi nchini Marekani au hata kwenye nchi zao. Na endapo utaanza kuvujisha siri kuhusu wao, basi watasitisha ajira na wewe na hata kukudhuru. Uvumilivu,usiri,kujituma,elimu,ubunifu,unyumbulifu etc ni baadhi ya vigezo. Pia huandaa vijana wa kuwaajiri angali bado wadogo, pia wahamiaji kutoka nchi mbalimbali wanaajiriwa kwa kufuata vigezo vingi tu na utaifa wa muhusika wanaemtaka. Kwa hayo machache yanawatosha kwa leo.
@abbubaqcarmohammed59844 жыл бұрын
Kaka vi kuhus muendelezo wa stor ya fider casto yaan part 2 itakukuwepo au ndio bas?
@jumabusabi40814 жыл бұрын
Fbi n wapelelezi baada ya tukio, na CIA n wapelelezi kabla ya tukio