Tofauti kati ya FBI na CIA,vikosi vya INTELIJENSIA nchini MAREKANI.

  Рет қаралды 156,653

BONGO FASTA

BONGO FASTA

Күн бұрын

Пікірлер: 126
@aderiderkihupi7240
@aderiderkihupi7240 3 жыл бұрын
Makala zenu nzuri sana hongereni
@gwajetheentertainer363
@gwajetheentertainer363 4 жыл бұрын
Safi sana twende kaziiiii....
@BONGOFASTA
@BONGOFASTA 4 жыл бұрын
Yeees Twende kazi bwana Gwaje
@amanishayo3916
@amanishayo3916 4 жыл бұрын
Naomba utuletee gari la rahisi wa tanzania👏👏👏👏👍👍👍
@dasilvajunior3016
@dasilvajunior3016 4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@jonaskilomba4094
@jonaskilomba4094 2 жыл бұрын
V8 tu haina kitu
@chichmlol465
@chichmlol465 2 жыл бұрын
Aibu izi sasa
@denisbeno1824
@denisbeno1824 4 жыл бұрын
Kazi nzuri
@bulayaconfidential7212
@bulayaconfidential7212 2 жыл бұрын
dollars elfu 48 ni zaidi ya Tsh 111M na sio 11M. kuweni makini mnapotoa taarifa!
@emmanuelluiso4872
@emmanuelluiso4872 4 жыл бұрын
Twende Kazi nakubal brother Justin Shed🔥🙌
@BONGOFASTA
@BONGOFASTA 4 жыл бұрын
Hahahah sasa twende kaziiì
@abdulnaseermrisho4342
@abdulnaseermrisho4342 4 жыл бұрын
SWAT_Special weapons and tactics,hawa wana deal na matukio ambayo ndani yake kuna matumizi ya siraha na mara nyingi panapokua na issue ya maswala ya kigaidi ndio utawaona haswa wakiwa na vifaa vitaa vimewavaa mwili mzima
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 4 жыл бұрын
Ni Moja ya Vitengo vya POLICE, kama FFU hapa kwetu
@nasloyal5886
@nasloyal5886 4 жыл бұрын
Big appreciation 👊!!can you tell us about apple company privacy and security on they’re products? Hope you will!!
@BONGOFASTA
@BONGOFASTA 4 жыл бұрын
Thank you for commenting,we will definitely prepare the video for that.
@nasloyal5886
@nasloyal5886 4 жыл бұрын
BONGO FASTA can’t wait!
@eliarichard9218
@eliarichard9218 4 жыл бұрын
nice Bongo. F.
@ayoubkabono3503
@ayoubkabono3503 4 жыл бұрын
Thank you for the observations
@filbertrobert1141
@filbertrobert1141 2 жыл бұрын
Hapo sawa mkuu
@gesusgegangphray7689
@gesusgegangphray7689 2 жыл бұрын
Justin shedy. Tuambue kuhusu Tanzania. .kama south Kuna scorpion hawa waogope..
@sniperboy7098
@sniperboy7098 4 жыл бұрын
C.I.A nawakubali sana
@andrewbutera136
@andrewbutera136 3 жыл бұрын
Good Job brother can you tell us about MOSSAD ?
@DavidBon-cp4bq
@DavidBon-cp4bq 8 ай бұрын
That is wonder. Izo ni teams kubwa duniani
@alliysaleh75
@alliysaleh75 4 жыл бұрын
Mambo vp Bro naomba ugusie tariifa ya msanii wa marekani cucci money kuhsu kubadiliswa na serekali baada ya kufugwa jela
@BONGOFASTA
@BONGOFASTA 4 жыл бұрын
Asante kwa kutoa maoni yako,tutafatilia na kutoa majibu.
@abdullrahmanali8117
@abdullrahmanali8117 2 жыл бұрын
Nice
@Fgldesigns
@Fgldesigns 4 жыл бұрын
Yaaaani wa Marekani kwa kuchunguza nchi za wenzao hawajambo.
@BONGOFASTA
@BONGOFASTA 4 жыл бұрын
Hahaha wameandaa na kitengo kabisa.
@suleim505
@suleim505 6 ай бұрын
Ha! 😅
@chaulachaulaya5259
@chaulachaulaya5259 2 жыл бұрын
Kuna Counter terrorists Unit (CTU) chini ya DOD (Department of Defense) ambao wanafanya kazi moja kwa moja chini ya ofisi ya Raisi, nao pia wanaingiliana na CIA na FBI katika baadhi ya circumstances...
@SDM2024-z4s
@SDM2024-z4s Жыл бұрын
Nisaidie historia ya tiss boss
@amosmahona433
@amosmahona433 4 жыл бұрын
Asante sana umeniongezea maarifa mana nilikuwa nayaskia tu
@yohanakihumi1356
@yohanakihumi1356 4 жыл бұрын
Safi Sana shedy, ulipotea kidogo
@BONGOFASTA
@BONGOFASTA 4 жыл бұрын
Hahaha nimerudi tena tegemea mengi zaidi.
@ramadhanisalum1874
@ramadhanisalum1874 4 жыл бұрын
Fbi n wapelelezi baada ya tukio, na CIA n wapelelezi kabla ya tukio
@BONGOFASTA
@BONGOFASTA 4 жыл бұрын
Asante sana umeniongezea kitu kichwani.
@kassimramadhani3321
@kassimramadhani3321 4 жыл бұрын
Sio lazima tukio litokee ndio upelelezi ufanyike, FBI AND CIA wanapopata tu taarifa kuhusu jambo lolote basi huanza upelelezi ili kuzuia lisitokee na kuwabaini hao wenye nia ovu. FBI kuna baadhi ya operation huwa zinawashinda kuzifanya, hivyo mkurugenzi wa FBI hulipeleka jambo hilo kwa mkurugenzi wa CIA na kulifanyia uchunguzi. Mashirika yote haya ya Kijasusi hayaaminiani, CIA wamepandikiza mawakala wao ndani ya Mashirika yote ya kijasusi nchini Marekani, pia kwenye baadhi ya nchi ulimwenguni. Zingatia hili (upelelezi hufanyika ili kubashiri kitakachokuja kutokea ili kuweza kukizuia neutralize, na kuwajua wanaotaka kutekeleza tukio. Pia upelelezi hufanyika baada ya tukio kutokea ili kuwabaini waliotekeleza tukio hilo). Mambo ni mengi muda mchache.
@ramadhanisalum1874
@ramadhanisalum1874 4 жыл бұрын
@@kassimramadhani3321 kweli lakn mm niliandik kifupi tu sikutaka kuandika kireeeeefu ila hiyo brief nlokupa ndo ipo hvyo, CIA hufanya uchungz wa kitu kabla hakijtokea na FBI baada ya kutokea Yan kes za fbi lazim ziwe Kuna kitu tyr kimetokea na wao ndo hukichungza lakn cia kitu kabla hakijtokea wao wameshajua tayr nn kinataka kutokea
@karumunabckazaura8562
@karumunabckazaura8562 4 жыл бұрын
Uko sahihi sana kuna tofauti kati ya uchunguzi na upelelezi. Jambo lolote likiyokea ndani au nje ya USA FBI wanafanya investigation ili kujua tatizo chanzo na aliyetekeleza tukio hilo ndio maana wana uwezo wa kuarrest. CIA ina jukumu la kufanya uchunguzi na kukusanya taarifa ambazo zitasaidia kuzuia matukio ikiwa ni pamoja na kulinda viongozi kupitia kitengo cha secret service. Kwa uingeleza kuna M15 na M16 ni kama FBI na CIA
@yunusjuma4340
@yunusjuma4340 4 жыл бұрын
Fbi ni polisi na cia ni wanajeshi
@abbubaqcarmohammed5984
@abbubaqcarmohammed5984 4 жыл бұрын
Kaka vi kuhus muendelezo wa stor ya fider casto yaan part 2 itakukuwepo au ndio bas?
@mariamkasminaseifu6320
@mariamkasminaseifu6320 4 жыл бұрын
Kuna filam ya 24 hours ya jack bauer,inaonesh maisha kabili ya wafanyakaz wa FBI na CIA.kitu cha kwanza ukiwa mfanyakaz wao lazma USIMUAMINI MTU
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 жыл бұрын
Kama huamini mtu huwezi kufanyakazi ya upelelezi.
@mathewkolobe7798
@mathewkolobe7798 4 жыл бұрын
We jamaa acha uongo bhana
@josephmabibi6379
@josephmabibi6379 4 жыл бұрын
Asante kwa kutupa uelewa.
@vascokasambala2159
@vascokasambala2159 4 жыл бұрын
Sawa kabsa
@mkutubikijanaonlinetv4342
@mkutubikijanaonlinetv4342 4 жыл бұрын
Sasa twende kazi
@samroymen4980
@samroymen4980 3 жыл бұрын
huyu msee ako sawa bt shida ni venye anaeka story fupi
@emanuelsamwel3559
@emanuelsamwel3559 4 жыл бұрын
Mpira
@samsondaniel3377
@samsondaniel3377 4 жыл бұрын
$48 =110m of tz not 11m
@BONGOFASTA
@BONGOFASTA 4 жыл бұрын
asante kwa marekebisho.
@jackart3739
@jackart3739 2 жыл бұрын
Bro ni milion 111 sio 11 umeshanganya hapo ila ahsante kwa makala hii
@dasilvajunior3016
@dasilvajunior3016 4 жыл бұрын
Asante
@celestinerwane7490
@celestinerwane7490 4 жыл бұрын
Hi
@paulinamughanja5677
@paulinamughanja5677 3 жыл бұрын
Broo nitafutie story ya vandizo na Jackson stasta
@andrewmmbaga1665
@andrewmmbaga1665 4 жыл бұрын
Naomba historia ya New york statue of liberty na marilyn monroe
@andresyohan5941
@andresyohan5941 4 жыл бұрын
yes yesss shediiii
@BONGOFASTA
@BONGOFASTA 4 жыл бұрын
Ndio ndio,umefurahia video hii?
@shaelscott779
@shaelscott779 4 жыл бұрын
Bro...Embu gusia kwenye S.W.A.T 🙏🙏🙏
@BONGOFASTA
@BONGOFASTA 4 жыл бұрын
Asante makala hii imeuliziwa na wengi,hakika nitaitengeneza.
@saidkaxximali7606
@saidkaxximali7606 4 жыл бұрын
Special wiporn atact
@denisbeno1824
@denisbeno1824 4 жыл бұрын
@@saidkaxximali7606 sio wiporn, ni weapon
@zimeleafricabestofafrica3948
@zimeleafricabestofafrica3948 4 жыл бұрын
Uko vizuri mzee
@BONGOFASTA
@BONGOFASTA 4 жыл бұрын
Pamoja sanaaa
@mohamedmbaruku6844
@mohamedmbaruku6844 4 жыл бұрын
Ujui kuitangaza hata kidogo ananias edga umuwezi
@johnmwakipesile7141
@johnmwakipesile7141 4 жыл бұрын
Kazi nzuri broo justin
@BONGOFASTA
@BONGOFASTA 4 жыл бұрын
Asante John endelea kufuatilia Bongo Fasta
@johnmwakipesile7141
@johnmwakipesile7141 4 жыл бұрын
Pamoja broo
@inspirationmessages8420
@inspirationmessages8420 4 жыл бұрын
Mimi naitwa Justin sheddy Sasa twende kazi
@jumaakhalifani8218
@jumaakhalifani8218 4 жыл бұрын
Nakubal sana hizi story
@BONGOFASTA
@BONGOFASTA 4 жыл бұрын
Zinakuja nyingi sana,endelea kutuafatilia.
@muhamedmuva302
@muhamedmuva302 4 жыл бұрын
Kgb ya urusi ni zaidi ya fbi na cia
@Mike-yg7pb
@Mike-yg7pb 4 жыл бұрын
CIA wakiingilia jambo kulifanyia uchunguzi inabidi FBI wakae pembeni, kwahiyo CIA Central Intelligence Agency ndo wana finalise jambo,
@omarysilimu4176
@omarysilimu4176 4 жыл бұрын
pia kuna home land security DHS
@nalinewz389
@nalinewz389 4 жыл бұрын
makala nzur sana
@BONGOFASTA
@BONGOFASTA 4 жыл бұрын
Asante sana kwa kutazama.
@ramadhanikitenge3182
@ramadhanikitenge3182 4 жыл бұрын
Umejitahd ila jitahd kufanya uchunguzi wa maneno kabla ya kuyatoa, 48,000 USD ni sawa na zaidi ya million 90
@suleimankhalfan6938
@suleimankhalfan6938 4 жыл бұрын
Axante sana kwa kujibu ombi la washabiki wako
@Mike-yg7pb
@Mike-yg7pb 4 жыл бұрын
Hapo umechemka, yani atengeneze dollar 💵 elfu 43 halafu awe na milion 11 tu au karibia milion 111
@abduljvo5549
@abduljvo5549 4 жыл бұрын
Sawa
@oscaroscaroscar7974
@oscaroscaroscar7974 4 жыл бұрын
Ote Awa Kazi zao Nomaaaa
@IExploreTanzania
@IExploreTanzania 4 жыл бұрын
48Usd ni Milioni 111
@albertmasunzu4703
@albertmasunzu4703 4 жыл бұрын
Viziw wawili
@adelatusiadolph8911
@adelatusiadolph8911 4 жыл бұрын
Marekani wanaidara nyingi za uchunguz kuna na NSA na ile idara ya kuchunguza biashara ya dawa za kulevya.
@justinemashine4292
@justinemashine4292 4 жыл бұрын
Wajina..
@hunterrashid8433
@hunterrashid8433 4 жыл бұрын
Umesema elfu 48 usd ni sawa na milion 11 duuuh bro hiyo ni sawa na milion mia moja ya kitanzania
@emmanuelmussa8331
@emmanuelmussa8331 4 жыл бұрын
Acha uongo! Dollar elf 40 ni zaidi ya milioni 80 za kibongo na si 17 kama ulivyosema labda kama unaongelea rate ya miaka ya 90 huko.
@Adons_kejo
@Adons_kejo 4 жыл бұрын
48000$ sio milioni 11 ya tz
@eyeonnature4022
@eyeonnature4022 4 жыл бұрын
ni sawa na milioni mia na kumi. sifuri ztakua zmemzuzua akaona apunzguze🤣
@kittamagnifico5091
@kittamagnifico5091 3 жыл бұрын
Kaingiza watu chaka
@ibrahimjobu9141
@ibrahimjobu9141 4 жыл бұрын
Ngoja nifanye utaratibu wa kujiunga na CIA au FBI
@piustombili9921
@piustombili9921 4 жыл бұрын
nilifikiri umetuacha mwambaa kuna asiku tulipewa story na mtu mwingine tukamind "sasa twende kaziii"
@BONGOFASTA
@BONGOFASTA 4 жыл бұрын
Hahaha hapana nimerudi mwenyewe.
@suleimankhalfan6938
@suleimankhalfan6938 4 жыл бұрын
Na DDA wanakazi gani ndani ya USA
@amisindondi4549
@amisindondi4549 4 жыл бұрын
hivyo ndio vitu vya maana broo usiwe kama midle Simba
@BONGOFASTA
@BONGOFASTA 4 жыл бұрын
Hahaahaha
@amoslumponya8584
@amoslumponya8584 4 жыл бұрын
Middle ni mke wa diamond
@greysonchoga8784
@greysonchoga8784 4 жыл бұрын
Acheni ujinga middle simba ni moto mwingine ule
@dizzonofficial2600
@dizzonofficial2600 4 жыл бұрын
Kila mtu na uwezo wake but middle simba ni atariii
@chichmlol465
@chichmlol465 2 жыл бұрын
Umbea ndo anauabudu
@kareisindilo2776
@kareisindilo2776 4 жыл бұрын
huwa napenda kufatilia bongo fasta fanya kuleta historia mosad majasusi wa Israel
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 4 жыл бұрын
Wale watu ni zaidi ya hatari
@BONGOFASTA
@BONGOFASTA 4 жыл бұрын
Nitawafatilia hawa jamaa kisha nitaleta hapa
@suleimankhalfan6938
@suleimankhalfan6938 4 жыл бұрын
S.W.A.T tupe maelezo yake next
@47kyon
@47kyon 4 жыл бұрын
Bro dollar 48'000 sawa na milion 11 za kitanzania???? Duh!
@ernestmbwana6282
@ernestmbwana6282 4 жыл бұрын
Dola elfu 48,$48000 sawa na mili 11 za kitanzania?? Kaka umetumia rate gani ya Wizara ya fedha au BoT ..
@adventurous_bernard726
@adventurous_bernard726 4 жыл бұрын
We utafilisi bank kwa izo rate zako.
@jumahassan3639
@jumahassan3639 4 жыл бұрын
Nimependa ulivo fafanuwa FBI na CIA
@akhamedimaster6400
@akhamedimaster6400 4 жыл бұрын
Na kile kukos kuitwacho Swate
@BONGOFASTA
@BONGOFASTA 4 жыл бұрын
Hiii video inakuja hivi karibuni.
@shabanijuma2085
@shabanijuma2085 4 жыл бұрын
Ayatuhusu.
@BONGOFASTA
@BONGOFASTA 4 жыл бұрын
Asante kwa maoni yako,je ungependa tuweke video kuhusu nini?
@shabanijuma2085
@shabanijuma2085 4 жыл бұрын
@@BONGOFASTA Mambo yetu Kama Tz uzalendo kwanza.
@baltzrluus3287
@baltzrluus3287 4 жыл бұрын
BONGO FASTA Busara yako itakufikisha mbali sana bro,utavishinda vikwazo na wapuuzi kama hawa.
@susanruo8087
@susanruo8087 4 жыл бұрын
@@shabanijuma2085 kama haikuhusu wewe si upite tu... Maana wengine kama sisi inatuhusu... Unataka kumkatisha Bongo Fasta tamaa lakini uko chini sana
@josephnchama9792
@josephnchama9792 4 жыл бұрын
@@shabanijuma2085 we ni msenge mmoja tu
@masebtommy1863
@masebtommy1863 4 жыл бұрын
CIA wanakubali raia wa Nchi yoyote?
@BONGOFASTA
@BONGOFASTA 4 жыл бұрын
Hapana nadhani hata wahamiaji hawatakiwi
@kassimramadhani3321
@kassimramadhani3321 4 жыл бұрын
@@BONGOFASTA CIA wanakubali raia wa nchi yoyote ile duniani, lakini hadi awe amekidhi vigezo vyao wanavyovihitaji pia kutokana na jukumu ambalo watampa. Kwanza mtu huyo watamfanyia vetting kwa muda wa miaka mingi hadi waweze kumuamini na kumuajiri. Mtu huyo anaweza kuwa amewahi kuhudhuria mafunzo ya ujasusi nchini Marekani au kwenye nchi yoyote ile duniani. Pili wataangalia mahusiano yake na Mashirika mengine ya kijasusi pamoja na makundi ya kihalifu ili baadae asije akawa msaliti au mzigo ndani ya shirika. Wakati mwingine wanawapa kabisa na uraia wa kwao Marekani ili iwe rahisi kwao kukumiliki moja kwa moja. Kabla ya kumuajiri mtu wamtakaye kutoka katika nchi yoyote ile duniani, huangalia chimbuko lake, asili yake na mengine mengi ambayo wao watayaona ni muhimu kwao. Wapo baadhi ya watu kutoka kwenye vyombo vya Ulinzi na Usalama kwenye nchi tofauti tofauti wameajiriwa na CIA kwa siri. Wengine hawakuwahi hata kufanya mafunzo ya ujasusi nchini Marekani au hata kwenye nchi zao. Na endapo utaanza kuvujisha siri kuhusu wao basi watasitisha ajira na wewe na hata kukudhuru. Uvumilivu, usiri, kujituma, elimu ubunifu, unyumbulifu etc ni baadhi ya vigezo. Pia huandaa vijana wa kuwaajiri angali bado Wadogo, pia wahamiaji wanaajiriwa kwa kufuata vigezo na utaifa wake pia. Kwa hayo machache yanawatosha kwa leo
@kassimramadhani3321
@kassimramadhani3321 4 жыл бұрын
CIA wanakubali raia wa nchi yoyote ile duniani, lakini hadi awe amekidhi vigezo vyao ambavyo watakuwa wanavihitaji, pia kutokana na jukumu ambalo watampa. Kwanza mtu huyo watamfanyia vetting kwa muda wa miaka mingi hadi waweze kumuamini na kumuajiri. Mtu huyo anaweza kuwa amewahi kuhudhuria mafunzo ya ujasusi nchini Marekani au kwenye nchi yoyote ile duniani. Pili wataangalia mahusiano yake na mashirika mengine ya kijasusi pamoja na makundi ya kihalifu ili baadae asije akawa msaliti au mzigo ndani ya shirika. Wakati mwingine wanawapa kabisa na uraia wa kwao Marekani ili iwe rahisi kwao kukumiliki moja kwa moja. Kabla ya kumuajiri mtu wamtakaye kutoka katika nchi yoyote ile duniani, huangalia chimbuko lake,asili yake na mengine mengi ambayo wao watayaona ni muhimu kwao kwa wakati huo. Wapo baadhi ya watu kutoka kwenye vyombo vya Ulinzi na Usalama kwenye nchi tofauti tofauti wameajiriwa na CIA kwa siri. Wengine hawakuwahi hata kufanya mafunzo ya ujasusi nchini Marekani au hata kwenye nchi zao. Na endapo utaanza kuvujisha siri kuhusu wao, basi watasitisha ajira na wewe na hata kukudhuru. Uvumilivu,usiri,kujituma,elimu,ubunifu,unyumbulifu etc ni baadhi ya vigezo. Pia huandaa vijana wa kuwaajiri angali bado wadogo, pia wahamiaji kutoka nchi mbalimbali wanaajiriwa kwa kufuata vigezo vingi tu na utaifa wa muhusika wanaemtaka. Kwa hayo machache yanawatosha kwa leo.
@abbubaqcarmohammed5984
@abbubaqcarmohammed5984 4 жыл бұрын
Kaka vi kuhus muendelezo wa stor ya fider casto yaan part 2 itakukuwepo au ndio bas?
@jumabusabi4081
@jumabusabi4081 4 жыл бұрын
Fbi n wapelelezi baada ya tukio, na CIA n wapelelezi kabla ya tukio
Incredible Dog Rescues Kittens from Bus - Inspiring Story #shorts
00:18
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 35 МЛН
1ОШБ Да Вінчі навчання
00:14
AIRSOFT BALAN
Рет қаралды 5 МЛН
Angry Sigma Dog 🤣🤣 Aayush #momson #memes #funny #comedy
00:16
ASquare Crew
Рет қаралды 48 МЛН
The FASTEST way to PASS SNACKS! #shorts #mingweirocks
00:36
mingweirocks
Рет қаралды 13 МЛН
Hivi ndivyo ISRAEL walivyousuka MPANGO wa kumuua ISMAIL HANIYEH nchini IRAN
15:31
Incredible Dog Rescues Kittens from Bus - Inspiring Story #shorts
00:18
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 35 МЛН