@@EstherMedda me ingekuw natumia MB nicnge sikiliz lkn WiFi ya bure naskiliz tu mpk ifike pzr
@monicahndirangu67644 ай бұрын
Likes Kwa forest na jesca wale tunapenda the couple
@nahimanahawa4 ай бұрын
Team jesca mpooo kumechangamka kwasasa
@DorcasMuomba-gd3sw4 ай бұрын
Ila kichomi Pamela yupo
@mildredalivitsa11864 ай бұрын
❤Timu jesca tuendele kumpongeza forest and jesca kwa mausiano yao mpaka mwisho 🙏👍👂
@fadhiliachinda4184 ай бұрын
Wa kwanzaaa my family of Binti lisa ♥️♥️ like zangu jamani 🥰 Nawapenda sanaaaaa
@MwanatumuJumaa-rj4fg4 ай бұрын
🎉🎉🎉
@MaryRenatus4 ай бұрын
Nakupenda pia
@RoseMbuya-cn5dg4 ай бұрын
Wadau WA anko jay mpoo jay utatufunza mengi sana na simulizi mashabiki WA anko na sisa na Lisa mwala na Pamela nione like zenu kwa wingi 🎉🎉🎉🎉
@kas67544 ай бұрын
Nachukia watu wa kucomment kabla ya kusikiliza Hadi mwisho, na kama unaona siyo tamu nani kakuita chefuuuuh, Toka tupishe sisi tunaelewa na tunapenda Sana, sikiliza Hadi mwisho ndo ucomment alaaah
@ankojay_4 ай бұрын
Wasikuumize kichwa hao 😂
@RahmataMuhsin4 ай бұрын
Nikweli
@evalinekanguha87704 ай бұрын
Ankojay endeleza Hadi part 200 wasioipenda watuachie nafasi waache kututia kichefchefu na enjoy kutoka Kenya.@@ankojay_
@EdithaJoseph-zt2xu3 ай бұрын
@@ankojay_ kumbe na wewe ni disminder😂😂😂
@SyviahalexАй бұрын
Waambie waskie,wanabore sana na izo comment zao chefuuu,sisi tunaipenda iwe ya pamela jesca bora binti lisa
@TeklaNdekeja4 ай бұрын
Ankojy mapesa ubalkiwe Sana unajali wadau wako , familia mukopoa naomba Salam zenu🌹🌹🌹🏃
@agnesagnes52884 ай бұрын
Pokea salamu yangu bbygal shikamoo ❤
@TeklaNdekeja4 ай бұрын
@@agnesagnes5288nashukuru
@EliasMwakanyamale-ru9zt4 ай бұрын
Asante sana Anko jay MUNGU azidi kukupa afya njema Kila itwapo Leo kazi nzuri sana MUNGU mwema azidi kukupa afya njema Kila siku zote
@FatumaRamadan.Mwalim4 ай бұрын
Amin
@Polite9014 ай бұрын
Kiukweli napenda life style ya watu waliopo kwenye hii simulizi, naenjoy mno jamani, nashangaa wengine wanasema hainogi,aiiiiiiiii kwendeni huko, sisi tunaendelea kuenjoy na binti lisa wetu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@EdithaJoseph-zt2xu3 ай бұрын
♥️♥️
@anyessemathias26573 ай бұрын
Yaani wewe kama mimi wananikera kweli wanaomlalamikia msimuliaji kama yeye ndio muandishi sijuj wanataka sehemu zingine zirukwe ili wawekewe kwa Lisa tu
@EdithaJoseph-zt2xu3 ай бұрын
@@anyessemathias2657 kweli dear wanakera ni kama wanataka anayepika ugali aruke stage ya kusonga ugali atoe ugali mbichi😅
Asante sanaa ankojay, haki naomba Mungu wazazi wa Pamela wakubalii jesca ,juu Jessica nimwanamke hodari tena mzuri.
@avelinabaluhya28044 ай бұрын
Aoe mwingine,atoe idhini mwingine nayakataa hayo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@peninahmmbone46484 ай бұрын
Asante Ankojay listening 🎧🎧 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤
@marry-dh9bm4 ай бұрын
nimewahi jamani natumaini mtanihurumia hata kwa like tano tu
@jasminmohagthari37304 ай бұрын
Aweeeeh ulijuaje kama niko boad mda muwafaka kabisaa umelete vitu ancol❤❤❤❤
@ThurayaAlsuwedi3 ай бұрын
Salam ankojay natumai uko salama simulizi mzuri hio sana Binti Lisa kwa ivo natumai tutapata sehemu ya 79 Kwa ham kubwa ❤❤❤❤❤
@shakiramohamed88244 ай бұрын
Kuna watu wana lala Hapa KZbin 😂😂😂😂
@RoseMbuya-cn5dg4 ай бұрын
Wadau sasa itakuaje jesca na iani ni ngugu na dada huku Pamela na phoctin ni ngugu na dada apo sasa itakuaje na mapenzi ya menogaa mgonge hapo like😂😂❤🎉
@maseleenaesleen81494 ай бұрын
Sasa phostin ni nani mbona hakuna mtu mwenye Hilo jina na ngugu ni nn😅😂😂😂
@SaumuIssa-zl1vy3 ай бұрын
@@maseleenaesleen8149😂😂😂😂😂😂😂😂
@AishaFavoured3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@tinershayo61914 ай бұрын
Mama pamera mmbeya mpaka umbea unamshuka sasa tuone 79😂😂😂😂😂
@saumuhamisi92854 ай бұрын
Nko hapa Kwa kuona Lisa tulizo la moyo
@aumuelly29094 ай бұрын
Ahsante bwana anko Jay simulizi ❤❤❤
@FatmaHassankhamisi4 ай бұрын
Asante anko jey Yani siku hizi Raha tu 🇴🇲🇴🇲🎉🪑🪑🪑🎧🎧🎧
@halimahemed83894 ай бұрын
Ahsante Anko jay🎉🎉🎉 ndo kwanza mambo yananoga
@mariamsaidi16584 ай бұрын
I miss Lisa na watoto wake❤
@user-hu5qi4nl1i4 ай бұрын
Me toooo😊
@زينزوادي4 ай бұрын
Kituhiko jamani asante kakayetu kipezi❤❤❤❤
@PatricalBeti4 ай бұрын
Much love from Omani 🇴🇲❤❤
@tinershayo61914 ай бұрын
Ndio maana nakupendea hapo tu Anko🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@ZabibuHassan-ci5vz4 ай бұрын
Namm leo nmekua top 50 jmn wanafamilia msinitenge mnilikei namm hata like 5 tuu nitafurai😊
@a0_quran4 ай бұрын
Oman like zenu tafathal
@hamidabaliyanga25844 ай бұрын
Asante sana Ankojay tuko pamoja ❤❤
@marryofficial91434 ай бұрын
Anko sjachelew jmn mjengon🥳😁
@jinaanhkareem36504 ай бұрын
Wa mwisho like zangu pleas team strong from dubenga gonga like kama zoteeeeeeee
@elizabethkeli9564 ай бұрын
Wow thanks alot ❤❤❤
@MamaFei-o2i3 ай бұрын
kusema kwel sipendii penzi la Pamela na iyani hata kdg😏😏😏😏
@PrinceAmos-y8t4 ай бұрын
Uwakika sana master 🎉🎉
@kimzymamy65944 ай бұрын
Shukran snaa anko jay❤❤❤❤❤🎉
@mirnababy50124 ай бұрын
Leo wa 94 duh happy😊
@EdithaNgowi-em5bp4 ай бұрын
Asante ankojay hadithi zako zinatufundisha .
@christinemwendejuma44014 ай бұрын
Much love from Kenya
@saumukambi85624 ай бұрын
Nakuwa wakwanza Anko naomba Zawadi yang❤❤❤❤
@reginarichard33494 ай бұрын
Ancle na jomba asante ni sana kwa mwendelezo ❤❤
@fatimafoaani22632 ай бұрын
Nice story be blessed anko Jay wetu ❤❤❤🎉🎉🎉
@susansamira81374 ай бұрын
Barikiwa kaka Ankojay
@mwanamisikifogo8693 ай бұрын
❤❤❤ aaaaaah haditi nzuri san
@Salma-zi6hn4 ай бұрын
Love you uncle wetu bikraaa
@EuniceEunice-d4o4 ай бұрын
Hoyoooooo
@rizikibakari35984 ай бұрын
Thanks Ankojay wetu ❤️
@GetrudShayo4 ай бұрын
Hata mm Leo nimewahi like nimekua wa 45
@mariam-yw3nn4 ай бұрын
Nipeni like jamani na mimi nawapa
@MishyYusuph4 ай бұрын
Japo nimechelewa ila nimo, Ahsante sana Anko kwa muendelezo wetu huu mzuri wa bint Lisa, usisahau bado tuko pamoya, Ankoo much love ❤.
@EstherEmmanuelZakayo4 ай бұрын
Yaan mashabiki wa anko jay wana vigeu geu kwa sasa mnasema mletewe chesta na eliza wakati ikifika kipande chao pia mtapachoka hii simlizi kila epsod lazima walohusika nao wawe na kipande chao na kila mtu kwenye episode apitie mateso yake kuweni waelewa jaman tunajifunza pia wote wahusika wa simlizi hii wapitie vipande vyao
@ankojay_4 ай бұрын
nisipo leta wanaanza kulalamika 😂😂😂 acha nayo, we Enjoy
@EstherEmmanuelZakayo4 ай бұрын
@@ankojay_ hakika labda wamesahau kuwa kila muhusika kwenye simlizi tupitie history yake
@alineumutoniwase96674 ай бұрын
The first time namaliza iyi sehemu hawamzungumziyi pamela namapenzi yake afadhali
@SophiaStanley-tb1ct3 ай бұрын
Jaman anko j tunaomba binti lisa 79
@GloriaMduma4 ай бұрын
Ungeweza kutafsir za kihind au za kiphilipino uwii tungetamba
@TatuHamis-rk6gh4 ай бұрын
Nzuri sn anko j mapesa
@asumthamanyahi52554 ай бұрын
Thanks nimewahi leo
@nellylewa44573 ай бұрын
Asante ankojay lkn tumemiss Lisa na alivn ❤❤❤❤❤
@WinniePretty-t1v3 ай бұрын
Forest na dadake wanachekeza 😂😂😂 familia ya Trisha Wana mdomo mbaya sana daah
@monicahndirangu67644 ай бұрын
Likes Kwa ankojay Kwa simulizi nzuri
@OmanTaqah-u5y4 ай бұрын
Duuuh wa 62 haya na mm like zangu
@ornellaniyongabire44874 ай бұрын
Angalau leo nimekua wa 74🥰🥰🥰
@mariammalembo55693 ай бұрын
Anko umekuwaje Lisa sehemu ya 79 au ni Mimi tu ndo sijapata tukumbuke❤
@user-ex6je2uj8s4 ай бұрын
Jamani leo sijachelewa sana naombeni like zenu 10 ty😢😢
@fatumamatano82164 ай бұрын
Ubarikiwe Anko j we love u
@victoriangasa4 ай бұрын
Thanks you Anko J mapesa wetu ❤❤🎉🎉🎉
@WwEe-qc7tc4 ай бұрын
waaoow bado moto unazidi kuteketeza chaka mbona machaka yote vilivyomo vita jutia kujificha na kupata maskani humo maana sio kwa kuteketea huko mbona wazazi wanaingiwa na baridi badala yakufurahia kama kuna kitu mihupenda niwatu kama Jesca na forest waluvyo anza maisha ya ubabe kisha kukoleza penzilao na kwakuwa limekolea moto sasa nikulipigania tuu hapa ndoa naiona nawatazi wafurahie matokeo kwani matarling ni wana wao na ni wamoro sanaa