Kila kazi inachangamoto zake,kilichotokea hapo limetokea tukio halisi na hii ni baada ya kanzu kumtega mpoki na kutengeneza uhalisia zaidi hata ya script yenyewe,kazi nzuri hongereni na poleni kwani ndiomaana halisi ya kazi.
@ahmadsimba4969Ай бұрын
Chupa pia imepasuka kweli
@abdulswamadfakih7327Ай бұрын
Sisi huku ZANZIBAR tukimpelekea mgonjwa uji au chai Chupa hueka katika mkoba au mfuko kwa Sitara Zaid hapo mpoki unatufahamisha kua tusitiri Zaidi maana kama tutabeba kama ulivo beba ww yanaweza kutokea matatizo kama hayo
@LazaroBenjaminАй бұрын
Ila watu uelewa wetu mdogo hua mnachanganya masuala ya Imani na utamaduni.Mavazi yanatambulisha tamaduni za watu na sio dini,ila dini inaweza weka utaratibu fulan unaoweza ingilia na utamaduni.Kanzu ni vazi la watu wa Arabuni na mashariki ya kati ndo maana ata sisi WAKRISTO tunajua kua YESU KRISTO alivaa kanzu maana ni tamaduni za wayahudi kama jamii ukiachilia mbali kua pia Uyahudi ni dini.
Yani Leo nimechk mbk nimejikojolea mamaang tn kahaaa jmn ukifa nastrees umeamua
@lucresiashee12892 ай бұрын
Nisindikize kwa mgonjwa wangu 😀🤣🤣🤣
@issajuma19482 ай бұрын
Wakwanza leo
@smstore553511 күн бұрын
😂😂😂ila mpokiii
@AdamClassic-uj9ed2 ай бұрын
Kwa Mbaali Nasikia Sauti Jaman Muacheni Aende Huyo 😂😂😂😂
@priskusoissoАй бұрын
🎉🎉
@leonardmhagama5828Ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@mariawasadАй бұрын
Umeona msiizalilishe kanzu
@Omarymgaywa2 ай бұрын
Ety mkanda hauna rangi 😅😅😅😅😅😅😅
@NaseebuHussein20 күн бұрын
Haki yamungu nimejikuta nacheka kwa sauti😅😅😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
@GodfreyMsisi-dn2gtАй бұрын
Watu humu ndani wana complain kuhusu kanzu wakat huku dubai wanaingia na kanzu night club amaa kweliii bongo n mkia wa fisi
@drmahwa81666 күн бұрын
Hujaisoma bibulia wala qur an ndiomaana huelewi
@bilsonstewart2661Ай бұрын
😂😂😂 Noma kweli
@saumodzumbo9671Ай бұрын
😂😂😂😂😂 ostadhi nae hatariii
@Seat_cover98Ай бұрын
Nimesikia Muacheni aendeee huyoooo
@liylahahmed82913 күн бұрын
Iyoo mitamaa😂😂😂😂😂😂
@shillaedmundАй бұрын
Daaah 😂 Mpoki jau 😂😂😂
@alextzmmary51212 ай бұрын
Chupa imepasuka kweli 😂😂😂😂😂
@AmusedAstronomicalModel-lq3yu2 ай бұрын
Hata mimi nilijua anauza kasusu
@IbrahimHassan-ex7snАй бұрын
Mkanda huna rangi
@musaamos2431Ай бұрын
Eliudi mapema
@henrygwalema18602 ай бұрын
Ila Eliud, haiwezi kukuingia akilini😂😂😂😂
@ronaldreagan7772Ай бұрын
Gawa vikombe
@HamisiBatyli3 күн бұрын
Hahahahah
@KhadijaKhatibu-rp2ps2 ай бұрын
Asakazalilixha kanzu kivp kwan kakaa uch
@user-tx4bk9rx7n2 ай бұрын
Mzee mate basii
@dnashkiba90108 күн бұрын
Mwanangu mzazi😂😂
@Kuminamoja19952 ай бұрын
Umeanguka kiukweli
@selemanmaganga-le4zg2 ай бұрын
Ilo teke sasa!
@SeifbrownАй бұрын
😂😂😂😂😂😂 mpoki 😂❤
@pierreh2552 ай бұрын
Kweli huku Tanga 80% ndo pigo zao izo
@LinuslusianLinuslusian2 ай бұрын
We mshamba sana kavu vazi ls waharabu kwenye joto kali
@AHMADA5152 ай бұрын
Sio waharabu ni waarabu
@mohammedsalim3315Ай бұрын
Ata yesu alivaa kanzu na kofia .
@hemedrashid2921Ай бұрын
huyooo ni ng'ombeee sanaa tu kukaaa town umeshauu babu zako kijijini kwenu wanavaa kanzu kunyweaaa pombeee 😂😂😂
@mfaumeseif587221 күн бұрын
Gawa vikombe 😅
@JamesJulius-po2ue2 ай бұрын
😁😁😁😁😁
@musaamos2431Ай бұрын
😂😂😂😂mpoki unajua naskia muacheni aende
@user-xg7tv5je6bАй бұрын
😂😂😂😂😂😂 maclegan
@annakessy606010 күн бұрын
😂😂😂😂
@jacquelinefabian62172 ай бұрын
Jaman eliudi😂😂😂
@nemesapollo48462 ай бұрын
😅😅😅muuza alikasusii
@msamgunda7684Ай бұрын
kwan ,wauza alkasusi lazima wavae kanzu?
@salehkhalfan7345Ай бұрын
Wavaa kanzu na Kofia ndo wauza Alkasusi?
@SalehChogero2 ай бұрын
Nimexheka hatar
@user-jk2ov7qs3kАй бұрын
basi huzi alikasus😂😂😂
@abdallahkambangwa7215Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 Mpoki
@user-lk7bb6nd1sАй бұрын
Uji umekuwa maziwa na chupa yapasuka kweli
@mbanimohamedi6900Ай бұрын
Lete na hiki 🤣🤣🤣
@jessicaanania6326Ай бұрын
😂😂
@OmaryhusseinOmaryhussein-vi5kq2 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@user-uy8si7zg8rАй бұрын
😂😂😂😂😂😂
@bankbudha2863Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@SmartVicenzoАй бұрын
Awa jamaa noma kweli 😆😆😆😆
@user-xg5se4sy2t2 ай бұрын
Mbona mumezalilisha vazi la kanzu jamani kueni hata na adabu
@vinny.morales2 ай бұрын
Acha itikadi za kindezi
@ikabako24542 ай бұрын
Kanzu ni vazi la asili la waarabu na wakazi wa mashariki ya kati wala halina ishu yoyote
@RomanMwinyi2 ай бұрын
We vip Kuma nn sasa wame zalilisha nn apo chokoweee
@MilloWamilonga-ft8ir2 ай бұрын
Hujui kitu wewe pimbi. Kanzu ni vavi kama vazi lingine tu haliusiani kabisa na dini yoyote. Ukitaka kujua subiri wakati wa hija kule Makka uone ni nani katika mahujaji aliyevaa kanzu. Acha ubwege.
@magembekisabo96322 ай бұрын
Huna akili na wewe kanzu ni vazi la kushindia uarabuni wewe unasema la heshima🤣🤣🤣