Daaa hu mkaka namuoneya uruma, mapenzi Yana uma😢😢 anagoma kuongeya, Mungu atampatiya mke mwingine bora mwenye anajielewa❤
@wilsonmalosha3337Ай бұрын
Jamaa hivyo kabisa, Demu mwenyewe wala hana mvuto wowote. Huhitaji kulazimisha penzi
@EstherMulindwa-fp3mlАй бұрын
Kesho ya mtu inajuwa mungu😢😢 Mr Uky ipo Siku uta posty huu mdada akiomba msama tena kwakupiga magoti, andika iyo😢
@doctorsalmaclinic22 күн бұрын
SOMETIME UNAFANYA KWA KUMTETEA MTU ILA ATAKUJA KUOMBA MSAMAHA
@Rehmathathman23Ай бұрын
Aniii nimecheka hapo mwishoni eti "Marry hatujui wootee"😂😁🤣🤣🙌
@EsterMjanja14 күн бұрын
😂😂😂
@darenhussein7839Ай бұрын
Hiii ata mimi siamini kama ni kwelii watu wana roho mimi mbona huo mda siwezi kua nao wa kumfata mtu hivi nakudhalilika kote uko ila wanawake hapana 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@elibarikimwanyama7246Ай бұрын
Daah imeniuma sana yan wanawake ndo mana mnauwawa na kutupwa kwenye vipreft
@SoohiedavidMasikaАй бұрын
Njoo kwangu kaka mi yatima ya mapenz😂😂😂
@SaudSaif-bj4hkАй бұрын
Mafalla😂
@BakariMapua-t9u18 күн бұрын
Unapatkana wap❤❤❤❤❤😅😅😅😅😅
@user-pz5xd2fc5dАй бұрын
Hii Dunia bilaa sisi hawezi kunoga na sio salamaaaa🎶sisi sasa😂😂😂😂
@user-pp9mp1pz9fАй бұрын
Maskin huyo mkaka namuonea huruma ni mpole sana😢wanawake wengine bhna dah,yaan c wengine tunavyo teseka na mapenz mtu anapta mwanaume bdo anahangaika tu,kwel kweny miti hkuna wajenz lkn atakuja kujuta na huyo marasta.
@user-lx8nl8hh3fАй бұрын
Daah! Pole kaka angu maskini anaupendo mwenyewe
@franciscakija1702Ай бұрын
Hii inaitwa tatu mzukaaa 🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️ shkamoni wadada
@eggysulle7988Ай бұрын
😂😂😂😂
@enockmaige8936Ай бұрын
Mary,Maria😂😂 duuh hata kwenye Jua Kali Kuna Maria huko anasumbua
@mariachifupa4654Ай бұрын
Au sioo 😢
@user-fc9cx8qg4d23 күн бұрын
@@mariachifupa4654tulia 😂😂😂
@mfalmenajjash212829 күн бұрын
Kumamaake sjawai kuona hii 😂😂😂😂
@hashimrweabula9Ай бұрын
Baadh ya Wadada wasengee sana duuh noma sanaaa
@user-wp3hw5hd2eАй бұрын
Mwana man u anatia huruma na kasaut kake jaman ila ni handsome
@abdul-hamidali65342 күн бұрын
Merry anaipigisha tu yaaani juzi tu alikua Kwa mshakaji tena kuamkia jana😂😂
@diva_20162Ай бұрын
Sema huyo kaka wa Man U mstaarabu sana,,, ila huyo mwanamke litamkuta jambo aseee
@AsenathBeganio-oc8tfАй бұрын
Hiv nikweli jaman au move na kama kweli njoooo unifanye challenge na mimi mpenz wangu jaman
@juliethsanga873015 күн бұрын
Haya ni maigizo jamani mi Ndo merry. Inatosha mmenitukana sana mimi siko hivyo ila nilikuwa kazini. Mi nimwigizaji jamani Vp naweza kukaza. Sisi ote hapo ni waigizaji
@mossesramadhani50119 күн бұрын
Movie alafu sio wabunifu
@saidshaban811018 күн бұрын
Wanawake ni noma Sana kiukweli inauma Sana duhhh
@RaymonDberthaАй бұрын
Huyu mdada namwonea huruma sana, kitakacho mkuta hata amin kwenye maisha yake
@3leggedbird222Ай бұрын
Mdada mbibi😊
@richardjohn-uj2gq14 күн бұрын
Mnafanya maigizooo nyie😂😂
@Aisha-qg5mjАй бұрын
😂😂😂😂😂 kaacha mume mzurii rasita iposiku nawe utageukiwa tu
@ElizafidelisElizaАй бұрын
Jmn nmecheka kaka mbav zinauma mr uky et Mary hatujui wote😂😂😂😂
@immaculathaemmanuel8240Ай бұрын
Hunifikii mimi nilivyocheka😂😂😂
@user-wh6bs7cm5pАй бұрын
Najiuliza tu huyo bodaboda kamtafuta Mr UK sangap na mwenye mpenzi sangap had waende kufumania
@user-cv4jb1bm6iАй бұрын
Sikuhizi wameshakuwa wadananda ye ns kiredio
@user-wh6bs7cm5pАй бұрын
Kwakwel ya Leo cjailewa but bando langu huwa linaishiwa kwao so wajitahid kufanya vzur
@avilamatsuva3358Ай бұрын
Eti kumsindikiza kwenye chocho zote hizo apo tumepigwa 😂😂
@AgnesDavid-et3znАй бұрын
Namba si zipo dk zako tu unampata
@user-pk4ov4cy5cАй бұрын
hapo mmetudanganya jamani mr uky
@glorymanga3650Ай бұрын
Etii usiifunge mlangoo😀😀😀😀😀
@JuliethbrysonАй бұрын
We kaka mm yatima wa mapenz muache marry njoo kwang bn haelewik hyo na hajitambui
@innocentcareen818Ай бұрын
Merry Malaya khaa😅
@garigajoelgesegeti6493Ай бұрын
Kijana wa manchester united tafuta pesa hao wapo wengi wamejaa wengine bado hawajazaliwa . najua kaumia sana. MAPENZI WEWE😊😊😊😊
@PendoDavid-yl7prАй бұрын
Heri mchawi kuliko BODABODA mmbeya🤣
@youdyaАй бұрын
😂😂
@majaliwamussa9268Ай бұрын
Zinaa imekithiri hadi imekuwa inatangazwa kwa nguvu zote, hakuna aibu siku hizi
@rosemilingi7860Ай бұрын
Cjui ni seme nn from Kampala
@user-sy4yj5ci3jАй бұрын
Iyi m'metengeneza!siyo ya uwalisiya
@user-kc8sf6vg8k18 күн бұрын
Dem mwenyewe sasa 😂
@IrakozeJuliette-so1iuАй бұрын
Kali ya mwaka iyi sasa
@nurdinallymassagamohammed393918 күн бұрын
Kmk Mary mkavu kabsah doh
@stelabrent605621 күн бұрын
Kaka wawatu anaupendo jamni wanawake ni mtihani mbona mungu akupe moyo kaka utapata mwanamke mwema
hiii Mr uky umetupigaaaaaa mbaya acheni kutengeneza story
@vancy_crazy22 күн бұрын
Dem mwenyewe mbovu 😅😅😂
@user-pj4jw7jd6e17 күн бұрын
😂😂😂😂 daaaaa huyu dada ni ukoo wa Ali-shabb
@GraceNgidoАй бұрын
Jamn leo nimeamini wanawake kwann tuliitwa ndugu wa shetani jamn ...😂😂
@AishaMwarabuАй бұрын
😂😂😂😂😂😂nmechka nakuanguka
@FatmahAnwar-fp9wqАй бұрын
Sawasawa nyinyi wanaume si pia nihivohivo mukipta mschana mpya wazamani wasahau gud work mery🥳
@user-vw5bz6eh8sАй бұрын
Uyo Dem Ana Nyodo mamae Kuna Wakuudumia na Wakupewa mahaba
@Humanity21216Ай бұрын
Mr Uky ;Mary hatujui wote 😂😂😂🤣,, kauli imekaa kinafki sana
@rahymaaa4357Ай бұрын
Dah wallah eti tokeni nyumban kwangu na maji kamwangiwa aiseeeh 😢nimeumia saaana alafu kijana msitaarabu tu vizuri jmn maskini
@ibraoman2745Ай бұрын
Nimelia sanaa
@EstherMulindwa-fp3mlАй бұрын
Nimerudiya tena 😢😢 daaaa inaniuma Sana 😢😢 kunasiku hu mdada atamuliliya.
@QuuenMelodyАй бұрын
uyo namjuwa uyo mkaka mwenyw dred
@user-gp6ce1wn5tАй бұрын
kwakweli
@yasirsaid846422 күн бұрын
Michezo hiyo.. wote nyie mnaact
@felicianboss6953Ай бұрын
duuh huyo dada kamkataa jaman 😂😂😂ila anacomfidance°°kama zote
@user-sz3rj5bv7qАй бұрын
Pole bro 😢😢
@alexramadhani6660Ай бұрын
Hii move inaitwaje wazee😂😂
@HappyShirima-r4m21 күн бұрын
Yan alafu baadae utasikia wanaume hakuna wakuwaoa kumbe ashaolewa na maneno
@user-np2tk1jy1tАй бұрын
Mwanamke ajawahi penda ana shawishika. Ata na vyombo vya ndani apo kapenda nywele
@Rizikialiamechannel763Ай бұрын
Cjui ni coment nn from Oman 🇴🇲
@UmayyaNkya-ze3riАй бұрын
Kapike tuu kubusi za ucku mwaya😂😂😂make ya huko tz yanaumiza af yanachekesha wabuyeee😀😂😂😂
@Rizikialiamechannel763Ай бұрын
@@UmayyaNkya-ze3ri😂😂😂😂
@modestagobe867824 күн бұрын
Sisi wanawake sijui kwenye maisha yetu sijui tunataka nn
@majaliwamussa9268Ай бұрын
Bongo udaku mwingi, .......
@mariakibusi5914Ай бұрын
Kitu Zima Hilo dada halina aibu fyooo mkavuu
@adammasumba517919 күн бұрын
Haya mambo naonaga kweny movie wanangu daaah sijafnyiwa mm lkn inauma xna 😢
@angelsaid7869Ай бұрын
Marasitarasita ya ajabu 😂😂😂 tokeni nyumbani kwangu nyot awajui😊
@user-zv2rw1sm1sАй бұрын
Duh pole sanaaa kak ake jamni mwanamke mkavu huyu
@user-wd6wh2cl8nАй бұрын
Jamani mapenzi yaacheni2 ila mie nitabaki nitabaki na mapenzi ya mwenyezi Mungu maana mapenzi ya wanadamu nfo kama hayo mnayoona leo GALINDE kesho YUSUPHU😅
@sahraabdallah7242Ай бұрын
Sijuhi wanawake Mungu atatuchoma na moto wa nini dah!😢😢 dada mkavu kabisaaa pole mwamba
@user-vz4xv7lg3xАй бұрын
😂😂😂😂
@simonlungu8930Ай бұрын
Sio kweli ni ya kutengeneza
@fistonnibigira167Ай бұрын
So sharp guys hair bro sorry man🇿🇦🇧🇮
@Hustling_everydayАй бұрын
Bora tu mwamba kaujua ukwel yani ....wanawake jau sana ...believe 😢
@HappyGervas-kd9puАй бұрын
Mary ruka sana,kata sana vina mdaaaaaaaaaaaaaaa dada yatakukuta
@VictaMsodoki17 күн бұрын
Mchaga umeachwa ao ndo kna marry😢😮😅😊😂
@zinatybenАй бұрын
Mr uky 😂😂😂😂 et mArry hatujui wotee😂😂😂😂😂
@user-wh1ri3to8hАй бұрын
Sema mme igiza vzur
@saidshaban811018 күн бұрын
Muendelezo please
@kelvinchadulaga310Ай бұрын
Eeeeeh mwanamke mkavu kabisa😅😅😅
@OmanOman-ru4euАй бұрын
😂😂😂😂😂 mr uky
@YasintaMinja-ob1ntАй бұрын
Mr uky jmn😂😂😂😂😂😂
@user-vv5pf4rj9wАй бұрын
Umbea tu kuoga aaah
@user-fg3cf2eh9yАй бұрын
Wabana pua wa Dar bhana. Ila hii challenge ujinga mtupu
@moureennyarusai536Ай бұрын
Kaka mweny tshirt nyekundu ❤❤
@user-bo3te8qm1lАй бұрын
Mwanamke huyu anatamaa sana anaonekana ndyo wanakufaga vibaya mbwa huyu
@Defoxeb255Ай бұрын
Mr uky kimekurambaaaaaaaa leo
@officialijangАй бұрын
Hahahah Mr UK 😀😀 Merry Hatujui wote
@enalamichael4436Ай бұрын
😂😂ata mm nisingewajua 😂 kbasaa dunian wawil wawili bhana
@user-ci2cc9kx8lАй бұрын
Kabisaaaa😂😂😂
@MuksiniTv-tk2jqАй бұрын
Mr uky unaroho mbaya sana😃..😃😃😃😃😃
@user-fe5rc4sc7tАй бұрын
😅😅😅😅 amewakataa wote
@SylvestersenkoroАй бұрын
Sema wambeaa tupo wengi hahaha watu buku nne kddki 😂😂
@JohnGembeNyanqura-no7ecАй бұрын
I see 😂😂😂hii Kal sana nimependa bro alivyosema unaniacha kisa marastarasta
@JescaMwagama-oc9ytАй бұрын
muv mwisho wake itasemaje
@sarasaraz-vn1vlАй бұрын
😂,😂 ebu ngoja nitafute pesa hayo madude yanaumiza sana
@LuciaMsabilaАй бұрын
Kina maria 😅😅😅😂
@user-fc9cx8qg4d23 күн бұрын
Mr UK mnafiq mno jamaniiii 😂😂😂😂😂
@user-ln4he3yp5lАй бұрын
Merry hatujui wote nimecheka sana
@user-fe5rc4sc7tАй бұрын
Eeeh mapenz nyoko
@MadenaIphoneАй бұрын
😂😂😂meri Hawajui wote dadamkavu macho
@LilanKeruboАй бұрын
🤣😂😂😂amesema hawajui nyote
@hurumaanyisile1918Ай бұрын
Marry weeeeee😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂 nmecheka
@karoliyege157Ай бұрын
Majina ya merry nomaa
@angelraizam7683Ай бұрын
Da!dada wewe Mungu anakuona 😢😢
@sabrinamwampiki6456Ай бұрын
Bodaboda wakupiga haswaaa, umbea utamponza
@user-vz4xv7lg3xАй бұрын
😂😂😂😂
@user-yo9eg5zi2dАй бұрын
Masikini hyo kaka wa jezi...mi ningemchagua masikin