#EXCLUSIVE

  Рет қаралды 47,014

Bongo Boxing Safari

Bongo Boxing Safari

9 ай бұрын

#EXCLUSIVE: SALIM MTANGO AMUOMBA MSAMAHA MWAKINYO - "HANA HELA, SIJUI HATA TUNAGOMBEA NINI"
BONGO Boxing Safari tumefanya mahojiano na bondia Salim Mtango kuhusiana na maisha yake ya ngumi na ugomvi wake na Hassan Mwakinyo.

Пікірлер: 123
@kitutujuma9602
@kitutujuma9602 9 ай бұрын
Mwakinyo star tz in boxing this time. Maana interview nyingi yy muhusishwa.
@habibuhabibu9728
@habibuhabibu9728 9 ай бұрын
Mwakinyo ndo champez Tz one xaxa lazima mmuongelee xana
@irenemwewe3566
@irenemwewe3566 9 ай бұрын
Kila bondia anamtaka aoigane na mwakinyo jamanii,,hii inamaanisha mwakinyo ni Bora kuliko wote
@nassibukidungwe217
@nassibukidungwe217 9 ай бұрын
Wew dogo acha kuingia kwenye mtego hao wandishi niwachonganish Sana mwakinyo hajakuzungumzia hata kidogo wew unaropokat kwenye vyombo vya habar angaria Safar yako bado una Safar ndefu ndugu yangu punguza ukari wa manen
@yusuphkwaya7843
@yusuphkwaya7843 9 ай бұрын
Uko sahihi Sana ndugu huyo Dogo katumwa akili hafifu
@user-oj7jo2st8v
@user-oj7jo2st8v 9 ай бұрын
Utapigwa vibaya wewe yule mdigo hafai ngumi jiwe
@suleimanhamza9014
@suleimanhamza9014 9 ай бұрын
Mnalazimisha sana hassan hakutaja mtu bali aligomea promotion nyingine kuingilia kati fight yake wkt hawana mahusiano mazur hayo mengine mnataka kutembelea jina lake.
@sumamelody6197
@sumamelody6197 9 ай бұрын
Sio mbaya kutembelea jina la mtu mjinga
@komboruga4271
@komboruga4271 9 ай бұрын
Sahihi
@cosmascastory9193
@cosmascastory9193 9 ай бұрын
Hajielewi mwakinyo usichanganye kazi na mapenzi
@patrickalfred3680
@patrickalfred3680 9 ай бұрын
Mwakinyo kashawapeleka mjini vijana...basi wanapaswa kumshukuru
@Mpakauseme
@Mpakauseme 9 ай бұрын
Unataka wamfanye Mungu mtu sio ?
@alexchalamila7036
@alexchalamila7036 9 ай бұрын
Kila takataka inamtaka mwakinyo a
@user-ge4cj1wh6u
@user-ge4cj1wh6u 9 ай бұрын
mwakinyo ni king atabaki kua king tu
@MichaelJames-tp6co
@MichaelJames-tp6co 9 ай бұрын
Kawaida dogo wakati wenu kusema chochote, mwakinyo kawatengenezea njia mtalipwa vizuri ni kwasababu njia imetengenezwa
@JosephBruno-gl2pe
@JosephBruno-gl2pe 9 ай бұрын
Ukweli kabisa usemacho kaka.
@user-wu9zz1bm9h
@user-wu9zz1bm9h 9 ай бұрын
Minamshauri tu mwakinyo aachane na box hapa bongo yeye apigane box na wapiganaji huko ugaibun mwakinyo ni mkubwa Kwa boxing Anajua Anajua Anajua tenaaaa mungu akusaidie ndugu yangu mwakinyo Wala usikate tamaa kilasafari haikos changamoto.biashara nzuri inajiuza Wala haihitaki matangazo mengi.mwakinyo bingwa na Anajua.
@eladymwakanyamale
@eladymwakanyamale 9 ай бұрын
Wote mnamtaka mwakinyo hiyo inadhihirisha yeye ni bora kuliko nyie,,,lasivyo piganeni wenyewe
@mohamediidrisa1259
@mohamediidrisa1259 9 ай бұрын
😊
@ikramzamando810
@ikramzamando810 9 ай бұрын
Nikweli unajua kupigana Ila ujaku bondia wakupigana na mwakinyo dogo
@sadunabdallah7303
@sadunabdallah7303 9 ай бұрын
Ifikiie wakati watanga mteteane wenyewe wa2 wa dar awatupendi banaaa
@habibuhabibu9728
@habibuhabibu9728 9 ай бұрын
Point broo
@saidmasoud9004
@saidmasoud9004 9 ай бұрын
Huyu Dogo Salim anaongea vizuri. Kaza dogo utafika tu.
@Hafidhhemed-gp1uu
@Hafidhhemed-gp1uu 9 ай бұрын
Champez usiwajibu utawapa umaarufu waache watoto waongee watanyamaza tu
@ricklandennis
@ricklandennis 9 ай бұрын
Kiukweli hawa mafia sijui ndio nimewajua kupitia mwakinyo
@cosmascastory9193
@cosmascastory9193 9 ай бұрын
Wewe sio mfatiliaji wa ngumi ndo maana ulikuwa huwajui
@JosephBruno-gl2pe
@JosephBruno-gl2pe 9 ай бұрын
@@cosmascastory9193 wewe mnafki sana mbuzi we we.
@cosmascastory9193
@cosmascastory9193 9 ай бұрын
@@JosephBruno-gl2pe unafiki wangu nini mzee baba @JosephBruno
@AbbasMwakichui-db9tn
@AbbasMwakichui-db9tn 9 ай бұрын
We waandishi wachonganishi sana ni watu fitina sana. Maswali yako ni ya ubabaishaji sana
@user-ql7fx1py7j
@user-ql7fx1py7j 9 ай бұрын
Wewe boya Sana mzee
@elizabethmajaliwa5189
@elizabethmajaliwa5189 9 ай бұрын
Kwanza kawasaidia kulikuwa hatuwajui nyie, muwe nashukrani,mwakinyo legendary hata mumchafue vipi kizuri chajiuza bana
@nurumasunga6079
@nurumasunga6079 9 ай бұрын
Mnafanya makosa sana kumfananisha Mwakinyo na hawa watoto ,nyie waandishi wa hovyo sana
@Kaweza-mu6hy
@Kaweza-mu6hy 9 ай бұрын
Wewe hujui kitu huyu capten wa mwakinyo
@nyemondagalla608
@nyemondagalla608 9 ай бұрын
​@@Kaweza-mu6hycapten kafanya maajabu gani kuliko mwakinyo?
@omarmwabege
@omarmwabege 9 ай бұрын
Hawa wanahabari wanichukiza na uchochezi wao!!-
@user-pc1uu1ri5g
@user-pc1uu1ri5g 9 ай бұрын
Mwakinyo ni bondia mkubwa sana tanzania mpeni thamani yake leo akiwa bado yuko hai, kabla ya kumlinganisha muwe mnapima huko ni kumkosea adabu
@cosmascastory9193
@cosmascastory9193 9 ай бұрын
Ana ukubwa gani sasa kenge huyoo
@Rozeey610
@Rozeey610 9 ай бұрын
We jamaa unamjua uyo salim mtango uyo salim n hatar
@abdallhabinmkasibayyat6657
@abdallhabinmkasibayyat6657 9 ай бұрын
Roho inaniuma sana kuona ndugu yangu mnakuwa mahasimu ondosheni tafauti zenu ndungu zangu.. domo zege mtatuweka makundi sasa
@DicksonMsenga-sh2kb
@DicksonMsenga-sh2kb 9 ай бұрын
Fund Wa ngumi unajua sana Salim mtango
@user-yy5qf4gz6q
@user-yy5qf4gz6q 9 ай бұрын
Mtango mdogoangu hongera sana
@MultiKelvin1994
@MultiKelvin1994 9 ай бұрын
Kwahiyo umeenda kumhoji jamaa kuhusu Mwakinyo... Yeye hana michongo yake binafsi 😅😅😅😅 Halafu dogo yupo sahihi bondia aseme kama ana concern mapema Mwakinyo alisema day 1 alipopata tu taarifa... Ila kale kazee katapeli kakampiga changa la macho... Yule babu wa Paff ni moja ya matatizo makubea kuwahi kutokea kwenye Boxing ya Bongo
@cosmascastory9193
@cosmascastory9193 9 ай бұрын
Acha kumuita mtu mzima Tapeli fara wewe
@Mosesmwakatobe-bj7rt
@Mosesmwakatobe-bj7rt 9 ай бұрын
Tapeli no tapeli tu hata akiwa mzee
@cosmascastory9193
@cosmascastory9193 9 ай бұрын
@@Mosesmwakatobe-bj7rt Sasa huyo promoter utapeli wake ni upi mbona hamsemi kwa facts toa Facts zako tuone utapeli wake
@martinbugeraa5329
@martinbugeraa5329 9 ай бұрын
God bless u brow pambana tupo nyuma yako
@user-le6co6yv5i
@user-le6co6yv5i 9 ай бұрын
Dogo nae ana bwabwaja Sana aache kulewa sifa za waandishi
@yujinxhing3766
@yujinxhing3766 9 ай бұрын
Mwakinyo kawapa airtime hawa mafia boxing Mimi nilikuwa siwajui kabda la hili sakata la mwakinyo na promota MAKOTI😊
@sumamelody6197
@sumamelody6197 9 ай бұрын
Kama una kipaji then huna akili tutaachaje kutembelea mgongo wako
@erickdioniz8277
@erickdioniz8277 9 ай бұрын
Utawajua tu aliyefichwa sasa katoka
@allysaleh2220
@allysaleh2220 9 ай бұрын
Haukua mfatiliaji wa ngumi but wafatiliaji wa ngumi tulikua tunamjua mtango long time na tunajua ndo alikua sparing partina wa mwakinyo ndomana hana hata hofu alivyoulizwa akiwekewa game na hassan coz anamjua kindani ndani
@jameschumbula7351
@jameschumbula7351 9 ай бұрын
Bado hamjasema
@law93king
@law93king 9 ай бұрын
mpaka mseme na mtasemaaa😂
@erickdioniz8277
@erickdioniz8277 9 ай бұрын
Oya kweli mm ni shabiki yako man Mungu akizidi kukujalia usibadili tabia uwe kama twaha kiduku respect
@user-bn6we3nj6t
@user-bn6we3nj6t 9 ай бұрын
Mwakinyo ndo champion
@hasanykatutuma6927
@hasanykatutuma6927 9 ай бұрын
Nimekuelewa Sana mtango
@user-lr6qx9df4z
@user-lr6qx9df4z 9 ай бұрын
Usizungushe maneno kasema yy anamabondia wake na bosi wao anapambana kwaiyo alivyosema yy alitaka mabondia wake wapigane usizungushe maneno kufanya watu wamchukie mwakinyo wacha ujinga huo dogo
@Mtazyinstrumental
@Mtazyinstrumental 9 ай бұрын
Mbona alisema mapena mafia msiwepo
@thehunter5920
@thehunter5920 9 ай бұрын
Kidunda alikuwa anaumwa ,acha kumuongelea
@Shokolokobango9385
@Shokolokobango9385 9 ай бұрын
Unaongea sana hadi nimeshindwa kuendelea kuangalia
@SingoMedia
@SingoMedia 9 ай бұрын
natamani kuona pambano kati ya Ibrahim Class na Salim Mtango.... Hao wote mafundi kwahiyo pambano litakuwa zuri sana
@bintui.mrissa.6361
@bintui.mrissa.6361 4 ай бұрын
Ni washkaji xana toka wakiwa Tanga Ibra alikua anakuja! Kwa Salim
@khamisidowany6262
@khamisidowany6262 9 ай бұрын
Wa bongo bhana kwan huyu dogo kaongea ubaya gan embu nielezen mbona kaongea vzr tu hapo ndipo ninapo amin cc wanadam ni watu wabaya sana.kwan kaongea ubaya gan jamaa
@DanfordLuhangano-wz8le
@DanfordLuhangano-wz8le 9 ай бұрын
Nakuelewa sana broo kwa misimamo yako. Unaitetea sana boxing na ni wewe uliyeifanya ikubalike zaidi katika jamii na kuiongezea thamani
@JosephBruno-gl2pe
@JosephBruno-gl2pe 9 ай бұрын
Aise uwo emeongea ukweli sana kuhusu hasani .
@ramadhanisalum3898
@ramadhanisalum3898 9 ай бұрын
Mtangazaji unaangaika bule ao ugomvi wao wanagombania utelezi lipo.wazi
@saidkizota3595
@saidkizota3595 9 ай бұрын
Mtoto laini huyo
@giftprosper2355
@giftprosper2355 9 ай бұрын
Anajua san
@user-sl1wb7wm4w
@user-sl1wb7wm4w 9 ай бұрын
Mung akuongoze Ktk safr Yako y ngumi
@user-sl1wb7wm4w
@user-sl1wb7wm4w 9 ай бұрын
Ktk watu ambao wanakutmfatilia bs nmm nmmoja wapo ust khatibu muhez
@TsTechSolution
@TsTechSolution 9 ай бұрын
Hongera kwa Gym kali. nitaifungia safari hii ili kujifunza kitu
@athumanishabani1143
@athumanishabani1143 9 ай бұрын
Mwakinyo ndio kiooo chenu
@SingoMedia
@SingoMedia 9 ай бұрын
Safi, pia msisahau kutembelea channel yangu wadau
@user-sl1wb7wm4w
@user-sl1wb7wm4w 9 ай бұрын
Khatibu haji
@user-lr6qx9df4z
@user-lr6qx9df4z 9 ай бұрын
Mwakinyo kafanya tuwajue na mabondia wengine kama hawa kama mwakinyo hajafanya vile tusingelimjua mtu kama huyu bondia mwakinyo dogo umshukuru huoni saivi watu tunakuona unahojiwa japo kua unaongea utumbo
@bintui.mrissa.6361
@bintui.mrissa.6361 4 ай бұрын
Usichokijua huyu dogo kaanza ngumi before Hassan fatilia Kwa wapenzi wa ngumi mkoa wa Tanga, Bakari mwambea , Abdallah Nyuki ,Abel Kisuse,hao wote waulize Ni makocha wakubwa mkoa wa Tanga, Nikweli mwakinyo kapata mafanikio ila ukizungumzia mafundi Kwa Karne hii Ni Salim Mtango (Messi) na Yohana Mchanja(computer). Sema wamebaniwa xana fights bongo!!!.
@xectionmchokozi7172
@xectionmchokozi7172 9 ай бұрын
Kwanza mie huyo dogo nlikua simjui Mwakinyo kaamua kuwapa wadogo zake jina wawe na respect
@nicoluskanegene5394
@nicoluskanegene5394 9 ай бұрын
Wabongo sisi ni nursing na wanafiki kwani huyo mwakinyo pia mlio wengi mlikuwa Hammerwich mpaka alivyompiga yule mzungu ss iweje mnasema huyu dogo naye ham ujuwi? Basi hapo ndio kashajulikana naye ndio mwanzo wake pia
@athumaniamiri3764
@athumaniamiri3764 9 ай бұрын
Mwandishi punguza kuongea video ya dkk 20 lkn introduction yako imekula dakika 10 nzima
@FarajiLiymo
@FarajiLiymo 9 ай бұрын
Nikweli we ni mzur sana tena we ni rollmoder wangu. Lakini we kwa hassani mwkinyo bado sana
@JayMohamed-td5lk
@JayMohamed-td5lk 9 ай бұрын
Mchezo wa boxing kwa tanga kuna ubinafsi sana hasa mkiwa hamtoki gym moja na hi imechangiwa na waazichaji mapambano wanaangalia kuwapandisha watu kwa kujuana mf: 5 brothers wa walianzisha ngumi za amacha kufika mtaa wa magomeni vijana wamecheza kumi kweli lakin wameambia kama hawatajuliunga na gym zao hawataweza kupandishw mkwakwani na kweli hawakuwapndish coz walikataa kujiunga nao
@ramadhanmapinduz1819
@ramadhanmapinduz1819 9 ай бұрын
Mtangoo chokoo 2
@richhaule9264
@richhaule9264 9 ай бұрын
Huyu dogo anaongea kwaakil sana nimemkubali
@daudinyello4033
@daudinyello4033 9 ай бұрын
HATA AFUNGIWE MWAKINYO NDIO KIOO CHETU TZ, WENGINE WATAISHIA KUPIGANA BONGO
@allyshabani7513
@allyshabani7513 9 ай бұрын
Mbona naona gali la ibra class
@SaudaMtegwa-lm8gl
@SaudaMtegwa-lm8gl 9 ай бұрын
Acha unafiki yeye uyo mtango anajua alichofanya mnafiki si anajifanya mshenga aendelee kwani lazima kumuongelea si amuongelee alie mfanyia ushenga
@daudinyello4033
@daudinyello4033 9 ай бұрын
MWAKINYO +255
@EnockMiringa-ur8yu
@EnockMiringa-ur8yu 9 ай бұрын
Ana majungu kinyo akukimbie ww
@saidkizota3595
@saidkizota3595 9 ай бұрын
Messi wa mchongo
@novatusabond9253
@novatusabond9253 9 ай бұрын
Unaongea vzr sana!
@law93king
@law93king 9 ай бұрын
messi wa ngumi mtu mbaya✊🏾
@barikislaa80
@barikislaa80 9 ай бұрын
Messi wa ngumi
@ramadhanimohamed4190
@ramadhanimohamed4190 9 ай бұрын
Jamaa ni mnafiki sana naogopeni sana mtu mnafiki
@SonMusicTz
@SonMusicTz 4 ай бұрын
Kipigwe na twhs
@Director___Mwadadu
@Director___Mwadadu 9 ай бұрын
Mtu akikufanya adui usimfanye rafiki
@athumanimanzabay1894
@athumanimanzabay1894 9 ай бұрын
Exactly Messi,upo sahihi saana champion 👏
@user-md7sd3hk6l
@user-md7sd3hk6l 6 ай бұрын
ata mufa nyeje mwakinyo mwamba
@Matatasaid
@Matatasaid 9 ай бұрын
Mwakinyo kanileta kwako rasmi mi shabiki wa SALIM MTANGO mess G.O.A.T
@user-xi4nh2ht9f
@user-xi4nh2ht9f 9 ай бұрын
Ujuwaji waikati mwingine ni kilio inabidi waikati mwingine kujitathmini tutakosa msisha
@user-yt6un3xh6x
@user-yt6un3xh6x 9 ай бұрын
Mpija ngeta wtu umeacha mwakinyo wamuweza wapi
@yasinimwibidi9805
@yasinimwibidi9805 6 ай бұрын
Kwa hiyo mtango na wewe unataka kupigana na mwakinyo au sio😂😂😂😂😂
@saidpazi531
@saidpazi531 9 ай бұрын
TATIZO LIPO KTK KUFIKIRI TU NA HILI LIPO KTK WATANZANI WENGI
@hassanissa4145
@hassanissa4145 4 ай бұрын
Mtangazaji kama lifitina fitina ivi..kuhoji kwake nikutengeneza chuki tu
@shabanimiraji5388
@shabanimiraji5388 9 ай бұрын
Sijaona tatizo hapo....ngumi ni biashara na burudani Kwa wependa masubwi....kama vp zipagweee....
@user-lr6qx9df4z
@user-lr6qx9df4z 9 ай бұрын
Yaani huyu dogo kama unamskiliza tageti yake mwakinyo
@saidkizota3595
@saidkizota3595 9 ай бұрын
Mbona floyd may weather anaongea na anawabonda acha uswahili huo
@Kaweza-mu6hy
@Kaweza-mu6hy 9 ай бұрын
Mnaomsifia mwakinyo kumzarau huyu hamjui kitu huyu dogo mkongwe kwenye ngumi msimzalau huyu ndio bondia bora tanga
@AhmedAli-uh2ft
@AhmedAli-uh2ft 9 ай бұрын
Dogo uko poa
@jumannemagawa5095
@jumannemagawa5095 9 ай бұрын
Wewe mwandishi ni mchonganishi, mwakinyo kafungiwa leo unawatembelea mabondiyo kumzungumza mwakinyo anataka ufalume wa tanga, wewe unawachonganisha. Nashukulu mtango kakujibu yeye haitaji ufalume, huwezi kuzungumza swala lolote mpaka umtaje mwakinyo, mnatembelea nyota yake huku mki msema vibaya, hiyo siyo nzuri waandishi kwanini mnamkandamiza mwakinyo? Na mkijua kabisa alizungukwa kwasababu hakukuwa na maandishi, sasa mwamshupalia kila kona acheni unafki.
@cosmascastory9193
@cosmascastory9193 9 ай бұрын
Sio upepo Mwakinyo hajielewi
@omarmwabege
@omarmwabege 9 ай бұрын
Swadaqta brother
@user-bn6we3nj6t
@user-bn6we3nj6t 9 ай бұрын
Mtango kuma tu msaliti wewee tanga hatukujuwi
@eladymwakanyamale
@eladymwakanyamale 9 ай бұрын
Wote mnamtaka mwakinyo hiyo inadhihirisha yeye ni bora kuliko nyie,,,lasivyo piganeni wenyewe
@saloomidd1084
@saloomidd1084 9 ай бұрын
hili ndio jibu,mbona hawaombani wenyewe kwa wenyewe kama viwango vyao ni vikubwa
@thefutureisnow3586
@thefutureisnow3586 9 ай бұрын
Dogo katulia sana
@user-le6co6yv5i
@user-le6co6yv5i 9 ай бұрын
Dogo nae ana bwabwaja Sana aache kulewa sifa za waandishi
ТАМАЕВ УНИЧТОЖИЛ CLS ВЕНГАЛБИ! Конфликт с Ахмедом?!
25:37
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 8 МЛН
Cool Items! New Gadgets, Smart Appliances 🌟 By 123 GO! House
00:18
123 GO! HOUSE
Рет қаралды 17 МЛН
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 77 МЛН
Salama Na MWAKINYO Ep 44 | VITASA OVERLOAD Part 1
28:02
YahStoneTown
Рет қаралды 69 М.
Salama Na MWAKINYO Ep 44 | VITASA OVERLOAD Part 2
29:53
YahStoneTown
Рет қаралды 259 М.
1,2 or 3⁉️ #football
0:11
Radheya Marca
Рет қаралды 6 МЛН
Футбол - командная игра!
0:51
Виталий Андреев
Рет қаралды 549 М.
Скромный парень наказал отморозка!
0:46
БЕЗУМНЫЙ СПОРТ
Рет қаралды 2,7 МЛН