#EXCLUSIVE: SALIM MTANGO AMUOMBA MSAMAHA MWAKINYO - "HANA HELA, SIJUI HATA TUNAGOMBEA NINI" BONGO Boxing Safari tumefanya mahojiano na bondia Salim Mtango kuhusiana na maisha yake ya ngumi na ugomvi wake na Hassan Mwakinyo.
Пікірлер: 123
@kitutujuma96029 ай бұрын
Mwakinyo star tz in boxing this time. Maana interview nyingi yy muhusishwa.
@habibuhabibu97289 ай бұрын
Mwakinyo ndo champez Tz one xaxa lazima mmuongelee xana
@irenemwewe35669 ай бұрын
Kila bondia anamtaka aoigane na mwakinyo jamanii,,hii inamaanisha mwakinyo ni Bora kuliko wote
@nassibukidungwe2179 ай бұрын
Wew dogo acha kuingia kwenye mtego hao wandishi niwachonganish Sana mwakinyo hajakuzungumzia hata kidogo wew unaropokat kwenye vyombo vya habar angaria Safar yako bado una Safar ndefu ndugu yangu punguza ukari wa manen
@yusuphkwaya78439 ай бұрын
Uko sahihi Sana ndugu huyo Dogo katumwa akili hafifu
@user-oj7jo2st8v9 ай бұрын
Utapigwa vibaya wewe yule mdigo hafai ngumi jiwe
@suleimanhamza90149 ай бұрын
Mnalazimisha sana hassan hakutaja mtu bali aligomea promotion nyingine kuingilia kati fight yake wkt hawana mahusiano mazur hayo mengine mnataka kutembelea jina lake.
@sumamelody61979 ай бұрын
Sio mbaya kutembelea jina la mtu mjinga
@komboruga42719 ай бұрын
Sahihi
@cosmascastory91939 ай бұрын
Hajielewi mwakinyo usichanganye kazi na mapenzi
@patrickalfred36809 ай бұрын
Mwakinyo kashawapeleka mjini vijana...basi wanapaswa kumshukuru
@Mpakauseme9 ай бұрын
Unataka wamfanye Mungu mtu sio ?
@alexchalamila70369 ай бұрын
Kila takataka inamtaka mwakinyo a
@user-ge4cj1wh6u9 ай бұрын
mwakinyo ni king atabaki kua king tu
@MichaelJames-tp6co9 ай бұрын
Kawaida dogo wakati wenu kusema chochote, mwakinyo kawatengenezea njia mtalipwa vizuri ni kwasababu njia imetengenezwa
@JosephBruno-gl2pe9 ай бұрын
Ukweli kabisa usemacho kaka.
@user-wu9zz1bm9h9 ай бұрын
Minamshauri tu mwakinyo aachane na box hapa bongo yeye apigane box na wapiganaji huko ugaibun mwakinyo ni mkubwa Kwa boxing Anajua Anajua Anajua tenaaaa mungu akusaidie ndugu yangu mwakinyo Wala usikate tamaa kilasafari haikos changamoto.biashara nzuri inajiuza Wala haihitaki matangazo mengi.mwakinyo bingwa na Anajua.
@eladymwakanyamale9 ай бұрын
Wote mnamtaka mwakinyo hiyo inadhihirisha yeye ni bora kuliko nyie,,,lasivyo piganeni wenyewe
@mohamediidrisa12599 ай бұрын
😊
@ikramzamando8109 ай бұрын
Nikweli unajua kupigana Ila ujaku bondia wakupigana na mwakinyo dogo
@sadunabdallah73039 ай бұрын
Ifikiie wakati watanga mteteane wenyewe wa2 wa dar awatupendi banaaa
Champez usiwajibu utawapa umaarufu waache watoto waongee watanyamaza tu
@ricklandennis9 ай бұрын
Kiukweli hawa mafia sijui ndio nimewajua kupitia mwakinyo
@cosmascastory91939 ай бұрын
Wewe sio mfatiliaji wa ngumi ndo maana ulikuwa huwajui
@JosephBruno-gl2pe9 ай бұрын
@@cosmascastory9193 wewe mnafki sana mbuzi we we.
@cosmascastory91939 ай бұрын
@@JosephBruno-gl2pe unafiki wangu nini mzee baba @JosephBruno
@AbbasMwakichui-db9tn9 ай бұрын
We waandishi wachonganishi sana ni watu fitina sana. Maswali yako ni ya ubabaishaji sana
@user-ql7fx1py7j9 ай бұрын
Wewe boya Sana mzee
@elizabethmajaliwa51899 ай бұрын
Kwanza kawasaidia kulikuwa hatuwajui nyie, muwe nashukrani,mwakinyo legendary hata mumchafue vipi kizuri chajiuza bana
@nurumasunga60799 ай бұрын
Mnafanya makosa sana kumfananisha Mwakinyo na hawa watoto ,nyie waandishi wa hovyo sana
@Kaweza-mu6hy9 ай бұрын
Wewe hujui kitu huyu capten wa mwakinyo
@nyemondagalla6089 ай бұрын
@@Kaweza-mu6hycapten kafanya maajabu gani kuliko mwakinyo?
@omarmwabege9 ай бұрын
Hawa wanahabari wanichukiza na uchochezi wao!!-
@user-pc1uu1ri5g9 ай бұрын
Mwakinyo ni bondia mkubwa sana tanzania mpeni thamani yake leo akiwa bado yuko hai, kabla ya kumlinganisha muwe mnapima huko ni kumkosea adabu
@cosmascastory91939 ай бұрын
Ana ukubwa gani sasa kenge huyoo
@Rozeey6109 ай бұрын
We jamaa unamjua uyo salim mtango uyo salim n hatar
@abdallhabinmkasibayyat66579 ай бұрын
Roho inaniuma sana kuona ndugu yangu mnakuwa mahasimu ondosheni tafauti zenu ndungu zangu.. domo zege mtatuweka makundi sasa
@DicksonMsenga-sh2kb9 ай бұрын
Fund Wa ngumi unajua sana Salim mtango
@user-yy5qf4gz6q9 ай бұрын
Mtango mdogoangu hongera sana
@MultiKelvin19949 ай бұрын
Kwahiyo umeenda kumhoji jamaa kuhusu Mwakinyo... Yeye hana michongo yake binafsi 😅😅😅😅 Halafu dogo yupo sahihi bondia aseme kama ana concern mapema Mwakinyo alisema day 1 alipopata tu taarifa... Ila kale kazee katapeli kakampiga changa la macho... Yule babu wa Paff ni moja ya matatizo makubea kuwahi kutokea kwenye Boxing ya Bongo
@cosmascastory91939 ай бұрын
Acha kumuita mtu mzima Tapeli fara wewe
@Mosesmwakatobe-bj7rt9 ай бұрын
Tapeli no tapeli tu hata akiwa mzee
@cosmascastory91939 ай бұрын
@@Mosesmwakatobe-bj7rt Sasa huyo promoter utapeli wake ni upi mbona hamsemi kwa facts toa Facts zako tuone utapeli wake
@martinbugeraa53299 ай бұрын
God bless u brow pambana tupo nyuma yako
@user-le6co6yv5i9 ай бұрын
Dogo nae ana bwabwaja Sana aache kulewa sifa za waandishi
@yujinxhing37669 ай бұрын
Mwakinyo kawapa airtime hawa mafia boxing Mimi nilikuwa siwajui kabda la hili sakata la mwakinyo na promota MAKOTI😊
@sumamelody61979 ай бұрын
Kama una kipaji then huna akili tutaachaje kutembelea mgongo wako
@erickdioniz82779 ай бұрын
Utawajua tu aliyefichwa sasa katoka
@allysaleh22209 ай бұрын
Haukua mfatiliaji wa ngumi but wafatiliaji wa ngumi tulikua tunamjua mtango long time na tunajua ndo alikua sparing partina wa mwakinyo ndomana hana hata hofu alivyoulizwa akiwekewa game na hassan coz anamjua kindani ndani
@jameschumbula73519 ай бұрын
Bado hamjasema
@law93king9 ай бұрын
mpaka mseme na mtasemaaa😂
@erickdioniz82779 ай бұрын
Oya kweli mm ni shabiki yako man Mungu akizidi kukujalia usibadili tabia uwe kama twaha kiduku respect
@user-bn6we3nj6t9 ай бұрын
Mwakinyo ndo champion
@hasanykatutuma69279 ай бұрын
Nimekuelewa Sana mtango
@user-lr6qx9df4z9 ай бұрын
Usizungushe maneno kasema yy anamabondia wake na bosi wao anapambana kwaiyo alivyosema yy alitaka mabondia wake wapigane usizungushe maneno kufanya watu wamchukie mwakinyo wacha ujinga huo dogo
@Mtazyinstrumental9 ай бұрын
Mbona alisema mapena mafia msiwepo
@thehunter59209 ай бұрын
Kidunda alikuwa anaumwa ,acha kumuongelea
@Shokolokobango93859 ай бұрын
Unaongea sana hadi nimeshindwa kuendelea kuangalia
@SingoMedia9 ай бұрын
natamani kuona pambano kati ya Ibrahim Class na Salim Mtango.... Hao wote mafundi kwahiyo pambano litakuwa zuri sana
@bintui.mrissa.63614 ай бұрын
Ni washkaji xana toka wakiwa Tanga Ibra alikua anakuja! Kwa Salim
@khamisidowany62629 ай бұрын
Wa bongo bhana kwan huyu dogo kaongea ubaya gan embu nielezen mbona kaongea vzr tu hapo ndipo ninapo amin cc wanadam ni watu wabaya sana.kwan kaongea ubaya gan jamaa
@DanfordLuhangano-wz8le9 ай бұрын
Nakuelewa sana broo kwa misimamo yako. Unaitetea sana boxing na ni wewe uliyeifanya ikubalike zaidi katika jamii na kuiongezea thamani
@JosephBruno-gl2pe9 ай бұрын
Aise uwo emeongea ukweli sana kuhusu hasani .
@ramadhanisalum38989 ай бұрын
Mtangazaji unaangaika bule ao ugomvi wao wanagombania utelezi lipo.wazi
@saidkizota35959 ай бұрын
Mtoto laini huyo
@giftprosper23559 ай бұрын
Anajua san
@user-sl1wb7wm4w9 ай бұрын
Mung akuongoze Ktk safr Yako y ngumi
@user-sl1wb7wm4w9 ай бұрын
Ktk watu ambao wanakutmfatilia bs nmm nmmoja wapo ust khatibu muhez
@TsTechSolution9 ай бұрын
Hongera kwa Gym kali. nitaifungia safari hii ili kujifunza kitu
@athumanishabani11439 ай бұрын
Mwakinyo ndio kiooo chenu
@SingoMedia9 ай бұрын
Safi, pia msisahau kutembelea channel yangu wadau
@user-sl1wb7wm4w9 ай бұрын
Khatibu haji
@user-lr6qx9df4z9 ай бұрын
Mwakinyo kafanya tuwajue na mabondia wengine kama hawa kama mwakinyo hajafanya vile tusingelimjua mtu kama huyu bondia mwakinyo dogo umshukuru huoni saivi watu tunakuona unahojiwa japo kua unaongea utumbo
@bintui.mrissa.63614 ай бұрын
Usichokijua huyu dogo kaanza ngumi before Hassan fatilia Kwa wapenzi wa ngumi mkoa wa Tanga, Bakari mwambea , Abdallah Nyuki ,Abel Kisuse,hao wote waulize Ni makocha wakubwa mkoa wa Tanga, Nikweli mwakinyo kapata mafanikio ila ukizungumzia mafundi Kwa Karne hii Ni Salim Mtango (Messi) na Yohana Mchanja(computer). Sema wamebaniwa xana fights bongo!!!.
@xectionmchokozi71729 ай бұрын
Kwanza mie huyo dogo nlikua simjui Mwakinyo kaamua kuwapa wadogo zake jina wawe na respect
@nicoluskanegene53949 ай бұрын
Wabongo sisi ni nursing na wanafiki kwani huyo mwakinyo pia mlio wengi mlikuwa Hammerwich mpaka alivyompiga yule mzungu ss iweje mnasema huyu dogo naye ham ujuwi? Basi hapo ndio kashajulikana naye ndio mwanzo wake pia
@athumaniamiri37649 ай бұрын
Mwandishi punguza kuongea video ya dkk 20 lkn introduction yako imekula dakika 10 nzima
@FarajiLiymo9 ай бұрын
Nikweli we ni mzur sana tena we ni rollmoder wangu. Lakini we kwa hassani mwkinyo bado sana
@JayMohamed-td5lk9 ай бұрын
Mchezo wa boxing kwa tanga kuna ubinafsi sana hasa mkiwa hamtoki gym moja na hi imechangiwa na waazichaji mapambano wanaangalia kuwapandisha watu kwa kujuana mf: 5 brothers wa walianzisha ngumi za amacha kufika mtaa wa magomeni vijana wamecheza kumi kweli lakin wameambia kama hawatajuliunga na gym zao hawataweza kupandishw mkwakwani na kweli hawakuwapndish coz walikataa kujiunga nao
@ramadhanmapinduz18199 ай бұрын
Mtangoo chokoo 2
@richhaule92649 ай бұрын
Huyu dogo anaongea kwaakil sana nimemkubali
@daudinyello40339 ай бұрын
HATA AFUNGIWE MWAKINYO NDIO KIOO CHETU TZ, WENGINE WATAISHIA KUPIGANA BONGO
@allyshabani75139 ай бұрын
Mbona naona gali la ibra class
@SaudaMtegwa-lm8gl9 ай бұрын
Acha unafiki yeye uyo mtango anajua alichofanya mnafiki si anajifanya mshenga aendelee kwani lazima kumuongelea si amuongelee alie mfanyia ushenga
@daudinyello40339 ай бұрын
MWAKINYO +255
@EnockMiringa-ur8yu9 ай бұрын
Ana majungu kinyo akukimbie ww
@saidkizota35959 ай бұрын
Messi wa mchongo
@novatusabond92539 ай бұрын
Unaongea vzr sana!
@law93king9 ай бұрын
messi wa ngumi mtu mbaya✊🏾
@barikislaa809 ай бұрын
Messi wa ngumi
@ramadhanimohamed41909 ай бұрын
Jamaa ni mnafiki sana naogopeni sana mtu mnafiki
@SonMusicTz4 ай бұрын
Kipigwe na twhs
@Director___Mwadadu9 ай бұрын
Mtu akikufanya adui usimfanye rafiki
@athumanimanzabay18949 ай бұрын
Exactly Messi,upo sahihi saana champion 👏
@user-md7sd3hk6l6 ай бұрын
ata mufa nyeje mwakinyo mwamba
@Matatasaid9 ай бұрын
Mwakinyo kanileta kwako rasmi mi shabiki wa SALIM MTANGO mess G.O.A.T
@user-xi4nh2ht9f9 ай бұрын
Ujuwaji waikati mwingine ni kilio inabidi waikati mwingine kujitathmini tutakosa msisha
@user-yt6un3xh6x9 ай бұрын
Mpija ngeta wtu umeacha mwakinyo wamuweza wapi
@yasinimwibidi98056 ай бұрын
Kwa hiyo mtango na wewe unataka kupigana na mwakinyo au sio😂😂😂😂😂
@saidpazi5319 ай бұрын
TATIZO LIPO KTK KUFIKIRI TU NA HILI LIPO KTK WATANZANI WENGI
@hassanissa41454 ай бұрын
Mtangazaji kama lifitina fitina ivi..kuhoji kwake nikutengeneza chuki tu
@shabanimiraji53889 ай бұрын
Sijaona tatizo hapo....ngumi ni biashara na burudani Kwa wependa masubwi....kama vp zipagweee....
@user-lr6qx9df4z9 ай бұрын
Yaani huyu dogo kama unamskiliza tageti yake mwakinyo
@saidkizota35959 ай бұрын
Mbona floyd may weather anaongea na anawabonda acha uswahili huo
@Kaweza-mu6hy9 ай бұрын
Mnaomsifia mwakinyo kumzarau huyu hamjui kitu huyu dogo mkongwe kwenye ngumi msimzalau huyu ndio bondia bora tanga
@AhmedAli-uh2ft9 ай бұрын
Dogo uko poa
@jumannemagawa50959 ай бұрын
Wewe mwandishi ni mchonganishi, mwakinyo kafungiwa leo unawatembelea mabondiyo kumzungumza mwakinyo anataka ufalume wa tanga, wewe unawachonganisha. Nashukulu mtango kakujibu yeye haitaji ufalume, huwezi kuzungumza swala lolote mpaka umtaje mwakinyo, mnatembelea nyota yake huku mki msema vibaya, hiyo siyo nzuri waandishi kwanini mnamkandamiza mwakinyo? Na mkijua kabisa alizungukwa kwasababu hakukuwa na maandishi, sasa mwamshupalia kila kona acheni unafki.
@cosmascastory91939 ай бұрын
Sio upepo Mwakinyo hajielewi
@omarmwabege9 ай бұрын
Swadaqta brother
@user-bn6we3nj6t9 ай бұрын
Mtango kuma tu msaliti wewee tanga hatukujuwi
@eladymwakanyamale9 ай бұрын
Wote mnamtaka mwakinyo hiyo inadhihirisha yeye ni bora kuliko nyie,,,lasivyo piganeni wenyewe
@saloomidd10849 ай бұрын
hili ndio jibu,mbona hawaombani wenyewe kwa wenyewe kama viwango vyao ni vikubwa
@thefutureisnow35869 ай бұрын
Dogo katulia sana
@user-le6co6yv5i9 ай бұрын
Dogo nae ana bwabwaja Sana aache kulewa sifa za waandishi