MWAKINYO: SINA CHA KUJIFUNZA KWA MFAUME, TWAHA KIDUKU/SIO WATU ZURI KWANGU

  Рет қаралды 43,726

Dar24 Media

Dar24 Media

10 ай бұрын

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Mwakinyo #RaytonOkwiri #Mfaume

Пікірлер: 107
@einsteinmboje4730
@einsteinmboje4730 10 ай бұрын
Nafuraha Sana Kuona Hekima Na Busara Na U OG wake Huyu Champion 🔥
@omarymwigula9826
@omarymwigula9826 10 ай бұрын
True unajiandaa kupigana mwaka mzima unapigana siku moja na unachoka vile vile
@sadunabdallah7303
@sadunabdallah7303 10 ай бұрын
Mwakinyo is supper ster the world
@user-rg3vy8ml3z
@user-rg3vy8ml3z 10 ай бұрын
Mwenye uelewa mdogo pekee ndie atakae mtafsiri mwakinyo tofauti...lkn mwenye uelewa mpana zaidi ndie atakae elewa nini mwakinyo anakimaanisha...na anachokimaanisha kikiwa kwenye uhalisia kitakua na matunda kiasi gani
@samsonnyihita3985
@samsonnyihita3985 10 ай бұрын
Viumbe vingine bhana ivi leo hii unamlinganisha mwankinyo na kiduku au mfaume kwa vigezo vp kwa mfano mwankinyo kaweka historia kubwa africa dunia inamfahamu leo kiduku anajulikana wp au hao wengine kwa ufupi mabondia wakaze watengeneze rekodi na si kupauka ovyo ovyo dah!
@waziriuledi6322
@waziriuledi6322 10 ай бұрын
Acha sifa ipo siku utapigwa mpaka uitee mama
@gwajimagwajima
@gwajimagwajima 10 ай бұрын
Historia gani alioiweka?
@IddKasabe-kf2wk
@IddKasabe-kf2wk 10 ай бұрын
Mwakinyo ananyota mbili kiduku mbili kaangalie wangap saivi Tanzania na afrka wangap hata uko ulaya kashinda pambano moja tu
@saidymbagalla6622
@saidymbagalla6622 10 ай бұрын
Mwaki kaongea utumboweeee mwishoni ndio kasema ukweli kua serikali inazngua...haitaki kuwekeza seriously kwenye michezo lkn ikitokea umejipambania mwenyewe ukatoboa ndio wanakutafuta na kujikomba komba hii inatupunguza sana Uzalendo sisi kama wana michezo tunao peperusha bendera ya Tz nje ya nchi.... Lkn MWAKI.. anatakiwa kuwaomba radhi viwete kwa kuwadhihaki kwa kusema eti mtu hupaswi kua mchafu unanuka kama soksi ya kiwete...NO hii sio uungwana kwa nduguzetu
@gweja882
@gweja882 10 ай бұрын
Jamaa mkomavu sana,afu ilo Bango nyuma ni mwakinyo au mwanyiko
@hassankuka1104
@hassankuka1104 10 ай бұрын
Msema ukwer unataliwa ..piga kazi mwakinyo
@taurehassan7399
@taurehassan7399 10 ай бұрын
Mwknyo me nakupenda tu unavyojibu maswali upo makn sna ktk kjib maswali
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 10 ай бұрын
Mtangazaji wangu pendwa…maswali yakitaalamu sana
@mohdomar3766
@mohdomar3766 5 ай бұрын
Umeongea jambo kubwa ambalo asinge ingea bondia yoyote mwakinyo ww kunakitu mungu kakubariki naendelea kujueshim kwa kulisemea taifa ukweli wahusika wasikie hili 🧏🧏🧏🧏
@user-yt2li4hv1f
@user-yt2li4hv1f 9 ай бұрын
MWAKINYO anaenda kupotea kwenye game,majivuno sana mzee
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 10 ай бұрын
MTANGAZAJI ANATEKENYA KIUFUNDI ZAIDI,,NICE.
@saidymbagalla6622
@saidymbagalla6622 10 ай бұрын
Vzr sana kutekenya sehem husika
@asifiwemichael4408
@asifiwemichael4408 5 ай бұрын
kaka unauelewa mkubwa kuliko wanavo dhania big up broo
@rukydaudy3005
@rukydaudy3005 8 ай бұрын
Mwenyez Mungu atuepushe na kibri ,nadhani nimeeleweka
@user-zz9yn9sj4z
@user-zz9yn9sj4z 10 ай бұрын
Mwakinyo safi sana kutoa ukweli kuhusu support kwenye boxing
@toney..
@toney.. 10 ай бұрын
Hassan Mwanyiko X HASSAN MWAKINYO 👍
@user-nm2xh4pm4g
@user-nm2xh4pm4g 6 ай бұрын
Upo OK sana umenyooka sna
@MJ-rr6dy
@MJ-rr6dy 10 ай бұрын
hakuna cha ajabu hapo, watanzania mmezoea kulinganisha, mbona mnamlinganisha diamond na hamonize, diamond ni wakimataifa huwezi mlinganisha
@herypinda
@herypinda 2 ай бұрын
mwakinyo namuelewa sana anachosema anachofanya pia
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ 9 ай бұрын
Ukimsikiliza kiundani zaidi Jamaa anakiburi sana Acha makasiriko msikilize mara mbili mara tatu
@dugabeachonline4493
@dugabeachonline4493 10 ай бұрын
MWANYIKO...NANI KAONA BANGO LIMEKOSEWA JINA
@PanchoValentino-wh7wt
@PanchoValentino-wh7wt 10 ай бұрын
😅😂😬🤣 Yaaah kweli kabisa 😅😁😄
@israelmkaka2807
@israelmkaka2807 10 ай бұрын
😂
@user-re8jc1oc6v
@user-re8jc1oc6v 10 ай бұрын
Aliyesikia drafti uliwe kete mbili ili ule Sita tupeane like 🙏🙏
@Paplick9
@Paplick9 10 ай бұрын
Main point zifanyiwe kazi 📌📌📌
@barikislaa80
@barikislaa80 10 ай бұрын
Mwakinyo una akili sana umemkimbia twaha kiduku kipindi akiwa wa moto na baada ya kiduku kupoteza umepata ujasiri wa kumtaka kiduku.. hongera sana 😂😂
@user-ci3gi8ic4x
@user-ci3gi8ic4x 10 ай бұрын
Good hasani from zanzibar iddy bwinoo
@hamisiyusuph2362
@hamisiyusuph2362 9 ай бұрын
🙏🙏
@M3MEDIA07
@M3MEDIA07 10 ай бұрын
Fact my brother gavement tz ni miyeyusho.
@feroozrajab4391
@feroozrajab4391 10 ай бұрын
Bongo Mwakinyo na Ibrahimclass ndio mabondia wastaarabu.Wengine ni watemi tuu wa mitaani,Na ndio maara mashabiki zao wote ni vijana wa mitaani wanao ishi kwa wizi mitaani.
@iamchusse
@iamchusse 10 ай бұрын
point
@BabafahadFahad
@BabafahadFahad 10 ай бұрын
💪💪💪💪🔥🔥🔥
@user-kd4oo5ey5z
@user-kd4oo5ey5z 6 ай бұрын
Wa tz wanaakili ndogo watakuja kufia ulingon
@donlinechanell4760
@donlinechanell4760 10 ай бұрын
Nakukubali lakini umeongea vitu vya uongo vingi
@speciallvoice8091
@speciallvoice8091 10 ай бұрын
Bondia bora ninae kukubali hapa Tz
@mubamoyo44-zc4rc
@mubamoyo44-zc4rc 9 ай бұрын
Halaf kweny hiyo picha hapo nyum ya mwakiny ndiy wameandik nn sasa yan badal waandike mwakinyo wameandik MWANYIKO
@user-ci3gi8ic4x
@user-ci3gi8ic4x 10 ай бұрын
Fayaaaaaa
@hassanraphael3565
@hassanraphael3565 7 ай бұрын
Sawa wajina
@islamicreligiontv2718
@islamicreligiontv2718 10 ай бұрын
"Mwanyiko" Alie ona tujuane hapa
@2FlevaJin
@2FlevaJin 10 ай бұрын
We we Fredrick pembe ndio fala
@josephmay4260
@josephmay4260 10 ай бұрын
jamaa mwamba sana
@alonerider7164
@alonerider7164 9 ай бұрын
Ivi ni Mwakinyo au Mwanyiko?
@user-eg9ig6lp3b
@user-eg9ig6lp3b 9 ай бұрын
Kak komaa xana ao wengine Wana kuchangany tu
@user-kc3ux2oz8m
@user-kc3ux2oz8m 10 ай бұрын
Mwankinyo ndoa bingwa wa ngumi tz,,,,,,,,,,,ila kule ulaya aliangalia maslah
@benosilwani5208
@benosilwani5208 10 ай бұрын
Mwakinyo ni bondia MZURI SANA, ila ajitahidi sana kutafuta manene yasiyomuongezea maadui. Mfano " UNANUKA KAMA SOKSI YA KIWETE " viwete hatapenda sentensi hii.
@happinessnaiman2761
@happinessnaiman2761 9 ай бұрын
Ni mbaya hata Mimi sio kiwete ila nimeumia kusikia hivyo.
@madollarmadollar7097
@madollarmadollar7097 10 ай бұрын
Ila kwa kweli tuongee uwazi bana kiduku hajui ngumi ni mashabiki tu kumbeba tu nae alivyo kavu bichwa limemvimba anataka pambano na mwakinyo acha umama wee
@IddKasabe-kf2wk
@IddKasabe-kf2wk 10 ай бұрын
Ajui ngumi wapigane sasa mbona anakwepa
@madollarmadollar7097
@madollarmadollar7097 10 ай бұрын
Mwenye uelewa atakua anamuuelewa mwakinyo ni kwa nni hataki kupigana na kiduku coz mwakinyo lengo lake nikuenda international flight zaidi huyu jamaa wenu lengo lake mazoezi anayo fanya nikutaka akuje amupige tu mwakinyo sasa mwenye akili apo ninani coz hata mwakinyo akikubali hata leo kupigana na kiduku itakua haina faida yoyote kwake ispokua kwanyinyi mashabiki ndio mutakua mnafurahia tu
@rehemamejja8342
@rehemamejja8342 3 ай бұрын
Kiatu kilikubanaa
@machakumedia7879
@machakumedia7879 10 ай бұрын
Hilo Bango limeandikwa Mwanyiko. Ina maana hawajaliona au?
@DijaMriri-wc4qd
@DijaMriri-wc4qd 10 ай бұрын
Ntampataje mwakinyo anafanana mjomba wangu sana jaman😢alipoteaga mda sana nahisigi ni yeye afu alipoteleaga tanga
@abdallahamiri8527
@abdallahamiri8527 10 ай бұрын
Duuhh😂😂🤣🤣🤣umetisha
@DijaMriri-wc4qd
@DijaMriri-wc4qd 10 ай бұрын
@@abdallahamiri8527 nipo siriaz wallah😭😂😂😂
@user-jn3bd2vp2v
@user-jn3bd2vp2v 10 ай бұрын
Kak we ndo mwamba wasikuumize kichwa waseng wanatak kukushusha
@isayaashangai1081
@isayaashangai1081 10 ай бұрын
Ila somber somber konyoo Nakubali wee mwandishi, kila la heri Champez 🙌🏿
@edwardsinkonde9878
@edwardsinkonde9878 10 ай бұрын
Acheni utoto ivi kwanini wa bongo hampendani 😂
@philipomwasha5325
@philipomwasha5325 10 ай бұрын
Jifunze namba ya kuongea kihekima we ni mkubwa,tatizo hamna taasisi inayoweza kufundishia mtu akiwa mkubwa basi ajiwakilisheje mbele za watu
@user-ke2xk8wd6y
@user-ke2xk8wd6y 10 ай бұрын
Namkabal sana
@kisomekiguwa3706
@kisomekiguwa3706 5 ай бұрын
Acha ujinga wa kutukana watu wewe.
@aboubakarkamikaze-vr9gk
@aboubakarkamikaze-vr9gk 10 ай бұрын
Huyu jamaa hajiamini na maemo yake hayana fact
@JacklineArsone
@JacklineArsone 2 ай бұрын
Champenz
@binnassor-ls4dy
@binnassor-ls4dy 10 ай бұрын
Mi nilikuwa mshabik mkubwa sana wamwakinyo lakn tangia kubanwa nakiatu cna imani kabisa
@ibrahimkilete7132
@ibrahimkilete7132 10 ай бұрын
BANGO LIMEANDIKWA MWANYIKO 😅😅
@kitutujuma9602
@kitutujuma9602 10 ай бұрын
Mwakinyo namuelewa hata ktk anachoongea
@HamisKalulumbe-fv8hc
@HamisKalulumbe-fv8hc 10 ай бұрын
Sisi tupo kwenye bango
@user-ee9kl1ob3v
@user-ee9kl1ob3v 7 ай бұрын
Acha ujinga pigana kilasiku umejianda😂vizuli mbona upigani😂 alikumbatia taisoni ww nn pigana ww
@mkanulamajid500
@mkanulamajid500 10 ай бұрын
Kama ulikuwa haujui ni kwamba tangie uhuru Hadi leo mwakinyo ndo bondia mwenye record Bora
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 10 ай бұрын
😅unawajua akina magima.shabani,matumla bwana na rashid brother,Bruno tarimo vifua viwili na wengine😊
@mkanulamajid500
@mkanulamajid500 10 ай бұрын
@@othumanlorenzo260 Sana tu ila mwakinyo number one
@suleykilindi5117
@suleykilindi5117 10 ай бұрын
sema uyu msenge ananyodo sana😅😅😅
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 9 ай бұрын
Mfaume mfaume bangi zinamsumbua hana jipya
@chingychingy2066
@chingychingy2066 10 ай бұрын
ukipigwa nitafurai
@AllyAlly-ud6wv
@AllyAlly-ud6wv 10 ай бұрын
Hata mama yako akipingwa utafurah
@ManAbuu-vc8hf
@ManAbuu-vc8hf 9 ай бұрын
Champez
@RichardCossan-rk1ub
@RichardCossan-rk1ub 10 ай бұрын
Mwakinyo ana tofaut na fei toto stori zao zinafanana broh sopa Amin kwamba uyoo jamaa miyayusho saana alafu sio shujaa wa ukweli ila we mwandishi chukua tyuu habar basi 😊😊
@ahmadsalim8990
@ahmadsalim8990 10 ай бұрын
Acha kuropoka champez Hassan mwakinyoooooo ndo icon ya boxing Tanzania
@onesmothimos2635
@onesmothimos2635 10 ай бұрын
Wewe ulio ludia kauli ya mwakinyo alivo sema soksi ya kiwete unaona ndo inshu sana kwako mkundu wako
@ogenylaurent7961
@ogenylaurent7961 10 ай бұрын
We choko nini
@ahmadsalim8990
@ahmadsalim8990 10 ай бұрын
@@ogenylaurent7961 choroko mbaazi
@RichardCossan-rk1ub
@RichardCossan-rk1ub 10 ай бұрын
Wewe naic mtanga na wtt wa tanga unawajua Awana marinda🖕
@abuuda4754
@abuuda4754 10 ай бұрын
Soksi za kiwete... Mmmh chunga kauli, your growing up mjinga wewe
@HamisiSalumu-ze3ce
@HamisiSalumu-ze3ce 10 ай бұрын
Box unae pg gananae Mbona uwezo wa lenki yupo chin Una tua minishia nn Kama ww Ni bora kaka
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 10 ай бұрын
Hata Mimi namuona okwir hayuko tenki sawa na mwakinyooo
@kichenjewillian5720
@kichenjewillian5720 10 ай бұрын
Tenki ya mafuta ama
@user-hp5ep5jd2n
@user-hp5ep5jd2n 10 ай бұрын
Mnafiki mkubwa kafili wewe
@ogenylaurent7961
@ogenylaurent7961 10 ай бұрын
Kafili baba yako
@user-hp5ep5jd2n
@user-hp5ep5jd2n 10 ай бұрын
@@ogenylaurent7961 kazi kuvaa vikuku dume weye
@AllyAlly-ud6wv
@AllyAlly-ud6wv 10 ай бұрын
Njoo tukufundishe hadabu
@tonnyelias9454
@tonnyelias9454 10 ай бұрын
Mjinga mmoja tu uyu maneno kibaoaa
@AllyAlly-ud6wv
@AllyAlly-ud6wv 10 ай бұрын
Wemjanja unanini mrara nnje
@fredrickipembe8188
@fredrickipembe8188 10 ай бұрын
Ndio mana ukaona uze pambano lako huko nchini England ili uje kutamba kwamba wewe ni bondia mzuri kijana wewe bado sana ila kwakuongea tu hujambo sana ndio mana wahenga walisema mjinga akipata utaona majigambo yake wewe mwakinyo ni fara tu
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 10 ай бұрын
Kama vp uingie nae tuu ulingoni bob tujue nani muongeaji
@BakariGoba-hh6go
@BakariGoba-hh6go 10 ай бұрын
Kwani akiuza pambano linakuuma nn
@ahmadsalim8990
@ahmadsalim8990 10 ай бұрын
Kabla hujamuongelea vbaya champez Hassan mwakinyoooooo jifunze silabi sio fara Ni fala boya ww Hassan mwakinyoooooo ndo icon ya boxing Tanzania
@JeremiahMyrosse-qb1yj
@JeremiahMyrosse-qb1yj 10 ай бұрын
@@BakariGoba-hh6go Atakuwa alimuuzia bibi yake mjinga huyo asitu muongelee vibaya Mwakinyo
@kichenjewillian5720
@kichenjewillian5720 10 ай бұрын
Acha ujinga kiukwel ..unazingua uza na www
@KisofaOg-wv8ex
@KisofaOg-wv8ex 10 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/l4fEmpRsjsaKY7ssi=x58znitIflbBNC3N kalibu
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 1,7 МЛН
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 79 МЛН
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 9 МЛН
Salama Na MWAKINYO Ep 44 | VITASA OVERLOAD Part 1
28:02
YahStoneTown
Рет қаралды 69 М.
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 1,7 МЛН