Mwakinyo afunguka kila kitu kwenye Leo Tena, Hizi ndio sababu za kugomea pambano la leo.
Пікірлер: 331
@JansanMokiwa-hr6hl9 ай бұрын
Nnacho mpendea mwakinyo Hajari kupoteza chochote kwenye maisha yake zaidi ya roho🥰🥰
@victorcephas36189 ай бұрын
Huyu jamaa wenye akili ndiyo watamuelewa Huwa hapendi longolongo pia haendekezi njaa anajua anachokitaka. #SmartBoxer
@lazaroburton11639 ай бұрын
Ndo mabondia tunaowataka kama hawa wanaojielewa ngumi ni kazi na ajira kama kazi zingine hongela sana mwakinyo nakusuport 100% bro💪🏾.
@rogersiddy9 ай бұрын
Kbs hakuna kuburuzwa kipumbavu apa nimefurahi sana misimamo ya Mwakinyo safi sana
@FagoTz-fy5uf9 ай бұрын
A
@sniperbogo62109 ай бұрын
Ukisikiliza maelezo ya mwakinyo na poromota unaona kabisa mwakinyo 3 -0 poromota
@lubilimasai15409 ай бұрын
Nikikumbuka issue ya kusahau begi na viatu kumbana nabaki kuguna tu
@mr.saiduwesuomary18599 ай бұрын
Ngoja majibu halisi yatakapokuja ndio utajua ukweli uko wapi, mara nyingi personal interest kwenye biashara Huwa si salama siku zote...maelezo yake ya awali anasema hakuna makubakiano ya kimaandishi, Kwa akili ya kawaida unaweza kuamini Kwa level yake na kufanya pambano la kiwango hicho anaweza kufanya makubakiano ya mdomo? 1. Promotion company 2. Azam media 3. Kamisheni ya mashindano TZ Wote Wana taarifa kuhusu pambano means taratibu zote zimefuatwa, hakuna pambano lolote Duniani Kwa level ya mwakinyo makubakiano/mikataba inafanyika Kwa mazungumzo ya mdomo. Hivyo basi hao wote niliowataja hapo juu sio wajinga yeye ndio mwerevu, Azam kafanya matangazo Kwa muda gani tujifikirie na tuache personal interest, yeye ashukuru Mungu aliemsomesha kasitiriwa na ibra Class na Mafia Promotion ndio walikuwa washenga wa Ibra Class asipepese macho... yeye ni nani? Amejawa na jeuri na kibiri to be honest with u, kama anataka aendeleze carrier yake aachane na undazi
@samniza17639 ай бұрын
Love you Mwakinyo kwa msimamo wako, wabongo wasikuzuge si wakapigane wao? Mtanga wetu keep up the attitude, wasikubabaishe.
@pirminmatumizi54649 ай бұрын
Bwana mdogo Mwakinyo naomba nisamehe. Nilicomment awali kabla sijakusikia maelezo yako. Uko sahihi. Sahihi kabisa. Watanzania wabongo tubadilike jamani. Wizi dhuruma ufisadi hadi kwenye Ndondi?! Hongera Mwakinyo kwa ujasiri huo. Hongera sana.
@shabanimsigiti68279 ай бұрын
Mwamba kwa upande wangu mm nimekuelewa vizuri sana hayo ni mapambano ya kucheza na mwili Tena kwakutumia akili sana kwaiyo kaka wewe simamia haki yako wewe ndio uliesaini mkataba
@chusseboywcb28089 ай бұрын
Mwakinyo wewe nidiamod platnumz wa ngumi hutaki ujinga unaieshim kazi yako pia husukumwi na njaa mipaka inazingatiwa🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥♥️🇹🇿✔👑👑👑👑
@abdullichibela64639 ай бұрын
Mwakinyo ni champez anaye jitambua na kujielewa, bigup
@rogersiddy9 ай бұрын
Nafurahi sana misimamo ya Mwakinyo hakuna kuburuzana kijinga apa huyu atawanyoosha mapromota wakijingajijga kama hawa
@davidbush87779 ай бұрын
Hongera kwa msimamo bondia wa nchi
@josephjoseph89829 ай бұрын
Msimamo ni muhimu mwakinyo , ni maisha yako umefanya vizuri kutokupigana sender by Joseph MTZ based SA.
@saidsalum61019 ай бұрын
Safi sana ndugu unajielewa wewe siyo kama wanavyo kufikilia upo kama wengine wanao kurupuka hovyo ngumi nihatari sana
@romanomachemba35339 ай бұрын
huyuu dogo anaakili sana very prof tuheshimu kazi za watu
@shabanigenya47089 ай бұрын
Nimegundua mwakinyo ana mashabiki wengi saana na wanampenda saana ndio maana yakitokea hayo. Kuna baadhi ya watu wanaumia saaana.
@frankkajoba83729 ай бұрын
In short ana mashabiki wanaojielewa.
@chusseboywcb28089 ай бұрын
Uko sahihi sanaaa
@user-ox2sy7jp2r9 ай бұрын
Kuna mengi yapo ndani ya pazia Ila kupitia mwakinyo tutayajua mengi Sana Mimi namuamini Sana mwakinyo
@captainmwata98579 ай бұрын
All in all bro watu weng wanakulalamikia wewe wakinyo una dharau sa sijui n kweliiii sio mara moja kusikia hiv
@godfreymsingwa-er7wp9 ай бұрын
Respect ✊ mkuu sie tunakuelewa wasiokuelewa bado wanasafari ya kujifunza
@maulllidially80399 ай бұрын
So wanao kuponda kina mfaume Awana shukrani umewatoa mbwinde uringo ulikuwa watu wanazunguka duara b g up mzee baba pambana kivyako❤
MWAKINYO ANA JITAMBUA SAANA NA INA PENDEZA SANA KUONA BONDIA ANA KITAMBUA
@godlema61049 ай бұрын
Hizo mic za studio kwenu zinachoka sana nazidi kuona pengo la RUGE mic ni chache kila saa kuzungusha
@MauFundiElectronics9 ай бұрын
Huyo mwanyiko yupo vizuri sana anaongea point sana.
@babudingi-gd7pz9 ай бұрын
Kupitia uyu tuta yajuwa mengi maporo mota kuweni makini nauyu mtu kakasana mamtoni ana yajuwa mengi siyo ware mabondia wenu wa apa apa uyu aburuzwi ngumi ana zijuwa mwakinyo wewe ni nomaaa👍👍👍
@IssaMwashilindi9 ай бұрын
Mwakinyo mm namwona yupo sahiii maaaana mm Jana Bo's wake nilimsikiliza lakn alikuwa nimtu wakujing,atang,ata
@tushabetitus10509 ай бұрын
Mwakinyo unajielewa sana broo hongera sana.
@hamdincatalonia32729 ай бұрын
Bora ubaki pekeyako kwa unachokiamini ngumi mchezo hatari kupigana kwa ajili ya kuwafurahisha watu ni akili mbovu
@zainabmaulid96379 ай бұрын
Mwakinyo ww ndo bondia Bora kwenye taifa la tz wakitaka wasitake ukwel usemwe usijali na changamoto zinazo kukuta amini mungu yupo pamoja na ww ongeza jitihada tu utafanikiwa%
@sashashaibu68219 ай бұрын
Utafka mbarisana Mungu akurinde wasanii mabondia wengi wanazurumiwa wewe utafka mbaririy daimondi arikuwa kamawewe usiofu ngumi ni kaži 🎉
@ShabaniMmakuluja-fr1rv9 ай бұрын
Nakuelewa big up mwakinyo
@ladislausmoris96389 ай бұрын
Safi mwakinyo usikubari kupotezwa na maoni yawajinga uko sawa na pande za MWANZA tunakukubali kinoma
@issazalala49079 ай бұрын
Ngumi inauma ngumi inatia uchizi so mwamba yupo sawa kaza man wangu
@furahamandai66289 ай бұрын
Kama ni kweli ndugu yangu simamia hapo hapo sawa mungu amekupa kipaji hivi unakumbuka dulla mbabe amebadilishiwa mara ngapi
@samniza17639 ай бұрын
Kweli kabisa! mil 100 is nothing, wakati sijaanza ujenzi nilipokuwa ninaambiwa mil 500 nikaona looh! sitajenga, sasa msingi tu ulinicost over 35mil tzshs, kupandisha na kufubga slab nimeshaspend zaidi ya million 120, sijamaliza kupandisha first floor na kuezeka sasa mpaka sasa hivi, mpaka ije imalizike, hizo mia tano zitafika kirahisi tu.
@bakarimakame46949 ай бұрын
Ngumi ni kazi km kazinyingine
@malkavoice25709 ай бұрын
Sio tu Kawaida Mnawaona Mabondia wetu maisha yao ni yakwaida sana wakati bondia anatakiwa kuwa zaidi ya mchezaji.
@samniza17639 ай бұрын
Tatizo la huko dunia ya tatu, watu wanataka tengeneza pesa kwa kupitia mgongo wako, lakini hawataki ku respect your concern, tunadanganyadanganya tu. Same with wanasiasa, wanajua kabisa bila wabanchi wapiga kura wao sio kitu, nchi za ulaya wanazokuja omba omba haziwezi wapa pesa kama hakuna rasilimali watu, and yet hawana heshima na wapiga kura whatsoever.
@amedeuskimario88959 ай бұрын
Kupigana n Kaz ngumu Sana ndugu zangu hivyo mtu anapotaka Kula kupitia kipigo chako inakua sio sawa hivyo mwakinyo yupo sahihi co ukapigane tu ka ng'ombe af utoke hapo huna chako
@zahirrajab77139 ай бұрын
Huyu ni mwamba ni bondia kweli sio kma wale kuku kina kiduku anajitambua na anajua nn anafanyaa bid up mwakinyoo
@jeniphermushy6279 ай бұрын
Kiduku amekukosea nn jaman 😂
@nasserbaabeid67979 ай бұрын
Nakukubali bro mwanaume msimamo
@lenkbizzy309 ай бұрын
Namuelewa kwa asilimia 100. Keep it up bro!
@sahlisaad87029 ай бұрын
Allah akusimamie uweze kufanikiwa
@thadeusmahendeka44669 ай бұрын
WENYE AKILI TIMAMU TUU NDIO WANAO MUELEWA MWAKINYO KWA HILI JAMBO LILILOTOKEA.
@saluyaadamz9 ай бұрын
Kuna unafiki sana sana rais ana jivua khaa.... mwakinyo amenyooka sana
@justinejackson17319 ай бұрын
Ila Champez dah!👊👊👊💯✅ anakwambia "KATA SIMU"😂
@makambaally63179 ай бұрын
Safii sana hakuna kupelekana kama ng'ombe ww ni champion ipo siku watakuelewa leo hawaoni mapambano yako
@ashrafuabdallahmsham19119 ай бұрын
Moja ya kosa kubwa Tanzania ni mtu kutambua haki na thamani yake, utapigwa vita mpk uondoke, uanguke na upotee kabisa. JAMAA ANAIJUA THAMANI YAKE.
@johnsonchonja40329 ай бұрын
Kudo's to mwakinyo,jamaa anajielewa sanaaa,hapigan sababu ya njaa km kina mandonga mtu kazi,inabid mabondia wengine waige kwa mwakinyo
@user-ci2xg9ng1f9 ай бұрын
Mabondia wengi wa bongo wangekuwa Kama huyu brother tz tungekuwa mbali sanaaaa tatizo mabibo korosho Kuni makuti
@user-yw8gh2mg4u9 ай бұрын
Mwakinyo nakukubal mm Sina bondia nae mkubal kama ww Yan chochote unacho sema sikupingag uko sahihi Sana mwamba bondia wa nchi mwakinyo👊👊👊
@ahmedyrutumo9 ай бұрын
Sawa kaka uko sahihi
@adamkasege289 ай бұрын
Mwakinyo respect sana
@kabhikachambala33929 ай бұрын
Huyu ni bondia anaejitambua na hayumbishwi... Heshima
@amirmussa67359 ай бұрын
big up brother mimi nimekuelewa sana
@jseventz9 ай бұрын
uko sawa mzee
@CastorPanja-xk5iy9 ай бұрын
Kuna watu hawakuelewi kk 👍👍👍👍👍
@mwaitajuma41409 ай бұрын
Mwakinyo hata kama ww ndie ungekua mwenye makosa mm mwaita nipamoja nawe... Msimamo lazim bro wasituchukulie poa
@masumbukokilunga42659 ай бұрын
Nimeipenda❤hiyo...
@user-ki7hd3lg2q9 ай бұрын
Genius boxer
@saidsalum61019 ай бұрын
Hatufanyi kazi kwasifa tu
@shabanigenya47089 ай бұрын
Raisi wa ngumi nae anatunza kiti chake. Hakuna point hapo.
@jumaseif21409 ай бұрын
Mm nakuombea brother inshallah utafika mbali,,
@user-ej5xy8kb2t9 ай бұрын
Ndugu unajieleewa sana nakubali ninacho kiamini wanataka wakushushe au kukualibia
@mannabu93339 ай бұрын
Safi sana Bro ww utakuwa mdiigo real 😂😂😂😂😂
@hamynas9 ай бұрын
hqpo studio wamejaa vilaza wasiojua kuiliza maswali ya maana mwakinyo anatawala waandishi wa habari kama anawahubiria tatizo la kuweka vilaza studio linaonekana saana hapa
@greysonchogga43799 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@Yusufu9409 ай бұрын
Mwanamichezo ndo musical wa Ngumi
@fadhilbutu33059 ай бұрын
Broo akikupenda mungu inatosha
@karmalyshaft97429 ай бұрын
Siku zote anaetetea maslai huonekana anakiburi na ushawishi mbaya kwa wenzake ila dogo msimamo wake nimeukubali tupunguzeni blaa blaa uswahili mingi bado tunao
@ibrahimshaban23619 ай бұрын
Umeongea point sana mwakinyo bigup sana
@MJB-Africa9 ай бұрын
WEWE BRAZA NI MIONGONI MWA WATU WACHACHE SANA KUWAHI KUTOKEA HAPA DUNIANI. RESPECT TO YOU MIMI NAONA ACHANA NA MASUALA YA NGUMI NA UGOMBEE UONGOZI WA URAISI MAANA NAKUONA MISIMAMO YAKO NI KAMA KIONGOZI SAHIHI KAMA REPLACEMENT YA MAGUFULI
@aminanamoyo839 ай бұрын
Mi sio shabiki wa ngumi ila ninachokiona kwa mwakinyo ni mtu mwenye msimamo which is good na siku zote ukiwa na msimamo unaonekana mkorofi,jeuri na maringo si sawa muhimu kukaa chini na kupata suluhisho period.
@jomajoligospel9 ай бұрын
Huyu Mwakinyo na manara baba mmoja mama mmoja, kiufupi waswahili sana, Champez unatupoteza washabiki wako, hautuheshimu kwanza unatudharau unaulizwa na mwandishi kuhusu hisia zetu unaropoka tuu, mswahili sana wewe
@greysonchogga43799 ай бұрын
Hakika 😂😂😂😂
@frankkajoba83729 ай бұрын
Hujui chochote, kashabikie mabondia wenu kina mandonga. Huyu anajitambua, wabongo wengi tumezoea blah blah!
@dennismungai46329 ай бұрын
Big up
@LivivingstoneKaaya-zc8dw9 ай бұрын
Livingstone kaaya @@@@ Christina's collections ya big up mwakii
@SifaeliMelita9 ай бұрын
Naare waawa
@mimihuyo82399 ай бұрын
Mwakinyo 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
@gmelectronics19979 ай бұрын
Kujitambua ndio ufunguo pekee wa maisha yako..achana na elimu...wapo waliosoma na vichwani ni mabox na wapo wasio soma wanaongoza jahazi..respect sanna Mwakinyo
@AnodSalum-qx7tp9 ай бұрын
Hongera kaka huna baya
@issazalala49079 ай бұрын
Mwamba yupo sawa kanyooka tupo nyuma Yako
@Isack-sx8ljАй бұрын
Mwakinyo yupo Makini Sana na anachokifanya kupata stahiki zake
@abubakarhaule15939 ай бұрын
Da Huu unajua sana kazi yako mwakinyo muongo
@bongotv73659 ай бұрын
Upo sahihi bro ngumi ni maisha bro don't Tyr on it.
@mussamessi75149 ай бұрын
Pamoja kaka champion boy👊
@nicodemasfrancislumongolo58799 ай бұрын
Huyo mwijaku nae mtangazaji au ? Mbona nchi ya ajabu sana hii uhuru umepitiliza
@josephjoseph89829 ай бұрын
Mwakinyo wasilete uhuni kwenye kazi yako , wanyoshe wenye njanja zao safi sana , kwa kiwango chako usingekuwa unapigana kwa dollar 5000 ulitakiwa uwe unapigana kwa dollar laki moja kwenda juu nyosha washenzi hao.
@Wakwetujitu9 ай бұрын
Nakubalisana kaka
@rashidrashidmaulid11299 ай бұрын
Hapana yupo sahihi bila msimamo unazeeka maskin
@user-up1fx4vt4r9 ай бұрын
kiukwer mwamba yuko sahihi napia mpaka katoa dola 4000 inamana muandaaji aliferi kifeza ila ingekua wabiga dufu sijui ingekuaj
@user-hs2uf6od8j9 ай бұрын
💪💪💯
@SkopionMmalala-ox3gz9 ай бұрын
Champion Hasan Tanzania 1
@user-mx9xu6st4o9 ай бұрын
Mwakinyo nakubali msimamo wako watu wanatak umaarufu kupitia wew mim nipo belgium nakukubali mtot wa mwananyamala Chau ..
@rabsonchisumo66409 ай бұрын
Makini sana Bondia
@dominicrobert2669 ай бұрын
Unazingua boxer,point zako za hovyo kabisa.
@abdallahabeid85409 ай бұрын
Tumemuelewa sn mwakinyo Hawa mapromoty wengi dhulma Ila huyu mwamba atawakomesha huyu kacheza ulaya anajuwa yote
@thecar_lovers_tz9 ай бұрын
Toka mwanzo nitasimama na mwakinyo.
@hamisshaban96519 ай бұрын
Huyo ni mwalimu wa mabondia njaa wanadanganywa na ma promota wanakubali tu kizembe
@user-iq5ue3ht6r9 ай бұрын
B boy hasani mwakinyo super champions
@user-ih1nh2tp6b9 ай бұрын
Allah akuongoze kaka
@MichaelJames-tp6co9 ай бұрын
Niko na mwakinyo, bondia unatakiwa kua na misimamo sio bondiatu yani mtu yoyote hupaswi kupelekwa pelekwa
@fadhilbutu33059 ай бұрын
Haki haiombwi.haki nikachukua simamia unacho kiamin
@makachamusic9 ай бұрын
Mwakinyo yupo sahihi sana
@licomwanjali2309 ай бұрын
Mwankinyo umechemka mwanangu, maisha hayapo hivyoo, halafu chunga mdomo, utatolewa kwenye reli
@petermheta45669 ай бұрын
Laiti watanzania tungekuwa na akili kama huyu jamaa tungefika mbali sana, nimekukubali sana mwakinyo, boxing sio mpira.
@sniperbogo62109 ай бұрын
Huyu jamaa nmemkubali anamisimamo hatal na kaz yake