🔴

  Рет қаралды 369,800

Bongo Boxing Safari

Bongo Boxing Safari

4 ай бұрын

🔴#Live: 'KO' ya HASSAN MWAKINYO Akimchapa MWANAJESHI wa GHANA RAUNDI ya SABA, MTATA MTATUZI ZANZIBAR
ULE Usiku uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu wa pambano la Hassan Mwakinyo vs Elvis Ahorgah hatimaye umewahi na Bongo Boxing Safari tunakuletea matukio yote yanayoendelea kwenye pambano hili.

Пікірлер: 460
@yakoubaliy7559
@yakoubaliy7559 4 ай бұрын
Hongera sana Brother Mwakinyo Allah akuzidishie uwezo mkubwa katika safari yako ya boxng na uweze kuimarisha vipaji tanzania
@mfebricknkuna7106
@mfebricknkuna7106 4 ай бұрын
Tumeona uwezo wako, mdogo wangu. Mungu akujalie na akulinde kwenye safari yako. Wewe ni bingwa kwenye uzito wako.
@user-ib9bz9ll1v
@user-ib9bz9ll1v 17 күн бұрын
Mwakinyo best fighter katika historia ya ngumi Tz ,na mkubali sana huyu jamaa big up brother kaza buti utafika mbali zaidi
@user-ct7qy4oy9q
@user-ct7qy4oy9q 4 ай бұрын
Hongera sana Hassan Mwakinyo kwa kazi nzuri sana yenye uweledi wa hali ya juu, Shukrani sana Mr Hassan Mwakinyo kwa kuipeperusha vyema bendera yetu ya Tanzania.
@njilatv-pj1gq
@njilatv-pj1gq 4 ай бұрын
Kuna wenye mamlaka..Na walio chini ya mamlaka....Ila bibi alininong'oneza..! Jua halifunikwi na ungo..! Na ukiona kwako Giza basi kwawenzio kunawaka...!! Tukiachana na hayo mwakinyo ni mtu mwingine... HONGERA SANA MWAKINYO.
@nzumbibahati2192
@nzumbibahati2192 4 ай бұрын
Hongera sana Mwakinyo, umeonyesha wewe ni Bondia na ngumi unazijua, tatizo TZ hatupendi vyetu, nashangaa pambano kubwa Azam nao wanaonyesha ngumi za kitoto...ilitakiwa hili walipromoti Kwa nguvu kuinyesha Dunia namna ngumi za kimataifa zilivyo, wao wanaonyesha sijui ngumi Gani!!! Au ulikuwa mpango wa kuvunja coverage ya Mwakinyo nn? Tuache wivu Mwakinyo anakipiga sana..❤❤
@janejoel2465
@janejoel2465 4 ай бұрын
Watu wame umbukaaaaa ❤❤❤
@user-yu6zj3bw1y
@user-yu6zj3bw1y 4 ай бұрын
Wanatumia nguvu kubwa kumpoteza mwakinyo
@reubenmajambo1270
@reubenmajambo1270 4 ай бұрын
Kumbe hawajaonesha
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 4 ай бұрын
❤❤
@salumumchaga9717
@salumumchaga9717 4 ай бұрын
😂😂😂😂 ukweli haujifichi, tumeona ,tumegundua na tupo Benet na mwakinyo
@user-pj8yc3zw6m
@user-pj8yc3zw6m 4 ай бұрын
Mwakinyo mungu akujalie us❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@frankhaule8570
@frankhaule8570 4 ай бұрын
Mtangazaji na mchambuzi mlikuwa vzuri sana kutuletea radha nzuri ya matangazo na uchambuzi🔥
@jonasmpita2206
@jonasmpita2206 18 күн бұрын
Hongera sana Hassan kwa kupeperusha bendera ya Tanzania vema, na angalau safari hii raba sio kama zile za UK wakati ule uliposuasua kuua mtu pale Uingereza
@user-pj8yc3zw6m
@user-pj8yc3zw6m 4 ай бұрын
God bless you 🙏🙏🙏 mwakinyo
@omarzinga7046
@omarzinga7046 4 ай бұрын
ZBC should be able to slow motion highlights each round
@sadunabdallah7303
@sadunabdallah7303 4 ай бұрын
Tumeinjoi sanaaa Crawford wa tanga umewafunga midogo wenye roho za ku2 msena wangu mungu ndo kila ki2 leo wataongea nn mana alukuwa wanasubria kuongea cwackii kmya dadek champenz oyeee❤❤❤❤
@yahyambigily6031
@yahyambigily6031 4 ай бұрын
Wenye maua ya Mwakinyo njoni hapa💪
@boniphacenkombe4868
@boniphacenkombe4868 4 ай бұрын
Champez..one more time for the king
@universitylink
@universitylink 4 ай бұрын
Mwakinyo yuko fit sana alikuwa anamsoma alipombadilishia mguu ili apige jab na Cross na upper cut
@veelmng7746
@veelmng7746 4 ай бұрын
Hizi ndio boxing ya ukweli jamaa wote fit. Hongera sana Mwakinyo. Pia waandaaji kwa kuandaa pambano zuri kama hili
@frankbai2473
@frankbai2473 4 ай бұрын
Hongera sana mwakinyo kwa mechi nzuri@najua unapitia figisu nyingi ndo TZ tulivyo mtu mwenye mafanikio anapigwa vita badala na ku suppprtiwa@MWENYEJI MUNGU akusimaie uendelee kupeperusha bendera
@user-ej3ho5ps4n
@user-ej3ho5ps4n 4 ай бұрын
Oya msimfananishe Mwakinyo na Twaha kiduku ,Twaha bado mdogo sana
@user-gc3ec9wx6z
@user-gc3ec9wx6z 4 ай бұрын
Hana lolote
@janejoel2465
@janejoel2465 4 ай бұрын
Kweli kabisa . Kiduku anatabia ya kujitupia mwilini kwa wenzio na limwili lake ndio maana yule muafrika kusini alimshinda coz akirukia mwilini alikuwa ana mkwepa
@user-du6bd3no2b
@user-du6bd3no2b 4 ай бұрын
Kiduku kwa mwakinyo ni kama kusukuma mlevi tu....yaani huyo kiduku asije kuyakanyaga kwa mwamba huyu
@bigemagomabigemagoma6312
@bigemagomabigemagoma6312 4 ай бұрын
Ongera Sanaa kaka 🎉kumbe Azam wa ovyo mbona hawajaonesha
@user-vm1yw6yh5u
@user-vm1yw6yh5u 4 ай бұрын
This is good my role model champezi one mo time hasaaaaaani mwakinyoookioooooooooooo,🔥👊
@husseinmanyanga1587
@husseinmanyanga1587 4 ай бұрын
Allah azidi kukupaisha bondia wetu watanzania tuko nyuma yako.
@Jibambeshow254k
@Jibambeshow254k 4 ай бұрын
😂😂mtu anapigwa pekeake wasema ukopamoja naye acha uongo
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 3 ай бұрын
😂😂😂😂​@@Jibambeshow254k
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 4 ай бұрын
Kiduku atapigwa kipigo cha mbwa kokoooo, mpaka piko😂😂. Mwakinyo congratulations
@angelangaiza2274
@angelangaiza2274 4 ай бұрын
Mwakinyo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mwikamwika4851
@mwikamwika4851 4 ай бұрын
The best boxer in Tanzania kwa uzito wao
@RamadhaniShabani-nc5ve
@RamadhaniShabani-nc5ve 4 ай бұрын
You is 👑 in Africa
@hassanlyanga9415
@hassanlyanga9415 4 ай бұрын
Kazi nzuli wajinaa🔥
@FunnyChurros-hy9fe
@FunnyChurros-hy9fe 4 ай бұрын
Kama unasema mwakinyo kapambana na mnyonge omba week pambano na mwakinyo au mlete Baba ako
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 4 ай бұрын
Wewe umemleta uyo babako
@user-qk5gh5ns9m
@user-qk5gh5ns9m 4 ай бұрын
Huelewi kiswahili ww​@@rogerabdallah439
@avelinpriscus6018
@avelinpriscus6018 4 ай бұрын
Mletemamayako
@jabirkibwana1568
@jabirkibwana1568 21 күн бұрын
Hongela kaka tangalahatu mawazo kando hongela mungo azidi kuku jazanguvu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤and 32:58 33:00
@ishengomarugemarila908
@ishengomarugemarila908 4 ай бұрын
Nakukubari mwakonyo
@gabybulba9574
@gabybulba9574 19 күн бұрын
Hongera sana kaka
@musaamos2431
@musaamos2431 4 ай бұрын
Nakukubalj mwamba mwakinyo pamoja sana
@Izaangonyan
@Izaangonyan 4 ай бұрын
Hongera bingwa from my country i am so proud for MWAKINYO pambono moja tu ndio uliniangusha mjin Liverpool lkn unapoamua kuifanya kaz unaifanya kisawasawa na sijaonaga kama Mwakinyo
@user-cu6mr4uj9q
@user-cu6mr4uj9q 4 ай бұрын
Allwah atakusimamia mwakinyo
@user-bv4gu5po4g
@user-bv4gu5po4g 4 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉kazi nzuri broo hassan❤❤ tz oyeee
@hamzamakame-fy6yp
@hamzamakame-fy6yp 4 ай бұрын
Maasha allah hassan hongera kwako kaka wanao bishana na ww ndy wanaokuwa chanzo cha siziki yko wako hivyo waendelee kuwa na chuki wako maana ww unaakilia ya ngumu hivyo watakuchukia tu 💪💪💪💪
@GiahESayi
@GiahESayi 4 ай бұрын
Hongera Sana mwakinyo aibu yao waliokuwa wanakutafutia mzengwe ktk kazi zako mungu akizidi kukupambania mwisho wao ni aibu
@davidmeta8747
@davidmeta8747 4 ай бұрын
Cha kushangaza wapo humu wamegeuka kumshangilia,,hii ndio tz,rafiki kinyonga,leo rafiki kesho adui keshokutwa rafiki
@user-ku1ys6xf6x
@user-ku1ys6xf6x 4 ай бұрын
Asante🎉
@mussamwamoto8231
@mussamwamoto8231 4 ай бұрын
Mwakinyo hongera Sana,umeonyesha maneno na vitendo kwa pamoja,watu wengi na mabondia wanakuchukia ila hawaelewi kuwa kuongea kwako kunaamsha amsha games za ngumi kuwa na ushindani,salamu kwa wapaka piko zimefika,wale walio andaa pambano Tanga ilikuwa ni gamę plan kuvuruga bambano la Zanzibar,ila mungu kawaumbua na tumeamini maneno yako kuwa ni maadui zako,kwa nini wasipange pambano lao tarehe 28?
@josephatmakaranga
@josephatmakaranga 4 ай бұрын
Haongei kuamsha amsha tu Bali jamaa anatetea haki za mabondia pamoja na maslahi yao kwa ujumla.
@mwananganzi
@mwananganzi 4 ай бұрын
Congratulations to u and god bless u HASSAN Mwakinyo
@adammbarouk4379
@adammbarouk4379 4 ай бұрын
❤🎉 hongera sana bro
@user-uu5fi2zz7h
@user-uu5fi2zz7h 4 ай бұрын
Good job champenz
@osoovieraamigo4709
@osoovieraamigo4709 4 ай бұрын
Hongera familia hii game umeonesha umaarufu sio siri...keep it up MWAKINYO🎉
@user-pq2gv9wm1h
@user-pq2gv9wm1h 4 ай бұрын
❤❤❤ yako Ayo hasani waonyeshe maboya wataka kufafana naww
@AdilRashid-lw9wg
@AdilRashid-lw9wg 4 ай бұрын
Kama unajua unajua tyu mti wenye matunda ndo hupigwa mawe Yan mnatak mtudanganye kwadunia hii kwamba mwakinyo hajui ngumi?nyie mwakinyo ni bondia haswa TNG❤❤❤❤❤❤❤
@zaradially1666
@zaradially1666 4 ай бұрын
Keep it up mwakinyo baba ngumi unajua watazania sisi wivu ndio tatzo nakupa maua yako🎉
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 4 ай бұрын
Safi sana kijana mchezo uko sawa.
@user-wv1pu4jo3k
@user-wv1pu4jo3k Ай бұрын
Huyu soja wa Ghana kule kwao ndio kama kiduku huku Tanzania levo yake ni kiduku sio mwakinyo kwa mwakinyo atachezea sana
@LovelyGo-Kart-so8ur
@LovelyGo-Kart-so8ur 4 ай бұрын
Honger kaka ww nifundi wangumi unajuakk
@user-ib5jh9xg5q
@user-ib5jh9xg5q 4 ай бұрын
God bless 🎉
@hamadkipenzy6905
@hamadkipenzy6905 3 ай бұрын
Uwezo wa Hassan Mashallah Allah azidi kumpanguvu katika mikono yake Insha'Allah kingine kiherehere cha mtangazaji anamtangaza mshindi kama yeye ndiyo refa hajafuta protocol ametengeneza delay
@user-wv1pu4jo3k
@user-wv1pu4jo3k Ай бұрын
ingetakiwa mwakinyo angeenda kule Ghana akamfue soja kule kule kwao ili heshima iwepo
@josephmwabange9633
@josephmwabange9633 4 ай бұрын
Yule jamaa ni mbavu lakini ,mwakinyo ana uzoefu mwingi, na ngumi yake haitui ovyo, hongeraaaa brother Mwakinyooo, utakuwa mnyakyusa wewe hakika , maana ni nooooomaaa! Mungu aendelee kukutia nguvu, tulikumisi ulingoni sanaaa! Sasa tafadhari sana , katupigie yule muingereza basi , naamini utaonesha maajabu !
@saidmasoud9004
@saidmasoud9004 4 ай бұрын
Huyu Mghana alikua mgumu sana. Welldone Mwakinyo
@user-ky3dj4tp5i
@user-ky3dj4tp5i 4 ай бұрын
Pipa na mfuniko hao
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 21 күн бұрын
​@@user-ky3dj4tp5i😂😂😂😂😂 hamna kitu hapo ngumi zakuotea tu
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 4 ай бұрын
huyu jamaa kiboko hana rongorongo wenye wivu wakakojoe wakalale😂❤❤❤
@user-nv8oq5ep6c
@user-nv8oq5ep6c 3 ай бұрын
hongera brother
@hamadiselemani8665
@hamadiselemani8665 4 ай бұрын
hongera sana
@hariethmatungwa9293
@hariethmatungwa9293 4 ай бұрын
Kazi nzuri
@user-hi5dx1cn6b
@user-hi5dx1cn6b 4 ай бұрын
TZ one forever and ever
@jumamabu3650
@jumamabu3650 4 ай бұрын
Mwakinyo ni fundi , anajua sana Allah amjalie kijana huyu
@WebDevComputerLearning-dr8ej
@WebDevComputerLearning-dr8ej 4 ай бұрын
Champez Mwakinyo............! The One N Only in Tanzania and Africa
@user-zs4xz1vv4o
@user-zs4xz1vv4o 4 ай бұрын
Safi sana champez Mogadishu famili
@AthumanSeleman-zz3im
@AthumanSeleman-zz3im 4 ай бұрын
Safi Sana brother
@bigirumanalululouise4540
@bigirumanalululouise4540 4 ай бұрын
Mwakinyo umetisha❤❤❤❤❤
@imanimwampagama8390
@imanimwampagama8390 4 ай бұрын
Nimefuatilia comment za watu hakika nyota ya mtu huwezi kuua kabisa utajitahidi kuififisha lkn mungu ana kung'arisha zaidi sema wabongo msema kweli wanaona kama mkorofi jamaa hapendi ubabaishaji!
@jabrous2057
@jabrous2057 4 ай бұрын
hayufosi KO tunacheza professional boxing,,champez one time hongera
@abuuyusufamashi5459
@abuuyusufamashi5459 4 ай бұрын
Mwenyezi mungu amkinge na Mahasidi
@chiamberboy2394
@chiamberboy2394 4 ай бұрын
Amazing fight
@DavisMmole-yk8lo
@DavisMmole-yk8lo 4 ай бұрын
Mwamba unajua waache wasiojielewa wakuseme vibaya ukiwa unapambambania maslai Yako ❤❤we ni mwelevu hepuka unyonge bro pigania maisha Yako Kaz iwe na maslai fanya Kaz good champion
@user-wv3dq4mx3d
@user-wv3dq4mx3d 4 ай бұрын
Big up mwakinyo
@JeremiaJohnsonmkane
@JeremiaJohnsonmkane 4 ай бұрын
Onger bloo God bless you
@AyubuKibengu
@AyubuKibengu 4 ай бұрын
Hongera sanaa mwakinyo nimefurahii sanaa hinzo ndo ngumi tunataka safi sana
@abubakariali9848
@abubakariali9848 4 ай бұрын
Hongera mwakinyo kwa ushindi mnono Ila kwa huyu mwanajeshi hakuna bondia anapiga ngumi kama tunaangalia Slow motion sioni Jab, sioni Combination, 1 two hakuna kwa ufupi ni pambano la kawaid na hio Combat angeivua anatudhalilisha wanajeshi
@kellybreezytz2491
@kellybreezytz2491 4 ай бұрын
Kesho tutakuita upigane wewe
@hamadkipenzy6905
@hamadkipenzy6905 3 ай бұрын
Tanga Alihamdulillah tupo vizuri zaidi sana kuna kina bonzo na mambea sasa Mtoto wao Mwakinyo
@user-vm1yw6yh5u
@user-vm1yw6yh5u 4 ай бұрын
Uyu ni crawford wa tz🔥👊
@sidebraizoy2070
@sidebraizoy2070 Ай бұрын
Nakukubali sana champez🎉
@adampius5140
@adampius5140 4 ай бұрын
Kma hajaguswa yaan macho meupeeee Hongera sana Hassan Mwakinyo unatuwakilisha vemaaa sana
@faakhames
@faakhames 4 ай бұрын
Nakukubali sana mwakinyo zidi kutangaza tz
@HappyGrant
@HappyGrant 4 ай бұрын
Mwakinyo mtegemee Sana mungu upo viziri Sana sio makuli wanaigiza ngumi wanakumbatia
@user-yo7sj8fs4h
@user-yo7sj8fs4h 4 ай бұрын
Jamaa anajua. Wanajitahidi kumtenga na kumtengenezea chuki bure. Safi Mwakinyo
@eshaabdallah8253
@eshaabdallah8253 4 ай бұрын
Umeweza kaka wa Taifa🇹🇿
@saidsam3053
@saidsam3053 4 ай бұрын
Hongera sana broo ALLAH azidi kukusimamia inshallah waloanzisha pambano jn tanga walikuwa na Nia mbaya ya kukuharibia pambano lko ila Allah kakuhifadh haiwezekani star km ww jn ilitakiw tz nzm ikuangalie ww lkn Kun wanafik tz sure
@saidmagayuka4939
@saidmagayuka4939 4 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯
@niccollabalele
@niccollabalele 20 күн бұрын
Nasema hivi tutawpiga sana Team mwakinyo maana tunafanya mazoezi kwa nidhamu kubwa.....msitugeze kuongea tunawalegeza kwa maneno na tunawapa hasira Team mwakinyo(Moore money more despline)
@HigganadventureTanzania
@HigganadventureTanzania 21 күн бұрын
We still need to see the fights 😮
@JumaKimanga
@JumaKimanga 4 ай бұрын
Champion mwakinyo Yuko power kabisa
@user-hy2bb7bp4o
@user-hy2bb7bp4o 4 ай бұрын
Big up Hassani mwakinyo ww ndo Tanzania one hakuna mwingine zaidi yako wengine hamana kitu zaidi ya wivu wa maendeleo pamoja Champez big up bro
@user-pj8yc3zw6m
@user-pj8yc3zw6m 4 ай бұрын
💪💪💪💪💪
@abubakarially3461
@abubakarially3461 4 ай бұрын
Mashallah
@user-dz5cy7oy2c
@user-dz5cy7oy2c 4 ай бұрын
Azam wanatuangusha sana pambano kubwa afrika kweli. Mana mwakinyo namba moja afrika wametuangushamno mono sijapenda au kisa kagoma kucheza na Yule under dog
@user-wv1pu4jo3k
@user-wv1pu4jo3k Ай бұрын
Namkubali mwakinyo
@HamisiWadali-es6fs
@HamisiWadali-es6fs 4 ай бұрын
Hongera champez
@ibraahmfw1147
@ibraahmfw1147 4 ай бұрын
Ngumi jiwe, hongera Home boy , Refa alitakiwa awashike mkono then amnyanyue mshindi juu hapa imekua tofaut😅😅
@AllyAlly-qn1ch
@AllyAlly-qn1ch 4 ай бұрын
Hongera xna broi
@mariamthomas5554
@mariamthomas5554 4 ай бұрын
Hongera Kwa mpambano mzuri
@user-ou8hr9ff8g
@user-ou8hr9ff8g 4 ай бұрын
Dua sana kwako Kaka mwakinyo
@jumautikae881
@jumautikae881 3 ай бұрын
ni kweli Hassan kacheza vizuri sana lakini huyo jamaa nadhani si kweli kwamba ni soldier
@damaspmtz1018
@damaspmtz1018 4 ай бұрын
Mwakinyo Unajua ngumi, ukitoka wewe anafuata Twa kiduku anafuata Ibrahim clask Big up Tanzania 🇹🇿 my best
@rashid3562
@rashid3562 2 ай бұрын
Mwakinyo mungu amjalie nguvu zaid
@abubakarially3461
@abubakarially3461 4 ай бұрын
Pamoja sana home boe
@MwanaNgurumo
@MwanaNgurumo 4 ай бұрын
Ninakuamini sana mwaba ujawai kunihagusha mtan wangu wasambaa hoyeee❤❤
@zubeirsalum4823
@zubeirsalum4823 4 ай бұрын
mghana kapipa hesabu kaona hawez toboa round ya 10, hongera hassan mwakinyo
@zuberikamote2078
@zuberikamote2078 4 ай бұрын
Safi sana mwakinyo mdogoa angu mungu akusimamie umeiheshimisha tz umetuheshimisha watanga wenzio
@ezekielmbise9766
@ezekielmbise9766 4 ай бұрын
Wanafiki wote baada ya ushindi wako tunakuunga mkono. 😅hongera Sana mwakinyo
A CRAZY Year for Bahram Rajabzadeh | 9 Fights in 13 Months
53:40
GLORY Kickboxing
Рет қаралды 106 М.
MAKONDA NA POLISI ALIYEMPIGA BIBI NYUMBA ARUSHA KWA LAK 5
12:16
CHAMPION TV
Рет қаралды 150 М.
Универ. 10 лет спустя - ВСЕ СЕРИИ ПОДРЯД
9:04:59
Комедии 2023
Рет қаралды 2,3 МЛН
1 класс vs 11 класс  (игрушка)
00:30
БЕРТ
Рет қаралды 4,1 МЛН
Василиса наняла личного массажиста 😂 #shorts
00:22
Денис Кукояка
Рет қаралды 8 МЛН
Which one of them is cooler?😎 @potapova_blog
00:45
Filaretiki
Рет қаралды 10 МЛН
VITASA | AMIRI MATUMLA VS REAGAN PACHO
38:11
Azam TV
Рет қаралды 24 М.
VITASA | Ibrahim Class vs Xiao Tau Su | #UlingoWaMoto 28/10/2023
39:01
Он ОПОЗОРИЛ рукопашников!😭
1:00
Petr Savkin
Рет қаралды 107 М.
100.000$ & 50$ | Mỹ & Việt Nam Part 4
0:10
Sáng Tiền Xu
Рет қаралды 9 МЛН
Respect After The Fight 🔥
0:12
FightingDad
Рет қаралды 13 МЛН
ЗАРУБИЛИСЬ НА СПОР 😮 #shorts @EXPERTIZAMMA
0:59
ExpertИза MMA
Рет қаралды 691 М.
Его невозможно остановить... 🤯 #shorts
0:55
From Enemies to Friends in Football❤️
0:23
SkillerHome
Рет қаралды 3,7 МЛН