Queendareen umeongea vizuri sana ♥️ ungekuwa karibu ningekuwa tano, muangalieni baba
@fatnahsaleh8603 жыл бұрын
I love you Queen, Mama B❤🥰. Umejibu kistarabu kwa kweli. Kila lakheri mamy🌹
@kaulimbiu1813 жыл бұрын
Kweli mume ni dawa, Queen tangu aolewe amekuwa na busara sana mashaaAllah. Mola akutangulie kila khatua. Ameen 🤲
@asyaseif40003 жыл бұрын
Umeongea busara sana Allha akuzidishie
@aishaarusha8943 жыл бұрын
Amin
@hassansalum53623 жыл бұрын
Busara kutangaza mitandaoni kama baba ake mlevi uko ni kukosa heshima
@josephmaguza64133 жыл бұрын
Sasa kama baba wa tungi asiseme
@hassansalum53623 жыл бұрын
@@josephmaguza6413 Ndoo amtangaze kwenye vyombo.vya habari
@raudhamahmoud95383 жыл бұрын
Asante dalin
@aishajafa41393 жыл бұрын
hili swala darlin alikua analijua yeye sio geni kwahiyo hawezi kushtuka kivile big up darleen umeongea vizur
@rahmaramadhan97733 жыл бұрын
Nakupenda Sana Queen mama b tulia mwaya mungu akutunzeni 🤲
@edsonkatoTv3 жыл бұрын
You deserve to be whom you are big up Queen Darleen 💪
@afandechanel15073 жыл бұрын
Queen naona Siku hizi amekua nabusara Sana kweli mume ni wamuhim saana kwenye maisha ya mwanamke
@khamiskamtoi50943 жыл бұрын
😂😂😂 katulia
@rajabumalupu41843 жыл бұрын
Mwanaume ni malighaf isiyoozaaa
@neemamdami74663 жыл бұрын
Amepata Dr.mzuri
@prettyh75093 жыл бұрын
Inshallah dada mtegemee Mungu daima atakutunzia ndoa yako
@jumajay84963 жыл бұрын
This topics it is is too tough for her i fiil so sad for her in a body language anadhalilika sana na hii hali lkn anajikaza kisabuni mbele ya cameras kuonyesha kua yuko alright but hii situation iko ngumu sana kwake thats why amepungua mwili although she is looking nice in his new body.
@@ashamwamba9088 na endelea kumshangilia ivo ivo maana hata hukitambui unachokiongea😆😆
@habarinamichezo64273 жыл бұрын
@@ashamwamba9088 kw hyo baba yake alivyoachaga kulea familia nae alikua freemason sasa mbn hana hela muamini muumba wako acha kutukuza miungu hyo
@Itscrazyvibe3 жыл бұрын
Sio his new body, ni her new body
@HumbleAfrikan3 жыл бұрын
She knows how to answer question .... Love the approach
@nancynyagah68433 жыл бұрын
very true, smart and intelligent. i can now believe the dad is the problem.
@fatumamkuzi14753 жыл бұрын
Inshaallah Daa Nakupenda sana dadangu
@rozmihambo19353 жыл бұрын
Amina mugu akulinde
@maisarasid86702 жыл бұрын
Nakupa hongera kwa maamuzi dada
@anitahlove92743 жыл бұрын
shes very beautiful
@halimasulaimani8483 жыл бұрын
Hapo kw mzee Abdul bora ilo swali usingejibu ingependeza zaidi
@ferouzmasoud47413 жыл бұрын
Pesa hizi jaminii shda sanaaa Na ogopa Sanaa umasikini il kuwa Makini 👊
@nancynyagah68433 жыл бұрын
hapa hamna cha pesa. haya ni mambo ya familia, wanayajua zaidi yetu. baba ni baba awe maskini wala tajiri ni baba yao. luckily hao wanao wanamkubali. mzazi hawezi sema mtoto wake ambaye ni mtu mzima abadilishe jina. wengine wetu tumepitia mambo kama haya pia. majina na ulezi wa wazazi walezi lakini bado wanatupenda na kutuheshimu na pia sisi vivyo hivyo
@wennceslausmushi23563 жыл бұрын
Nafikiri darleen ungejibu no comment kwenye swala la mzee ingependeza zaidi.
@afterfull-time13483 жыл бұрын
Ili iweje ma ukwel unajulikana kwann mnapenda ufitini ayo majibu ya no comment yanapatkana cloud kwa wapmbav huko
@khalidbalala77533 жыл бұрын
Kweli queen Darling umeongea point
@kimah98553 жыл бұрын
MashaAllah amejibu vizuri
@MrCyprian15893 жыл бұрын
Woow! She is bright!
@emmanuellkfightforjusticea24743 жыл бұрын
You are bright my sister
@wazirimpeo89953 жыл бұрын
Great answer NI BABA YAKE NA ATAENDELEA KUA BABA YAKE.... NI KAKA YANGU NA NI BOSS WANGU MILELE.. QUEEN KAJILIPUA PWAAA LIWALO NA LIWE
@eilinli78463 жыл бұрын
😄😄
@mussomachupa72523 жыл бұрын
Kaongea vizuri,ingawa alikuwa anataka kupanic mahic kwa hasira ya situation yenyewe,naamini mungu mkuu dada yashapatita Cha msingi mzee atulie I wish atafanya kitu kwa maisha ya mzee Abdul.
@gigiogglamourmjg59023 жыл бұрын
Me love you Darlen
@lwiticomwalukumba41483 жыл бұрын
Darleen you are the best
@samaamin25013 жыл бұрын
Da mdogo unaongea vizuri sana shukran. Upo vizuri sana.
@rizikirizikirasy93003 жыл бұрын
MashaAllah 😍😍waongea vizuri sana dada
@NM-rq9dr3 жыл бұрын
Masha Allah m'y Queen
@aminamjema22923 жыл бұрын
Kwa Mara ya kwanza nimekukubali hongera kwa maneno ya busara mungu akubariki jitahidi usikubali kila mambo yako ya ndani yajulikane mitandaon kila LA kher
@laurentraphael54703 жыл бұрын
Njaa mbaya sana. Utumwa mbaya kuliko wote ni kuruhusu tumbo litawale kichwa. Kama fikra zikiwa utumwani, uwe na uhakika mwili pia kadhalika.
@sarahhamisi20703 жыл бұрын
Ulitaka aongee",nn muiteakuhoji unachojuwa familia ndoinajua kilakitu
@salhamrisho81383 жыл бұрын
Queen mwembamba jamani ila kapendeza saana mashallah
@عبداللهسالم-ه2ي3 жыл бұрын
Pole sana dada
@jonathanicrisatijonathanic67083 жыл бұрын
Mucheki Giva ana ngoma kali sana
@philipfrankmakutsa96633 жыл бұрын
Waoooo cammooon queen umeongea point saaana
@dieudonnebigirimana80833 жыл бұрын
Queen Darlene ♥️ kasema vizuri🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@pirato54623 жыл бұрын
Queen upo vizuri we piga kazi
@sharinv88643 жыл бұрын
Dada umeongea point sana mungu akubariki na azidi kumpa hekima ya hali ya juu kwakweli tunamlaumu diamond bt kwa upande mwengine mzee abdul ana matatizo cos ni mda sana akidhalalisha watoto wake mtandaoni na huwezi panda maindi ukavuna mtama so anavuma.
@afterfull-time13483 жыл бұрын
Kabisaa
@wakallalashaban92593 жыл бұрын
Good saana
@iminzaiminza58133 жыл бұрын
This gal is saved,Anapenda Mungu
@rachealkitawa21533 жыл бұрын
Queen uko sawa sana piga kazi
@jamilaezekiel61743 жыл бұрын
Umeongea vizuli sana dada mungu akubariki ww na mme wako na akukuzie mtt wako
@sarahhamisi20703 жыл бұрын
Yes nimekuelewa
@olomweneabongela17173 жыл бұрын
Aliyesikia mzee Abdulu anapenda pombe sana na kupewa hela juu ya interview anipe like na kwa hilo nimegundua mzee ndiye mwenye chimbuko la hii story kutokea . Kisa ukosefu wa kuzibiti pombe na kupenda sana pesa bila kujali anazipokea kwa kazi gani.
@kingkendrickk3 жыл бұрын
Big up queen darlin. Nice response
@ellyboy41653 жыл бұрын
Noma xna
@falidajohn46293 жыл бұрын
Nimekupenda Qwen
@nuruchikoe19593 жыл бұрын
Queen darlin hongera sana umejibu kishujaa
@Drkhan3453 жыл бұрын
Pole njaaa mbaya
@eladiuspeter5863 жыл бұрын
Njaaa haiwez nifanye nimsaliti baba ang hvyo. Huyu diamond na mama ake ningewacharukia na ningeachana nao mara moja
@adijaniyonkuru97313 жыл бұрын
Unayosema unauakikia, sio BB yke mnalazimisha
@afterfull-time13483 жыл бұрын
Darleen mwenyw alikwa anajua na hyu mzee aliwafukuza toka miaka hiyo ata wakienda kumuona ila ww endelea kuchanganywa na umaskin
@Kasiera3 жыл бұрын
Just reminds me of Meghan...... Many blessings to you Queen Darlin
@osmanmohammedosman54933 жыл бұрын
Nakupenda bure Darling
@gynae84073 жыл бұрын
Huyu nae njaa tu
@salmare26283 жыл бұрын
Maahallah dalin umekonda umependeza
@bintimohamed26463 жыл бұрын
Inshaalah 🤲
@bakariyusufujuma3 жыл бұрын
Ukiwa na pesa siku zote utapewa kila aina ya heshima sawa yote maisha
@isaacnduwayo18453 жыл бұрын
Umeongea point brother🤝
@rosepodi41273 жыл бұрын
Safi sana.
@azizayassin36233 жыл бұрын
Gorgeous darling 🥰🥰🥰😍😍😘🥳🥳
@gracetanyungu47273 жыл бұрын
Wow Queen u r one in amillion
@marthaanton69673 жыл бұрын
Umeonngea point sn Queen Darling nimekuelewa mno
@allyfleva89203 жыл бұрын
wa2 wakuona mjinga ila mie nakuona wewe ni shujaa kweli wewe umilisi kakili ya mzee wako cz huna pupa so hongera sana dada
@queenbi54773 жыл бұрын
Queen kama Queen 💓💓💪
@geofreylugangila79083 жыл бұрын
Majibu ya kiutu uzima asante Dada
@lindajoasine88063 жыл бұрын
Good job Darline
@djdj3urj883 жыл бұрын
Nyie wanafiki sana na kesho hamtauona ufalume wa mungu mlitangaza kaachwa taraka 3 mungu ameharamisha uongo
@subirajohn7283 жыл бұрын
Kwa hiyo wewe ndio utauona ufalme wa mbingu kwa vile unapenda kusema uongo unazimisha uongo uwe kweli kwa matakwa yako!
@tamaraseff.97073 жыл бұрын
Ana njaaaa kweli waaaaaa
@sofibaby18003 жыл бұрын
Mashallah queen ameongea point Sana
@irenekerubo97913 жыл бұрын
Mzee Abdul pongezi uko na watoi wasupuuu
@theblessedone75263 жыл бұрын
Queen amekomaa anajua kujibu maashallah
@ibrahimhemedi90793 жыл бұрын
Well family issues itabidi wachiwe wenyewe to deal with this, mama mtungi baba mtungi everyone mtungi at end the day maisha tuh.
@raudhamahmoud95383 жыл бұрын
Mungu awadumishe na mumeo
@marygregory75663 жыл бұрын
Baba ako anaekunywa sana ni yupi..MZEE ABDUL au DIAMOND manake hao wote umesema ni baba zako
@azmoal3 жыл бұрын
😂
@cendrillonnam45493 жыл бұрын
Ata mondi anakunywa
@joycechaz28403 жыл бұрын
😂😂
@furahachuma90395 ай бұрын
Yani pesa ni kila kitu. Yaani Darlin leo Mwambino awe baba yako?
@muhidiniharuna37353 жыл бұрын
Mpuuzi sana
@jacklinengozi11223 жыл бұрын
Poverty is bad, queen wake up.
@reubenson83423 жыл бұрын
Maneno machache lakini mazito ✅
@agwalubifaridah70793 жыл бұрын
Idont trust this imbecile alikuwa anapewa pesa ampeleke mzee Abdul na anakula mshenzi sana
@priscaishemo38103 жыл бұрын
.
@kaulimbiu1813 жыл бұрын
@@agwalubifaridah7079 uliwahi kuwa na yeye akipewa? Mbona tunapenda kujilimbikizia dhambi reja reja ndugu zangu.
@nishasalim28803 жыл бұрын
She needs to open her eyes.😕
@mkwawaaziz62953 жыл бұрын
That's Queens to talk full authority
@angelmwanjalila8573 жыл бұрын
Jinga hili,,, et ana kunywa sana kwahio kama anakunywa tukusaidie nn unazan umeongea point kumbe upuuz tu mzarauni sana huyu baba one day mtakuja kurealize and it will be too late,
@adijaniyonkuru97313 жыл бұрын
Point
@nshonabdll93633 жыл бұрын
Ebu Pambana na mzee wk achana na povu LA wazee wawatu kaa
@mwikamwika48513 жыл бұрын
Sasa Angel hapo Darlene amekosea Nini? Amesema hivyo yawezekana mitungi sometimes mzee inampelekesha na pia media's zinapata news kwakuwa brand Diamond platnumz ni kubwa nchini na Afrika hivyo habari zake wengi wanapenda kuzifuatilia. Kwani wewe Angel huna matatizo na nduguzo? Mbona watu wanakujua vzuri lakini wanakustahi tu. Mambo ya familia za watu tusizipende Sana kwani wapo wanaozijua Sana familia zetu pia.
@angelmwanjalila8573 жыл бұрын
@@mwikamwika4851 hahahaaa umenifanya nicheke kwa sauti. Pole sana, siwezi mkana mzazi wangu hata skumoja wazazi ni baraka kwangu et watu wanaijua vizuri wananijua kwalipi wananistahi kwalipi hizo ujinga zenu peleken huko bhana mtajuta badae an
@bcozhenry26983 жыл бұрын
@@angelmwanjalila857 hujamwelewa Darlene kwanini amesema babaake anakunywa sana! Kabla hujamtapikia mtu jifunze kumsikiliza na kumwelewa... Amegusia kunywa sana kwa babaake wakati akieleza wàandishi wanavyomrubuni kwa kumlipa fedha ili afunguke story wao wauze KZbin
@lightneskatarama41563 жыл бұрын
Mwanamke wa shoka😙😙😙
@musitemusite43163 жыл бұрын
Maashaallah
@saumuomary10043 жыл бұрын
Pole
@naamohamed99643 жыл бұрын
Shikamoo Dareen
@pillyolsen83773 жыл бұрын
Njaaa mbaya sana
@ismailyusuph7403 жыл бұрын
Bibie ulitakiwa umwambie Hayo mambo Siwezi kuyaongelea ‘ Yaani ndo umeyatimba kabisaaaa...!
@asiaswedi89453 жыл бұрын
Kweli kabisa
@ashafatuma31673 жыл бұрын
Hawa watu awana busara na aibu pia awana, yeye ni mwanamke lakini ana mtoto wa kike na wakiume!!!
@boyjopar87173 жыл бұрын
Mamaeeeee
@johnsonchonja40323 жыл бұрын
Darlin umekua sana big up
@joharijj21643 жыл бұрын
Mbona watu wanamsema vibaya jamani mbona ajaachika,, nampenda huyu Sana.
@m.mmarckus62983 жыл бұрын
Nimeogopa kuuliza mm
@saladaniel92743 жыл бұрын
Safi darling umeongea ukweli kbs
@officialwilondja94433 жыл бұрын
Vinzur unajuw kuongea saaaaana
@raudhamahmoud95383 жыл бұрын
Kweli dalin nakukubali
@phoebemasico37423 жыл бұрын
She's a wise woman.
@kimwerionlinetv55743 жыл бұрын
Njaaaa mbaya sana
@gerry_macopper38083 жыл бұрын
Dada kapungua sana nn shidaa
@wahabmkazi79023 жыл бұрын
Si anyonyesha au
@arafaally28953 жыл бұрын
Pole mzee Abdul hata huku unakanwa eti baba ni dai
@imachiluka66373 жыл бұрын
Daàaaaaa mm siamini kama mzee abduli ni mlev
@estermathias83543 жыл бұрын
Kaongea vizur sana
@mwinukafundibombanjombe3 жыл бұрын
saiz queen ndio anamwili mzurii
@zuuzuundotterz40323 жыл бұрын
👌👌👌
@bahatijoseph87633 жыл бұрын
Umekondaa Darling
@lufufumkudesimba62443 жыл бұрын
Da ishakua kesi sasa
@denysemariebaziruwiha7023 жыл бұрын
Queen Darleen kama 👸. Meanamke mwenye hakiri na busara.. Unafanya vizuri hauropoki kwakujibu wambea. Unajuwa cenye unatafuta maishani. Moja kwenye mastaa wakike tz wakuigiwa. Mme wako amebarikiwa. Uwo njo urembo wamwanamke . 🙏🏾