DOTTO MAGARI amlipua DIAMOND ALIKIBA KUZIDUA REDIO aache kuvimba KIBA havimbi

  Рет қаралды 130,036

Bongo Plus

Bongo Plus

Күн бұрын

East African number one KZbin channel for Gossips,Sports as well as Politics News owned By BONGO PLUS
KANUNI NA MUONGOZO
Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
WeAreEverywhere
#entertainment #exclusive #trending #diamondplatnumz #wasafi #ayotv #update #updatenews #udaku #gossip #mwijaku #babalevo #tanzania #kenya #manara #hajimanara #bongo #habari #justinbieber #bieber #rap #hiphop #hiphopmusic #pop #rnb #rnbmusic #exclusivenews #tmz #tmztrends #arianagrande

Пікірлер: 209
@saula_brand
@saula_brand 6 ай бұрын
King kiba fans hapa na wanao muunga mkono DOTTO MAGARI hapaaaa
@nicholausmukoji9720
@nicholausmukoji9720 6 ай бұрын
Tatizo ni pale kila kitu mnataka kuwafananisha Ally na Diamond. Hawa ni binadamu, Mungu kawaumba tofauti na hivyo hawatokuja kufanana hata siku moja
@omarykabonga908
@omarykabonga908 6 ай бұрын
Izo ni mbwembwe za machawa mzee usichukulie serious
@KenedyMwaipaja-n8w
@KenedyMwaipaja-n8w 6 ай бұрын
🙏🙏
@stanleymanya438
@stanleymanya438 6 ай бұрын
Hawwamuoni mo na bakgresaaa!!?
@LOLISO_MP
@LOLISO_MP 6 ай бұрын
Unaumia watu wanakula hela
@EdsonOmbeni
@EdsonOmbeni 6 ай бұрын
Kama unamjua mtoto wa doto magari like hapa
@titongholo6261
@titongholo6261 6 ай бұрын
Asante sana Dotto Magari , hao waandushi wa habari ni makanjanja hawana weredi wowote ktk kuuliza maswali , umewashushua vizuri ni wapuuzi sana
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 6 ай бұрын
Hatuna waandishi hapa. Mnashindwaje kumuuliza maswali muhimu
@omaryjuma5204
@omaryjuma5204 6 ай бұрын
Mngekua mnamuoji kitaaluma angewajibu vizuri sema mmemuoji kisela na yeye anawajibu kisela hakuna mlicho hoji hapo wala mlicho jibiwa 😮😮😮
@erickmbilinyi2056
@erickmbilinyi2056 6 ай бұрын
😂😂😂😂
@erickmbilinyi2056
@erickmbilinyi2056 6 ай бұрын
Siomeona ilo swali la nn wazimgatie kajibu vzr
@hashimsultan6760
@hashimsultan6760 6 ай бұрын
Bro hiyo ndio wandishi wa bongo wana maswali hata mtoto mdogo anajibu hawana point hata moja ya kuliza yaani bado kabisa wana maswali ya kijinga sana
@moheregetema4136
@moheregetema4136 6 ай бұрын
Dotto anakuhudumia jinsi unavyokuja
@ashuramhandoashuramhando6798
@ashuramhandoashuramhando6798 6 ай бұрын
Waandishi mia3 wanakosoa maswali ya kumuhoji Dotto hadi anawachamba😂😂😂😂😂😂😂 Dotto hoyyeeeeeee
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 6 ай бұрын
👑👑👑 king kiba respect kwake ##Dotto magari na hapa ipo😂😂😂
@jigwafrankie9420
@jigwafrankie9420 6 ай бұрын
Hakuna swali mtakaloliuliza likaonekana la maana kwake, mmekubali kumhoji kubalini yote, kuna namna anawadhalilisha.
@mandyuwimana7735
@mandyuwimana7735 2 ай бұрын
😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉yako ayo Doto Magari😂😂😂
@AmourAmour-f4c
@AmourAmour-f4c 6 ай бұрын
Wandishi wanaogopa ata kuhoji wasichezee vimondo😅
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 6 ай бұрын
Na kweli kabisa king Kiba ni mstaarabu Sana
@AmaniHusseni-gz3xq
@AmaniHusseni-gz3xq 6 ай бұрын
Safi sana doti ma gari
@charleskadikilo1969
@charleskadikilo1969 6 ай бұрын
BANGEEEE
@issaswalehe200
@issaswalehe200 6 ай бұрын
nyinyi washamba hiyo ndiyo habar tofaut na wengin na nishavu kwa wandish...
@deeruta9894
@deeruta9894 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 dotto magari hatari kwa kuogea ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@toshindugwa1085
@toshindugwa1085 6 ай бұрын
Poleni sana anawadhalilisha ila ndio kazi kuwahoji watu kama hao kunahitaji busara
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 6 ай бұрын
Leo waandishi mmepatikana mnao penda kuchonganisha Adabu yenu Leo mnapenda Sana kufananisha na kuchonganisha 😅
@رقيهالخصيبي
@رقيهالخصيبي 6 ай бұрын
Umeona eee
@teedullah5708
@teedullah5708 6 ай бұрын
😂😂😂 Leo wandishi mume patikana yani nyote mwashindwa na doto mumoja tu 😅😅😅
@ZenaidaDaniel-r9d
@ZenaidaDaniel-r9d 6 ай бұрын
Yan huyu doto kama vile yeye ndo mwandishi🤣🤣
@abubakarrajab4265
@abubakarrajab4265 6 ай бұрын
TeamKiba for life 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👊💯
@AlouiseNgenDanDumwe
@AlouiseNgenDanDumwe 6 ай бұрын
Hata mimi nimesafiri kuanzia mwaka 2011 brother it’s nothing kupanda ………?
@JoffuMaster-f5x
@JoffuMaster-f5x 6 ай бұрын
Sanaaa ditto magari nmekubalii sanaaa interview
@jeykajimbo3191
@jeykajimbo3191 6 ай бұрын
Yani Kila interview waonyesha hela😂
@Sadikisack-ey2tu
@Sadikisack-ey2tu 4 ай бұрын
King
@Z-moJamal-c4l
@Z-moJamal-c4l 6 ай бұрын
Nomaaa sana😂
@benbest3095
@benbest3095 6 ай бұрын
Ukimuuliza na wew unayo😂😂😂😂
@Starbrunodg
@Starbrunodg 6 ай бұрын
Komesha wandishi😂
@Kingstyvesayjj
@Kingstyvesayjj 6 ай бұрын
Dotto kaongea ukweli kbs
@mandyuwimana7735
@mandyuwimana7735 3 ай бұрын
Kutangulia siko kufika, pôle pôle ndo mwendo....
@magomakabanja480
@magomakabanja480 6 ай бұрын
Spendi Kufananisha Baina ya Ally Kiba na Diamond Plz Kila Mtu Anawapewa na Mungu na Kwawakati Wake
@FaridaKizenga
@FaridaKizenga 6 ай бұрын
Ila Doto🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@HadiaShaame
@HadiaShaame 3 ай бұрын
Ila dotto unatutesa😂😂😂😂
@moudy4realibrahim601
@moudy4realibrahim601 4 ай бұрын
Na hapa ipoo
@SamsonHamis-hw5xb
@SamsonHamis-hw5xb 6 ай бұрын
Jamaa mbona anadhalilisha Sana waandishi kwann isifikie mahala wamchane ukwer ikiwezekana wamsusie mpaka ajirekebishe
@byaomsema11
@byaomsema11 6 ай бұрын
Hiki kichwa ni hatari😂😂😂
@happynkya9770
@happynkya9770 3 ай бұрын
iv kwann usiseme diamond hawezi kushindana na mm kuliko utaje mtu mwingine,jitaje ww tukuone na ww ni mwamba
@mararegiononline3457
@mararegiononline3457 6 ай бұрын
Jamaa anavimba sana amenikera
@muhammadsalym4124
@muhammadsalym4124 3 ай бұрын
Dotto umejibu kisomi tena uko wazi kabisa ,,watu waulize maswali yenye kuendana na wakati
@charletsada8779
@charletsada8779 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂nimecheka cz wamekipata leoo hawata mhoji tena,bt ameongea point sana.yaan hataki uchonganishi
@AbdulHassan-qz2ot
@AbdulHassan-qz2ot 6 ай бұрын
Unyama doto
@ZenaidaDaniel-r9d
@ZenaidaDaniel-r9d 6 ай бұрын
🤣🤣ila doto mbona kam wewe ndo mwandishi🥰🥰🥰
@Callkingb
@Callkingb 6 ай бұрын
😂😅😊
@Hashkan22
@Hashkan22 6 ай бұрын
Huyuu jamaa ni comedian bwanaa watu wasimchukulie serious anapenda kuongea sio kwamba anawadhalilisha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@BrastoKibiki
@BrastoKibiki 6 ай бұрын
Dotto Magari anawafundisha waandishi kazi 😆😆😆😆😆 safiiii
@summayessayah8584
@summayessayah8584 6 ай бұрын
😂😂😂leo wamekutana na kiboko🤣🤣🤣🤣 yani Huyu 🤣🤣🤣🤣
@BenjaminBuchaguzi
@BenjaminBuchaguzi 6 ай бұрын
Wanaliya sana tu wamwache
@solomonOsam-d1t
@solomonOsam-d1t 11 күн бұрын
DOTTO BANA ETI ONGEENI TARATIBU SELIKARI IPO HAPA KKKKKK
@RabsonSalmon-ys7bf
@RabsonSalmon-ys7bf 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂doto magariii
@sebastiankatalle2732
@sebastiankatalle2732 6 ай бұрын
SEMA DOTTO NAWE UNABOA SANA
@sirnyoniinspirationstv5327
@sirnyoniinspirationstv5327 6 ай бұрын
Fikiria kama wote hatungesoma nani angefundisha mwanao na nani angekuwa daktari akutibu? Pesa si kila kitu, ukiweza ujanja ni kuwa navyo elimu na pesa na bado lazima utategemea
@saadatiyahyashabani-yg2xy
@saadatiyahyashabani-yg2xy 6 ай бұрын
😂😂😂huyo ndio mswahili sasa
@athanaswilliam6940
@athanaswilliam6940 6 ай бұрын
Sio Kila mtu wa kumuhoji.... Mnaharibu tasnia kwa kudhalilishwa. Hamjitambui nyi waandishi
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 6 ай бұрын
Sasa wajitambue kwa lipi wakati hizi ni tv mbao na redio za udaku umeona hapo kama kuna ITV, BBC, CHANEL TEN, hata cloudas haipo hapo, maswali yenyewe wanauliza ya umbea na yasiyo na weledi wa kazi yao.
@mvitahamad2126
@mvitahamad2126 6 ай бұрын
😂😂 Eti kwann nmenihoji
@salimmtenzi1263
@salimmtenzi1263 6 ай бұрын
Jamaa yuawatambia wanahabari kama watoto wake
@congratulationmayunga3833
@congratulationmayunga3833 6 ай бұрын
Yani hiloo bichwa bhana etih mama mitano tenaa 🤣🤣 si tutakufa sasaa kwa mda huu tu tumeshanyooka 🤣🤣
@MilajiHaji-f8f
@MilajiHaji-f8f 6 ай бұрын
Sasa mbona unshakable watu juuu hutaki wazungumze
@yadadkeybagenda5654
@yadadkeybagenda5654 6 ай бұрын
Kama umefika mwisho alafu unagundua mtu muandishi anatafuna ulimi like apa 😂
@saidchombo5952
@saidchombo5952 6 ай бұрын
Ataka kama ni sifa basi isipiuilize
@raymondmango5128
@raymondmango5128 6 ай бұрын
Tatizo doto ujasoma ata ukimtaja mama Kizimkazi mara 200 uwezi kupata kazi labda ubalozi nyumba kumi
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 6 ай бұрын
Waandishi wa habari hawajui kuuliza maswali ukweli 😂😂😂😂😂😂..
@RamadhaniShabani-nc5ve
@RamadhaniShabani-nc5ve 6 ай бұрын
R.m.s fashion
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 6 ай бұрын
Watangazaji awana fact awa ndio mana kila siku Clouds Fm inakua juu watangazaji wao ni wabunifu
@matukutajuma156
@matukutajuma156 6 ай бұрын
DAH! WAANDISHI MNAJIZALILISHA HAKYAMUNGU!!
@HunguZambia
@HunguZambia 6 ай бұрын
Ila ndoto
@Kibiriti_Sports
@Kibiriti_Sports 6 ай бұрын
Nilikuwa siamini kama dotto hajui kusoma ila leo ndio nimejua 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@FatimaFati-pu4lb
@FatimaFati-pu4lb 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂🎉 anawakomesha
@BenjaminBuchaguzi
@BenjaminBuchaguzi 6 ай бұрын
Kilasiku Niko nawambiya mkubwa nimkuba tu mashabiki acheni bifu Niko congo tunamkubali wala ajachelewa ok ajachelewa alikiba kazijema
@dogonoor8214
@dogonoor8214 6 ай бұрын
Dotto amekuwa mjeuri sana
@bibieghasia8277
@bibieghasia8277 6 ай бұрын
kuna mwandishi anatafuna ulimi hadi raha
@fadhilidoza5639
@fadhilidoza5639 6 ай бұрын
Huyu anawezaje kudharau waandishi na ndiyo wamemtangaza boya hili
@BongoPlus
@BongoPlus 6 ай бұрын
Hapo sasaaa
@kauzubanda3150
@kauzubanda3150 6 ай бұрын
Waliwaambia wanashindana? Au midomo yawawasha
@Kibiriti_Sports
@Kibiriti_Sports 6 ай бұрын
Huwezi kumuuliza dotto swali muhimu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hajui kuchanganua
@erastobenedicto3652
@erastobenedicto3652 6 ай бұрын
Dotto kanikomeshea wandishi
@robertevarist1595
@robertevarist1595 6 ай бұрын
We umetokea mkoa gani kichogo ka mti denge 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@TrinaGriffo
@TrinaGriffo 6 ай бұрын
Sasa doto unajibu maswali au unatoa maelekezo
@mkamaboy2016
@mkamaboy2016 6 ай бұрын
Ona km mazuzu masenge hayo aisee
@kayjuma2629
@kayjuma2629 6 ай бұрын
Kipanki ka mcheza x wa uturuki 😀😀😀
@JacksonJosephat-my6dg
@JacksonJosephat-my6dg 4 ай бұрын
Saf dotto magar
@elizabethmwafongo7829
@elizabethmwafongo7829 6 ай бұрын
Sema waandishi hawana hasira duu amewachamba
@tshibangumunyenza7383
@tshibangumunyenza7383 6 ай бұрын
Mu shamba ajuwi kuongeaya na wandishi wa Habari 😂😂
@robertcharles9975
@robertcharles9975 6 ай бұрын
Saf Dotto
@wilgrisernest2184
@wilgrisernest2184 6 ай бұрын
Waandishi wa habari sikuizi wanazalaurika sana dah
@Kibiriti_Sports
@Kibiriti_Sports 6 ай бұрын
Dotto haelewi chochote 😂😂 ,yeye ni Hela na hapa ipo ,mitano tena 😂😂😂😂
@suntzu8959
@suntzu8959 6 ай бұрын
hii interview imebuma
@RamadhanRunyange-by6fx
@RamadhanRunyange-by6fx 6 ай бұрын
Kichogo kama mtu fodenge😂😂
@jessemwathi9386
@jessemwathi9386 6 ай бұрын
From kenya napenda jinsi unazvyo wajibu mablogas hao,,they squeeze too much
@AzhadSaid-j1t
@AzhadSaid-j1t 6 ай бұрын
Doto bangi kweli
@yahyawambura9884
@yahyawambura9884 6 ай бұрын
UMESOMA MASOMO YAJION😅
@RashidiAdamu-b3q
@RashidiAdamu-b3q 6 ай бұрын
Kazi hiyoo 😂😂😂😂
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 6 ай бұрын
Mmmh ila kumuhoji huyu mzaramo yataka moyo dahh
@رقيهالخصيبي
@رقيهالخصيبي 6 ай бұрын
😂😂😂
@jumajuma-fs1iq
@jumajuma-fs1iq 6 ай бұрын
Doto nawew kuw mxtarab ukiw kwa mtu ucmponde m2 mwngne ucwe chawa
@alexsikab6433
@alexsikab6433 6 ай бұрын
Diamond 💎 siku zote anakuwaka mbali sana na kila siku huwa yuko mbele ya kila msanii tanzania
@muhydinaden552
@muhydinaden552 6 ай бұрын
To describe a horse you explain it's features..... that's Ali Kiba for you .....ukitaka kumjua mtu tazama watu waliomzunguka ...big politicians from Kenya & Tanzania those are called connections ...watch his space "Mfalme Kiba"
@tigejuma9865
@tigejuma9865 6 ай бұрын
Alie sema atatembea uchi xai ako wapi....ajipange kutombwa xaxa...hii dunia kila kitu cha wezekana😅😅
@robertevarist1595
@robertevarist1595 6 ай бұрын
Hata mkinuna Mama mitano tena🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 6 ай бұрын
Sawa kabisa
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 6 ай бұрын
Hao waandishi na huyo doto akili zao sawa sawa maswali ya hovyo majini ya hivyooo 😁😁😁
@yunusimchala6569
@yunusimchala6569 6 ай бұрын
Huyu ni comedy
@Lundege_Hips
@Lundege_Hips 6 ай бұрын
Ally kiba sio kama ni mstarabu huyu jamaa anadharau sana na anakibri
@rojabest2011
@rojabest2011 3 ай бұрын
Alishawahi kukuzarau wap
@emedpeter
@emedpeter 6 ай бұрын
Mzaramo ana baya
@amosymwema4844
@amosymwema4844 6 ай бұрын
Huyuu ni kingwenduu mtupuu hata msipo nipa likes
@Joo20138
@Joo20138 6 ай бұрын
Nonsense
@humphreymutange8165
@humphreymutange8165 6 ай бұрын
swali ni mbona wasizungumze bila kumtaja Diamond ? ...Simba reigns banae
How do Cats Eat Watermelon? 🍉
00:21
One More
Рет қаралды 12 МЛН
Every parent is like this ❤️💚💚💜💙
00:10
Like Asiya
Рет қаралды 19 МЛН