AHMED ALLY AONGEA KWA UCHUNGU CHAMA SIO MCHEZAJI WETU TENA SIWEZI KUMUONGELEA FEI NDIO MBADALA

  Рет қаралды 71,880

BONGO TRENDY TV

BONGO TRENDY TV

3 күн бұрын

Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
Na kulike facebook page Bongo trendy online

Пікірлер: 134
@abelimaganga417
@abelimaganga417 2 күн бұрын
Huyu jamaa yuko smart Sana siyo wale oya oya ndiyo maana halisi ya semaji la CAF nakubali semaji one love❤❤❤❤
@cosmasmwaitete5004
@cosmasmwaitete5004 2 күн бұрын
Yuko smart anaacha kuhojiwa anaulizia kula hahahaaaa
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 2 күн бұрын
@@cosmasmwaitete5004 kajambe 😂
@CeciliaTimotheo
@CeciliaTimotheo 2 күн бұрын
Simba nguvu moja, hata mm namkubali sana Ahmed Ally🦁💪🙏
@isakajunior7139
@isakajunior7139 Күн бұрын
Unajua maana ya smart? Huyu si ndo alimpromote Feisali kwenye page yake? Akamhoji mayele mchezaji wa timu nyingne? Huyo ni smart ktk level ya umbumbu kwasabbu huwa anakurupuka sana ktk vitu vingi sana
@yajuxFinaliste
@yajuxFinaliste 2 күн бұрын
Mbona sauti Dongo .nipe like zangu kwaza ,🇨🇩🇨🇩
@milikimbembela8670
@milikimbembela8670 2 күн бұрын
Unaongea kisomi sana bro nakubali✅✅✅
@EvaNtalwila
@EvaNtalwila Күн бұрын
Semaji la chama langu, upo vizuri sanaaaa❤❤❤
@RenatusFumbuka-gw4jo
@RenatusFumbuka-gw4jo 2 күн бұрын
Ronaldo kaondoka Madrid na bado wanatamba TU sembuse chama
@skullboy_karimh
@skullboy_karimh 2 күн бұрын
Hili nalo limekuuma axee. 😂😂😂😂
@KakeSimba
@KakeSimba Күн бұрын
Sembuse chama Hilo neno
@mabruckmohamed2699
@mabruckmohamed2699 Күн бұрын
Aondoketuu
@laurentjoseph2381
@laurentjoseph2381 2 күн бұрын
Watakuja wengene tu na mtamsahau chama, Simba nguvu moja
@RamsonAloyce
@RamsonAloyce 2 күн бұрын
J.mtale yupo msiwaze semaji liko sahihi.
@oceanmarkcompanylimited4863
@oceanmarkcompanylimited4863 2 күн бұрын
Umechemka sana. Kuondoka kwa Chama unakufananisha na kufa kwa Mtume Muhammad. Acha ujinga huo.
@saidsalum6101
@saidsalum6101 Күн бұрын
Wewe ndiyo mjinga wamwisho kwani chama nawachezaji wengine wanautofauti gani alikuwepo mwamba okwi na alikuwepo mbwana samata na kaipa pesa nyingi sana simba kauzwa mala mbili nzima nasimba ikafaidika kuuzwa kwake
@user-bc2wd1sq3k
@user-bc2wd1sq3k Күн бұрын
Hujamuelewa alivyo ongea na alicho kimaanisha ahmedi,msikilize vizuri.
@mussakarata6650
@mussakarata6650 Күн бұрын
Mbn kaongea vizur kabsaaa na katoa mfano usio na haja ya swali Wala comment
@buruhanusongoro7535
@buruhanusongoro7535 Күн бұрын
Hapo alichokosea ni kuwa alitakiwa kusema "aliyekuwa akimuabudu Muhammad (s.a.w), Muhammad amekufa na aliyekuwa akimuabudu Allah(s.w), Allah yupo na hafi milele kwa maana anayepaswa kuabudiwa kwa haki ni Allah pekee. Na msemo huu ulitolewa na Swahaba Abubakar(a.s) baada ya Mtume kufa na baadhi ya maswahaba wakitaka kukataa taarifa hiyo ya kifo. Hivyo mfano wa Chama hauingii hapo hata kidogo, chama ni mdogo mno na hajulikani na wengi pia hajafa
@ZachariaMalugu
@ZachariaMalugu Күн бұрын
Ww kumbe ni chizi chama ni nani ww au chama na Simba Nan mkubwa usiishi kwa kukalili muache akatfte masilahi yake hata kama ungekuwa ww
@florianhaule4757
@florianhaule4757 Күн бұрын
Nakukubali Sana mashine yetu ya kuongea
@ZAMZUNZAMIRU
@ZAMZUNZAMIRU 2 күн бұрын
Mi ni simba forever mie sio mshabiki wa chama mi ni shabiki wa simba
@LindaMbilinyi
@LindaMbilinyi Күн бұрын
Kbsaaa
@user-ou9tk1rp1p
@user-ou9tk1rp1p Күн бұрын
Ongera sana semaji lakafu ❤❤❤❤❤🎉🎉
@protaspessa8615
@protaspessa8615 2 күн бұрын
Bora ameondoka kelele zipungue ndan ya simba Simba kubwa kuliko mchezaj yeyote
@skullboy_karimh
@skullboy_karimh 2 күн бұрын
Kwenye jina langu ongeza chama jr hapn mbelen🎉🎉🎉 I love you yanga 💚💛💚💛💚
@HancDeking
@HancDeking Күн бұрын
Aende Simba ni kubwa kuliko yeye so Always simba❤
@bonifacemgaya3448
@bonifacemgaya3448 2 күн бұрын
Acha aende kazingua sna, utaniambia mziki tulionao Simba usajili huu utafurahi mwenyewe, Kila dirisha ana oandisha dau, sasa uko alipo enda uta niambia!! Nipo palee nakaa
@JoslinMwakasonda
@JoslinMwakasonda 16 сағат бұрын
Ata kuandika aujui..ndo maana aueleweki
@NerriaGeorge
@NerriaGeorge 2 күн бұрын
For real it's more pain Chama to go to Nyuma mwiko 😢😢but any way let us to forgot him
@KhamisHaroub-uj5ci
@KhamisHaroub-uj5ci Күн бұрын
To forget not to forgot
@user-kw6kl6fz4d
@user-kw6kl6fz4d Күн бұрын
Simba nguv 1 Simba nikubwa kuliko chama acha aende zake mbn Simba ijayo inafurahisha
@user-hn4kf2mn9q
@user-hn4kf2mn9q 2 күн бұрын
😂😂😂kaaaaa emmanuelmayunga 1518 nimecheka mbaka basi chama anakomwe kama kipaa kwakweli mwamba tunampenda tusijidanganye inatuumasema kujibalaguza
@Hbboban
@Hbboban 2 күн бұрын
Kumlilia chama tu kumlipa aaah😂😂
@AmiriHamisi-s5z
@AmiriHamisi-s5z 2 күн бұрын
😂😂😂😂 zima mzk semaji linaongea
@user-bc2wd1sq3k
@user-bc2wd1sq3k Күн бұрын
Hakika mwaka huu ligi ni ngum,simba fanyeni usajili kweli maana bila upendeleo yanga iko vizuri,kwa safu yao,ukiangalia Aziz k,pakome,chama,gwede,mzize,max,chama,hakika inatisha,sasa pamoja na kuleta dam changa lakini kama tutataka turudi kwenye ufalume wetu lazima kutafuta wachezaji wenye uzoefu na wenye uwezo wa hali ya juu,kwa hyo nilazima ufanyike usajili wa gharama.
@aishakamota6012
@aishakamota6012 Күн бұрын
Wapo zaidi ya Chama Chama aliikuta Simba na ametoka atakuja mwingine atatoka mwingine tena atatoka kikubwa umakini kwenye usajiri ili kumsahau aliyepita unahitajika hatutaki kubahatisha usajiri huu
@charlestesha4202
@charlestesha4202 Күн бұрын
Simba ndio imemtengeneza chama maana chama ametambulishwa na Simba naamini tutapata mfalme mwingine km chama wangap wamepita na bado Simba ipo imara Simba nguvu moja
@alphoncealmack9240
@alphoncealmack9240 2 күн бұрын
Chama ndio kaamua kuondoka simba kuanzia viongoz, mashabiki na simba woote; hawakutaka kabisa chama aondoke kafuata mpunga mnene lkn wasijipe moyo wameumia sanaaaaa
@AmaniKasekwa-uw8hp
@AmaniKasekwa-uw8hp Күн бұрын
Semaji uko vizuri ila tuna omba viongozi wawa sajili fesali na fisitoni mayele fuledi Hana uwezo wa kuchezea simba naye aende au mukopeshe kwa mkopo
@MashakaMaduhu
@MashakaMaduhu 2 күн бұрын
Hamna. Noma. Shehe❤😂😢😮😂❤
@tobadinamhegele8055
@tobadinamhegele8055 2 күн бұрын
Inauma lakini mtasahau kama Sisi tulivyoumia kuhusu mayele, lakini ilifika mda tulikubali na kuelewa kua timu Ni kubwa kuliko mchezaji ..mjipe mda mtasahau tu
@KakeSimba
@KakeSimba Күн бұрын
Nikweli mtani Hilo neno
@saidalhinai1131
@saidalhinai1131 Күн бұрын
Miaka 3 chama yuko simba hakufa chochote ila migongano na coacher au wachezaji bora ameenda ndo maana alitaka mkataba wa miaka 2 maana umri umeenda ale mshahara wa bure pesa aliyotaka yy tunaleta wachezaji 2 na vijana bado maana tumeondoa kirusi ktk simba utaona simba bila yy ni bora
@elimbotoraphael3940
@elimbotoraphael3940 2 күн бұрын
Ishu ipo wazi..chama kwenda Yanga ndiyo inayosumbua.not otherwise
@simonIbrahim-hc8vm
@simonIbrahim-hc8vm 2 күн бұрын
Unahojiwa unawaza kula Daah hili kenge kweli li Amed ally
@SalminiMussa
@SalminiMussa 2 күн бұрын
Hakika simba kubwa kuliko chama
@lusajomwakajoka4955
@lusajomwakajoka4955 2 күн бұрын
Mimi nilisema simba ilitufke sehem nzur lazima cham aondoke amezeeka mguu mbovu kama majinjah aseeee anakimbia kama kilema na wakati n mzima
@KarimMatua-u1d
@KarimMatua-u1d 2 күн бұрын
Iila harmonize
@AllyAllyShukuru-of3dt
@AllyAllyShukuru-of3dt Күн бұрын
true speak
@DevidMarhias
@DevidMarhias 2 күн бұрын
Inabidi tumuache tu kwani hata yeye alikuwa na kero zake nyingi sana
@pelagiamachalo3350
@pelagiamachalo3350 Күн бұрын
Simba nguvu moja
@user-ny1wh3ue8n
@user-ny1wh3ue8n 2 күн бұрын
Kaka wewe ndio fulaa yetukwasasa unatu weza😂😂zimamziki
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v Күн бұрын
Daa CHAMA NI KAMA MTUME MOHAMAD
@hasanimohamedi279
@hasanimohamedi279 2 күн бұрын
maskin umekuw mpoleee😂😂
@erickmsigomba5340
@erickmsigomba5340 Күн бұрын
Aende tu akahongwe vizuri
@renatusmwanakatwe-gl9xb
@renatusmwanakatwe-gl9xb 2 күн бұрын
watu wa mtaani kwangu nimewaambi yanga kumsajili chama ni mwanzo wa kuharibika kwa yanga ni mtazamo tu maana sajili yake ni ya kisiasa hivi.
@stellaassaa7141
@stellaassaa7141 2 күн бұрын
unaweza kuwa na akili sana wewe na mtazamo wa mbali sana
@user-il6rm7cj1g
@user-il6rm7cj1g Күн бұрын
Semaji❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@abubakarishariff8489
@abubakarishariff8489 Күн бұрын
Kama jobe yupo Simba Amna kitu kwasasa wala sipati tabu yakushaingilia timu yetu ya wababaishaji
@neemadaniel3173
@neemadaniel3173 Күн бұрын
Kila la kheriii kwake
@roberttagaya9098
@roberttagaya9098 2 күн бұрын
Ila Ahmedally bana. Eti mashine ya kuongea😂😂
@locksterabdon
@locksterabdon 2 күн бұрын
kabisa
@DeodathChinyamba
@DeodathChinyamba Күн бұрын
Timu isiishi kwa kumtegemea mtu. Simba itakuwa bora tu hata bila chama
@MohamedMustafa-id5gr
@MohamedMustafa-id5gr 2 күн бұрын
Pa omar jobe bado yupo sana simba 😂😂😂 dah' simba yangu
@EddyMundo-j5x
@EddyMundo-j5x Күн бұрын
Siku zote hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho tupo kwa ajili ya kutengeneza timu na si kumnufaisha mtu
@andekisyenasibu312
@andekisyenasibu312 2 күн бұрын
We the Simba sc
@zainiamohd6234
@zainiamohd6234 2 күн бұрын
Good
@user-ei3lk8pu7o
@user-ei3lk8pu7o Күн бұрын
Mbape yupo free..
@user-ld6fy2fi5s
@user-ld6fy2fi5s Күн бұрын
Yani mnamwachia chama kwenda kwa yanga mmenifanya nikumbuke zile gori 5 kila mda
@user-xs3ko8pg2g
@user-xs3ko8pg2g Күн бұрын
Mwacheni chama aende , kule yanga watu wanafuata pesa za tozo, zinazotolewa na waziri wa mshiko
@CatherineJohn-co7lw
@CatherineJohn-co7lw 2 күн бұрын
Huyo nae ana usimarti gani sasa au hunataka kitulazimisha tucheke😮😮😮
@AbrahmanSaid-v1k
@AbrahmanSaid-v1k 2 күн бұрын
Jmn Nasibuuuuuu😂😂😂
@mirajidrissa9139
@mirajidrissa9139 Күн бұрын
Ameingia kwenye kumi na nane ya watu😂😂😂😂
@johnurassa3209
@johnurassa3209 Күн бұрын
Acha siasa mpira ni sayansi vunja mikataba mliowaleta kwa pacent zenu hatumtaki Jobe ,onana,abubakarsir,,Fred,kanute,
@IddMMhina
@IddMMhina 2 күн бұрын
Chama anaumuhimu wake Simba tumepoteza mtu sana..hata tusemeje lkn tumechemka.
@makejamaduhu7618
@makejamaduhu7618 2 күн бұрын
Watu wanajifariji tuunila ukweli umesema na akitupiga TU hata goli Moja ndo tutakapoumia yaani wewe acha tuu. Sisi tuwabebea kichwa wao morson lakini wao wamepiga pakubwa
@andekisyenasibu312
@andekisyenasibu312 2 күн бұрын
Chama ameisaidia nn ssc tangia arudi kutoka Rs Bekane? Mfate
@abiaslaurian9331
@abiaslaurian9331 2 күн бұрын
Football ni biashara hizi mambo ni kawaida tu hakuna pengo wala mwanya
@somonmumba9577
@somonmumba9577 2 күн бұрын
Maisha yanawezekana bila chama ndugu wacha kuishi kwa kukariri
@shaabanmaziku9045
@shaabanmaziku9045 Күн бұрын
Sema umepoteza sio tumepoteza.. kama vopi hameni nae
@wambulamatale-ch5wj
@wambulamatale-ch5wj 2 күн бұрын
Kiukwel mm binafsi chama kaniuma kwenda yanga Bora angeenda Azam au biashala au nje ya nchi kulko yanga dah yaan naskitika kama vile kaaga dunia😂😂😂😂😢😅
@ezzepuritykamwene2121
@ezzepuritykamwene2121 2 күн бұрын
Chama ni binadam km wengine ,, hta asingetoka ipo siku angestaaf,,
@stellaassaa7141
@stellaassaa7141 2 күн бұрын
bila kuficha nimeumia sana na nadhani wapenzi wangu wameumia kama mm, lakini mwache aende japo tulimpenda sana, viongozi wanapaswa kulaumiwa kushindwa kumbakiza chama. yawezekana chama alichoka na kero za uongozi labda. lakini angalizo kwa chama wachezaji waliokuwa vipenzi vya timu hz 2 ukuhamia upande wa 2 mafanikio huwa kidogo. but tumtakie kila la heri huko mbele ya safari.YAKIMSHINDA TUMWAMBIE ARUDI SIMBA NI KWAKE
@alikokayange1089
@alikokayange1089 2 күн бұрын
Ni kweli Kama anayempenda chama kuliko Simba ssc,amfuate Aliko hamia.
@FadhirHemedy
@FadhirHemedy Күн бұрын
Wale ambao walitoa ahadi tunaomba itekelezwe jamaniiiiiii!!
@KaifaAlly-f4q
@KaifaAlly-f4q 2 күн бұрын
Msimu ujao Simba itashika nafasi ya tano
@adilhabib8988
@adilhabib8988 Күн бұрын
Mm nataka simba wahame wote wote wote libaki neno simba tu basi mm nabaki na simba
@EstherMagan-v1i
@EstherMagan-v1i 2 күн бұрын
Tulimpenda lakini kaamua kuondoka imetosha tutafute mubadala wa kutuvusha
@eleuteriusmmuru8624
@eleuteriusmmuru8624 2 күн бұрын
Semaji kafurah chama kwenda yanga😂😂😊
@FadhirHemedy
@FadhirHemedy Күн бұрын
Wale walio haidi ahadi basi watekeleze ahadi zao chonde chonde
@SwafaaSaid-s5y
@SwafaaSaid-s5y Күн бұрын
Wapo wapi kinaokwi kagere sembuse huyo chama aende tyuu
@AllyMasangaluka-bm5ib
@AllyMasangaluka-bm5ib 2 күн бұрын
Timu kubwa sikuzote lkitaka mchezaji sehemu yyte anachukiliwa tu unasemaje??
@ibrahmenard
@ibrahmenard 2 күн бұрын
nasibuu vipiii punguza mziki bhanaa😂😂😂😂
@KakeSimba
@KakeSimba Күн бұрын
Simba nguvu 1 chama ndonani
@MagaliAmani
@MagaliAmani 2 күн бұрын
Chama siokitu acha aondoke
@adilhabib8988
@adilhabib8988 Күн бұрын
Kaondoka medi kageree
@MudhwaraMaundu
@MudhwaraMaundu 2 күн бұрын
Ndomanano ya ball
@DeodathChinyamba
@DeodathChinyamba Күн бұрын
Nina imani na Simba yangu na sikuwa na imani kwa chama peke yake
@AminaMohamedmgomba
@AminaMohamedmgomba Күн бұрын
Mwache aende si kaamua mwenyewe habembeleze yeye nani ? Lakini atajuta
@drallan6879
@drallan6879 2 күн бұрын
we have failed greatly Ahmed;no chama the gap is obvious;bad enough :wale uliwaita Madeni Fc wametupiga mchana peupe
@BarakaBernado
@BarakaBernado 2 күн бұрын
Ww mshamba wa mpira
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 Күн бұрын
ILA NYIE MNASHANGAZA SANA KWANI CHAMA NIWAKWANZA KUHAMA TIMU?WAMEHAMA AKINA MESSI NA RONALDO NA MBAPPE HAO NI BAADHI TUU CHA AJABU NNN? WACHA WAPOTEZE MUDA WAO. HAWANA KAZI HAO. SASA ANGEKUWA MBAPPE BASI WAN NI MBAPPE INGEKUWAJE? C WANGETEMBEA NCHI NZIMA TUJIFUNZE KWA WENZETU HAWANA KELELE
@user-qb3nr6gl1z
@user-qb3nr6gl1z 2 күн бұрын
Semaji Leo umeongea vzr San kwasababu yey ni Nani kwenye simba tuaze maisha mpy
@DidahsMisana
@DidahsMisana 2 күн бұрын
Yyy
@user-qb3nr6gl1z
@user-qb3nr6gl1z 2 күн бұрын
@@DidahsMisana wangemuacha saidoo wamutoe Chama mim nimeumia na said huyo Cham aende 2 teen namtakia safari njeem
@user-tm1bq9wk9k
@user-tm1bq9wk9k Күн бұрын
Kwele ndokwanzaleo umeongea p
@user-zx5hi2jq6o
@user-zx5hi2jq6o Күн бұрын
Asei amedi aliy unajuwa kuongea we kwali mashine
@RamadaniThabiti
@RamadaniThabiti 2 күн бұрын
Muache aende kama ameamua kwenda .
@TheobardMtakyara
@TheobardMtakyara Күн бұрын
Semaji uko sahihi kwani wao mayere je
@HERMANNKWATILEHERMANNKWATILE
@HERMANNKWATILEHERMANNKWATILE 2 күн бұрын
Jamani leten pepeo mnipepee mi nakufa
@tobadinamhegele8055
@tobadinamhegele8055 2 күн бұрын
Wapi nikufate
@Kim19onlinetv
@Kim19onlinetv 2 күн бұрын
Sasa kakosea nin kwa kunukuu kauli ya saydina Abuu bakar sema yey kakosea sentence isimayo aliye kua anamubudu Allah Allah yu hai
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 2 күн бұрын
Simba nguvu mojaaa, Chama namba zinamhukumu kadrop aende tuuu, kwanza anakomwe kubwa kama kibaraza kilichopauliwa jana
@vedastusmlavumba1158
@vedastusmlavumba1158 Күн бұрын
Eti Joshua, mnajifariji tu
@vedastusmlavumba1158
@vedastusmlavumba1158 Күн бұрын
Mpumbavu wewe
@AbdullahChuma
@AbdullahChuma Күн бұрын
Kuweni makini yule mungine ni oya oya
@user-zx1vk9pr1w
@user-zx1vk9pr1w 2 күн бұрын
Sahivi unajishauaa tu ! Jana ulisemaje weeeee ! Hahahaha 🤣🤣 kolozidaaadi nyiee 🤣🤣
@amanifadhi
@amanifadhi 2 күн бұрын
Huyujama anaakilikubwa
@charlesmarera3497
@charlesmarera3497 Күн бұрын
Kwangu sina shida kabisa aende tu alikuwepo umefika muda wake sasa.
@raymondzachariah-xr4ys
@raymondzachariah-xr4ys 2 күн бұрын
Dah aisee sijawahi kumuona Ahmed Ally Akiwa hana furaha kama leo Dah aisee pole kaka
@richardmwaibula1582
@richardmwaibula1582 Күн бұрын
SIZITAKI MBIVU HIZI.
@AbdullahChuma
@AbdullahChuma Күн бұрын
Mue mnaelewa ni mfano katoa wa kidini kujenga hoja yake
@user-yt1lz6hz5p
@user-yt1lz6hz5p Күн бұрын
Msemaji mwenye akili timamu
@hasanimohamedi279
@hasanimohamedi279 2 күн бұрын
😂😂😂😂mbn sion bwebwee😂😂😂😂
@AmaniKasekwa-uw8hp
@AmaniKasekwa-uw8hp Күн бұрын
Jobe hatumu taki eende
@RamadhanMabwabwa
@RamadhanMabwabwa 2 күн бұрын
Anaongea kama anaugoro Mdomoni 😂😂😂😂
@issaibrahim8796
@issaibrahim8796 2 күн бұрын
Kweli we Bwabwa
@suleimansalum4049
@suleimansalum4049 2 күн бұрын
Huna lolote wewe mbona ulipokua misri ulimtafuta mayele na kuongea nae kwani yule alikua mchezaji wenu.....????? Inawauma..
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 13 МЛН
Универ. 13 лет спустя - ВСЕ СЕРИИ ПОДРЯД
9:07:11
Комедии 2023
Рет қаралды 6 МЛН
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 79 МЛН
She ruined my dominos! 😭 Cool train tool helps me #gadget
00:40
Go Gizmo!
Рет қаралды 63 МЛН
KWA FURAHA ACHRAF HAKIMI AFICHUA KILICHOMLETA TANZANIA
5:52
Yanga TV
Рет қаралды 71 М.
Ndaro na Leonardo Waoneshana Ubabe Jukwaani, Ona hapa nani mkali?
21:33
Страшно, когда ругается мама😰
0:10
Лиза Вертинская
Рет қаралды 2,6 МЛН
Normal vs Psychopath vs Rich How to heal a cut on your finger ☝️❤️‍🩹
0:19
Вор в законе заступился за официантку  ...
0:59
Сериалы 🍿
Рет қаралды 9 МЛН
Я нашел кто меня пранкует!
0:51
Аришнев
Рет қаралды 2,5 МЛН