Рет қаралды 2,678
#BREAKING: ACT WAZALENDO YAPATA PIGO, HABIB MOHAMMED ALI AFARIKI DUNIA...
Habari zilizotufkia kwenye chumba chetu cha habari zinaeleza kuwa Habib Mohammed Ali ambaye alikuwa Mwakilishi wa Jimbo la Mtambwe, Mkoa wa Kaskazini Pemba visiwani Zanzibar amefariki dunia.
Mwakilishi huo ambaye alikuwa mwanachama wa Chama cha ACT-Wazalendo amekutwa na umauti wakati akiendelea na matibabu katika Hospitali ya Saifee jijini Dar es Salaam.
Katibu wa Habari, Uenezi, Mawasiliano na Umma wa Chama cha ACT-Wazalendo, Salim Bimani amesema taarifa za mazishi zitatolewa baada ya kushauriana na familia.
Hivyo kwa updates zaidi kuhusu msiba huo endelea kuwa karibu na Global TV…
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...