Рет қаралды 44,617
#BREAKING: AJALI MBAYA! LORI LAGONGA MAGARI 4 MWANZA, WATU KADHAA WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA....
Watu kadhaa wanahofiwa kupoteza maishakatika ajali mbaya ya barabarani, iliyoyahusisha takribani magari saba, tukio lililotokea asubuhi ya leo katika eneo la Nyakato jijini Mwanza.
Taarifa za awali, zinaeleza kuwa chanzo cha ajali hiyo, ni lori lililokuwa limebeba matofali likitokea upande wa Igoma, kupata hitilafu katika mfumo wa breki na ambapo baada ya kufika katika eneo la taa za barabarani za Nyakato Sokoni, lilianza kuyagonga magari yaliyokuwa yanasubiri taa za barabarani ziruhusu.
Taarifa kamili zitakujia hivi punde!
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline