Jamani Mungu awa angamize wote mlioshiliki kumwekea Sumu kiongozi Paulo Makonda Mungu akuponye haraka 😭😭
@julieluziga47732 ай бұрын
Yaani akija mtu anayetetea maskini anauawa! Ee Mungu utete na wanaoteta na Makonda, upigane na wanaopigana naye. Mungu akupiganie mtetezi wa wanyonge, kazi unzofanya tunaziona 🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️
@AlHamra-k4u2 ай бұрын
Hao wanaotumwa kuwa wekea sumu viongozi wenzao watambue kuwa Pua zao zimetizama chini. Tz kiongozi mkweli mtetea haki kwa wanyonge huwa wanachukaua jukumu la kummaliza kwa sumu iliafe wao waendelee kula rushwa pesa za wananchi. Mwenyezi Mungu akupe shifaa Mh Makonda 😢
@zainabzain34342 ай бұрын
Ni basi tu kutokujua kuwa hiyo tabia sio solushen bali ni kuchochea uadui Kati ya wazalendo na wenye vyao
@mpindafamily14962 ай бұрын
mungu yupo na wewe makonda.mungu yupo nyuma yako ninaimani utapona tu.yote ni mipango ya mungu
@RachelLaizer-n2p2 ай бұрын
Huyo aliyefanya hiyo hila atakufa yeye muda c mrefu
@JacklineKessi2 ай бұрын
Mungu akulinde mtetezi wa wanyonge akupe afya tena uedelee kutekeleza majukumu yako ❤
@anthonymgina38932 ай бұрын
Inasikitisha sana huyu jamaa mimi nampenda sana.
@tunudimandogreek96832 ай бұрын
Pole Sana mtani wangu na mwanangu Makonda Mwenyezi Mungu yupo pamoja nawe,na wasijisahau kuwa Sisi wote hapa tunapita haija kugombea kufuri au funguo Wkt Mungu ndio mfungaji na mfungaji.❤
@hafsalucky10882 ай бұрын
Mungu baba Nakuomba umponye na kumlinda na mabaya yote Mh Paul Makonda, Awe Salama in Jesus name 🙏
@carenzigilwa5982 ай бұрын
Na iwe ivo
@neliusgosbertbaguma86932 ай бұрын
MAKONDA ATAPONA,WATU WOTE TUSEME AMINA, WAMEONA ATAKUWA RAISI AJAYE
@SalomeMalema2 ай бұрын
Namuombea Kwa Mungu aliye hai amponye arejee kwenye Hali yake ya Mwanza nakwanini Mungu utamtendea mwanao Paul Makonda mtetee baba. Amen
@judithsarahmasanja5502 ай бұрын
Inaumiza sana kwa kweli, yaani mmeona Makonda anasifika kila kona basi mnataka kutuondolea, Eeh Mungu Mponye Makonda, Bado tunamhitaji sana. Ila kiukweli Watanzania tu wapole sana lkn kwa matukio kama haya ya Waziwazi mtatuua wote ili mtawale vzr. Hata kama hawasemi Watanzania tumuombeeni tu kwa vyovyote vile, nakumbuka aliongea hadharani siku moja kuwa ametumiwa watu wa8 wa kumuua, sasa ikashindikana wameamua waweke Sumu na itakuwa ni watu wa karibu sana na marafiki. Ee Mwenyezi Mungu hujawahi kimuacha Mtu anayekuja mbele yako, tunaomba Uponyaji kwa ndg. Na kipenzi chetu Paul Makonda.
@MwanahamisiHashim2 ай бұрын
Duh ila nchi hii mtu ukiwa mzalendo lazima wakuue mungu akulinde broo mim naamini mungu yupo
@patelokoh58282 ай бұрын
Quick recovery sir I'm from Kenya but I real watch your concern. Through you cube...
@JushuaBugali2 ай бұрын
Alafu mnajiita serikali yawanyonge akitpatikana mtetezi wawatu mnamuuwa laanaya jpm hamjaimaliza mmeanza tena mengine
Jamani mungu amponye paul makonda awe mzma mtetezi wa wanyonge jaman
@kivurimwerumungwi2 ай бұрын
we pray for your Health . God will be with you . amin
@SylvesterMakenzie2 ай бұрын
Hii ikiwa kweli basi nchi hii haitakuja kupata kiongozi mzalendo wote wataogopa kuuawa na mawakala wa shetani wauao mwili
@fransiscajohn43732 ай бұрын
Ee mungu tunakuomba uponye Mh : Makonda kiukweli ni mtetezi wa watu wote haangalii sura wala kabila tunakuomba mungu umsaidie ili aendelee na kazi nzuri hakuna wa kufananisha naye 🙏
@antoniaseif24802 ай бұрын
Mungu asimame nawewe atete na wanao Tena nawe apigane na wanao pigana naweee❤😢
@NURDINMgaza2 ай бұрын
Yuko wapi mtetezi wa wanyonge?
@laizermaasai67592 ай бұрын
Kuhusu mkuu wetu chochote kikitokea basi na sisi tutafanya chochote kwa waliohusikaaa. Hatutakubaliiiii hataa kidogoooo😢😢
@epifaniamilinga28482 ай бұрын
Hill.neno
@fatmasalim82932 ай бұрын
Mungu akusaidie DC makonda nakupenda sana kwa kweli kwa kazi unao ifanya from omani ❤️😍💕
@stephenmhando47852 ай бұрын
Makonda ni RC ARUSHA
@NgomelejiSindiyo-yt5ib2 ай бұрын
Ni Rc
@gloriamavura37062 ай бұрын
Mungu wetu ni mwema sana, atakuponya,Damu ya Yesu ikasafishe hiyo sumu yote kwenye kwenye mwili wa Makonda mtumishi wa watu,Apone,na aliyefanya hivyo Mungu ndio mtoa hukumu.
@MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh2 ай бұрын
Kwa tetesi hii imeniuma sana nakama ndivyo naomba mungu amponye mi chadema ilakwa huyubwana mungu tusaidie apone
@leticiamakoye48712 ай бұрын
Watanzania mtaua wenye haki na huruma kwa masikini mpaka lini? BWANA YESU kiristo wa nazaleti usiruhusu kifo Cha makonda maana hakijaruhusiwa na wewe kumbuka kazi yake njema. Umponye MUNGU uwezae
@FatmaAlabri-lz2cw2 ай бұрын
Allah amlinde
@HamadiHussein-y8l2 ай бұрын
mwenyezi mungu muumba mbingu na arthi mponye kiongozi huyu wa wanyonge
@SingaiEmanuel2 ай бұрын
NAKUOMBEA sana Paul sana mkuu wa mkoa wetu wa Arusha upone haraka
@magrethyeremia22792 ай бұрын
Mungu akuponye nakupendaaa,
@anjelinakasembe8452 ай бұрын
Get well Baba Keegan Got he is with you always🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤❤
@JosephinaNyoni-l3b2 ай бұрын
Mwenyezi mungu akuponye baba.mtetezi wa wanyonge nakuombea sana
@SanziNzige2 ай бұрын
Washenzi nyie na huyu Tena?. mmezoea Sasa na mjue kila jbo nna za mwizi NI 40 Safari hii Safari hii Safari hii.haya
@rukkysayid66132 ай бұрын
M.Mungu amsimamie jamani kwanini Tz kila mtetezi wa wanyonge mnataka kumtoa roho inasikitishaaaa😢😢😢😢😢
@AnnaUrio-x1b2 ай бұрын
Mungu amponye jmn mtetez wa wanyonge 🙏
@LascoMwasege2 ай бұрын
Tunaomba kwa Iman mwenyez mungu amlinde tumuombee apone haraka Dunia mzima ifunge kwa maombi tunampenda saaana
@stephanokanyika63212 ай бұрын
Amen hakika makonda ni jembe letu tumuombee jamani
@sebastiansalamba3132 ай бұрын
Safari hii kitawaka hatukubari tumechokaaaaaa
@DeboraCalton2 ай бұрын
Niko pamoja na wewe
@verdianabanabi22052 ай бұрын
Ndivyo ilivyo. Anayesema ukweli au kufichua maovu anapata majanga.
@OscarKasalile-u4k2 ай бұрын
Tuamke
@KikwaleRashid2 ай бұрын
Nipo palee na wangalia mnavyo pigwa mabom
@HappyArcticBirds-iy3dg2 ай бұрын
Tumechoka kwakweli
@patelokoh58282 ай бұрын
Makonda is like the late Magofuli. Mtetezi wa wanyonge
@AnnaMsigwa-oi8do2 ай бұрын
Uwiiiii,jamani mungu ingilia Kati mponye kakaetu mnusulu na hili,ndugu zanguni mnataka kiongozi awaje awafanyie nn?
@Zubaiba2 ай бұрын
Mungu nakuomba mponye makonda😭
@godlovekinyunyu-lk3hu2 ай бұрын
do!!! very sad!!!❤but God can
@AnnoyedBooks-kn5pm2 ай бұрын
Jamani hii ndio Tanzania kama ni sumu kweli akipona anitafute nimpatie dawa hata wakiweka sumu haifanyi kazi. Mungu amponye mtetezinwetu
@EliafuraGabriel2 ай бұрын
Mungu umlinde🙏
@irenejoh12422 ай бұрын
Aliefanya hivo familiar yake yote iteketee kwa jina la yesu,,be healed our RC😢😢😢😢❤
@DamasjoachimPetro2 ай бұрын
Feel better soon and be healed in Jesus Name
@DeboraKaaya-du9ot2 ай бұрын
Mungu kumbuka vilio vya wajane yatima na masikini kama nikweli!!! Kufa Afi subirieni fimbo ya mungu
@BakariMohamed-q1k2 ай бұрын
Hii nchi inakokwenda sijui yaan akitokea kiongozi anaetetea wanyonge wanamuundia trik za kumpoteza hii sio sawa na ninaamin paul atapona kwa uwezo wake muumba! Mungu yupo jaman tuendelee kumuombea mtetezi wetu
@asteriashios18522 ай бұрын
Ndo nchi ya Tanzania ilivyo lakini mungu atamponya amtete Kwa sababu hakuna anawenza kubishana na mungu na hii nchi mambo ya vificho siyo nzuri watu waambiwe ili waendelee kumwombea duh nchi Gani hii ya rabi
@fettiemaganza14842 ай бұрын
Watasema nn na wao ndo watendaji wakuu kwani kwa magufuli ilikuaje
@sizorstartv61682 ай бұрын
Hatutaelewa
@fellisianholle94312 ай бұрын
Pole sana mkuu Bwana akuponye
@GodfreyJ.GMasunga2 ай бұрын
Namkumbuka Ben Saanane.
@lilianluhasi3112 ай бұрын
Kama ni kweli Damu ya Yesu Kristo imponye kwa Jina la Yesu Kristo
@dicksonjonas17992 ай бұрын
Mungu ni mwema na atapona tu kwa jina la Yesu🙏
@GraceDeo-g1n2 ай бұрын
Makonda ni mzarendo ,
@AnnaUrio-x1b2 ай бұрын
Huyo aliemwekea nae ataishi mpaka lini? Kwani yy atabaki wa mbegu tz? Mungu mponye mwanao🙏🙏
@masoudnzowa46082 ай бұрын
mungu amfanyie wepesi inshaallah
@MsafirialfaTemba2 ай бұрын
Mungu tunaomba tusahidiye makonda wetu Arusha tunaumiya sana Arusha pesailikuwa ahionekani lakini Paul makonda alipokuja vituvingi vimefanyika napesa tunazihona makonda usituhache baba makonda shujaha wetu emungu turudishiye shujaha wetu
@irenejoh12422 ай бұрын
Tupo hapa watanzania tunakulilia,,😢😢😢😢😢😢upone haraka mtetezi wetu nusu ya watanzania wote ni masikini tunakuombea hata kwa kufungua upone haraka kaka yetu❤
@romanasanga942 ай бұрын
Mungu ampiganie! Get well soon
@PaulbuttaButtapaul2 ай бұрын
Inauma sana hata chakusema sn😭😭😭😭😭😭😭😭
@WillibartJames2 ай бұрын
Mungu akusaidie upone haraka
@AminaTanzania2 ай бұрын
makonda makora baba wamekuwekeea sumu kweri duu tanzania haina urizi kweri mangufuri dumu makonga sumu wasukuma hawana haki kuongonza taifa jsnani nimeria kwa hasira sana jamani makoda mhhhhhh mungu akutangurie baba angu upone jamani
@LaurentMagesa-iv5yt2 ай бұрын
Mh makonda watanzania tunakuamini na tunakupenda sana mungu akuponye wewe ni mzalendo wa kweli
@PeninaMatemba2 ай бұрын
MUNGU Wa haki umesema utateta nao wanao teta nasi mponye mtumishi wako P.makonda mtetezi wa wanyonge😢😢
@estherkibajiro34802 ай бұрын
Magufuli tena Makonda dahhh!!😭😭😭😭
@juliethhenrymasanja9402 ай бұрын
Naomba kwa Mungu yule aliyemwekea sumu, apate mapigo ya kutosha kabisa. Mungu mlinde mtu wako Makonda.
@aloycemisigalo39832 ай бұрын
Tuko bize kuwaombea akina Azori Gwanda, Mawazo na wengine walio uwawa na kupotezwa kwa ajili ya kupigania haki ya Mtanzania,
@samsonhamery38092 ай бұрын
Nchi yetu itaendelea kumwaga damu ya Watu wasio na hatia mpaka lini?
@GodfreyOsward2 ай бұрын
Mpaka pale kila Mtu atakapo tambue yeye ni Mfano wa Mungu. Hakuna mmoja wetu anayemfanana Mungu zaidi kuliko mwenzake. TANU ilifukuza Mkoloni kwa kutumia nguzo hiyo.Hiyo nguzo imepuuzwa huku tukiimba nyimbo za sifa na shangwe. Tufanyie kazi ukweli halisi
@queenolais20982 ай бұрын
Eee mungu mlinde makonda mponye na iyo sumu aliyopewa na hao mashetani wa nchi wasiotaka kuambiwa ukweli
@StrongbowArrow20042 ай бұрын
Jamani nimeliaaa😢😢😢😢 kweli nyiee jamani jamaniii Tanzania
@mbondelotv83802 ай бұрын
Daaaaah..........,mnanifanya nichoke kukaa kimya sasa.......
@JeremiasikilianiJeremiasikilia2 ай бұрын
This news is very sad true
@jeanmiruho47702 ай бұрын
Kila mutu anatenda ayo kumupa sumu!ayuwe anaingiza laana mbaka kwenye kizazi chake!malipo niapa duniayani Mungu awakemeye
@BernardMwakipesile-nq5ze2 ай бұрын
Na ndo hao hao waliompiga risasi tundu lisu Mungu aliyemponya tundu lisu amponye na Makonda wote tuseme amina
@MsafirialfaTemba2 ай бұрын
Pole sana shujaha wetu
@evangelicalmiraclesfellowship2 ай бұрын
Yaani aliyemuwekea afe yeye makonda apone kwa Jina la Yesu.
@franciskavyega2802 ай бұрын
Big AMEN
@OmanOman-ty6ef2 ай бұрын
Allah atamponya naatampa afya yake kwaharaka
@alexkamba52642 ай бұрын
Mungu yupo pamoja naye hakika ataishi ili kuaibisha ushetan
@mchungajimpigauzitv57032 ай бұрын
Yesu akusimamiye Kama kunajambo
@KhatibSebiga2 ай бұрын
Kama ni kweli amewekewa sumu Mungu ammnusuru
@Avith-lj2sp2 ай бұрын
God bless Africa God bless Tanzania God bless Paul makonda
@MAIkojumaikelyaIkelya-ug1uh2 ай бұрын
Mungu mnusulu mheshimiwa Makonda
@pyelesyamwakatika5402 ай бұрын
Nikikumbuka ya Magufuli kwa kweli sitaki kukumbuka Mungu amlinde awe salama
@thomasernest43632 ай бұрын
Neno la Mungu linasema hata mkinywa vya kufisha havitawazulu Marko 16:18 namuombea Bwana Yesu Kristo Ampoyee Katika Jina la Yesu Kristo wa Nazareth .
@zaiboris96962 ай бұрын
Allah atamfnyia wepes apone haraka
@titosimon43602 ай бұрын
Damu ya YESU iponye
@rahmasaid93512 ай бұрын
😢ooh
@Danfordfungo-m4y2 ай бұрын
mungu kama ni kweli kuna mtu au watu wamwfanya ivo mungu awalaan sana pia mungu tunaba umponye ndhgu yetu poul makonda
@Kwarasi2 ай бұрын
Mimi binafsi huwa siamini haraka kama wengine Kwa sababu Hawa viongozi huwa suala la kuwelewa sumu huwa Lina ewaongezea zaidi umaarufu Kwa wananchi Kwa hiyo wajomba tusikurupuke siasa mchezo mchafu sana na hasa viongozi wetu wanatuonaga sisi bado laia wa enzi za mwalimu nyerere.
@EmanuelKitokero2 ай бұрын
Ni kwel ww
@PiusKimaro2 ай бұрын
Inawezekana Kiki.anataka urais.
@AnethMushi-c3e2 ай бұрын
Kwa msaada wa Mwenyez Mungu upone Paul Makonda
@SalminTenga-fx6wi2 ай бұрын
Mh pole kiongoz Ila naic upo sawa na pia umeshapona
@farajambilinyi67412 ай бұрын
Mungu tenda muujiza...
@Kelviniemileemile2 ай бұрын
Watanzania wote tuamke kwani kama viongozi wetu wazuli wanakufa kwa ajili yetu sisi ni nani tusife kwa ajili yao ,magufuli wamemuuwa ,na makonda ,tena sasa mnao fanya hiyo michezo mna muda mfupi sana maana mnatutengenezea chuki sisi wana nchi ,uhulu haupatikanu kwa maneno lazima wachache wafe ili kuokowa wengi
@aminatanzanya74752 ай бұрын
Kwa uwezo wa Mungu atapona InshaAllah
@GodfreyMbikasana2 ай бұрын
Mungu atakusaidia
@margarethswitbert2 ай бұрын
Hakika wanadamu hatuna wema,ila kwa jinsi ulivyowatetea wanyonge Mungu aliyehai akuponye kwa Utukufu wa jina lake Takatifu.
@JosephChacha-kq6ki2 ай бұрын
Huyu naye akifa sasa ni wazi kwamba nchi haitawaliki na viongozi wengine wapo hatarini sana , hii inaleta picha mbaya sana kwenye nchi
@regnethmtemanyongo22372 ай бұрын
Pole mungu akuponye
@EvaKolab2 ай бұрын
Mungu wa mbinguni akuponye.
@rashidbusanya58432 ай бұрын
Daah hii tariifa imeniumiza sana hadi natoa machozi eee Mungu msaidie huyu Rais wetu mtarajiwa poul makonda
@SablinaNgweta2 ай бұрын
Siku zote katika ulimwengu mtu mwema na mwenye huruma itambuluke kua mtu huyo ni mboni ya jicho la mungu msifikiri kua Ile mijitu iliyo jaa laana inayojiona Dunia ni Yao inapenda mtu mwema ila mijitu kama hiyo siku zote ayanaga amani Kwa sababu ni mapandikizi ya ibilisi nimijitu miofu mingine utaona ikicheka lakini ni nibaya kama nyoka