Ivi Tanzania bila kuondosha hao wamasai ngorongoro hatuwezi kuongeta kipato kwa njia nyengine?Acheni ujinga viongozi wa ngazi za juuu
@DannySanga-gh1ojАй бұрын
Acha uchawa wewe,kafukuze wazanzibar kule ili tuongeze kipato,
@ShangeMbogoАй бұрын
Kumaamako msenge mkubwa
@PaulinaWilliam-py6gkАй бұрын
Amefanya ni sehem yeke
@abidandastanmaliyatabu1373Ай бұрын
@@DannySanga-gh1ojnadhani huyu jamaa hamjamuelewa; anasema serikali kwani mpaka huku kwa masai ndiko wanaweza kuongeza kipota cha taifa? Siwaangalie njia nyingine
@bcozhenry2698Ай бұрын
@@abidandastanmaliyatabu1373 wanamtukana kwa kutomwelewa hakika! Ni dalili za watu kuvurugwa na kukosa umakini, lakini ukweli hata yeye hajaafiki Wamaasai kuondoshwa kwenye eneo lao.
@MagrethKatondo-qs9ozАй бұрын
Hapa kuna kitu kikubwa sana kwa masilahi binafsi hawa ni binadamu wapeni haki yao. Hivi Ungekuwa ni wewe kweli maendeleo gani hayo yakunyanyasa watanzania ndani ya nchi yao. Hakika.. Mungu liangalie hili. Mmh ni huzuni na Maumivu makali sana ndani ya mioyo ya watanzania. Mungu wewe upo.
@HaulSidneyАй бұрын
Huyu mama si akawatoe wanzibar,ili awape hao waarabu wake
@OmmyJames-xn7jiАй бұрын
Fanyeni tafiti ngorongoro population imekuwa kubwa lazima watu wafikirie kuhusu hifadhi sio kila kitu kufanya siasa za zamani
@PeterKisiongoАй бұрын
Aki walai ningekuwa Leo Mungu Sina ubaya Samia akisikwa Leo akufe tu please Mungu tunatezeka sana sana Mungu wangu
@JoyceKabula-in1shАй бұрын
Unaesema waondoke waende wapi kwani mungu alivyowaweka ngorongoro alikuwa mjinga acheni kunyanyasa watu
@patrickJosse-t7hАй бұрын
Huyu mama angeenda kuuza kule Zanzibar mbona hana jipya ??
@robertmsukwa8466Ай бұрын
Awamu hii ccm watapigiwa kura na wanyama wa ngorongoro mana ndo wanasaminiwa kuliko watu
@JumaGishangaАй бұрын
Na nyie wamasai mfuteni Raisi Samia mnyimeni Kura
@IbuGangАй бұрын
Mwabukusi Mungu akulinde na akutuze kwà kuwa saidia wamasai wabaki kwenye maeneo yao halisi
@deniccgabriel6153Ай бұрын
Alafu nimekaa hapa najitu moja linasema nani Kama Mama, Mama anaupiga mwingi kulaleki nishaulini nilifanyeje ili jituuu😮😮😮😮
@binseif2216Ай бұрын
Mama yupo vzr anachofanya anajua we unanini hapo tafuta pesa kwanza unaonekana huna kazi ya kufanya
@AllybinamourАй бұрын
kwani wakihamishwa hapo hawapewi sehemu nyengine? au hao ni wa mwanzo kuhanmishwa sehem kama hio? nani kama mama! ukweli unabaki kua huo huo.
@WillfredyMollelАй бұрын
Mwambukusi mungu akupe nguvu
@michaelmwaksole7244Ай бұрын
Ifikie wakati hii nchi kinuke ili tuheshimiane
@mangulimanguli3974Ай бұрын
Viongozi wa kiafrica wengi mafisadi
@matanokitwana3249Ай бұрын
Mbona watanzania karibu ya makabila yote wametolewa ktk maeneo yao ya asili ?? Na nyerere ndio aliongoza uhamishaji huo
@adelinelyaruu3036Ай бұрын
These are totally two different things
@JacksonFrancesАй бұрын
Hongeleni Ngolongolo Piganieni Haki Yenu Kuitetea Asili Yenu "
@manchalijob9600Ай бұрын
Na bandari ZETU tunazitaka
@SephaniaJoseph-zc3njАй бұрын
Atukubali kuhama ngorongoro maana tumesalia hapo na atujui tunaenda wapi kwahiyo hatukubali kabisa kuachwa makazi yetu
@JoyceKabula-in1shАй бұрын
Roho yako naikabidhi kwenye mikono salama ya mungu atakaetaka kukuuwa afe yeye
@godfredkimaro3292Ай бұрын
Jaman ashumu wewe pale kwenu pafutwe nazimia nipeni maji😢
@SephaniaJoseph-zc3njАй бұрын
Et wengine wanasema nani kama mama kwa Hali hii fikirieni bana atujawahi kuwaona rais kama huyu mama anakubaki wanyama kukiko wanadamu jamani kwa Hali hiyo na mbado unataka kuongoza Tanzania hupewe hata kura Moja maana unatunyanyaza na mbado tunasema hatuhami ngorongoro
@nassibhussein6150Ай бұрын
Kizi mkaz hapauzwi na mm nataka nikawekeze ilo eneo lote naomba wanipishe hata hiyo shelehe waahilishe
@mountaincrystal1630Ай бұрын
Yaani hii ni ya wapalestina na Waizraeli, komesh,
@robertigohe7477Ай бұрын
Ni hatari sana kwenye taifa kama hili mambo maovu kama hayo wanafanyiwa binadamu
@MjajaMjaja-y3uАй бұрын
Haki gani wakat sehem z kuishi tena haz malum ee
@peterdaimon-ug6fdАй бұрын
Maendeleo yanayotunyanyasa hatuyahitaji
@MerrysaitotilaizeАй бұрын
Ngorongoro ni nyumbani kwetu wamasai kwahiy wanao taka kwenda sisi hatuondoki
@yahayahussein3224Ай бұрын
Kama hamuoni umuhimu wa kuhama rudini kwenu kenya
@AlphaxardMRusweka-jr1wiАй бұрын
Nani kakwambia ni wakenya ,na ni Kwa nini utaki wewe wamasai waishi Ngorongoro. ? Kama ni issue ya uwekazaji akawaamishe kizimkazi, hapo kizimkazi aweke hao waarabu wake@@yahayahussein3224
@DaudiMabumbaАй бұрын
Haha yote yanafanyika kwa manufaa ya nani?
@PeterAlphonce-uh2mcАй бұрын
Acheni ushabiki wa kijinga
@zephaniaSolomon-vc4im15 күн бұрын
Solomon
@zephaniaSolomon-vc4im15 күн бұрын
Solomon
@MjajaMjaja-y3uАй бұрын
Nn shida wamasai
@RobertGwelela-zq2frАй бұрын
Wamasai walipelekwa Msomero wanalalamika kupita maelezo ndio maana hawa wanagoma.
@msafiriomary893Ай бұрын
Hawa wamasai warudi kwao ithiopia kwao sisi inchi tumeuza kwa waarabu warudi kwao sio raia hawa
@beckhammlowe4029Ай бұрын
Kunawabunge wengine kama siyo waTanzania niwachochezi Tuu kunawatu nyuma yao
@uwezawamungumkuu.amaniafrikaАй бұрын
Mama Samia angalie mambo haya. Acheni ubabe kwa wananchi wa ngorongoro. Hayo ni maeneo yao ya asili. Na uwezi kumuhamisha watu marneo yao. Haki ya Wamasai iko wapi?. Nchi ni yao leo mnawasumbua.
@BarakaKawanaraАй бұрын
Serikar mama Samia suluu Hassan amekuwa akiona wanyama kama ndy wenye maana kuliko wanadamu
@BarakaKawanaraАй бұрын
Wa ngorongoro
@korosomatiko3360Ай бұрын
Wamasi kuwa na misimamamo
@SeveriniTemuАй бұрын
Dunia. Msongamano nasema ndugu .mipaka utulivu uvumilivu ustrabu huleta maisha. Marefu wazungu waliandika tugundua mlima kilimanjaro oooo tegundua ziwa Victoria oooo tumgundua bara laAffriko ni kweli?????¿ Na kutuwekea mipaka na sharia !!!!!!¡ Inatisha kidogo kule kwao hatujawagundua waooo
@FintanFelix-z6cАй бұрын
nyie amsomeki Akija WA ccm mnawapa Kula tena
@VictorDominick-qg5qqАй бұрын
Wanaiba kura 😮😮
@mwanabucheyeki226Ай бұрын
Hao wanaodaiwa ni Wawekezaji wa Ngorongoro watakuwa wametoa Fedha nyingi sana kiasi Serikali inawawia vigumu kurudisha! Serikali ifanye kurudisha Fedha za Wawekezaji Wamasai waachwe katika Eneo la Urithi wa Mababu na Mabibi zao!
@zebedayokatamaduni9676Ай бұрын
Jamani mbona Masai wanateswa katika nchi yao
@yahayahussein3224Ай бұрын
Kukaribishwa na kupewa hifadh tz nanyi mumekuwa raia dah kweli binadamu ni mtu wa kujisahau sasa nyinyi munafukua makaburi sasa itabidi murudi kwenu kenya
@johnkilonga5866Ай бұрын
😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
@JohnManyilizu-rl5bmАй бұрын
Mbona vita vinaletwa na wa jinga kwani mlisha wahikuchunguza vyanzo vya vita katika nchi mbali mbali nini au ni kama mambo hayahaya yanayo sababishwa na matumizi mabaya ya hakili na madalaka mwacheni mtanzania aishi katika eneo lake la asili mkimhamisha mmaasai hapo vita na amani itapungua pia huo utalii hauta kuwepo ni laana kubwa sana hiyo
@LomayanLukumaydg9xwАй бұрын
yan iko kama ss niwakimbiz hapa Tanzania
@jacksonolotu9318Ай бұрын
😢
@rebekakulwa6159Ай бұрын
Kwani wewe huwezi kwenda sehemu nyingine zaidi ya hapo kafuteni huko kizimkazi sis hatutaki
@MjajaMjaja-y3uАй бұрын
Mpe hongera mama anaupga kweli
@AndrewBenson-m4xАй бұрын
Massai respect
@bakarikayugwa3295Ай бұрын
Mh na mikunduge nayo 😂
@Hemedmikole-r9eАй бұрын
Duuh hatali sana
@StanleyKitika-dd7lzАй бұрын
Tusiwazalau wamasai tunaweza kushindwa kuzimamoto
@faustinluambano2958Ай бұрын
Hata WAKOLONI wote kuanzia waarabu hawakufanya hivyo
@IsayaMalinda45Ай бұрын
🔥🔥🔥
@michaelmeshaki9931Ай бұрын
NAMIMI NAULIZA HV HAWA WAMASAI HAWAWEZI SEHEMU NYINGINE ZAID YA NGORONGORO?
@mangulimanguli3974Ай бұрын
Akili una
@DannySanga-gh1ojАй бұрын
Kwanini waende kwingine ikiwa huko ndiyo kwao
@JuliusMahinya-wl7mqАй бұрын
Mbona ww huhami Tanzania ukaishi DRC?
@SmilingFlowerBouquet-hs2hvАй бұрын
Nawewe hama Tanzania amia ukireni
@bcozhenry2698Ай бұрын
@@JuliusMahinya-wl7mq😂😂😂😂 umemkata mavi huyo boya
@hemedmwipopo780Ай бұрын
Maeneo ya hifadhi,
@GilbertMollel-j6nАй бұрын
Mbwa wewe,unajua nin kuhusu maisha wew
@meshackthomas1341Ай бұрын
Niwa hamiaj Toka Kenya hao huruma yetu inatuponza tuliruhusu. Hilo. Bila kujua mazara kuwapa hifaz. Na sasa. Wanatumika hovyo nawanasiasa. wahovyo serikali iwemakin sana. na chokochoko. wahovyo. Kwa manufaa ya watu baaz tu Kwa faida zao
@SmilingFlowerBouquet-hs2hvАй бұрын
Wewe unajua asili yako? Mbna na wewe ni mkimbizi kwenu RWANDA
@healingclinic698Ай бұрын
Hata wewe ni muhaniaji uliza vizuri Babu zako au uniambie kabila lako nikusaidie ujue hata wewe uliamia
@GilbertMollel-j6nАй бұрын
Wewe ni fala tu ujui usemalo,kakae na mama yako akuambie alikotekea