TUNDU LISSU AWAKA WAMASAI KUNYIMWA KUJIANDIKISHA KUPIGA KURA/ASEMA TUTAANZA NA HILO''..

  Рет қаралды 80,355

JAMBO TV

JAMBO TV

Күн бұрын

Пікірлер: 85
@BabaetuJulius
@BabaetuJulius 5 ай бұрын
Lisu we mwamba sanaa mungu akulinde sanaaa
@etropialangai6415
@etropialangai6415 5 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akulinde baba❤❤😊
@JeremiahMathayo-lj6ck
@JeremiahMathayo-lj6ck 5 ай бұрын
Hongera sana liss❤
@Lestickmollel
@Lestickmollel 6 ай бұрын
Big and excellent you president of republic of Tanzania Sis wanangorongoro wote tunaamua moja maana wameshatutenga posipo na haki mungu atujalie kwa hili maana wanatuonea sana sisi sijui tumemfanyia ninj huyu mama na mpango ni moja tu watuuwe tu kwasababu hakuna kilichobaki na huonevu huu sii wakawida na changamoto hii imeshatufuruga kweli kweli nakamwe hatutamwuogopa mtu wa aina yoyote yule isipokuwa mungu pekee yake
@charlesphilipo3533
@charlesphilipo3533 5 ай бұрын
@@Lestickmollel kwani mmeanza leo nani hajui kuwa hamna msimamo dakika sifuri wote mtaunga juhidi
@Mabatini
@Mabatini 5 ай бұрын
Mungu akulinde Sana lissu,🙏
@EliasMungas
@EliasMungas 5 ай бұрын
Hongera Sana naona unajitahidi Sana kuwa kazia wanainchi wako
@rajababrahman4365
@rajababrahman4365 6 ай бұрын
Tundu Mungu akupe vya juu mbinguni na vya shini ardhini
@JosefuSwai
@JosefuSwai 24 күн бұрын
Good boy
@KispanMeshelli
@KispanMeshelli 5 ай бұрын
❤mìmi nawaeleza ndugu kaka na wadogo zangu tanga sio arthi ya wamasai haifai kwa ufugaji kulima huko ni kwa wasiguwa tu! Nawaambia ukweli lissu yuko sawa akiwatetea msidanganyike na pesa na nyumba moja ya tofali
@angelatarimo1969
@angelatarimo1969 5 ай бұрын
Hivi mnaamisha wamasai wakashike ardhi ya watanga halafu baadaye wagombane? Mungu simama mwenyewe kuitetea nchi yetu izidi kuwa na Amani. Hongera mh.shujaa Tundulisu
@obednyagani506
@obednyagani506 5 ай бұрын
Sema lissu🎉
@LeiyoLaizer
@LeiyoLaizer 5 ай бұрын
🎉🎉❤❤
@KasangaKalanga-vo6od
@KasangaKalanga-vo6od 6 ай бұрын
Watanzania wanafilki kweli, kwahiyo hamtaki lisu aseme ukweli, kwahiyo mnafurahi watu kunyanyaswa, sawa Leo kwetu Kesho kwenu
@charlesphilipo3533
@charlesphilipo3533 5 ай бұрын
@@KasangaKalanga-vo6od kwa hiyo wewe SI mtanzania Sasa kimekuuma nini Hadi kiwataja WA Tanzania kuwa wanafiki mbwa wewe,,,,Lisu mtambue wewe sisi tulisha mkataa siku nyingi ni mwongo na mgombanishi kama shetani,,,endelea na kumwamini atakuvusha Malaya wewe
@RugonzibwaPius-l6l
@RugonzibwaPius-l6l 5 ай бұрын
Na hakika mungu atasimama na wewe mambo mengi sana umesaidia
@emmanuelfung
@emmanuelfung 5 ай бұрын
🎉❤
@JonasMjengi
@JonasMjengi 5 ай бұрын
😮 3:58
@charlesphilipo3533
@charlesphilipo3533 6 ай бұрын
Huyu jamaa ni muongo super class,,ogopeni wanasiasa ni sumu mbaya zaidi ya nyoka
@monicamwita7865
@monicamwita7865 6 ай бұрын
Uongo wake ni upi? Kueleza ukweli tujue.
@monicamwita7865
@monicamwita7865 6 ай бұрын
Imeingia u tube uone wanavyolalamika. Wewe umesema ni uongo anayosema Lisu? Wewe ñdiyo muongo mkubwa usiyejali watu wanavyopata shida.
@charlesphilipo3533
@charlesphilipo3533 6 ай бұрын
@@monicamwita7865 Monica umeona wamasai tu ,,mbona wanyaturu ,wagogo wachaga na watz kwa ujumla wanalalamika lakini wanajali elimu afya na mengineo lakini kule shimoni ngorongoro hamna maisha kabisa,,,hebu nenda wewe kaishi kule kama wiki nitakupa boxer zawadi yako
@monicamwita7865
@monicamwita7865 6 ай бұрын
@@charlesphilipo3533 wapo wengi lkn waliokuwa wanalalamika ni wamasai
@fredmwankaja9323
@fredmwankaja9323 6 ай бұрын
​@@charlesphilipo3533kumbe ni watu weng sana wanao taabika na selikali hii, tunashukuru kwa kusaidia kupaza sauti za maeneo megne ambayo lisu alisahau kuyazungumzia. Ikikupendeza nenda kwenye media ukazumze njinsi wa TZ wanavyo teseka na hii selikali.
@omarngushai6450
@omarngushai6450 5 ай бұрын
Oky
@GeorgeSagumo
@GeorgeSagumo 6 ай бұрын
Ningumu
@NgilepoyLaiza
@NgilepoyLaiza 5 ай бұрын
Uyu ndo mtu wamaana sana apa Tanzania pekee
@SarafiaPetro
@SarafiaPetro 5 ай бұрын
Singida tulizaa jembe ila watanzania wanataka wadanganywe tu ndintulizike
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 6 ай бұрын
Sheria, utafiti na ushahidi makini na wa kuaminika usio na mashaka ni mapacha usioweza kuwatenganisha. Watanzania tunawategemea TLS kuileta nchi ktk utawala bora wa kisheria. Mtanzania ajue kujenga mazingira ya kutafuta haki na kuisimamia kwa kuweza kujenga misingi mizuri ya kesi toka mwanzo. Mf ushahidi gani utamsaidia. Mfano kabakwa sawa ktk hilo tukio kahifadhi ushahidi gani utakaomsaidia kumbana mbakaji mahakamani? Kadhulumiwa shamba sawa kuna ushahidi gani shamba lilikuwa la kwake? Wenzetu walioendelea huishi kimachale machaele .
@Felix-e6t4m
@Felix-e6t4m 5 ай бұрын
asanteni sana watanganyika kwa kusumbuliwa na CCM je nauliza ni haki kuwasumbua raia wema walio wengi sana sana wamaasai wa ngorongoro pamoja na wengine wengi je nakuuliza wewe Samia mbona Zanzibar uwasumbui kama Tanganyika muunganano sio kutusumbua tunyamaze apana tunakuona sana lakini tutapambana kufa kupona mpaka tupate uhuru bila kubugudhiwa na uongozi wako je nauliza nikwanini inafanya hivyo
@charlesphilipo3533
@charlesphilipo3533 5 ай бұрын
@@Felix-e6t4m Na nyie wachaga mnatafuta nini kwenye mikoa mingine???yaani wao wabaki kama wanyama Karne hii nyie muishi kama malaika eti ahsante lisu kuwatetea wamasai ubongo tope kabisa,,
@BaikalMandi
@BaikalMandi 5 ай бұрын
Ni kwamasilayi yake binafidhiu🎉🎉🎉
@BarnotiMorordi
@BarnotiMorordi 3 ай бұрын
Ngorongoro
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 6 ай бұрын
Wa Tanganyika Tatizo shule haya ngorongo wamenyimwa kupiga kura,haya tuliwaeleza ohoo unapigwa mwingi haya kiko wp
@joelsumaye8162
@joelsumaye8162 6 ай бұрын
Sijakuelewa, mimi naishi Ngorongoro na huduma zote na tutapiga kura kama Watanzania wengine. Waliohamia Msomera kwa hiari kuna maboresho ya Daftari la Wapigakura wataandikishwa na watapiga kura kwenye makazi yao mapya.
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi 6 ай бұрын
Maboresho ya kubadili Sheria? Sheria inasema utapiga Kura Kwenye kituo ulichojiandikishia, halafu vituo vyao vimefutwa. Utaboreshaji daftari la kituo ambacho hakipo? Na Sheria inadictate Kwamba utapigia Kura sehemu uliyojiandishia,sio sehemu nyingine (Elewa Sheria, sio stori hizo kaka)
@monicamwita7865
@monicamwita7865 6 ай бұрын
Ingia u tube wajiulize wanavyolalamika. Anachozungumza Lisu ni kweli.
@Landisy
@Landisy 6 ай бұрын
Eeeeeeee mwenyec mungu kwann nchi hii wamasai wamechukiwa
@saruni5673
@saruni5673 5 ай бұрын
Acha njaa
@JohnSandet
@JohnSandet 5 ай бұрын
😭😭
@ponsianomnyaru9140
@ponsianomnyaru9140 6 ай бұрын
Hatumta huyu rais anamatatzo meng sn maisha yenyew yamekuwa magum alaf yy anatuuza tu hatumtaki
@rajababrahman4365
@rajababrahman4365 6 ай бұрын
Ugali wa CCM unakusumbua Kuna kakitu unapata
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 6 ай бұрын
SAMIA, w/nchi wako wanalia kila pahali...HUSIKIII??? Mbona kelele nyingi kila pahali na huskii mbona? wamasai ngorongoro wananyimwa haki kupia kura na hawapewi maitaji stahiki, watu arusha pale Muriet wamenyanganywa ardhi, watu Mbweni Mpiji wanalia maana mashamba yao yamechukuliwa na wote hwa wanapigwa danadana na mama upo tuu..
@ABBASIKANDULU-kl8zc
@ABBASIKANDULU-kl8zc 6 ай бұрын
Na Haongei chochote kama rais😂😂
@emmanuelkyandochali990
@emmanuelkyandochali990 6 ай бұрын
Sheria ilivo ni kwamba kama hawataboresha kadi zao za kupiga kura basi hawataruhusiwa kumchagua diwani na mbunge ila wataruhusiwa kumchagua Rais wa jamhuri ya mungano wa tanzania Lakini zoezi la uandikishaji na uboreshaji wa taarifa za mpiga kura linaendelea na wana nafasi ya kuboresha taarifa zao na wakawa na sifa za kupiga kura pale walipo
@rajababrahman4365
@rajababrahman4365 6 ай бұрын
Ww ni njinga Palepale walipo umesikia kuwa wameamishwa alafu unasemaje
@pidiusDominick-qi7nl
@pidiusDominick-qi7nl 6 ай бұрын
Viongozi wanajichimbia kaburi wenyewe
@StevenNyanguye
@StevenNyanguye 6 ай бұрын
Mijitu mingine Haina akili Fanya ingekua family yako inteswa hivo,ungesema ubata huo
@monicamwita7865
@monicamwita7865 6 ай бұрын
Kweli haina akili imekalia uchawa tu usio nà màana.
@JohnSandet
@JohnSandet 5 ай бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭😭😭
@anoldamkumba3208
@anoldamkumba3208 6 ай бұрын
Kwani huko Ngorongoro wameshaanza uandikishaji wa daftari la wapiga kura?
@charlesphilipo3533
@charlesphilipo3533 5 ай бұрын
@@anoldamkumba3208 wapi ,kaka uongo uongo tu na kuzusha taharuki kila kukicha Sasa hivi wananchi wamewadharau Hawa kama nzi baada ya nyumbu shwaini kabisa
@issakazi2758
@issakazi2758 6 ай бұрын
Lakini lissu Niya yako mini Kwa nchi ya Tanzania?
@chesconkwera2005
@chesconkwera2005 5 ай бұрын
Acha uchawa utaelewa
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 6 ай бұрын
WAMESHASEMA WATAKWENDA.MAHAKAMANI. HAO WAPIGA KURA
@issakazi2758
@issakazi2758 6 ай бұрын
Lisu mbona uha hoja za kijinga leta hoja za msingi
@monicamwita7865
@monicamwita7865 6 ай бұрын
@@issakazi2758 mjinga wewe usiyejitambua
@kessydieselengineers3205
@kessydieselengineers3205 6 ай бұрын
Vimewauma sio machawa ninyi
@adiaygo8546
@adiaygo8546 6 ай бұрын
Unafiki mtupu🙄walishambiwa wahame kampeni kwenye kikao cha mawakili
@raymondnlelwa427
@raymondnlelwa427 6 ай бұрын
Wahamie wapi watu wote hao? Wewe umewaandalia mahali pa kukaa? Wamasai komaeni manake hapo ndipo kwenu serikali uache kuwanyanyasa wamasai. Acheni mipango hiyo ya kishetani.
@adiaygo8546
@adiaygo8546 6 ай бұрын
@@raymondnlelwa427 wenzao weshaenda wasubiri wanajeshi watawatoa kinguvu halafu huyo Hakuna. Wakuwa. Sadia halafu hujakaa maeneo hato hujui Nini kinaedeleaa pin your mouth
@TwahaShehe
@TwahaShehe 6 ай бұрын
Wewe n msenge
@TwahaShehe
@TwahaShehe 6 ай бұрын
Acha ubimbi
@simonMollel-rr3gb
@simonMollel-rr3gb 6 ай бұрын
Nimegundua sheria hatujui😮 wasingepewa waamue wangeambiwa tu wazi wote watoka wala hamna tabu
@SaidiSheria
@SaidiSheria 6 ай бұрын
Unaweza kuwaambia sababu ya kuhama kwao wewe kenge
@gabrielsaelie8091
@gabrielsaelie8091 6 ай бұрын
Acha matusi ndugu. Wewe unajua sababu ya kuhama kwao?
@TwahaShehe
@TwahaShehe 6 ай бұрын
Acha usenge wewe una hoja au waongea t au una ham
@justinelukumay5308
@justinelukumay5308 6 ай бұрын
Maana laana zinawatafuna mwehu uliyekoment, wenzenu wanahangaika we unajitoa ufahamu
@justinelukumay5308
@justinelukumay5308 6 ай бұрын
Wewe tuambie au mwarabu hataki msongamano nawazawa 😮😮
@FintanFelix-z6c
@FintanFelix-z6c 6 ай бұрын
We nimzoga WA mbwa
人是不能做到吗?#火影忍者 #家人  #佐助
00:20
火影忍者一家
Рет қаралды 20 МЛН
Леон киллер и Оля Полякова 😹
00:42
Канал Смеха
Рет қаралды 4,7 МЛН
It works #beatbox #tiktok
00:34
BeatboxJCOP
Рет қаралды 41 МЛН
Арыстанның айқасы, Тәуіржанның шайқасы!
25:51
QosLike / ҚосЛайк / Косылайық
Рет қаралды 700 М.
RUTO! RUTO! JOY AS PRESIDENT RUTO ISSUES IDs TO SOMALIS IN WAJIR!
5:05
Kenya News Alerts TV
Рет қаралды 1,3 М.
人是不能做到吗?#火影忍者 #家人  #佐助
00:20
火影忍者一家
Рет қаралды 20 МЛН