Fuatilia Mwanzo TV Plus SUBSCRIBE KZbin Channel yetu Follow us on X, Facebook and Instagram
Пікірлер
@RobertChacha-si1js10 күн бұрын
Siku chadema wakiingia madarakani sjui mtaweka wapi sura zenu mbovu, endeleeni kuwaonea lakini Ukombozi hauko mbali
@johnmlabu524710 күн бұрын
Kwani katibu mkuu akiongee ndani peke yake harafu ikasambaa jamii haitojua? Haya mambo yanatia aibu sana. Kwanza vyombo pekee ambavyo vinatumiwa na apposition ni social media na siyo hizo TV station.
@levidavid115610 күн бұрын
Tanzania inapolice wa hovyo sana halafu masikini ndo wanaweza Fanya ujinga huu yaani wanatumika. Kama toilet paper ajabu sana
@richardnganya231110 күн бұрын
Maagizo kutoka juu
@LoiteyoAmakoMako10 күн бұрын
Ccm wanaogopa sana chadema sijui kwanin😂😂😂
@DausonKaisan10 күн бұрын
Wameanza ujinga wao
@michaelbachubira719710 күн бұрын
IHI NCHI 😮😮
@cyliacusselestine884710 күн бұрын
Ipo siku ujinga huu utaisha. Pumbavu sana.
@ERASTOKIBURUNGWA10 күн бұрын
Waliitaji mbowe ashinde sasa matarajio yao yamekuwa tofauti
@batwelimahenge785010 күн бұрын
Shida Nini jamani tupeni ukweli kunanini❓❓❓✔️
@Kibiritij10 күн бұрын
Unapotumika hebu jaribu kuziongeza akili zako, maana kuna leo na kesho na unao waonea ni hawa hawa utakao ishi nao
@plujoncylugano461110 күн бұрын
Jmn kwani kuna nn??Ninyi vyombo vya dola mnaharibu hamtengenezi ,shida nn?Au ndo mmeanza kutangaza vita mpm na uongozi mpya?Si sawa
@richardnganya231110 күн бұрын
Hofu ya watawala !!
@Ambwene10 күн бұрын
MBOWE alikuwa CCM damu ukweli ndiyo huo
@ChalesLukumai10 күн бұрын
Mbowe' ni amiri jeshi mkuu, au waziri wa ulinzi? Acha upumbavu.
@DaudSuday-v5c10 күн бұрын
Sea polis nimikundu kweli
@jdanny49710 күн бұрын
Endelea kuandika matusi alafu kesho unalilia
@plujoncylugano461110 күн бұрын
Eeeh! Hata aibu hamuoni kwani kuwafukuza waandishi wa habari ktk kikao cha Chadema??Hv ninyi hamna kz ya kufanya ?Mbn mnakuwa wa kuchokoza chokoza?Kuna nn kwani?
@mtaitamchome747510 күн бұрын
Tatizo ni Nini??? 😭😭😭
@PherollanceErnest6 күн бұрын
Tuna watu wapuuzi sana kwenye payroll ya hili taifa,huku si kukosa kazi huku.aliowaagiza ndo mpuuzi zaidi.
@mosessamwel117910 күн бұрын
Mbona ni utoto wa Hali ya juu
@rebekakulwa615910 күн бұрын
Mbona mwandishi kavaa likitenge la mbogamboga
@usafiaps31810 күн бұрын
Sio Jambo Geni;Upo Mkutano Wa Kimataifa Hii Sababu Tosha Ya Kuuahirisha Mkutano.Msizue Mambo.
@nzwiiiiiii10 күн бұрын
Lazima tuwe wastarabu safi sana police ,mkutano si utafanyika tereh za mbele tuwe na akili ya kujiongeza leo wamekuja 24 mataifa mbali mbali kesho tutarajie wengine waje tupate kuwaona na sisi
@asacconlinemedia534310 күн бұрын
Muda mwingine muwe na afya njema ya akili. Hicho mnachofanya ni UTOTO WA KIUTU UZIMA
@nzwiiiiiii10 күн бұрын
@asacconlinemedia5343 heshima ni kitu cha bure ,wacheni wamalize mkutano wao alafu tutaendelea na siasa zetu ,mkutano huu sio kama wa c c m ,tuwe na amani tuu police nadhani waliomba mufanye siku ya mbele walivobisha ndo wakatumia kama tunavoona
@allymusira215310 күн бұрын
Wanasiasa wanataka kufanya watu wote hatuna akili kwani wakisubiri mkutano uishe watapungukiwa nini hizi ni fujo tu
@nzwiiiiiii10 күн бұрын
@allymusira2153 ikiwa sera ya chadema kuinua tanzania basi huu mkutano dhamira yake ni kuinua africa ikiwemo tanzania ,sasa wanataka kuleta zogo waonekane mkutano wa c c m huu ,chadema hii nchi kupewa waje wanikate shigo tutawapigia kuraa waonekane waminzani lakini kupewa madaraka wasahau.
@illomowerner769010 күн бұрын
@@nzwiiiiiiikwani wanafanya mkutano wa hadhara? huu ni mkutano wa ndani tena ofisini wa katibu mkuu na waandishi wa habari, halafu ina maana kama kuna jambo linafanyika shughuli zote zisimame? Na je, ni lazima kuangalia press tena inayofanyika ndani? All in all, Yana mwisho
@PiusKimaro10 күн бұрын
Kama police wANATAKA SIASA WAACHE KAZI.Waingie nao
@ibrahimkibira994310 күн бұрын
Kazi ipo huku Ccm wana andaman kumpongeza Rais katika siku yak ya kuzaliwa
@jemimabakari10 күн бұрын
Wasanii wanazurura tu huko posta😢
@mosessamwel117910 күн бұрын
Hawa police wana maana gani?
@RamsoGoscop-e7t10 күн бұрын
Kuna jamaa anakuja kuuza sambusa maeneo ya chadema naona pia kaambiwa pita mbali
@nditiPeter10 күн бұрын
Police mbona wanavunja Sheria au wapo juu ya Sheria?
@HasanKisome10 күн бұрын
Nonsense
@ramadhanmahongole929310 күн бұрын
Polisi wa tanzania ndio wanaongoza kuvunja sheria kubinya uhuru wa vyama vya upinzani kufanya kazi yake
@dorothmsuya168610 күн бұрын
Jamani si wasubiri hizo siku 2? Kwani hiyo press ni msiba? Kutii mamlaka pia ni busara. Hata wao wakishika dola tutaheshimu hivyo hivyo! UTII WA SHERIA BILA SHURUTI...😮😮😮
@allymusira215310 күн бұрын
Yote hiyo ni kutaka kuwafanya watu wasifuatilie mkutano . Leo hata taasisi zote wameambiwa wafanyie kazi nyumbani mpaka wanafunzi hawakwenda mashuleni ebu kuweni waungwana basi si kila siku siasa tu.
@dorothmsuya168610 күн бұрын
@allymusira2153 Hicho ndicho ninachoshangaa! Kila kitu wanataka wasikilizwe wao! Ina maana Serikali haina tena maamuzi! Wanatuchosha tu..
@jemimabakari10 күн бұрын
Sasa hawa ni watumishi wa umma?mbona wale wasanii mjini hawajazuiliwa?
@dorothmsuya168610 күн бұрын
@jemimabakari Basi bwana pambaneni na dola mtajua wenyewe!
@KhalfanAbdalla-x7u10 күн бұрын
Mh mimi naona wandishi wa habari wapo wengi hivii ingekua simba au yanga wanataka kuzungumza na wandishi wa habari wengezuiwa kwa maana hio kesho hakutakua na taarifa yoyote zaidi ya viongozi wa Afrika kuhusu ni shiti ya umeme
@ThomasAlute10 күн бұрын
Polisi wa Tanzania wa ovyo sana unakataza waandishi wa habari kutumia uhuru wao mbwa kweli nyie
@leokamil628410 күн бұрын
Tena anamsukuma sjui anamsukumia nini .Ningekuwa mimi ningejitupa chini kisha nimshtaki yeye kama yeye
@hajjisanga78910 күн бұрын
Tunashughuli za kitaifa tu kwa kua amri ni moja ya kitaifa itifaki izingatiwe kama ilivyo pesa ya tz wote ndio pesa yetu Hakuna ya Chama fulani ni ize tu tafakarini
@juvenalymwanalyela20210 күн бұрын
Siku zinakuja ambapo mtaxaga meno
@juvenalymwanalyela20210 күн бұрын
Sikuinakuja ambopo mtajawa nadhiki
@deniccgabriel615310 күн бұрын
Tatizo nyie mnaweza fikili ni police kumbe wametumwa na mkuu wao😢😢😢😢😢😢 tuache kutumiwa na CCM aswa wananchi
@ghalibelghanim115110 күн бұрын
Polisi kavaa kitenge? HAO ndio Alshabab ilivyoanza.
@ChalesLukumai10 күн бұрын
Sababu ni nini haswa?
@richardnganya231110 күн бұрын
Hofu tu. Watawala wanaogopa wananchi kuijua kweli katika mengi yaliyofichwa.
@SaraJinalangu10 күн бұрын
😅😅polisi hawa c ndo walienda kulinda uchaguzi wa Chadema 😢 Jamani Kwa hiyo Mbowe alikua akitumika kweli mmmh😢😢😢
@ChalesLukumai10 күн бұрын
Hayo ya Mbowe kutumika, ni mawazo ya mpumbavu tu.
@JustinKachewa10 күн бұрын
inchi ilipo fikia samia inchi imemshinda uyu mama
@richardnganya231110 күн бұрын
Anateua akina Wassira unadhani hspo kuna umakini !!