Endelea kuteiwa mpaka basi, hongera makonda maana unafanya kazi nzuri ARUSHAAAAA
@rosetreffert41794 ай бұрын
Kabisaa
@cyrilkessy30324 ай бұрын
🎉Zuhura Yunus hongera sana
@kiatu4 ай бұрын
Amepanda au ameshuka? 😅
@salomewandya72574 ай бұрын
Hongera Petro Magoti
@abakibibi99174 ай бұрын
NAKUTAKIA UONGOZI MWEMA MWENYEZI MUNGU AKUONGOZE AKUZIDISHIE FAHAMU KATIKA UONGOZI WAKO MHESHIMIWA MADAM ZUHURA.AMIN
@Peterchila-un2lx4 ай бұрын
Hongera San zuhura
@nixonjohnson49084 ай бұрын
Mpaka kieleweke uteuzi kila kukicha kama uchizi vile...
@lusakaone77824 ай бұрын
Dah Tuta i miss sauti nzuri ya Zuhura Yunus, hongera ulifaa pale ulifanya kazi kisomi zaidi
@CNM-u3c4 ай бұрын
Yuko sahihi ❤
@mariamuyusufumalale89334 ай бұрын
Mama angu nakupenda sana kiongozi wetu mungu azidi kukubariki kwenye kazi yako mama chapa kazi duniani hapa huwezi kupendwa na kila mtu tunazidi kukuombea mama angu aamin allahuma amiin inshaa Allah
@OmaryZuberi-o3b3 ай бұрын
Huna kazi ya kufanya mjini apa au?
@josephatjordan21504 ай бұрын
Ni kheri niteuliwe na Mungu tu !!Hapa nilipo ninaamani kuliko kuamka sina Cheo cha binaadamu!!! Tusali sana Mungu atupe na sisi maisha mazuri na yenye amani na upendo!!
@jeffreymgaya75684 ай бұрын
Hapa ajatengulowa bali wamebadilishiwa majukumu tu,,,serikali hii haina majipu
@KhalfanShaban-x4x4 ай бұрын
Una uhakika mungu nae kakuteua ? Au unajipa moyo ndugu😂😂😂😂
@josephatjordan21504 ай бұрын
@@KhalfanShaban-x4x Nina uhakika wewe huna uhakika mpaka leo
@deogratiusyudatadei56584 ай бұрын
@@KhalfanShaban-x4x😂😂😂😂hapo Sasa unaweza kuta hata MUNGU hakumbuki Kama yupo hapa DUNIAN 😂😂😂
@AmaniMrema-i3i4 ай бұрын
Hongera mama yangu....mungu akujalie kwa kila ulifanyalo,,,naomba unikumbuke mimi mwananchi wa hali ya chini,,,,kwa chochote ulichojaliwa....
@GeediGeedi-kq9hn4 ай бұрын
Lifelong inshaa allah
@ShaidaAfati4 ай бұрын
Mama kilasiku anakopa pesa lakini maendeleo hamna mama matembezi hautufai kutuongoza wa Tanzania mnakopa Kwa maslahi ya kikundi flani makonda kazi njema
@@mrmahmoud1278kwan nani alikwambia tunataka rais akope ebu tutolee uchawa apa tunataka maendeleo tu na sio kukopa kopa bila msingi mfuu
@mrmahmoud12783 ай бұрын
@@OmaryZuberi-o3b Kwani wewe nani amekuambia kua tunataka raisi asikope? huo uchawa ndio unaokufanya utoe hoja zisizo za msingi, hoja je wewe ni chawa wa nani? kama mnataka maendeleo angalieni maendeleo sio visingizio visivyo maana
@sadikidaudi4604 ай бұрын
Petro Magoti nakukubaali saana Mhe tokea enzi ya Mzee magu
@mrliverpoolynwa76414 ай бұрын
Nampenda sana zuhura yunus❤❤❤ i wish siku moja nionane nae,milard ayo naomba unikutanishe nae🙏🙏🙏
@OmaryZuberi-o3b3 ай бұрын
Ww kama nani ukutabe na muheshimiwa 😂😂😂😂
@florencemeza65404 ай бұрын
Nilisema akitoka safari ni kuteua tu wanajenga mwendo kasi gari zimekufaaa hazifanyi kazi mbezi usafiri shida mbagala hakuna hata gari za mwendo kasi wakati barabara imeisha
@navioma48824 ай бұрын
Ndo kazi anaeijua
@aminarajabu57954 ай бұрын
Kabla mkurugenzi hajatulia vzr kuweka maendeleo anateuliwa mwingine kumuhamisha aliyekuwepo, Maendeleo sijui lini huko Shinyanga.
@gaudencekalyalya87214 ай бұрын
Hongera sana Mh Nyongo
@hadijasaid80324 ай бұрын
Siku moja inshallah natamani kufanya kazi kwenye serikali yangu ya Tanzania.
@MariamAthumani-zb3tg3 ай бұрын
❤❤ nzuli sana
@gaudencemhagama72164 ай бұрын
Kila siku kuteua tuu hata hizo teuzi zenyewe hazitusaidii chochote mbona tunaishia kama hatuna serikal vile mi naona kama tunapotexa mda tuu hapa duniani
@Peterchila-un2lx4 ай бұрын
Honger San kaka magoti
@LucyRichard-hn8wg4 ай бұрын
Hongera magoti
@VumiDavid-lo1cl4 ай бұрын
Mama yangu muheshimiwa mama samia suluhu mama yangu mzuli hongela kwa kazi nakuomba u nisaidie mtaji mama yangu nakuomba
Unafki tu huna lolote unajifanya unampenda kumbe njaa TU mama angalia Sana watu Kama hawa ndiyo wabaya kabisa Bora hata mm na kwambia ukweli unazingua Sana mama😂😂
@diva_201624 ай бұрын
@@deogratiusyudatadei5658njaaa mbaya sana asikuambie mtu
@diva_201624 ай бұрын
@@khadjamhozyahahahahaha huyo yuko na njaa sana
@daslamonline46654 ай бұрын
Acheni ajaribu bahati yake wanapataga mnabaki kutoa macho
@jacobmgao-hi7rj4 ай бұрын
Mama nakupenda sana ❤❤❤
@diva_201624 ай бұрын
😮😮😮
@mudrick45534 ай бұрын
bora salama
@Yojusmediagroup4 ай бұрын
Huyo Lupa kilolo si alishafariki miezi 4 au 6 iliyopita jaman hii kitaalamu inakuwaje?
@chiefmajai93454 ай бұрын
Sielewi mpaka lini
@ummySheikh724 ай бұрын
MashaAllah zuhura hongera Dada
@AloyceTz7624 ай бұрын
Kayoza hongera
@haleemahaleema69914 ай бұрын
Kazi njema mama
@richardbenny1564 ай бұрын
Atajua mwenyewe, Sisi tumemchoka bhana.
@wardadvaz4 ай бұрын
Magoti hongera km zote
@AllyDaudiNgoyeji3 ай бұрын
Yaani uteuzi na utenguzi huu wa mara Kwa mara unaofanywa na Mhe. Raisi,Je utawezesha kupatikana uthabiti wa kiutendaji kazi,? Mtu anateuliwa Leo,kabla hata hajakamilisha kuzipitia taratibu za ofisi yake mpya,tayari anabadilishwa kazi! Je,Kwa taratibu hizi zinazofanyika,mteule atakuwa tayari amesomwa na hivyo kuonekana kashindwa nafasi hiyo mpya ,hivyo kulazimika kuhamishiwa nafasi nyingine,,,? Mhe Raisi akumbuke kuwa mtu yeyote atakae mteua kujaza nafasi Fulani asitegemee mteule huyo kufanya "miujiza au mageuzi ya Kimungu" ndani ya muda mfupi ktk nafasi hiyo mpya.Ni lazima kwanza ajifunze taratibu zote humo,hatua Kwa hatua ndipo Sasa ataweza kujua aanze na lipi kwanza nk.Ikizingatiwa kuwa uteuzi huo mara nyingi hauzingatii "taaluma gani" mteule huyo anatakiwa awe mayo ili aweze kumudu madaraka yake mapya. Ni Mimi Ally Daudi Ngoyeji wa Itilima,Kishapu,Shinyanga.
@SaidiNgowo4 ай бұрын
Kiongozi wangu mkuu wa nchi raisi wetu mama Samia suluhu hassani. mm shida yangu ni mtaji wakufanyia biashara kiasi chochote nitapokea na kukushukuru mama yetu
@Tanafa-j9q4 ай бұрын
Toa no nikutumie mwanangu
@deogratiusyudatadei56584 ай бұрын
@@Tanafa-j9qutakuta kiasi chochote kina anzia milioni Sasa jichanganyee😂😂😂😂
@robertphilip3854 ай бұрын
Kakope kwenye mikopo ya kausha damu
@elishangowi-xr7wg4 ай бұрын
tafuta mashangazi utasagika
@KazunguZabron4 ай бұрын
MICHAEL SARANGA NYAMSENDA
@DAUDIMAHIMBO-hb4sc3 ай бұрын
Kazi iendelee
@wardadvaz4 ай бұрын
Zuhura yunus hongera km zote
@Martin-w2l9p3 ай бұрын
Kuteua na kutengua unaupinga mwingi
@AyoubKhatib-p4k4 ай бұрын
Makonda apewe nafasi ya waziri mkuu hiyo ndio nafasi saiz yake apate kupiga spana nchi nzima
@KelvinConorard4 ай бұрын
Lini uliona waziri mkuu anatenguliwa
@ahmednoor14124 ай бұрын
Waziri mkuu anateuliwa na rais akiwa mbunge then anapigiwa kura na wabunge apite au la hivyo yuko sawa
@KelvinConorard4 ай бұрын
@@ahmednoor1412kumbuka akishakuwa waziri mkuu uwezi kumtoa labda uvunje baraza lote la mawaziri
@deogratiusyudatadei56584 ай бұрын
@@KelvinConorardawapi 😂😂😂 majaliwa wamagufuli siyo majaliwa wa Samia nahiyo inaonesha anaogopa kutumbuliwa tu 😂😂😂😂 nahiyo inaonesha kuwa inawezekana tu kutolewa
@Mahene-w1l4 ай бұрын
Jamani nyinyi ndio mpo Humo ikulu mnasoma ufanisi wake?
@KazunguZabron4 ай бұрын
MICHAEL SARANGA
@joshuajofrey98324 ай бұрын
Ko bi mkubwa akitua nchini kazi yake nikuteua afu anapaa anakuchukua udaktali wake na uprofessor
@fatmaabdallah77094 ай бұрын
Mama yangu nakushauri ikikupendeza Mrudishe Agrey mwanri atakusaidia sana tena huyo mlete dar amsaidie chalamila au mpeleke arusha amsaidie makonda.
@jacobmgao-hi7rj4 ай бұрын
Kweli kabisa mwaniri akikaa na chalamila patanoga
@sabathosamson53814 ай бұрын
Mama nakuomba mrudishe zuhura ikulu......... Nakuomba mama yangu Zuhura kakosa nn ikulu mama
@samwelilazaro28354 ай бұрын
Kule kupanda zaidi
@daudiayubu44644 ай бұрын
Kwani Zuhura akiwa Ikulu wewe inakusaidia nini???
@vincentcharles43854 ай бұрын
Kumekucha
@lameckbalekere19623 ай бұрын
Mama samia malizia miakayako usitafu kama Mandela wasikudanganye hao mafisadi ubakinaheshima
@HijaSaid-xd7fg4 ай бұрын
Vipi Salim Kikeke, au yeye ni mwiba
@ShkiruIsmail4 ай бұрын
mama tusaidie umeme urudi tsh 27000,nasie tupate umeme
@user-kr5dp2ip9g4 ай бұрын
Mimi sijawahi kuona Rais kuteua watu wenye elimu wasiokua na ajira bali huteua wale wale wenye ajira na kuwabadilishia tu ajira..kwa hiyo wale wasiokua na ajira wanabakia hivyo hivyo..! au huwa inakuaje maana sielewi!!
@olivernyange23494 ай бұрын
Makonda tu ndo tunamuona ukiteua wengine sijawahi ona kazi zao,ila one day watoto wa maskin watasikika tu njaa zitavozidi watasikika
@Tumainimwmbuluma4 ай бұрын
Mama na Mimi niteue basi
@SunlightKimambo4 ай бұрын
Anko magot hongera
@rosetreffert41794 ай бұрын
Teuzi zinatia kichfuchefu Hakuna kitu uchafu tu
@halimamasai22344 ай бұрын
Kwako wewe si wote wacha mama afanye kazi yake
@dilludillu27474 ай бұрын
Mh.Rais naomba unione na mm
@NadyaSamson4 ай бұрын
Ukihitajika utaitwa
@dilludillu27474 ай бұрын
@@NadyaSamson Sawa
@Stellastella-yi5vu4 ай бұрын
Endelea mama kuteua na mim labda utanifikia tu.
@eleonorashirima16044 ай бұрын
Wapeni na wototo wetu jamani mama
@fatmaabdallah77094 ай бұрын
Mh mkuu wa wilaya Wa Arusha hujambadili?! Nilitegemea yeye ndio awe wa kwanza
@Mwigaa954 ай бұрын
Ndio maana ubadhirifu wa mali za umma hauwezi kuisha sababu kila anae teuliwa anaingia kwa presha za kuogopa kutenguliwa,na badala yake ana kuwa bize na kuijenga kesho yake ili hata aki tenguliwa kwake ni boma yeee🙆🏽🏃🏽🏃🏽
@FatumaMawingu4 ай бұрын
Kweli kabisa Umeona ee
@winnerlucas59244 ай бұрын
Boma liwanza😅😅
@rosetreffert41794 ай бұрын
Kabisaa
@kiatu4 ай бұрын
Rais anateua watu wa chini katika ngazi za utawala. Natamani utaratibu huu uachwe. Yaani anawasimamia vipi?
@oneviusonesphory61564 ай бұрын
Kongole Zuhura Yunus
@paulojohn55044 ай бұрын
mimi paulo sisemi na nyamaza kimya
@zuenahamoud15324 ай бұрын
Zuhura siwawahi kumpenda hata iweje apewe vyeo vyoote vyadunia alimshambulia mwenda zake mnooo mbwaaa huyu
@NassorAlmazruy-bz4or4 ай бұрын
Free Palestine🇵🇸
@elishangowi-xr7wg4 ай бұрын
naulizia hapa kilolo🤣🤣🤣🤣🤣🤣⚰️⚰️
@AbiaWilliam-s1s4 ай бұрын
Mmm
@ashrona98844 ай бұрын
Hiy ndio kazi anayoijua na kuzulura tu duniani
@sarahmuhammed68724 ай бұрын
Waonaje uichukuwe wewe hicho cheo cha raisi ulale ukiamka kwako bila kuzurura
@fatmaothman49834 ай бұрын
Yaani huyu mama anaranda wee,, akirudi kuramda,, anamawazo ya kuteua,, hatujui hata anafanya kazi gani naona yupo tu. Haya sisi tunaangalia season episode ya ngapi inaendelea
@hatibbaraka39564 ай бұрын
Chuki mpaka kwa Raisi watu wengine sijui vipi!@@sarahmuhammed6872
@halimamasai22344 ай бұрын
Wacheni ushabiki na ufala nye anazurura mnatakaa akae ikulu ale alale anatafuta pesa hata Putin anazurura itakua Samia hizi ni chuki tu na mtabaki hivyo hivyo Samia 5 tena mbaka mkimbie shenzi zenu
@sarahmuhammed68724 ай бұрын
@@fatmaothman4983 endelea kuangaia hivyohivyo but usioongee pumba
@Mwigaa954 ай бұрын
Ndio maana ubadhirifu wa mali za umma hauwezi kuisha sababu kila anae teuliwa anaingia kwa presha za kuogopa kutenguliwa,na badala yake ana kuwa bize na kuijenga kesho yake ili hata aki tenguliwa kwake ni boma yeee🙆🏽😀
@rosetreffert41794 ай бұрын
Kabisaa
@TwaliathAndrea-dm3dy4 ай бұрын
Inaitwa chukua chako mapema😂😂😂
@haleemahaleema69914 ай бұрын
Tunakuomba utusaidie sisi haki zetu zinapote kuhusiana aridhi tulinunua viwanja tumeshaiza kujenga baada yapo kunatoa mwingine anasema nayeye kauziwa nakuomba unisaidie niweze kuipata haki yangu Kila siku sekari za mitaa Wana waekea tarehe
@rashidisalumu39334 ай бұрын
mama wananchi wako wa kibaha tuzurumiwa vipande vya viwanja na halmashauri tusaidie masikini sisi hii inch yetu sote
@abedysteven49304 ай бұрын
Badala aja azunguke kwanza tz a2jua anaenda kuangalia waliokimbia nchi