BREAKING: RAIS SAMIA ATEUA NA KUTENGUA, ZUHURA YUNUS, MAGOTI WATEULIWA

  Рет қаралды 99,155

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 121
@MagrethMallya-we8ui
@MagrethMallya-we8ui 4 ай бұрын
Endelea kuteiwa mpaka basi, hongera makonda maana unafanya kazi nzuri ARUSHAAAAA
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 4 ай бұрын
Kabisaa
@cyrilkessy3032
@cyrilkessy3032 4 ай бұрын
🎉Zuhura Yunus hongera sana
@kiatu
@kiatu 4 ай бұрын
Amepanda au ameshuka? 😅
@salomewandya7257
@salomewandya7257 4 ай бұрын
Hongera Petro Magoti
@abakibibi9917
@abakibibi9917 4 ай бұрын
NAKUTAKIA UONGOZI MWEMA MWENYEZI MUNGU AKUONGOZE AKUZIDISHIE FAHAMU KATIKA UONGOZI WAKO MHESHIMIWA MADAM ZUHURA.AMIN
@Peterchila-un2lx
@Peterchila-un2lx 4 ай бұрын
Hongera San zuhura
@nixonjohnson4908
@nixonjohnson4908 4 ай бұрын
Mpaka kieleweke uteuzi kila kukicha kama uchizi vile...
@lusakaone7782
@lusakaone7782 4 ай бұрын
Dah Tuta i miss sauti nzuri ya Zuhura Yunus, hongera ulifaa pale ulifanya kazi kisomi zaidi
@CNM-u3c
@CNM-u3c 4 ай бұрын
Yuko sahihi ❤
@mariamuyusufumalale8933
@mariamuyusufumalale8933 4 ай бұрын
Mama angu nakupenda sana kiongozi wetu mungu azidi kukubariki kwenye kazi yako mama chapa kazi duniani hapa huwezi kupendwa na kila mtu tunazidi kukuombea mama angu aamin allahuma amiin inshaa Allah
@OmaryZuberi-o3b
@OmaryZuberi-o3b 3 ай бұрын
Huna kazi ya kufanya mjini apa au?
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 4 ай бұрын
Ni kheri niteuliwe na Mungu tu !!Hapa nilipo ninaamani kuliko kuamka sina Cheo cha binaadamu!!! Tusali sana Mungu atupe na sisi maisha mazuri na yenye amani na upendo!!
@jeffreymgaya7568
@jeffreymgaya7568 4 ай бұрын
Hapa ajatengulowa bali wamebadilishiwa majukumu tu,,,serikali hii haina majipu
@KhalfanShaban-x4x
@KhalfanShaban-x4x 4 ай бұрын
Una uhakika mungu nae kakuteua ? Au unajipa moyo ndugu😂😂😂😂
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 4 ай бұрын
@@KhalfanShaban-x4x Nina uhakika wewe huna uhakika mpaka leo
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 4 ай бұрын
​@@KhalfanShaban-x4x😂😂😂😂hapo Sasa unaweza kuta hata MUNGU hakumbuki Kama yupo hapa DUNIAN 😂😂😂
@AmaniMrema-i3i
@AmaniMrema-i3i 4 ай бұрын
Hongera mama yangu....mungu akujalie kwa kila ulifanyalo,,,naomba unikumbuke mimi mwananchi wa hali ya chini,,,,kwa chochote ulichojaliwa....
@GeediGeedi-kq9hn
@GeediGeedi-kq9hn 4 ай бұрын
Lifelong inshaa allah
@ShaidaAfati
@ShaidaAfati 4 ай бұрын
Mama kilasiku anakopa pesa lakini maendeleo hamna mama matembezi hautufai kutuongoza wa Tanzania mnakopa Kwa maslahi ya kikundi flani makonda kazi njema
@mrmahmoud1278
@mrmahmoud1278 4 ай бұрын
pakikopwa mnapiga kelele pasipokopwa mnaliaHamna jema
@OmaryZuberi-o3b
@OmaryZuberi-o3b 3 ай бұрын
​@@mrmahmoud1278kwan nani alikwambia tunataka rais akope ebu tutolee uchawa apa tunataka maendeleo tu na sio kukopa kopa bila msingi mfuu
@mrmahmoud1278
@mrmahmoud1278 3 ай бұрын
@@OmaryZuberi-o3b Kwani wewe nani amekuambia kua tunataka raisi asikope? huo uchawa ndio unaokufanya utoe hoja zisizo za msingi, hoja je wewe ni chawa wa nani? kama mnataka maendeleo angalieni maendeleo sio visingizio visivyo maana
@sadikidaudi460
@sadikidaudi460 4 ай бұрын
Petro Magoti nakukubaali saana Mhe tokea enzi ya Mzee magu
@mrliverpoolynwa7641
@mrliverpoolynwa7641 4 ай бұрын
Nampenda sana zuhura yunus❤❤❤ i wish siku moja nionane nae,milard ayo naomba unikutanishe nae🙏🙏🙏
@OmaryZuberi-o3b
@OmaryZuberi-o3b 3 ай бұрын
Ww kama nani ukutabe na muheshimiwa 😂😂😂😂
@florencemeza6540
@florencemeza6540 4 ай бұрын
Nilisema akitoka safari ni kuteua tu wanajenga mwendo kasi gari zimekufaaa hazifanyi kazi mbezi usafiri shida mbagala hakuna hata gari za mwendo kasi wakati barabara imeisha
@navioma4882
@navioma4882 4 ай бұрын
Ndo kazi anaeijua
@aminarajabu5795
@aminarajabu5795 4 ай бұрын
Kabla mkurugenzi hajatulia vzr kuweka maendeleo anateuliwa mwingine kumuhamisha aliyekuwepo, Maendeleo sijui lini huko Shinyanga.
@gaudencekalyalya8721
@gaudencekalyalya8721 4 ай бұрын
Hongera sana Mh Nyongo
@hadijasaid8032
@hadijasaid8032 4 ай бұрын
Siku moja inshallah natamani kufanya kazi kwenye serikali yangu ya Tanzania.
@MariamAthumani-zb3tg
@MariamAthumani-zb3tg 3 ай бұрын
❤❤ nzuli sana
@gaudencemhagama7216
@gaudencemhagama7216 4 ай бұрын
Kila siku kuteua tuu hata hizo teuzi zenyewe hazitusaidii chochote mbona tunaishia kama hatuna serikal vile mi naona kama tunapotexa mda tuu hapa duniani
@Peterchila-un2lx
@Peterchila-un2lx 4 ай бұрын
Honger San kaka magoti
@LucyRichard-hn8wg
@LucyRichard-hn8wg 4 ай бұрын
Hongera magoti
@VumiDavid-lo1cl
@VumiDavid-lo1cl 4 ай бұрын
Mama yangu muheshimiwa mama samia suluhu mama yangu mzuli hongela kwa kazi nakuomba u nisaidie mtaji mama yangu nakuomba
@khadjamhozya
@khadjamhozya 4 ай бұрын
Kwani anakujaua😂😂😂😂😂😂😂 acha nikucheke 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 4 ай бұрын
Unafki tu huna lolote unajifanya unampenda kumbe njaa TU mama angalia Sana watu Kama hawa ndiyo wabaya kabisa Bora hata mm na kwambia ukweli unazingua Sana mama😂😂
@diva_20162
@diva_20162 4 ай бұрын
​@@deogratiusyudatadei5658njaaa mbaya sana asikuambie mtu
@diva_20162
@diva_20162 4 ай бұрын
​@@khadjamhozyahahahahaha huyo yuko na njaa sana
@daslamonline4665
@daslamonline4665 4 ай бұрын
Acheni ajaribu bahati yake wanapataga mnabaki kutoa macho
@jacobmgao-hi7rj
@jacobmgao-hi7rj 4 ай бұрын
Mama nakupenda sana ❤❤❤
@diva_20162
@diva_20162 4 ай бұрын
😮😮😮
@mudrick4553
@mudrick4553 4 ай бұрын
bora salama
@Yojusmediagroup
@Yojusmediagroup 4 ай бұрын
Huyo Lupa kilolo si alishafariki miezi 4 au 6 iliyopita jaman hii kitaalamu inakuwaje?
@chiefmajai9345
@chiefmajai9345 4 ай бұрын
Sielewi mpaka lini
@ummySheikh72
@ummySheikh72 4 ай бұрын
MashaAllah zuhura hongera Dada
@AloyceTz762
@AloyceTz762 4 ай бұрын
Kayoza hongera
@haleemahaleema6991
@haleemahaleema6991 4 ай бұрын
Kazi njema mama
@richardbenny156
@richardbenny156 4 ай бұрын
Atajua mwenyewe, Sisi tumemchoka bhana.
@wardadvaz
@wardadvaz 4 ай бұрын
Magoti hongera km zote
@AllyDaudiNgoyeji
@AllyDaudiNgoyeji 3 ай бұрын
Yaani uteuzi na utenguzi huu wa mara Kwa mara unaofanywa na Mhe. Raisi,Je utawezesha kupatikana uthabiti wa kiutendaji kazi,? Mtu anateuliwa Leo,kabla hata hajakamilisha kuzipitia taratibu za ofisi yake mpya,tayari anabadilishwa kazi! Je,Kwa taratibu hizi zinazofanyika,mteule atakuwa tayari amesomwa na hivyo kuonekana kashindwa nafasi hiyo mpya ,hivyo kulazimika kuhamishiwa nafasi nyingine,,,? Mhe Raisi akumbuke kuwa mtu yeyote atakae mteua kujaza nafasi Fulani asitegemee mteule huyo kufanya "miujiza au mageuzi ya Kimungu" ndani ya muda mfupi ktk nafasi hiyo mpya.Ni lazima kwanza ajifunze taratibu zote humo,hatua Kwa hatua ndipo Sasa ataweza kujua aanze na lipi kwanza nk.Ikizingatiwa kuwa uteuzi huo mara nyingi hauzingatii "taaluma gani" mteule huyo anatakiwa awe mayo ili aweze kumudu madaraka yake mapya. Ni Mimi Ally Daudi Ngoyeji wa Itilima,Kishapu,Shinyanga.
@SaidiNgowo
@SaidiNgowo 4 ай бұрын
Kiongozi wangu mkuu wa nchi raisi wetu mama Samia suluhu hassani. mm shida yangu ni mtaji wakufanyia biashara kiasi chochote nitapokea na kukushukuru mama yetu
@Tanafa-j9q
@Tanafa-j9q 4 ай бұрын
Toa no nikutumie mwanangu
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 4 ай бұрын
​@@Tanafa-j9qutakuta kiasi chochote kina anzia milioni Sasa jichanganyee😂😂😂😂
@robertphilip385
@robertphilip385 4 ай бұрын
Kakope kwenye mikopo ya kausha damu
@elishangowi-xr7wg
@elishangowi-xr7wg 4 ай бұрын
tafuta mashangazi utasagika
@KazunguZabron
@KazunguZabron 4 ай бұрын
MICHAEL SARANGA NYAMSENDA
@DAUDIMAHIMBO-hb4sc
@DAUDIMAHIMBO-hb4sc 3 ай бұрын
Kazi iendelee
@wardadvaz
@wardadvaz 4 ай бұрын
Zuhura yunus hongera km zote
@Martin-w2l9p
@Martin-w2l9p 3 ай бұрын
Kuteua na kutengua unaupinga mwingi
@AyoubKhatib-p4k
@AyoubKhatib-p4k 4 ай бұрын
Makonda apewe nafasi ya waziri mkuu hiyo ndio nafasi saiz yake apate kupiga spana nchi nzima
@KelvinConorard
@KelvinConorard 4 ай бұрын
Lini uliona waziri mkuu anatenguliwa
@ahmednoor1412
@ahmednoor1412 4 ай бұрын
Waziri mkuu anateuliwa na rais akiwa mbunge then anapigiwa kura na wabunge apite au la hivyo yuko sawa
@KelvinConorard
@KelvinConorard 4 ай бұрын
​@@ahmednoor1412kumbuka akishakuwa waziri mkuu uwezi kumtoa labda uvunje baraza lote la mawaziri
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 4 ай бұрын
​@@KelvinConorardawapi 😂😂😂 majaliwa wamagufuli siyo majaliwa wa Samia nahiyo inaonesha anaogopa kutumbuliwa tu 😂😂😂😂 nahiyo inaonesha kuwa inawezekana tu kutolewa
@Mahene-w1l
@Mahene-w1l 4 ай бұрын
Jamani nyinyi ndio mpo Humo ikulu mnasoma ufanisi wake?
@KazunguZabron
@KazunguZabron 4 ай бұрын
MICHAEL SARANGA
@joshuajofrey9832
@joshuajofrey9832 4 ай бұрын
Ko bi mkubwa akitua nchini kazi yake nikuteua afu anapaa anakuchukua udaktali wake na uprofessor
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 4 ай бұрын
Mama yangu nakushauri ikikupendeza Mrudishe Agrey mwanri atakusaidia sana tena huyo mlete dar amsaidie chalamila au mpeleke arusha amsaidie makonda.
@jacobmgao-hi7rj
@jacobmgao-hi7rj 4 ай бұрын
Kweli kabisa mwaniri akikaa na chalamila patanoga
@sabathosamson5381
@sabathosamson5381 4 ай бұрын
Mama nakuomba mrudishe zuhura ikulu......... Nakuomba mama yangu Zuhura kakosa nn ikulu mama
@samwelilazaro2835
@samwelilazaro2835 4 ай бұрын
Kule kupanda zaidi
@daudiayubu4464
@daudiayubu4464 4 ай бұрын
Kwani Zuhura akiwa Ikulu wewe inakusaidia nini???
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 4 ай бұрын
Kumekucha
@lameckbalekere1962
@lameckbalekere1962 3 ай бұрын
Mama samia malizia miakayako usitafu kama Mandela wasikudanganye hao mafisadi ubakinaheshima
@HijaSaid-xd7fg
@HijaSaid-xd7fg 4 ай бұрын
Vipi Salim Kikeke, au yeye ni mwiba
@ShkiruIsmail
@ShkiruIsmail 4 ай бұрын
mama tusaidie umeme urudi tsh 27000,nasie tupate umeme
@user-kr5dp2ip9g
@user-kr5dp2ip9g 4 ай бұрын
Mimi sijawahi kuona Rais kuteua watu wenye elimu wasiokua na ajira bali huteua wale wale wenye ajira na kuwabadilishia tu ajira..kwa hiyo wale wasiokua na ajira wanabakia hivyo hivyo..! au huwa inakuaje maana sielewi!!
@olivernyange2349
@olivernyange2349 4 ай бұрын
Makonda tu ndo tunamuona ukiteua wengine sijawahi ona kazi zao,ila one day watoto wa maskin watasikika tu njaa zitavozidi watasikika
@Tumainimwmbuluma
@Tumainimwmbuluma 4 ай бұрын
Mama na Mimi niteue basi
@SunlightKimambo
@SunlightKimambo 4 ай бұрын
Anko magot hongera
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 4 ай бұрын
Teuzi zinatia kichfuchefu Hakuna kitu uchafu tu
@halimamasai2234
@halimamasai2234 4 ай бұрын
Kwako wewe si wote wacha mama afanye kazi yake
@dilludillu2747
@dilludillu2747 4 ай бұрын
Mh.Rais naomba unione na mm
@NadyaSamson
@NadyaSamson 4 ай бұрын
Ukihitajika utaitwa
@dilludillu2747
@dilludillu2747 4 ай бұрын
@@NadyaSamson Sawa
@Stellastella-yi5vu
@Stellastella-yi5vu 4 ай бұрын
Endelea mama kuteua na mim labda utanifikia tu.
@eleonorashirima1604
@eleonorashirima1604 4 ай бұрын
Wapeni na wototo wetu jamani mama
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 4 ай бұрын
Mh mkuu wa wilaya Wa Arusha hujambadili?! Nilitegemea yeye ndio awe wa kwanza
@Mwigaa95
@Mwigaa95 4 ай бұрын
Ndio maana ubadhirifu wa mali za umma hauwezi kuisha sababu kila anae teuliwa anaingia kwa presha za kuogopa kutenguliwa,na badala yake ana kuwa bize na kuijenga kesho yake ili hata aki tenguliwa kwake ni boma yeee🙆🏽🏃🏽🏃🏽
@FatumaMawingu
@FatumaMawingu 4 ай бұрын
Kweli kabisa Umeona ee
@winnerlucas5924
@winnerlucas5924 4 ай бұрын
Boma liwanza😅😅
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 4 ай бұрын
Kabisaa
@kiatu
@kiatu 4 ай бұрын
Rais anateua watu wa chini katika ngazi za utawala. Natamani utaratibu huu uachwe. Yaani anawasimamia vipi?
@oneviusonesphory6156
@oneviusonesphory6156 4 ай бұрын
Kongole Zuhura Yunus
@paulojohn5504
@paulojohn5504 4 ай бұрын
mimi paulo sisemi na nyamaza kimya
@zuenahamoud1532
@zuenahamoud1532 4 ай бұрын
Zuhura siwawahi kumpenda hata iweje apewe vyeo vyoote vyadunia alimshambulia mwenda zake mnooo mbwaaa huyu
@NassorAlmazruy-bz4or
@NassorAlmazruy-bz4or 4 ай бұрын
Free Palestine🇵🇸
@elishangowi-xr7wg
@elishangowi-xr7wg 4 ай бұрын
naulizia hapa kilolo🤣🤣🤣🤣🤣🤣⚰️⚰️
@AbiaWilliam-s1s
@AbiaWilliam-s1s 4 ай бұрын
Mmm
@ashrona9884
@ashrona9884 4 ай бұрын
Hiy ndio kazi anayoijua na kuzulura tu duniani
@sarahmuhammed6872
@sarahmuhammed6872 4 ай бұрын
Waonaje uichukuwe wewe hicho cheo cha raisi ulale ukiamka kwako bila kuzurura
@fatmaothman4983
@fatmaothman4983 4 ай бұрын
Yaani huyu mama anaranda wee,, akirudi kuramda,, anamawazo ya kuteua,, hatujui hata anafanya kazi gani naona yupo tu. Haya sisi tunaangalia season episode ya ngapi inaendelea
@hatibbaraka3956
@hatibbaraka3956 4 ай бұрын
Chuki mpaka kwa Raisi watu wengine sijui vipi!​@@sarahmuhammed6872
@halimamasai2234
@halimamasai2234 4 ай бұрын
Wacheni ushabiki na ufala nye anazurura mnatakaa akae ikulu ale alale anatafuta pesa hata Putin anazurura itakua Samia hizi ni chuki tu na mtabaki hivyo hivyo Samia 5 tena mbaka mkimbie shenzi zenu
@sarahmuhammed6872
@sarahmuhammed6872 4 ай бұрын
@@fatmaothman4983 endelea kuangaia hivyohivyo but usioongee pumba
@Mwigaa95
@Mwigaa95 4 ай бұрын
Ndio maana ubadhirifu wa mali za umma hauwezi kuisha sababu kila anae teuliwa anaingia kwa presha za kuogopa kutenguliwa,na badala yake ana kuwa bize na kuijenga kesho yake ili hata aki tenguliwa kwake ni boma yeee🙆🏽😀
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 4 ай бұрын
Kabisaa
@TwaliathAndrea-dm3dy
@TwaliathAndrea-dm3dy 4 ай бұрын
Inaitwa chukua chako mapema😂😂😂
@haleemahaleema6991
@haleemahaleema6991 4 ай бұрын
Tunakuomba utusaidie sisi haki zetu zinapote kuhusiana aridhi tulinunua viwanja tumeshaiza kujenga baada yapo kunatoa mwingine anasema nayeye kauziwa nakuomba unisaidie niweze kuipata haki yangu Kila siku sekari za mitaa Wana waekea tarehe
@rashidisalumu3933
@rashidisalumu3933 4 ай бұрын
mama wananchi wako wa kibaha tuzurumiwa vipande vya viwanja na halmashauri tusaidie masikini sisi hii inch yetu sote
@abedysteven4930
@abedysteven4930 4 ай бұрын
Badala aja azunguke kwanza tz a2jua anaenda kuangalia waliokimbia nchi
@emmanuelakko9014
@emmanuelakko9014 4 ай бұрын
Huyu aliyetoka bbt mwehu tu
@GraceGoodluck-n7t
@GraceGoodluck-n7t 4 ай бұрын
Mihata sielewi bwanA ateuwe tu
From Small To Giant Pop Corn #katebrush #funny #shorts
00:17
Kate Brush
Рет қаралды 72 МЛН
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 68 МЛН
Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:20
Leisi Crazy
Рет қаралды 78 МЛН
7 Signs That Someone Dislikes You and is Hiding it | STOIC PHILOSOPHY
27:50
What REALLY Caused the Split Between Sunni and Shia Muslims
17:03
The Islamic History Hub
Рет қаралды 327 М.
From Small To Giant Pop Corn #katebrush #funny #shorts
00:17
Kate Brush
Рет қаралды 72 МЛН