Bunge laombwa kujadili kwa dharura waraka wa Rais Trump kuhusu ARV'S

  Рет қаралды 667

UTV Tanzania

UTV Tanzania

Күн бұрын

Bunge la Tanzania limeombwa kufanya kikao cha dharura kujadili na kuishauri Serikali kuhusu hatua inazoweza kuchukua baada ya Serikali ya Marekani kusitisha kwa muda misaada yake kwa nchi mbalimbali ikiwemo ya dawa za kufubaza makali ya virusi vya ugonjwa wa Ukimwi.
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametoa maelekezo ya kusitishwa kwa misaada ya nchi hiyo kimataifa na tayari kuna hofu hatua hiyo inaweza kuhatarisha mamilioni ya watumiaji wa dawa hizo nchini na ndiyo sababu Bunge limeombwa kuingilia kati kama inavyoeleza taarifa hii.
#AzamTVUpdates #Azamnewsupdates
✍Warda John
Mhariri | @official_jennifersumi

Пікірлер
Young Lionel Messi Was Actually INSANE
14:20
VSP7 FOOTBALL
Рет қаралды 464 М.
Try this prank with your friends 😂 @karina-kola
00:18
Andrey Grechka
Рет қаралды 9 МЛН
Каха и дочка
00:28
К-Media
Рет қаралды 3,4 МЛН
小丑教训坏蛋 #小丑 #天使 #shorts
00:49
好人小丑
Рет қаралды 54 МЛН
TRUMP, MUSK WANAVYOHATARISHA HATMA YA MISAADA AFRIKA KUPITIA USAID
6:37
Mwananchi Digital
Рет қаралды 2,7 М.
Rais Donald Trump aiondoa Marekani kwa shirika la WHO
3:08
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 59 М.
TAZAMA HOTUBA YA TRUMP KWA KISWAHILI, ATANGAZA JINSIA MBILI TU MAREKANI
19:23
Why Islam Won’t Survive the 21st Century: A Quiet Collapse
18:09
The Cyberpunk Dingo
Рет қаралды 2,5 МЛН
Rais Donald Trump aapishwa kuwa rais wa 47 Marekani
3:10
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 7 М.