Рет қаралды 151
Aliyekuwa kamishna wa magereza humu nchini Isaiah Mosiori Osugo ameaga dunia. Osugo alifia katika hospitali ya Nairobi ambako alikuwa akitibiwa ugonjwa wa saratani. Duru zinasema kuwa Osugo alitibiwa nchini India lakini hali yake ya afya ikazorota. Osugo aliteuliwa kusimamia idara ya magereza mwaka wa 2008 na alistaafu tarehe-19 mwezi Machi mwaka 2019.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: t.ly/86BKN
Follow us on Twitter: / kbcchannel1
Find us on Facebook: / kbcchannel1news
Check our website: www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #mosioriosugo #News