No video

HOUSE GIRL EP 42 || love story💞💕

  Рет қаралды 157,553

BUSATI TV

BUSATI TV

Ай бұрын

#bongomovie #housegirl

Пікірлер: 574
@busatitv
@busatitv Ай бұрын
Kupata taarifa sahihi za episode zetu mpya, tembelea mitandao yetu ya Kijamii Instagram @busatitv Facebook @busatitv TikTok @busatitv Pia tuna Group la WhatsApp
@SurprisedPotluck-ms1vh
@SurprisedPotluck-ms1vh Ай бұрын
Sawa
@CarinoSwai
@CarinoSwai Ай бұрын
Chapu chapu basi
@modestazaver
@modestazaver Ай бұрын
Mambo ayo
@user-sx6zw1pr1w
@user-sx6zw1pr1w Ай бұрын
Yatoka saa ngpi
@AngelThomass-ht8vv
@AngelThomass-ht8vv Ай бұрын
Jina la kawimbo jaman nmeupenda sanaaa🥳😋😋
@marrytrance
@marrytrance Ай бұрын
Nawapenda wote mnafatilia house girl ❤ kama unanipenda py 😂gonga like hapa
@DaisyNyabuto
@DaisyNyabuto Ай бұрын
Mapenzi yanatesa unayempenda anapenda mwingine uyo mwingine naye ana mwingine , mwingine kapatwa na mwingine 😢😢😢😢😢 daaaah nipeeni Tano ❤❤❤❤❤❤❤tusisahau kujifunza wanandoa wenzangu
@FetrissJanni-lb5il
@FetrissJanni-lb5il Ай бұрын
Candy ana nifundisha kua mdomo sio kitu kizur eee mungu naomba niwe maneno mazur na kukaa kimya 😢😢
@Mrsmick712
@Mrsmick712 Ай бұрын
Mr tasha nitafulai ukimpata mke wa chiko kudadeki mtoto anasauti laini uyuuu😂😂😂
@elizabethmwafongo7829
@elizabethmwafongo7829 Ай бұрын
😂😂achepuke tu apate mimba maana sio kwa kunyanyasika huko
@Mrsmick712
@Mrsmick712 Ай бұрын
@@elizabethmwafongo7829 yeye inaonesha ana shida tatizo ni chiko mwenyewe
@AbdulazizMussa-sy2mz
@AbdulazizMussa-sy2mz Ай бұрын
Wanao amini kendi ni malay wanipe lakes kutoka mwanza
@Rahmaomarymangosongo
@Rahmaomarymangosongo Ай бұрын
Jamani nimeinjoy mno nilizan aifiki epsod 40
@estermpare4078
@estermpare4078 Ай бұрын
Yaani move ijamaliza ata lisaaa tiarii matahiraa yashaomba like !! Ata kulike hamn wala kusubscribe
@HopeMmbando-wb8ci
@HopeMmbando-wb8ci Ай бұрын
Atari shoga sijui like zina Hela 😮
@KennethMAMBA
@KennethMAMBA Ай бұрын
umesema neno wana niudhi hatar
@AwadhiMumbu
@AwadhiMumbu Ай бұрын
Nikwel wanaboa san haooo
@KampalaKmfzn
@KampalaKmfzn Ай бұрын
Kai plz zuu mumependezana sana
@Cuteeeee477
@Cuteeeee477 Ай бұрын
Tunao isubiri kwa hamu tujuane hapa 😂😂❤
@zainaburamadhani2982
@zainaburamadhani2982 Ай бұрын
Kheee kimeumana, mimba ya mkongo, chiko naye anaamin kua ataitwa baba, uwiiiii makubwa cjui nn kitatokea😂😂😂 Neeeexxxxxttttttt
@user-pp3vo8rw5j
@user-pp3vo8rw5j Ай бұрын
Yan saii najiona mshindi kwa kila upande wa zuu ❤❤❤❤❤
@aishaseif-zq6zx
@aishaseif-zq6zx Ай бұрын
Jmn Namm nipen like zangu nimekuwa wa kwanza na nimekuwa mfatiliaji Mzur tu
@HillarySendeu-ht3lj
@HillarySendeu-ht3lj Ай бұрын
Yaani mambo fire fire ukitoka hapa unaendelea na nyingine ewaaaah ndo maana tunawapenda na kuwasuport wanao enjoy kama mimi gonga like
@terimberejaliajalia8284
@terimberejaliajalia8284 Ай бұрын
Leo nimekuja tuu mapema nasubilia kwenye mlango😅.jameni na sisi watu wa Burundi tunawatizama sana na tunawapenda.nipeni basi like hata ngapi jameni 😂
@busatitv
@busatitv Ай бұрын
Tunawapenda sana Watu wa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@RizikiZiki
@RizikiZiki Ай бұрын
Waooo nasi tunawapenda sana wa Tanzanie
@user-xo7ns7bc8c
@user-xo7ns7bc8c Ай бұрын
Waaah kumbe Candy kaz unayo mwanadada bado twasema mimba ni ya Chiko kumbe hata kuna mume wa Sania hapo then umsambaze mwenzako kua ni malaya😂😂😂😂
@MemoryKamutandi
@MemoryKamutandi Ай бұрын
Nataman kay akutane na zuuu❤❤❤❤❤
@SalvinJastin
@SalvinJastin Ай бұрын
Ndio ninachosubiri na mm😢😢
@carowamakalo7993
@carowamakalo7993 Ай бұрын
Mm nasubiri harusi ya zuu na kai ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉
@jedenecosta
@jedenecosta Ай бұрын
5/5 Nawafatiria Nikiwa Nairobi.kenya Movie Njema
@mvinyo99
@mvinyo99 Ай бұрын
Mke wa chiko n pisikalii pia mke wa kiramb ni motooo🥰🥰🥰
@user-ii3rb6uj7g
@user-ii3rb6uj7g 6 күн бұрын
Umesahau bb pia nmkal ila nmekupa comment mana ujaomba
@MauaSaid-t4b
@MauaSaid-t4b Ай бұрын
Au ndio hao wachafuzi wako hadi kwenye busati wanakula futari 😅😅😅maana haifunguki imeingia nikaiplay hola 😅😅
@user-sx6zw1pr1w
@user-sx6zw1pr1w Ай бұрын
Kutoka 🇰🇪team Zuu team strong mko wapi tujuane kwa likes💪💪💪
@user-qv1jx5nj2u
@user-qv1jx5nj2u Ай бұрын
Team strong tupo tuna enjoy house girl ila kendi pia wewe malaya usiseme mwenzio
@user-sx6zw1pr1w
@user-sx6zw1pr1w Ай бұрын
@@user-qv1jx5nj2ukabisa yaani
@DidaAlly-iz1it
@DidaAlly-iz1it Ай бұрын
Msiguse comment yangu sitaki😂😂😂 nawara sitaki Iikee 😂😂
@PriscaEmmanuel-fh4yn
@PriscaEmmanuel-fh4yn Ай бұрын
Naomba like
@privteemail4327
@privteemail4327 Ай бұрын
Mumetupiga Leo nakitu kizito😂😂😂mbona aifunguki
@user-qm2kb1ln7p
@user-qm2kb1ln7p Ай бұрын
Saniya. Umechezeya. Kipiqo. hiyo. Ndiyo. dawa. yamuonqo😂😂😂😂😂😂
@AminaNgumba
@AminaNgumba Ай бұрын
Atapigw na nani ten maan bando limekatikia njian
@MillyMjeni
@MillyMjeni Ай бұрын
Kumbe kendy kalala na papa na chiku asa mimba ni ya papa hii movie tamu..alafu chiku hazai mkewe ako sawa 😂😂😂😂😂najiendeleza wenyewe wapenzi😂😂😂
@SalomeMhela
@SalomeMhela Ай бұрын
Jaman mnatuacha patam hvyo tuongezeen dk
@LydiaJeremiah-vg4vl
@LydiaJeremiah-vg4vl Ай бұрын
Kuomba like tuu kusema mme jifunza nini aaah😂😂😂😂😂
@user-ii3rb6uj7g
@user-ii3rb6uj7g 6 күн бұрын
Comment yako moto 🎉🎉🎉🎉wanakera
@sumaya-q7i
@sumaya-q7i Ай бұрын
Candy wewe et sania malaya wewe jee chiko mume wako mchepuko wako 😂😂😂😂
@Vincent0piyo-dc1qw
@Vincent0piyo-dc1qw Ай бұрын
Jamani huku kila kipindi kinafika kwa muda...Chukueni ladole langu❤❤
@Saumu254
@Saumu254 Ай бұрын
Yaan kumoto kila kikicha yaan candy umeyatimbaaa leo Papaaa baba mutoto😅😅😅😅
@user-mv6vi1gv6f
@user-mv6vi1gv6f Ай бұрын
Leo12naomba mwenye atakuja nyuma anipe like 🇧🇮🎉❤🎉❤
@merinazyd0532
@merinazyd0532 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Cendy ametiwa ka petii😂😂😂😂😂😂
@user-yk5sl9bk3x
@user-yk5sl9bk3x Ай бұрын
😂😂😂😂Jmn naona Kila mtu niwa kwanza Sasa wa mwisho nnan au n mm🙈❤❤🎉nam nipewe likes
@Kinyua-ye8kk
@Kinyua-ye8kk Ай бұрын
Candy wewe mnafiki kweli lkni Mungu yupo plan zako ujue zitafeli zote
@HalimaJafari-yv2th
@HalimaJafari-yv2th Ай бұрын
Makubwa kuliko yote kendi na papa hatari na nusu😅😅😅
@JustinJoseph-jf9xj
@JustinJoseph-jf9xj Ай бұрын
Namba moja leo ❤🎉🎉🎉
@user-zw9jg7ne8k
@user-zw9jg7ne8k Ай бұрын
Mbona mnachelewesha jamani 😊
@user-fy4fo5yx2b
@user-fy4fo5yx2b Ай бұрын
Naombeni likeee jamani na mimi❤❤❤
@anfrashadvertiser4801
@anfrashadvertiser4801 Ай бұрын
Wale wa HOUSE GIRL GANG😅
@IlhamShaban-vq3kx
@IlhamShaban-vq3kx Ай бұрын
Chiko we na kujisifu kote kumbe mimba ni ya papa uweweeeee❤🎉
@LydiaJeremiah-vg4vl
@LydiaJeremiah-vg4vl Ай бұрын
Walaki moja leo naombeni like ata sifur tuu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mana watu waako bize kuomba jamn kumbe busat mna gawaga like nahamsemi jamn
@LilianJoseph-nw3hq
@LilianJoseph-nw3hq Ай бұрын
😂😂😂
@safarimbawa-ri9lc
@safarimbawa-ri9lc Ай бұрын
Unapenda like ww😂😂😂😂
@AllyShabany
@AllyShabany Ай бұрын
Acha ushamba kaombe kanisani mfyuuu
@user-dw8eb4zf2e
@user-dw8eb4zf2e Ай бұрын
Nicee one❤
@LydiaJeremiah-vg4vl
@LydiaJeremiah-vg4vl Ай бұрын
@@AllyShabany mm wala sihtaji like yamtu ndio mana nika malizia na kicheko
@user-bf3ij2ie5k
@user-bf3ij2ie5k Ай бұрын
Hahaaa sasa nimepata jibu hapa chiko hazai .....hii kimba ya candy niya huyu papaa afu chiko hazai mkewe ako sawa
@user-pi4oi9np3z
@user-pi4oi9np3z Ай бұрын
Nyie watu ht mwaboa wallahi mtu akiingia kwa comment aangalie vile movie yaenda ywaona like like tu si m comment vile movie yaenda jamnii achni sifaa
@jasminselemani62
@jasminselemani62 Ай бұрын
Wanakera mpka wanakera Tena 😏🙄
@AbdulazizMussa-sy2mz
@AbdulazizMussa-sy2mz Ай бұрын
Nami naombeni Lake kwa wale wanaowakubal busati tv
@rashdmwikon
@rashdmwikon Ай бұрын
Wakwanza mm Leo naomba like nyiing
@user-bb6oy5dl6y
@user-bb6oy5dl6y Ай бұрын
Ambao walikuwa wakifikiri kuwa house girl itaishia ep40 like hapa 😂😂😂
@user-tj9gk6rr8w
@user-tj9gk6rr8w Ай бұрын
😂😂😂😂Yamenoga sasa
@adelinaomani9012
@adelinaomani9012 Ай бұрын
Yani ifike hata mia
@RizikiZiki
@RizikiZiki Ай бұрын
Sitamani iishe kiukweli ❤
@MauaSaid-t4b
@MauaSaid-t4b Ай бұрын
Sania bana et hata yeye anamtaka ila msimamo tu😅😅😅😅husemi kama tayari kimekurama chuma😅😅😅😅
@user-le6xc6ei5x
@user-le6xc6ei5x Ай бұрын
Kwel kendi nyani haon kundule 😂😂😂😂mm hamu yangu nasbr kai amuoe zuu😂
@user-xq5po1di7w
@user-xq5po1di7w Ай бұрын
Nawapenda sana wanafatilia house girl dj leta vitu ausio nnakukumbali sana🥰
@axmedhussein5721
@axmedhussein5721 Ай бұрын
Kuna wachoyo wa like..cimtupee jameni...
@jackilinekaini8744
@jackilinekaini8744 Ай бұрын
Mambo yanazid kupamba Moto wapendwa
@kenethmwasenga
@kenethmwasenga Ай бұрын
Wakwanza leo nipeni like jameen
@blandinedusabe
@blandinedusabe Ай бұрын
Basi team fulus mukija mupitie hapa❤❤🎉🎉🎉🎉
@ZaithuniNassir
@ZaithuniNassir Ай бұрын
😂😂😂
@JacklineNamahala
@JacklineNamahala Ай бұрын
Yan Sasa hv ubaya ubaya tu Iła marafiki 😅😅😅😂😂😂
@user-bj1gu8cw3b
@user-bj1gu8cw3b Ай бұрын
Kendy acha umalaya usikute na huyo ushamtamani😂😂
@groryaidan7386
@groryaidan7386 Ай бұрын
Sania mi 5 tenaaa....😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@Mery-st4nu
@Mery-st4nu Ай бұрын
Nimecheka sanaa 😂😂😂😂 alinipiga kubwa nikawa naona wakinamariamu😂😂😂😂
@jacklineshayo3962
@jacklineshayo3962 Ай бұрын
Wanaoamin hii movie inakarbia final gonga likes hapaa🎉🎉🎉
@melanianjau3244
@melanianjau3244 Ай бұрын
Kumbe si mimba ya chiko ni ya papa daaaah candy kashindikana hongera yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂😂
@GraceJulius-kv3rz
@GraceJulius-kv3rz Ай бұрын
Ma mimi nimewah jamani naombeni like 5 tuu
@user-ys3wz1sf7s
@user-ys3wz1sf7s Ай бұрын
Sawsaw,, yaan candy yupo katikati ya baari na maji yamejaa yamemfikia shingon amebaki kutapatapa2,, kibaya zaidi ajui kuogelea,, alafu maji yenyewe kwa luga yetu ya wadigo twayaita maji ya msindizi yale yakutoa mwezi 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤ nawapenda sana from Kenya 🇰🇪
@Mwandegu
@Mwandegu Ай бұрын
😅😅😅😅Wacha nipite tuu yauma lkn
@bethkendi5157
@bethkendi5157 Ай бұрын
Tunaisubiria Kwa hamu sana
@MaryChemnyetich
@MaryChemnyetich Ай бұрын
Aki leo musininyime like😂😂❤❤❤nimesubiri kwa hamu sna
@user-ro7sk9ic7z
@user-ro7sk9ic7z Ай бұрын
Huyo jamaa anaeish na baba yake Kai 🎉🎉🎉yuko vizur 😅😅
@user-if7rb1su9j
@user-if7rb1su9j Ай бұрын
WA Mia moja leoo naomben like😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅
@GraceOtieno-vo3sj
@GraceOtieno-vo3sj Ай бұрын
Haaa nasubiri zuuu mie sasa
@fatuma6011
@fatuma6011 Ай бұрын
Busati mnafanya kaz nzuri hongera
@user-wm7gu8os2i
@user-wm7gu8os2i Ай бұрын
Hodi humu ndani nimewakuta house gri naweza kupata laki namieee😂😂😂mana nina shida
@Sayd-pi5lq
@Sayd-pi5lq Ай бұрын
Yaani kilamba ukwaju katisha nime kubali kazi bg up sana
@HudhaimaYussuf
@HudhaimaYussuf Ай бұрын
Nilidhemma dhikudhemma mimba siya chiko jaman kendi 😅😅😅
@Hilda-qp7gi
@Hilda-qp7gi Ай бұрын
Achen kuomba like 😮😮
@salmamwakabutama
@salmamwakabutama Ай бұрын
😂😂kilamba ndio mimi sasa nikikuona nasepa sitaki shari
@twinkledestar4277
@twinkledestar4277 Ай бұрын
Izo like mnapeleka wapi nyie 😂😂😂
@christinewanga7385
@christinewanga7385 Ай бұрын
Mr.Kilamba kwa hii Episode 41 amenichekesha kweli😅 Eti alipigwa kikumbo mpaka nrtwk ikamutoka mpaka akokosa kujielewa ni wa jinsia ngani🙆🤭 Cjui Mariam au Sakina 😂😂🙌
@RachelJoseph-dy2jh
@RachelJoseph-dy2jh Ай бұрын
Kazi nzuri sana❤❤❤
@user-if4zn5vf5z
@user-if4zn5vf5z Ай бұрын
Kma unampend Sania gonga like tukisong mbele
@VailethYusi
@VailethYusi Ай бұрын
Wa Kwanza mim naomba like zangu kutoka Dodoma
@RahabuMwashilinde
@RahabuMwashilinde Ай бұрын
Ila watu mnawahi
@eunice1808
@eunice1808 Ай бұрын
Nyie watu wa likes mmeangalia movie wapi😂😂😂
@LucyKhachiti
@LucyKhachiti Ай бұрын
Zuu tangu atoke mbio bado hajamfikia Kai jameni
@GladysOmwando
@GladysOmwando Ай бұрын
Atlest leo nmejarb nnewayi 🎉🎉🎉nipee hta like bas
@Zainabu-xn3vd
@Zainabu-xn3vd Ай бұрын
Jameni nangoja kwa hamu na ghamu msichelewe please 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-vd9cj5ro4u
@user-vd9cj5ro4u Ай бұрын
Jaman na me like leo hata siku 1
@tausimct
@tausimct Ай бұрын
Wakatikati leo naomba like zenu
@MetrineKhisa
@MetrineKhisa Ай бұрын
Aki s pia leo nmewai mapema like ata moja tu😂😂😂
@nurumwinyi796
@nurumwinyi796 Ай бұрын
Baa imezua baa kwa candy,haelewi mimba ya nani
@LindaEDWARD-tu7ho
@LindaEDWARD-tu7ho Ай бұрын
Nyie mnaroho mbaya hata like Moja jmn yaan tokea nmeanza kuangalia cjawahi kupata jmn wakenya wenzangu naombeni likes
@user-bq9zj5sm7i
@user-bq9zj5sm7i Ай бұрын
Jmn siku ni nyingi ndipo twamis kumuona zuu
@user-hf9fh6nk6h
@user-hf9fh6nk6h Ай бұрын
Wallah hii kipindi nimeipenda sana toka kanumba afe niliacha kuwarch move zakitanzania lakini toka nilivo kuta hii tiktok nimeanza tena kuwafatilia jamani mbarikiwe kwa kipaji mungu awazidishie ujuzi zaid na sisi tufaidi nawapenda sana jirani zangu 🌹🌹🌹🌹
@user-vi2gs5ie9m
@user-vi2gs5ie9m Ай бұрын
Leo nimejaribu kuwahi ila tatizo sijazoea kuomba like 😌😌😜😜
@user-qh3xy2hi4t
@user-qh3xy2hi4t Ай бұрын
Nategea chenye caddy atafanyiwa na sania
@daxpcomandomz3450
@daxpcomandomz3450 Ай бұрын
Jamani sehemu moja dakika 10 munaboa bana
@esterkulwa
@esterkulwa Ай бұрын
Candy bigup😂😂😂😂😂
@FelisterBuhitu-xf9qv
@FelisterBuhitu-xf9qv Ай бұрын
Mbona scene mnzirudia jamanii sa ndo nini dakika chache wahusika wananirudia
@salamamwazuma315
@salamamwazuma315 Ай бұрын
Kiramba ukwaju 😂😂🙌
@Igra254
@Igra254 Ай бұрын
Naona maajabu kweli mwanamke mdangaji ni mdangaji tu
@AliceCharo-wz9oz
@AliceCharo-wz9oz Ай бұрын
Naiaubiria kwa hamu 😂😂htkma 41 sijaimliza ju ya network munipee likes guys
@jacklinelenatus712
@jacklinelenatus712 Ай бұрын
Nawapendaaa sanaaa busati tv yaan kwa siku epsisode moja uhakika ❤❤❤
@user-mb8nc4oh2j
@user-mb8nc4oh2j 29 күн бұрын
Bwana kiramba nakupend bure kbs yaani unovo igize kwny film ukiwa n roho nzuri n maisha y kawaid uwe ivo ivo
@user-qm7jn4bn6f
@user-qm7jn4bn6f Ай бұрын
Jaman watu mko facta❤❤❤
HOUSE GIRL  EP 43 || love story💞💕
21:46
BUSATI TV
Рет қаралды 165 М.
哈莉奎因以为小丑不爱她了#joker #cosplay #Harriet Quinn
00:22
佐助与鸣人
Рет қаралды 10 МЛН
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 10 МЛН
DEM WA FACEBOOK || GO STUDY IN THE USA 🇺🇸  FOR FREE.
39:07
DEM WA FACEBOOK
Рет қаралды 87 М.
HOUSE GIRL  EP 41 || love story💞💕
20:37
BUSATI TV
Рет қаралды 154 М.
Fortune Mwikali’s Wedding. Landing in a helicopter.. See full video
10:40
Stephen Kasolo Official
Рет қаралды 697 М.
BABA YANGU KIPOFU Full episode /26/ #love
25:09
BabaJoan
Рет қаралды 272 М.
MISSION IMPOSSIBLE [21]
18:01
CHADO MASTA FILM
Рет қаралды 52 М.
||Marumakan/Marumakal||മരുമകൻ /മരുമകൾ |Malayalam Comedy Video||Sanju&Lakshmy|Enthuvayith|
17:29
PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI  | Love Story
40:44
哈莉奎因以为小丑不爱她了#joker #cosplay #Harriet Quinn
00:22
佐助与鸣人
Рет қаралды 10 МЛН