Wanabusati tv plzzzzzz nawaomba msiwahi kumaliza hiiiiii tamthlia nawasihi muendele hivyo hivyo hdi itakapofika tamthlia ya 100 kwasababu ina mafunzo mazuri sana pamoja n mtiririko wa kueleweka watching from Saudi as a house girl tooo Much Love to Busati Family ❤❤❤
@busatitvАй бұрын
❤❤❤😍😍
@busatitvАй бұрын
Asante sana tutaifanyia kazi maoni yako
@anyona711Ай бұрын
😅😅Saudi Niko hapa Jeddah, tukutane istaraha tukunywe kahawa😅
@user-eb6ye8fi4yАй бұрын
❤❤❤
@RakhmaFosiАй бұрын
@@anyona711nipo Abha c tupewe episode 44😅
@user-fw2zn2os8gАй бұрын
jamn anae jisikia fraah kai kumuomb msamah baba ake like ap
@halimahassan1930Ай бұрын
Hakika inamafunzo sana hii movie mungu awabariki sana kwa kazi nzuri ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@mohamedlopa8410Ай бұрын
Ambao tunasubiria kwa hamu ndoa ya kai na zuuh tujuane kwa like zakutosha,,,,,,,, 😂😂😂❤❤❤❤
@mohamedlopa8410Ай бұрын
❤
@mohamedlopa8410Ай бұрын
❤❤
@PaulOjiambo-p1fАй бұрын
❤❤
@mohamedlopa8410Ай бұрын
@@PaulOjiambo-p1f❤❤❤
@user-kc2mf1fz7gАй бұрын
❤❤❤❤
@HellenAlquinАй бұрын
Na mm Leo ndo wa mwisho hvyo naomben like zangu Ili nifahamu npo miongon mwenu Ili niwahi
@mercyassy5469Ай бұрын
Candy atapigwa na kitu kizito na huyo shemeji yake wa mchongo atauza nyumba na hatopata hata mia mbovu🤣🤣😂
@lulumhapaАй бұрын
Aisee nahisi mimi ni wa kwanza ambae sijaomba like 😂😂😂😂😂...nnachotaka kusema ni pongezi kwa busati TV kwanza wanatoa movie kwa muda pili vipande vinaeleweka jmnnn pongezi kwenu kazi nzuri sana 🎉🎉🎉🎉 nawapenda sana 🎉🎉🎉🎉 msichoke kutupa vtu vitamu ❤❤❤❤❤
@PillysalimSengoАй бұрын
nakungana na ww ambae ujawahi kuomba like 😊
@VivianeMhapaАй бұрын
Lulumhapa nadhan Sisi ni ndungu
@lulumhapaАй бұрын
@@VivianeMhapa kwa kweli jamani ❤️
@VivianeMhapaАй бұрын
@@lulumhapa ok tujuane zaid
@lulumhapaАй бұрын
@@VivianeMhapa saww
@macrinafuraha-zg3miАй бұрын
Jamani wengine wanalia, wengine wanafukuzwa, wengine wanashereheka , wengine wanapiga magoti aki kudadek movie ni tama mno ebu gongeni like apa kama wew ni mkenya❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@salhatiddyАй бұрын
😂😂😊
@macrinafuraha-zg3miАй бұрын
@@salhatiddy 😂😂😂umeonaee
@AdamZainab-mb7qjАй бұрын
Wengine sio wakeny kwaiy tufanyaj
@user-xv4br7jo6bАй бұрын
😂😂😂
@macrinafuraha-zg3miАй бұрын
@@AdamZainab-mb7qj 😂😂😂🤣just comment tuu
@user-st9hn2bx5gАй бұрын
Hivi nyie like mnapelekaga wapi mnanikela na hizo like mnashindwa kufanya kazi iliyowaleta mpo tu mnaomba like
@busatitvАй бұрын
🙏🙏
@user-im8pr5cj3nАй бұрын
Kweli kabisa
@user-jl8kp7gu7xАй бұрын
Wakwanza Leo Ni Mm nipeni like nzangu from USA ❤❤❤
@Mr_Jones_OgАй бұрын
Mimi sijawahi pata like hata moja tangu hii muvi ianze 😢
@MayasaFatumaАй бұрын
Sasa ww like unataka upeleke wap
@SaraQueen-tm5drАй бұрын
Utaenda kununulia nn?
@salehHassan-rl8bdАй бұрын
Ukisha uzaaa n tag plz
@Mr_Jones_OgАй бұрын
😂😂😂@@MayasaFatuma
@DianaMuyokaАй бұрын
😂😂😂😂@@salehHassan-rl8bd
@sifamaureen2792Ай бұрын
Kumekucha,furaha iliyoje, na awapenda saana tear busat tv kwa kazi nzuri❤❤❤🎉🎉
@PrinceAman20027Ай бұрын
BUSATI TV ON FIRE🔥🔥🔥🔥🔥ninachowakubali Ni kwamba hampoi Wala hamboi daily mnatoa kazi,,,, kiufupi mnatoa kazi kwa wakati CONGRATULATIONS 👏👏👏👏
@Rizikialiamechannel763Ай бұрын
Hebu nicoment chap chap bila yakuangalia from oman 🇴🇲 nazan mumeiyona coment yngu like napokea😂 😂😂
@AbdallahBonge-wb9dtАй бұрын
Wangap wanaamin zuu bado anakimbia had sasa mnipe like zangu
@johariabdalla3099Ай бұрын
Mwee😂 hata like mbili tu kwa ajili ya kai na zuu❤❤❤❤
@user-wq4jo9px8tАй бұрын
❤❤
@JenifaSilvesterАй бұрын
❤❤❤❤❤
@PaulOjiambo-p1fАй бұрын
❤❤❤❤
@SarahRichard-iv2dlАй бұрын
Bila shaka wewe ni mtu mbeya 😅😅😅
@rahimaaaaa5682Ай бұрын
😊😊
@user-oe7xe1dv3wАй бұрын
Muache ubanguzi😅bana like 10 tu nami leo naomba alafu team zuu NN tunasubiria kesho❤❤
@user-sx6zw1pr1wАй бұрын
Jamani kutoka kenya 🇰🇪🇰🇪team strong team zuu mko wapi halafu sania mgonganishi kweli 😂😂
@mercypeter2864Ай бұрын
Nlikua nadhani nmefika wa kwanza from Kenya but umeniwakilisha
@Asharashid-s3nАй бұрын
Kenyan people oyeeee
@user-sx6zw1pr1wАй бұрын
@@mercypeter2864 karibu Sana
@user-sx6zw1pr1wАй бұрын
❤️❤️
@user-sx6zw1pr1wАй бұрын
@@Asharashid-s3n hoyeee
@JamillaWesongaАй бұрын
Kendy pamoja na akina masozi mnajidanganya mtapelekaje nyumba isiyo yenu kwa mnada atakaye weka sahihi n nan pumbavu zenu nyiye 😅😅😅😅😅😅team zuu,kai na baba ngojeeni tunaanda shereee❤❤❤🎉🎉
@vxp52289 күн бұрын
Wanajidanganya hawa wajinga hawaezi uza nyumba ya mtu bila kukubali acha aibu iwaponze tena😂
@nurumgaya1620Ай бұрын
Naombeni like na mimi Niko on time jamani team zuli na team Kai mpo!? Natamani kuona zuli na Kai wakioana
@emmanuelsylvester4329Ай бұрын
Nikazan ntakuwa wa kwanza kumbe nmechelewa naomben hata like basi
@user-wk5yv4um4mАй бұрын
😂😂😂😂mambo ya movie eheee kumbe zuu abado Alikuwa njuani anakimbia🏃🏼🏃🏼🏃🏼🏃🏼
@user-hb2nn6ud2dАй бұрын
Jaman mm naomba kuuliza hv hizi like kila mtu anaomba zinasaidia nn au zinakaz gan
@Jackiline-kw3zqАй бұрын
Wakwanza leo nipeni like acheni uchoyo
@user-vg8ht5pm1iАй бұрын
Jaman vipenzi kwa leo tu mnipe ata like zenuu tu kila siku me nalike zenuu why me❤
@NuruenezaJosephEnockАй бұрын
Ee Mungu naomba utusaidie watu wote tulioko upande wa Khai,Zuuhh,Tasha,pamoja na baba yake ni kweli wameshasameheana lkn tunahuzunika Sana kwa kuwa Candy aneshachukua hatua ya nyumba jaman Mungu shuka tuokoe ktk hili
@LadenUssamaАй бұрын
Ameen
@user-ql7to3rm3pАй бұрын
Kitamuramba hapo kwa nyumba tuangalie
@Muchui_mjАй бұрын
Samahani Busati ,,Mimi Huwa na download Nawatch baadae....❤❤❤
@busatitvАй бұрын
❤❤
@PaulOjiambo-p1fАй бұрын
❤❤
@MwanamvuaNassoroАй бұрын
Tamaa mbele mauti nyumba, basi chisa anadhani kwamba basi ameshaomokq 😅na tamaa zake vile 😏😏😏
@busatitvАй бұрын
Kabisaaa
@eliewahamsophe9972Ай бұрын
Kesho tunatoa full mpaka mwisho like kama unapenda tufanye ivoo
@user-sk7un6ls2tАй бұрын
Ambao tupo bega kwa bega na busati TV mpaka kieleweke like kidogo tu 😂😂😂😂😂
@user-uq4wt9dx9g11 күн бұрын
Wapewe maua Yao 🎉🎉🎉
@alfredofrancisconachituta8428Ай бұрын
Wakwanza leo mimi naomba like
@EliTimothy-nf1rmАй бұрын
Leo wametufurahisha sana mashabiki like Kwa busat tv
@VeronicaIbrahim-wv4dgАй бұрын
Nimewahi ♌ kama unaipenda hii movie gonga like hapa🎉🎉🎉
@JosephineJosephine-nn9smАй бұрын
Huyo juu na Kai waletwe kenya kunanyumba nitawapa juu mapenzi Yao Niya dhati I really love you guys
@nasmaramdhan-bf3bmАй бұрын
Wanao mpenda Kai naomben like jaman
@user-th1vo9lz2hАй бұрын
Mimi wa kwanza leo nahomba like ata 10 please 🙏
@MwanamisiSuleimanАй бұрын
Ushasamehewa kai hayo kimbia nyumbani nyumba yauzwa
@pillymakambi9133Ай бұрын
Dakika ya pili oya wee nimewah nipeni like kwaajil ya kai na mr tashaa
@KHANMOVIEZETUАй бұрын
Jaman jaman Leo mnetufurahisha like Kwangu wameofurah
@VeronicaIbrahim-wv4dgАй бұрын
Wakwanza naombeni like jamani
@rudo_b_classic1131Ай бұрын
Nimefurahisha kwa kuachia vipande viwil leo
@Saumu254Ай бұрын
Wakusoma coment yangu msiipite mje polpole😂😢
@Nailah736Ай бұрын
Asanteni sana wana busati TV mungu akazidi kuwafafanulia hayo mafunza ndiposa pia nasi tuyapate Asanteni sana director wetu kwa jumla 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-vw3mr7jd1iАй бұрын
Busati Tv kazi nzuri sana🔥,likes zimiminike kwa busati Tv,Team zuu na team kai na rafiki yake mzuri✨
@MwanajumaMwinziАй бұрын
Kwn hizi like mnaomba zaliwa
@user-qq6mv6vh3eАй бұрын
😂😂
@LoyceJastineАй бұрын
Waulize
@Starlet836Ай бұрын
Nawashangaa 😂 kila mtu like like like hawana kitu cha maana cha ku comment
@hajimwendoАй бұрын
Mapema sana leo like kidogo tuu!!
@NjoleZuma-ue9yoАй бұрын
Mimi hapa
@BABAJOAN1604Ай бұрын
Hongereni BUSATI TV mpo vizuri Sana sifuatiliagi bongo movie ila hapa mmenikamata mnafanya kazi nzuri
@user-ny8yk8fu2tАй бұрын
Jaman siamin kuwa nimewai leo
@godfreyonderi533825 күн бұрын
Wakuu naombeni hata likes kumi❤❤
@melanianjau3244Ай бұрын
Jaman kutoka united state of msaranga tugengeee like❤❤❤❤❤❤
@user-lj3tc1xs5jАй бұрын
Leo wa kwaza😂❤❤😢
@user-ho7vv4tx1yАй бұрын
Ila nime mkubali sana lafiki ake kai ana usha uri sana kwa mwenzake 🎉🎉
@BahatiTarimo-yz7imАй бұрын
Na mm Leo nimewahi jaman naomben like ata mbili😢
@user-mv6vi1gv6fАй бұрын
Chiko kua na kula naomba like mwenye atakuja nyuma 🎉❤🎉❤
@LennaAjiambo14 күн бұрын
Jamani mahali nimefikia naomba tu likes za kai na zuu❤❤❤❤❤
@Asha-xc1ncАй бұрын
Mimi naona Leo ndo kwnza kutoka 🇰🇪🇸🇦nipeni hata kma likes mbili
@KemmyMercy-my9ufАй бұрын
Tujifunze kusamehea jameni ❤❤ movie nzuri sana congrats busati TV
@SalumMuhsinАй бұрын
Sitaki hata like moja mm nawasisitiza tu muchukue mafunzo haya muyafanyie kazi katika ndoa zetu
@VictoriambalanguАй бұрын
Wew ndo unatakiwa kupewa like big up sana
@SalumMuhsinАй бұрын
@@Victoriambalangu shukran busaty
@hlimaa5182Ай бұрын
Naskitika 😢😢😢 Candy kapata hati 😢😢ila sijui kitakacho tokea mbele napia nafurahi baba kumsamehe mwanae kai mke wa kilamba pongezi nyingi za dhati kwa mlivyo au unavyo mtunza baba kai❤❤❤❤❤
@ShukraniNiyonsaba-ne2sxАй бұрын
Wanaopenda zuu nipeni
@tabithanzisa9755Ай бұрын
Mko vizuri najifunza mengi kwa hii movie ❤❤❤❤jamani isiishe aky jamani haraka😢
@PhoebenafulaАй бұрын
Mimi wa kwanza tena wa mwisho nipeni like zenu
@IsraelngoroKone-tm7teАй бұрын
Wa 2 kutoka Gauteng Pretoria
@briellaqueen-lk1dcАй бұрын
❤❤
@urlickndunguru2005Ай бұрын
❤
@peterphilipo5103Ай бұрын
Chiko bhana eti mto ruvu😂😂😂😂😂
@janatmapenzi5264Ай бұрын
😂😂😂😂candy nyumba niya kampuni mama rudisha hati utafeli hadi mm mpate ndoa😂😂😂
@HawaSadockАй бұрын
Bora Tu iweee hivyooo😢😢😢😢 maana inaniuma sana😢
@vxp52289 күн бұрын
Licha yakua nyumba ya kampuni bt haezi uza nyumba bila sign ya khai ju nyumba ya soma jila la khai si candy😂
@CarolyneNyanchama-yk1gfАй бұрын
Ni tamthlia nzuri love Kai na team yako ❤❤
@Mariamuthoni-kh9vvАй бұрын
Waaaaah na Sasa cendy ndie Ako na nyumba kutaenda aje woow kesho inakaa moto
@chrismdawi3524Ай бұрын
Wapenzi wa busati mpo live muda wote❤❤❤❤
@Emeraldlady16920Ай бұрын
Napenda Sania anachoambiwa kamkonde 😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
@bayubaheallydelly-rn2zvАй бұрын
Wakwanza jmn nip like zangu
@WinnieNtoitiАй бұрын
Jamani ,sina huakika kuwa zile hati za nyumba candy amepata kama ni real ones ,au nani anafikira Moja na mm
@busatitvАй бұрын
🙏🙏
@LadenUssamaАй бұрын
Hata mimi sitaki kuamini
@WinnieNtoitiАй бұрын
@@busatitv aki Nina Imani kuwa ziwe fake maanake mwanamke mwenyewe sumu jamani hata kuachika kakataalia vipi akibahatika kupata hati za nyumba Khai Tena mtihani kwake
@emmahmoraa4884Ай бұрын
Aki chiko eti kamkonde tena😂😂😂😢
@AnnaMzava-yl1suАй бұрын
Hongeren jaman mnajua kufunza
@irenemosha962Ай бұрын
Dakika moja comment 23 dah kweli watu mpo busy mtandaoni 😂😂😂😂
@user-co5ed6xr5cАй бұрын
Hongereni sana yaan kitu kimetulia kabsa inamafunzo mazuri sana ❤❤❤🎉🎉🎉
@AishybebАй бұрын
Hawa watu nawapenda bure wallah yaan hawana baya n watujali sana mashabiki wao kwa kutochelewesha episode hongeren sana ❤❤
@NeemaRobina-bk7tmАй бұрын
Jamani leo nimekuwa wa kwanza
@LovelyCows-dq2uvАй бұрын
Kazi nzuri sana kay❤❤❤❤❤❤
@jennymali4368Ай бұрын
Yani hii move aichoshi wala aiboi ni nzuri na inafundisha sana❤❤❤❤
@mariamuhamisimwamrezi4832Ай бұрын
Candy mchezo utakugharimu uwo😢😢
@vxp52289 күн бұрын
Utamuponza na akae akijua haezi uza nyumba bila sign ya mwenye nyumba😂
@user-ro7sk9ic7zАй бұрын
Daaaah inafundisha sana nawapenda sana Mungu awajalie maisha marefu 🙏🙏
@AshaRashid-hq1krАй бұрын
Jaman😢vipande fanyeni hata viwili Kwa siku moja jaman haaaaaaaaaaa yani aa tufayieni hivyo ban misiombi like naomba vipande viogwzewe jamani mtu hulali unawaza uliko ishia je itakuwaje ogezen
@busatitvАй бұрын
Jana tumepos EP 42 na 43
@LucyPeter-uh3guАй бұрын
Jamaniiii muvi nzuri ila khai kanifanya nilie
@rosemarynjeri-cm7bnАй бұрын
Pia mm
@MtabibuAsiliaАй бұрын
Izo nyele za candy jamani abadili stail bs
@DamianoFisooАй бұрын
Angalieni movie cyo kuomba like tu
@JaneChaulaАй бұрын
Kweli yaani watu kil mtu like like tu
@PhoebenafulaАй бұрын
Waambie😂😂
@salmamwakabutamaАй бұрын
Kama wapuuzi wanaacha kuandika vya maana like likes loooo
@NaahKijojАй бұрын
Bora umewaambia
@SophyAkadikorАй бұрын
Wenyee wanamarafiki wazuri kama wa kai wapi likes zenu❤❤
@mwanamkacally4248Ай бұрын
Kwani hizo like mnatafuna au mana kila mtu like eeeh like
@juma347329 күн бұрын
Jitahidi tusione kibaza sauti au kivuli Cha wanaorikodi hii series lakini ipo vizuri ❤❤❤❤
@NasmaMosesАй бұрын
😂😂😂kumechangamka huku begi la Sania latupwa nje 😅😅😅
@user-wm7gu8os2iАй бұрын
Shukran sana house gerl femly nawaombea masha yafuraha
@MaryChemnyetichАй бұрын
Nimewai 😂nipeni like jamani❤❤❤❤❤
@SalhaAthmaniАй бұрын
Nimefurahi Kai kwenda kumuomba samahani baba ❤🎉🎉🎉🎉lkn upande wa pili Hati ya nyumba ishachukuliwa cjui itakuje😢
@LighySteven-gd8woАй бұрын
Ambassador wa kay na zuuh tujuane mapema
@ZainabuSalehe-hi2pwАй бұрын
Jamanii uyu shida ataki kujifunza tuu😅😅
@user-xz7mn9bn2nАй бұрын
Jamani hamlali.
@user-yu9qn4oi3gАй бұрын
Kz nzuri sana 😢ohhh Kai shida kule kashachukua hati ya nyumba anaenda kuchukulia mkopoo 😮
@RahmaomarymangosongoАй бұрын
Jamani me nafuatilia sanaaaaaaa ila ata like sipewi 😢😢😢
@sbdennovevo-zoukstarАй бұрын
Wangapi wanaona movie inaelekea kuisha😂😂
@AbdulyRashidiАй бұрын
Kazi nzuri lakiñ khai uchezi kama mtu anaetakiwa kucheza naomba ubadilike we ndo steering wa movie lakin umepoa upokeaji wako haupo kabisa