No video

HOUSE GIRL EP 43 || love story💞💕

  Рет қаралды 166,650

BUSATI TV

BUSATI TV

Ай бұрын

#bongomovie #housegirl

Пікірлер: 709
@roda254totolapwani-ur3ur
@roda254totolapwani-ur3ur Ай бұрын
Wanabusati tv plzzzzzz nawaomba msiwahi kumaliza hiiiiii tamthlia nawasihi muendele hivyo hivyo hdi itakapofika tamthlia ya 100 kwasababu ina mafunzo mazuri sana pamoja n mtiririko wa kueleweka watching from Saudi as a house girl tooo Much Love to Busati Family ❤❤❤
@busatitv
@busatitv Ай бұрын
❤❤❤😍😍
@busatitv
@busatitv Ай бұрын
Asante sana tutaifanyia kazi maoni yako
@anyona711
@anyona711 Ай бұрын
😅😅Saudi Niko hapa Jeddah, tukutane istaraha tukunywe kahawa😅
@user-eb6ye8fi4y
@user-eb6ye8fi4y Ай бұрын
❤❤❤
@RakhmaFosi
@RakhmaFosi Ай бұрын
​@@anyona711nipo Abha c tupewe episode 44😅
@user-fw2zn2os8g
@user-fw2zn2os8g Ай бұрын
jamn anae jisikia fraah kai kumuomb msamah baba ake like ap
@halimahassan1930
@halimahassan1930 Ай бұрын
Hakika inamafunzo sana hii movie mungu awabariki sana kwa kazi nzuri ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 Ай бұрын
Ambao tunasubiria kwa hamu ndoa ya kai na zuuh tujuane kwa like zakutosha,,,,,,,, 😂😂😂❤❤❤❤
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 Ай бұрын
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 Ай бұрын
❤❤
@PaulOjiambo-p1f
@PaulOjiambo-p1f Ай бұрын
❤❤
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 Ай бұрын
​@@PaulOjiambo-p1f❤❤❤
@user-kc2mf1fz7g
@user-kc2mf1fz7g Ай бұрын
❤❤❤❤
@HellenAlquin
@HellenAlquin Ай бұрын
Na mm Leo ndo wa mwisho hvyo naomben like zangu Ili nifahamu npo miongon mwenu Ili niwahi
@mercyassy5469
@mercyassy5469 Ай бұрын
Candy atapigwa na kitu kizito na huyo shemeji yake wa mchongo atauza nyumba na hatopata hata mia mbovu🤣🤣😂
@lulumhapa
@lulumhapa Ай бұрын
Aisee nahisi mimi ni wa kwanza ambae sijaomba like 😂😂😂😂😂...nnachotaka kusema ni pongezi kwa busati TV kwanza wanatoa movie kwa muda pili vipande vinaeleweka jmnnn pongezi kwenu kazi nzuri sana 🎉🎉🎉🎉 nawapenda sana 🎉🎉🎉🎉 msichoke kutupa vtu vitamu ❤❤❤❤❤
@PillysalimSengo
@PillysalimSengo Ай бұрын
nakungana na ww ambae ujawahi kuomba like 😊
@VivianeMhapa
@VivianeMhapa Ай бұрын
Lulumhapa nadhan Sisi ni ndungu
@lulumhapa
@lulumhapa Ай бұрын
@@VivianeMhapa kwa kweli jamani ❤️
@VivianeMhapa
@VivianeMhapa Ай бұрын
@@lulumhapa ok tujuane zaid
@lulumhapa
@lulumhapa Ай бұрын
@@VivianeMhapa saww
@macrinafuraha-zg3mi
@macrinafuraha-zg3mi Ай бұрын
Jamani wengine wanalia, wengine wanafukuzwa, wengine wanashereheka , wengine wanapiga magoti aki kudadek movie ni tama mno ebu gongeni like apa kama wew ni mkenya❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@salhatiddy
@salhatiddy Ай бұрын
😂😂😊
@macrinafuraha-zg3mi
@macrinafuraha-zg3mi Ай бұрын
@@salhatiddy 😂😂😂umeonaee
@AdamZainab-mb7qj
@AdamZainab-mb7qj Ай бұрын
Wengine sio wakeny kwaiy tufanyaj
@user-xv4br7jo6b
@user-xv4br7jo6b Ай бұрын
😂😂😂
@macrinafuraha-zg3mi
@macrinafuraha-zg3mi Ай бұрын
@@AdamZainab-mb7qj 😂😂😂🤣just comment tuu
@user-st9hn2bx5g
@user-st9hn2bx5g Ай бұрын
Hivi nyie like mnapelekaga wapi mnanikela na hizo like mnashindwa kufanya kazi iliyowaleta mpo tu mnaomba like
@busatitv
@busatitv Ай бұрын
🙏🙏
@user-im8pr5cj3n
@user-im8pr5cj3n Ай бұрын
Kweli kabisa
@user-jl8kp7gu7x
@user-jl8kp7gu7x Ай бұрын
Wakwanza Leo Ni Mm nipeni like nzangu from USA ❤❤❤
@Mr_Jones_Og
@Mr_Jones_Og Ай бұрын
Mimi sijawahi pata like hata moja tangu hii muvi ianze 😢
@MayasaFatuma
@MayasaFatuma Ай бұрын
Sasa ww like unataka upeleke wap
@SaraQueen-tm5dr
@SaraQueen-tm5dr Ай бұрын
Utaenda kununulia nn?
@salehHassan-rl8bd
@salehHassan-rl8bd Ай бұрын
Ukisha uzaaa n tag plz
@Mr_Jones_Og
@Mr_Jones_Og Ай бұрын
😂😂😂​@@MayasaFatuma
@DianaMuyoka
@DianaMuyoka Ай бұрын
😂😂😂😂​@@salehHassan-rl8bd
@sifamaureen2792
@sifamaureen2792 Ай бұрын
Kumekucha,furaha iliyoje, na awapenda saana tear busat tv kwa kazi nzuri❤❤❤🎉🎉
@PrinceAman20027
@PrinceAman20027 Ай бұрын
BUSATI TV ON FIRE🔥🔥🔥🔥🔥ninachowakubali Ni kwamba hampoi Wala hamboi daily mnatoa kazi,,,, kiufupi mnatoa kazi kwa wakati CONGRATULATIONS 👏👏👏👏
@Rizikialiamechannel763
@Rizikialiamechannel763 Ай бұрын
Hebu nicoment chap chap bila yakuangalia from oman 🇴🇲 nazan mumeiyona coment yngu like napokea😂 😂😂
@AbdallahBonge-wb9dt
@AbdallahBonge-wb9dt Ай бұрын
Wangap wanaamin zuu bado anakimbia had sasa mnipe like zangu
@johariabdalla3099
@johariabdalla3099 Ай бұрын
Mwee😂 hata like mbili tu kwa ajili ya kai na zuu❤❤❤❤
@user-wq4jo9px8t
@user-wq4jo9px8t Ай бұрын
❤❤
@JenifaSilvester
@JenifaSilvester Ай бұрын
❤❤❤❤❤
@PaulOjiambo-p1f
@PaulOjiambo-p1f Ай бұрын
❤❤❤❤
@SarahRichard-iv2dl
@SarahRichard-iv2dl Ай бұрын
Bila shaka wewe ni mtu mbeya 😅😅😅
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 Ай бұрын
😊😊
@user-oe7xe1dv3w
@user-oe7xe1dv3w Ай бұрын
Muache ubanguzi😅bana like 10 tu nami leo naomba alafu team zuu NN tunasubiria kesho❤❤
@user-sx6zw1pr1w
@user-sx6zw1pr1w Ай бұрын
Jamani kutoka kenya 🇰🇪🇰🇪team strong team zuu mko wapi halafu sania mgonganishi kweli 😂😂
@mercypeter2864
@mercypeter2864 Ай бұрын
Nlikua nadhani nmefika wa kwanza from Kenya but umeniwakilisha
@Asharashid-s3n
@Asharashid-s3n Ай бұрын
Kenyan people oyeeee
@user-sx6zw1pr1w
@user-sx6zw1pr1w Ай бұрын
@@mercypeter2864 karibu Sana
@user-sx6zw1pr1w
@user-sx6zw1pr1w Ай бұрын
❤️❤️
@user-sx6zw1pr1w
@user-sx6zw1pr1w Ай бұрын
@@Asharashid-s3n hoyeee
@JamillaWesonga
@JamillaWesonga Ай бұрын
Kendy pamoja na akina masozi mnajidanganya mtapelekaje nyumba isiyo yenu kwa mnada atakaye weka sahihi n nan pumbavu zenu nyiye 😅😅😅😅😅😅team zuu,kai na baba ngojeeni tunaanda shereee❤❤❤🎉🎉
@vxp5228
@vxp5228 9 күн бұрын
Wanajidanganya hawa wajinga hawaezi uza nyumba ya mtu bila kukubali acha aibu iwaponze tena😂
@nurumgaya1620
@nurumgaya1620 Ай бұрын
Naombeni like na mimi Niko on time jamani team zuli na team Kai mpo!? Natamani kuona zuli na Kai wakioana
@emmanuelsylvester4329
@emmanuelsylvester4329 Ай бұрын
Nikazan ntakuwa wa kwanza kumbe nmechelewa naomben hata like basi
@user-wk5yv4um4m
@user-wk5yv4um4m Ай бұрын
😂😂😂😂mambo ya movie eheee kumbe zuu abado Alikuwa njuani anakimbia🏃🏼🏃🏼🏃🏼🏃🏼
@user-hb2nn6ud2d
@user-hb2nn6ud2d Ай бұрын
Jaman mm naomba kuuliza hv hizi like kila mtu anaomba zinasaidia nn au zinakaz gan
@Jackiline-kw3zq
@Jackiline-kw3zq Ай бұрын
Wakwanza leo nipeni like acheni uchoyo
@user-vg8ht5pm1i
@user-vg8ht5pm1i Ай бұрын
Jaman vipenzi kwa leo tu mnipe ata like zenuu tu kila siku me nalike zenuu why me❤
@NuruenezaJosephEnock
@NuruenezaJosephEnock Ай бұрын
Ee Mungu naomba utusaidie watu wote tulioko upande wa Khai,Zuuhh,Tasha,pamoja na baba yake ni kweli wameshasameheana lkn tunahuzunika Sana kwa kuwa Candy aneshachukua hatua ya nyumba jaman Mungu shuka tuokoe ktk hili
@LadenUssama
@LadenUssama Ай бұрын
Ameen
@user-ql7to3rm3p
@user-ql7to3rm3p Ай бұрын
Kitamuramba hapo kwa nyumba tuangalie
@Muchui_mj
@Muchui_mj Ай бұрын
Samahani Busati ,,Mimi Huwa na download Nawatch baadae....❤❤❤
@busatitv
@busatitv Ай бұрын
❤❤
@PaulOjiambo-p1f
@PaulOjiambo-p1f Ай бұрын
❤❤
@MwanamvuaNassoro
@MwanamvuaNassoro Ай бұрын
Tamaa mbele mauti nyumba, basi chisa anadhani kwamba basi ameshaomokq 😅na tamaa zake vile 😏😏😏
@busatitv
@busatitv Ай бұрын
Kabisaaa
@eliewahamsophe9972
@eliewahamsophe9972 Ай бұрын
Kesho tunatoa full mpaka mwisho like kama unapenda tufanye ivoo
@user-sk7un6ls2t
@user-sk7un6ls2t Ай бұрын
Ambao tupo bega kwa bega na busati TV mpaka kieleweke like kidogo tu 😂😂😂😂😂
@user-uq4wt9dx9g
@user-uq4wt9dx9g 11 күн бұрын
Wapewe maua Yao 🎉🎉🎉
@alfredofrancisconachituta8428
@alfredofrancisconachituta8428 Ай бұрын
Wakwanza leo mimi naomba like
@EliTimothy-nf1rm
@EliTimothy-nf1rm Ай бұрын
Leo wametufurahisha sana mashabiki like Kwa busat tv
@VeronicaIbrahim-wv4dg
@VeronicaIbrahim-wv4dg Ай бұрын
Nimewahi ♌ kama unaipenda hii movie gonga like hapa🎉🎉🎉
@JosephineJosephine-nn9sm
@JosephineJosephine-nn9sm Ай бұрын
Huyo juu na Kai waletwe kenya kunanyumba nitawapa juu mapenzi Yao Niya dhati I really love you guys
@nasmaramdhan-bf3bm
@nasmaramdhan-bf3bm Ай бұрын
Wanao mpenda Kai naomben like jaman
@user-th1vo9lz2h
@user-th1vo9lz2h Ай бұрын
Mimi wa kwanza leo nahomba like ata 10 please 🙏
@MwanamisiSuleiman
@MwanamisiSuleiman Ай бұрын
Ushasamehewa kai hayo kimbia nyumbani nyumba yauzwa
@pillymakambi9133
@pillymakambi9133 Ай бұрын
Dakika ya pili oya wee nimewah nipeni like kwaajil ya kai na mr tashaa
@KHANMOVIEZETU
@KHANMOVIEZETU Ай бұрын
Jaman jaman Leo mnetufurahisha like Kwangu wameofurah
@VeronicaIbrahim-wv4dg
@VeronicaIbrahim-wv4dg Ай бұрын
Wakwanza naombeni like jamani
@rudo_b_classic1131
@rudo_b_classic1131 Ай бұрын
Nimefurahisha kwa kuachia vipande viwil leo
@Saumu254
@Saumu254 Ай бұрын
Wakusoma coment yangu msiipite mje polpole😂😢
@Nailah736
@Nailah736 Ай бұрын
Asanteni sana wana busati TV mungu akazidi kuwafafanulia hayo mafunza ndiposa pia nasi tuyapate Asanteni sana director wetu kwa jumla 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-vw3mr7jd1i
@user-vw3mr7jd1i Ай бұрын
Busati Tv kazi nzuri sana🔥,likes zimiminike kwa busati Tv,Team zuu na team kai na rafiki yake mzuri✨
@MwanajumaMwinzi
@MwanajumaMwinzi Ай бұрын
Kwn hizi like mnaomba zaliwa
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e Ай бұрын
😂😂
@LoyceJastine
@LoyceJastine Ай бұрын
Waulize
@Starlet836
@Starlet836 Ай бұрын
Nawashangaa 😂 kila mtu like like like hawana kitu cha maana cha ku comment
@hajimwendo
@hajimwendo Ай бұрын
Mapema sana leo like kidogo tuu!!
@NjoleZuma-ue9yo
@NjoleZuma-ue9yo Ай бұрын
Mimi hapa
@BABAJOAN1604
@BABAJOAN1604 Ай бұрын
Hongereni BUSATI TV mpo vizuri Sana sifuatiliagi bongo movie ila hapa mmenikamata mnafanya kazi nzuri
@user-ny8yk8fu2t
@user-ny8yk8fu2t Ай бұрын
Jaman siamin kuwa nimewai leo
@godfreyonderi5338
@godfreyonderi5338 25 күн бұрын
Wakuu naombeni hata likes kumi❤❤
@melanianjau3244
@melanianjau3244 Ай бұрын
Jaman kutoka united state of msaranga tugengeee like❤❤❤❤❤❤
@user-lj3tc1xs5j
@user-lj3tc1xs5j Ай бұрын
Leo wa kwaza😂❤❤😢
@user-ho7vv4tx1y
@user-ho7vv4tx1y Ай бұрын
Ila nime mkubali sana lafiki ake kai ana usha uri sana kwa mwenzake 🎉🎉
@BahatiTarimo-yz7im
@BahatiTarimo-yz7im Ай бұрын
Na mm Leo nimewahi jaman naomben like ata mbili😢
@user-mv6vi1gv6f
@user-mv6vi1gv6f Ай бұрын
Chiko kua na kula naomba like mwenye atakuja nyuma 🎉❤🎉❤
@LennaAjiambo
@LennaAjiambo 14 күн бұрын
Jamani mahali nimefikia naomba tu likes za kai na zuu❤❤❤❤❤
@Asha-xc1nc
@Asha-xc1nc Ай бұрын
Mimi naona Leo ndo kwnza kutoka 🇰🇪🇸🇦nipeni hata kma likes mbili
@KemmyMercy-my9uf
@KemmyMercy-my9uf Ай бұрын
Tujifunze kusamehea jameni ❤❤ movie nzuri sana congrats busati TV
@SalumMuhsin
@SalumMuhsin Ай бұрын
Sitaki hata like moja mm nawasisitiza tu muchukue mafunzo haya muyafanyie kazi katika ndoa zetu
@Victoriambalangu
@Victoriambalangu Ай бұрын
Wew ndo unatakiwa kupewa like big up sana
@SalumMuhsin
@SalumMuhsin Ай бұрын
@@Victoriambalangu shukran busaty
@hlimaa5182
@hlimaa5182 Ай бұрын
Naskitika 😢😢😢 Candy kapata hati 😢😢ila sijui kitakacho tokea mbele napia nafurahi baba kumsamehe mwanae kai mke wa kilamba pongezi nyingi za dhati kwa mlivyo au unavyo mtunza baba kai❤❤❤❤❤
@ShukraniNiyonsaba-ne2sx
@ShukraniNiyonsaba-ne2sx Ай бұрын
Wanaopenda zuu nipeni
@tabithanzisa9755
@tabithanzisa9755 Ай бұрын
Mko vizuri najifunza mengi kwa hii movie ❤❤❤❤jamani isiishe aky jamani haraka😢
@Phoebenafula
@Phoebenafula Ай бұрын
Mimi wa kwanza tena wa mwisho nipeni like zenu
@IsraelngoroKone-tm7te
@IsraelngoroKone-tm7te Ай бұрын
Wa 2 kutoka Gauteng Pretoria
@briellaqueen-lk1dc
@briellaqueen-lk1dc Ай бұрын
❤❤
@urlickndunguru2005
@urlickndunguru2005 Ай бұрын
@peterphilipo5103
@peterphilipo5103 Ай бұрын
Chiko bhana eti mto ruvu😂😂😂😂😂
@janatmapenzi5264
@janatmapenzi5264 Ай бұрын
😂😂😂😂candy nyumba niya kampuni mama rudisha hati utafeli hadi mm mpate ndoa😂😂😂
@HawaSadock
@HawaSadock Ай бұрын
Bora Tu iweee hivyooo😢😢😢😢 maana inaniuma sana😢
@vxp5228
@vxp5228 9 күн бұрын
Licha yakua nyumba ya kampuni bt haezi uza nyumba bila sign ya khai ju nyumba ya soma jila la khai si candy😂
@CarolyneNyanchama-yk1gf
@CarolyneNyanchama-yk1gf Ай бұрын
Ni tamthlia nzuri love Kai na team yako ❤❤
@Mariamuthoni-kh9vv
@Mariamuthoni-kh9vv Ай бұрын
Waaaaah na Sasa cendy ndie Ako na nyumba kutaenda aje woow kesho inakaa moto
@chrismdawi3524
@chrismdawi3524 Ай бұрын
Wapenzi wa busati mpo live muda wote❤❤❤❤
@Emeraldlady16920
@Emeraldlady16920 Ай бұрын
Napenda Sania anachoambiwa kamkonde 😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
@bayubaheallydelly-rn2zv
@bayubaheallydelly-rn2zv Ай бұрын
Wakwanza jmn nip like zangu
@WinnieNtoiti
@WinnieNtoiti Ай бұрын
Jamani ,sina huakika kuwa zile hati za nyumba candy amepata kama ni real ones ,au nani anafikira Moja na mm
@busatitv
@busatitv Ай бұрын
🙏🙏
@LadenUssama
@LadenUssama Ай бұрын
Hata mimi sitaki kuamini
@WinnieNtoiti
@WinnieNtoiti Ай бұрын
@@busatitv aki Nina Imani kuwa ziwe fake maanake mwanamke mwenyewe sumu jamani hata kuachika kakataalia vipi akibahatika kupata hati za nyumba Khai Tena mtihani kwake
@emmahmoraa4884
@emmahmoraa4884 Ай бұрын
Aki chiko eti kamkonde tena😂😂😂😢
@AnnaMzava-yl1su
@AnnaMzava-yl1su Ай бұрын
Hongeren jaman mnajua kufunza
@irenemosha962
@irenemosha962 Ай бұрын
Dakika moja comment 23 dah kweli watu mpo busy mtandaoni 😂😂😂😂
@user-co5ed6xr5c
@user-co5ed6xr5c Ай бұрын
Hongereni sana yaan kitu kimetulia kabsa inamafunzo mazuri sana ❤❤❤🎉🎉🎉
@Aishybeb
@Aishybeb Ай бұрын
Hawa watu nawapenda bure wallah yaan hawana baya n watujali sana mashabiki wao kwa kutochelewesha episode hongeren sana ❤❤
@NeemaRobina-bk7tm
@NeemaRobina-bk7tm Ай бұрын
Jamani leo nimekuwa wa kwanza
@LovelyCows-dq2uv
@LovelyCows-dq2uv Ай бұрын
Kazi nzuri sana kay❤❤❤❤❤❤
@jennymali4368
@jennymali4368 Ай бұрын
Yani hii move aichoshi wala aiboi ni nzuri na inafundisha sana❤❤❤❤
@mariamuhamisimwamrezi4832
@mariamuhamisimwamrezi4832 Ай бұрын
Candy mchezo utakugharimu uwo😢😢
@vxp5228
@vxp5228 9 күн бұрын
Utamuponza na akae akijua haezi uza nyumba bila sign ya mwenye nyumba😂
@user-ro7sk9ic7z
@user-ro7sk9ic7z Ай бұрын
Daaaah inafundisha sana nawapenda sana Mungu awajalie maisha marefu 🙏🙏
@AshaRashid-hq1kr
@AshaRashid-hq1kr Ай бұрын
Jaman😢vipande fanyeni hata viwili Kwa siku moja jaman haaaaaaaaaaa yani aa tufayieni hivyo ban misiombi like naomba vipande viogwzewe jamani mtu hulali unawaza uliko ishia je itakuwaje ogezen
@busatitv
@busatitv Ай бұрын
Jana tumepos EP 42 na 43
@LucyPeter-uh3gu
@LucyPeter-uh3gu Ай бұрын
Jamaniiii muvi nzuri ila khai kanifanya nilie
@rosemarynjeri-cm7bn
@rosemarynjeri-cm7bn Ай бұрын
Pia mm
@MtabibuAsilia
@MtabibuAsilia Ай бұрын
Izo nyele za candy jamani abadili stail bs
@DamianoFisoo
@DamianoFisoo Ай бұрын
Angalieni movie cyo kuomba like tu
@JaneChaula
@JaneChaula Ай бұрын
Kweli yaani watu kil mtu like like tu
@Phoebenafula
@Phoebenafula Ай бұрын
Waambie😂😂
@salmamwakabutama
@salmamwakabutama Ай бұрын
Kama wapuuzi wanaacha kuandika vya maana like likes loooo
@NaahKijoj
@NaahKijoj Ай бұрын
Bora umewaambia
@SophyAkadikor
@SophyAkadikor Ай бұрын
Wenyee wanamarafiki wazuri kama wa kai wapi likes zenu❤❤
@mwanamkacally4248
@mwanamkacally4248 Ай бұрын
Kwani hizo like mnatafuna au mana kila mtu like eeeh like
@juma3473
@juma3473 29 күн бұрын
Jitahidi tusione kibaza sauti au kivuli Cha wanaorikodi hii series lakini ipo vizuri ❤❤❤❤
@NasmaMoses
@NasmaMoses Ай бұрын
😂😂😂kumechangamka huku begi la Sania latupwa nje 😅😅😅
@user-wm7gu8os2i
@user-wm7gu8os2i Ай бұрын
Shukran sana house gerl femly nawaombea masha yafuraha
@MaryChemnyetich
@MaryChemnyetich Ай бұрын
Nimewai 😂nipeni like jamani❤❤❤❤❤
@SalhaAthmani
@SalhaAthmani Ай бұрын
Nimefurahi Kai kwenda kumuomba samahani baba ❤🎉🎉🎉🎉lkn upande wa pili Hati ya nyumba ishachukuliwa cjui itakuje😢
@LighySteven-gd8wo
@LighySteven-gd8wo Ай бұрын
Ambassador wa kay na zuuh tujuane mapema
@ZainabuSalehe-hi2pw
@ZainabuSalehe-hi2pw Ай бұрын
Jamanii uyu shida ataki kujifunza tuu😅😅
@user-xz7mn9bn2n
@user-xz7mn9bn2n Ай бұрын
Jamani hamlali.
@user-yu9qn4oi3g
@user-yu9qn4oi3g Ай бұрын
Kz nzuri sana 😢ohhh Kai shida kule kashachukua hati ya nyumba anaenda kuchukulia mkopoo 😮
@Rahmaomarymangosongo
@Rahmaomarymangosongo Ай бұрын
Jamani me nafuatilia sanaaaaaaa ila ata like sipewi 😢😢😢
@sbdennovevo-zoukstar
@sbdennovevo-zoukstar Ай бұрын
Wangapi wanaona movie inaelekea kuisha😂😂
@AbdulyRashidi
@AbdulyRashidi Ай бұрын
Kazi nzuri lakiñ khai uchezi kama mtu anaetakiwa kucheza naomba ubadilike we ndo steering wa movie lakin umepoa upokeaji wako haupo kabisa
@AbdulyRashidi
@AbdulyRashidi Ай бұрын
Sawa lakin umepoa
@PetronilaMtewa
@PetronilaMtewa Ай бұрын
Macho ya kendy kaa mjusii
HOUSE GIRL  EP 44 || love story💞💕
20:43
BUSATI TV
Рет қаралды 159 М.
Spring Boot & Spring Data JPA - Complete Course
12:42:17
freeCodeCamp.org
Рет қаралды 199 М.
👨‍🔧📐
00:43
Kan Andrey
Рет қаралды 9 МЛН
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 17 МЛН
HOUSE GIRL  EP 42 || love story💞💕
21:53
BUSATI TV
Рет қаралды 158 М.
MISSION IMPOSSIBLE [22]
20:57
CHADO MASTA FILM
Рет қаралды 67 М.
SNAKE BOY | ep 31 | SEASON TWO
36:36
CLAM VEVO
Рет қаралды 545 М.
MKWE KAROGWA...Ep 16..( Love Story 💕💕💕 )
28:46
kijiti media
Рет қаралды 5 М.
KIMENUKA! RIYAMA ALLY AMJIBU TABU MTINGITA - "SINA UDUGU NA WEWE"
2:00
BALAA LA YOMBO MGONJWA KASAFIRISHWA WAMEYAKANYAGA 😂😂
8:41
Yombo Comedy
Рет қаралды 9 М.
DADA WA KAZI MCHAWI (full movie)
1:00:37
BabaJoan
Рет қаралды 976 М.
HOUSE GIRL EP 22  | S2 | love story💞💕
24:59
BUSATI TV
Рет қаралды 67 М.
MISSION IMPOSSIBLE [21]
18:01
CHADO MASTA FILM
Рет қаралды 84 М.