Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@siaammo11045 ай бұрын
Poleni sana kwa familia zote mbili Mungu akawe faraja kwenu.
@MariamuJuma-t8zАй бұрын
namabwanaharusi wanakufa jaman baada ya harusi au kabla ya harusi shidaninini jamn au wanawaterekeza walosotanao wakifanikiwa ndo wanatfta wengine maana hawawanaumenao mmh MUNGU atusaidie tu mwanamke mwingine unakutaanalia chozilakelinakufata ndoyanatokeaaya mtashika wachawi
@elizammari5 ай бұрын
Pole sana kwa bibi harusi ila katika ulimwengu wa roho wakisema avae gauni la harusi kwamba ndio harusi yao atakuwa amefunga ndoa na huyo aliyekufa na hicho kitakuwa kifungo. angevaa vazi lingine tofauti na tukio liwe la maazishi kawaida kama mpenzi ili awe huru kuolewa na mume mwingine japo inauma sana
@annettemalechela75435 ай бұрын
Ulimwengu wa roho ni mpana sana, maana mnaweza fikiri mnaoana watu wawili lakini bila kujua kuna mabibi na mababu ambao usipopokea uponyaji kabla ya harusi kuwakatilia mbali ktk jina la Yesu ndoa itakuwa ndoana tunahitaji kukombolewa na damu ya Yesu Kristo
@neemareuben3115 ай бұрын
😢😢😢😢huyu kaka wa biharusi unaweza kuona kama Ana furahi ila hapana kwenye ilo tabasabu lake lini maumivu makubwa sana mno ogopa sana watu wa ivyoo wenye tabasamu wakati wa maumivu ogopa sn 😢😢😢😢😢polen jmn
@EstherSamamba5 ай бұрын
Nimesoma na huyu kaka yupo hiyo hata kama anahasira😢
@romanambelle63565 ай бұрын
Heri mlojua mipango ya Mungu si ya mwanadamu ishikeni imani. Mungu awavushe salama
@Chakol123-k7s5 ай бұрын
Mungu mkali sana 😢😢 bi harusi ana uchungu sio wa kawaida 😢😢
@brantywilson13475 ай бұрын
Hiyo ni imani kubwa sana...Mungu atabaki kuwa Mungu hata asipotujibu kama tulivotarajia...
@maryamsuleiman63405 ай бұрын
Kwa WA Islam ndotunapenda kusema Insha Allah ,kwamana mipango rasmin ajuae ni Mungu ,poleni sana Wana family
@ArabiaRashid5 ай бұрын
0:44
@HanifaOman-oo4pl5 ай бұрын
Sana neno lnshaallah. Wengi hawajuimaana yake wanasematu. Kumbe linamaana kubwa
@SafiaOmar5 ай бұрын
@@HanifaOman-oo4plIn Shaa Allah ni neno kubwa sana na usiposema ni dhambi. In Shaa Allah maana ake Mungu akipenda. Allah katika QURAN anasema na wala usiseme chochote nitafanya kesho isipokua utangulize In Shaa Allah. Matumizi ni mfano useme kesha nitaoa. Basi useme In Shaa Allah kesho nitaoa.
@rukiyamohammed29455 ай бұрын
Cc sote ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea. Poleni sana familia kwa msiba mzito ,kazi ya mungu haina makosa
@hawamafumbi75135 ай бұрын
IPO Siri kubwa!,cc watumishi wa MUNGU tunafikilia zaid.Hatupokei kila jàmbo.ila vyote vitafumulowa cku Ile.Amina
@lizzynkifu41795 ай бұрын
Hii Taasisi ya ndoa ni ya kuombea sana kabla na baada ya ndoa
@winnerjudith20075 ай бұрын
na saana na hata mkiwa ndani ya ndoa ni kuomba sana
@angonzamujunangoma87755 ай бұрын
Mungu utabaki kuwa Mungu siku zote😢😢
@bahatimagumula26535 ай бұрын
Hili ni pigo kubwa sana! Pole sana mdogo wangu na familia kwa ujumla
@HanifaOman-oo4pl5 ай бұрын
Inalillahi wainailahi rajuun. Kufo hakina huruma. Kikubwa tufanye mema na tuombe saana mwisho mwema Duniani mapitotuu. Poleni wafiwa mungu awape subra
@MariaIssack5 ай бұрын
Pole Sana Mdogo wangu TINA Mungu akupe Subra na Nguvu kipindi hiki kigumu
@ReginaMsoka-pj4jc5 ай бұрын
Ee Mungu wa mbinguni naomba umpe nguvu na ujasiri huyu bi harusi, maana neno lako linasema wewe ni mume wa wajane🙏🙏
@DativaMbowe5 ай бұрын
😭😭😭😭😭
@Namtumbo5 ай бұрын
Binamu yangu alifariki kabla ya send off
@AnnaMmassy5 ай бұрын
Yani acha tu
@MaryGeorge-zz3et5 ай бұрын
Ameen
@fatnajuma18325 ай бұрын
Huyo bibi harusi alichukua mwanaume wa rafiki yake uyo mwanaume alizaa na uyo dada watoto wa 3 alafu akamuacha akaja kutaka kumuoa uyu rafiki yake na dada alieachwa ni yatima Mungu hawezi kaa kimya
@NeemaDamas-c3q5 ай бұрын
Poleni Sana wafiwa pande2 nabihalusi mungu akutie nguvu.
@Maya-bm9bu5 ай бұрын
Hii ni mipango ya Mungu, it is true kifo ni suprise! Tumshukuru Mungu! Poleni sana
@loycenicolao74885 ай бұрын
Kabisa, kabisa BINAFSI harusi iliahirishwa na bwana harusi akaugua mpaka Leo, Mungu alinipa ujasiri sana japo kuelewa Mipango yake inachukua muda ila Namshukuru Mungu Kwa Yale yaliyotokea. Mahari ilitolewa, vikao vilikaliwa pande zote 2.jamani acheni. Ila Mungu alinifuta machozi nikapata Mume baada ya miaka 3 tu na sijawahi kujutia Ndoa yangu maana UPANDE wa Mume waliniruhusu kuolewa... Mungu anajua why hiki kimetokea, sisi twafikiri kama binadamu tu
@rebecaisemi83495 ай бұрын
Mwenyezi Mungu pekee yake ndiye mfariji wa kweli😢😢 pole pole binti huo ndio msalaba umeubeba Mungu akufariji😢😢😢😢😢
@margretben69205 ай бұрын
Dah Pole Dada Mungu ana mpango na wewe.
@Rose-h9o5 ай бұрын
Pole dada Tina mungu akutie nguvu dada yangu
@joycemkeka37695 ай бұрын
Pole sana kwa familia zote mbili mungu awatie nguvu
@PiliKhamis-mb6ty5 ай бұрын
Pole sana mungu akupe subra mdogo wangu sio rizki yako mungu atakupa mwengine muombe kwa mungu mume wako apunzike kwa amani amin yarabilalamin inshaalah
@UpendoChami5 ай бұрын
Ushoga ni kazi sana😢 mtu anakutambulish kwa bwana ake alfu unamzunguka unamchukua😢😢 Ulaaniwe ww dada😏😏 umemuibia shoga ako ASHA bwana wamekaa zaid ya miaka 5 na watt 3 juu Ww umetambulishwa tu hata mwaka haujaisha umempokonya unaolewa ww😢😢😢😢 Mungu ni mkuu siku zote hajawai kumuacha muovu salama…… Na nyie wanaume acheni tamaaaaa🙌
Pole sana dadaangu Christina sisi kama familia tumeumia sana ila MUNGU akawefaraja kwako
@suleasalum11235 ай бұрын
Mungu akipanga huwezi pangua siku yake ilifika japo limekuwa fumbo katika familia mungu ampe pumziko 🙏🙏
@rahmanassor91535 ай бұрын
Pole sana mama yangu nakuombea kwa mungu aendelee kukupa nguvu sisi tupo nyuma yako
@ChristinaMosira5 ай бұрын
Pole sana wajina mwenyezi mungu awape faraja
@PendoFelix-mn8lg5 ай бұрын
Kaka kuwa na aibu. Mbona hamsemi kwamba dadako alikuwa ameiba mme wa mtu mwenye mke na watoto watatu. Mwenyezi Mungu hapendi dhambi. Mshahara wa dhambi ni hayo. Mtatafuta mchawi mpaka mwisho. Halafu bila aibu manamtaja mwenyezi Mungu kwa mambo ya kipumbavu. Wote mlioshiriki kuvunja ndoa ya Aisha mkishirikiana na Amina anayejidai kufunga ndoa na marehem Mungu anawaona😎
@JosephinaLyimo5 ай бұрын
Poleni Sana MUNGU awatie nguvu Sana tumuombe Sana MUNGU iziniroho zinazotenda kazi kwasiri izoroho zinasema kwetu avitendeki ivi😔 tupende kujifunza Jamani kunamafundisho mazuri Sana kipindi kinaitwa utaifaham kweli naiyo kweli itakuweka huru
@ajuayekilindi44015 ай бұрын
Pole sana dada Tina Mungu akutie nguvu Airtel wanaungana na ww kwa maombolezo
@stellarogath18765 ай бұрын
Bibi Arusi, usiogope Mungu atakutia nguvu, na kukushika kwa mkono wake wa kuume. Mtumaini Mungu.
@dotnatajoseph26205 ай бұрын
Jamaniiiiiiii 😭😭😭 polen sana wanafamilia
@verombwambo37035 ай бұрын
Mungu atabaki kuwa Mungu tu yote ni mpango wa Mungu.
@pendoanzigar31725 ай бұрын
pole tina wangu Mungu akutie nguvu kamama
@berthamwakalebela76045 ай бұрын
Bado Mungu anabaki kuwa Mungu
@monicalucas37385 ай бұрын
Daaaa,ila yoye ni mapenzi ya MUNGU, MUNGU akawe faraja kwa familia 🙏
@esnathshop77805 ай бұрын
Polen sana😢😢😢
@kekiplus1andonly5 ай бұрын
Mmmmh mwenyezi wape nguvu wanafamilia na bi.harus 🙏🙏🙏
@veronicathomas94225 ай бұрын
Mungu tusaidie
@veronicangwale71595 ай бұрын
Hao walipendana kweli kweliiiii
@getrudaleonard83235 ай бұрын
Mungu wng Bc TU 😭😭 Mungu wape nguvu wazazi wa Mwanaume uyo...Bi Harusi ataolewa TU...
@chikujuma185 ай бұрын
😢😢😢 inalilah wainalilah rajighun polen jaman bibi harus na family kwa ujumla
@shaomymusic45105 ай бұрын
Ernest jamani dah sina cha kusema mungu akupumzshe mahala pema.wafiwa poleni saba mungu awatie nguvu bibi harusi dah😢😢😢😢pole sana mungu akutie nguvu
@YustaMbilinyi5 ай бұрын
Mungu nimwema kwa kila jambo jina lake litukuzwe
@tegemeakyangenyenka61115 ай бұрын
Poleni sana,kazi ya Mungu haina makosa
@AnnaAwaki5 ай бұрын
Poleni sana jamani,ni ngumu kulipokea,ila tushukuru mungu Kwa yote
@PuritynaiNai5 ай бұрын
Mungu awatiee nguvuu
@felixbwatota12795 ай бұрын
Pole dada angu ..Mungu
@AnitaApolinary5 ай бұрын
Pole sana dada😢😢kila jaribu lina mlango wa kutokea,Mungu akusimamie 😭😭😭mpendwa wako apumzike Kwa amani
@philemornmutta15975 ай бұрын
Maharusi wanhitaji kuombewa sana naikumbuka mimi hii nilinusurika mala mbili kufa nikikaribia kufunga ndoa
@zakiaissa82025 ай бұрын
Pole sna kipenzi mungu akutie nguvu maana sio lahisi jamani
@rerisamba5 ай бұрын
Ooh Mungu ooh Mungu alipenda mnajifanyaga nikama hamjui ile maneno ya gambosh ya kuchukua misukule
@TabiaMwaisumo-ss7pz5 ай бұрын
Kifo ni fumbo,Mungu awatie nguvu bi harusi pamoja na familia yote😢😢
@MaysoonBadat5 ай бұрын
I can't say anything God is in control ,waa
@idinado-wk3lx5 ай бұрын
Mmmmh maumivu aliyonayo bibihalusi ni makubwa sana Maka siyo poa 😢😢😢😢😢pole sana bibi halusi🤲🤲🤲🤲Mungu akufanyie wepesi
@FatmaHamad-g6s5 ай бұрын
Pole dada Mungu atakupa faraja pole
@NeemaKisinga-q2l5 ай бұрын
Alistahili hyo kwn alimfanyia unyama mwanamke mwenzie rafiki na amezaa nae na watoto kilio chake tu Mungu amekiskia
@namelockmaasailady80025 ай бұрын
Jamani mbona shemeji wa bwana harusi anacheka🙆🙆😭😭
@lovenessitiku62935 ай бұрын
Mungu akutie nguvu inauma jamaa mweee😢😢😢
@HadijaOssodo5 ай бұрын
Mh yaan nimeuvaa uhusika jamn 🙆♂️ allah akutie faraja dada yang dah nimeumia mno sn cha kusema
@VeronicaRugoyi5 ай бұрын
Dunia hii inamambo jamani😢😢😢😢
@salomewandya72575 ай бұрын
Saana 😢😢😢😢
@julithahonesti5 ай бұрын
Pole jmn bi harus
@ruqaiamohammed3455 ай бұрын
Sote ni wa ALLAH na kwake tutarejea ahadi yake imefika 😢😢apumzike kwa amani 😢huyu bi haruc mtarajiwa yatakiwa aolewe na yule kaka aliefiwa na mkewe mtarajiwa ( rehema ) aliepata ajali ya gari
@MomG-d6o5 ай бұрын
Hata wasipopendana?
@tausiferuzi90985 ай бұрын
Poleni sana ndugu zangu mitihani yake rabana Kazi ya mungu haina makosa kikubwa tumuombee apumzike kwa amani marehemu
@EstherProsper-x4o5 ай бұрын
Poleni sana wafiwa😢
@aliceshija31235 ай бұрын
Jaman polen sana,lakn uyo bibi arudi asigevaa hiyo shera maana katk ulimwengu wa kiroho kafunga ndoa tayari na marehemu,atakosa mtu wa kumuowa
@emmadora78485 ай бұрын
Marehemu hawezi funga ndoa na yeyote ,biblia inasema wafu hawajui lolote ,kumbukumbu lao leshafutika hata nyumbani kwao hawakumbuki iwe kufunga ndoa?
@Minzatz5 ай бұрын
RIP Ernest pole kwa bi harusi😢 polen team ya kibangu
@maswamills31615 ай бұрын
MUNGU tupe UVUMILIVU. This is so sad😩😩😩.
@restitutakisamo76075 ай бұрын
Siyo kama anacheka.ndiyo unatakiwa uwe mkakamavu.hata yey atakufa .ni kumjua Mungu tu.
@aishajeanine35525 ай бұрын
Poleni sana wapendwa
@marthakavishe59235 ай бұрын
Kwa kweli Mungu amtie nguvu huyu Dada
@OliverMkunde5 ай бұрын
Mungu amtie nguvu huyo bint.
@winnerjudith20075 ай бұрын
jamani mnaoandika mungu sio ivo ni Mungu au MUNGU
@upendomassawe5215 ай бұрын
Mungu pekee akupe faraja yake Tina maana kibinadamu ni ngumu mno.
@skilindaissa54415 ай бұрын
Eeeee Mungu Wngu gusa wafiwa wote Mungu hawape nguvu kipindi hiki kigumu hinauma Sana Mungu Wngu 😭😭😭😭
@rahmanassor91535 ай бұрын
Asante
@isunga19645 ай бұрын
Dah kaka wa bi harusi ana mke nauliza tu kwa kweli nimemwamngalia mpaka mwisho nimemuelewa R.I.P Ernest
@jamesmzaki60415 ай бұрын
Angalia usije kuomba maji
@RebeccaBhoke5 ай бұрын
Ama kweli kufa kufaana
@douglasmichael74945 ай бұрын
Mungu atukuzwe😢😢😢
@SallmaXg5 ай бұрын
Pole sana my😢😢😢
@priscatarimo42825 ай бұрын
Hili jina la Zambi mbona kama lina matukio sana Mungu nisamehe😢
@AnastaziaMazengo5 ай бұрын
Nyie wanaume mnaotuzalisha nakututelekeza nawatoto alafu mnaenda kuowa wengine mnapaswa kuyapata haya
@ShabanMainde5 ай бұрын
Eeeeeh 😮
@NeemaJoseph-d3w5 ай бұрын
Uwiiii
@zebedayokatamaduni96765 ай бұрын
Aiseeee!
@EuniceHezron-g5j5 ай бұрын
Kabisa
@MariamuJuma-t8zАй бұрын
Kabisa mwaya hawawanatabia yakuanamwanamke wakutaftanae maisha wakatiwaahida wakifanikiwa wanatafta wakulanae afuwewe kakuzalishanakukupotezea mda anakuacha kwakweli mungu awazibu WOTE wanaofanya ivo
@modestamashoke90385 ай бұрын
Poleni sana jamani
@roseafrael755 ай бұрын
Inaumiza,,,haivumiliki,,haielezeki,,, MUNGU awe faraja kwenu.😢