Рет қаралды 56,568
Nijapopita katika bonde la Uvuli wa mauti sitaogopa mabaya, Maana Bwana yu pamoja nami siku zote za Maisha yangu. Ungana na kwaya hii ya KAC katika mfululizo huu wa Matamasha ya Uimbaji kila mwisho wa Mwaka. Bwana Aliye Mchungaji wetu na Akubariki.