Рет қаралды 1,095,612
Simba SC wameendelea kuwa mwiba ugenini baada ya leo kuitafuna C.D Primeiro de Agosto ya nchini Angola kwa kichapo cha mabao 3-1, mchezo ukipigwa kwenye Uwanja 11 de Novembro
Magoli ya Simba kwenye mchezo huo yamefungwa na Clatous Chama, Israel Mwenda na Moses Phiri huku De Agosto wakipata bao lao pekee kwa penati iliyopigwa na dago.