C.D Primeiro de Agosto 1-3 Simba SC | Highlights | CAF Champions League 09/10/2022

  Рет қаралды 1,095,612

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

Simba SC wameendelea kuwa mwiba ugenini baada ya leo kuitafuna C.D Primeiro de Agosto ya nchini Angola kwa kichapo cha mabao 3-1, mchezo ukipigwa kwenye Uwanja 11 de Novembro
Magoli ya Simba kwenye mchezo huo yamefungwa na Clatous Chama, Israel Mwenda na Moses Phiri huku De Agosto wakipata bao lao pekee kwa penati iliyopigwa na dago.

Пікірлер: 356
@piarachipuzi1569
@piarachipuzi1569 2 жыл бұрын
Kama unaamini mnyma hatua ya makundi lzm gonga like hapa ❤️
@yasinsalih592
@yasinsalih592 2 жыл бұрын
Big difference between Simba and Yanga. Love from Sudan we support u Simba
@zuhuraadinani5452
@zuhuraadinani5452 2 жыл бұрын
We love you guys!!
@noelbryson7840
@noelbryson7840 2 жыл бұрын
Thanks bro for the wonderful wishes. It’s obvious that Simba are among the giants and tremendous club in Tanzania and Africa when it comes the issue of football. The other ones jokingly known as UTOPOLO are just escorts in all international games they participate..
@officiallcoolest_khid3223
@officiallcoolest_khid3223 2 жыл бұрын
@@noelbryson7840 🤣🤣MAKOLO
@noelbryson7840
@noelbryson7840 2 жыл бұрын
@@officiallcoolest_khid3223 Shida yako ni moja tu, unashabikia timu mbovu, kila mwaka hata makundi hifikagi..
@yasinsalih592
@yasinsalih592 2 жыл бұрын
@@noelbryson7840 I know how u guys feeling because we have a team here called Al Merrikh and they behave just like Yanga.
@oseikwadwojunior707
@oseikwadwojunior707 2 жыл бұрын
How I wish kalala was in ur team. I'm from Ghana 🇬🇭🇬🇭🇬🇭🇬🇭🇬🇭
@ramadhaniomary2998
@ramadhaniomary2998 2 жыл бұрын
Okrah
@georgemmbando1219
@georgemmbando1219 2 жыл бұрын
Who is kalala?
@aliseif9986
@aliseif9986 2 жыл бұрын
Mungu ibarki simba ....kwa iman nasema iv mar hii tunfka nusu final kw uwez wa allah
@rehemabakali494
@rehemabakali494 2 жыл бұрын
Aamiin
@mamalamama7010
@mamalamama7010 2 жыл бұрын
Inshallah
@huguetteigiraneza4760
@huguetteigiraneza4760 2 жыл бұрын
InshaAllah
@emmanuelchaplingi9050
@emmanuelchaplingi9050 2 жыл бұрын
Amina
@mariapialakanje3446
@mariapialakanje3446 2 жыл бұрын
Wahoooooo jmm Sumba yangu hatari sana hiii wow asante Baba kwa zawadi ya ushindi huu mnono ugennn waje home wapate ten tatu walale wahooo simb yangu nkupenda san
@Bboymnyam25
@Bboymnyam25 2 жыл бұрын
Ahimidiwe Mungu kwa hili🦁🔥🔥👍👍 #NguvuMoja
@emmanuelchaplingi9050
@emmanuelchaplingi9050 2 жыл бұрын
Amina
@husseinkhaji895
@husseinkhaji895 2 жыл бұрын
Mimi ni yanga ila simba ni wakimataifa hakika wapo sliously na mashindano. Yanga tunawachezaji wazuri nafasi wanapata wanazichezea mtani hongera unastahiki kushinda ni kweli niwakimataifa mmenifurahisha.
@mickdadybakari6052
@mickdadybakari6052 2 жыл бұрын
Tuko pamoja mtani
@lama6310
@lama6310 2 жыл бұрын
Lakin Hii Timu ilipigwa Holi Sita Na Namungo,
@maryamrashdy3574
@maryamrashdy3574 2 жыл бұрын
@@lama6310 kwan namungo ni timu mbovu unavyofikirii
@lama6310
@lama6310 2 жыл бұрын
@@maryamrashdy3574 Basi Kama Sio Mbovu Basi Ni Bora Kuliko Simba Kwa sabab ilishinda Goli Sita,Nyinyi Mmeshinda Tatu
@irinikoipai3936
@irinikoipai3936 2 жыл бұрын
@@lama6310 ukumbuke pia hao mliodroo nao sis tuliwafunga 4
@ewaldambrose6136
@ewaldambrose6136 2 жыл бұрын
Tanzania is so beautiful..from the ground to the pitch..from the team Simba to all people
@laitonkabelege
@laitonkabelege Жыл бұрын
❤️sywwe
@shelyboyshely2928
@shelyboyshely2928 2 жыл бұрын
Asante mungu kwa ushindi uliotupatia
@ewaldambrose6136
@ewaldambrose6136 2 жыл бұрын
Viva Tanzania 🇹🇿..Viva Simba sportsclub
@malkavoice2570
@malkavoice2570 2 жыл бұрын
Hongereni sana Mabingwa wa Nchi Simba. Aking'ara Diamond Plutnumz na ninyi huwa mnakuwa pale pale hampotei,hili jina lina mambo makubwa na mazuri sana nimegundua safi sana.
@ramadhaniamri3465
@ramadhaniamri3465 2 жыл бұрын
Nimefurahi Sana......Mungu ibariki Simba SC.....Aamiin
@daddybenny
@daddybenny 2 жыл бұрын
Wakimataifa gonga like..
@youngkidor3296
@youngkidor3296 2 жыл бұрын
😄😂😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
@alphonsfabihan9435
@alphonsfabihan9435 2 жыл бұрын
🦁🦁🦁🦁🦁🦁nguvu moja
@maurim.5172
@maurim.5172 Жыл бұрын
Uruguay✌️
@mariyamsalalah8204
@mariyamsalalah8204 2 жыл бұрын
Siku ya Leo nime enjoy mno❤️❤️❤️❤️🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁
@allahisone6386
@allahisone6386 2 жыл бұрын
Naam 💯%🤝
@mariyamsalalah8204
@mariyamsalalah8204 2 жыл бұрын
@@allahisone6386 Yaan damu damu🦁🦁🦁🌹🌹
@allahisone6386
@allahisone6386 2 жыл бұрын
@@mariyamsalalah8204 Simbaaaaaaa💖
@mariyamsalalah8204
@mariyamsalalah8204 2 жыл бұрын
@@allahisone6386 Nguvu Moja💪💪💪💪
@allahisone6386
@allahisone6386 2 жыл бұрын
@@mariyamsalalah8204 kbsaaaaaaa 💯%🤝
@samwelmerikiolmpila2330
@samwelmerikiolmpila2330 2 жыл бұрын
SIMBA bwana, tumefikia hatua hii ya kwenda siku moja kabla ya mechi na kushinda 😂😂😂😂
@Ram_1893
@Ram_1893 2 жыл бұрын
Unaweza ukaona ni jambo rahisi ujue 🤣🤣🤣
@samwelmerikiolmpila2330
@samwelmerikiolmpila2330 2 жыл бұрын
@@Ram_1893 acha tu, 😂😂😂 ila tumetoka mbali sana, toka kufungwa gori 5 miaka ile!!!!
@Ram_1893
@Ram_1893 2 жыл бұрын
@@samwelmerikiolmpila2330 Tulikua tunafungwa ila kuna vitu muhimu tunajifunza
@samwelmerikiolmpila2330
@samwelmerikiolmpila2330 2 жыл бұрын
@@Ram_1893 kweli kabisa,walikuwa wanatucheka sana
@festojoseph25
@festojoseph25 2 жыл бұрын
Simba hii inakwenda nusu fainali kimy kimya🙌🙌🙌
@mkemiamagege8477
@mkemiamagege8477 2 жыл бұрын
Matunda na baraka za mafanikio ya SIMBA yaliwekwa na JOHN POMBE MAGUFULI. let him RIP. JPM aliwakuza kiakili mara mia zaidi na simba wakafunguka hata kesho simba kimatafa uwape mechi, wanafanya vizuri sana. Kwa ligi ya ndani wanaweza sana ila ufanyiwaga fitna na timu moja tu ambayo inasababishaga pia na yenyewe kimataifa isifanye vizuri.
@noelbryson7840
@noelbryson7840 2 жыл бұрын
Simba ni chama kubwa miaka yote ila hapa uliposema simba ni nzuri kwasababu ya Magufuli nakataa mwanasimba mwenzangu.. Kwamba mafanikio ya simba ni Magufuli?? Huyo Magufuli mwenyewe hakuwa na mzuka wa mpira hata siku moja..
@alcherausmalinzi2033
@alcherausmalinzi2033 2 жыл бұрын
Kenge kweli
@renatusmatungwa2508
@renatusmatungwa2508 2 жыл бұрын
Umesema ukweli
@godsonishengoma5378
@godsonishengoma5378 2 жыл бұрын
@@noelbryson7840 kaul za JPM ktk mpra wa kbongo “NATAKA IKICHEZA SIMBA AU YANGA SHABIKI WA PANDE ZOTE WAUNGANE KTK KSHANGILIA.TIM YA NYMBN”.. Pia aliwambia SIMBA6"KWA MPRA HUU MLOCHEZA HAPA HAMUWEZ KLETA KOMBE LA AFRCA," akaongeaa mengnee badae akamalzia "NATAKA MUWE WA KWANZA KULETA KOMBE LA AFRIKA TZ".. ilikua n bada ya Simba kfngwa na Kagera Sugar kwa mkp na smba alkua hajapoteza mech ktk lig.. Fatlia youtube utajua zaid
@bravoteka3617
@bravoteka3617 2 жыл бұрын
Gonga like kwa mnyama
@fettykilango2814
@fettykilango2814 2 жыл бұрын
Hongereni sanaa simba sports club 🤍♥️🦁 we are unstoppable
@merckmdamu2942
@merckmdamu2942 2 жыл бұрын
Yaanj unawakusanya Mayele Aziz ki na morisoni ndo unaupata uwezo wa chama. Chama nimtu na nusubwanae🔥🔥🔥
@laurenciabenard1295
@laurenciabenard1295 2 жыл бұрын
Ni jitu Hilo likuuuuuubwa
@nelsonjonathan7660
@nelsonjonathan7660 2 жыл бұрын
@@laurenciabenard1295 😂😂😂😂😂
@Ram_1893
@Ram_1893 2 жыл бұрын
Hii ndo Simba SC 👊🇹🇿
@zahariasongolo9362
@zahariasongolo9362 2 жыл бұрын
Najaribu kufuatilia kama CAF wakikubali wenzetu wacheze nao apa TAIFA na cc tukawamalizie game Yao Sudan
@wilfredelimeleki4543
@wilfredelimeleki4543 2 жыл бұрын
vizuri Azam,saiv nna upload mapema. Agizeni vinywaji hapo ofisini kwenu nakuja kunywa
@idayamataifakey7813
@idayamataifakey7813 2 жыл бұрын
Simba nguvu moja 💪❤️💯
@funnyhouse5896
@funnyhouse5896 2 жыл бұрын
Great performance, this is simba (nguvu mmoja)
@mwajabuabdallah3544
@mwajabuabdallah3544 2 жыл бұрын
Safi sn Aishi manula
@nkoydavid9658
@nkoydavid9658 2 жыл бұрын
Nishauri tu kwa mabeki wetu kuna matukio wanazubaa sana..lile tukio la penalty wanachelewa kwenda kuokoa endapo Kuna rebound.. pia kwenye tukio la offside Manura kaokoa lkn wao wapo nyuma ni kama wamemwacha Manula apambane peke yake..Wale jamaa wapo sharp sana kwenye matukio
@salumungassa9217
@salumungassa9217 2 жыл бұрын
Wakimataifa tujuane apa 🦁🦁🦁
@oseikwadwojunior707
@oseikwadwojunior707 2 жыл бұрын
Augustine Okrah!!!
@annasitti120
@annasitti120 2 жыл бұрын
CHAMA ,,NOOOMAAAA
@jacobnduya798
@jacobnduya798 2 жыл бұрын
Hongera Mnyama umetisha sana
@mzeewajambo8293
@mzeewajambo8293 2 жыл бұрын
Simba bravo bravo bravo Wakimataifa Kwa Hakika mmetufurahisha
@paulmsape163
@paulmsape163 Жыл бұрын
Hii ni noma sn, Simba mambo ni moto
@mayalabahati3544
@mayalabahati3544 2 жыл бұрын
This is simba
@loishiyesamwel1374
@loishiyesamwel1374 2 жыл бұрын
Wametunyima penalty ya wazi. Bora tumeshinda.
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
Hongera Simba
@johnkimea270
@johnkimea270 2 жыл бұрын
I love ❤ simba god humble you
@yussufmashaka8895
@yussufmashaka8895 2 жыл бұрын
This is best match ever
@nizytz7273
@nizytz7273 2 жыл бұрын
Yanga Ni Kama mwenge hautoki nje ya nchii😄
@catherinejohn5043
@catherinejohn5043 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@thomasnaibala6171
@thomasnaibala6171 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@themoredwamichano8636
@themoredwamichano8636 2 жыл бұрын
Hahaha!
@benadetasewando2007
@benadetasewando2007 2 жыл бұрын
@@themoredwamichano8636 😂😂😂😂
@lydiathomas2905
@lydiathomas2905 Жыл бұрын
Jamani Simba jumapili tuimalize vizuri. Tusifungwe tena na UTOPOLO.
@saidwambura7293
@saidwambura7293 2 жыл бұрын
simba anzisheni tv yenu yakuonesha mipira,mbona livepol wana tv yao ya mpira.
@oseikwadwojunior707
@oseikwadwojunior707 2 жыл бұрын
Augustine Okrah mojohh
@abduliimsafeer7906
@abduliimsafeer7906 2 жыл бұрын
Simba daima nguvu Moja 🐕♥️♥️♥️♥️
@nenyelamhandomhagula9713
@nenyelamhandomhagula9713 2 жыл бұрын
Hatua iliyofikia SIMBA duh imenifanya nibadili bahal yang atakaye nioa ataje majina ya wachezi wa SIMBA TU bas ndoa inapita🤣🤣🤣🤣🤣
@fundiwelding146
@fundiwelding146 2 жыл бұрын
Aishi manula Muhammed husein Shomari kapombe Inonga Mkude
@sinyoritamwakyambiki5203
@sinyoritamwakyambiki5203 2 жыл бұрын
8
@aminamazinda3645
@aminamazinda3645 2 жыл бұрын
my simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@alhabibnachoaly3018
@alhabibnachoaly3018 2 жыл бұрын
Israel mtoa roho 😂😂😂simba raha
@johnkimea270
@johnkimea270 2 жыл бұрын
I love you simba
@gracejoseph9451
@gracejoseph9451 2 жыл бұрын
Simba umenipa raha
@zarinatv2024
@zarinatv2024 2 жыл бұрын
Utopolo wanatamani Simba ndo ingekuw timu yao🐸🐸🤣🤣🤣
@denisrukangula2227
@denisrukangula2227 2 жыл бұрын
Hongera saaaaaana simbaaaaaaa
@bernaberna4159
@bernaberna4159 2 жыл бұрын
Chama kubwaaa🦁🦁❤️
@oseikwadwojunior707
@oseikwadwojunior707 2 жыл бұрын
Augustine Okrah Mojah
@Mbugokilonda
@Mbugokilonda 2 жыл бұрын
Simba noma sana
@thomasmakala2082
@thomasmakala2082 2 жыл бұрын
Dakika nyingi sana za highlights, jaribu muzipunguze. Matokeo muhimu tu yanahitajika....thanks.
@emmanuelmchomvu2676
@emmanuelmchomvu2676 2 жыл бұрын
ushawahi kuona z ynga zikiwa nyingi....
@joakimmwalukosi5671
@joakimmwalukosi5671 2 жыл бұрын
Wanatoaga highlights 2 fupi na extended, moja ya dakika tano ya magoli tu ipo itafute.
@jumayusuf2684
@jumayusuf2684 2 жыл бұрын
Zipo highlights ndefu na futi we tu
@madukaj.j.6999
@madukaj.j.6999 2 жыл бұрын
Ukitaka kuangalia highlight fupi zipo
@badrumbarouk3377
@badrumbarouk3377 2 жыл бұрын
Anae jua anajua tu
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 2 жыл бұрын
Shabalala unapinduliwa sana Dah
@geofreymwanika9549
@geofreymwanika9549 2 жыл бұрын
Anatakiwa kocha alione hili ule upande wa shabalaa
@kostaagnasi9266
@kostaagnasi9266 2 жыл бұрын
Simba mmejua kutupa raha mashabiki wenu
@crazydaddy9217
@crazydaddy9217 2 жыл бұрын
Tanzania kuna vichwa vya wendawazimu na kuna simba
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
@yahyamajidyahyahilalal-har8762 2 жыл бұрын
Sacko ilikuwa ni penalty kabisa. Haya mashindano waweke VAR
@andrewraphael3098
@andrewraphael3098 Жыл бұрын
Unyama 💥🦁
@jamesmseyekii9131
@jamesmseyekii9131 2 жыл бұрын
Asande mungu kwa kutapa ushindi
@eliudijustinyindi5939
@eliudijustinyindi5939 2 жыл бұрын
🔥🔥🔥💣simba
@mamalamama7010
@mamalamama7010 2 жыл бұрын
Kama angetangaza baraka mapenja tungeinjoi zaidi kwa kuwapamba wachezaji wetu
@oseikwadwojunior707
@oseikwadwojunior707 2 жыл бұрын
🐱🐱🐱 Simba mojjah
@adaboychibu1659
@adaboychibu1659 2 жыл бұрын
Mi ni utopolo lakini hii simba ni ya moto
@phay_lyz0715
@phay_lyz0715 2 жыл бұрын
😂😂😂
@isdorchuvu6280
@isdorchuvu6280 2 жыл бұрын
Amia Simba ule kuku kwa mrija kaka 😁😁
@krishkhoja1131
@krishkhoja1131 2 жыл бұрын
#NguvuMoja❤️❤️❤️🦁👑
@pendenikinyamagoha32
@pendenikinyamagoha32 2 жыл бұрын
Simba ni moto
@official_farajiasangoda7071
@official_farajiasangoda7071 2 жыл бұрын
Chama awezi kufunga bila yakuwalisha watu majani
@Ram_1893
@Ram_1893 2 жыл бұрын
Ukatili wa kijinsia 😢😢😢
@benjaminfifi5627
@benjaminfifi5627 2 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@muhammadkipangatv2674
@muhammadkipangatv2674 2 жыл бұрын
Jifunze hukmu za quran gusa maandishi ya bluu kzbin.info/www/bejne/rIenp4B-fsSAl7s
@renatusmatungwa2508
@renatusmatungwa2508 2 жыл бұрын
Duh hii ndo Simba
@marselinarweyemamu4034
@marselinarweyemamu4034 2 жыл бұрын
Moses phili ni 1 tu Tanzania nae anajulikana km Musa
@thomasnaibala6171
@thomasnaibala6171 2 жыл бұрын
Wanaosema de agosto ni dhaifu wanamatatizo ya akili
@benjaminfifi5627
@benjaminfifi5627 2 жыл бұрын
mmmm hawa jamaa sio dhaifu
@thomasnaibala6171
@thomasnaibala6171 2 жыл бұрын
@@benjaminfifi5627 de agosto ni timu ngumu sana na ndio maana simba wanachukua tahadhari zote maana hiyo ni timu ngumu pia watu wengi wansema nirahisi maana simba kashinda lakini wanasahau ubora wa simba kuwa simba imekuwa bora sana natokea kenya
@diamondplatinum3708
@diamondplatinum3708 Жыл бұрын
Mwendo wa 💪🇹🇿🇹🇿
@superherotv1750
@superherotv1750 2 жыл бұрын
Waombe usher kwe2 utopolo 2washaur
@benimwakasole7386
@benimwakasole7386 2 жыл бұрын
Simba nguvu moja
@zaharahassan8685
@zaharahassan8685 2 жыл бұрын
Sion comment za vyura hapa mmeenda wapi? Leo
@noelbryson7840
@noelbryson7840 11 ай бұрын
DOGO ISRAEL MWENDA UNAJUA BOLI SANA MDOGO WANGU 💪👏.
@wakembetajaphary6006
@wakembetajaphary6006 Жыл бұрын
Azam nyie kwann Simba wakiwa wanacheza huw mnaweka dk chache sana tofaut na Yanga huw mnaweka nying tuelewen nn achen bhana hii cyo mara moja
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 2 жыл бұрын
Jmn Air manula apewe sifa yake pia hakika anafanya JITIHADA sana
@PatriciaEmanuel-rq4fz
@PatriciaEmanuel-rq4fz Жыл бұрын
27.6.23 still watching
@hamedahameed148
@hamedahameed148 2 жыл бұрын
Naona mtangazaji kapooza hapo angekua mpenja ingenoga sana
@stanleymathias2529
@stanleymathias2529 2 жыл бұрын
Asante sana Mungu kwa kunipa nafasi ya kushabikia simba.hivi Manara alieweje kuhama hii timu?
@edwardmpanda5252
@edwardmpanda5252 2 жыл бұрын
Tumbo Halina Adabu, Amejisahaulisha Ili Apate Mkate Wake, Moyo Wake Wote Upo Simba
@augustinomichael228
@augustinomichael228 2 жыл бұрын
This Simba brother tell us
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 2 жыл бұрын
Hii ndio Simba ya kimataifa achana na utopolo
@rajabuathumani1586
@rajabuathumani1586 2 жыл бұрын
Yani kesho hata biashara mjn itakuwepo Simba oyee
@eliyamloy3490
@eliyamloy3490 Жыл бұрын
Kabla Simba hatujaletewa kocha zezeta kutoka Brazil kwa kweli mpira ulichezwa kwa kiwango cha hali ya juu sana lkn walipotuletea huyu zezeta Robertinho kila kitu kilikufa
@GeofreyMemba
@GeofreyMemba 10 ай бұрын
Aishii sana
@nkoydavid9658
@nkoydavid9658 2 жыл бұрын
Mechi ya Yanga highlights dakika 21 afu mechi dakika 14 Azam achen kutuhujumu
@wakembetajaphary6006
@wakembetajaphary6006 Жыл бұрын
Hii nshawai sema yaan Simba huw wanawekewa dk chache tu lkn Yanga ni dk nying huwekewa daah n dhahr hao n yanga wanaofanya hz highlights
@sicatz9204
@sicatz9204 2 жыл бұрын
Waje tuwafundishe hawataki Hay😂😂
@oseikwadwojunior707
@oseikwadwojunior707 2 жыл бұрын
It's unfortunate Asante kotoko is out of the champions league
@josephstephen1079
@josephstephen1079 2 жыл бұрын
Why Kotoko is not there?
@khairatkhamis5845
@khairatkhamis5845 Жыл бұрын
Simba ulaya
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 2 жыл бұрын
Bao la pili simba limefungwa na Israel mtoa roho mtangzj hahahaha
@ibrahimsanga690
@ibrahimsanga690 2 жыл бұрын
Refa anajitetea kwa Mzamiru kwamba haikuwa prnalty..duuh!!
@nzavatungaluwawa8403
@nzavatungaluwawa8403 2 жыл бұрын
Was that denied goal an offside?
@emmanuelmahushi8258
@emmanuelmahushi8258 2 жыл бұрын
Was that not a penalty?
@gaudencehaule7398
@gaudencehaule7398 2 жыл бұрын
And what about a denied penalty for Simba??
@alphredkilindo7014
@alphredkilindo7014 Жыл бұрын
yes,the denied goal was offside, comment about Sakho penalty for Simba!
@tiyonaleomartine5075
@tiyonaleomartine5075 2 жыл бұрын
Nice ball
@mwajabuabdallah3544
@mwajabuabdallah3544 2 жыл бұрын
SC simba chapa hao ss siiiimbaaaaa
@gerfassamson7036
@gerfassamson7036 2 жыл бұрын
Nice
@betheltruetv2208
@betheltruetv2208 2 жыл бұрын
Moses Philip na Clatus Chota Chama wanatakiwa washitakiwe kwa kesi ya udhalilishaji kwa wenyeji tena ktk nchi yao.😤.
@akberyuda5950
@akberyuda5950 2 жыл бұрын
UTOPOLO MAMBO HAYA HAMUYAWEZI WAACHIENI SIMBA
@priceadam7605
@priceadam7605 2 жыл бұрын
Simba baba lao
когда не обедаешь в школе // EVA mash
00:51
Win This Dodgeball Game or DIE…
00:36
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 43 МЛН
The selfish The Joker was taught a lesson by Officer Rabbit. #funny #supersiblings
00:12
🍉😋 #shorts
00:24
Денис Кукояка
Рет қаралды 3,8 МЛН
Simba SC ilivyoichapa Nkana FC goli 3-1
6:24
Azam TV
Рет қаралды 10 МЛН
Геннадий Головкин Ужаснул Всю Америку!
1:00
Стиль БОКСА
Рет қаралды 701 М.
😳Выпустил орла на стадионе
0:36
Минута Знаний
Рет қаралды 4,5 МЛН
MBAPPE VS iStephan #shorts
0:12
iStephan Clips
Рет қаралды 3,7 МЛН
МАМА вышла на ТРАССУ ради СЫНА
0:16
ЛАЙФСТОРИ
Рет қаралды 3 МЛН
Short Kings On Top?!?
0:10
STREETBEEFS
Рет қаралды 10 МЛН