CARRY MASTORY ATOA SIRI WEMA KURUDIANA NA X WAKE INDRIS SULTANI/KUACHANA NA WHOZU/HARMONIZE/POSHI QUEEN #diamond #WEMA #carrymastory ##comasava #carrymastorytv #wemasepetu #INDRISSULTANI #MASHA #auntezekiel
Пікірлер: 143
@Mohaa430927 күн бұрын
Carry, na umbea wako wote ila ww itoshe kusema ww nmcute saana Wallah, Maa Shaa Allah ❤❤❤❤
@SharifaOman-bf1bn28 күн бұрын
Mashaallah. Nimelupenda. Umependexa. Maziwa hivi sasa yannaonekana. Umekuwa. Mama. Umebadilika. Hongera. Kari mastori
@SaudaKhamisi-wm6xy25 күн бұрын
Hyu ana mtoto kweli angalia kifua hio
@michelinemapendo665228 күн бұрын
Zari kakutukana umekonda sasa umenenepaaaaa😂😂😂🥳🥳🥳
@navokisembo24 күн бұрын
Haswaaa maana alizi na chuki kwa Zari wa watu
@shikoshania95327 күн бұрын
Asante kwa kumpenda wema carry❤❤❤❤❤mmetoka mbali sana
@Jassmin-media-official28 күн бұрын
Eti mastaa wanakaa ndani kwani wewe ni star 😂😂😂😂duh tz hata wakifungua duka inaitwa mall 😅😅
@ashuraomar493528 күн бұрын
Muulize hasa maana anaijiita star huyu nae,kwenye mastar wakiambiwa watoke hichi kituko nacho kitatoka kwelii looo😂😂😂
@Brunn-mh2bq28 күн бұрын
Carry sio staa kwa vipi ndugu yangu? Huyu ni star kwa sababu ana mtandao huu wenye subscribers karibu 500,000 na anajulikana mjini tofauti na wewe 😊
@simbawateranga702028 күн бұрын
ANAJIKUTAGA SANA HUYU SHOMVI
@user-vq6iy4rf9m27 күн бұрын
Mbona mall kwani unaugomvi na niffer 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@Chrisscherry26 күн бұрын
Sindio mwenye carry mastory media
@SalamaNauthar27 күн бұрын
Nakupendaga sana cary mastory❤❤❤
@esterdoriye837727 күн бұрын
Mwanake kaa bana miguu bwana 😊😊😊
@ukhutfatumah115427 күн бұрын
Mashaallah hongera sana umekuwa mrembo aswaaaaaa
@MohamediKalanje25 күн бұрын
Roja umekuwa kibonge aisee
@Zeanbo1234-pn8tg28 күн бұрын
ww kunamtoto jaman. Mbona. Unakataa. Mtoto Tena wakike. Angalia. Hta ziwa. Lako jaman. Duh. Furaha umeitwa. Mama
@maryamtanzania974328 күн бұрын
Najua kukupenda tu
@zeyounhabibty858726 күн бұрын
Wallahi sijategemea hata wewe ungedanganya Jamii dah kweli ulimwengu wa mtandao usimuamini mtu 😢
@sofiajumaa453825 күн бұрын
Umezaa bwanaa Muongo weweeee toka zako hapaaa
@AfricaQueen28 күн бұрын
😏😏😏😏Huna haya wewe mbeya mkubwa Sema Ukweli Mtoto Tunamuona jirani yako unamjua Na mtoto wa kike kwendraaaaaa ndio umeumiza watu roho zao shenzi wewe peleka jiziwa hilo mtoto akanyonye Na sasa ndio utaona uchungu wa mwana wacha uchawa unaharibu maisha ya watu Na wewe umekaa kama jike dume nyoko wewe🫵🏾
@teddygabriel566228 күн бұрын
Heew
@hellendaniel380927 күн бұрын
Stresss ni mbaya. 😂😂😂sasa makasiriko ya nn😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@salhawaziri166826 күн бұрын
Khaaaa ni gongo umekunywa au ni roho mbaya unayo ,,kwanza walevyi wanaupendo..wew utakua mjukuu wa nyetanyahu
@AfricaQueen26 күн бұрын
@@salhawaziri1668 😏😏😏heri ya gongo kuliko wewe msago wa kutoana cheche kiboko yenu mange njambavu wewe mlevi wa kungu Na mirungi katafute mwenzio akutoe cheche mnamfurahi jibrilli mtoa roho za watu mwanamke wa kislamu shuahin kelp wewe muarabu koko😏🫵🏾
@AfricaQueen26 күн бұрын
@@salhawaziri1668 unaleta mambo ya kijijini hapa 🫵🏾😏haya karibu mjini mjiniii sura yako mbaya kama huyo mbeya wako wa mjini 😏😏😏😏🤪🤪🤪🫵🏾
@michilita295928 күн бұрын
Kuzaaa kuzuri amependeza kweli
@KhadijaMbwana-kb8ib12 күн бұрын
Anatoto wa like huyo😂😂
@user-xy8kl9wd2i28 күн бұрын
Kwani ukisema tu umejifungua utakufa🤔
@Legends_Interviews28 күн бұрын
Anaonesha amezaa
@user-fs7xc2bb5d24 күн бұрын
Ni kweli hata maziwa yanaonyesha labda wasiojuwa
@Official8364028 күн бұрын
Ila kamwili kamekuja Maa'shaallah na ziwa limetoka bwana mtoto tunae hapo😂😂😂
@Catherine-mh8sw26 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@zamzanimakundi254628 күн бұрын
Hujawahi kusema una mahusiano.pili una mtt nadhani mtt ana miezi 5
@beatricejohn165928 күн бұрын
Nyonyo tuu linatosha kuelezea kama umezaa😂😂😂 hongera sana
@alsam488128 күн бұрын
Yaani kuna baadhi ya wabongo ni hvyo kabisa hawawezi kufanya kazi nyengine yenye maana na faida zaidi ya UMBEYA, UCHAWA NA KIKI na yote hiyo inatokana na kwasababu hawana maarifa na Uvivu umewatawala.
@user-fy9pw2zr8l28 күн бұрын
acha kuduchanganya lokole hajawahi danganya umezaaa ebu tukia
@user-uf8lk9tv3r28 күн бұрын
Hata mtu anaenyonyesha anaonekana
@michelinemapendo665228 күн бұрын
Kiukweli Mariooo atakuja kujutaaa😂😂😂
@user-hm3qm2nf1v28 күн бұрын
Paula anajielewa amekua sio yule wa raivanny yuko na marioo wanakaribia na miaka 2 na mtt wameshapata mwacheni jmn
@user-oq8vp6ie7n26 күн бұрын
We nae
@alhamdullilla510826 күн бұрын
Kweli kawa mama mashaallah amependezaaa
@zeyounhabibty858726 күн бұрын
Interview nzima swali la ujauzito basiii aghhh !
@mayungakisinza609028 күн бұрын
Nilikutana na we tegeta uko na mimba hata maziwa yanaonyesha acha kutuona watoto
SEMA carrymastory hajawahi kuwa serious, ndio maana wanaume wanampotezea
@uwimana653328 күн бұрын
Tulikumiss sana carry mastor 😂😂 mambo yakapo 😂😂😂
@WendoJuma28 күн бұрын
Tutamuuliza Dada Wa Mangekimambi..subiri tu
@hejmabohejhej925 күн бұрын
Ndio ukaaji gani wakujichanua
@julianapeason625410 күн бұрын
yaani 😳😳😳😳
@RamadhaniSaidi-wq8ym26 күн бұрын
Hapo kwa Wema umesema ukweli kwa hadhi yake pale mwanaume hamna mm naumiaga Diamond na Wema ndiyo walikuwa wanaendana sana Sasa wamejikuta wako na mausiano Bora liende kipindi hicho mji ulikuwa wa moto
Carry bana sie tuliopitia uzazi tukikuangalia tu tunajua wewe ni mzazi, nikiangalia kifua chako tu kinaonyesha wewe ni mzazi kabisa 😀, ila mi nakupendaga mwaya
@gwennipah907225 күн бұрын
Carry wazungu hawana mpango wowote
@esterMahenge24 күн бұрын
Kweli cary mmbea alafu sasa mkavu
@tanzcanmediatv447326 күн бұрын
Mbona maziwa yanaonesha
@sofitanzanian95528 күн бұрын
Kidumedume
@saumsaid196622 күн бұрын
maziwa yamejaaa hivyo
@lilianestephanie788127 күн бұрын
Kanenepa
@Mgema00128 күн бұрын
Kesho tegeta asubui sana😂😂
@Carrymastory28 күн бұрын
🤣😂😂
@beatricejohn165928 күн бұрын
Mungu akiandika hakuna malaya wa kupinga..Zuchu na diamond platnums forever..Tuondolee wivu kanyonyeshe huko.utakuwa umezalishwa ukaachwa ndio maana unaficha 😂😂😂😂😂nyambafu mbea yamekukuta eeh
@husnaaaa70328 күн бұрын
Kapendeza sana
@khadijachacha315627 күн бұрын
Amekua kama masha manyonyo baada ya kuzaa ziwa limekuja kwa kasi 😂😂😂😂
@lucyjohn353727 күн бұрын
Alipewa ajira na mange sasa mambo yameyumba Kwa mange ndo anataka kurudi
@user-he2pk6io4d28 күн бұрын
Wacha kudanganya huma wewe ni mzazi tulie zaa tunajua
@user-qq6mv6vh3e27 күн бұрын
Carry umenenepa
@habibaraphael658326 күн бұрын
Kanenepa maziwa tuu
@BintChaula-yj2xw28 күн бұрын
Tutamuuliza mange kama huna mtoto
@Carrymastory28 күн бұрын
Sawa 🤣😂😂
@BintChaula-yj2xw28 күн бұрын
@@Carrymastory 🤣
@user-pr4hb2yc9j25 күн бұрын
Kila mfano unamtolea paula ndio Roll model wako?
@channyanjen904728 күн бұрын
Zuchu na diamond wanawasumbuwa sana umbwa wewe
@user-ur8cq1ye3b26 күн бұрын
We ndo unasumbuka mbwa mwitu mwambie aoleww asichezewe kenge wewe
@user-fy9pw2zr8l28 күн бұрын
hibi sasa njo kuonekana mzazi maana ulikua kama mwanaume😅😅😅😅
Mungu anawalipa kwa kuwadhalilisha binaadam wengine. Mungu atawahukumu tu na bado kama hamna mashamba ya kulima mutakoma. Sasa tangazeni yenu wajinga nyie
@jamilaathumani548128 күн бұрын
Yani for fan alafu unamchafua mtu kwer?? Yan bongo bwana...Yan upate wewe kwakumchafua mtu mwingine kwer
@Brunn-mh2bq28 күн бұрын
Mhh. Wewe na hizo "kwer" zako unatuudhi
@jamilaathumani548128 күн бұрын
@@Brunn-mh2bq kwer enhe🙆🤷🤣
@Catherine-mh8sw26 күн бұрын
@@Brunn-mh2bq😂😂😂😂😂😂😂😂
@Catherine-mh8sw26 күн бұрын
@@jamilaathumani5481jitahidi basi
@user-el7ut2qk4e22 күн бұрын
Wa2 bwana sasa paulla kakukuta kwenye game gani😂😂😂