TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID. #Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
Пікірлер: 44
@abdallahabdallah7580Ай бұрын
Safi sana na ikiwezekana wangeeka uraisi bila kikomo
@muhidinimohd1470Ай бұрын
Kama maraisi waliopita wangeengezewa muda angepata uraisi 2020?
@abdallahabdallah758027 күн бұрын
Ingekuwa vyema mukampa uraisi wa milele
@mohdhaji6265Ай бұрын
❤mbn njaa kali
@ashura-kp4fpАй бұрын
Mkiongezeana miaka 7 kumbe mnataka muvunje muungano kinyemela wao wachague zanzibar isichague
@KichwaKigumuАй бұрын
Hii nchi haina mapinduzi ya kijeshi hatutaki usultani Zanzibar wapita raisi 7 hakuna ata m1 aloongezewa miaka kwa muujibu wa katiba wa Zanzibari haukubaliani nalo hilo
@saidrakwe872729 күн бұрын
atawale au aongoze!!!😢😢😢
@itzanzibar9536Ай бұрын
Aongoze miaka yote bora maana si kwa mazuri haya aliyo tufanyia
@harithwhite589Ай бұрын
Sio kumuongezea muda tu,akae milele
@jombadullaАй бұрын
dimwa oyeeee
@jombadullaАй бұрын
ofisi ya mawasiliano ikulu imepinga lkn,wamesema si kauli ya chama wala nin,sasa tuelewe vp
@AllybinamourАй бұрын
na pia wazanzibar tunampenda mama samia tunapendekeza atawale tanzania hadi mwisho wa uhai wake. au dr dimwa hajaiona kasi ya mama? mbona yeye kamsahau?
@kuntaalkinte5415Ай бұрын
Hongereni aongezwe tu mpendwa wetu. hao wanokataa wajinga tu.waosopende maendeleo.
@akaumbo9433Ай бұрын
Utatumbuliwa mda si mrefu DIMWA😂
@khatibcamaraАй бұрын
Sas akiongoza miaka 7 si itakuwa mshatafautiana kiuchaguzi na mabwana zenu sas itakuwaje itabidi mabwana zenu wakufuteni nyinyi haaaa ilo litawezekana mume kumfuat mke? Kam ni ajenda ya kuuvunja muungano bac tuko pamoj man nchi moj chaguzi tofauti sizani. Zanzibar hatuwezi mpk waseme mabwana sijui itakuwaje
@YusufAli-nc5cpАй бұрын
Kweli rais wa Zanzibar anastahili muda wa nyongeza
@wakwetu2444Ай бұрын
Naona wailichukua Fomu zaidi ya Darzeni ku Gombea urahisi.
@lusakaone7782Ай бұрын
Bado mnamdanganya Mh. Rais, siamini kama yy binafsi ataridhia
@suleiman6552Ай бұрын
Hiyo ilikuwa ni Haki yake Wassibe kura Sasa wala asimwage damu tuone ka anapendwa ama ni kama mmi2
@mahmoudmzee-pr3vsАй бұрын
Imepita iyo
@rashidomar2771Ай бұрын
Chawa wana mambo kweli,, Ni bora basi chamani kwenu msiweke ukomo hata mtu akigombea mara 10 mumpitishe lakini uchaguzi mkuu miaka 5 mbona inatosha sana,, Mukiweka hivyo kama ataendesha vizuri sawa,,akiwa dicteta je mtafanyajje au itakuaje , nyinyi chawa hamfikiri hilo,,mnaangalia maslahi ya uchawa wenu tu
@rushydahmed9179Ай бұрын
Eti Dokta? udokta wa ccm wachefua moyo hadi kutapika..
@MohamedAhmada-ie7keАй бұрын
Iwe ata 15
@labunaabouna6122Ай бұрын
Haha 😂😂 nchi yakusadikika lol bora kue hamna uchaguzi
@delasdiego6537Ай бұрын
Tujiandaeni na vita sio uchaguzi hawa mapredator tuwatoe madarakani kwa nguvu shenzi zao tafadhal mhe omo usilikubali hili na ndio iwe kigezo cha kujitoa GNU WASHENZI HAWA
@omarmohammed5157Ай бұрын
Nimeamini ccm ni chama cha watu wenye ubinafsi wa maandeleo na kujishibia matumbo yao tu
@MwigaAdamАй бұрын
Hhhhhhhhhhh weeeee
@YusufAli-nc5cpАй бұрын
Tena sio saba iwe 10 aswaa
@awatifalghanim1106Ай бұрын
Viongozi wa Zanzibar wacheni dhulma na kuwapa shida ya maisha Wana Wanchi. . Madaraka ni yakupita tuu .Wache tuone fimbo ya Mungu.
@NoufelSalimАй бұрын
Dimwa km unampenda mpeleka kwako,hahah munaogopa uchaguzi😂😂
@MahirwazanzibarАй бұрын
Wanaogopaa uchaguzi CCM 😂😂
@feisalkhamis9445Ай бұрын
Labda huyo dimwa na Hussein mwinyi waje tuwafire Kwanza halafu ndio turidhie
@fahadfaraj6474Ай бұрын
Duuu
@seifhabib5987Ай бұрын
Oya unatafuta Mashaka watakuja kukunasa ao
@fahadfaraj6474Ай бұрын
@@seifhabib5987 sio tu mashaka si vyema kutukana watu hao ni wazazi wa watu isifike huko kutukana matusi ya ajabu huo ni ujahili
@MahmoudDouchiАй бұрын
Subuhhanallah dah sio maneno ya kusema hayo
@user-zc4py3qj9oАй бұрын
😂😂😂😂😂Kweli waso akili wamo mitaani yaani aengezwe saba tena
@awatifalghanim1106Ай бұрын
😂😂😂😂 wanataka aengeze miwili manake bado kazi zake hajamaliza. Basi na Mama Samia pia aongeze na yeye mitatu😂😂😂😂
@natafutamatatizo4382Ай бұрын
HAHAHAH. MIAKA 7? HIVI AKIAGA DUNIA WIKI IJAYO MTAMPUNGUZIA AU🤣🤣🤣👁️👁️
@ZaidSeifSuleimanАй бұрын
Ndoto hata kama nyerere hayupo acheni maneno yasiokuwa na faida kwa umma
@khatibal-zinjibari6956Ай бұрын
UAMUZI WA WAZANZIBARA AU WANA-MKURANGA? Mama Samia atafanyiwa hivyo au atabaguliwa?
@awatifalghanim1106Ай бұрын
Hapo sasa 😂😂😂
@khatibal-zinjibari6956Ай бұрын
MUHANGA NA TUNZO Kila mwenye Uzalendo wa Kizanzibar na Akili timam, hatosahau Mauwaji 21 ya Waislam wa Unguja na Pemba kuwa Muhanga kwa Urais wa Zanzibar.